TAFSIR YA NDOTO: MWENEYE KUOTA PERIOD USINGIZINI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • #RiyadhTvZnz #Zanzibar

Комментарии • 39

  • @aminamohamed8969
    @aminamohamed8969 14 дней назад

    Bismillah mashallah nimependa sana skuiz huna maongezi mengi unaenda ktk point Allah akulipe ujira wako

  • @FurahaAugustin
    @FurahaAugustin Год назад

    Asante sana nashukuru maana ndoto zako nazi kubali sana mengi yame nitoke

  • @NathamOmar-ls3dm
    @NathamOmar-ls3dm Год назад +2

    Asalam aleykum shekh Mimi niliota hedhi usingizini Alf asubuhi naamka kweli nimeingia kwenye siku inamaan gn???

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669 Год назад

    Jazaakallah khayrii

  • @hassanalhusein1819
    @hassanalhusein1819 8 дней назад

    Shekh kuota ndoto ya ndege ya raisi inataka kuanguka kisha sikuanguka then ikaondoka ila ukamwita rais ukaongea nae na kumuaga nn maanayake

  • @zenamtembezi4921
    @zenamtembezi4921 2 года назад

    Asante sana

  • @MythiliBeka
    @MythiliBeka Месяц назад

    Naiyota sana hii ndoto

  • @kenyanbae2476
    @kenyanbae2476 2 года назад

    Mwalimu assalam aleikum warahma tullah wabarakat mm mumewangu ndie alie niota niko kwenye hedhi je ina maana gani

  • @aishajuma468
    @aishajuma468 Год назад

    Asante kaka

  • @FatmaMasiku-w6z
    @FatmaMasiku-w6z 11 месяцев назад

    Assalamu aleykum mm sheikh nimeota nimeona damu ya hedh nyeusi

  • @doreenpontian8255
    @doreenpontian8255 2 года назад +1

    Mm nimeona kitambaa cha piliod kinadondok mbel za watu nn maan yake

  • @nadiaharoon9648
    @nadiaharoon9648 Год назад

    Asalamu Aleikumu sheikh nauliza ukiona hedhi ya mtu mwingine Inamanisha nini?

  • @tatuaamuuinyi9633
    @tatuaamuuinyi9633 Год назад

    Mi.mbona nimesraibu video zako mpya sizipati

  • @TatuSetebe
    @TatuSetebe День назад

    Nmeota nakimbia huku Kuna dawa nainywa na baada ya kuinywa dawa hedh ikawa inatoka

  • @gulammohammed3806
    @gulammohammed3806 Год назад

    A,alaikum kama mtu nimtumzima haingii tena kwenye hedhi ila kila siku anaota anaingia tafsri yake nini

  • @abdiyalove7111
    @abdiyalove7111 7 месяцев назад

    Mimi nimeota mimba imeharibika natokwa na damu nyingi inamaanisha nini hiyo ndooto ?

  • @mozaabdulla476
    @mozaabdulla476 Год назад

    A alaykm mm nmeota nimepata hedhi ila asbh yk nipoamka nmeona maji maji na cio hedhi

  • @MuasitiAboBakri-ew5mu
    @MuasitiAboBakri-ew5mu 2 месяца назад

    Je ukiota una mimba ila ile mimba ukawa unaitaji kujifungua upo kwenye hali ya kupush mtoto yule anayekuzalisha anashangaa mbona damu na siyo tena mimba je inamaana gani, shekhe

  • @HawaJuma-m9z
    @HawaJuma-m9z Год назад

    Asaramuareikum shehe mmnimemuota jiraniyupokwenye hedhi ndionini

  • @ShamHassan-bv9xf
    @ShamHassan-bv9xf Год назад

    Ustadhi kama ukiota umeingia chooni ukakuta damu ya hedhi yamtu mwengine uka ona kinyaa ina maana gani

  • @aluamasudi6326
    @aluamasudi6326 2 года назад

    Mwalimu Asalam alaykum warahmatullah ta-allah wabarakatu. Mimi naishi Congo lakini nina kuwa naota vitu tafauti sana leo naota mimi kwanza ni mwislamu sasa naota naenda kanisani kufika kanisani nikafukuzwa pale nafukuzwa ikanza ugonvi mimi na mwanamke umoja tunaanza ku tupiana mayayi ya kuku yakuachwa kisha ule mwanamke akakimbia chumbani kwake namimi nikakimbia nikaenda kukuta kisima chamadji nikachota madji ili nidjisafishe na yale uchafu wa ma yayi hapo nikaweza kusituka uzingizini nini manayake mwalimu wangu 🙏

  • @MarryChrispine-uy4mf
    @MarryChrispine-uy4mf Год назад

    me nmeona hedhi ya rafik ang inamaan gn

  • @JacklinAyubu
    @JacklinAyubu 4 месяца назад

    Samah shehk nimeote nipo mtoni nafua pedi napedi ilikua na dam nikaona imwekwenda na maji nini maana yake

  • @Zeina-y9i
    @Zeina-y9i 22 дня назад

    Naukiota unaona hedhi dadako inamaana gani

  • @fatmakhalid942
    @fatmakhalid942 2 года назад +1

    A’aleykum ustadh mim nikiwa nakaribia kuingia hedhi nakua naota kwanz alaf haichukiw mda naingia kweny hendhi

  • @neemaelias626
    @neemaelias626 2 года назад +1

    Mi nimeona nimeona damu ya hedhi ya rafiki yangu

  • @SmilingGoBoard-bk8co
    @SmilingGoBoard-bk8co Месяц назад

    Kwani wanaume wanakuywa na hedhi

  • @kilimoajira2457
    @kilimoajira2457 3 месяца назад

    Minimeota mtu kaja kaninyoa nywele kichwani alafu akachukua Pedi yangu akaondoka nayo

  • @saraphinamyinga8773
    @saraphinamyinga8773 4 месяца назад

    Samahani shehk na ukiota umemaliza hedhi yako na kuna mtu kaiomba ile Pedi uliyokwisha kuitumia na kuichoma moto

  • @ngusakalima9899
    @ngusakalima9899 2 года назад +1

    Jeukiota umechuchumaa na unatoka hedhi Nini maana yake

    • @Christina-h5s
      @Christina-h5s 3 месяца назад

      Apa tupate jibu jamn hadi mimi

  • @EstherRehema-f3t
    @EstherRehema-f3t 7 месяцев назад

    Je kuota uchi wa mama yako n vizuri kwel

  • @PriscaPrincess-jn5pr
    @PriscaPrincess-jn5pr Год назад

    Ukiota una nunuanguo zamtumba kisha nikazifua

  • @FurahaAugustin
    @FurahaAugustin Год назад

    Sija elewa hiyo Namba 7