Annoint Amani - Usikimbilie ndoa ni Moto (official Video 4k)Skiza tone 9047805 to 811
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- #usikimbilie#ndoa#nimoto
NAAMINI KUNA KITU MUNGU ATASEMA NAWEWE KUPITIA UJUMBE HUU UKIUSKIRIZA KWA MAKINI UTAELEWA MAANA YA HUU WIMBO,
USIKIMBILIE NDOA NI MOTO JE NDO MAANA HARISI YA HUU WIMBO??
BAS SKIRIZA VIZUR UELEWE .
MAANA LAZIMA TUJUE ILI KULIPONYA KANISA AU JAMI INAYO TUZUNGUKA,
LAZIMA NDOA ZIWE SALAMA BILA USALAMA WA NDOA JAMI INAYUMBA SAANA.
PIA VIJANA WAWEKEWE MSINGI MZUR KATIKA MAHUSIANO.
WATAMBUE YALIYO YA KWAO,
NA YASIO YA KWAO.
KILA MTU AJUE UZINZI NI DHAMBI NA UWASHERATI NI DHAMBI.
.
KWA MWANANDOA UNAE MTUMIKIA MUNGU SHIDA IKITOKEA KWAKO, KABRA HUJACHUKUA HATUA
KUMBUKA WEWE NINANI KATIKA JAMII,
HAKIKISHA MAHUSIANO YAKO HAYAWAONDOI WATENDA KAZI SHAMBANI MWA BWANA.
MAANA KILA MTU ANA MTU AU WATU NYUMA YAKE..
MAAMUZI YAKO YANAWEZA KUWA FAIDA KWAKO NA HASARA KWA WALIO NYUMA YAKO..
HAPO NDIPO MUNGU ANA CHUKIZWA NA MTU WA AINA HIYO, MAANA UNA HARIBU MWILI WA KRISTO KWA FAIDA YAKO MWENYEWE.MUNGU ATUPE HEKIMA ZAID
ILI TUMALIZE MWENDO SALAMA,
I BELIEVE THERE IS SOMETHING THAT GOD WILL SAY TO YOU THROUGH THIS MESSAGE.
DON'T RUN AWAY MARRIAGE IS FIRE DOES IT REALLY MEAN THIS SONG ??
PLZ LISTEN WELL UNDERSTAND.
FOR WE MUST KNOW TO HEAL THE CHURCH OR THE COMMUNITY AROUND US,
MARRIAGES MUST BE SAFE WITHOUT THE SECURITY OF MARRIAGE SOCIETY.
YOUNG PEOPLE ALSO HAVE A GOOD FOUNDATION IN RELATIONSHIPS.
Let them know what is theirs,
AND NOT FOR THEM.
EVERYONE KNOWS THAT ADULTERY IS A SIN AND ADULTERY IS A SIN.
.
FOR A COUPLE WHO IS SERVING GOD WHEN TROUBLE HAPPENS TO YOU, BEFORE YOU TAKE ACTION
REMEMBER WHO YOU ARE IN THE COMMUNITY,
MAKE SURE YOUR RELATIONSHIPS DO NOT REMOVE WORKERS IN THE LORD'S FIELD.
I MEAN EVERYONE HAS SOMEONE OR PEOPLE BEHIND HIM ..
YOUR DECISIONS CAN BE BENEFICIAL FOR YOU AND LOSSES TO THOSE BEHIND YOU.
THEN GOD HATES A PERSON OF THAT KIND, BECAUSE YOU ARE DESTROYING THE BODY OF CHRIST FOR YOUR OWN BENEFIT. GOD GIVE US MORE WISDOM
TO END THE SAFE TRAVEL,)
artist Annoint Amani
song Usikimbilie ndoa ni Moto
album Fainal ni Kesho
(language Swahili)
Skiza tone 9047806 to 811
Studio A.E.A Tones
.Video A.E.A Dir by meddy
Tanzania Dar es salam
Instagram annointamani
For bookings +255767240181=+255755099942
Email.amananoint@gmail.com
Tunaoangalia hii nyimbo sasa hivi gonga like tujuwane hapa
NASHUKURU KUONA KILA MTU AMEGUSWA NA HUU UJUMBE,
BAS NAOMBA TUOMBE MUNGU TUMALIZE MWENDO SALAMA KAMA UNAOGOPA KUFA PRESHA BURE GONGA LIKE HAPA,,
TUFIKE LAK 5 KISHA M1 NA KUENDELEA MPKA MUNGU ABEBE HESHIMA NA UTUKUFU,,
Niko hapa Dubai tunaskiza na marafiki wanzangu.... my dia hongera sana
@@berniceonegbmusic2324 Kwanza ana sauti nzur alafu ni Handsome hatar ,ujumbe mzito sana naamini hii nyimbo itafika mbali saana sana,,yani VIEW M1 SASAIVI INAFIKA
Surely i love your songs and i ave them more i download them thanks alot am much blessed
Better wait long than marry wrong,ujumbe mzuri saana,afadhali kuomba na kusubiri wakati wa mungu🙏🙏
Very informative song God bless you brother I like your songs very much keep up
Kazi nzuri...wap likes za mwimbajj kama umekbaliana nae
Upo vzr kaka angu hongeraaa
254 kaa umekubali hii piga like hapa
Hatar
Ujana ni maji ya moto
Ujumbe mzuri ,hongera sana Annoint
Vumilia mud bado
Nina sababu yakupendezwa na nyimbo zakwako mungu akupe nehema kibali pia na ujaziri Ili utueleze ukweli kaka angu🇰🇪Liz from Kenya
Rewind
Pressure is not my portion am waiting for the right time as adviced by brethren Annoint,,,,am soo blessed brethren,,gudozz,,,,,,wapi watu wa 254 na likes zenu
True inspiration kaka. Ndoa sio football. Wapi likes zake Amani
Kweli kukimbilie ndoa ni shida,nlkua najipanga nioe hata sioi tena
😂😂😂😂😂😂 umenibamba,,
Hope Muslim wanaskia hii wimbo
Kimi kabisa iyi ni Fundisho la kueli Ndoa Ni Hatari Mulangoni Hai ko mchezo Ah Amen Amen Amen Shalom Shalom
bwana yesu asifiwe? mtumishi Amani. ubarikiwe sana nyimbo zako uwa zinanijenga sana na kutia moyo, ni bright city from kenya Trans_nzoia county
Ukamanda kwenye kituo ca majeshi kabsaaaaaaaass siyo kwa mkeo bila hivo utabaki peke yako baba.ukifika mbele ya mlango ukamanda achia pale pale kwaani unaingia kwenye ingine office , utaupitua ukienda kazine kesho usubuyi
Wenye NDOA tumekuelewa sana sana ahsante kwa ujumbe mzuri, kweli NDOA basi kwa sababu mtu unakuwa hujui tu yatakayo jiri baada ya kuolewa au kuoa. MUNGU tusaidie.
Yes dear, no one never knows what is install for him or her
Mkesema ivo mnatisha mbona, unataka kusema wale wanaoliaga wakat bint anaaga sio kwamba atammic ni kwamba anamwazia atakoyokutana nayo huko???
@@tinahfelix4501 ndo ukweli ndoa syo send off na sherehe ya harus inahtaj moyo mgum na uvumiliv wa hali ya juu.
Tell them again my boyfriend, likes zangu from +254
Hi
Sisemi usioe lakini usifanye haraka sisemi usiolewe lkni usifanye haraka ,,,I got the point bro congrats ,,,luv from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Jameni nani atanikutanisha na huyo mkubwa wangu
Kipande cha rayvanny cha song NAOGOPA 💙💙💙💙
Shida ya ndoa haibagui tajiri au maskini.Ndugu Esau Mungu akubariki.lnjili mbele.Maombi ni dawa ya ndoa sugu.
This has touched my heart 😭😭😭 goosebumps tuu😭😭😭I have been worried about relationship issue....but last night I asked God to give me directions...and today he has revealed to me wat to do😥😥😥Thank you Lord Jesus for this revelation 🙏🙏🙏much love from Kenya ❤️❤️
Aise nakuelewa sana mtumishi, MUNGU wa mianga azid kukuuinua
Kale katabia kako kasiria mwenzio lazima ajue tu 💯
Haleluja,Asante Mungu kama utani milioni Moja.
Naludy tena kuweka cemented yang ujumbe umefika
❤❤❤🎉Jamani wimbo yako ni moto kila mara
Mwanzilishi wa ndoa niwewe MUNGU tusaidie baba
Kweli kabisa inabidi ukabidhi ndoa yako Kwa maombi
For real, utamchunguza mpaka lini, watu ni kuamiana, if two love birds truly love each other, then they'll be no other second love or choice. If you fall in love with two people, marry the 2nd one, because, if you truly loved the first, you couldn't fall in love with any other! Wimbo wako kaka wabariki roho yangu kila kujao. Barikiwa milele.
Nice song, it's true ndoa ni moto sikimbilii ndoa nooooh
Naona ngoma ina kwendaaa twemde mpka lak 5 najua twafika sasaivi ili tuenze kuekea M1,
huu mwaka Mungu kumuinua na atainuka kweli
Very powerful song iko na mafundisho
Kweli mtumishi ndoa ni ngumu syo ya kukurupukia
True message bro I love ur song hata dancing style
Hunahakili wewe baba ako asingeowa ungezaliwa na panya au . Muulizee baba ako aliishije na mama ako uchukuwe hatuwa. Hata vtabu vmeandkwa mwanamke uishiena kwa hakili wewe.
Kwani amekuambia usioe au kaongelea matatizo ya ndoa hebu msikilize vizuri sio unatoa lawama ambazo hazina msingi
Wow....mob love from 🇰🇪 KENYA
Ndoa ina chakamoto zake lakini kwanza Mungu mbele kwa yote. Nice song be blessed Esau
Good work bro keep it up your are going far
Mubarikiw kabisa nyimbozako nzuri
Shukran Ndugu.
Naitwa Jean Aimable T. From inchi ya Rwanda, nazipenda sana nyombo zako, ubalikiwe na Bwana Elohim.
Best regards.
Haya dogo umetisha
Nimekupenda bule kaka unajuwa sana kuimba umefunika yaani unaongea ukweli kabisa jamani 🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️❤️❤️❤️💓💓💓💓💓💓💓
Kama historia uko mû imbaji kwa kweli
Bro am in love with this song just watched it tonight when coming from mombasa kwa rosy shuttle...bro be blessed
Ahhh Vraiment Ni Kueli Hatari
Hi.nimeipenda ngoma yake .ila musikose kuowa na kuolewa. But acha 🍠 tamaambaya. 😍😍😍 mana ni sumu ya ndoa. Daaa😍💝😀💝
I love this. It's reality. Most of us youths fear talking of the reality of life. Especially born again Christian. I represent Kenya
Amen 🙌🙌🙌❤
Ubarikiwe Sana kijana wa yesu
Jaman Mungu akuinue zaidi ya hapo
Mungu akubariki kwa wimbo mazuri
Hata wachungaji ndoa zao ni moto wanalilia moyoni hawana wa kumwambia.kweli kabisa hii kijana MUNGU akubariki sana
Kweli kabisa kaka
Kazi zako nazikubali sana
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰❤️ penda sn
😃 yes, marriage need preparation and prayers. Good wisdom!
Barikiwa sana...nyimbo yako inafunzo kubwa sana
Nafurai n'a wimbo naYesu akubariki
Na umevaa vizuri leo
Usiwe navaa Sawa rasta.
Ukweli haya,ndoa rasmi ndio yatakikana ki Kristo,nimebarikiwa Sana zaidi kupitia kwa hii wimbo
Kazinzuri Sana munguakujalie
safi sana kaka kazi nzuri
Kabisa yaani duu!!noma sana
Huyu jamaa anajua mengi
Annoint anaimba vizur sana
Ubalikiwe sana mtumish w
Kweli tusikimbilie ndoa
Lyk mother lyk son gud work
Nzur Sana barikiwa
Amazing songs...from kenya
Praise God brethren
Hii song nimeikubali 100% congratulations bro
Thanks aman kwa nyimbo zako nimezikubali
May God continue lifting you up and up
Barikiwa Sana anoit
Pongezi kazi poa
Daaaa kwa huu ujumbe umenikumbusha cku moja nilikwenda kwa mchungaji kwa shida yangu, kabla sijaingia nilisikia mke wake akisema najuta kuolewa na wewe ,,daaa nikarudi kinyume nyume maana nilikwenda pale kwa matatizo yangu ya ndoa Sasa kusikia hivyo nikaona Sasa atanisaidieje wakati yake tuu iko matatani
Ujumbe mzuri Sana
Ok sawa nimeikubali
I wish i heard this early😢, but i believe in God
Asante kabisa nyihiyi nitamu sana
Nimekubali sana hiyo nyimbo
Ameimba vzr sana
Ubarikiwesana kwa ujumbehuu
Asant.muimbaj.mungu.akubarik
Nakupa vilivyo sana
Iko Shwari,,From Kenya,God bless
Thank you so much our brother for your good advice really am the one that ur telling no rushing to marriage let me wait plz be blessed alot
Ukweli ujana n changamoto
Yapendeza sana
Wow thank you so much my Son l.m so happy for this song because is a good message 🥰🥰🥰🥰🥰👍🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Woow Wimbo muzuri sana 😢
Kazi nzuri
Mungu akubariki sana kaka kwenye kipaji cako 🙏🙏❤❤❤❤
Poa braxa ukweli peupe
Jamani barikiwa sana
Ndoa ngum mzee
Amazing And nice voice keepit up my brother watching from Norway.
Nikweri mungu akubariki
Si Mungu akubariki amani
Hurry,hurry has no blessings.God's time is the best.Thanks brother for bringing it up clearly,,,be blessed as you proceed with your mission of spreading sweet and so encouraging words.Through your wonderful gospel songs Amen.
Aki mungu akubariki ...i do love❤your songs so much😊
Kweli kabisa 🇰🇪
This boy is talented
What a nice and encouraging song! Thank you so much my brother. Everything is perfect ❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪. May God continue blessing your work. Perfect combination of everything. From instrument,vocal name it. From Nairobi-Kenya.
Thank you. We love you from +254.🙏
Respect my brother
Nice message to unmarried young ppl go on my brother am watching from kenya
💗💗💗💗💗
Gospel artist From Kenya, kazi poa
WAAMBIE WAKO HAWAJIELEWI NDOA INA. QUALITY. KUBWA YA KUMUINGIZA .MTU MBINGUNI MKIWA WOGE WAAMINIFU. MRS KABIKA