TUNAJIONA WASTAARABU NA WASOMI MPAKA TUNASINGIZIA ZAMA MABALAA YALIVYOZIDI. USTADHI , NYUNDO.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 сен 2021

Комментарии • 35

  • @mbwanarajab4756
    @mbwanarajab4756 2 года назад +14

    Allha akupe nuru kwenye kaburi lako
    Mimi nilikufuatilia na mawaidha yako yalinijenga mno na siku nilipoona taarifa ya kifo chako sikuweza kula na kupata mfadhaiko mkubwa nikikumbuka mawaidha yako ya kila ijumaa...
    Mungu akuzidishie kila la heri kaburini mwako

  • @masoudhassanghege9530
    @masoudhassanghege9530 2 года назад +14

    Allah akuepushe na adhabu kaburi inshalla

  • @user-qy5bi3gg9w
    @user-qy5bi3gg9w 11 месяцев назад +3

    Allaaah akujalie kheri na baraka katika maisha yako ya kaburin shekh wangu allaah hum'maa amiiin

  • @sabiraadam8762
    @sabiraadam8762 2 года назад +4

    Allah akulaze mahala pema. Mawaidha yako napenda sana kusikiliza na umewagombania sana kuwaokoa vijana. Allah akulaze mahala pema.

  • @aishafarah2456
    @aishafarah2456 Год назад +2

    Allah akutilie nuru akuraham Sheikh wetu kipenzi

  • @barakankoma55
    @barakankoma55 Год назад +1

    Mungu amjalie pepo kubwa sheikh wetu

  • @mohamedswaleh6778
    @mohamedswaleh6778 Год назад +2

    Allah akupe makaz mema

  • @ruu6592
    @ruu6592 Год назад +2

    Mashallah

  • @khalidmyaule6187
    @khalidmyaule6187 8 месяцев назад

    Mwenyezi Mungu akurehumu sheikh wangu.
    Si wote wanaosilikiliza wataelewa.
    Wayahudi wa kihistoria waliomkana hata Yesu na ujue hakuna kuingia kwa dini ya kiyahudu unless uwe myahudi.
    Sayansi ya video ilianza enzi za Mtume Mohammad PBUH.

  • @swalihanafula2630
    @swalihanafula2630 2 года назад +5

    Mawaidha mazuri sana

  • @ramadhanbaraka6474
    @ramadhanbaraka6474 2 года назад +2

    Mngu akurehemu sheikh nyundo.

  • @tatutatu1570
    @tatutatu1570 2 года назад +2

    Allah akupe kauli thabiti shehe wetu

  • @saviourramso4339
    @saviourramso4339 Год назад +1

    Allahumma hufil llahu walahamhu wasken hufiljanna

  • @swalihanafula2630
    @swalihanafula2630 2 года назад +10

    Masha Allah mungu ampe jana firidausi ya rabi

  • @Dysmedia254
    @Dysmedia254 2 года назад +4

    إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ

  • @is-hakaalkindi9220
    @is-hakaalkindi9220 Год назад +1

    اللهم اغفرله ورحمه🌹

  • @mvugwamanajeem5109
    @mvugwamanajeem5109 2 года назад +2

    Allah amrehem

  • @user-gg5fb8bp1e
    @user-gg5fb8bp1e 5 месяцев назад

    mashaalah

  • @FatmaHasuman
    @FatmaHasuman 4 месяца назад

    Allah akupe kauli sabit

  • @ramaaman4020
    @ramaaman4020 11 месяцев назад

    Ukwelimtupu Shekh shukran

  • @shamsaalrahbi5573
    @shamsaalrahbi5573 2 года назад +3

    Dah 😢😢😢😢

  • @Jaydenkulali
    @Jaydenkulali Год назад

    habari! Mimi ni Yusuf, aka Joseph! Nimeipenda comedy yako. mazungumzo yenu ya kidini yanachekesha sana….inanifurahisha sana. ikiwa unachosema ni kweli au si kweli, sio wito wangu kuhukumu kwa sababu nina ukweli wangu. baada ya kusema hayo, nataka nikupe changamoto, katika mazungumzo yako ya awali, umewadhalilisha wasio Waislamu kwa kuwaita maswahara na wayahudi. Unauonya Ummah wa Kiislam usiwaige hao makafir (wasio waumini) kwa hiyo hoja yangu ni kwamba mitandao yote ya kijamii unayotumia kutengeneza pesa katika mazungumzo yako ya dini inamilikiwa na kuendeshwa na wayahudi na maswahara….hivyo kwanini unaacha kutumia majukwaa yote yanayomilikiwa na Wayahudi? unapenda utamaduni wao na mtindo wao wa maisha lakini hutaki kukiri hadharani, kwa nini?

  • @rashidjuma1969
    @rashidjuma1969 2 года назад +2

    Allahuma ghufirllahu warhamahuu filjanbah mungu mpe wepesi mjawako huyuuu

  • @aliramadhan4750
    @aliramadhan4750 6 месяцев назад

    Asalamualaikum?? Naomba Mwenye Link ya shehe nyundo akizungumzia wanawake Kuvaa Help me Kichwani

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Год назад

    MWANAMKE ALOJIKWAPUA,😄