Annoint Amani - Chumba cha siri ( Official music Video )

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • #chumbachasiri#annointamani#
    Ni vizuri kuficha baadhi ya mambo yetu muhimu saan,ili tufanikiwe kwenye maisha,
    maana ni rahisi kuficha jambo jema unapo anza kufanya,baada ya kumaliza unalisema,hata kama sio kwa watu wote.
    Lakini jambo lolote ambalo unaficha sana sana sana,
    huwezi kabisa kusema ,mala nyingi halina uhalali kwa Mungu na jamii inayo kuzunguka 🙏
    na jambo lolote lisilo halali kwenye maisha yetu,kwa kadri unavyolificha ndivyo linaendelea kukumaliza.
    ( NI BORA KUTENGENEZA NA MUNGU NA KUMWAMBIA MTU UNAE MUAMINI JAMBO LAKO,HATA KAMA NI GUMU VIPI ,
    UTAKUA UMEJIWEKA HURU MAANA MFICHA MALAZI KIFO HUMUUMBUA )
    Annoint Amani .
    👇
    Tiktok ,Annoint Amani tz ,
    instagram,Annoint Amani tz,
    whatsaApp & call
    👇
    +255767240181 = +255755099942 )
    👇
    Video,Directed by Stephen Kipande
    +254 723 207135 )
    Audio,A.E.A Tones studio,
    prod by Meddy +255748262634
    Dar es Salaam Tanzania )

Комментарии • 495

  • @yusuphomari569
    @yusuphomari569 8 месяцев назад +43

    Me ni muislam lakn kwa hiz nyimbo za annoint napenda kuzickilza sana ,kwani zinafundisha jamii Moja kwa Moja hongera sana.

  • @dauglaspaade9126
    @dauglaspaade9126 8 месяцев назад +27

    Mungu ndiye tu anajuwa Siri ya hiki chumba🙏🙏🙏🙏

  • @abelapolinary2763
    @abelapolinary2763 2 месяца назад +50

    From Facebook let gather here🎉

  • @MATEOJOSEPH-nc8gf
    @MATEOJOSEPH-nc8gf 8 месяцев назад +137

    Ambao mnakubali Anniont amani tujuane Kwa Like

    • @Slddhhh
      @Slddhhh 2 месяца назад +1

      Annoint Ako sawa mungu amzidishe

    • @HafsahHussein-n8j
      @HafsahHussein-n8j 7 дней назад

      ​@@Slddhhh😮😢5th 😅😊😊😅2w5😅😅😂😂

  • @dr.bonface3458
    @dr.bonface3458 7 месяцев назад +45

    If tiktok brought you, lets gather here

  • @dominickakhubula8880
    @dominickakhubula8880 8 месяцев назад +139

    Kaka mimi Nashukuru sana kwa wimbo zako zote za gospel..ila naomba hivii kuna ile wimbo uliimba usimzike bado yuko hai.pia tunge omba utuletee video yake please 🙏🙏kenya tunakupenda sana

    • @annointamani3285
      @annointamani3285  8 месяцев назад +42

      Usjal rafiki mzuri,iyo video utaiona tu kwa wakati wa Mungu,enderea kutuombea 🙏
      Pia Tunashukuru sana kwa sapoti yako 🙏

    • @dominickakhubula8880
      @dominickakhubula8880 8 месяцев назад +6

      Okay nashukuru sana mtumishi wa mungu.acha tuzidi kumuomba mungu atujalie tuweze kupata video nyingi kutoka kwako

    • @PatrickBihembo
      @PatrickBihembo 8 месяцев назад +4

      Amen amen , MUNGU AIMIDIWE milele

    • @dominickakhubula8880
      @dominickakhubula8880 8 месяцев назад

      @@PatrickBihembo Amina Amina

    • @RoulineEmomeri
      @RoulineEmomeri 8 месяцев назад +6

      Nyimbo zako zimenifanya niwe jinzi nilivyo leo nakushukuru sana ndoto yangu siku moja nikuone mi natoka kenya.

  • @Jackel307
    @Jackel307 7 месяцев назад +18

    Kwa nini usishiriki nyimbo za annoint ikiwa ulisikiliza wimbo, tafadhali shiriki kila mahali wanahitaji kufikia angalau mamilioni ya maoni kwa mwezi, mwisho wa wimbo unanigusa tafadhali shiriki, ana sauti ya kushawishi, mimi na DRCongo 🇨🇩 , asante sana #Amani🙏🙏🙏

  • @lovenesjames5572
    @lovenesjames5572 7 месяцев назад +8

    Woow hongera rafk angu Mungu akupiganie ufike mbali Zaidi🙏🙏🥰

  • @hellenkhabwanditsa6983
    @hellenkhabwanditsa6983 2 месяца назад +9

    Wimbo mzuri sana ❤❤❤❤from kenya

  • @benjaminwafula
    @benjaminwafula 7 месяцев назад +8

    eishi bro hichi kitu n kizito kweli kweli hata cha kuongezea sioni wanawake hii inawausu kupewa nafasi kidogo unaharibu mungu tusaidie waume

  • @sarahwawuda5164
    @sarahwawuda5164 8 месяцев назад +19

    Waaa haya yaone tu kwa jirani 😢
    Duu maumivu

    • @MRJ1308
      @MRJ1308 3 месяца назад +1

      Ni wimbo tu hakuna mwanaume wa kuvumilia haya

  • @AliceNzambi-be1wr
    @AliceNzambi-be1wr 8 месяцев назад +7

    CHUMBA CHA SIRI!!!! Mungu azidi kukubariki na akutumie zaidi kakangu!!! Congratulations 👏 endelea kuleta makubwa tunakupenda sana

  • @jumannekamota4870
    @jumannekamota4870 2 месяца назад +9

    Duuuuh huu wimbo atari sijawahi kusikia wimbo wenye ujumbe kama huu Tanzania 🇹🇿 ongera sana kijana naitwa Jumanne nipo Mbeya mbalizi

  • @davidnjenga9292
    @davidnjenga9292 6 месяцев назад +12

    Wimbo mzuri ni fuzo kuu Barikiwa sana Annoint Amani ❤❤❤❤❤❤❤

  • @Esther65
    @Esther65 2 месяца назад +17

    From Facebook wapi likes

  • @georginaopati9587
    @georginaopati9587 8 месяцев назад +39

    Mwimbaji bora huyu❤❤ He deserves more than (1M) Subscribers ❤

  • @ruthkhalayi5097
    @ruthkhalayi5097 8 месяцев назад +8

    Waaaa 😢 ukweli wote usha sema, this round sisemi kitu😭😭 ooh God please i need to download this🇰🇪🇰🇪

  • @priscahkiyondi-om1lt
    @priscahkiyondi-om1lt 8 месяцев назад +10

    Amen this song has a strong message....sometimes faithfulness is Good.....Good work mtumishi we love you🙏

  • @AmosNguilla-wf5bu
    @AmosNguilla-wf5bu 2 месяца назад +3

    Nimekukulenda kwa unavyoimba nipo zambia ndo Mala ya kwanza kukusikiliza na nitazidhi kukufuatilia ❤️❤️🇿🇲🇿🇲🇿🇲

  • @DedanOchieng-m9v
    @DedanOchieng-m9v 2 месяца назад +3

    The song has a big massage my guys ,,,,end that's why I surely say fear the people who are called ladies,,,,, 🙂‍↕️🙂‍↕️🙂‍↕️ ogopa ogopa usije ukafariki mapema Life is shots.

  • @SeseKaboyi
    @SeseKaboyi 6 месяцев назад +8

    Nashukuru sana kaka kwaizi nyimbo zako zote ,Mungu akuongezeye pawa

  • @dorcahnyabo4713
    @dorcahnyabo4713 8 месяцев назад +8

    siri yangu nampa mungu ndiye atakaye tatua siri yangu mungu akubariki kakangu twakupena sana from Kenya 🇰🇪 ❤

  • @shadrackmwalubanda5198
    @shadrackmwalubanda5198 2 месяца назад +2

    AISEE...Kwanza una una sauti nzuri Sana yenye kubeba utukufu na mafundisho kede WA kede...Leo nimejitunza mengi Zaidi ya Jina la nyimbo...Barikiwa🙏🙏🙏

  • @leemutheu2509
    @leemutheu2509 8 месяцев назад +16

    Big up Daddy Q

  • @ghettostarkidz
    @ghettostarkidz 8 месяцев назад +7

    wow I love this song .................... Chumba cha siri

  • @AliceNzambi-be1wr
    @AliceNzambi-be1wr 8 месяцев назад +18

    Nashindwa kusubiri mie harakisheni!!!!

  • @doriswamzy
    @doriswamzy 8 месяцев назад +9

    Nice I love the song ❤nice work director Steve kipande

  • @EsterWanjiru-db8dw
    @EsterWanjiru-db8dw 8 месяцев назад +10

    Nice song l love it baba yetu.❤

  • @ibrahimmaroa1894
    @ibrahimmaroa1894 7 месяцев назад +5

    Mimi nakuobea Kila siku Kaka mungu akubaliki uendelee kufaya kazi yako my brother 🙏🙏

  • @mjosetvkeentertainment805
    @mjosetvkeentertainment805 8 месяцев назад +8

    Great work director Steve kipande and song is legit🔥🔥🔥

  • @BahatiLyanda
    @BahatiLyanda 7 месяцев назад +5

    kaka nyimbo zako zina ujumbe kweli mungu awenawe katka kazi zako

  • @Lifetime9224
    @Lifetime9224 8 месяцев назад +4

    Congratulations mtumishi 🎉big song sir..

  • @AnitaKahambungolole
    @AnitaKahambungolole 6 месяцев назад +7

    Kaka nyimbo zako aime ni bariki sana n'a kunipa muelekeo

  • @MagretMathia-ng3cc
    @MagretMathia-ng3cc 8 месяцев назад +8

    Big up to the best director ever @steven kipande🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @ChanilaKitwima-zc6ko
    @ChanilaKitwima-zc6ko 8 месяцев назад +7

    Be blessed moreee the Servant of the Messiah let Him give you strength to work more!❤🎉

  • @WASHINGTONEOLELA
    @WASHINGTONEOLELA 8 месяцев назад +6

    This song is teaching me so nicely God bless you bro

  • @leemutheu2509
    @leemutheu2509 8 месяцев назад +8

    Director Kipande never fails

  • @gripmusiqnpictures
    @gripmusiqnpictures 8 месяцев назад +8

    Kaliiiiiii sanaaaaaaaa

  • @MargaretAtieno-xx7ys
    @MargaretAtieno-xx7ys 6 месяцев назад +6

    Tumebeba mangu Sana moyon jamañ

  • @EuniceBosibori-i3s
    @EuniceBosibori-i3s 2 месяца назад +2

    This is true many fathers don't know whether the kids they have with his wives are his the one who knows is the mother, n kweli moyo n chumba cha siri

  • @NgoshawaMwanza
    @NgoshawaMwanza 2 месяца назад +2

    Wimbo mzuri Sana, Lakini mimi Ningefukuza Hukohuko Hospitali

  • @magrete483
    @magrete483 8 месяцев назад +5

    Tunangoja sana 🙆

  • @calebnyariki6065
    @calebnyariki6065 6 месяцев назад +4

    Kaka Mungu akubariki sana kwa kazi anayofanya ndani yako.

  • @samuelkathanzu2689
    @samuelkathanzu2689 8 месяцев назад +6

    Shughuli safi steve

  • @Susannajedich-q8x
    @Susannajedich-q8x 8 месяцев назад +5

    Jikaze kakagu jamani mngu akulinde siku zote

  • @nasahazamaisha28
    @nasahazamaisha28 7 месяцев назад +2

    Linda moyo wako kuliko vyote ulindavyo maana umo ndiko kutokako chemichemi za uzima... 😭😭😭

  • @ElizabethJuma-e4z
    @ElizabethJuma-e4z 8 месяцев назад +7

    I'm waiting

  • @ABLE.OF.JESUS.20
    @ABLE.OF.JESUS.20 8 месяцев назад +7

    Sana daddy mm nimebarikiwa

  • @LynixMwash
    @LynixMwash 2 месяца назад +2

    Wanawake mue nautu chameni mtatua mapema shuali

  • @aboudicell7838
    @aboudicell7838 7 месяцев назад +2

    Nashukuru sana kwa wimbo wenye ujumbe mzito sana🙏🙏🙏

  • @KennedyBarasa-b4v
    @KennedyBarasa-b4v 7 месяцев назад +3

    Kweli moyo ni chumba cha siri,
    Jeremiah 17:9

  • @Meryjoseph-vs4dq
    @Meryjoseph-vs4dq Месяц назад +1

    Mimi napenda nyimbo zako zote %100 nakua nafraha gadi nabaki kuduwaaa try sielewu❤❤❤❤❤

  • @StephanoBangala-no6su
    @StephanoBangala-no6su 7 месяцев назад +3

    Mungu azidi kukulinda shetani hapendi kabisa hizi jumbe

  • @AgnesMkongwa
    @AgnesMkongwa 6 месяцев назад +3

    Mmh kapimeni tu dam wa Baba mnapingwa na kitu kizito

  • @isaacwangui52109
    @isaacwangui52109 6 месяцев назад +11

    Nyota ya Dunia na ulimwengu mzima Yu hapa Amani .Mungu tulindie hii nyota tukaiskiza humu Kenya Kwa upendo na Kwa muda kweli

  • @AliceNzambi-be1wr
    @AliceNzambi-be1wr 8 месяцев назад +16

    Huyu mtumishi ahamie Kenya tafadhali!!! Tunakupenda sana tena zaidi kaka annoint

    • @filomenamsemwa4622
      @filomenamsemwa4622 7 месяцев назад +1

      Kwanini wewe usiamie tanzania 😂

    • @Johnmagambo
      @Johnmagambo 5 месяцев назад +1

      Wewe ndo inatakiwa uje tanzania😂😂😂

    • @emillyanyango9154
      @emillyanyango9154 2 месяца назад

      ​@@Johnmagambohatutaki kumiss vurugu ya maandamano 😂😂

  • @SharonAgnes-fg4og
    @SharonAgnes-fg4og 8 месяцев назад +5

    Waiting

  • @polycarpwanzala7375
    @polycarpwanzala7375 8 месяцев назад +5

    Brilliant work, well directed...kudos to director Steve

  • @MagretMathia-ng3cc
    @MagretMathia-ng3cc 8 месяцев назад +9

    The song is 🔥 the director @steve kipande is on fleek eve thing about this video is on fleek

  • @faithfey6886
    @faithfey6886 8 месяцев назад +3

    Ladies its good be faithful to our husbands

  • @HelenaAntony-c3n
    @HelenaAntony-c3n 2 месяца назад +2

    wimbo mzuri sana wenye funzo aseeeee ila sisi wanawake tutafika mbingunk tukiwa hoi jamani, Mungu akusimamie Aman nakupenda sana my love bro endelea kumtumikia Mungu❤❤❤❤❤❤

  • @magrete483
    @magrete483 8 месяцев назад +3

    Tunangoja sana 🙆

  • @SuleimanKhalfan-x4w
    @SuleimanKhalfan-x4w Месяц назад +1

    Wanawake wana siri kubwa ndani ya nyumba zetu

  • @RodgerKashwamutaita
    @RodgerKashwamutaita 2 месяца назад +1

    wimbo mzuri sana nmetoka kule Facebook hadi mafundisho kibao usijiringe ati uko na watoto bila DNA🙏🙏❣️❣️

  • @CharlesKinyumu-ll7cr
    @CharlesKinyumu-ll7cr Месяц назад +1

    kweli nyumba usitiri mengi hayaendani na upendo uliomo humo ndani ya familia,mungu tujalie wanao.

  • @owitifred5472
    @owitifred5472 8 месяцев назад +3

    Very powerful message.Annoit be blessed

  • @FeythKivuyo
    @FeythKivuyo 2 месяца назад +1

    Uyu mm ningempiga panga jaman kama Niko buchani

  • @MeryNyahur
    @MeryNyahur 2 месяца назад +1

    Mtumish wa mung unajua kuomba sana mung sktangulie sana

  • @LovelyDrum-ec3pe
    @LovelyDrum-ec3pe 7 месяцев назад +2

    Safi sana ujumbe mzuri sana wanawake tupone

  • @dominickakhubula8880
    @dominickakhubula8880 8 месяцев назад +2

    🙏🙏🙏🙏

  • @ruthkhalayi5097
    @ruthkhalayi5097 8 месяцев назад +4

    Waiting for this

  • @JenniferMwikali-f2l
    @JenniferMwikali-f2l 8 месяцев назад +3

    Like ur song

  • @FrancineMuhimpundu-b1i
    @FrancineMuhimpundu-b1i 2 месяца назад +1

    Nyimbo nzuli sana inamafunzo mengi

  • @AbigailLoop
    @AbigailLoop 8 месяцев назад +2

    ❤❤

  • @nicholasmutua212
    @nicholasmutua212 8 месяцев назад +3

    I love your songs man

  • @elinamgeni256
    @elinamgeni256 2 месяца назад +1

    Wanawake sisi hatutaiona pepo

  • @johariali9512
    @johariali9512 6 месяцев назад +2

    Wimbo mzur kweli

  • @PeteroJet
    @PeteroJet 6 месяцев назад +1

    I love this. Am crying 😭😭 nkt ombea Kenya jameni

  • @magysamini9106
    @magysamini9106 7 месяцев назад +1

    Napenda nyimbo zako mtumishi wa mungu ❤❤❤❤❤❤🙌🙌🙌🙌

  • @nthenyaesther6271
    @nthenyaesther6271 8 месяцев назад +2

    Bona ninalia 😭😭ukweli watoto si damu yako ndio usaindia mungu azidi na kukubariki mtumishi wa mungu watching from Jordan 🇯🇴🙏🙏🙏🙏

    • @PauloShauri-kn1bl
      @PauloShauri-kn1bl 3 месяца назад

      Nimebarikiwa sana hongera kaka anoint from tz

  • @janetkhayosa356
    @janetkhayosa356 2 месяца назад +1

    Hakika moyo ni chumba cha Siri mno

  • @bonifacekalii3240
    @bonifacekalii3240 8 месяцев назад +2

    Thumbs up kipande🎉🎉

  • @DanielMitu-k5m
    @DanielMitu-k5m 8 месяцев назад +2

    Amen nangoja sanaaaa

  • @DivineKyalwahi-h3l
    @DivineKyalwahi-h3l 6 месяцев назад +1

    Asante Sana kaka nyimbo no nzuri Sana in mafundisho mengi kabisa mungu akuzidishie huduma❤❤❤❤

  • @Augen-i2d
    @Augen-i2d 7 месяцев назад +1

    Nakupenda sana kaka yangu mungu akubaliki sana

  • @Nicholas-le4qp
    @Nicholas-le4qp 8 месяцев назад +2

    Moto sana mtumishi

  • @JosephineBechu-b4c
    @JosephineBechu-b4c 7 месяцев назад +1

    I love your music you music lift me up and give me hope. God continue to bless my brother. The message is what is happening in this world. We needs this every day. Much love my brother.

  • @esthersissamo1120
    @esthersissamo1120 4 месяца назад +1

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu kazi nzuri sana ujumbe mzito mno nimeipenda sana

  • @mycletaitas4194
    @mycletaitas4194 8 месяцев назад +2

    Mungu akubariki sana ujumbe mzuri sana❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @shanneletsobi7899
    @shanneletsobi7899 8 месяцев назад +2

    Even me am waiting come quickly from Kenya

  • @SurprisedBeachVacation-gx4ku
    @SurprisedBeachVacation-gx4ku 8 месяцев назад +3

    I love your songs

  • @destiny288
    @destiny288 8 месяцев назад +1

    Wow...so great brother. Be blessed more

  • @shadrecksitali80
    @shadrecksitali80 6 месяцев назад +2

    I love this song you are brasing

  • @joashmutoto7260
    @joashmutoto7260 2 месяца назад +1

    wooow hakika smart sana hizi nyimbo zote

  • @MiriamMukasa
    @MiriamMukasa Месяц назад

    From kenya Western side ❤❤❤❤❤❤❤ your songs brother ni za kujenga sana

  • @petermwangangi2590
    @petermwangangi2590 8 месяцев назад +1

    Hallelujah oh sana. Good work. Watching from Kenya, Kitui county.

  • @LucyWambui-qr1pw
    @LucyWambui-qr1pw 2 месяца назад

    Nyimbo nzuri sana wow nazipenda sana nyimbo zako kwazna ile ya huko wanaulizana weeeee moto saana from kenya nyimbo zako zimejaa kwenye simu yangu kaka❤❤❤❤❤❤

  • @langatgeofry4688
    @langatgeofry4688 25 дней назад

    How will you raise someone else efforts,wacha babake ya damu ajunge watoto wake

  • @Peris-r5u
    @Peris-r5u 8 месяцев назад +2

    Amen 🙏 🙌 🙏 🎉

  • @RobartMutuma
    @RobartMutuma 7 месяцев назад +1

    Nashukuru kwa huu wimbo Kaka imenifunza jambo❤