Mashaallah sheikh shukran , mm siishiw kuangalia mawaidha haya nayakariri na kuyafkisha kwa waislam wenzangu Allah atulipe kher na mwisho mwema aaaaamiiiiin
Ya ALLAH, Ya RAHMAAN,Ya RAHIIM, mbariki Sheikh, mashaAllah, very true, can't stop listening to him, BaarakAllahu feek, nduguyangu for sharing this strong lecture about the Salah and the Grave. SubhanAllah.
MashaAllah, Sheikh Suleman, very good lecture about those who don't pray, InshaAllah we are trying our best, Ya Allah (Subhanahu wa Ta'aala Azzabwajjal) help us with our Salah, BaarakAllahu feek for sharing.
@Fatuma Amurani, Insha Allah, keep up your salah, na kila unapo swali waombee wazazi wako na Ummah wote wa Kislamu ili wafwate njia njema ya Kislamu (Kitabu Karim cha Al-Qur'an Al-Kareem, na Sunnah ya Our Beloved Prophet Mohammad Peace Be Upon Him) Kila isku zidhisha kuomba Mola wetu/wako akupe na akuzidhishiye nguvu ya dhini na afia, na Atuepushe na kila la shari, hapa dhuniani na kule akherah. Allahumma amiin. Ya Allah, Ya Rahmaan Ya Rahiim. Wa Salaam aleykum waRahmatullahi waBarakaatuh
Mimi cjui hatima yangu Eee Allah ninakuomba Uniongoze katika matendo mema Mimi na kizazi changu na ndugu zangu wote waislam tuwe wenye matendo mazuri na wenye kusimamisha Swala 5
Swalini jamani swalini, kifo is mbali nduguzangu, na wasaidiyeni wale ambao hawajuwi kusawali, wafundhisheni ku swali. Samahani kwa Kiswahili changu :) , BaarakAllahu feek for sharing.
As Salaam aleykum waRahmatullahi waBarakaatuh, MashaAllah, tafadali sana weka the English translation, BaarakAllahu feek for sharing. Wa Salaam aleykum waRahmatullahi waBarakaatuh ,
Nyoka huyo wa kaburini ni nyoka wa kutisha na mbaya Sana, Ya Rabb, Ya Rahmaan, Ya Rahiim, tuepushane na huyo nyoka hatari kweli, hamna mfano wake. SUBHAN ALLAH!
Subhan Allah, Kweli Kabisa, May Allah (Subhanahu wa Ta'aala Azza Wajjal) reward you all the best in this world and in the hereafter, Baarak Allahu feekum for sharing,
Subhanallah enyi ndugu zangu waislam tunamtihan mkubwa mbele ya Allah tusimsahau Allah tufanye ibada na tufate Yale aloamrisha na tuache Yale alokataza allahu akbaru
SUBHANALLAH! Oh ALLAH(s.a) FORGIVE US FROM ALL OUR PAST SINS AND THOSE WE MAY DO IN FUTURE. INSHAALLAH! SO THAT YOU MAY GRANT IS YOUR JANNAH WITHOUT ACCOUNTABILITY
Ya Allah, Ya Rahmaan Ya Rahiim, tuepushe na Adhabu ya hii dhiniya, na ya kaburini, na siku ya Qiyamah, . The real breaking News will be on the Judgment day.
Subhanallah mwenyezi mungu akujalie. je utapata nguvu aje japokuwa unasili we mwenye katika family ya watu 6 na unaweza kujikinga manena yao kivipi? na japokuwa muzazi nimwislam lakin ha ku support kwa sala yako.
Amin yaarambi mungu atuwezeshe swala kwa wkt wake ustadh
Mashaallah sheikh shukran , mm siishiw kuangalia mawaidha haya nayakariri na kuyafkisha kwa waislam wenzangu Allah atulipe kher na mwisho mwema aaaaamiiiiin
Ya ALLAH, Ya RAHMAAN,Ya RAHIIM, mbariki Sheikh, mashaAllah, very true, can't stop listening to him, BaarakAllahu feek, nduguyangu for sharing this strong lecture about the Salah and the Grave. SubhanAllah.
Allah nijalie na umjaliee shekh HASHIM MBONDE na wengine wote tusiwe wenye kuacha swala.
Amin
Namshukuru MUNGU mawaidha haya ndo aliye nifanya mimi nimeanza swalah tano ALLAH atakulipa Inshaallah
Johari Kashindye Allah akudumishe ktk swala 5
Aaamin rabbil alaamiin
Mwenyezi mungu akupe ekima ktk maisha Yako shehe mbonde mawaidha yanatufundisha mema
Jazaaka lahu haira sheikh ALLAH akujaalie umri urefu wenye kila la kher katika dunia na Akhera na akulinde na familia yako.
Sibhannallah, ya Allah nijaalie niwe nimwenye kutimiza swali tano na uwe ni mwenye kuzikubali.
ya Alla tujalie tuwena mwishomwema mungu akujalie shekh
Yarabill Allamin tujaalie mwisho mwema Amin
Ya Allah, tujalie mwisho mwema katika ulimwengu huu.
+Rashid Orlando AAMIN
We yarrabiii tupee rehma zako
@@jumaiddi3422 ju moomoo moo
Tunakusiklza vizurii sheikh yaani mada umeitendea haki haichoshi kusikiliza mashaa Allah tabalaka
mwenyezi mungu atupe nguvu yakusali hadi mwisho wetu yarabi
No, Mungu atusamehe bana. Hawezi kutuumba na udhaifu wote huu halafu tena yeye mwenyewe awe katili kiasi hiki!
Mwenyezi Mungu akulipe dhahabu kama mlima Kwa mawaidha yako
Mungu akufanyie wepesi inshaallah bila ya Allha kutia mkono wake cc hatuwezi
Ya allh ya allah tujalie tuwe ni wenye kusimamisha swala yarabi na uzipokee swala zetu allahuma amin
MashaAllah, Sheikh Suleman, very good lecture about those who don't pray, InshaAllah we are trying our best, Ya Allah (Subhanahu wa Ta'aala Azzabwajjal) help us with our Salah, BaarakAllahu feek for sharing.
Mungu atupe mwisho mwema
Sala
AL HABIB ALLAH S. W AKUPE UMRI MREFU UZIDI KUTUPA NASAHA ALLAHUMMA AAMIN YAA RABB. SWALEH AHMED KISAUNI MSA. SHUKRAN.
Anadhamini mimis Amana ya Allah ipo wazi Subhanallah 💃
subhanalah mawaidha ya kutetemesha nyoyo,touching one keep it up bro
Ewe Mola tujaalie njia iliyo nyooka Ameen
A prayer for you from the core of my heart May Allah be with you sheikh Hashim
ya allah tujaalie tuwe miongoni wenye kusimsmisha sala , pamoja n kutukubalia sala zetu na utujaalie wetu watu wema fil janat ameeeen😢😢😢😢
Mashalaa mwenyez mungu akuongezee uwezo
yarabi tuzindue tuwe wenye kutenda mema na mwisho wetu uwe mwema inshallah
ameeen
Allahuma amin
mungu atusameh na atufanyie nafsi zetu kuwa nyepec
.mashallwa mungu akubarok
ALLAH akuzidishie kila la kher sheikh wetu na akulinde na kizaz chako
Ya Allah, nijaalie niwe katika waja wema mbele yako na mtume wetu Muhammad (S. a. W).
Acha ubinafs sheikh atujaalie sote
@@aminasuleiman7590 Amin.
subhannallah haya mawaidha yanatingisha nyoyo. Allah tuepushe na adhabu zako yarrab!!
AMEEN...InshallAh
ALLAH tujalie mwisho mwema waislam wote duniani Inshaallah
Aaaaamiiiiin
ya Allah tuongoze ktk njia iliyo nyooka
Mawaidha ya zamani ila yanaishi , ALHAMDULILLAH
Kwenye swala la mawaidha hakuna ya zamani shekhe wangu japo hata kama yalilekodiwa zamani .
Mawaidha ni sawa na Qur'an,hayazeeki
acha kukufuru baba mawaidha hakuna ya zamani
Ya Allah ya Allah tujalie tuwe ni wenye kusimamisha swala ya rabi na uzipokee swala zetu allahuma amin
Mashallah nimepata funzo Allah atuepushie adhabu hizo
Mola atudumishe katika swala tano Ameen
Mashaalah shekhe hashimu
Enyi ndugu zangu wa kislamu tumche Allah na mtume muhamadi s.w.s
mungu awape heri za dunian na ahera taasisi yetu ya rAudha
YA ALLAH ,Ya RAHMAAN , Ya RAIIM ,emwenye zimungu tunakuomba utusamee YARAIIM ,
Jazaaka lahu haira sheikh
Mungu jaaliye pepo kubwa
@Fatuma Amurani, Insha Allah, keep up your salah, na kila unapo swali waombee wazazi wako na Ummah wote wa Kislamu ili wafwate njia njema ya Kislamu (Kitabu Karim cha Al-Qur'an Al-Kareem, na Sunnah ya Our Beloved Prophet Mohammad Peace Be Upon Him) Kila isku zidhisha kuomba Mola wetu/wako akupe na akuzidhishiye nguvu ya dhini na afia, na Atuepushe na kila la shari, hapa dhuniani na kule akherah. Allahumma amiin. Ya Allah, Ya Rahmaan Ya Rahiim. Wa Salaam aleykum waRahmatullahi waBarakaatuh
Amin yarabill Allamin
Allah ni great thanks 😊
Tumuombe Allah atujaaliye hii Dunia isiwe katika mioyo yetu
Atujaali hii Dunia iwe katika mikono yetu
SubhanAllah Alhamdulillah MashaAllah mawaidha ya sisimua tunaomba mu aplod kwa wingoi mawaidha ya sheikh huyu ya sisimua moyo
Ya Allah tuongoze ktk njia iliyonyooka na utupe mwisho mwema
+Khamiar Real AAMIN
Mimi cjui hatima yangu Eee Allah ninakuomba Uniongoze katika matendo mema Mimi na kizazi changu na ndugu zangu wote waislam tuwe wenye matendo mazuri na wenye kusimamisha Swala 5
Mashaa Allah jazakallah sheikh Allh akuhifadhi
Swalini jamani swalini, kifo is mbali nduguzangu, na wasaidiyeni wale ambao hawajuwi kusawali, wafundhisheni ku swali. Samahani kwa Kiswahili changu :) , BaarakAllahu feek for sharing.
Allah akubariki mashahallah kwa mafundisho mema
As Salaam aleykum waRahmatullahi waBarakaatuh, MashaAllah, tafadali sana weka the English translation, BaarakAllahu feek for sharing. Wa Salaam aleykum waRahmatullahi waBarakaatuh ,
WeBorn2DieAnyTime allhakbar.mawadha.ni.mazur.sanaa.amina
yaallahu tuzindue wajawako
Allah akupe pepo inshaallah
Nyoka huyo wa kaburini ni nyoka wa kutisha na mbaya Sana, Ya Rabb, Ya Rahmaan, Ya Rahiim, tuepushane na huyo nyoka hatari kweli, hamna mfano wake. SUBHAN ALLAH!
Amin insha allah
We umemuona wapi? Mungu ana huruma bwana. Yaani usiposali tu ndiyo akuadhibu hivyo? Hapa kuna mahali tunapigwa.
yaallwa tukubalie sal zet tusamehe mako's yet type mwish mwm inshaallhw
Subhan Allah, Kweli Kabisa, May Allah (Subhanahu wa Ta'aala Azza Wajjal) reward you all the best in this world and in the hereafter, Baarak Allahu feekum for sharing,
Allah atufanyie wepesi
allahumma jaalna manal tawaabina wajaalna minal mutatwaahirina wajaalna min ibaadika swaalihin.
Mungu aku bariki iman niko Kinshasa lakini ii kumbusho ina ni ngusa ni Rudi ku swali
Yaa Allah tujaalie mwisho mwema In sha Allah
+husnat gamaah AAMIN
husnat gamaah amin
Ishallahh
Mansuri Ishallah. =
Allahu Akbar
ya allah tujalie mwisho mwema na atuongoze katika njia iliyokuwa nzuri wallah haya mawaidha nalia mm maana nikiyasikiliza najisikia sijui tu yaan
Allah tujalie mwisho mwema!!
Rekhema na aman I we juu ya shekhe hashimu mbonde
Subhanallah enyi ndugu zangu waislam tunamtihan mkubwa mbele ya Allah tusimsahau Allah tufanye ibada na tufate Yale aloamrisha na tuache Yale alokataza allahu akbaru
Allah tusamehe makosa yetu Allah tujaze imani ktk nafc zetu
ameen
Allahuma Amiin yaraby
yaallab tujalie yasitufike haya
allah atusameh makosa yetu iwe niwenye kutubu toba ya kwel
Allahumma jaalna husnal hatwima
Amiin
Tujitahidini Kwa swalah inshaallah
SUBHANALLAH! Oh ALLAH(s.a) FORGIVE US FROM ALL OUR PAST SINS AND THOSE WE MAY DO IN FUTURE. INSHAALLAH! SO THAT YOU MAY GRANT IS YOUR JANNAH WITHOUT ACCOUNTABILITY
Maashaaalah yarab jaariya
Yaa allah tuongoze ktk njia ilionyoka
Ya ALLAH tujalie mwisho mwema
Mungu tunasulu na azabu zako
Ya Allah, Ya Rahmaan Ya Rahiim, tuepushe na Adhabu ya hii dhiniya, na ya kaburini, na siku ya Qiyamah, . The real breaking News will be on the Judgment day.
Allah tunusuru na adhabu zako
Subhana Allah Allah atupe husnul khatimah
i real like this site and when i open up am just feal like i am in heaven.
yaa rabbi tujalie mwisho mwema...
+Rashid Slmn AAMIN
faudhia shaban in Sha llah
Kutoroka mvuwa na kuingiya majiini , hiyo Kali Kabisa, LOL. More lectures from Sheikh Suleman.
Huyu ustadhi anaitwa nani
Ya Allah bihusni lhatma
Mungu hawezi kuwa katili hivi aisee khaaa
Allah Tujaliye mwisho mwema na utujaliye sisi wenye kusimasha sala tano inshaAllah
Allah humma Amin
Allahumma Inni As aluka Husnul Khatimah Ya Rabbil Alamin Ya Rabb
Allah Atuhfadh na Atudumshe ktk salaa 5 cc na vzaz vtet2, Allahu Akbar 🙏
Subhanallah mwenyezi mungu akujalie. je utapata nguvu aje japokuwa unasili we mwenye katika family ya watu 6 na unaweza kujikinga manena yao kivipi? na japokuwa muzazi nimwislam lakin ha ku support kwa sala yako.
subhanaallah allah atunusuru na azabu mbaya.
Yaa Allah guide us to the straight way
+Said Idrisa AAMIN
Ya llah tujalie mwisho mwema katika ulimwenguu
Yaa Allah mrehem abii wangu yaa Allah
Mashallah! Umeongea kweli tupu!
Ya allah tujaalie tuwe miongoni mwa wenye kusimamisha swala
Allah atuajalie mwisho mwema
Laila haila llah muhhamad rasula llah
Ya Allah Twaomba mwisho mwema Shekhe Ninaswali kiasi kama Mamako ni Mkristo na Baba n Mwislamu yuwaswali Ni haram ama
YA ALLAH TUSAMEHE UTUONGOZE UTUPE NA MWISHO MWEMA
2023 subhana llah
Allah tukubalie swala zetu
Subhanna Allah wataala
Ee. Mungu. Tunusuru. Wajawako
Astaghafirullah.
Eewe Allah tusamehe dhambi zetu
ameen
Dah! Subhanallah...............Yarrabi Husnul Khatma.