Annoint Amani - Mama Sukuma mtoto atoke (Official music Video) sms SKIZA 9048515 to 811
HTML-код
- Опубликовано: 8 авг 2019
- #mama#sukuma#mtotoatoke#annointamani#
Huu wimbo ni zawadi kwaajiri ya kina Mama wote duniani,Lengo ni kuwatia nguvu wanawake,wajue bila wao misingi ya watu dunia isinge imarika,Mama ni msingi mkuu alio uweka MUNGU duniani kwaajili ya mwanadam,Tunaweza kuona mfano mdogo wa upendo wa Mungu kupitia malezi ya mama kwa mtoto,Hakika mama ni kipenzi cha MUNGU.)
(This song is a gift to the deepest employers of all mothers in the world, the goal is to empower women, to know without them the foundations of men the world would not be strong, Mother is the great foundation that GOD has laid on the earth for man, We can see a small example of God's love through the formation of mother to child, Surely mother is beloved of GOD.)
Artist Annoint Amani )
Song Mama Sukuma mtoto atoke )
Studio A.E.A TONES.Producer by tallent )
language kiswahili from
East afrika Tanzania
(Instagram annoint Amani
email amananoint@gmail.com. WhatsApp & call +255767240181_ +255755099942 )))))((
sms SKIZA TONE 9048515 to 811)
mtunzi na mwimbaji Annoint Amani )
(Video Directed By Yotham Lyobha +255713 030 763 )
Mwanamke aheshimiwe ata kama ni mtoto mdogo kama unakubali gonga like
Kabisa eshima ata kwa mtoto mdogo bora awe wa kike...shukran
Nakupenda mama yangu❤❤❤❤❤
❤
@@sharonnanjala6968❤❤. C
❤❤❤❤❤❤
Any one in 2024,in love with this song from kingdom of Africa 🇰🇪
Nimerudi kuisikiliza hii nyimbo 2024 🙏🙏
Mimi kama mkenya nyimbo zako zanibariki sanaaaaa mungu azidi kukutumia hivyo ukifahamu kuna taji mwishowe
Mama ni mama tu. Jamani nyimbo nzuli San km. Umeikubari gonga like twende saw
Mungu akubarki kijana.mama ni mama tu hana mfano.
@@christinanguna9589 umeona ee
Kweli hapa umetisha hatariiii
Wimbo huu unanibariki saana
Nakupenda sana huo wimbo
Kweli mama nikipenzi cha mungu,kama unampenda mama plz likes zenu
Aminaah Aminaah Aminaah 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
I love to be a single mum😢😢😊but one day mungu atanionekania 😢
Mama ni mama Tu ni ukweli wimbo nzuri like
Jamani mama ni waheshima hata kama kiwete,wagapi wananiunga mko,nionye na likes😚😚😚
Ke sa
I just like the songs. Sure you are the anoint..
Mama mama mama mama ni kipenzi cha Mungu,hakika video nzur saana,yani hii itapigwa kila sehemu,kama hii haitavuma bas uhame nch Annoint,Kama una kubaliana na Mimi gonga like
Ee kweli kabisa
Lakini naona wameikubar jamani inaenda tuombee Mungu hii ipate view ambao wata mtia nguvu saana ANNOINT .
Jaman mamangu mungu akulaze mahari pema kipenzi changu ubarikiwe pia hesau
Malaya
malaya
Aliyenizaaa mimi ni mama,♥️♥️♥️
Nampenda sana mamangu ♥️
Ouuuuuuhhh 💃💃💃👩❤️💋👩🤰🤰🤰🌹 uuuuuwiiiii wololo mama 💃💃💃💃💃💃👏🏻👏🏻👏🏻 yayeeeee💃💃💃💃💃 i wish mugeelewa vile huwa nafeel nikisikiza huu wimbo yawa aliabiwa mama sukuma nikazaliwa 🤰🤰🤰🌹🌹🌹🌹💃💃💃💃💃🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 may God blles you bro for this song 💃💃💃💃💃💃👩❤️💋👩👩❤️💋👩👩❤️💋👩
Wangapi tuko hapa kukumbuka siku ya leo?. Happy women's day😍😍❤❤🔥🔥🔥
Jesca Joseph
Hi wimbo unamafunzo
Heko mama
Today again
Ii nyimbo ni nzuri jaman 😭😭😭ubarikiwe kaka 🙏🙏🙏
Nikweli hapo umetisha hakuna kama mama😋😋😍😍👸👸👸
Wewe ndiwe mchungaji wangu tena kiongozi wa maisha yangu
Jamani jamani jamani nimechelewa saaana Leo ,,Hapa Annoint umejibu maombi ya mashabiki wako kutuletea video nzuri kabisa yenye viwango,kama nawewe umefurah kuona video kali na audio Kali gonga like
Kwa kweli imenifurahisha na kuniliza
Congratulations annoint
God bless you 🙏💖👊👋👍💞👌 penzi nzuri lipo kwa mama mmmmmmmmcha 😘 mummy's 😂💖
Asante sana kwa video hii nzuri.
So so sweet
Jamani kaka mbon nyimbo nzulisan dah ubalikiwe popote ulipo
Napenda nyimbo zako sana
Annoit amani God bless you so much,ninapo sikia wimbo huu nakunbuka mbali sana
From TikTok😳🤌kumbe ulitolewa kitambo jamani, I love this song🥰
Wimbo umenibariki mnoo mama nisamehe pale ninapokosea
Amen
Mungu anatosha
Pole sana dear
Asante Sana kaka mungu akubari mwimbo mzuri Sana😘😍🙏
Mamy long life ilove you nisamehe mahali nilikukoseA nimehibiriwa
Ubarikiwe nami kama mama nimefurahi nilisukuma 6 ahsante Mungu wangu
Ongela
Hakuna ata siku tutamupata muzuri kama mama. Tunabudi sana kuheshimu wa mama wakati wangali wazima. Ninampenda kila mama japo maman alefariki Ila naona kama Nina wa mama wengi
Kwa ma mum,nakupa huu ujumbe uliobora kwangu.barikiwa bro
safi sana ,mimi mislamu lakin muungu akuongoze baba
Nani kama mama
Dua yako Mungu ameiskia
Wow aliambiwa mama sukuma akazaliwa kanumba,diamond ,Kenyatta ,Obama nd my mom alisukuma nikazaliwa 😘💖am so proud of u my mom .....am just in love wth tjoa song ......its so amazing wow 😍😍😍😍💜💕💚💚
Yaani mama ni mamaa
This song reminds me of my late wife😢😢 I used to forward to her during Mother's day.
Kweli kabisa hakuna kama mama nakupenda sana maaam ❤❤❤❤❤❤
Nasubiri kwa ham lak 5 hebu naomba kwa heshima ya mama jamani wimbo ufike levo Ambayo sio kawaida ili wajue mama ni no 1 duniani,,,
Niliambiwa Joyce sukuma,nikamzaa Witness! Ahsante Mungu kwa kunipa heshima ya kuitwa Mama. Wimbo mzuri sn, ubarikiwe mtumishi wa Mungu 🙏🙏
Hatamimi by the grace of God najua ntaambiwa nisukume
00
Woooooow jmn hongera san me py ntaman kuitwa mama lakn mungu bhd hajaruhusu
Mama aheshimiwe ata hawe na kiungo namna Gani.💙💕💙💕 Be blessed all mothers wherever they all.Tunawapenda Mmwaaaaaaahhhh💟💟✅💟💟✅🙏🙏💟
❤
G.
Nakupenda sana mama na nitazid kukuombea Kwa mungu akupe maisha marefu. Japo Bado sijaitw mama wimbo umenivutia sana na namwomba mungu na me niitwe mama
Tutawakumbuka wa mama wa marafiki zetu, mashangazi zetu. Mungu awapumzishe kwaamani🙏🙏🙏
Mungu awe faraja kabisa jamani jitie nguvu Mungu yupo kwaajili yako
Kabisaa emenena Emeen
Hii wimbo itabaki kuwa nyimbo nzuri in generations to come. Those who will be watching in 2099 wajue mama atabaki kuwa mama
Wow inspiration words ❤❤ happy international women's day to all women's
Mwanamke aheshimiwe hata Kama mtoto mdogo maana uchungu wa mwana mwanaume haujui kabisa❤❤❤❤❤
Nimelia mimi jamani nasikia uchungu nimemzika Mama yangu kipenzi Trh 27 /3/2020 ntamkumbuka kwenye Maeneo mengi Mama yangu.
pole sana Mungu akutie nguvu
Pole sana mpendwa
Pole Mungu akuponye moyo, uwe mama kama yeye ili umuenzi
Vr sor
Pole sn
Hongera sana brother Mungu azidi kusimamia kipaji chako
Mambo ni firee
LALA SALAMA MAMA YANGU TOKA MWAKA 2002 UMETUTOKA AMINA MAMA YANGU KIPENDE UWIII
Kila mwanamke apewe heshima tuko na kazi ngumu kulea ndio kazi usimchome amen nice song.
Mama sukuma ni wimbo wangu wa Mwaka 2019 & 20 na kuendelea maana huu wimbo umeniliza jamani yani umeimba kila kitu tunacho pitia wanawake,,Unaitaji zawadi taifa lifanye kitu kwako,
Kabisa jamani
Huyu kaka abarikiwe sana.
H
Tg
Mama ni nguzo ya kila kitu maishani
Ayiii my mom ameniacha mdogo sasa ivi na mim naitwa mama, nimejikuta naliya, RIP mom ntazidi kukuombeya kwa mungu
Mama jamani ni kila kitu tujipe moyo jamani Mungu yupo,,Na wanawake wote tunao waona hao ni mama zetu,,
I feel for you 😢... husife moyo wewe ni shujaa 🎉🎉❤
Nakupenda sanaaa mum 😢😢😢😢💞💞💞💞💞💯🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙇🙇
Mungu akubariki sana🙏🙏👍👍❤️
I will continue watching this song until the end of my life mama sukuma wimbo mzuri sana barikiwa namungu pa wimbo huu
Namimi
Ni Wimbo wenye kuhuzunika
Ilove my mumu ❤
What a beautiful song nimesikiriza huu wimbo since Yesterday mama no one like u ..and all mothers in the world 😍😍😍😍😍😍😍💋💋💋💋💋💋💋💋
More love from Kenya 🇰🇪🌹
Very nice one
Nice
Good song
Indeed waaa
Sweet song
Wimbo mzuri naupenda nausikiza mara kwa mara
Mwanamke ahegimwe ATA kaka in mtoto mdogo kama unakima❤❤❤❤
Huu wimbo nimeusikiza mara kadhaa, unaleta raha kidogo huzuni yani kazi safi kwa kweli
Yaniii wee hauchoshi
Never knew about this song until I heard my 3year old son sing 'hakuna mrembo km mama😛' I am blessed 🙏
Nimesikiliza sana unagusa moyo wangu ♥️♥️🙏🙏🙏🙏🙏🙌🙌🙌
Woooow,wamama hoyeeeeee❤❤❤❤🫄🫄🫄🤱💃💃💃💃ubarikiwe sana kaka hii Wimbo n tamu muno
The voice and words are very touching respect to mothers!
Aliambiewa Mama sukuma akazaliwa Noel good bless Mama wote mungu awabaliki wimbo Bora wa gospel 2022, huu
Kweli kabisa Ubarikiwe sana mwenye uliimba hii nyimbo🙏🙏♥️♥️
Kweli pongezi kwetu kina mama
Wimbo mzuri sana, wa mama wote barikiweni na ujumbe huu.
Kbsaaa my dear shikamooon
Nimebarikiwa sana, Endelea Kubarikiwa Mtumishi wa Mungu🙏🏾🙏🏾
Annoint ongoza Taifa liabadilika Mungu kakupa kitu
Asante umekgusa et
Tuombee huko uliko
Alie nizaa Mimi Ni MAMA nakupenda Sana Mama yangu Mungu akulinde kila hatua
Hata kama mama yangu ametangulia mbele ya Hali bado nampenda
Annoint una endelea kugusa moyo wangu yaani ume nibariki baraka isio kua na kifani. Barikiwa na bwana mtumishi
Kweli jamaa yangu
Haunishindi Mimi
45tghhh b bbh u
Much love from kenya
Mama nampenda sana
Mama yangu nakupenda 🤍🤍wamama na wanawake wote waheshimiwe
Amani Hii uliweza, all the way from Kenya, Mwahali Mwarimo. Congratulations Broo.
Hii Nyimbo ni Kama ina upele inakuna Kuna kurudia kuangalia 😂😂😂
mwanamke aheshimiwe nampenda mama yangu sana hata kama amekufa rip 😭😭 mama yangu
Aliambiwa mama sukuma ukazaliwa ww unaeangalia huu wimbo!!!!!
Hongera sana kaka angu kwa ujumbe mzuri km huu kuielimisha jamiii yetu Amina 🙏🙏🙏🙏🙏
From Nairobi. I just want to ask if am allowed to replay this song 20 times because I have done replays 19 times and am getting tempted to listen the whole day🤔🤔. #Happy mothers day to our cute and wonderful mothers# God bless Annoint Amani for this great song.# RIP my dearest and lovely sweet mama#
It's mother's day, replay infinite times
Listening too from UG. Nice song.
I also can't help my self replaying it more and more just love it
Mama ni mama aheshimiwe wanaume huo ujumbe uwafikie
Mama ndie uwa la roho yangu nampenda san mama BG love my mum my happyness 💖💖💖💖💖💖💖🙌🙌🙌🙌
So coool....🌹i love this song
Congratulations 🎊 bro hakuna mtu kama mama❤❤❤ mama ni mama to so annoint essau amani jikaze sana kumutumikia mumgu aliye kupa sauti nzuri ya kuimba.Tumeona mabadiliko kwa vijana waliyo potoshwa na dunia wamerejea kwa bwana sasa hiyo ni jambo kubwa sana annoint mutumishi wa mungu mm wako mercy from uae 🇦🇪
In a time where there's is increased femicide especially in Kenya, this song is incredible 🙌🏾 Thank you for highlighting the value of a woman.❤
Siku nyingine muimbie baba kwa kumshukuru kukuchagulia mama Bora ,,, daima kichwa kitabaki kichwa tu haitabadirika kuwa mkia.
Tamuuu sana aliambiwa mama sukuma akazaliwa Annoit
Wimbo mzuri
Gud xong
Mama ni mtu wa maana katika maisha yangu. Nakuheshimu sana mama🙏
Mama ni mtu muhimu sana katika maisha yangu I love my mumy💚💚💚💚💚💚🧡💛
Hakuna km mama hapa dunian,nyimbo nzuri nimeipenda sana barikiwa mtumish kwa ujumbe mzuri
Sijawai. Kumuona mum but ulipo mum nakupenda sana
What a beautiful song mama ni mrembo hakuna kama mama barikiwa sana mtumishi sauti imechujwa kutoka mbinguni nimebarikiwa sana
Nice song God bless you ♥️♥️♥️♥️
Just landed here after kuiona Kwa status ya mtu
Hahahahahahahahaha
From Burundi naipenda wimbo huyu jamani balikia kaka
Mama ni mama usije ukamdharau mamayako na mke wako ,hapo watu niwamaana sana
Yaan siku zote najuaga wimbo wa Rose,,,kweli hii ajabu.
A very nice song
Yan kuazia leo mke wangu nimemweshimu ni mama yangu kumbe barikiwa annoint
Hahahahahaaaa nimefurah kuona umelitambua hilo ubarikiwe sana
That's true tuwaheshimu wa mama
I miss you mom hii wimbo imeniguza sana😢😢
Nice song nakupnda mama uliambiwa sukuma nikazaliwa amina lv u my mom
Kama Kuna mrembo duniani ni mama💕💕special dedication to my mama💜I love you ma'am
Amen Amen....ujumbe mzuri sana kaka Anointing uzidi kubarikiwa kweli unaguza nyoyo zetu
Mguso mkubwa mnoo
I love you Mamy so much because of you today I am here
Our Sunday school kids dedicated this song to us yesterday in church I could not stop crying
Aliambiwa mama sukuma mimi eva nikazaliwa! Love u mama
Tuko pamoja twapenda mama zetu
Siku ya akina baba pia tuwapee likes zao pia
Mama haeshimiwe jaman ata Kam ni mtot🎉🎉🎉🎉🎉
Huu wimbo naupenda sana, hakika upendo wa mama kwa mtoto haupimiki
💪💪💪
Ubarikiwe sana mutumishi wa mungu kwa ujumbe wako muzuri. 🙏🙏🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Nice song napenda sana huu wimbo unanikumbuza mama yangu gaki
Ubarikiwe sana mutumishi wa mungu me nimuslamu ila nyimbo zako hakuna siku ispite nisikilize maana huwa huwa zinagusa moyo wangu sana
Mama apewe heshima yake 😘😘😘😘strong one hadi machozi inajitoa tu ukisikiza 😢😢😢
Kabisa