Wajumbe Wachachamaa, Rais Samia AOGOPA Amuomba Kikwete Aingilie Kati Kutangaza Mgombea Urais wa CCM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии • 151

  • @NehemiaZakeo
    @NehemiaZakeo 11 дней назад +3

    nawapata sana nikiwa mimi huku na chapa kazi kuna dada kaongea vizur hapo heee!!🎉

    • @godwinkileo7702
      @godwinkileo7702 8 дней назад

      Kaongea point sana, ila hawataki kufata katiba ya kusimamisha wagombea watatu ili wapigie kura mtu wanae mtaka.

  • @hajjseif5737
    @hajjseif5737 11 дней назад +2

    ina maana mchawi ni maalim seif?maana ndo marehem,huyu mzee kikwete ana mafumbo kweli,mchawi keshakufa kweli lkn mungu hafi mnaweza kushindwa CCM mungu akitaka na inshallah iwe hvyo

  • @AlbertSabo-hp3ss
    @AlbertSabo-hp3ss 12 дней назад +5

    Naona kama maigizo 😮.

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 8 дней назад

    Watu wanapenda madaraka aisee, dada Mwasi kaongea vizuri sana, madaraka matamu😢 na ukiongoza ongoza kwa haki maana Mungu atakuulizeni baadae.

  • @STEVENKAJUMBA
    @STEVENKAJUMBA 11 дней назад +5

    Wazungu tunawasingizia tuu mchawi wa mwafrika ni mwafrika mwenzetu .

  • @abdallahmindika1641
    @abdallahmindika1641 12 дней назад

    Tumemaliza viongoz wale wale mama leta hela za michezo tenaaaaa❤❤❤
    Tunazpenda mnooooooo

  • @annasitaziakamtewe
    @annasitaziakamtewe 12 дней назад +6

    Kazi kubwa mliofanya ni kuteka watu,kuna kazi nyingine ipi.

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 12 дней назад

      Na nyie kazi kubwa mlofanya ni kukunja ngumi na kusema piiipooos,ngoja kesho mtoboane macho tuwaone

  • @patriciamuganda4498
    @patriciamuganda4498 12 дней назад +5

    Unafiki na Kujipendekeza

    • @misanamaige
      @misanamaige 9 дней назад

      @@patriciamuganda4498 Wivu,uchu wa madaraka na kutoridhika ni jambo lisilofaa. Viongozi wetu wanajitahidi sana, kamwe hawatatuletea pesa mfukoni mwetu lakini kama taifa kazi imeonekana. CCM Oyee! Big up Mama Samia. Mungu ibariki Tanzania.

  • @GabrielMwakasege-sx9wv
    @GabrielMwakasege-sx9wv 11 дней назад +2

    Mm ni mwana ccm lakini kwahili sipo tayali na hakuna kifungu kinacholuhusu haya

  • @alliyhamis6014
    @alliyhamis6014 9 дней назад

    Wengine wapambe tyuuuu.....watanzania wanafiki sana.....

  • @emmanuelodiembo
    @emmanuelodiembo 12 дней назад +3

    Nimefurah sana alipopewa Mhe. Kikwete, nlitarajia hekima na majibu yenye kujitosheleza, honestly Tanzania inafanya mambo mazur sana hasa umoja huu kwenye mambo haya

  • @mwasoprince3459
    @mwasoprince3459 11 дней назад

    Wajumbe hoyeee

  • @imanisaveri8921
    @imanisaveri8921 9 дней назад

    Hataki demokolasia😊

  • @habibujamali5746
    @habibujamali5746 12 дней назад +1

    Kweli mama endelea

  • @webstersinje7712
    @webstersinje7712 12 дней назад +2

    Tanzania Maendeleo ya kweli ngumu kuyapata,tutaishia tu kusifiana sifiaba kugawana vyeo serikalini kwa upendeleo wa kujuana juana basi, viongozi makini nchi hii wenye kiu ya mabadiliko ya kiuchumi na kijamii ni wachache mno inasikitisha....Kunta...Kinte.

    • @MrKhatibu
      @MrKhatibu 11 дней назад

      Kuna vyama zaidi ya 10, mamuzi ni yako

  • @JohnMsami-r1j
    @JohnMsami-r1j 12 дней назад +2

    Tatizo kwenye maelezo ya maana mnakata maaonngezi ya maana

  • @samwelrobertmwakatobe6467
    @samwelrobertmwakatobe6467 9 дней назад

    Tatizo ni uchawa wapambe ni oyaoya mpaka wanavunja katiba baada ya kutoa fomu kwa watu wa5 mnavunja katiba kwa woga

  • @SwaleheLiyoba
    @SwaleheLiyoba 9 дней назад

    Hichi ndicho chama kimetufanya leo kuwa masikini

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 8 дней назад

    Rais wa Tanganyika na sisi tunamtaka

  • @HvhVvb-k3i
    @HvhVvb-k3i 12 дней назад +1

    Walificha madudu wee leo wamejizihirisha kwamba SAMIA HAKUWA RAISI miaka yote mi4 ALIKUWA ANAENDESHA KIKWETE muuwaji

  • @johnlightmkose4723
    @johnlightmkose4723 11 дней назад

    Oohhh

  • @ThekingBuddar
    @ThekingBuddar 12 дней назад +3

    WATANZANIA KWA SASA TUNARUDI TULIPOTOKA MAJAMBAZI NA WEZI NDIO HAWA

  • @JuhudyMachete
    @JuhudyMachete 12 дней назад +4

    Jk hiyo ni kufulu wachawi wamekufa akina nani? Mmwogope mungu mmwogope mungu msitumainie mali mlizonazo mungu ni mkuu ngoja tumungoje sisi hatuna ujanja ila yupo mungu

  • @LemaliMeyasi-r4c
    @LemaliMeyasi-r4c 12 дней назад +3

    Hata hatuwelewi mda wake umeisha ila kikwete ndio mwendesha ichi siyo samia

  • @revocatusbarnaba1491
    @revocatusbarnaba1491 11 дней назад +1

    Busara za kikwete zimemsaidia alikua ameshaanza taarabu. Mara nilijua utaomba ges, mara wewe n mbunge e. Wa mwanza e, ghafla mzee kazimamoto kamwqmbia we mama heb niachie hii shoo ya kuwazima hawa😀😀😀

    • @roberomartnez4020
      @roberomartnez4020 11 дней назад

      Wangemkazia tu tatizo la CCM ni kubebana kwenye Kila kitu siku inakuja ambayo wakumsemea mtu hawatakuwepo

  • @eastyeasty
    @eastyeasty 11 дней назад

    "Viongozi" wako ni waasi; wanashirikiana na wezi. Kila mmoja anapenda hongo, na kukimbilia zawadi. Hawawatetei yatima, haki za wajane si kitu kwao.
    Kwa hiyo asema Bwana Mwenyezi-Mungu, Mwenye Nguvu wa Israeli: “Nitawamwagia maadui zangu hasira yangu, nitawalipiza kisasi wapinzani wangu.
    Nitanyosha mkono wangu dhidi yenu; nitayeyusha uchafu wenu kabisa, na kuondoa takataka yenu yote.

  • @mosesibmshangamshanga7885
    @mosesibmshangamshanga7885 11 дней назад

    Mnawazibia wengine kugombea ..

  • @AbdullahAhmed-t7p6l
    @AbdullahAhmed-t7p6l 12 дней назад +1

    I love this leady vary brave face darect president questions low act under c cm principle how to get candidates from ccm national commitee how. To get 3 names of candidates on national commitee

  • @mohammedbakar4142
    @mohammedbakar4142 12 дней назад +1

    Hayo ndio manene ZANZIBAR atole mgombea wa raisi na TANZANIA BARA atoke pia mgombea

  • @KarigoJoseph-g9t
    @KarigoJoseph-g9t 11 дней назад

    Ccm oyee

  • @ThekingBuddar
    @ThekingBuddar 12 дней назад +2

    WATANZANIA HAWA NDIO WALIFANYA MAUAJI YA KINA JPM NA MAWAZIRI WOTE WAMEWAUA

  • @johnlightmkose4723
    @johnlightmkose4723 11 дней назад

    MMEFORCE ILA MMEBUGI SANA HAKIKA MMEBUGI.
    JE MAJINA MATATU YAKO WAPI????
    NI KITU KIBAYA SANA KUJIDANGANYA KATIKA MIOYO YENU KUWA MMEPATA KUMBE BADO MNATAFUTA BADO HAMJAPATA, MNGEWEKA WAGOMBEA WATATU HAPO MNGEKUWA MMETENGENEZA CCM IMARA SANA

  • @KostaJoseph
    @KostaJoseph 12 дней назад +1

    KIKWETE BUSARA NYINGI SANAAAAA NAKUPENDA SANA BABA YANGU

  • @HamisAlly-mx6xo
    @HamisAlly-mx6xo 9 дней назад

    Tukutane mwezi wa kumi ccm akuna jipya tunataka mabadiliko ya chama

  • @janiafaomaa5120
    @janiafaomaa5120 8 дней назад

    LISU ALIPOCHAGULIWATU AKASEMA SAMIA SULUHU ANANIOGPA ANANIJUWA MIMI NANI AKASEMA MPAKA KAMTUMA MTOTO WAKE NYMBANIKWAGU JU YA URAIS WAKE ANANIOGOPA NIMEMJARIBU MATOKEO MEGI YA YAKUFAYA ANIOGOPE HAYA MANENO YA TUDU LISSU ALIVYO SEMA

  • @imanisaveri8921
    @imanisaveri8921 9 дней назад

    Muige uchaguzi wa chadema hii inaonyesha demokolasia huru

  • @JuhudyMachete
    @JuhudyMachete 12 дней назад +1

    Sisi hatuwahukumu kitakachowahukumu ni wanaccm wenzenu waliokuwa wazalendo wa nchi hii mliowatnguliza mbele ya haki dami zao bado zinanena mtaona tu

  • @Omarjumanne-zm9zh
    @Omarjumanne-zm9zh 12 дней назад +5

    Ujinga kuwasemea watu uchawa tu hakuna demoksia ndani ya ccm ni uoga tu wa kutoa mawazo

  • @lugembesweya3288
    @lugembesweya3288 12 дней назад +4

    Ccm hapa wamebruzwa

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 12 дней назад +2

    Unalazimishwa kucheka hata kama umenuna kazi kweli kweli

  • @jumaomari3842
    @jumaomari3842 12 дней назад

    Kinaacho tusumbua sisi wafrika au sisi watanzania ni Roho mbaya Roho ya kwanini yani. hasadi zimetawala roho zetu ndio maana hatutoboi

  • @stanleysanga7758
    @stanleysanga7758 11 дней назад

    Shusheni bei ya gesi ikiwa mkaa Kuni hazitakiwi mjini bei sio rafiki

  • @EmmanuelMlowe-u1v
    @EmmanuelMlowe-u1v 12 дней назад +1

    Wazungu wanatuchezea Sana, kongo pale UN ndio M23 wenyewe. cc kwa ujinga wetu usiyo na mwisho tunaona UN wako pale kongo kuleta amani. Njia yakuleta amani Kongo waafrika tuchague, ( 1 ) Afrika iunde jeshi lao llipelekwe kongo ,jeshi hilo litahusika pia katika maeneo mengine kote Africa UN waondolewe waende kwao Amani itapatika tena kwa mda mfupi. ( 2 ) Wakongo washbiri au Africa tusibiri madini yaishe kongo ndipo Amani ipatikane maana wazungu wataonfoka Kongo Maana inacho waweka kongo ni mali zetu. UN ndio M23 wenyewe. Waasi wote duniani ni mali ya wazungu,boko haram banyamlenge, na magonjwa yote sugu unayo yajua.

  • @sethstiven3393
    @sethstiven3393 12 дней назад

    Sold out

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence1812 11 дней назад

    Zawadi zipo vijana kuwa warithi wao.

  • @NehemiaZakeo
    @NehemiaZakeo 11 дней назад

    3:49

  • @KostaJoseph
    @KostaJoseph 12 дней назад

    ILA HUYO DADA M'BUNGE HAJUI MAANA YA MKUTANO MKUU AMETUKWAZA SANA

  • @lilyjones3584
    @lilyjones3584 12 дней назад +5

    Kule Chama cha Mbowe, huku Chama cha Kikwete. Utadhani wanaongoza misukule 😅

    • @JesusJesus-ny1sm
      @JesusJesus-ny1sm 12 дней назад

      😂😂😂😂😂Shida kweli Nchi hii Tz.

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 11 дней назад +1

      Nadhani hawaana mpinzani Kwa miaka mingi ijayo
      ni kuomba katiba ibadilishwe vinginevyo hakuna kitu.

    • @roberomartnez4020
      @roberomartnez4020 11 дней назад

      Mtu anapitishwa Kwa Lazima bila kufuata taratibu demokrasia ndani ya CCM hakuna kabisa

    • @JesusJesus-ny1sm
      @JesusJesus-ny1sm 11 дней назад

      @roberomartnez4020 CCM kwa sasa ni chama cha biashara maslahi binafsi, wenye msimamo kwa ajili ya Taifa zima wameshakufa woote, tulitegemea Chadema kumbe Mbowe nae ni wale wale inasikitisha saana Tanzania.

  • @ThekingBuddar
    @ThekingBuddar 12 дней назад +1

    MAFISADI NA WEZI WAUAJI HAWA WOTE WANAFIKILIA MATUMBO YAO NA KUWA MATAJIRI WAFANYAKAZI HEWA WANARUDI

  • @ThekingBuddar
    @ThekingBuddar 12 дней назад +1

    WAMEWAUA SASA WAKO WAO TUNAPOKWENDA NI KUBAYA SANA KWA SASA

  • @NeemaMasala-o7c
    @NeemaMasala-o7c 11 дней назад

    Atakatwa jina lake

  • @nka3nda
    @nka3nda 11 дней назад

    Ccm nimanyumbu kweli,siakagombee zanziba,mnapoga makofi nchi iendelee kuuzwa unapewa shingai?acha upuuzi weee

  • @RaphaelElikana
    @RaphaelElikana 12 дней назад +3

    Hapa maamuzi ya viongozi ndiyo yametawala ktk kumpendekeza mgombea nafasi ya urais kuliko maamuzi ya wajumbe wa mkutano mkuu.

  • @jumaomari3842
    @jumaomari3842 12 дней назад

    Wewe ukiona Tanzania hakuna demo krasia kwani dunia hiii nikubwa waweza ukatafuta nchi yenye siasa nzuri ukachukua uraia.au vipi

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331 12 дней назад

    Asante Yesu

  • @ThekingBuddar
    @ThekingBuddar 12 дней назад +2

    WATANZANIA MAUAJI WALIOYAFANYA YA VIONGOZI KINA JPM NA KINA MKAPA NA MAWAZIRI WOTE DAMU YAO AIENDI BURE

  • @ThekingBuddar
    @ThekingBuddar 12 дней назад +2

    KATIKA HAWA WALIOKUEEPO AKUNA ATA MMOJA ATAKAEIJENGA HII NCHI

    • @MrKhatibu
      @MrKhatibu 11 дней назад

      Ila CHADEMA ndio pekee wanaweza kuijenga nchi hii😅😅😅

    • @janethpallangyo3855
      @janethpallangyo3855 11 дней назад

      ❤❤❤❤❤

  • @kiluiWanguvu
    @kiluiWanguvu 12 дней назад +1

    Rais bora kuliko wote Africa na simwingine zaidi ya SAMIA HASSAN SURUHUHISHO YA MATATIZO YA WATANZANIA yatakwisha kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu

  • @trueprophet7627
    @trueprophet7627 12 дней назад

    Unapoandaa kaburi huwezi kujua unayoyafaanya ndiyo yanakuharakisha kuingia kaburini.

  • @danielndusilo4723
    @danielndusilo4723 12 дней назад

    Mhuuu

  • @AgreyAmon
    @AgreyAmon 11 дней назад

    Achen unafiki nyinyi

  • @johnlightmkose4723
    @johnlightmkose4723 11 дней назад

    Kumbeeeeee hahahahaaaaaa

  • @stevenjoshua5866
    @stevenjoshua5866 11 дней назад

    Na www utakufa tu kwan weee nani

  • @ThekingBuddar
    @ThekingBuddar 12 дней назад +1

    WANAGO.BEA MALI ZA WANANCHI HAWA WEZI WOTE

  • @misanamaige
    @misanamaige 12 дней назад

    Mzee Kikwete Mungu akutunze. Hekima zako ni muhimu sana kwa mustakabali wa nchi hii.Nakupenda sana.

    • @MACHAGGECHACHA
      @MACHAGGECHACHA 12 дней назад

      Unampenda mwizi na muuaji.!!! Wewe kweli huna akili. Ni matope yamejaa kichwani mwako.

    • @misanamaige
      @misanamaige 11 дней назад

      @MACHAGGECHACHA
      Mwizi ulimkamata kakwiba nini?
      Watanzania tusiige yasiyofaa. Kutukana viongozi ni utovu wa nidhamu. Kikwete namheshimu sana
      Namuombea Mungu ampe maishà mrefu kwa mustakabali wa taifa letu.

    • @MACHAGGECHACHA
      @MACHAGGECHACHA 11 дней назад

      Magufuli alipochukuwa hatamu za uongozi kutoka kwa Kikwete aliwaambia watanzania maovu ya yaawamu ya nne ya Kikwete. Aliruhusu ufisadi wizi na uvivu. Hata watu wa kawaida walishuhudia ubovu wa awamu ya nne.Kama kiongozi wa nchi akifumbia macho uchafu huo basi naye ni mwizi Fisadi na mvivu wa kuongoza nchi. Ubovu wa watanzania ni kuwasifia majizi ya serikalini na wahujumu watu. Huu ni ugonjwa wa watanzania na ndio maana wakamuuwa Magufuli aliyekuwa mkweli na kiongozi shujaa wa watanzania. Mwizi ni mwizi tu hata awe raisi mstafu

  • @alexmichael5850
    @alexmichael5850 12 дней назад +1

    Uchawa huo
    Acheni sifa hyo kauza mali za Tanganyika..ila za kwao hauzi acheni kumsifia kabisa..mwambie tunataka bandari zetu na mbuga zetu.

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 12 дней назад +2

    Mama Samia komaa🔥 Vaa Buti la JPM kaza kamba

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 12 дней назад +3

    Fanyeni maanuzi yenu, na Mungu pia atatufanyia maamuzi yake kwa watanzania wote wenye chama na wasiyekuwa na chama sawa sawa na mapenzi yake.

    • @aminielyusufu4351
      @aminielyusufu4351 12 дней назад +1

      Mungu aliyehai ni Mwaminifu atafanya Kwa Majira na NYAKATI. Nachojua, Mwaka Huu Kuna MTITI. Sikia nabii

  • @ThekingBuddar
    @ThekingBuddar 12 дней назад

    WAFANYAKAZI HEWA KWA SASA NDIO WANARUDI CHUKUA CCHAKO MAPEMA

  • @sayidabdillah8505
    @sayidabdillah8505 12 дней назад

    Mama samia endelea na kz wacha hao waseme tuu

  • @nunumrisho6548
    @nunumrisho6548 12 дней назад

    Jungu kuu Hongera Sana Mzee kaka

  • @AllySalum-j9y
    @AllySalum-j9y 12 дней назад +2

    Nawachukiaaa ccm natamaniii wafeee woteee ckuuu mojaaa

  • @ThekingBuddar
    @ThekingBuddar 12 дней назад +2

    WATANZANIA WAMEWAPA SUMU VIONGOZI AMBAWO WALIKUWA WANALILETEA TAIFA MAENDEREO ASA WANYONGE

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 12 дней назад +4

    Sasa kama ni uamuzi wa chama na je sisi watanzania tusiokuwa na chama haki yetu iko wapi??

    • @MS.independent8934
      @MS.independent8934 12 дней назад

      Kapige kura

    • @femidayahaya9293
      @femidayahaya9293 12 дней назад

      sisi tuco na chama tucwe na wacwac chama hatuna lkn tuna raisi ambae ni mama chaupole...amaa nmesahau tunae rais ambae ni mama SAMIA♥️♥️♥️

    • @abdallahmindika1641
      @abdallahmindika1641 12 дней назад

      Baba yako

  • @femidayahaya9293
    @femidayahaya9293 12 дней назад +2

    hata kama humpendi rais lkn hupaswi humtolea lugha ya matuc hii co sawa na pia ni machukizo mbele za MUNGU...BIBLE inasema tuheshimu wakuu wa NCHI haya c maneno ya mwanadamu bali ni ya MUNGU mwenyewe;😢😢😢😢

  • @George-King-o4q
    @George-King-o4q 12 дней назад +1

    Wajinga tu wa kusifia ni wajibu wake kufanya kinacho takiwa kufanywa ndo maana nawakubali wakenya hawana ujinga wa kusifia sifia

  • @Chemba67
    @Chemba67 12 дней назад

    Kwahiyo jina ni moja tu ?

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki 12 дней назад

    Sasa nyie mlitaka wapigane kama upande wapili

  • @HamzaKibary
    @HamzaKibary 12 дней назад

    Jiwe moja ndege wawili

  • @AlexMkwama
    @AlexMkwama 12 дней назад

    Ccm hongera sana

  • @ThekingBuddar
    @ThekingBuddar 12 дней назад +1

    WAMEWAUA WATU MUHIMU WASOMI KWA TAIFA HILI WAKAE WAO MADARAKANI

  • @misanamaige
    @misanamaige 12 дней назад

    CCM Chama la Wana. Hayupo wa kupambana na CCM. Ushindi ni hakika. Mama Samia hana mpinzani. Aliyotutendea Mungu ambariki aendelee kulisimamia taifa letu kwa maendeleo endelevu. Mungu ibariki Tanzania.

  • @shamzone388
    @shamzone388 12 дней назад

    CCM HOYEEE

  • @mubarakmohammed7311
    @mubarakmohammed7311 9 дней назад

    Mnapenda sana kusema mmefanya mambo mazuri. Mambo mazuri yepi? Mbona mshahara wa kima cha chini cha mtumishi wa serikali hakijafika 2,000,000?

    • @hassanthabit3726
      @hassanthabit3726 9 дней назад

      Fara wewe kwa uwezo gani wa serikali. Nenda ukafanye kazi nchi ambayo ina kima cha 2,000,000

  • @annasitaziakamtewe
    @annasitaziakamtewe 12 дней назад +1

    Wajinga nyie kinachowaponza nikusifia hata vyakuoza mnasifia ccm nyani kabisa.

    • @femidayahaya9293
      @femidayahaya9293 12 дней назад

      umepata sh.ngap juu ya haya matuc yako....angalia sana ucwe kikwazo mbele za MUNGU maana ipo cku utatoa hesabu ya kila uliloruhusu litoke mdomon mwako..

  • @RoseKimishabhalemi
    @RoseKimishabhalemi 12 дней назад

    Mbona kila kitu kikwete

    • @SALUMKHALFAN-z4f
      @SALUMKHALFAN-z4f 12 дней назад

      HAYA KILA KITU WEWE

    • @abdallahmindika1641
      @abdallahmindika1641 12 дней назад

      We utki

    • @najmamussa
      @najmamussa 8 дней назад

      Ndy rais na mtoa maamuzi wa mwisho mstaafu wengine wamesha tangulia mbele ya haki,

    • @najmamussa
      @najmamussa 8 дней назад

      Umelisikia neno uchawi wamesha kufa ? Ndy majibu Yako yako

  • @KostaJoseph
    @KostaJoseph 12 дней назад

    BABA NI BABA TU HASHINDWI NA MTOTO WAKE

  • @ThekingBuddar
    @ThekingBuddar 12 дней назад +3

    WATANZANIA HUYU MZEE KIKWETE ANATUARIBIA NCHI

    • @nahlaaasidee1848
      @nahlaaasidee1848 12 дней назад +1

      Utakufa na chuki zako...

    • @Munyama675
      @Munyama675 12 дней назад +1

      Hii nchi Kikwete ndio aliimudu, sio hizi takataka zingine. Maisha Bora yalionekana kwa angalau kila mtanzania

  • @issaali1321
    @issaali1321 12 дней назад

    Hamna lolote ccm mnaogopa uchaguzi hamuwezi uchaguzi wa huru haki miaka 60 mnongoza nchi ki ujanja ujanja fanyeni uchaguzi wa huru na haki mutizame kama kweli munatakiwa .

    • @yussufhaji3335
      @yussufhaji3335 12 дней назад

      Chadema ndio wanaweza kuongoza serekali tunaona mboe na lisu siku hiszi wameamua kupendeza na chama chao polen sana

  • @Patriciakanyankole
    @Patriciakanyankole 11 дней назад

    Mama watosha KAZI yako yaonekana kama kuna watu wanatilia mashaka juhudi zako wahame nchi waje 2030 watapata majibu

  • @kiluiWanguvu
    @kiluiWanguvu 12 дней назад

    Nchimbi anabusara sana

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 12 дней назад

    George King nenda Kenya.ndugu yangu😮

  • @mindicarrashid3131
    @mindicarrashid3131 12 дней назад

    Huyu dd nimpina geng

  • @mzimbiriibrahim6214
    @mzimbiriibrahim6214 12 дней назад

    Hongera sana mzee wa chama J Kitwete

    • @EmmanuelMlowe-u1v
      @EmmanuelMlowe-u1v 12 дней назад +2

      Wazungu wanatuchezea Sana, kongo pale UN ndio M23 wenyewe. cc kwa ujinga wetu usiyo na mwisho tunaona UN wako pale kongo kuleta amani. Njia yakuleta amani Kongo waafrika tuchague, ( 1 ) Afrika iunde jeshi lao llipelekwe kongo ,jeshi hilo litahusika pia katika maeneo mengine kote Africa UN waondolewe waende kwao Amani itapatika tena kwa mda mfupi. ( 2 ) Wakongo washbiri au Africa tusibiri madini yaishe kongo ndipo Amani ipatikane maana wazungu wataonfoka Kongo Maana inacho waweka kongo ni mali zetu. UN ndio M23 wenyewe. Waasi wote duniani ni mali ya wazungu,boko haram banyamlenge, na magonjwa yote sugu unayo yajua. M23 wakimaliza kazi kongo watapelekwa pengine Africa penye madini. Afrika tuunde jeshi la afrika UN watoke .

    • @EmmanuelMlowe-u1v
      @EmmanuelMlowe-u1v 12 дней назад +1

      Wazungu wanatuchezea Sana, kongo pale UN ndio M23 wenyewe. cc kwa ujinga wetu usiyo na mwisho tunaona UN wako pale kongo kuleta amani. Njia yakuleta amani Kongo waafrika tuchague, ( 1 ) Afrika iunde jeshi lao llipelekwe kongo ,jeshi hilo litahusika pia katika maeneo mengine kote Africa UN waondolewe waende kwao Amani itapatika tena kwa mda mfupi. ( 2 ) Wakongo washbiri au Africa tusibiri madini yaishe kongo ndipo Amani ipatikane maana wazungu wataonfoka Kongo Maana inacho waweka kongo ni mali zetu. UN ndio M23 wenyewe. Waasi wote duniani ni mali ya wazungu,boko haram banyamlenge, na magonjwa yote sugu unayo yajua. M23 wakimaliza kazi kongo watapelekwa pengine Africa penye madini. Afrika tuunde jeshi la afrika UN watoke .

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 12 дней назад +1

    Kwann mnatoka nche ya katiba, angali mnajua kuwa katiba ndio iliyomuweka samia madarakani? Mbona kama mnaipuuzia kwa sasa? Acheni ubabe, fateni katiba. Hakuna cha kusema mnaamua

  • @farujohn622
    @farujohn622 12 дней назад +1

    SAMIA MITANO TENA CCM HOYEEEE

  • @MwazoaMwazoa
    @MwazoaMwazoa 12 дней назад

    Mhe.Hussein Mwinyi ni Mtu Mnyenyekevu sana.Utadhania sio kiongozi wa juu wa nchi

  • @yasiniSwedi-qg5oc
    @yasiniSwedi-qg5oc 12 дней назад +2

    Ujinga mtupu

  • @TumainiMallya-x5x
    @TumainiMallya-x5x 12 дней назад +1

    Kura ipigwe sasaivi

  • @samwelrobertmwakatobe6467
    @samwelrobertmwakatobe6467 9 дней назад

    Tatizo ni uchawa wapambe ni oyaoya mpaka wanavunja katiba baada ya kutoa fomu kwa watu wa5 mnavunja katiba kwa woga