HII NI AIBU Mwaipopo aweka hadharani nyaraka zote za sheikh wa Mkoa wa Mwanza

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024

Комментарии • 100

  • @enockkibona7522
    @enockkibona7522 Год назад +3

    Njoo kwa BWANA YESU huko kuko vizuri

  • @neebsamuel316
    @neebsamuel316 Год назад +3

    Mwaipopo Wewe ni Tapeli hakuna asokufahamu

    • @SalimAbdullah-tv2qc
      @SalimAbdullah-tv2qc 10 месяцев назад

      Bila shaka wewe c muislam ndo mana unachuki nae kawakimbieni kwenye ukafiri.

  • @shamtealmas3290
    @shamtealmas3290 Год назад +1

    Shekhe wetu yupo vizuri sana,
    Anapambana na kuuendeleza uislamu
    Ungejua mazuri anayoyafanya usingesubutu kusema hayo
    Uislamu unamiongozo yake sio mitandaoni tu

  • @maalimsule9203
    @maalimsule9203 Год назад +1

    jazaaka Allaahul khayr sh mwaipopo kwa kuizungumzia hakki kwa ushahidi Allah akuhifadhi lkn nakunsihi endelea kushirikiana na wenzako akina sh mazinge Ili kupeleka uislamu mbele usiwatenge na Wala usijitenge nao

  • @mariammjema4901
    @mariammjema4901 Год назад +1

    🔥Huyu baba ni moto mungu akusamehe mbona hukusema kabura vp umemwamisha docta mwaka au umechemka wewe hufay umemdhalilisha doct sasa umeamia kwingine unataka uongozi kwa nguvu

    • @abdallamshahara3006
      @abdallamshahara3006 Год назад

      Jamani waislamu tunakwenda wapi mbona wasomi wakubwa wa dini mnafanya mambo yasiyo elezeka,haya mambo ya kujibizana kwenye mitandao wanafanya wasanii na wanasiasa lengo lao ni umarufu je nanyie tuone mnataka umarufu? waisilamu leo kila mtu amekua msemaji kwani hakuna utaratibu wahabari na tarifa kwa uma

  • @ayshahamisi1240
    @ayshahamisi1240 Год назад +1

    Maa sha Allah tabaarakallah, Allah aendelee kukuongoza

  • @mwassamwassa7264
    @mwassamwassa7264 Год назад +5

    Muda si mrefu mtaanza kichinjana

  • @Issa-ud6sy
    @Issa-ud6sy Год назад +2

    Harana ISSA,kutoka Arusha,, Mwaipopo umeongea mpaka nimelia,kama umeongea uongo machozi yangu utalipa siku yakiama

  • @jamilankaya6825
    @jamilankaya6825 Год назад +1

    Mwenyezi mungu tujaalie tuwe na mwusho mwema amina

  • @binsaluun8921
    @binsaluun8921 Год назад +2

    Huyu jamaa ni mjinga mpuuzeni

  • @DawsonKiwia-qt6zf
    @DawsonKiwia-qt6zf Год назад +1

    Heko!! Waanike wanafiki wakubwa. Wabadhirifu wamejificha pasua tunakukubali Allah akuongoze akulinde.

  • @SalimAbdullah-tv2qc
    @SalimAbdullah-tv2qc 10 месяцев назад +1

    Ukweli unauma hakuna kumficha mnafiki hata km yupo wapi sema kweli ijapokuwa inauma.

  • @abdallahnkrumah6237
    @abdallahnkrumah6237 Год назад +3

    Yule Dr Mwaka ametuletea haya yote Kama si Dr Mwaka marumbano haya yasingetokea.

  • @laikhamis6654
    @laikhamis6654 Год назад +2

    Hivi Wewemwaipopo umeingia ktk Islam Kuja kutuvuruga waislam rude kanisani Huku teacher wenyewe na masheikh Wetumpka acha uchafu wamdomo wako

  • @mbanomrage604
    @mbanomrage604 Год назад +1

    Maneno ya shekh Ilunga nayamin sasa aliwahi kusema katika moja ya clip zake zake kua Bakwata hatokaa mtu mwenye aki hata moja. Sio maneno yangu maneno ya Masrehemu ilunga

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 Год назад +3

    Akina mwaipopo wakinyimwa fursa ya kuuza dawa zao misikitini basi inakuwa nongwa hebu muogope mungu

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 Год назад +3

    Sasa unahangaika na nini na kabeke

  • @isacksteven1403
    @isacksteven1403 Год назад +3

    Binafsi nawashangaa sana hawa watu mungu awaongoze muache kurumbana mnatia aibu sana haya yote mbona hamjawahi kusema au mlikua mnasubiri nini kama sio unafki

  • @ranman4910
    @ranman4910 Год назад +4

    Ivi uyu MTU anatumwa na Nani ?? M mwaipopo njaa itakuuwa ww, Kama una magomvi nae malizeni wenyewe uko acha kutuaibisha waislam. Atujafunzwa Ivo sisi acha ukafiri huo

    • @mwassamwassa7264
      @mwassamwassa7264 Год назад +1

      Safi sana mwaipopo,wewe ndiyo mwislamu hasa,nasikia wanasema ulikuwa mkristo,mimi nasema tabia na kuwa na maneno mengi ndiyo uislam hasa kule kwenye ukristo ulikosea tu

    • @fatmazullu4933
      @fatmazullu4933 Год назад

      @@mwassamwassa7264 mmh!

  • @mariammjema4901
    @mariammjema4901 Год назад +1

    Wewe mwaipopo mungu anakuona umelaaniwa mbona mazambi yako huyasemi au umekamilika wewe sema yako kwanza umemtukana docta mwaka hufay wewe hiro bando tununurie unataka umaarufu inaonyesha waslam hampendani docta mwaka kawaumbua sasa munapgana wenyewe kwa wenyewe wewe unahubir ndini hufay hata unataka uongozi hufay waslam jamani hawa ndo vyiongozi wa kislam😭

  • @efrahfarahahmed8960
    @efrahfarahahmed8960 Год назад +2

    Nini tena hii fedheha za masheikh kwenye Mitandaoni kwanini msikae kikao mmalizane kuliko kuleta kwenye viombo vya habar

  • @husseinally5550
    @husseinally5550 Год назад +3

    We ni fattani mkubwa sana.ulikuwa wapi siku zote

  • @ZaidSeifSuleiman-q9w
    @ZaidSeifSuleiman-q9w 11 месяцев назад +1

    Wacha kumengenya maneno bakwata wote Tanzania nzima hawafai na hawana sifa yoyote yote inatakiwa ipanguliwe

  • @estherkibajiro3480
    @estherkibajiro3480 Год назад +2

    Hii Dini ni hatari 🙌😁 yaan tunaishi kichuki na kinafik sana 🤣🤣huku kwetu kunamtu alimchukia sheikhe wake msikitin wallah hakukaa aliondoshwa uwo msikiti 😁😁kila mtu yupo kisaka tonge na kinafik 😏😏

    • @issaisandeko6217
      @issaisandeko6217 Год назад

      Uislam sio dini *hatari* usihusishe madhaifu ya watu binafsi na Dini ya Allah, Acha kuukashfu Uislam

  • @rehemailomov9648
    @rehemailomov9648 Год назад +2

    Sasa!! Tuna Mwabudu Mungu Gani Au Tuna abudu fedha Hawa ni Viongozi wako hivi Je!! wafuasi wakoje?

  • @siscleonard5093
    @siscleonard5093 Год назад +3

    Shekhe ulikuwa wapi Siku zote kusema kama anatapanya mali hadi alipowapiga marufuku kwenye mkoa wake mufti hawezi kukuteua

  • @abdallamshahara3006
    @abdallamshahara3006 Год назад +2

    ukweli kunakitu kinashangaza sana (1)Naomba kujua hivi waisilamu hakuna msemaji wa waisilamu yani kilamtu akijisikia kusema anasema tu.
    (2)sasa mashehe wamekua kama wasanii kusutana,umbea, kutoleana aibu zao kwenye mitandao ya kijamii haya mambo yanatoka wapi au niugeni wa kuonekana kwenye Tv.
    (3)Basi kama sio ugeni wa matumizi ya mitandao nendeni tena darasani mjifunze masomo ya Uongozi na Madiri yani hamna mipaka ya kuzungumza aibu ya mwenzako wala sio ufahari.

    • @DawsonKiwia-qt6zf
      @DawsonKiwia-qt6zf Год назад

      Waislamu wanahitajika wawe watafiti kama wewe unatafiti na unaeleza mambo ya uhakika sio watu wanaongea mambo bila ya kufikiri wala kutafiti. Uwazi na (uhakika).

    • @shamtealmas3290
      @shamtealmas3290 Год назад

      Mufti fatilia haya Kama yanaukweli

  • @fatumamsellem7622
    @fatumamsellem7622 Год назад +1

    Jamani jamani
    Tunawaomba haya mambo msijiweke hadharan
    Tofauti zenu
    Msikizane na mue kitu kimoja
    Au mtaleta mtafaruku mkubwa.
    Ikiwa nyinyi mashekhe mwaibishana na sisi tutasawazishwa na nani?😔😔😔

  • @saidothman4772
    @saidothman4772 Год назад +1

    Si vyema kumuumbua mwenzio sio busara wala hekima

  • @saidomary6414
    @saidomary6414 Год назад +1

    Mmmh ee mungu dini imukuwa kama siasa

    • @souvenirweber7169
      @souvenirweber7169 Год назад

      Wanataka kuleta mambo vita za makundi ya kiislam sielewi kwanini kama ni wacha Mungu wasimalizane tofauti nje ya media.kweli dini na imani ni vitu 2 tofauti

  • @Yangaone-h8j
    @Yangaone-h8j Год назад +1

    Mwaipopo ondoka kwenye dini zawatu rudi kwenye dini yako ya ukristo huko uliko wenyewe wanakwambia umesilim huna uwasilia wadini ya kiislaam njo huku kwenu kwenye uhalisia wako uje tupige mapambiyo🤣🤣🤣🤣🤣

  • @siscleonard5093
    @siscleonard5093 Год назад +2

    Sasa mbona unakashifu tu toa hoja umekaa kabekekabeke

  • @adijarashidswedi6979
    @adijarashidswedi6979 Год назад +1

    Jamani muogopeni Mungu uislamu ndio unataka mlumbane ? Je Sasa hivi dini ni siasa

  • @laikhamis6654
    @laikhamis6654 Год назад +1

    Acha uhuni tunajua Fina kamaniyi nimamruki metumwa kumchafua sheikh kabeke msituletee ukafiri nakutu dhalilisha waislam jichunguze unamapungufu makubwa Wewe tulia

  • @serengetishipping2196
    @serengetishipping2196 Год назад +2

    Inna lillahi wainna ilayhi rajiuun ,

  • @eastafricaqualitychickenfa9916
    @eastafricaqualitychickenfa9916 Год назад +1

    Chanali tukufu unajuwa maana ya utukufu shekhe

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 Год назад +2

    Huyu aliingia kwenye uislam ili uudhoofishe uislam

  • @isacksteven1403
    @isacksteven1403 Год назад +3

    Haya yote kwanini msiyakemee mnapo yaona mbaka muze kugombana ndoo myasem

  • @ZaidSeifSuleiman-q9w
    @ZaidSeifSuleiman-q9w 11 месяцев назад +1

    Mwaipopo huyo jamaa simchezo tafuta sanda kabisa

  • @SunguraLaurent-bq8su
    @SunguraLaurent-bq8su Год назад

    Bakwata Wana shida sana

  • @twahambowe440
    @twahambowe440 Год назад +1

    Acheni kuwadhalilisha wanao fanya harakati ktk dini ya Allah kwa kisingizio cha kurudisha mali za bakwata, kwani hawo wanaozisimamia sio waislam?? Acheni hizo hizo!! Msitake kutufanya tukakosa imani na bakwata yetu enyi mashekh wa mikoa na wilaya na kata. Mnataka kuwarudisha waumini karne ya 18,,,waumini walipokosa imani na chombo chao cha bakwata???

  • @nyahendewanka2634
    @nyahendewanka2634 Год назад +2

    Naona wewe kazi yako kuwashambulia watu personal,hata juzi umemshambulia Sana Chizenga .😣

  • @mbwana-pp7wn
    @mbwana-pp7wn Год назад +1

    Nakkubal shekhe mwaipopo huna baya

  • @KabakuliMpullo-z2k
    @KabakuliMpullo-z2k Год назад +1

    Waislam mnatia aibu,kaeni Shura muambiane ndio Quran nna hadithi za mtume sw Acheni utoto na uhuni

  • @ranman4910
    @ranman4910 Год назад +2

    Matatizo ya waislam yanatutuliwa kwa njia za Quran na sunna. Hii mitandao na izi njaa zenu na tamaa zenu zisituharibie utaratibu wetu ktk dini hii

  • @fatmahfatmah8227
    @fatmahfatmah8227 Год назад +2

    Yaani hata nashanga kumtoa sio haki hio na mwenye makosa ni huyo mwana mke wa dr mwaka asojua dini yy amenda na fujo pale ametarajia nini ilikua nawahishimu sana watu wa TZ Lakini aaaah kwetu Mombasa hakuna kitu kama hicho huyo dr mwaka mganga mungu atamtosha na roho yake chafu yy na huyo mke wake Subhanallah😢

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 Год назад +1

    Mwaipipo Badala ya Kusilimu tu Ulitakiwa Kusoma dini
    ya Lakini Umekimbilia Mambo ya kutangaza dini
    Hali hukusoma Uislam wenyewe
    Kwa kupitia Vitabu vya Asili
    Hata kusoma Qur'an Bado Hujaweza bado Lakini unapenda Kuwasema MASHEIKH Acha huo Ujinga Wako

  • @jichoulimwenguni47
    @jichoulimwenguni47 Год назад +1

    Mr. Waipopo acha kudhalilisha dini, wewe kama unao ushahidi basi sio kulalama kwenye mitandao, nenda panapo husika ulalamikie huko, kulalama kwenye mitandao kwa wasomi unaonekana njaa ya utawala inakusumbua, debe tupu huvuma. ⛹️⛹️⛹️⛹️⛹️⛹️

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 Год назад +2

    Hawa akina mwaipopo wamepigwa stop mwanza ndo hasira zote hizo

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 Год назад +2

    Haibu zako zikuzuie kutaja haibu za wenzako.Upuuzi mtupu.

    • @BahatiMakoga
      @BahatiMakoga 11 месяцев назад

      Mwaipopo hujitambui ludi kwayesu anakupenda sana

  • @wardakangezi6942
    @wardakangezi6942 Год назад +1

    Sio haki kabsaa

  • @laikhamis6654
    @laikhamis6654 Год назад +2

    Wewe nenda uko kafiri tuu wewe hunasifa yakuwa Ktk uislam

  • @ZaidSeifSuleiman-q9w
    @ZaidSeifSuleiman-q9w 11 месяцев назад +1

    Mwalimu wakuchinja mbuzi nakutisha watu

  • @rodsconehenry4249
    @rodsconehenry4249 Год назад +1

    mi mkrist ila ni rahis kujua mzungmzaji ana genge lililomtuma na wanachuk sio warekebishaj

  • @yusufbaraka7762
    @yusufbaraka7762 Год назад +1

    Mwaipopo umejishushia heshima hiyo ndiofaida yakukurupuka wewe sindio uliowatuka akinarusagnya nakumpendelea aleluya tunamashaka nawewe .atukuelewi sjui tukuite abujahariii

    • @issaisandeko6217
      @issaisandeko6217 Год назад

      Mna mashaka wewe na nani? usituingize waislam ktk fitna hii

  • @saidisalumu103
    @saidisalumu103 Год назад +3

    Jibu hoja acha kashfa

  • @waytvtz2549
    @waytvtz2549 Год назад +1

    Mwaipopo ni mnafiki na huyu asipoangaliwa unafiki aliokuwa nao akiwa mkristo uwe Makin utakuja kujulikana

  • @FatmaMkomassa
    @FatmaMkomassa Год назад

    Kweli kabisa

  • @hamischilinga6706
    @hamischilinga6706 Год назад +1

    Nadhani baada ya mufti kutengua uteuzi wa sheikh wa mkoa dar umejua nani ni fatani mnafiki na mkorofi

  • @ibrahimmahidaya7124
    @ibrahimmahidaya7124 Год назад +1

    Mtume (S. A. W) anasema: Unapotaka kutaja aibu za mwenzako kumbuka kwanza aibu zako.
    Unavyohisi wasiokuwa waislam kupitia hutuba yako hiyo wanawatafsiri vp viongozi wakiislam na UISLAM kwa ujumla?
    Je kama unatuambia huyo hajasoma je aliemteua halijui hilo au unajua vigezo vilivyompelekea mufti kumteua? Kumbuka hapo unamdhalilisha Hadi mufti kwa tamaa za KUTAKA CHEO.

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 Год назад

      Kiongozi ni binaadamu na binaadamu hajakamilika waangalie Qur-an na uisilam ndio vilivyokamilika.

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 Год назад +1

    Matatizo ya uislamu nkwamba turejee kwenye kitabu na sunnaa lakini Leo bakwata nijinamizi lakuwakandamiza waislamu bakwata ni mchongo wa rais wakwanza, waislamu tujitambue Hy hayana mashiko kwanini iwe Leo ayaseme,

  • @alhamdulillahalhamdulillah7529
    @alhamdulillahalhamdulillah7529 Год назад +1

    Kwani huyu vipi jamani??

    • @sistymbombo1616
      @sistymbombo1616 Год назад

      Huyo amekuja kuwavuga jipangeni anasema yup mmoja

  • @jumanassoro1552
    @jumanassoro1552 Год назад +1

    Sheikh anajichubua duu mwaipopo unamawe

  • @sskondopoleani9616
    @sskondopoleani9616 Год назад +1

    Sheikh huu ni UNAFIKI wa hali ya juu, Mbona haya hukuyasema kabla leo?? Jamani MNAPOTEZA SIFA YA U-ISLAM. Masheikh mumesoma DINI au mumesoma Quran??? Kweli KUADHIRIANA na UISLAM??

  • @tabibumtumbuka9503
    @tabibumtumbuka9503 Год назад +1

    nyinyi munao mlaumu munakifanya nini katka dini yanimwaipopo anaeleza yaliomo nawewe muislam toalarasa lako

  • @husseingabo5497
    @husseingabo5497 Год назад +1

    mwaipopo wafundisheni hao wasiojielewa

  • @fatumamsellem7622
    @fatumamsellem7622 Год назад

    Mwagonbana mtandaoni
    Na kuabishana
    Si haki
    Twasikiza tu
    Hatuna uwamuzi wakuwapatatisha
    Wala kusawazisha kwa mwenye kosa
    Mnaabishana tu

  • @ibrahimuhincha1457
    @ibrahimuhincha1457 Год назад +1

    Tumbua hao mafisadi wanaturudisha nyuma

  • @SHAABANIHASSAN-fc5eh
    @SHAABANIHASSAN-fc5eh Год назад +1

  • @jumanassoro1552
    @jumanassoro1552 Год назад +1

    Tumbua majipu mwaipopo

  • @mrishobhaya8965
    @mrishobhaya8965 Год назад +2

    Huyu ni mtu ambaye kajitia fitna kupambana na walimu na masheikh inawezekana kaja na kazi maharumu ya kufitinisha waislamu.
    Yeye na majini sharifu hawa maftina

    • @husseingabo5497
      @husseingabo5497 Год назад

      we mjinga sana hawa tunawakubali wako sahihi mwaipopo wafundisheni hao wakina kabeke pimbi wewe

  • @Oscar-qs7tn
    @Oscar-qs7tn Год назад +1

    Dokoment ni makaratasi au!!? Mie naona unatuonyesha makaratasi Tu. Embu kuen na akili wewe jifunze maana ya ushahid wa document, na ujifunze jins ya kutoa ushahid siokushikashika makaratasi

  • @barakamsabaha8141
    @barakamsabaha8141 Год назад +1

    Eti nakupa miez sita we Kama nani

  • @rahimsurtan7188
    @rahimsurtan7188 Год назад

    Mnakaa kuidhalilisha dini kutwa malumbano kwenye media, ote nyie finnar jehannam

  • @mariammjema4901
    @mariammjema4901 Год назад +1

    🔥Huyu baba ni moto mungu akusamehe mbona hukusema kabura vp umemwamisha docta mwaka au umechemka wewe hufay umemdhalilisha doct sasa umeamia kwingine unataka uongozi kwa nguvu

  • @laikhamis6654
    @laikhamis6654 Год назад +1

    Wewe nenda uko kafiri tuu wewe hunasifa yakuwa Ktk uislam