The time will tell Ngoja tuone siasa za fujo na mandamano kutoka kwa Tundu lissu zitafika wapi au zitainufaisha Chadema kwa Kipi , lets wait tOgether , nimekaaa Paleee
Mlio wengi chadema bado mnaitaji shule ya Demokrasia kutoka kwa mwamba mbowe, Sasa nyie mlitaka mbowe achukue Risasi adai maridhiano na mtutu?????????????? Au asusie killa kitu kwenye maridhiano na wakati mengine mlinufaika nayo , Uyo tundu lissu mwenyewe asinge rudi kwenye hii nchi bila maridhiano
Sasa maridhiano mbona kuna vitu vingi chadema mlinufaika , Uwezi ukayataka maridhiano kwa Nguvu mbele ya Utawala wa Dola kamwe , Hata uyo tundu lissu Ngoja tuone akidai maridhiano kwa nguvu atafika wapi , acheni kejeli za kumsema Mwamba Freeman mbowe ,,
Yeriko Nyerere alikosa akiba ya maneno aonywe. Kauli zako zilikuwa na utoto mwingi
The time will tell Ngoja tuone siasa za fujo na mandamano kutoka kwa Tundu lissu zitafika wapi au zitainufaisha Chadema kwa Kipi , lets wait tOgether , nimekaaa Paleee
Hilo utasubiri sana ndugu
Ni kweli jamani lissu ni mtu wa watu sana hanaga mambo ya visasi kabisa
Mbona Lisu alikiwa anatukana pia kusema uongo.
Huyu mchugaji gani hafai hata kusikiliz
Wewe kahubiri kanisani
Lisu ni wa visasi tu
Kwa Yeriko Nyerere afukuzwe kabisa ikiwezekana
Sasa wanafiki wa nini kuwa nao kundini?fukuza wote lissu,tunaitaka chadema yenye watu safi
Halafu Tundu lissu ajihadhari na siasa za Kutumia nguvu kuliko Demokrasia Ataki uwa hichi chama ambacho kimejengwa kwa jasho na damu za watu
Wote wana hitajiana
Huwezi amini huyu kuwa kwenye kamati kuu ni aibu.
Huyu ni shabiki mandazi
Wafukuzwe sababu walikuwa na tofauti na Lissu eeh we vepee mtakiua chama wenyewe hiko shauri zenu
Hakuna kufukuza mtu kwani chama ni cha mtu hiki, kila mtu ana haki ya kuchagua upande.
Ntobi alitakiwa kufukuzwa hata kabla ya uchaguzi sio mtu mwema kwene siasa zetu si chadema tu chama chochote akitakiwi kumpokea Ntobi.
Hana ubavu wa kuwafukuza
Huyu naye bado kashikikia vijembe vya uchaguzi TU? Si wajenge chama sasa?
Asuse ruzuku kama yeye mwamba
Mlio wengi chadema bado mnaitaji shule ya Demokrasia kutoka kwa mwamba mbowe, Sasa nyie mlitaka mbowe achukue Risasi adai maridhiano na mtutu?????????????? Au asusie killa kitu kwenye maridhiano na wakati mengine mlinufaika nayo , Uyo tundu lissu mwenyewe asinge rudi kwenye hii nchi bila maridhiano
Mpumbavu wewe uelewi chochote
kwani uyu ni nani mjinga uyu askofu gani badala ya kuhubiri amani yeye anahubiri chuki
Sasa maridhiano mbona kuna vitu vingi chadema mlinufaika , Uwezi ukayataka maridhiano kwa Nguvu mbele ya Utawala wa Dola kamwe , Hata uyo tundu lissu Ngoja tuone akidai maridhiano kwa nguvu atafika wapi , acheni kejeli za kumsema Mwamba Freeman mbowe ,,
Ww ni askofu au mwenyekiti au msemaji?? TUWEKE upande ipi ? Vua hiyo kolaunamuabisha mungu wetu
Vyote
Na😊
Na ngwajima je
Na gwajims je
Gwajima anafanya nini CCM?