UKIOTA MVUA INANYESHA TARAJIA KUPATA KHERI NYINGI KATIKA MAISHA YAKO // SHEIKH ABUU JADAWI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • UKIOTA MVUA INANYESHA TARAJIA KUPATA KHERI NYINGI KATIKA MAISHA YAKO // SHEIKH ABUU JADAWI

Комментарии • 20

  • @MariamWilfred-l6g
    @MariamWilfred-l6g 9 месяцев назад +2

    Asalaam aleykum sheikh,mm nimeota mvua kubwa sana na inanyesha kwa utulivu sheikh wangu nimeiyona maana yake shukran sana🙏🙏

  • @Catherine-mh8sw
    @Catherine-mh8sw Месяц назад

    Shukran shekh

  • @WhitneyKhaenza
    @WhitneyKhaenza 9 месяцев назад

    Asante mtoto wangu alitoroka nyumbani

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 9 месяцев назад

    Shukuran sana ,mimi nimeota mvua inanyesha nyingi kisha juu kulikua na nyota nyingi ,kisha nikaoga niko na furaha nyingi

  • @fatmakitenge6464
    @fatmakitenge6464 Год назад

    Alhmdulilah shee nitamwambia amfanyie duwaa

  • @kwizaraclaudine8489
    @kwizaraclaudine8489 Год назад +1

    Asat👏👏🤲🤲

  • @فاطمةسعيد-ث2ق
    @فاطمةسعيد-ث2ق Год назад

    Shukraan sana mm nimeota mvua Inanyesha mm nilikuwa nakinga maji

  • @RukiaMuhammad-t9j
    @RukiaMuhammad-t9j 7 месяцев назад

    Asalaam alkumu mimi nimeota mvua kubwa inaonyesha na upepo mkali

  • @ModextaModexta-on7mi
    @ModextaModexta-on7mi 25 дней назад

    🤲🤲🤲

  • @abuujadawionlinetv3675
    @abuujadawionlinetv3675  Год назад +1

    wafasiri wa ndoto wanafasiri ukimuotea mtu anaingia na mtu aliekufa kwenye nyumba isiyo julikana basi huyo ulie muotea atakufa na atakutana na huyo maiti akhera
    Na kama ni nyumba inayo julikana na ikawa wanazozana ndani basi nihoja ndoto hii amfanyie dua au swadaka

  • @fatmakitenge6464
    @fatmakitenge6464 Год назад

    Asalykum shee mimi nimelala nikaota bint yangu mume wake amekuja sasa nikawa namwambia wewe uyo c amekufa bint yang akajibu huyu ajafa wakaingia chumban yaan mkwe wang mbele bint ysng nyuma lkn nikawa namsisitiza usiende nae ndan uyo amekufa yule bint yang akasema mama uyu ajafa ndomana unamuona wakaingia ndan nikaskia kule ndan kama vile wanabishana kitu nikawa nimeshtuka naomba maana yake shee..lkn pia kiualisia uyo mkwe wangu amefariko kweli kama miez mitano Sasa tokea amefariki

  • @abudahmed5293
    @abudahmed5293 11 месяцев назад

    Asalaamu aleyecum Mimi niliota nime chinja ngamia na Nika toa ngozi na kupika

  • @MorineAseyo
    @MorineAseyo Год назад

    Mimi nilikua nalala mchana nkaota mtoto ako inje mvua inamnyeshea ile kidogo

  • @mariamharoon1840
    @mariamharoon1840 Год назад

    ❤❤😢

  • @JennyAswile
    @JennyAswile 9 месяцев назад

    Mimi nimeota ndoto mvua inaninyeshea

  • @DaudiIdrisa-ei3sz
    @DaudiIdrisa-ei3sz Год назад

    Nimeota mvua inanyesha yakawaida na upande wangu wa mkono wa kiume kulikuwa na moto unawaka nini maana yake?

  • @ProllyCargo
    @ProllyCargo 11 месяцев назад

    Ndotozote nizauongo

    • @LuciaKivamba
      @LuciaKivamba 9 месяцев назад

      Ndoto sio zakuzarau MUNGU anakuoneshabkitu kupitia ndoto

  • @kwizaraclaudine8489
    @kwizaraclaudine8489 Год назад

    ❤😢