Kwa nini usishiriki nyimbo za annoint ikiwa ulisikiliza wimbo, tafadhali shiriki kila mahali wanahitaji kufikia angalau mamilioni ya maoni kwa mwezi, mwisho wa wimbo unanigusa tafadhali shiriki, ana sauti ya kushawishi, mimi na DRCongo 🇨🇩 , asante sana #Amani🙏🙏🙏
The song has a big massage my guys ,,,,end that's why I surely say fear the people who are called ladies,,,,, 🙂↕️🙂↕️🙂↕️ ogopa ogopa usije ukafariki mapema Life is shots.
I love anoint amani all his songs very powerful. I can not go a day without listening to his voice. May God continue to be with him. My favor Tanzania gospel musicians.
wimbo mzuri sana wenye funzo aseeeee ila sisi wanawake tutafika mbingunk tukiwa hoi jamani, Mungu akusimamie Aman nakupenda sana my love bro endelea kumtumikia Mungu❤❤❤❤❤❤
MAMA YANGU ALINIULIZA SWALI MWANANGU KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME NANI MUBAYA NIKASEMA MWANAUME,MAMA ALICHEKA AKASEMA MWANANGU USIOE HAKUNA MTU MUBAYA DUNIANI KAMA MWANAMKE
Anoitin mwanangu wewe kiboko barikiwa sana Mungu akutunze
Me ni muislam lakn kwa hiz nyimbo za annoint napenda kuzickilza sana ,kwani zinafundisha jamii Moja kwa Moja hongera sana.
Nashukuru sana kaka kwaizi nyimbo zako zote ,Mungu akuongezeye pawa
Kaka nyimbo zako aime ni bariki sana n'a kunipa muelekeo
Kwa nini usishiriki nyimbo za annoint ikiwa ulisikiliza wimbo, tafadhali shiriki kila mahali wanahitaji kufikia angalau mamilioni ya maoni kwa mwezi, mwisho wa wimbo unanigusa tafadhali shiriki, ana sauti ya kushawishi, mimi na DRCongo 🇨🇩 , asante sana #Amani🙏🙏🙏
Mungu ndiye tu anajuwa Siri ya hiki chumba🙏🙏🙏🙏
Yes only God knows 🙏
Let's pray for the people who are thar room they need our prayers 🙏 ❤
Wimbo mzuri ni fuzo kuu Barikiwa sana Annoint Amani ❤❤❤❤❤❤❤
Woow hongera rafk angu Mungu akupiganie ufike mbali Zaidi🙏🙏🥰
Aaaha be blessed annoint amani.
I love this song you are brasing
Barikiwa kakangu Annoint na mama muhando nyimbo zenu zimebadilisha maisha yangu.Ningependa kuimba nanyi Mimi mwana uganda
eishi bro hichi kitu n kizito kweli kweli hata cha kuongezea sioni wanawake hii inawausu kupewa nafasi kidogo unaharibu mungu tusaidie waume
Waaa haya yaone tu kwa jirani 😢
Duu maumivu
Ni wimbo tu hakuna mwanaume wa kuvumilia haya
kaka nyimbo zako zina ujumbe kweli mungu awenawe katka kazi zako
Kweli chumba cha aki😢😢😢
Ambao mnakubali Anniont amani tujuane Kwa Like
Annoint Ako sawa mungu amzidishe
@@Slddhhh😮😢5th 😅😊😊😅2w5😅😅😂😂
Mungu azidi kukubariki mtumishi
Tumebeba mangu Sana moyon jamañ
God bless you my brother
Duuuuh huu wimbo atari sijawahi kusikia wimbo wenye ujumbe kama huu Tanzania 🇹🇿 ongera sana kijana naitwa Jumanne nipo Mbeya mbalizi
Wape hi mbaliz
Kaka Mungu akubariki sana kwa kazi anayofanya ndani yako.
siri yangu nampa mungu ndiye atakaye tatua siri yangu mungu akubariki kakangu twakupena sana from Kenya 🇰🇪 ❤
Nashindwa kusubiri mie harakisheni!!!!
Waharakishe kufanyaj 😅😅
😂😂
Kweli moyo ni chumba cha siri,
Jeremiah 17:9
Mungu azidi kukulinda shetani hapendi kabisa hizi jumbe
Big up Daddy Q
Nimekukulenda kwa unavyoimba nipo zambia ndo Mala ya kwanza kukusikiliza na nitazidhi kukufuatilia ❤️❤️🇿🇲🇿🇲🇿🇲
Mimi nakuobea Kila siku Kaka mungu akubaliki uendelee kufaya kazi yako my brother 🙏🙏
Wimbo mzuri sana ❤❤❤❤from kenya
I love this. Am crying 😭😭 nkt ombea Kenya jameni
Waaaa 😢 ukweli wote usha sema, this round sisemi kitu😭😭 ooh God please i need to download this🇰🇪🇰🇪
I'm waiting
Nashukuru sana kwa wimbo wenye ujumbe mzito sana🙏🙏🙏
Be blessed moreee the Servant of the Messiah let Him give you strength to work more!❤🎉
Ubarikiwe mtumishi
Mungu akuongezeye kwa uduma unayo
Safi sana ujumbe mzuri sana wanawake tupone
Wimbo mzur kweli
Congratulations mtumishi 🎉big song sir..
Mwimbaji bora huyu❤❤ He deserves more than (1M) Subscribers ❤
Even more than a million, I love anoint
Very true ❤❤
kweli kabisa
wow I love this song .................... Chumba cha siri
Asante Sana kaka nyimbo no nzuri Sana in mafundisho mengi kabisa mungu akuzidishie huduma❤❤❤❤
The song has a big massage my guys ,,,,end that's why I surely say fear the people who are called ladies,,,,, 🙂↕️🙂↕️🙂↕️ ogopa ogopa usije ukafariki mapema Life is shots.
Kaliiiiiii sanaaaaaaaa
Napenda nyimbo zako mtumishi wa mungu ❤❤❤❤❤❤🙌🙌🙌🙌
Nice I love the song ❤nice work director Steve kipande
Waiting
From Facebook wapi likes
Tuko wengi😊
Nipo
Nashukuru kwa huu wimbo Kaka imenifunza jambo❤
CHUMBA CHA SIRI!!!! Mungu azidi kukubariki na akutumie zaidi kakangu!!! Congratulations 👏 endelea kuleta makubwa tunakupenda sana
This is true many fathers don't know whether the kids they have with his wives are his the one who knows is the mother, n kweli moyo n chumba cha siri
Shughuli safi steve
AISEE...Kwanza una una sauti nzuri Sana yenye kubeba utukufu na mafundisho kede WA kede...Leo nimejitunza mengi Zaidi ya Jina la nyimbo...Barikiwa🙏🙏🙏
I love anoint amani all his songs very powerful. I can not go a day without listening to his voice. May God continue to be with him. My favor Tanzania gospel musicians.
Nyota ya Dunia na ulimwengu mzima Yu hapa Amani .Mungu tulindie hii nyota tukaiskiza humu Kenya Kwa upendo na Kwa muda kweli
Great work director Steve kipande and song is legit🔥🔥🔥
Ubarikiwe saana muimbaji nyimbo zako zinamafundisho Ubarikiwe sana bro
Tunangoja sana 🙆
Huyu mtumishi ahamie Kenya tafadhali!!! Tunakupenda sana tena zaidi kaka annoint
Kwanini wewe usiamie tanzania 😂
Wewe ndo inatakiwa uje tanzania😂😂😂
@@Johnmagambohatutaki kumiss vurugu ya maandamano 😂😂
kweli nyumba usitiri mengi hayaendani na upendo uliomo humo ndani ya familia,mungu tujalie wanao.
Ubarikiwe kwa huduma Yako mwanangu nyimbo zako zote ubariki moyo wangu
Big up to the best director ever @steven kipande🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mimi napenda nyimbo zako zote %100 nakua nafraha gadi nabaki kuduwaaa try sielewu❤❤❤❤❤
Like ur song
Sana daddy mm nimebarikiwa
Merci sana kwa nyimbo zako kaka uje uimbiye ha congo kaka ilitubarikiwe zaidi
sichoki hata siku Moja kushikiza song zako hata siku moja
wimbo mzuri sana nmetoka kule Facebook hadi mafundisho kibao usijiringe ati uko na watoto bila DNA🙏🙏❣️❣️
Amen this song has a strong message....sometimes faithfulness is Good.....Good work mtumishi we love you🙏
Jikaze kakagu jamani mngu akulinde siku zote
Very beautiful song I learnt more about this song Amani Anoint is blessed with this talent of singing gospels ❤❤❤❤
nice nice song mbinguni tutafka tmechoka sana
have been listening and watching this Evangelist's songs, this guy is a good story teller, blending the real life with the Biblical teachings
Ladies its good be faithful to our husbands
From kenya Western side ❤❤❤❤❤❤❤ your songs brother ni za kujenga sana
Linda moyo wako kuliko vyote ulindavyo maana umo ndiko kutokako chemichemi za uzima... 😭😭😭
Wanawake wana siri kubwa ndani ya nyumba zetu
This song is teaching me so nicely God bless you bro
Kaka kweli kwawimbo Huu inafunza wengi Sana .wababa muleye watoto tu Mambo yakupima damu mutakufa presha tu
Vraiment mon frère tu es un bon chanteur, ici au Congo nous sommes très heureux pour tous ce que fait 🎉que Dieu bénisse
Balikiwa sana kaka anonoint🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
Wimbo mzuri Sana, Lakini mimi Ningefukuza Hukohuko Hospitali
Annoint amani huu wimbo wako uko sawa kabisa 👏👏👏
Noma sana
wimbo mzuri sana wenye funzo aseeeee ila sisi wanawake tutafika mbingunk tukiwa hoi jamani, Mungu akusimamie Aman nakupenda sana my love bro endelea kumtumikia Mungu❤❤❤❤❤❤
Aah hii nyimbo imenitoa machozi kabisa❤
Waiting for this
Mungu akubariki Kaka maana nyimbo zako zinajenga kabisa.
Mungu anisamehe kuna siri siwezi sema
Even me am waiting come quickly from Kenya
sipati huu wimbo kwa sportify. nimeitafuta sana
Director steve nice 👍
Jman wa kinamama achen ivy
Kwel huu wimbo kiboko atar❤❤❤
Mwamba anajua Sana kuimba na anabariki sana
Saf sana
Mtumish wa mung unajua kuomba sana mung sktangulie sana
MAMA YANGU ALINIULIZA SWALI MWANANGU KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME NANI MUBAYA NIKASEMA MWANAUME,MAMA ALICHEKA AKASEMA MWANANGU USIOE HAKUNA MTU MUBAYA DUNIANI KAMA MWANAMKE
Mimi niko congo jimbo ituri ninakushukuru sana na hii nyimbo inayo kuwa na ushauri mzito ndani yake
A great song Amani🙏🙏
🇰🇪🇰🇪
Naupenda sana kweli ❤❤❤