MWAIPOPOO AMUOMBA MUFTI AMFUKUZE SHEKH WA MKOA WA MWANZA AMPONGEZA SHK WALID, SHEKH MAUBA WA MWANZA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024

Комментарии • 11

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Год назад

    Mtihani huu😢 Allah atuongoze waislamu wote Duniani atutie mapenzi ktk nasfi zetu tuipende Dini yetu na kuithamini na atujalie tuipe mgongo Dunia na tuijali akhera na kuisamini Amiini Rabbil Alaamin.

  • @mchagagaspar6649
    @mchagagaspar6649 Год назад

    NIMEKUPENDA Ustadh Mwaipopo leo utasema unaisoma sana Sera za mitumi Allah akulipe kheri

  • @jumakhamis226
    @jumakhamis226 Год назад

    Jazaka Allah khaira shekh

  • @jamalnaheka1131
    @jamalnaheka1131 Год назад

    jazakar kheir sheikh mwaipopo.

  • @janekapinga6793
    @janekapinga6793 Год назад

    Wewe nae lugha unayotumia pia sio sawa kbs kama kweli wewe ni mtu wa Mungu kweli hiyo lugha unayotumia hapana kwa kweli

  • @jaanjaan111
    @jaanjaan111 Год назад

    Shehe ubwabwa shida sana

  • @mkingajuliuas9673
    @mkingajuliuas9673 Год назад

    Sisi tuomba mwendelee kufurugana kwani niye nikawaida yenu

  • @AllyAhmad-zg2yp
    @AllyAhmad-zg2yp Год назад +1

    Waislam waiangalie sana bakwata ndio watasababisha amani ipotee, wapo kwaajili ya matumbo yao

    • @mybabyarchive2104
      @mybabyarchive2104 Год назад

      Hao jamaa walifanya vurugu miaka 10 iliyopita wakauteka msikiti wa Bakwata sasa bakwata kuidai misikiti yao shida iko wapi? Mi nampongeza sana sheikh Kabeke mawahabi jengeni misikiti yenu ili msidahalilike

    • @anwaraliakrabi554
      @anwaraliakrabi554 Год назад

      ​@@mybabyarchive2104sio kweli muongo mkubwa wewe hujui chochote miaka kumi nani alieongoza hayo mapinduzi?

    • @mybabyarchive2104
      @mybabyarchive2104 Год назад

      @@anwaraliakrabi554 Mawahabi ndio walioongoza mapinduzi na walipora misikiti mingi tu hapa Tz na mwanza misikiti mingi tu waliiteka ikiwemo msikiti wa Ijumaa nk