Sheikh nmeota nmepewa chupi na mwanamke ambaye anataka nmuoe na tayari niko na mke sasa nmeiweka mahali sitaki mke wangu aione hii ndoto inamaana gani mana huyo mwanamke aliyenipea chupi yake nlimbeba na gari huku tunaongea akidai nmuoe
@nyumbayatibanadua737 kuota umevaa nguo ya kijani na weupe kidogo mpya , ambayo ni ya mama yako umeivaa, umefurahi na mama yako anakusifia umependeza ukamjibu asante. Nini maana yake sheikh
Ustadhi khamisi suleimani nimeota ndoto nimenunuwa pikipiki mpya nirudinayo nyumbani
Shekhe nimeota nimeokota nguo nyingi
Sheikh nmeota nmepewa chupi na mwanamke ambaye anataka nmuoe na tayari niko na mke sasa nmeiweka mahali sitaki mke wangu aione hii ndoto inamaana gani mana huyo mwanamke aliyenipea chupi yake nlimbeba na gari huku tunaongea akidai nmuoe
Shee vazi jeusi mbona aujasema maana yake
Mim nimeota mwanaume kavaa kanzu nyeupe ila sikuweza kumfahamu vizuri sura yake, je inamaana ganil shekhe
Ukiota unataka kuanika nguo na kamba zimejaa zimo kwenye beseni
Nimeota nguo nafuwa nyingi sana hadi za watoto wachanga na rundo la nguo nzuri sana ila sijui zinakabila gani nafuwa na anika kambani
Kuumbee
Shukran shekh
Ahsante sana.
Naamu shikh nime Ota nipo sokoni na itaji kununuwa kazu nye upe nani ka iona nika ishika
Na nye usi kazu ya kislamu nika zipenda zote
Ahsante sana
Niliota nimevaa nguo rangi ya jungwa mpya inamaana gani
Nimeota nguo yangu imepotea na leo ni mara yapili ina maana gani
Hiyo inajulisha kurogwa
Nimeota nakula bamia,, maana yake nini? Shekh
@nyumbayatibanadua737 kuota umevaa nguo ya kijani na weupe kidogo mpya , ambayo ni ya mama yako umeivaa, umefurahi na mama yako anakusifia umependeza ukamjibu asante. Nini maana yake sheikh
Kama tishet nyeupe ni nn ni koton ni Sufi,ni ya nywele au ni nn
Wewe ndie unatakiwa unambie nguo yako ni yanini
@@nyumbayatibanadua737ndoto ya nguo ya kijani na mchanganyiko na weupe na ni ya mama yako na umeivaa umefurahi Sana na ni mpya ni nini maana yake
@@nyumbayatibanadua737ndoto ya kunywa maji ya chupa nini maana yake. Umebeba ili ukanywe