USIOGOPE PALE UNAPOONA DAMU NDOTONI | HII NDIYO MAANA YAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • #RiyadhTvZnz #Zanzibar #TafsirNdoto

Комментарии • 26

  • @جنيتكينيا
    @جنيتكينيا 3 года назад

    MashaAllah .shukran sheikh

  • @dhhccfgui9400
    @dhhccfgui9400 Месяц назад

    Mm nilianza kwenda kwenye shughur ya x wangu na kweli kaoa yan baba wa mtoto wangu ndugu zake wakaanza kunizodoa alaf baadae nikaenda chooni nikawa nakojoa Dam nimeogopa sna shekhe sikulala.usiku alaf n saa 8 usiku

  • @faudhiahussen7320
    @faudhiahussen7320 3 года назад

    Shek asante Sana

  • @RhodaMwampagama
    @RhodaMwampagama 10 дней назад

    Shekhe mimi nimeota nimeumua ulimi ukaanza kutoa damu

  • @AllyHamadi-kh7hz
    @AllyHamadi-kh7hz Год назад

    Shekh m nimemuota mama yng anatoka damu puani

  • @HamisaRwambogo
    @HamisaRwambogo 6 месяцев назад

    Shukran nimeelewa nilienda kufanya interview kwenye campuni ya Mikopo nikakosa lkn usiku huo nikaota natokwa na damu naona Mungu alikua ananionesha kua hiyo mali niliyokua naipambania ni ya haramu maani inajihusisha na riba Alhamdulillah

  • @SakinamohammedSakina
    @SakinamohammedSakina 3 месяца назад

    Asalam alaikum ustadh,,mm nmeota nko katika kikundi cha wanawake ilikuwa tuna harakati ya nafasi ya kazi,,lkn walipokuwa wakiita majina za nafasi kama twasubiri nkaamzwa ktoka damu za puani,akaondoka apo kuelekeya inchez zanitiririka,,wenzangu wote walinifata kunisaidia,,

  • @malaikaspriani4199
    @malaikaspriani4199 2 года назад

    Nimeota nimemkata dada yangu kisuu dam zikanimwagikia kwenye mikono yangu lkn dada hakukasilika akaishika mikono yangu nikashituka usingizini

  • @hamisimsangi8274
    @hamisimsangi8274 3 года назад

    Sawa shekh

  • @Mamabrayan-f2o
    @Mamabrayan-f2o Месяц назад

    Assalamu Alaikum me ni mjamzito lakn nimeota natokwa na damu kama na breed nikaenda choon nikachuchumaha hkawa bado hnatoka halafu hapo choon wakaja watoto wengi wakiume na wakike nikawa nawafukuza wakiume nikawaacha wakike sasa sijuh hnamaana gan naomba shehe nisaidie nakaa na was was plz

  • @NassraAbdallha
    @NassraAbdallha 4 месяца назад

    Mm nimeota damu chooni nasio mm iliyonitoka aliyekuwa mumewangu

  • @dorlinraphael9104
    @dorlinraphael9104 2 года назад

    Nimeota mwanangu anatokwa na damu kitovuni afu Amalia sanaaaa cjaelewa maana yake!

  • @groliarafaeli7232
    @groliarafaeli7232 Год назад

    Nimeota nimekaa kwenye kiti cha kifalme alafu watu wamesimama pembeni wengi wananimwagia dam

  • @joanithaedsoni6987
    @joanithaedsoni6987 2 года назад +1

    Shekh me niliota damu zinatirika miguun mwangu na nilikuwa katikati ya kundi la watu tafathar apo me ntaona nin

  • @hafidhmilinga7453
    @hafidhmilinga7453 Год назад

    Shehe mm nimeota namnyonyesha mtoto damu

  • @ShinaidhaHussen-tl8ds
    @ShinaidhaHussen-tl8ds 11 месяцев назад +2

    Nimeota nimemaliza kusex alafu nikashuka nikaona hedhi maana yake nini

  • @MuasitiAboBakri-ew5mu
    @MuasitiAboBakri-ew5mu 2 месяца назад

    Ukiota unazaa damu shekhe inamaanisha nin

  • @rihanahenaga
    @rihanahenaga Год назад

    Niliota mum angu amemwanga damu kwenye kitambaa cha white

  • @husnatybaby2413
    @husnatybaby2413 Год назад

    Vp ukiota unatapika damu Kama mabonge bonge iv??

  • @ReymarRaisa
    @ReymarRaisa 8 месяцев назад +1

    Ukiota unazaa damu shekh inamaanish nn

  • @MwajumaKondo-ie6kn
    @MwajumaKondo-ie6kn 2 месяца назад

    Ukiota mtu kaanguka afu kweny kichwa damu zikaanza kutoka kwa kasi ya maji ya bomba kichwani