Mtihani huu😢 Allah atuongoze waislamu wote Duniani atutie mapenzi ktk nasfi zetu tuipende Dini yetu na kuithamini na atujalie tuipe mgongo Dunia na tuijali akhera na kuisamini Amiini Rabbil Alaamin.
Hao jamaa walifanya vurugu miaka 10 iliyopita wakauteka msikiti wa Bakwata sasa bakwata kuidai misikiti yao shida iko wapi? Mi nampongeza sana sheikh Kabeke mawahabi jengeni misikiti yenu ili msidahalilike
@@anwaraliakrabi554 Mawahabi ndio walioongoza mapinduzi na walipora misikiti mingi tu hapa Tz na mwanza misikiti mingi tu waliiteka ikiwemo msikiti wa Ijumaa nk
Mtihani huu😢 Allah atuongoze waislamu wote Duniani atutie mapenzi ktk nasfi zetu tuipende Dini yetu na kuithamini na atujalie tuipe mgongo Dunia na tuijali akhera na kuisamini Amiini Rabbil Alaamin.
NIMEKUPENDA Ustadh Mwaipopo leo utasema unaisoma sana Sera za mitumi Allah akulipe kheri
Jazaka Allah khaira shekh
jazakar kheir sheikh mwaipopo.
Wewe nae lugha unayotumia pia sio sawa kbs kama kweli wewe ni mtu wa Mungu kweli hiyo lugha unayotumia hapana kwa kweli
Shehe ubwabwa shida sana
Sisi tuomba mwendelee kufurugana kwani niye nikawaida yenu
Waislam waiangalie sana bakwata ndio watasababisha amani ipotee, wapo kwaajili ya matumbo yao
Hao jamaa walifanya vurugu miaka 10 iliyopita wakauteka msikiti wa Bakwata sasa bakwata kuidai misikiti yao shida iko wapi? Mi nampongeza sana sheikh Kabeke mawahabi jengeni misikiti yenu ili msidahalilike
@@mybabyarchive2104sio kweli muongo mkubwa wewe hujui chochote miaka kumi nani alieongoza hayo mapinduzi?
@@anwaraliakrabi554 Mawahabi ndio walioongoza mapinduzi na walipora misikiti mingi tu hapa Tz na mwanza misikiti mingi tu waliiteka ikiwemo msikiti wa Ijumaa nk