wafasiri wa ndoto wanafasiri ukimuotea mtu anaingia na mtu aliekufa kwenye nyumba isiyo julikana basi huyo ulie muotea atakufa na atakutana na huyo maiti akhera Na kama ni nyumba inayo julikana na ikawa wanazozana ndani basi nihoja ndoto hii amfanyie dua au swadaka
Asalaam aleykum sheikh,mm nimeota mvua kubwa sana na inanyesha kwa utulivu sheikh wangu nimeiyona maana yake shukran sana🙏🙏
Shukran shekh
Asante mtoto wangu alitoroka nyumbani
Shukuran sana ,mimi nimeota mvua inanyesha nyingi kisha juu kulikua na nyota nyingi ,kisha nikaoga niko na furaha nyingi
Alhmdulilah shee nitamwambia amfanyie duwaa
Asat👏👏🤲🤲
Shuclani🤲🤲🤲🤲👏👏
Shukraan sana mm nimeota mvua Inanyesha mm nilikuwa nakinga maji
Asalaam alkumu mimi nimeota mvua kubwa inaonyesha na upepo mkali
🤲🤲🤲
wafasiri wa ndoto wanafasiri ukimuotea mtu anaingia na mtu aliekufa kwenye nyumba isiyo julikana basi huyo ulie muotea atakufa na atakutana na huyo maiti akhera
Na kama ni nyumba inayo julikana na ikawa wanazozana ndani basi nihoja ndoto hii amfanyie dua au swadaka
Asalykum shee mimi nimelala nikaota bint yangu mume wake amekuja sasa nikawa namwambia wewe uyo c amekufa bint yang akajibu huyu ajafa wakaingia chumban yaan mkwe wang mbele bint ysng nyuma lkn nikawa namsisitiza usiende nae ndan uyo amekufa yule bint yang akasema mama uyu ajafa ndomana unamuona wakaingia ndan nikaskia kule ndan kama vile wanabishana kitu nikawa nimeshtuka naomba maana yake shee..lkn pia kiualisia uyo mkwe wangu amefariko kweli kama miez mitano Sasa tokea amefariki
Asalaamu aleyecum Mimi niliota nime chinja ngamia na Nika toa ngozi na kupika
Mimi nilikua nalala mchana nkaota mtoto ako inje mvua inamnyeshea ile kidogo
❤❤😢
Mimi nimeota ndoto mvua inaninyeshea
Nimeota mvua inanyesha yakawaida na upande wangu wa mkono wa kiume kulikuwa na moto unawaka nini maana yake?
Ndotozote nizauongo
Ndoto sio zakuzarau MUNGU anakuoneshabkitu kupitia ndoto
❤😢