Mm nilianza kwenda kwenye shughur ya x wangu na kweli kaoa yan baba wa mtoto wangu ndugu zake wakaanza kunizodoa alaf baadae nikaenda chooni nikawa nakojoa Dam nimeogopa sna shekhe sikulala.usiku alaf n saa 8 usiku
Shukran nimeelewa nilienda kufanya interview kwenye campuni ya Mikopo nikakosa lkn usiku huo nikaota natokwa na damu naona Mungu alikua ananionesha kua hiyo mali niliyokua naipambania ni ya haramu maani inajihusisha na riba Alhamdulillah
Asalam alaikum ustadh,,mm nmeota nko katika kikundi cha wanawake ilikuwa tuna harakati ya nafasi ya kazi,,lkn walipokuwa wakiita majina za nafasi kama twasubiri nkaamzwa ktoka damu za puani,akaondoka apo kuelekeya inchez zanitiririka,,wenzangu wote walinifata kunisaidia,,
Assalamu Alaikum me ni mjamzito lakn nimeota natokwa na damu kama na breed nikaenda choon nikachuchumaha hkawa bado hnatoka halafu hapo choon wakaja watoto wengi wakiume na wakike nikawa nawafukuza wakiume nikawaacha wakike sasa sijuh hnamaana gan naomba shehe nisaidie nakaa na was was plz
MashaAllah .shukran sheikh
Mm nilianza kwenda kwenye shughur ya x wangu na kweli kaoa yan baba wa mtoto wangu ndugu zake wakaanza kunizodoa alaf baadae nikaenda chooni nikawa nakojoa Dam nimeogopa sna shekhe sikulala.usiku alaf n saa 8 usiku
Shek asante Sana
Shekhe mimi nimeota nimeumua ulimi ukaanza kutoa damu
Shekh m nimemuota mama yng anatoka damu puani
Shukran nimeelewa nilienda kufanya interview kwenye campuni ya Mikopo nikakosa lkn usiku huo nikaota natokwa na damu naona Mungu alikua ananionesha kua hiyo mali niliyokua naipambania ni ya haramu maani inajihusisha na riba Alhamdulillah
Asalam alaikum ustadh,,mm nmeota nko katika kikundi cha wanawake ilikuwa tuna harakati ya nafasi ya kazi,,lkn walipokuwa wakiita majina za nafasi kama twasubiri nkaamzwa ktoka damu za puani,akaondoka apo kuelekeya inchez zanitiririka,,wenzangu wote walinifata kunisaidia,,
Nimeota nimemkata dada yangu kisuu dam zikanimwagikia kwenye mikono yangu lkn dada hakukasilika akaishika mikono yangu nikashituka usingizini
Sawa shekh
Ukitapika damu macna yake nini
Assalamu Alaikum me ni mjamzito lakn nimeota natokwa na damu kama na breed nikaenda choon nikachuchumaha hkawa bado hnatoka halafu hapo choon wakaja watoto wengi wakiume na wakike nikawa nawafukuza wakiume nikawaacha wakike sasa sijuh hnamaana gan naomba shehe nisaidie nakaa na was was plz
Vp dada ulijifingua salama
Mm nimeota damu chooni nasio mm iliyonitoka aliyekuwa mumewangu
Nimeota mwanangu anatokwa na damu kitovuni afu Amalia sanaaaa cjaelewa maana yake!
Nimeota nimekaa kwenye kiti cha kifalme alafu watu wamesimama pembeni wengi wananimwagia dam
Shekh me niliota damu zinatirika miguun mwangu na nilikuwa katikati ya kundi la watu tafathar apo me ntaona nin
Km mm jmn sielew
Kama Mimi 😳
Shehe mm nimeota namnyonyesha mtoto damu
Nimeota nimemaliza kusex alafu nikashuka nikaona hedhi maana yake nini
Ukiota unazaa damu shekhe inamaanisha nin
Niliota mum angu amemwanga damu kwenye kitambaa cha white
Vp ukiota unatapika damu Kama mabonge bonge iv??
Ukiota unazaa damu shekh inamaanish nn
Hata mim nimeota
Ukiota mtu kaanguka afu kweny kichwa damu zikaanza kutoka kwa kasi ya maji ya bomba kichwani