I love the sportsmanship and mentality inside this young man. He nails what exactly 💯 affecting the society. If there is a man to pray then there is God to answer. Sending hugs from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Amen kweli Mungu ingilia kati bure vimekua vingi huzuni mingi tunapoteza young people with ambitions,asante Mungu kwa ujumbe huu kupitia kwa mtumishi wako Yohana anointed son of God
Kaka mungu akubariki sana kwa huu wimbo ,,,umenikimbusha mbali sana maisha bila baba ni magumu San nimetamani ata babangu angekuwa hai miaka 11 bila baba jambo la kuumiza sana
Mdogo wangu mungu akubariki sana..umeimba ujumbe mzito sana ambao hata kwa waimbaji wakubwa sana hawawezi kuimba sababu wanaona kama kujishusha hazi zao wengi wao wanaimba tu juu ya nafasi zao na kujisifu baada ya kuimba nyimbo za maombi kuombea maswala ya mhimu kama haya..I blessed god my young brother.
Kenyans let's gather here please and support this servant of GOD...WEKA LIKE TUKISOGA
Yohannah Antony umekuwa mkubwa sana nakuombea mema
I love the sportsmanship and mentality inside this young man. He nails what exactly 💯 affecting the society. If there is a man to pray then there is God to answer. Sending hugs from Kenya 🇰🇪🇰🇪
RIP baba angu Asante kwa ujumbe mzuri mnooo 😢😢 nakumis baba angu
❤❤❤❤❤❤❤ Eeeeeeeeeh mtumishi umefanya nimekumbuka babangu mzazi 😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Pole 🇰🇪🇸🇦
❤❤❤❤
❤❤ I remember my uncle 😭😭😭😭😭😭😭
Mungu abariki ww na maisha yako yohana
Umeubandilisha mtazamo wangu endelea kutuudimia ubarikiwe mtumishi wa mungu yohana
My brother mungu akulinde na akupe maisha marefu umetoa ujumbe nzuri sana pia mimi sina baba niko na mama tuu
I love you songs, from Kenya
Wimbo mzuri mtoto yohana. NIPITIE
Mungu akubariki so touching song my son Glory be to God keep it up and no weapon shall prosper in your ministry in Jesus name
yohana ubalikiwe na mungu katika uduma yako
Mungu akulinde Io n kazi muzuri keep it up 😢😢
very powerful king alot of questions very nice song
Hiyo jambo nzuri ni wimbo wakutii nakufwatilia Niki wa Lebanon mungu azidi aku bariki
Sauti ya mwenyezi mungu ikuinue juu na vipaji yako
Hakika yesu ingilia kati mana hii safari ningum kwakweli. Nimechelewa ila naomba like mpaka walowahi wanionee wivu
Waaaa, what a wonderful song 🎉
Kazi safi kijana mdogo pokea neema zaidi na zaidi
mungu Nini mungu adui za dunia 😢😢yusu merci
😢 may God bless you .......🙏🙏🙏🙏💓💓💓💓
🙏🏾🙏🏾🙏🏾, Mungu akubariki sanaaa, kwa winbo mzuri, mdogo wangu, nafurahia sana nyimbo, Mungu akuinie viwango vya juu sana. 💪💪💪
Tumekushudia ukiwa mtoto na sasa unazidi kukua, keep going uwe mfano wa kuigwa mdogo wangu
Hongera Antony Wacha Mungu aibariki kazi ya mikono yako mahana huu ujumbe n wa maana.
Be blessed Yohana its atouching song😢😢😢😢
Mtoto mdogo lakini Akili imekomaa congratulation umeokoa ndoa mingi wish you good life 🎉🎉
Talented boy aky si mungu akusaidie na akutie nguvu we love you from kenya
Barikiwa mtumishi,RIP babaangu nakukumbuka,familia inayumba ee Yesu ingilia kati na uwape nguvu wababa wote ambao bado wako hai
Yohana umetoka mbali weka biti utashinda
Wonderful song, with powerful message God of mercy be you wherever you're and whatever you do.that is life am passing through.
What an amazing song, with so powerful message to all couples, more grace young man.
Mungu akubariki kwa huo wimbo mtamu sana na ..umeni😢😢😢😢 omygod your the only one 😅😅😅Jesus name
Yesu initially kati
Jamani yoana unaimba natamani niimbe nawwe naomba nipe nafasi
Amen kweli Mungu ingilia kati bure vimekua vingi huzuni mingi tunapoteza young people with ambitions,asante Mungu kwa ujumbe huu kupitia kwa mtumishi wako Yohana anointed son of God
God have Mercy,Yohana servant of Most High, that's a powerful prayer.
Kakangu mungu akubari sana. Na akupee maarifa mengine
😭😭😭 Mtumishi wa Mungu ☝️ Mwenyezi Mungu akujalie afya njema katika Kazi zako
😭😭😭😭😭😭😭😭this has really touched me continue resting in peace daddy
Wimbo mzito
A very good song.. blessings Yohana
Vizuri sana 🎉🎉
Dad you are still fresh in my mind mbona ukaenda mapena😭😭😭
Yohana Mungu akubariki
Amen my beloved son
Mungu akubarki uendelee na kazi hyo hy❤❤❤❤
Ubarikiwe sana kwa. Ujumbe mzur
Almighty God young boy
God bless you for the good work you are doing
Amen Amen Amen
Good job Yohana😢😢
❤❤❤❤
Kaka mungu akubariki sana kwa huu wimbo ,,,umenikimbusha mbali sana maisha bila baba ni magumu San nimetamani ata babangu angekuwa hai miaka 11 bila baba jambo la kuumiza sana
Be blessed yohana Anthony ❤
Strong message,, keep it up
Congratulation my son Yohana great work God bless you 🙏 ❤
This has made me 😢😢😢😢😢😢 continue resting in peace my love ❣️ 😢😢😢😢I never expected that I will be alone at my age😢 but God knows why 😭😭
Powerful prayer God continue blessing you as you bring powerful message to the family together.
❤ mungu akubatiki utimize ndoto zako
God bless you Antony.. na utaenda mbali sana am victor from Kenya
Mdogo wangu mungu akubariki sana..umeimba ujumbe mzito sana ambao hata kwa waimbaji wakubwa sana hawawezi kuimba sababu wanaona kama kujishusha hazi zao wengi wao wanaimba tu juu ya nafasi zao na kujisifu baada ya kuimba nyimbo za maombi kuombea maswala ya mhimu kama haya..I blessed god my young brother.
🎉🎉🎉
@@isaiahobayo❤🎉😊
Nkai b blessed my young brother na uzidi kufunuliwa maono na mungu
God bless you
Congrats Anto. Be blessed by the Almighty GOD. ##Ericoh ricx. From Kangundo
Eeee,Asante,mungu,akubariki,Sanaa,😢😢😢😢,betinnah
Ingilia kati Mungu maana ni mengi wanadamu wanapitia🙏🧎🧎🤲🤲🤲🤲
Good message
Mungu akunarik dg nzr San tunabaki wajane tukiwa wadg mung akurind
Yohannah umekua mkubwa mungu azidi kukuinua❤❤❤
Good song , congrats 🎉🎉
Hongera yohana ninakupata nikiwa kenya
Antony has really grown big, kazi nzuri our son❤❤❤ much love from Kenya ❤❤❤❤
Ameeen ❤❤ be blessed for the mssrg
God protects our fellow fathers
Ujumbe mzuri sana kwetu sisi wanawake mungu akubariki sana.nikweli tusaidiane.
❤❤❤❤❤Good job big brother
I leave this comment here yeyote akilike nitarudi kuwatch.. may God bless this young mtumishi 🙏🙏
🎉🎉🎉🎉🙏🙏🙏😍great song you're always well done talented boy
Good song and it has advise to many. God bless you young boy
🎉❤bles you young boy
Mung akubarik San kwa ujumb umenibark san
Maomba tuimbe wote wimbo mzur san
Ubarikiwe ntumishi yohana Moz.❤💯💪🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu akupariki yohana
Aimen God you my broh
Nice song congratulations yohana
Ingilia kati yesu
Amen 😢, I mic u dad
barikiwa mtumish mungu❤❤❤❤🙏🙏
My son you're blessed ❤❤
Nice song 🎵 ❤❤
Ni safi sana mafunzo mazuri barikiwa mutumishi❤
Amina mtumishi wa mungu
Mungu akurinde San nduguyangu
ilike this
Ahsante sana wimbo nzuri 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉God bless you yohana❤❤❤❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
All the best brother
be blessed Antony
Yesu ingilia kati,,🙏🙏
Nice song
Kaka umeimba vizuri
Amen 🙏🙏🙏
May God bless and protect them as you have said
Ubarikiwe sana
Mungu ambarik huyu kijana