Yaa ALLAH, wasamehe waislamu waliotangulia. Utusamehe na sisi makosa yetu. Utujaalie sisi ni wenye kukutii wewe. Utuepushe na Shetani (Bilis) uliemlaani na utujaalie tutamke tuwe miongoni mwa watamkao shahada wakati wa kutolewa roho zetu. AMIN.
Allah atunusuru na umaut waislam wote atupunguzie azabu apa dunuani,kaburin na kesho milele akhera SASA NA SISI WAISLAM TUBADILIKE JAMANI MAANA MANENO YA SHEKH NI MAZITO MNOOOOO tusipo andaa akhera yetu sasa basi akuna pakutengenezea pia tusiwasahau waliotangulia kuwaombea duaaaa
asalam aleikum warahmatullahi wabaraqata..mola atujaalie mwisho mwema na kufe km waumi tutamke shahada inshallah',shukran shekh"mola akujazi kheri bado twaelimika.
MashaAllah Amir Kipozeo Inanikumbusha miaka ya 90 Tulipo kuwa Kongamano la JiTimahi huko Mwanga Tanzania. MashaAllah Amir Wangu Mwenyenzi Mungu Akulipe Kwa nehema Uliyo Nizindua nlipo kuwa nimeghafilika kwa maisha ya dunia hii Miaka hiyo ya 90 Hukaniongoza Kujiunga na Makundi ya TABLIGH Alamdullillah Amna Anae Stahiki Kuabudiwa Kwa Haki Hila Allah Subaahaana Huu'Wataa'Allah. Allah Atufishe Tukiwa Waislamu InshaaAllah.
Husnat my dear sister ALLAH(S.A)'S JANNAT is too big to even imagine. There why do you ask ALLAH(S.A) to enable only you Shahada at death than asking HE ALLAH(S.A) to enable all Muslims. It mean you don't even wise for your own parents. THEREFORE I ASK YOU ALLAH(S.A) TO ENABLE ALL OF US AS MUSLIMS TO DIE WHEN YOUR PLEASED WITH US AND PLEASE ENABLE US TO DIE UPON SHAHADA AS OUR LAST WORD. INSH'ALLAH
husnat gamaah asitaqaflullah lazim asitakhaflullah razim asitakhafilullah lazimu ee mwenyezimua tuepushe na adhabu iliyoko mbele yutu n'a utunusulu naadhabu ya kabuli tuongoze ktk njia iliyonyooka AMINNA yabbillala mina
Jamani ndugu zangu mimi nimeota ndondo usiku wanyana kuamkia leo ndugu zangu nimeota nipo kwenye sakalatu rmauti yani nimeota kabisa sikuyangu yakufa imefika nautubiwa natolewa roho watu wanalia watoto wana wake tuwapigiae wazazi wake simu watu wanasema apana watu watapatiwa talifa asubui yani jasho linatoka kama maji yani sielewi kabisa yani najiogoa kabisa kama mtu avyokufa vile na nambiwa kabisa asubui ufiki nikajitahidi kuamka kwenda choni uku nayumba yumba nikaludi tena kulala azana ilivyokua inapijwa ndoile ndoto ikakata ilivyoisha azana ikanza tena lakini aikuendelea sana nikamka naguvu zote yani mpaka mwenyewe nikashanga ni ndoto ninini sasa yani mpaka asaive sjaelewa ndoto nini naomba munisaidie ku yahi ndoto inamana gani nimeota nakufa kabisa?!!!!?!#manake mpaka mama yangu mzazi analia analaumu kwanini nimechukuliwa mdogo kwani nakufa nikiwa mdogo ila namimi nilimuomba mwezimungu aniache nisaidie familia yangu na ntamuabudu ndo nikajikuta tu nimepata nguvu!!!!!!!!!!!#
Asant shekh tunaomba na mashekh wengne wawe wanagusia mawaidha ya kifo na moto mana yanatugusa moyon sana had tunapatwa na uoga.lakn mashekh weng saiv hawagusii ivyo vtu watu wanasahau.mungu akulipe kher shekh na atujalie mwsho mwema
Allah atuepushe na adhabuu ya kabri tumuombe Allah atuongozee katka njia lilio nyoookaaa eeeeeee molaa wetu tupe mwisho mwema eeee molaaa wetuuuu tunakuombaaa waleee waliopotea uwanyoooshee njia ilionyokaaa aamiinh
Assalam Alykum warahmma tullah wabarakatuh mwenyezimungu atujaghalie mwisho mwema Wa hapa duniani na kesho akhera hakika duniani si kitu mwenyezimungu atujaghalie tuweze kuipa mgongo dunia 😭😭😭😭😭😭
May Allah Bless all the muslim ummat, amen. Ramadan Mubarak 2023.
YA RABB YA RABB,,TU HAFIFISHIEA,,TUJALIA MUSHOW MWEMA,,IN SHAALLAH
Amiin ya Rabbi
Inn Shaa Allah
Allah atujalie tuwe miongoni mwa waja wake watakao ingia katikà ihidi nasrat mustaqeema aamin.
Yaa ALLAH, wasamehe waislamu waliotangulia. Utusamehe na sisi makosa yetu. Utujaalie sisi ni wenye kukutii wewe. Utuepushe na Shetani (Bilis) uliemlaani na utujaalie tutamke tuwe miongoni mwa watamkao shahada wakati wa kutolewa roho zetu. AMIN.
Ammin ya Jabar
Amiin 🤲🤲
Mashaallah,Allah akupe umri mrefu ili uendelee kutuelimisha zaidi ustadh Hashim Mbonde-inshaallah
Allah atupende
asalam aleikum warahmatullahi wabarakatu...subhanallah tumeghafilika na dunia na zilizomo ndani yake ewe mola tunusuru ummati muhammad s.a.w .
amina
AMEEN YA RABB
Fatmah12 Mohamd
Fatmah12 Mohamd
AMEEEEEEEEN
subhannallah ametakasika aliyeumb mbingu na ardhi
Ndugu zangu tumchen allah siku ya kufa atuijui na pia tukumbuke kila nafsi it itaonja umauti
in shaallah Allah atupe mwishow mema,,
subhanah llah astaghafirullah.allah atuepushe a adhab za maut na za qabr.allah atujalie kauli njema siku ya mwisho inshallah
Ala ah akbar
MAshallah Allah atuajalie...mwisho mwema inshallah AlahamdulilHi .....kwa mawaidha ya kutukumbusha...
Ya Allah tujaalie wisho mwema
Mwenyezimungu atujalie kuwa wenye kutubia kabla mauti hayajatufika na pia atujalie mwisho mwema.AAMIIN
Abdoul Painite ameen yarabii
Abdoul Painite ameen yaraby allahuma 🙏
Kifo mawaidha tosha by aman
Amin
This video changed me for my Good Jazakalah khair. May ALLAH WILL REWARD YOU IN SHA ALLAH
Allah atunusuru na umaut waislam wote atupunguzie azabu apa dunuani,kaburin na kesho milele akhera SASA NA SISI WAISLAM TUBADILIKE JAMANI MAANA MANENO YA SHEKH NI MAZITO MNOOOOO tusipo andaa akhera yetu sasa basi akuna pakutengenezea pia tusiwasahau waliotangulia kuwaombea duaaaa
yarabi tujalie mwisho mwema
Ewe mwenyezi mungu utujaalie mwisho mwema aamin
Tunamuomba allah atujaalie mwisho mwema.amin
@Juma Bakari Alla. Awabarik
Alla awabari
allah amjaze khery shekh hashim mbonde.na azidi kumpa ..uhai mrefu.azidi kutupa..mawaidhwa matam kama haya..
Allah agupe mwisho mwema... in shaa Allah Allah 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
tunamuomba mwanyezimungu atupe mwisho mwema Amiin ya rabbi
Amin
Walahi kama unamsikiliza huyu shee huwezi kuwa kiburi. Yarabi nijalie niwe miongoni mwawaja wema. Na mwisho wetu uwe mwema....
Amin
Amin
Aaaamin yaa rabbal aalamiin
Ameen
Ameen
Ya allah tuepushie adhabu na walio mbele ya haki uwasamehe ameen
ya allah tujalie waja wako tuufikie mwisho aliyakuwa una radhi na sisi
mawaidha ya uyu sheikh naipenda mno
Hata mm
Mungu akubariki sana shekhe wetu unatukumbusha umauti yaarabi tujaalie mwisho. Mwema
SBUHANA LLAH ALLAH ATUJAALLYE MWISHOO MWEMA. JADHKALLAH KHEIRA.
asalam aleikum
mashaaalllah .amin
Allah kbaruh
asalam aleikum warahmatullahi wabaraqata..mola atujaalie mwisho mwema na kufe km waumi tutamke shahada inshallah',shukran shekh"mola akujazi kheri bado twaelimika.
Fatmah12 Mohamd mwisho mwema in matendo yako
Laila haila Allah....Allah atujalie mwisho mwema.. waislam wote inshaallah...
yaallah tupe mwisho mwema
ina lilah waina ilaihi rajiun allah tujaalie mwisho mwema inshaalah😭😭🙏
mwenyezi mungu atujarie mwisho mwema inshaalla
Ya Allah tujalie mwisho mwema
Ya Allah nifanyie neno langu la mwisho La illaha illa Allahu
Amiin may He ALLAH(S.A) enable all of us as Muslims Insh'Allah
Amen
Boro Hassan ameen
Hvo ndo mcng sasa shekh
bip Hassan lnsh'Allah! Amin Amin
Mwenyez mung tupe mwisho mwema
mola akujalie shek wetu uzidi kutu ongoza yarabi tupe kalma ya lahila hila laha
Yaarabi tumuogopeni allah na atujalie mwisho mwema sisi na wazazi wetu navizazi vyetu amiini amiini tusamehe duniani na kesho ahela
Ya Allah make us da ppl of jannah and give us a good ending ameen and protect us from da punishment of the grave..ameen yarabi ameen ....
subhahanallah
Ameen
Yaah Allah tujaalie mwisho mwema sisi na vizazi vyetu pamoja na wazazi wetu.
Amiiiina
Allaah atupe mema duniani, na atupe mema akhera na atuepushe na adhabu ya moto.
inalillahi wainnailyhi rajiun
yarabi tujaalie kauli ya mwisho LAAILLAHA ILALLAH MUHAMMAD RASULULLAH amin thumma amin
Allah humma AMEEN
amiin
🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🌃
mungu tujaalie Lauren thabit
Allah atujalie mwisho mwema waamumi wote wa dini ya kislaamu ulimwenguni
Mashaallah. Shukran. Ukumbusho. Khumfa. anae. Kumbuka.
Wallah sheikh respect Iman imepanda nilikua nimejisahau Allah akujarie mwisho mwema
sheikh tunashukur kwa ukumbusho usiokuwa na kifan dunian
ewe mola wetu tupe nyoyo zenye kusikia
Haki mwenyezi mungu akulludhuku kwa mawaidha madhuli Allah akuzidishie mema
Yaarbi tujalie mwisho mwema wa maisha yetu hap duniani mpk akhera yarabillaghallalamina
Allah atujalie tuwe na mwisho mwema ya rabbi
Allah Hu akbar la ilaha ilallah Muhammad rasulullah Allah atupe mwishi mwema. INALILAAH WAINNA ILAIHII RAJIUN. 🙏🙏🙏
MashaAllah kwa mawaidha mazuri Allah atulinde sote insha Allah
Insh'Allah Amiin
Tuswali jaman
AMEEN IN SHAALLAH
MashaAllah Amir Kipozeo Inanikumbusha miaka ya 90 Tulipo kuwa Kongamano la JiTimahi huko Mwanga Tanzania. MashaAllah Amir Wangu Mwenyenzi Mungu Akulipe Kwa nehema Uliyo Nizindua nlipo kuwa nimeghafilika kwa maisha ya dunia hii Miaka hiyo ya 90 Hukaniongoza Kujiunga na Makundi ya TABLIGH Alamdullillah Amna Anae Stahiki Kuabudiwa Kwa Haki Hila Allah Subaahaana Huu'Wataa'Allah. Allah Atufishe Tukiwa Waislamu InshaaAllah.
ya rabi tujalie mema,utusamehe madhambizetu,
Ya Allah tujaliye mwisho mwema sote waislamu...Amen ya Allah
Amiin
Ameeen
amina
AMEEN
Allah atujalie mwisho mwemaa
Mungu atulinde n atujaalie mwisho Mwema 🙏🙏🙏
LAAILAH ILLA LLAH ALLAH AKBAR. AHSANTE YA SHEIKH KWA UKUMBUSHO . LAKIN NASIKITIKA KUWA DARASA ZAKO CHACHE MITANDAONI
Katika Mawaidha ya Mauti yalionigusa Haya yamenigusa sana Mungu Atupe Mwisho Mwema
ee mwenyezi mungu tunakuomba mwisho mwema amin yaa rabiliallah min
Allah atunusuru shekhe wangu pia Allah akuzidishiee 2021
Shukran kwa mafunzo yenye faida tele kwa maisha ya sasa na akhera,Allah atuepushe na adhabu ya kaburi
barakallahu fihikum sheikh
Dah mtihani kweli Allah atufanyie wwepesi inshallah
allah atujalie mwisho mwema
naomba unisaidie kunipa no yako uthitadhi
yaarab tupe mwisho mwema na utujaalie kuitamka shahada
Hidaya shaaban ammen
allah akbar
Hidaya shaaban inshaallah
Inshaallah
Hidaya shaaban q
Ameen
a. alaykum hakik sis ni wa allah n kwake teterejea ya allah tupe mwisho mwema y lailah ilahullah muhamadu rasulluwah na makaz mema fijanat ameeeen
The best ever Swahili speaking sheikh alongside sheikh bachu
Ukumbusho juuu ya allaah nijuuu yetu ss
YAA ALLAH PLEASE MAKE MY LAST WORD LAA ILAHA ILLA ALLAH MUHAMMADUN RASULU ALLAH, AMEEN
Aaamiin In Shaa Allah
+the Lawi
Husnat my dear sister ALLAH(S.A)'S JANNAT is too big to even imagine. There why do you ask ALLAH(S.A) to enable only you Shahada at death than asking HE ALLAH(S.A) to enable all Muslims. It mean you don't even wise for your own parents. THEREFORE I ASK YOU ALLAH(S.A) TO ENABLE ALL OF US AS MUSLIMS TO DIE WHEN YOUR PLEASED WITH US AND PLEASE ENABLE US TO DIE UPON SHAHADA AS OUR LAST WORD. INSH'ALLAH
amiin yaaraby
husnat gamaah asitaqaflullah lazim asitakhaflullah razim asitakhafilullah lazimu ee mwenyezimua tuepushe na adhabu iliyoko mbele yutu n'a utunusulu naadhabu ya kabuli tuongoze ktk njia iliyonyooka AMINNA yabbillala mina
Mwenyez mungu atujalieeee mwisho mwema
Amin yarabilha Allhamin jadhaqa lhahu hairra
Jamani ndugu zangu mimi nimeota ndondo usiku wanyana kuamkia leo ndugu zangu nimeota nipo kwenye sakalatu rmauti yani nimeota kabisa sikuyangu yakufa imefika nautubiwa natolewa roho watu wanalia watoto wana wake tuwapigiae wazazi wake simu watu wanasema apana watu watapatiwa talifa asubui yani jasho linatoka kama maji yani sielewi kabisa yani najiogoa kabisa kama mtu avyokufa vile na nambiwa kabisa asubui ufiki nikajitahidi kuamka kwenda choni uku nayumba yumba nikaludi tena kulala azana ilivyokua inapijwa ndoile ndoto ikakata ilivyoisha azana ikanza tena lakini aikuendelea sana nikamka naguvu zote yani mpaka mwenyewe nikashanga ni ndoto ninini sasa yani mpaka asaive sjaelewa ndoto nini naomba munisaidie ku yahi ndoto inamana gani nimeota nakufa kabisa?!!!!?!#manake mpaka mama yangu mzazi analia analaumu kwanini nimechukuliwa mdogo kwani nakufa nikiwa mdogo ila namimi nilimuomba mwezimungu aniache nisaidie familia yangu na ntamuabudu ndo nikajikuta tu nimepata nguvu!!!!!!!!!!!#
Subhannallah Allahuma husnii lihatima yaraaaab
Allah atujaalie mwisho mwema
Yaarabby tupe mwisho mwema
Yaallh tujaalie mwisho mwema
Ya Allah tujaalie mwisho mwema yaraby
jistiri mwele kwanz
Asant shekh tunaomba na mashekh wengne wawe wanagusia mawaidha ya kifo na moto mana yanatugusa moyon sana had tunapatwa na uoga.lakn mashekh weng saiv hawagusii ivyo vtu watu wanasahau.mungu akulipe kher shekh na atujalie mwsho mwema
subhanallah.....
Yarabiii tusamehee yarabii wewe ni mwingi wa huruma tutakabalie dua zetu na tusamehee yaallah 😭
Ewe mwenyez mungu tujalie mwisho mwema wa maisha yetu
Ewe Mwenyezi Mungu tujaalie mwisho mwema
Allah tupe khusni lkhatima na utusamehe madhambi yetu tunayoyajua na tusiyoyajua😭😭😭🤲🤲🤲
Lahaula walla quwwata illa billah
ìñshallaah mungu àtujaliè Lila lenyekheri
mungu unijaliye mwisho mwema
eee Mwenyez Mungu tujaalie tutende yakukufurahisha
Ewee Mola wetu tukubalie dua zetu amiin
ramadhan Mubarak 2023 manshallah ❤️❤️❤️
ya Rabbi tupe mwisho mwema
Emola wangu nijalie mwisho mwema Mimi nawazazi wangu
Allah Atupe mwisho
Mwema
Allah akibal Allah tujalie mwisho mwema
Allah akbar M/mungu atujaalie mwisho mwema mimi na wazazi wangu na waislamu wenzangu wote tumcheni allah jaman kifo ni fumbo ...🙏
Allah atuepushe na adhabuu ya kabri tumuombe Allah atuongozee katka njia lilio nyoookaaa eeeeeee molaa wetu tupe mwisho mwema eeee molaaa wetuuuu tunakuombaaa waleee waliopotea uwanyoooshee njia ilionyokaaa aamiinh
Allahu Akbar rabbi ja alni khusnal khtma
Hakika tumche mwenyezi mungu maana hutujui siku ya kufa
Subhanna llah Allah tunusuru
Mashallah
i know it's kind of off topic but do anyone know a good website to watch newly released tv shows online ?
@Ibrahim Keagan try FlixZone. You can find it on google :)
@Jagger Javion Yea, I've been watching on Flixzone for since march myself =)
@Jagger Javion thank you, I signed up and it seems to work :) I really appreciate it !!
@Ibrahim Keagan Happy to help xD
yaarab tupe mwisho mwema
ya Allah tujaalie mwisho mwema
Innalillah wainnailaih rajiun ss niwaja wake na kwake tutarejea
mema nimuhimu
Mwenyezi mungu atupe mwisho mwema amen
Subuhana Allah Allah atujaaliye mwisho mwema
Allah tujaalie mwisho mwema wenye kalmat ya laailaha ila Allah Muhammad rasulullah
Assalam Alykum warahmma tullah wabarakatuh mwenyezimungu atujaghalie mwisho mwema Wa hapa duniani na kesho akhera hakika duniani si kitu mwenyezimungu atujaghalie tuweze kuipa mgongo dunia 😭😭😭😭😭😭