Annoint Amani - Msizike bado yuko hai ( official music video )
HTML-код
- Опубликовано: 19 июн 2024
- #msizikebadoyukohai#annointamani#
Huu wimbo umeandikwa na kuimbwa na Annoint Amani lengo letu tunataka kuwakumbusha vijana kufanya kaz na kupata pesa halali na sio kufanya mambo yaliyo kinyume na sheria ,
ni hatari sana kwenda kinyume na Mungu na sheria ya nchi , maana uharifu una kuharibia sifa njema wewe na kizazi chako chote, hata kama utaona umepata ulichotaka lakin hakina raha maana sio jasho lako ,hivyo vitaisha tu gafra na utaishi vibaga kuliko awali 🙏
Annoint Amani
👇
Tiktok ,Annoint Amani tz
Whatsapp & call
+255767240181 = +255755099942 )
👇
Video,Directed by Rich one & Magnus
Dar es salama Tanzania ) Видеоклипы
KAMA UMETOKA TIKTOK ACCOUNT YETU LIKE HAPA❤❤
Iko wp
hakuna mwimbaji mwingine wa aina yako wewe ni muimbaji wa kimataifa Mungu anajivunia wewe endelea kunyenyekea kwenye mkono wake salute
Aiii Annoint mapenzi tulio nayo kwako, unatufungia kudownload why, na unatubariki, nasi upande mwingine tuna kubariki
Jmn jmn
Anyone from ticktok gongaa like
Ohh yes
Annoint imani amekuwa star kwa sasa nchini kenya nyimbo zake zipo kila mahali haswa western region na nairobi pia mombasa
Nilitamani kuona video 📷 ya wimbo huu SASA ninayo mungu akubariki mtumishi
Listen to the end and laugh till you break your ribs😂😂
Asante mtumishi wa Mungu. Wimbo unameseji nzuri❤
Good educative song annoint amani may God bless u
Nilisubiri sana KABISA iyi Video
Jamani Wimbo Muzuri kwakweli
Nk Kenya lkn naipenda nyimbo zako,,ubarikiwe sana
kauna amin upe hai kwa pumzi yamungu sema a,en like apa
Very nice song brother Anoit amani❤
Annoint umeniliza kwa nyimbo yako
❤❤❤🎉 huu Wimbo unafunza sana jamani😢
Nimetoka ticktock kuja kuangalia ❤
Mimi n mkenya ila kwa nyimbo zake annoit najiskia kama mtanzania nampenda bure
Mungu akubariki kaka unajua sana nazikubali sana nyimbo zako zinajenga
Kutoka kenya hii nyimbo iko na mafundisho
Sana
😢😢😢😢😢 Mungu atusaidiye kweli,haya maisha tunayo pitiya ni magumu sana
nimejifunza mengi hapa,asante.
Nyimbo Zako Nzuri Sana Zenye Mafunzo Mema Sana...Hongera Sana And Be Blessed So Much Annoint Amani 🙏 🙏..Much Love From Kenya ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nice song with strong message...let us wait our time is the best...short cut nooo
Waaaaaa hata nilikuwa naogopa jamani....nilidhani watamzika
Go Amani ....at least I met you for the first time at Mombasa...you are such a blessing daddy....blessings 🙏
Hapa congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩nakukubali sana yaani ❤❤❤❤
Mungu akupe neema🎉🎉🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Napenda maigizo ya nyimbo zako
Pongezi mtumishi video nimeisubiri kwa sana
Nimependa🎉
Nimejifunza ki2..
Ubarikiwe sana
Shukran kwa wimbo ,ubarikiwe na Mungu
Kenyans here we are 🇰🇪🇰🇪🇰🇪kenya tuna njaaa saaana mungu atusaidie
Message Iko clear hapo...ukiwa hai akuna mtu anakusaidia ukifaa ndio watachanga nkt!wanadamu
Nimejifunza kikubwa sana kuhusu wimbo huu
Good know 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦✈️💞💞💞💞💞
Wimbo huu imenbariki sana Daddy
Creativity iko juu. wimbo imejaa mafunzo😊❤❤
Dhaaaahhh nmejkuta nalia sana😢😢😢😢😢😢
Daaaaaaaaaa ngoma hiii disighn sijawahiii isikiaaa huyu mwamba anajuwa sanaaaa😂😂😂😂
Yoooo diii nyimbo yauruma sana Tena mafundisho makubwa sana ubarikiwe sana 🙏💙
Huyu wimbo nimeupenda❤unatufunza tuwe wa bidii ya kufanya bidii na tusipende vya bure
Família unaupiga mwingi sanaaa ubarikiwe
Amina babangu anoint wewe nimuhubiri mzuri kabisa.
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Annoint we love u from Kenya keep shining bro🙏🙏🙏🙏
Hata mm wacha mungu aitwe mungu
Yani umeganya vema sn Kwa video hii
Ukwly mtupuu 😢😢😢
Ujumbe kafika kweli hogera bro we ni jembe kweli
Toka nimezaliwa sijawah Kuna mwimbaji wa kuwaya anaee elimisha kama ww nyimbo yako nzur sana baba kazana mungu atakubaliki
Daddy wangu uko juu sana nakupenda sana 🎉🎉🎉🎉🎉🙆🙆
Unatoa nyimbo kila siku aii we naye huwezi pea nyimbo muda kwanza
Alikwishaongelea hilo kabla hajaanza kufanya anachofanya, fuatilia live video zake utajua sababu
Huduma yake imefikia miaka kumi,hivyo alisema atatoa nyimbo nyingi kwa wingi ili kuhakikisha anafikisha album kumi ili kuelekea adhimisho hilo la miaka kumi ya huduma
Hallelujah glory be to God
Mungu akuinuwe zaidi mtumishi
Mauwa yako mtumishi🎉🎉🎉🎉
Good songs with a good new message be blessings
Listening sweet song like this one 😍😍😍😍😍
Nyimbo zako Huwa zinabariki sana❤❤
Barikiwa sana annoth
Hongera kwakazi zuli baba mungu azidi kukuinua zaidi
Mungu akubariki sana mtumishi
❤❤ wimbo mzuri 😊😊
Funzo kwa vijana kama mimi
Mutu Waka Minembo Yahao Inani Tuto...
Wow nice song ❤
Hii imeenda shulee umefikiria sana
Wow ww ni zuchaa kwa uimbaji kaka waja mungu akubariki sana ❤
Nice song
Wowwww❤❤❤❤❤ nice one congratulations 👏👏👏
😅😅waigizaji mmeweza haki🎉
Safi kaka kwa ujumbe mzuri
Yaan Mimi nakupeda Bure.nyimbo zako zuri
kweli hio nyimbo niwujumbe
Kaka hapa umetisha❤❤❤❤❤
😂😂😂😂l remember last nikiomba video ya hii wimbo 😢kumbe mungu alisikia maombi yangu.mumgu akubariki sana mtumishi wa mungu ❤❤
Ubarikiwe kka sana
Ngoma nzuri kaka😘 Rwanda tunakupenda sana♥️♥️♥️
Hii kali jamani ukweli mtupu
Wow ....deep message
Prince Teddie was here and approved this
Mungu akutie nguvu Zaid Wew ume chaguliwa kweli
High level of thinking capacity
Ilike Amani in DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 Goma
Nimeipenda❤❤❤
Wimbo mzur
Annoint Amani we love you 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hili ni funzo kubwa sana linahitaji hekima kuelewa
😂😂😂waah bro uko Tu sawa creativity ukonayo🇰🇪
Nmebaki apo Kwa tunae fanana unene mpaka ukumpafu😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa kweli dady sisemii Wacha uende wewe Africa Zima hakuna mwimbaji Bora kama wewe .ufike Kila kona
Nikweli akuna kama wewe umetosha kabisa wakati mwigine niki kuona naisi kuliaa Mimi mwanao jaman daddy wangu wakipeke nakupenda saaaana jaman mungu ni shadi anajwa nakupenda 😢😢😢
This boy I wish watu wangekuwa wanajuwa umuhimu wa nyimbo zako
Wow you are such a blessing to us bro from kenya
Nyimbo mzuriiiiii Sanaa yenye maadiri kabixa mungu akubaliki Annoint kijana mwenzangu 🙏🙏🙏🇹🇿🙏
🙏🙏🙏🙏🙏 very educative
Good job👌👌 ❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Wow .....keep it
Mngu akubarik sana namm nataman ningekua karib naww nijifunze uimbaj
Shujaa wa mziki Tanzanie Annoit Amani🎉🎉🎉🎉 wendembele baba
best lesson of all
Huyo mama kaigiza kufa kabisaaa
Barikiwa sana
Nice song keep it up 🇰🇪