Annoint Amani - Usikimbilie ndoa ni Moto (official Video 4k)Skiza tone 9047805 to 811

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • #usikimbilie#ndoa#nimoto
    NAAMINI KUNA KITU MUNGU ATASEMA NAWEWE KUPITIA UJUMBE HUU UKIUSKIRIZA KWA MAKINI UTAELEWA MAANA YA HUU WIMBO,
    USIKIMBILIE NDOA NI MOTO JE NDO MAANA HARISI YA HUU WIMBO??
    BAS SKIRIZA VIZUR UELEWE .
    MAANA LAZIMA TUJUE ILI KULIPONYA KANISA AU JAMI INAYO TUZUNGUKA,
    LAZIMA NDOA ZIWE SALAMA BILA USALAMA WA NDOA JAMI INAYUMBA SAANA.
    PIA VIJANA WAWEKEWE MSINGI MZUR KATIKA MAHUSIANO.
    WATAMBUE YALIYO YA KWAO,
    NA YASIO YA KWAO.
    KILA MTU AJUE UZINZI NI DHAMBI NA UWASHERATI NI DHAMBI.
    .
    KWA MWANANDOA UNAE MTUMIKIA MUNGU SHIDA IKITOKEA KWAKO, KABRA HUJACHUKUA HATUA
    KUMBUKA WEWE NINANI KATIKA JAMII,
    HAKIKISHA MAHUSIANO YAKO HAYAWAONDOI WATENDA KAZI SHAMBANI MWA BWANA.
    MAANA KILA MTU ANA MTU AU WATU NYUMA YAKE..
    MAAMUZI YAKO YANAWEZA KUWA FAIDA KWAKO NA HASARA KWA WALIO NYUMA YAKO..
    HAPO NDIPO MUNGU ANA CHUKIZWA NA MTU WA AINA HIYO, MAANA UNA HARIBU MWILI WA KRISTO KWA FAIDA YAKO MWENYEWE.MUNGU ATUPE HEKIMA ZAID
    ILI TUMALIZE MWENDO SALAMA,
    I BELIEVE THERE IS SOMETHING THAT GOD WILL SAY TO YOU THROUGH THIS MESSAGE.
    DON'T RUN AWAY MARRIAGE IS FIRE DOES IT REALLY MEAN THIS SONG ??
    PLZ LISTEN WELL UNDERSTAND.
    FOR WE MUST KNOW TO HEAL THE CHURCH OR THE COMMUNITY AROUND US,
    MARRIAGES MUST BE SAFE WITHOUT THE SECURITY OF MARRIAGE SOCIETY.
    YOUNG PEOPLE ALSO HAVE A GOOD FOUNDATION IN RELATIONSHIPS.
    Let them know what is theirs,
    AND NOT FOR THEM.
    EVERYONE KNOWS THAT ADULTERY IS A SIN AND ADULTERY IS A SIN.
    .
    FOR A COUPLE WHO IS SERVING GOD WHEN TROUBLE HAPPENS TO YOU, BEFORE YOU TAKE ACTION
    REMEMBER WHO YOU ARE IN THE COMMUNITY,
    MAKE SURE YOUR RELATIONSHIPS DO NOT REMOVE WORKERS IN THE LORD'S FIELD.
    I MEAN EVERYONE HAS SOMEONE OR PEOPLE BEHIND HIM ..
    YOUR DECISIONS CAN BE BENEFICIAL FOR YOU AND LOSSES TO THOSE BEHIND YOU.
    THEN GOD HATES A PERSON OF THAT KIND, BECAUSE YOU ARE DESTROYING THE BODY OF CHRIST FOR YOUR OWN BENEFIT. GOD GIVE US MORE WISDOM
    TO END THE SAFE TRAVEL,)
    artist Annoint Amani
    song Usikimbilie ndoa ni Moto
    album Fainal ni Kesho
    (language Swahili)
    Skiza tone 9047806 to 811
    Studio A.E.A Tones
    .Video A.E.A Dir by meddy
    Tanzania Dar es salam
    Instagram annointamani
    For bookings +255767240181=+255755099942
    Email.amananoint@gmail.com

Комментарии • 537

  • @pelusiemanueli6926
    @pelusiemanueli6926 3 года назад +11

    Tunaoangalia hii nyimbo sasa hivi gonga like tujuwane hapa

  • @annointamani3285
    @annointamani3285  4 года назад +296

    NASHUKURU KUONA KILA MTU AMEGUSWA NA HUU UJUMBE,
    BAS NAOMBA TUOMBE MUNGU TUMALIZE MWENDO SALAMA KAMA UNAOGOPA KUFA PRESHA BURE GONGA LIKE HAPA,,
    TUFIKE LAK 5 KISHA M1 NA KUENDELEA MPKA MUNGU ABEBE HESHIMA NA UTUKUFU,,

    • @berniceonegbmusic2324
      @berniceonegbmusic2324 4 года назад +3

      Niko hapa Dubai tunaskiza na marafiki wanzangu.... my dia hongera sana

    • @mlokolekaokoka8962
      @mlokolekaokoka8962 4 года назад +4

      @@berniceonegbmusic2324 Kwanza ana sauti nzur alafu ni Handsome hatar ,ujumbe mzito sana naamini hii nyimbo itafika mbali saana sana,,yani VIEW M1 SASAIVI INAFIKA

    • @rispergwaro8817
      @rispergwaro8817 4 года назад +3

      Surely i love your songs and i ave them more i download them thanks alot am much blessed

    • @princessfay5414
      @princessfay5414 4 года назад +2

      Better wait long than marry wrong,ujumbe mzuri saana,afadhali kuomba na kusubiri wakati wa mungu🙏🙏

    • @melvinmakau8016
      @melvinmakau8016 4 года назад +1

      Very informative song God bless you brother I like your songs very much keep up

  • @rosendungwa1915
    @rosendungwa1915 4 года назад +93

    Kazi nzuri...wap likes za mwimbajj kama umekbaliana nae

  • @lucysteve3077
    @lucysteve3077 4 года назад +197

    254 kaa umekubali hii piga like hapa

  • @paulkakame7916
    @paulkakame7916 2 года назад +8

    Nina sababu yakupendezwa na nyimbo zakwako mungu akupe nehema kibali pia na ujaziri Ili utueleze ukweli kaka angu🇰🇪Liz from Kenya

  • @corneliusapara4209
    @corneliusapara4209 4 года назад +31

    Pressure is not my portion am waiting for the right time as adviced by brethren Annoint,,,,am soo blessed brethren,,gudozz,,,,,,wapi watu wa 254 na likes zenu

  • @johnbrianoshea3040
    @johnbrianoshea3040 3 года назад +13

    True inspiration kaka. Ndoa sio football. Wapi likes zake Amani

  • @shadrackosabil6354
    @shadrackosabil6354 Год назад +2

    Kweli kukimbilie ndoa ni shida,nlkua najipanga nioe hata sioi tena

  • @mariahkosgei1166
    @mariahkosgei1166 2 года назад +2

    Hope Muslim wanaskia hii wimbo

  • @dorcaslor2166
    @dorcaslor2166 3 года назад

    Kimi kabisa iyi ni Fundisho la kueli Ndoa Ni Hatari Mulangoni Hai ko mchezo Ah Amen Amen Amen Shalom Shalom

  • @owasistravel9621
    @owasistravel9621 4 месяца назад

    bwana yesu asifiwe? mtumishi Amani. ubarikiwe sana nyimbo zako uwa zinanijenga sana na kutia moyo, ni bright city from kenya Trans_nzoia county

  • @carolinenakirutimana1559
    @carolinenakirutimana1559 9 месяцев назад +1

    Ukamanda kwenye kituo ca majeshi kabsaaaaaaaass siyo kwa mkeo bila hivo utabaki peke yako baba.ukifika mbele ya mlango ukamanda achia pale pale kwaani unaingia kwenye ingine office , utaupitua ukienda kazine kesho usubuyi

  • @rahelgika3870
    @rahelgika3870 4 года назад +20

    Wenye NDOA tumekuelewa sana sana ahsante kwa ujumbe mzuri, kweli NDOA basi kwa sababu mtu unakuwa hujui tu yatakayo jiri baada ya kuolewa au kuoa. MUNGU tusaidie.

    • @beverlykadenge2095
      @beverlykadenge2095 4 года назад

      Yes dear, no one never knows what is install for him or her

    • @tinahfelix4501
      @tinahfelix4501 4 года назад +1

      Mkesema ivo mnatisha mbona, unataka kusema wale wanaoliaga wakat bint anaaga sio kwamba atammic ni kwamba anamwazia atakoyokutana nayo huko???

    • @agathaaroni7783
      @agathaaroni7783 3 года назад

      @@tinahfelix4501 ndo ukweli ndoa syo send off na sherehe ya harus inahtaj moyo mgum na uvumiliv wa hali ya juu.

  • @saraimuziki6376
    @saraimuziki6376 4 года назад +36

    Tell them again my boyfriend, likes zangu from +254

  • @faydee5488
    @faydee5488 3 года назад +3

    Sisemi usioe lakini usifanye haraka sisemi usiolewe lkni usifanye haraka ,,,I got the point bro congrats ,,,luv from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @lukamutsami2644
    @lukamutsami2644 Год назад

    Kipande cha rayvanny cha song NAOGOPA 💙💙💙💙

  • @lydiashisia2169
    @lydiashisia2169 4 года назад +22

    Shida ya ndoa haibagui tajiri au maskini.Ndugu Esau Mungu akubariki.lnjili mbele.Maombi ni dawa ya ndoa sugu.

  • @pamelapamela2599
    @pamelapamela2599 Год назад +8

    This has touched my heart 😭😭😭 goosebumps tuu😭😭😭I have been worried about relationship issue....but last night I asked God to give me directions...and today he has revealed to me wat to do😥😥😥Thank you Lord Jesus for this revelation 🙏🙏🙏much love from Kenya ❤️❤️

  • @eliasbonda9802
    @eliasbonda9802 2 года назад

    Aise nakuelewa sana mtumishi, MUNGU wa mianga azid kukuuinua

  • @puritymbithe4483
    @puritymbithe4483 Год назад

    Kale katabia kako kasiria mwenzio lazima ajue tu 💯

  • @jesikakamwabusila15
    @jesikakamwabusila15 9 месяцев назад

    Haleluja,Asante Mungu kama utani milioni Moja.

  • @joyceenos4397
    @joyceenos4397 3 года назад

    Naludy tena kuweka cemented yang ujumbe umefika

  • @bambuguyasamuel3107
    @bambuguyasamuel3107 7 месяцев назад +1

    ❤❤❤🎉Jamani wimbo yako ni moto kila mara

  • @ericktito2623
    @ericktito2623 4 года назад

    Mwanzilishi wa ndoa niwewe MUNGU tusaidie baba

  • @susanbadili1179
    @susanbadili1179 Год назад

    Kweli kabisa inabidi ukabidhi ndoa yako Kwa maombi

  • @nikitavyleen8337
    @nikitavyleen8337 4 года назад +8

    For real, utamchunguza mpaka lini, watu ni kuamiana, if two love birds truly love each other, then they'll be no other second love or choice. If you fall in love with two people, marry the 2nd one, because, if you truly loved the first, you couldn't fall in love with any other! Wimbo wako kaka wabariki roho yangu kila kujao. Barikiwa milele.

  • @keilabrenda4037
    @keilabrenda4037 2 года назад

    Nice song, it's true ndoa ni moto sikimbilii ndoa nooooh

  • @mlokolekaokoka8962
    @mlokolekaokoka8962 4 года назад +5

    Naona ngoma ina kwendaaa twemde mpka lak 5 najua twafika sasaivi ili tuenze kuekea M1,
    huu mwaka Mungu kumuinua na atainuka kweli

  • @joelomusugu8617
    @joelomusugu8617 Год назад

    Very powerful song iko na mafundisho

  • @agathaaroni7783
    @agathaaroni7783 3 года назад

    Kweli mtumishi ndoa ni ngumu syo ya kukurupukia

  • @eucabethbosibori3321
    @eucabethbosibori3321 2 года назад

    True message bro I love ur song hata dancing style

  • @abdulhamis2393
    @abdulhamis2393 4 года назад +1

    Hunahakili wewe baba ako asingeowa ungezaliwa na panya au . Muulizee baba ako aliishije na mama ako uchukuwe hatuwa. Hata vtabu vmeandkwa mwanamke uishiena kwa hakili wewe.

    • @rehemakisalambi9901
      @rehemakisalambi9901 4 года назад

      Kwani amekuambia usioe au kaongelea matatizo ya ndoa hebu msikilize vizuri sio unatoa lawama ambazo hazina msingi

  • @cynthiawangarindungu
    @cynthiawangarindungu Год назад

    Wow....mob love from 🇰🇪 KENYA

  • @brigidnaomi2786
    @brigidnaomi2786 4 года назад +22

    Ndoa ina chakamoto zake lakini kwanza Mungu mbele kwa yote. Nice song be blessed Esau

  • @RachaelWanyama-kw9em
    @RachaelWanyama-kw9em Год назад

    Good work bro keep it up your are going far

  • @girukwishakaetienne4485
    @girukwishakaetienne4485 2 года назад

    Mubarikiw kabisa nyimbozako nzuri

  • @jeanaimablet.mediachannel8696
    @jeanaimablet.mediachannel8696 4 года назад +8

    Shukran Ndugu.
    Naitwa Jean Aimable T. From inchi ya Rwanda, nazipenda sana nyombo zako, ubalikiwe na Bwana Elohim.
    Best regards.

  • @wazirisanga3198
    @wazirisanga3198 4 года назад

    Haya dogo umetisha

  • @joycesinkala225
    @joycesinkala225 2 года назад

    Nimekupenda bule kaka unajuwa sana kuimba umefunika yaani unaongea ukweli kabisa jamani 🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️❤️❤️❤️💓💓💓💓💓💓💓

  • @makayamutombo3894
    @makayamutombo3894 3 года назад

    Kama historia uko mû imbaji kwa kweli

  • @jeffkeff8625
    @jeffkeff8625 2 года назад +6

    Bro am in love with this song just watched it tonight when coming from mombasa kwa rosy shuttle...bro be blessed

  • @dorcaslor2166
    @dorcaslor2166 3 года назад

    Ahhh Vraiment Ni Kueli Hatari

  • @niyonizigiyekarithas4710
    @niyonizigiyekarithas4710 4 года назад +2

    Hi.nimeipenda ngoma yake .ila musikose kuowa na kuolewa. But acha 🍠 tamaambaya. 😍😍😍 mana ni sumu ya ndoa. Daaa😍💝😀💝

  • @janetojwangmusic221
    @janetojwangmusic221 3 года назад +21

    I love this. It's reality. Most of us youths fear talking of the reality of life. Especially born again Christian. I represent Kenya

  • @peterochogo546
    @peterochogo546 Год назад

    Ubarikiwe Sana kijana wa yesu

  • @joyceenos4397
    @joyceenos4397 3 года назад

    Jaman Mungu akuinue zaidi ya hapo

  • @EzekielMwakalukwa-u3s
    @EzekielMwakalukwa-u3s 2 месяца назад

    Mungu akubariki kwa wimbo mazuri

  • @saimonjohn808
    @saimonjohn808 4 года назад +2

    Hata wachungaji ndoa zao ni moto wanalilia moyoni hawana wa kumwambia.kweli kabisa hii kijana MUNGU akubariki sana

  • @gracemagereli93
    @gracemagereli93 Год назад

    Kazi zako nazikubali sana

  • @neyfatilovenes3215
    @neyfatilovenes3215 2 года назад

    🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰❤️ penda sn

  • @elizabethkalu9100
    @elizabethkalu9100 2 года назад +4

    😃 yes, marriage need preparation and prayers. Good wisdom!

  • @abdullahiwarsame5951
    @abdullahiwarsame5951 3 года назад +2

    Barikiwa sana...nyimbo yako inafunzo kubwa sana

  • @bashimbechikos6379
    @bashimbechikos6379 3 года назад +1

    Nafurai n'a wimbo naYesu akubariki
    Na umevaa vizuri leo
    Usiwe navaa Sawa rasta.

  • @mumwickylifehistry2997
    @mumwickylifehistry2997 4 года назад +1

    Ukweli haya,ndoa rasmi ndio yatakikana ki Kristo,nimebarikiwa Sana zaidi kupitia kwa hii wimbo

  • @jamesmickison8624
    @jamesmickison8624 Год назад

    Kazinzuri Sana munguakujalie

  • @JosephBahati-pq6lp
    @JosephBahati-pq6lp Год назад

    safi sana kaka kazi nzuri

  • @floramanufari9408
    @floramanufari9408 3 года назад

    Kabisa yaani duu!!noma sana

  • @davenjogu7890
    @davenjogu7890 2 года назад

    Huyu jamaa anajua mengi

  • @godfreybambary6148
    @godfreybambary6148 3 года назад +1

    Annoint anaimba vizur sana

  • @fatmyahaya4671
    @fatmyahaya4671 3 года назад

    Ubalikiwe sana mtumish w

  • @cecilianeema8254
    @cecilianeema8254 4 года назад

    Kweli tusikimbilie ndoa

  • @lilyanokaddy7187
    @lilyanokaddy7187 4 года назад +2

    Lyk mother lyk son gud work

  • @dolamwafyuma6177
    @dolamwafyuma6177 4 года назад

    Nzur Sana barikiwa

  • @ruth-lb4qf
    @ruth-lb4qf Год назад +2

    Amazing songs...from kenya

  • @prosscoviabisoboka7319
    @prosscoviabisoboka7319 2 года назад +4

    Praise God brethren

  • @berniceonegbmusic2324
    @berniceonegbmusic2324 4 года назад +16

    Hii song nimeikubali 100% congratulations bro

    • @brianobaga5498
      @brianobaga5498 2 года назад +1

      Thanks aman kwa nyimbo zako nimezikubali

    • @brianobaga5498
      @brianobaga5498 2 года назад +1

      May God continue lifting you up and up

  • @kyusakyusa3433
    @kyusakyusa3433 4 года назад

    Barikiwa Sana anoit

  • @ivynletting
    @ivynletting 3 года назад

    Pongezi kazi poa

  • @ellymwitakichonge8416
    @ellymwitakichonge8416 4 года назад

    Daaaa kwa huu ujumbe umenikumbusha cku moja nilikwenda kwa mchungaji kwa shida yangu, kabla sijaingia nilisikia mke wake akisema najuta kuolewa na wewe ,,daaa nikarudi kinyume nyume maana nilikwenda pale kwa matatizo yangu ya ndoa Sasa kusikia hivyo nikaona Sasa atanisaidieje wakati yake tuu iko matatani
    Ujumbe mzuri Sana

  • @andreamwembe3566
    @andreamwembe3566 3 года назад

    Ok sawa nimeikubali

  • @miriamkanja4189
    @miriamkanja4189 Год назад

    I wish i heard this early😢, but i believe in God

  • @Sadikimécanique
    @Sadikimécanique Месяц назад

    Asante kabisa nyihiyi nitamu sana

  • @KrissMwambili
    @KrissMwambili Год назад

    Nimekubali sana hiyo nyimbo

  • @nehemiamminza4663
    @nehemiamminza4663 Год назад

    Ameimba vzr sana

  • @tonynunda216
    @tonynunda216 4 года назад

    Ubarikiwesana kwa ujumbehuu

  • @كزمانفاستبن
    @كزمانفاستبن 3 года назад

    Asant.muimbaj.mungu.akubarik

  • @giftyjackson2461
    @giftyjackson2461 3 года назад

    Nakupa vilivyo sana

  • @marynaishorwa7088
    @marynaishorwa7088 4 года назад +4

    Iko Shwari,,From Kenya,God bless

  • @carolinemoraa4885
    @carolinemoraa4885 3 года назад +3

    Thank you so much our brother for your good advice really am the one that ur telling no rushing to marriage let me wait plz be blessed alot

  • @RUTHOMBATI-l2r
    @RUTHOMBATI-l2r 9 дней назад

    Ukweli ujana n changamoto

  • @samwelsiageni4269
    @samwelsiageni4269 4 года назад

    Yapendeza sana

  • @evawayesu7848
    @evawayesu7848 4 года назад +16

    Wow thank you so much my Son l.m so happy for this song because is a good message 🥰🥰🥰🥰🥰👍🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @Solanjerecho
    @Solanjerecho Год назад

    Woow Wimbo muzuri sana 😢

  • @SamwelOmwenga-ny9th
    @SamwelOmwenga-ny9th Год назад

    Kazi nzuri

  • @rghttyy2148
    @rghttyy2148 3 года назад +2

    Mungu akubariki sana kaka kwenye kipaji cako 🙏🙏❤❤❤❤

  • @johnirungunjuguna4208
    @johnirungunjuguna4208 Год назад

    Poa braxa ukweli peupe

  • @dafineever584
    @dafineever584 3 года назад

    Jamani barikiwa sana

  • @edumind2252
    @edumind2252 3 года назад

    Ndoa ngum mzee

  • @naomyndopi5355
    @naomyndopi5355 4 года назад +10

    Amazing And nice voice keepit up my brother watching from Norway.

  • @havefunwithdimitreeandgiya7125
    @havefunwithdimitreeandgiya7125 4 года назад

    Nikweri mungu akubariki

  • @cyruswafula859
    @cyruswafula859 2 года назад

    Si Mungu akubariki amani

  • @janeachila7309
    @janeachila7309 2 года назад +4

    Hurry,hurry has no blessings.God's time is the best.Thanks brother for bringing it up clearly,,,be blessed as you proceed with your mission of spreading sweet and so encouraging words.Through your wonderful gospel songs Amen.

  • @CarenWabosha
    @CarenWabosha 18 дней назад

    Aki mungu akubariki ...i do love❤your songs so much😊

  • @Mellymwogoi
    @Mellymwogoi 3 года назад

    Kweli kabisa 🇰🇪

  • @evalinecheminusi6216
    @evalinecheminusi6216 3 года назад +4

    This boy is talented

  • @millieligala597
    @millieligala597 4 года назад +15

    What a nice and encouraging song! Thank you so much my brother. Everything is perfect ❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪. May God continue blessing your work. Perfect combination of everything. From instrument,vocal name it. From Nairobi-Kenya.
    Thank you. We love you from +254.🙏

  • @prosscoviabisoboka7319
    @prosscoviabisoboka7319 2 года назад

    Respect my brother

  • @mercyirene5215
    @mercyirene5215 4 года назад +7

    Nice message to unmarried young ppl go on my brother am watching from kenya

  • @benmtatemusic
    @benmtatemusic 4 года назад +11

    Gospel artist From Kenya, kazi poa

  • @EstherKabika-b4v
    @EstherKabika-b4v 7 месяцев назад

    WAAMBIE WAKO HAWAJIELEWI NDOA INA. QUALITY. KUBWA YA KUMUINGIZA .MTU MBINGUNI MKIWA WOGE WAAMINIFU. MRS KABIKA