Annoint Amani = Fainal ni Kesho (Shilembe Official music Video) Skiza tone 9048660 to 811
HTML-код
- Опубликовано: 7 фев 2025
- #fainalnikesho#annointamani#
Hizi ni siku za mwisho unyakuo umekaribia Yesu anakuja kuchua kanisa,
Kila mtu amtafute Mungu sana ili asiende motoni,
Pia tukeshe tukiomba ,
kila wakati tujitakase ili tusingie majaribuni maana Shetani Anajua siku zimeisha ana wadanganya watu ili waende motoni.
Kama umeamua kumfwata Yesu usimuache na kama umeamua kutenda dhambi tena dhambi sana hukumu inakuja maana final ni kesho.)
(These are the last days of the rapture, and Jesus is coming to take away the church.
Let every soul be in subjection to the higher powers: for there is no power but of God;
Let us also keep on praying,
every time we purify ourselves so that we do not fall into temptation because Satan knows the days are over and he deceives people into going to hell.
If you have decided to follow Jesus do not leave Him and if you have decided to sin again very sinful the judgment comes because the final is tomorrow.)
Artist Annoint Amani .
song Fainali ni Kesho .
Album Fainali ni Kesho.
(language Swahili)
VIDEO A.E.A DIR.MEDICK
AUDIO A.E.A TONES
PRO .JORAM TANSEHA
+255620 507 140
(for booking
Instagram. Annoint amani
email.amananoint@gmail.com
+255767240181=+255755099942
Dar es salam tanzania )
I love this song wa kenya mupo wapi ??????😂😂
Tusibishane Sana mana muda umekwisha na hako ka bass Sasa!!
Wacha nibandilike nisiwe kama shilembe🎉
Amen
A nice one . Having friends that are hypocritical pretending to love but they bite is likened to Mr shirembe "clean on the outlook but inward a devil reincarnate
Hallelujah hallelujah hallelujah thank u man of God wakenya wapiiiiiii🎉🎉🎉🎉🎉🎉
😭😭😭😭😭ak kwakweli huu wimbo umenigusa siwezi zuia machozi kutoka
Wapi like angu huu wimbo umeniguza saana
Walevi ndio kafiri,tufanyeje jameni
NAAMINI KILA MTU ATACHUKUA PALE PANAPO MFAA KATIKA WIMBO HUU,
KAMA NAWEWE HUTAKI KUWA SHILEMBE GONGA LIKE HAPA NA MUNGU ATAKUSAIDIA MAANA BILA MUNGU HATUWEZ KUUSHINDA USHILEMBE.
Annoint Amani I wish siku niimbe na wewe nakupenda
Mdogo wangu Mungu akutunze sana wimbo mzuri sana tumepoteana tena mawasiriano yako nilienda Canada nikabadirisha simu tuwasiriane ni Dada Celline kutoka London Mungu akubariki sana
@@debrahalibalishow1415 Unaweza kuwasiliana nae kwa namna izo hapo juu amekuwekea +255767240181
@@sarahlyanga3766 Utaimba nae tu Omba Mungu wakat wa Mungu ndo mzuri ,Mimi niliomba kwa mda mrefu sana na Mungu akajibu maombi yangu ,
tayar nimefanya collabo na Annoint Kwakweli nabarikiwa sana kuwa mmoja wa walio shiriki kipawa cha kipekee cha huyu kijana .
Nakuombea mtumishi Wa Mungu
Good work amani
👋🙏🦸God to bless you
Aiseee umeimba kwaisia kaka mungu abariki kazi yako Amina🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿♥️♥️♥️♥️💓💓❤️❤️❤️💓❤️❤️
Mungu akubariki Sana Sana kaka nasikub as li Kaz sako mm pia no muimbaji nataka nipige kolabo na wewe
#amina ukwel mtupu huo#siku ya hukumu laja#mwanadamu tukiri dhambi zetu kwa pamoja#mwimbo mzuri huo mungu abariki ww sana.
Waoooooo amaizing
Shilembe jamani really like that part..... much love
Nice song kakaaa
Huu wimbo unanijenga Sana kimaisha
Sitaacha kucomment kila niwatch hicho ni kipawa kikubwa ambacho umebarikiwa mtumishi wa MUNGU, so amazing
Nakupenda sana tangu ulivokuja Kwa mwaka benga
Kwa kweli finali ni kesho
His is a good song
I really really love ur songs mtumishi continue giving us the right messeges sir
Kiukweli kupitia nyimbo Hii lazma kama umeanza kurudi nyuma lazma ujirudi tena❤👍🏼💙💗
ni kali Kaka yangu mungu amulinde unyu musani wetu mimi ni ibrahim maroa kutoka Kenya kehacha 🙏💥👍🏽🚶🆗
Asante mtoto wangu barikiwa kwa kiwango kuokowa mwanadamu kwa nyimbo za ku tafuta mungu kwa ujasili🙏🙏
Enda kwa mungu
😅😮🎉🎉❤
Ooh goodness I wish all to hear this message very powerful Mungu fungu masikio yangu coz ya huu ujumbe amen.may God increase you more sir
Kwakweri wimbo huu unanifariji sana hats kama Nina mawazo yanaisha mungu akufunue uendele kuimba amina
Mungu akubariki mtumishi ujumbe mzuri
Every time this song is new. Its making me stronger every day
Yesu yuaja
Nzuli sana mungu akutunze mtumishi
Thanks 👍 anoint amani
❤😂🎉😢😮😢😅
Hongera Sana imenibariki Sana mungu akubari
I really like your songs annoint amani let the hands of God be upon you
Hongera sana kwa wimbo mzuri sana.Ina upako wa kipekee.
Hii ni kali sana...wenye masikio na wasikie hii...Annoint Amani thank you...much love from 254 Kenya.
Most of our churches clean outside wanaacha inside heart
Hii song siwezi kaa siku moja Bila kuiskiza
Juu ya hiyo story natafuta mwanamume
I'm born 1998
Kweli hizi ni siku za mwisho Mungu atusaidie
Mungu akubariki kwa nyimbo na jumbe nzuri
May this song help us not to be shilembe
Wow barikiwa kaka Mungu azidi kukuinua kwa kazi yake
Nice song wakenya mko wapi gonga like tukisonga
Tuko hapa
🙏🥳
Nimeupend mwimbo wako 🥰🥰
We Ugandans we love it t
What a wonderful message
Wonderful song.
Hi,mungu azidi kukongeza kipaji bro AMani......pia mm naomba mungu anifungulie njia siku moja tukutane ili uniongoze kwa kuimba....mungu ako na wewe.....soma yeremiah 17:5 amebarikiwa ule amtegemeaye bwana maana ufalme wa mbiguni n wake n amelaaniwa ule amuaminiaye mwanadamu mwenzie cz amelaaniwa Amina usiku wa haraka na matunda mema na walilie wakina shirembee
Wimbo umenibariki sana. Haswa kwenye historia ya Shilembe
Daaaaaa niwimbo uliozungumza kiatu Cha kweli kabisa 👏💕 tu wasafi nje lkn ndani hatutendendi yanayompendeza mungu 😳
Jamani ivi Kuna wasanii kumbe wazuri hivi daah wimbo mzuri na wenye ujumbe Sana. Hongera Sana Mungu akukumbuke Sana mwimbaji katika maisha yako
Ubarikiwe songa mbele Yesu yuko na wewe
Good message. Ubarikiwe Mtumishi.
Mungu mtukuze mwanao kama alivyokutukuza wewe jina lako ni kibwa sana, Ufalme wako uje kwake daima na milele, hili neno nimetoa kutoka ndani anoint nimimi Charles jacksont tz Muimbaji hii pale Mwisho ndiyo nimeguswa zaidi ya maelezo
Hakika namimi nimeomba ivyoo Mungu ainue huduma yakeeeee
Mwenyezi Mungu akubariki 🙏🏼🙏🏼
AMEN AMEN ANNOINT MUNGU AKUBARIKI SISI SIO KAFIRI KWANI TUNAMUABUDU MUNGU ANAEISHI WAAMBIE WAJUE KWANI HAO NDO MAKAFIRI AMENI ,UJUMBE UMEFIKA NA UMEGONGA NDIPO
amen mungu akulid
Amen Amen ni kweli mungu tusaidiye
Team saudia gonga like tusije tukawa wakina shilembe
Shilembe ni wengi kwa kanisa letu, nawaombea wamrudie mungu🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Good work
👋🙏🦸
Napenda sana nyimbo zako be blessed
Amani your songs are soo powerful...l love them so much...may God bless you and give you strength
Team Kenya gather here pls 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nice song listening from kenya
Mwenyezi mungu akubariki baba
Anoint mía mía hii ngomaaa umepiga mteule
I keep on listening to this Song every time... Mungu abariki Kipaji chako +254🇰🇪 tunakupenda sana
Such, ablessed vessel, you re ablessing to me, your songs are, very powerful
May God forgive us ad have mercy on us,our hearts are full of envey, bitterness and anger towards others, father God 🙏🙏 help us to be cleaned outside and inside
😢❤ unity
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉😮
This is great I love it. God bless you brother
What a punchline
Amen amen barikiwa sana MTUMISHI wa mungu
Kazi nzr kaka tunabarikiwa na nyimbo zako
Amen
Nyimbo zako zinanibariki blessings from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
😭😭😭Blessing song barikiwa sana
Wimbo muzuri sana
Hongera Kwa nyimbo mzuri kaka'.kweli mungu alikuchagua Kwa kazi yake.
Mungu pekee ndiye anajua umeumbwa na nini. Anakujua zaidi kuliko nafsi yako na anajua ni nini kizuri kwako. Utiifu wako utakuepusha na maumivu mengi. hongera ndugu yangu ✋
Sauti pekee takes me to heaven
Good song.God bless you,from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wow nice sana
NAPENDA SANA WIMBO HUU SANAAAA..GOD BLESS YOU Annoint Esau
AMEN
Ei nyimbo zako jameni zina masegi, zina mafuzo kweli barikiwa dungu
🇹🇿 Tanzanian we love you
i love you you and your songs brother....wapi likes za Annoint??
Juu wimboooo ....uko poa🙏
Kazi njema sana mtumishi wamungu annoint esau Amani mungu akubariki sana kaka:
Kiukweli nimebarikiwa xana xana.
Woow tuwe wasafi ndani .si nje .be blessed
Ubalikiwa sana mtumishi wa MUNGU kwa wimbo huu
Good music kwa mdahuu ndo izi ngoma nzuri messege nzuri kabisa naamini watu wana kwenda barikiwa na kubadilika ili wamurudie kristo
Nzuri sana inanikosha mm nyimbo hii
Good music I really love this song listening from Kenya much Agape love from this side ,fainali ni kesho jameni tumrudieni mungu siku ya hukumu yaja
Ujumbe mzuri sana, kweli umepewa kipawa cha uimbaji Mungu azidi kukufanikisha katika kazi yake,,,.
Mimi niko Washington marekani lakini hiyo nyimbo inaogopesha sana kwamwenye zambi
Woiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, piga keleeeeeee kwa anoit
Fainal nikeshoooooooooo,
Piga keleee ya pili kweke
Weweeeeeeeeeeeeeeeeeee
Napenda sana nyimbo zako zina nifariji , Mungu akubariki 🇨🇩🇨🇩
Finally ni kesho....ole wenyu mnao wafanyisha kazi watu siku za ibada...
Interesting story ❤️
Perfect thanks for your message barikiwa sana❤❤❤❤❤❤❤
Hongera mtumishi wimbo mzuri sanaa, angalie usije ukawa shilembe,mshike sana kristo atakuinuwa zaidi ya mahali ulipo
twende kazi hii M1 haraka kuliko nyengine maana hii INA nguvu saana ,
Vidio
Thank you. so much man of GOD
Wimbo wangu wa miaka yote ,naamini nikiskiriza kila sku nitakwenda Mbingun maana ina nikumbusha kila kikaa Sawa na Mungu.