Je ukiota una mimba ila ile mimba ukawa unaitaji kujifungua upo kwenye hali ya kupush mtoto yule anayekuzalisha anashangaa mbona damu na siyo tena mimba je inamaana gani, shekhe
Mwalimu Asalam alaykum warahmatullah ta-allah wabarakatu. Mimi naishi Congo lakini nina kuwa naota vitu tafauti sana leo naota mimi kwanza ni mwislamu sasa naota naenda kanisani kufika kanisani nikafukuzwa pale nafukuzwa ikanza ugonvi mimi na mwanamke umoja tunaanza ku tupiana mayayi ya kuku yakuachwa kisha ule mwanamke akakimbia chumbani kwake namimi nikakimbia nikaenda kukuta kisima chamadji nikachota madji ili nidjisafishe na yale uchafu wa ma yayi hapo nikaweza kusituka uzingizini nini manayake mwalimu wangu 🙏
Bismillah mashallah nimependa sana skuiz huna maongezi mengi unaenda ktk point Allah akulipe ujira wako
Asante sana nashukuru maana ndoto zako nazi kubali sana mengi yame nitoke
Asalam aleykum shekh Mimi niliota hedhi usingizini Alf asubuhi naamka kweli nimeingia kwenye siku inamaan gn???
Jazaakallah khayrii
Shekh kuota ndoto ya ndege ya raisi inataka kuanguka kisha sikuanguka then ikaondoka ila ukamwita rais ukaongea nae na kumuaga nn maanayake
Asante sana
Naiyota sana hii ndoto
Mwalimu assalam aleikum warahma tullah wabarakat mm mumewangu ndie alie niota niko kwenye hedhi je ina maana gani
Asante kaka
Assalamu aleykum mm sheikh nimeota nimeona damu ya hedh nyeusi
Mm nimeona kitambaa cha piliod kinadondok mbel za watu nn maan yake
Asalamu Aleikumu sheikh nauliza ukiona hedhi ya mtu mwingine Inamanisha nini?
Mi.mbona nimesraibu video zako mpya sizipati
Nmeota nakimbia huku Kuna dawa nainywa na baada ya kuinywa dawa hedh ikawa inatoka
A,alaikum kama mtu nimtumzima haingii tena kwenye hedhi ila kila siku anaota anaingia tafsri yake nini
Mimi nimeota mimba imeharibika natokwa na damu nyingi inamaanisha nini hiyo ndooto ?
A alaykm mm nmeota nimepata hedhi ila asbh yk nipoamka nmeona maji maji na cio hedhi
Je ukiota una mimba ila ile mimba ukawa unaitaji kujifungua upo kwenye hali ya kupush mtoto yule anayekuzalisha anashangaa mbona damu na siyo tena mimba je inamaana gani, shekhe
Asaramuareikum shehe mmnimemuota jiraniyupokwenye hedhi ndionini
Ustadhi kama ukiota umeingia chooni ukakuta damu ya hedhi yamtu mwengine uka ona kinyaa ina maana gani
Mwalimu Asalam alaykum warahmatullah ta-allah wabarakatu. Mimi naishi Congo lakini nina kuwa naota vitu tafauti sana leo naota mimi kwanza ni mwislamu sasa naota naenda kanisani kufika kanisani nikafukuzwa pale nafukuzwa ikanza ugonvi mimi na mwanamke umoja tunaanza ku tupiana mayayi ya kuku yakuachwa kisha ule mwanamke akakimbia chumbani kwake namimi nikakimbia nikaenda kukuta kisima chamadji nikachota madji ili nidjisafishe na yale uchafu wa ma yayi hapo nikaweza kusituka uzingizini nini manayake mwalimu wangu 🙏
me nmeona hedhi ya rafik ang inamaan gn
Samah shehk nimeote nipo mtoni nafua pedi napedi ilikua na dam nikaona imwekwenda na maji nini maana yake
Naukiota unaona hedhi dadako inamaana gani
A’aleykum ustadh mim nikiwa nakaribia kuingia hedhi nakua naota kwanz alaf haichukiw mda naingia kweny hendhi
Hata mimi
Hata mimi
Hata mimi
Mimi pia jamani 😢😢😢😢
Mi nimeona nimeona damu ya hedhi ya rafiki yangu
Kwani wanaume wanakuywa na hedhi
Minimeota mtu kaja kaninyoa nywele kichwani alafu akachukua Pedi yangu akaondoka nayo
Samahani shehk na ukiota umemaliza hedhi yako na kuna mtu kaiomba ile Pedi uliyokwisha kuitumia na kuichoma moto
Jeukiota umechuchumaa na unatoka hedhi Nini maana yake
Apa tupate jibu jamn hadi mimi
Je kuota uchi wa mama yako n vizuri kwel
Nivizuri usiogope
Ukiota una nunuanguo zamtumba kisha nikazifua
Sija elewa hiyo Namba 7