AIKUTEGEMEWA KA MWANAMAPINDUZI ATAONGEA IVI KUHUSU TUNDULISU NI MAZITO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 фев 2025

Комментарии • 33

  • @GodfredAlfredNgarama
    @GodfredAlfredNgarama 6 дней назад

    Mungu atusaidie maana mambo ya nchi yetu hayaeleweki

  • @JamesApiyo
    @JamesApiyo 5 дней назад

    Unahakika wakili Ndiyo wasomi professionals wengine sio wasomi that's a narrow thinking.No lawyer can become a president.

  • @Thevineyard9889
    @Thevineyard9889 6 дней назад

    Kwani hakuna utaratibu wa kujiunga CHADEMA kwa njia ya mtandao (Online membership Registration)? Mimi nataka kadi ya CHADEMA baada ya Tundu Lissu kuwa kiongozi mkuu wa chama!!

  • @makalasamweli9570
    @makalasamweli9570 7 дней назад +1

    Apo kwakweli nimekuelewa xana mtumixhi wabwana napenda watumixhi kama Hawa naanza kuxali namimi

  • @PelagiaKayunga
    @PelagiaKayunga 10 дней назад

    🎉🎉🎉🎉wizi mtupu tu

  • @gadielmungure9711
    @gadielmungure9711 6 дней назад

    Mch mjinga ninyi ni kundi la wahaini wa chama mtajipendekeza machawa wa mkiti. Chama kimeanza kupoteza mwelekeo wake ngoja tuone, mlimwita mbowe mwizi yeye siyo mbangaizaji ni mfanyabiashara mkubwa. Askofu ondoka kwenye siasa unabangaiza tu!

  • @GraceDeo-g1n
    @GraceDeo-g1n 10 дней назад

    Mungu anampango na nchi hii ,huezi amini ht farao alikua mbishi

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu8873 10 дней назад +2

    Wewe ni mjinga mjinga sana kauli chafu.Watu mlio muunga mkono mbowe tokeni kimia kimia bila kuambia lolote.wacheni na chama Chao tuone msishirikiane nao .imarisheni upande wenu wenye kimia kimia.itisheni vikao vyenu na mtembeleeni mwenyekiti wenu mlie mpenda

  • @johnmbangwa1984
    @johnmbangwa1984 7 дней назад

    No reform no Election ni mtego kwa chadema.

  • @Owdenburg
    @Owdenburg 6 дней назад

    ; Dr

  • @leticialubala9721
    @leticialubala9721 10 дней назад +1

    Huyu apimwe akili hayuko sawa.
    Chama kimekuwa cha kiharakati kwa sasa.

    • @gabrielmahala9848
      @gabrielmahala9848 10 дней назад

      Hata nyerere alikuwa mwanaharakati, hata Mandela alikuwa mwanaharakati

    • @FrankKwanama-lo6fj
      @FrankKwanama-lo6fj 10 дней назад

      Unataka chama cha kutumia busara kuliko akili? unda chama chako!

    • @korossobecky
      @korossobecky 10 дней назад

      Kumbe

    • @BeniMwengo
      @BeniMwengo 9 дней назад

      Lissu tumempenda wenyewe tukiwa tunajua kwamba ni mbangaizaji mwenzetu. Tutamchangia hizo miamia zetu za kiubangaizaji kuhakikisha ukombozi unapatikana kwa umoja wa wabangaizaji. Tutamchangia kama vile wazee wetu walivyowachangia akina Nyerere, Madiba, Nkurumal n.k

  • @RobertChacha-si1js
    @RobertChacha-si1js 10 дней назад +1

    Haya maswali ya waandishi mbona hawawaulizagi ccm??

    • @mpallaupdates
      @mpallaupdates  10 дней назад

      Wewe Unadhani CCM wanapenda Kuhulizwa Ayo Maswali

    • @godwinshoo5032
      @godwinshoo5032 9 дней назад

      Hoja za CCM zinajitosheleza zenyewe

  • @195941233
    @195941233 10 дней назад

    Mwandishi nawe unaonesha ni chawa wa Mbowe.

  • @JuliethNyoni
    @JuliethNyoni 10 дней назад +1

    Kweli mchungaji

  • @RemissionSangatiti
    @RemissionSangatiti 10 дней назад

    Huyu lana vp uyu

  • @carolinamgando6026
    @carolinamgando6026 10 дней назад

    Kuungwa mkubwa kwa ushindi wa tofauti ya kura thelathini tu?

    • @geraldleger5793
      @geraldleger5793 10 дней назад

      Ni nyingi sana bila rushwa....

    • @Samsonnoahndagw
      @Samsonnoahndagw 6 дней назад

      izo ni kura za wajumbe ila kwa wananch ingekua mbingu na ardhi

  • @BernardUrassa-lq8so
    @BernardUrassa-lq8so 10 дней назад

    Bangi tiuu

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu8873 10 дней назад

    Mbona serekali ya mtaa imewashinda jinga wewe