Annoint Amani = Fainal ni Kesho (Shilembe Official music Video) Skiza tone 9048660 to 811
HTML-код
- Опубликовано: 28 апр 2020
- #fainalnikesho#annointamani#
Hizi ni siku za mwisho unyakuo umekaribia Yesu anakuja kuchua kanisa,
Kila mtu amtafute Mungu sana ili asiende motoni,
Pia tukeshe tukiomba ,
kila wakati tujitakase ili tusingie majaribuni maana Shetani Anajua siku zimeisha ana wadanganya watu ili waende motoni.
Kama umeamua kumfwata Yesu usimuache na kama umeamua kutenda dhambi tena dhambi sana hukumu inakuja maana final ni kesho.)
(These are the last days of the rapture, and Jesus is coming to take away the church.
Let every soul be in subjection to the higher powers: for there is no power but of God;
Let us also keep on praying,
every time we purify ourselves so that we do not fall into temptation because Satan knows the days are over and he deceives people into going to hell.
If you have decided to follow Jesus do not leave Him and if you have decided to sin again very sinful the judgment comes because the final is tomorrow.)
Artist Annoint Amani .
song Fainali ni Kesho .
Album Fainali ni Kesho.
(language Swahili)
VIDEO A.E.A DIR.MEDICK
AUDIO A.E.A TONES
PRO .JORAM TANSEHA
+255620 507 140
(for booking
Instagram. Annoint amani
email.amananoint@gmail.com
+255767240181=+255755099942
Dar es salam tanzania )
NAAMINI KILA MTU ATACHUKUA PALE PANAPO MFAA KATIKA WIMBO HUU,
KAMA NAWEWE HUTAKI KUWA SHILEMBE GONGA LIKE HAPA NA MUNGU ATAKUSAIDIA MAANA BILA MUNGU HATUWEZ KUUSHINDA USHILEMBE.
Annoint Amani I wish siku niimbe na wewe nakupenda
Mdogo wangu Mungu akutunze sana wimbo mzuri sana tumepoteana tena mawasiriano yako nilienda Canada nikabadirisha simu tuwasiriane ni Dada Celline kutoka London Mungu akubariki sana
@@debrahalibalishow1415 Unaweza kuwasiliana nae kwa namna izo hapo juu amekuwekea +255767240181
@@sarahlyanga3766 Utaimba nae tu Omba Mungu wakat wa Mungu ndo mzuri ,Mimi niliomba kwa mda mrefu sana na Mungu akajibu maombi yangu ,
tayar nimefanya collabo na Annoint Kwakweli nabarikiwa sana kuwa mmoja wa walio shiriki kipawa cha kipekee cha huyu kijana .
Nakuombea mtumishi Wa Mungu
#amina ukwel mtupu huo#siku ya hukumu laja#mwanadamu tukiri dhambi zetu kwa pamoja#mwimbo mzuri huo mungu abariki ww sana.
Huu wimbo unanijenga Sana kimaisha
Wacha nibandilike nisiwe kama shilembe🎉
Hongera sana kwa wimbo mzuri sana.Ina upako wa kipekee.
Sitaacha kucomment kila niwatch hicho ni kipawa kikubwa ambacho umebarikiwa mtumishi wa MUNGU, so amazing
Kiukweli kupitia nyimbo Hii lazma kama umeanza kurudi nyuma lazma ujirudi tena❤👍🏼💙💗
I really like your songs annoint amani let the hands of God be upon you
Hallelujah hallelujah hallelujah thank u man of God wakenya wapiiiiiii🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Shilembe ni wengi kwa kanisa letu, nawaombea wamrudie mungu🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wapi like angu huu wimbo umeniguza saana
Every time this song is new. Its making me stronger every day
Wimbo umenibariki sana. Haswa kwenye historia ya Shilembe
😭😭😭😭😭ak kwakweli huu wimbo umenigusa siwezi zuia machozi kutoka
Kazi nzr kaka tunabarikiwa na nyimbo zako
Team saudia gonga like tusije tukawa wakina shilembe
A nice one . Having friends that are hypocritical pretending to love but they bite is likened to Mr shirembe "clean on the outlook but inward a devil reincarnate
Mungu akubariki kwa nyimbo na jumbe nzuri
Mungu akubariki Sana Sana kaka nasikub as li Kaz sako mm pia no muimbaji nataka nipige kolabo na wewe
Jamani ivi Kuna wasanii kumbe wazuri hivi daah wimbo mzuri na wenye ujumbe Sana. Hongera Sana Mungu akukumbuke Sana mwimbaji katika maisha yako
I love this song wa kenya mupo wapi ??????😂😂
I really really love ur songs mtumishi continue giving us the right messeges sir
Daaaaaa niwimbo uliozungumza kiatu Cha kweli kabisa 👏💕 tu wasafi nje lkn ndani hatutendendi yanayompendeza mungu 😳
Nakupenda sana tangu ulivokuja Kwa mwaka benga
Ooh goodness I wish all to hear this message very powerful Mungu fungu masikio yangu coz ya huu ujumbe amen.may God increase you more sir
Mungu mtukuze mwanao kama alivyokutukuza wewe jina lako ni kibwa sana, Ufalme wako uje kwake daima na milele, hili neno nimetoa kutoka ndani anoint nimimi Charles jacksont tz Muimbaji hii pale Mwisho ndiyo nimeguswa zaidi ya maelezo
Hakika namimi nimeomba ivyoo Mungu ainue huduma yakeeeee
Napenda sana nyimbo zako be blessed
AMEN AMEN ANNOINT MUNGU AKUBARIKI SISI SIO KAFIRI KWANI TUNAMUABUDU MUNGU ANAEISHI WAAMBIE WAJUE KWANI HAO NDO MAKAFIRI AMENI ,UJUMBE UMEFIKA NA UMEGONGA NDIPO
This is great I love it. God bless you brother
God bless you man of God 🙏.
Anoint Amani Mutoto wa Rose Muhando Muenye muziki Mungu wa Israëli Akunyayule Tena Amen Shalom Shalom Amen
Nyimbo zako zinanibariki blessings from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Very powerful song,Mungu apewe sifa zote aki
Ndio mutoto Wetu Anoint Esau Bao Njo Kafilri Kua Sababu ba na kosa Roho Mutakatifu y’a Mungu Roho Wa Mbinguni Ni Hatari Sana Amen
Amen Amen Amen Ndio Île Nikueli Kabisa Usafi y’a Inje ni Hatari
Mwenyezi mungu akubariki baba
Wow nice sana
Good song.God bless you,from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Shilembe jamani really like that part..... much love
Amani your songs are soo powerful...l love them so much...may God bless you and give you strength
NAPENDA SANA WIMBO HUU SANAAAA..GOD BLESS YOU Annoint Esau
This is the kind of gospel need to be emphasized.
Sauti pekee takes me to heaven
Asante mtoto wangu barikiwa kwa kiwango kuokowa mwanadamu kwa nyimbo za ku tafuta mungu kwa ujasili🙏🙏
Nice song listening from kenya
Waoooooo amaizing
Napenda sana nyimbo zako zina nifariji , Mungu akubariki 🇨🇩🇨🇩
Woow tuwe wasafi ndani .si nje .be blessed
Ei nyimbo zako jameni zina masegi, zina mafuzo kweli barikiwa dungu
clear message to all those like shilembe. i believe i am one but Willing to change❤❤❤🙏🙏🙏
Wooow
Kwakweri wimbo huu unanifariji sana hats kama Nina mawazo yanaisha mungu akufunue uendele kuimba amina
Hii ni kali sana...wenye masikio na wasikie hii...Annoint Amani thank you...much love from 254 Kenya.
Wimbo huu jaman ni mzr sana, yaani mtumish ubarkiwe sana
I love 💕 this song.... WOW this one nd super star... Powerful.
Hizi ndo nyimbo ninazozipenda Mungu akubariki, maana zinatutoa sehemu Moja kwenda sehemu nyingine.
Natamani tufanye kazi pamoja mtumishi annoint
May God forgive us ad have mercy on us,our hearts are full of envey, bitterness and anger towards others, father God 🙏🙏 help us to be cleaned outside and inside
hongera kwa nyimbo nzuri
Ubalikiwa sana mtumishi wa MUNGU kwa wimbo huu
His is a good song
Ujumbe mzito kaka kuubeba siwezi ila siku ilifika nitaubeba amina
Juu wimboooo ....uko poa🙏
Una tisha kijana ,karibu kwetu Congo DRC
Amen amen barikiwa sana MTUMISHI wa mungu
Nice song kakaaa
Nape nda sana.nyimbo.zako zinanibariki.sana
twende kazi hii M1 haraka kuliko nyengine maana hii INA nguvu saana ,
Vidio
Kazi njema sana mtumishi wamungu annoint esau Amani mungu akubariki sana kaka:
Kiukweli nimebarikiwa xana xana.
Nice song wakenya mko wapi gonga like tukisonga
Tuko hapa
🙏🥳
Nimeupend mwimbo wako 🥰🥰
We Ugandans we love it t
What a wonderful message
Wonderful song.
Woiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, piga keleeeeeee kwa anoit
Fainal nikeshoooooooooo,
Piga keleee ya pili kweke
Weweeeeeeeeeeeeeeeeeee
Napenda nyimbo zako sana zinanitia moyo
Such anice song it's a blessing song
Asante sana annoint huu wimbo ni funzo tosha kwa kweli
Tusibishane Sana mana muda umekwisha na hako ka bass Sasa!!
Hii ni kali sana balikiwa sana mtumishi wa mungu
I keep on listening to this Song every time... Mungu abariki Kipaji chako +254🇰🇪 tunakupenda sana
Such, ablessed vessel, you re ablessing to me, your songs are, very powerful
Ubarikiwe songa mbele Yesu yuko na wewe
Hongera Kwa nyimbo mzuri kaka'.kweli mungu alikuchagua Kwa kazi yake.
The song is such a blessing❤
Good music kwa mdahuu ndo izi ngoma nzuri messege nzuri kabisa naamini watu wana kwenda barikiwa na kubadilika ili wamurudie kristo
Nzuri sana inanikosha mm nyimbo hii
Good music I really love this song listening from Kenya much Agape love from this side ,fainali ni kesho jameni tumrudieni mungu siku ya hukumu yaja
amen mungu akulid
Hongera mtumishi wimbo mzuri sanaa, angalie usije ukawa shilembe,mshike sana kristo atakuinuwa zaidi ya mahali ulipo
Asante Sana Anointi hii ni kali sana kweli mwenye masikio atasikia
Nyimbo rako zanibariki kiroho sana,mungu akuongeze upako
Team Kenya gather here pls 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Sitaki kuwa kama shilembe kabisaa
Wueh,nimehisi kibaridi....mungu akuongezee
Keep moving forward mtumishi wa Mungu 🙏🙏🙏🙏
Ujumbe mzuri sana, kweli umepewa kipawa cha uimbaji Mungu azidi kukufanikisha katika kazi yake,,,.
This song is so sweet especially the Shirembe part
🇹🇿 Tanzanian we love you
Nakupenda sana vile umejitolea kaka kufanya kazi ya mungu
Hii wimbo inanifunza Mambo mengi xna am so happy for u
Wimbo wenye mafunzo sana lkn kila mtu tujitahidi ili tusiwe kama shilembe
Thank you. so much man of GOD
Nakukumbuka sana huu wimbo nikifanya maombi
Wenye masikio wamesikia mungu akubariki kaka amani
Kazi njema, Unanifariji sana Mpendwa
Love your songs man
Kaka nyimbo zako zanibari Sana! mungu akubariki zaidi.