Annoint Amani - Msizike bado yuko hai ( official music video )

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 июн 2024
  • #msizikebadoyukohai#annointamani#
    Huu wimbo umeandikwa na kuimbwa na Annoint Amani lengo letu tunataka kuwakumbusha vijana kufanya kaz na kupata pesa halali na sio kufanya mambo yaliyo kinyume na sheria ,
    ni hatari sana kwenda kinyume na Mungu na sheria ya nchi , maana uharifu una kuharibia sifa njema wewe na kizazi chako chote, hata kama utaona umepata ulichotaka lakin hakina raha maana sio jasho lako ,hivyo vitaisha tu gafra na utaishi vibaga kuliko awali 🙏
    Annoint Amani
    👇
    Tiktok ,Annoint Amani tz
    Whatsapp & call
    +255767240181 = +255755099942 )
    👇
    Video,Directed by Rich one & Magnus
    Dar es salama Tanzania )
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 216

  • @newjerusalem_chc
    @newjerusalem_chc 11 дней назад +118

    KAMA UMETOKA TIKTOK ACCOUNT YETU LIKE HAPA❤❤

  • @Benlee2709
    @Benlee2709 11 дней назад +44

    hakuna mwimbaji mwingine wa aina yako wewe ni muimbaji wa kimataifa Mungu anajivunia wewe endelea kunyenyekea kwenye mkono wake salute

    • @user-ye1dt2eb8u
      @user-ye1dt2eb8u 7 дней назад

      Aiii Annoint mapenzi tulio nayo kwako, unatufungia kudownload why, na unatubariki, nasi upande mwingine tuna kubariki

    • @KingBizzo-qr5bh
      @KingBizzo-qr5bh 15 часов назад

      Jmn jmn

  • @VeronicahMbalu-tw6sf
    @VeronicahMbalu-tw6sf 10 дней назад +38

    Anyone from ticktok gongaa like

  • @BrendaWanjala-fj4mg
    @BrendaWanjala-fj4mg 4 дня назад +2

    Annoint imani amekuwa star kwa sasa nchini kenya nyimbo zake zipo kila mahali haswa western region na nairobi pia mombasa

  • @CosmasMaweu-vl4qk
    @CosmasMaweu-vl4qk 10 дней назад +10

    Nilitamani kuona video 📷 ya wimbo huu SASA ninayo mungu akubariki mtumishi

  • @maggiendanuministry7865
    @maggiendanuministry7865 10 дней назад +9

    Listen to the end and laugh till you break your ribs😂😂
    Asante mtumishi wa Mungu. Wimbo unameseji nzuri❤

  • @stephentarus
    @stephentarus 2 дня назад +1

    Good educative song annoint amani may God bless u

  • @nabiibikemwayowele
    @nabiibikemwayowele 11 дней назад +9

    Nilisubiri sana KABISA iyi Video
    Jamani Wimbo Muzuri kwakweli

  • @Mutheu-k7l
    @Mutheu-k7l 6 дней назад

    Nk Kenya lkn naipenda nyimbo zako,,ubarikiwe sana

  • @khanhabibu-ce9qg
    @khanhabibu-ce9qg 11 дней назад +10

    kauna amin upe hai kwa pumzi yamungu sema a,en like apa

  • @AlbizzohKyamaofficial
    @AlbizzohKyamaofficial 15 часов назад +1

    Very nice song brother Anoit amani❤

  • @user-lt2td2gi2e
    @user-lt2td2gi2e 2 часа назад

    Annoint umeniliza kwa nyimbo yako

  • @MaryRoseMoses-ki8wv
    @MaryRoseMoses-ki8wv 3 дня назад +1

    ❤❤❤🎉 huu Wimbo unafunza sana jamani😢

  • @user-vo3wk9yr7k
    @user-vo3wk9yr7k 10 дней назад +7

    Nimetoka ticktock kuja kuangalia ❤

  • @JoanEchom
    @JoanEchom 8 дней назад

    Mimi n mkenya ila kwa nyimbo zake annoit najiskia kama mtanzania nampenda bure

  • @Imanspend
    @Imanspend 5 дней назад

    Mungu akubariki kaka unajua sana nazikubali sana nyimbo zako zinajenga

  • @SandeSandeMure
    @SandeSandeMure 10 дней назад +6

    Kutoka kenya hii nyimbo iko na mafundisho

  • @jacquelineboniface1145
    @jacquelineboniface1145 7 дней назад

    😢😢😢😢😢 Mungu atusaidiye kweli,haya maisha tunayo pitiya ni magumu sana

  • @abiudcheno2545
    @abiudcheno2545 2 дня назад

    nimejifunza mengi hapa,asante.

  • @user-xj1qz8oy5s
    @user-xj1qz8oy5s 7 дней назад

    Nyimbo Zako Nzuri Sana Zenye Mafunzo Mema Sana...Hongera Sana And Be Blessed So Much Annoint Amani 🙏 🙏..Much Love From Kenya ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @priscahkiyondi-om1lt
    @priscahkiyondi-om1lt 8 дней назад

    Nice song with strong message...let us wait our time is the best...short cut nooo

  • @AnnahMutua-sd5sk
    @AnnahMutua-sd5sk 6 дней назад

    Waaaaaa hata nilikuwa naogopa jamani....nilidhani watamzika

  • @mwendemaveke3022
    @mwendemaveke3022 4 дня назад

    Go Amani ....at least I met you for the first time at Mombasa...you are such a blessing daddy....blessings 🙏

  • @user-oe6qe3qh9f
    @user-oe6qe3qh9f 7 дней назад

    Hapa congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩nakukubali sana yaani ❤❤❤❤

  • @aganzeroger
    @aganzeroger 8 дней назад

    Mungu akupe neema🎉🎉🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @hezekiahgetanda8903
    @hezekiahgetanda8903 2 дня назад

    Napenda maigizo ya nyimbo zako

  • @eunicemwende5079
    @eunicemwende5079 10 дней назад +4

    Pongezi mtumishi video nimeisubiri kwa sana
    Nimependa🎉

  • @LaikaKayoka-ko7mo
    @LaikaKayoka-ko7mo 6 дней назад

    Nimejifunza ki2..
    Ubarikiwe sana

  • @ConfianceYeleyele
    @ConfianceYeleyele 7 дней назад

    Shukran kwa wimbo ,ubarikiwe na Mungu

  • @phaustineokitwi7043
    @phaustineokitwi7043 9 дней назад +1

    Kenyans here we are 🇰🇪🇰🇪🇰🇪kenya tuna njaaa saaana mungu atusaidie

  • @mercyebei7935
    @mercyebei7935 9 дней назад +4

    Message Iko clear hapo...ukiwa hai akuna mtu anakusaidia ukifaa ndio watachanga nkt!wanadamu

  • @PendaelHagaiMRPH
    @PendaelHagaiMRPH 3 дня назад

    Nimejifunza kikubwa sana kuhusu wimbo huu

  • @aswa3338
    @aswa3338 8 дней назад +1

    Good know 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦✈️💞💞💞💞💞

  • @micentertainment-rc5ex
    @micentertainment-rc5ex 6 дней назад

    Wimbo huu imenbariki sana Daddy

  • @AdonisSifa
    @AdonisSifa 11 дней назад +4

    Creativity iko juu. wimbo imejaa mafunzo😊❤❤

  • @YusuphMseti-jy2vs
    @YusuphMseti-jy2vs 5 дней назад

    Dhaaaahhh nmejkuta nalia sana😢😢😢😢😢😢

  • @Wapambe
    @Wapambe 8 дней назад

    Daaaaaaaaaa ngoma hiii disighn sijawahiii isikiaaa huyu mwamba anajuwa sanaaaa😂😂😂😂

  • @mapendosafi3429
    @mapendosafi3429 9 дней назад

    Yoooo diii nyimbo yauruma sana Tena mafundisho makubwa sana ubarikiwe sana 🙏💙

  • @quinterisaji9905
    @quinterisaji9905 6 дней назад +1

    Huyu wimbo nimeupenda❤unatufunza tuwe wa bidii ya kufanya bidii na tusipende vya bure

  • @Jaysimple996
    @Jaysimple996 11 дней назад +4

    Família unaupiga mwingi sanaaa ubarikiwe

  • @PaslayPascalmbula
    @PaslayPascalmbula 11 дней назад +4

    Amina babangu anoint wewe nimuhubiri mzuri kabisa.

  • @ambakisyemwakinunu2002
    @ambakisyemwakinunu2002 9 дней назад

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu

  • @FalaceOgeto-mn8ic
    @FalaceOgeto-mn8ic 7 дней назад

    Annoint we love u from Kenya keep shining bro🙏🙏🙏🙏

  • @JosephOliko
    @JosephOliko 7 дней назад

    Hata mm wacha mungu aitwe mungu

  • @user-nm9hb7so7i
    @user-nm9hb7so7i 11 дней назад +9

    Yani umeganya vema sn Kwa video hii

  • @shazzysymon6835
    @shazzysymon6835 10 дней назад +2

    Ukwly mtupuu 😢😢😢

  • @brianmutindaofficial8564
    @brianmutindaofficial8564 10 дней назад +4

    Ujumbe kafika kweli hogera bro we ni jembe kweli

  • @YonaTaigo
    @YonaTaigo 10 дней назад +2

    Toka nimezaliwa sijawah Kuna mwimbaji wa kuwaya anaee elimisha kama ww nyimbo yako nzur sana baba kazana mungu atakubaliki

  • @MargaretAtieno-xx7ys
    @MargaretAtieno-xx7ys 10 дней назад +4

    Daddy wangu uko juu sana nakupenda sana 🎉🎉🎉🎉🎉🙆🙆

  • @johnstoneshiveka5566
    @johnstoneshiveka5566 10 дней назад +4

    Unatoa nyimbo kila siku aii we naye huwezi pea nyimbo muda kwanza

    • @victormkello9575
      @victormkello9575 10 дней назад +2

      Alikwishaongelea hilo kabla hajaanza kufanya anachofanya, fuatilia live video zake utajua sababu

    • @user-io2rj2yp5d
      @user-io2rj2yp5d 10 дней назад +1

      Huduma yake imefikia miaka kumi,hivyo alisema atatoa nyimbo nyingi kwa wingi ili kuhakikisha anafikisha album kumi ili kuelekea adhimisho hilo la miaka kumi ya huduma

  • @hollinessmasanju6518
    @hollinessmasanju6518 29 минут назад

    Hallelujah glory be to God

  • @felistamushi
    @felistamushi 8 дней назад

    Mungu akuinuwe zaidi mtumishi

  • @tato8979
    @tato8979 2 дня назад

    Mauwa yako mtumishi🎉🎉🎉🎉

  • @VanessaKephas
    @VanessaKephas 10 дней назад +2

    Good songs with a good new message be blessings

  • @youngmasindano-lv1de4yz3z
    @youngmasindano-lv1de4yz3z 8 дней назад

    Listening sweet song like this one 😍😍😍😍😍

  • @isaacmwaura6099
    @isaacmwaura6099 7 дней назад +1

    Nyimbo zako Huwa zinabariki sana❤❤

  • @ElizabethLawa
    @ElizabethLawa 3 дня назад

    Barikiwa sana annoth

  • @user-gw2is6nm9x
    @user-gw2is6nm9x 10 дней назад +3

    Hongera kwakazi zuli baba mungu azidi kukuinua zaidi

  • @AliceNzambi-be1wr
    @AliceNzambi-be1wr 11 дней назад +3

    Mungu akubariki sana mtumishi

  • @TrizzahWanjala
    @TrizzahWanjala 11 дней назад +3

    ❤❤ wimbo mzuri 😊😊

  • @VincentOtieno-yn6kc
    @VincentOtieno-yn6kc 11 дней назад +4

    Funzo kwa vijana kama mimi

  • @mutumbasitali247
    @mutumbasitali247 5 дней назад

    Mutu Waka Minembo Yahao Inani Tuto...

  • @paulinanduku2748
    @paulinanduku2748 11 дней назад +3

    Wow nice song ❤

  • @ArmanyNgala-el4sy
    @ArmanyNgala-el4sy 9 дней назад

    Hii imeenda shulee umefikiria sana

  • @user-bb9wt4hl9s
    @user-bb9wt4hl9s 10 дней назад +1

    Wow ww ni zuchaa kwa uimbaji kaka waja mungu akubariki sana ❤

  • @SabiyDanny
    @SabiyDanny 11 дней назад +4

    Nice song

  • @FlorenceNeema.
    @FlorenceNeema. 11 дней назад +4

    Wowwww❤❤❤❤❤ nice one congratulations 👏👏👏

  • @tausimwinuka
    @tausimwinuka 10 дней назад +2

    😅😅waigizaji mmeweza haki🎉

  • @NeemaMateleka
    @NeemaMateleka 11 дней назад +3

    Safi kaka kwa ujumbe mzuri

  • @RachealVaati
    @RachealVaati 10 дней назад +2

    Yaan Mimi nakupeda Bure.nyimbo zako zuri

  • @pendotv5110
    @pendotv5110 11 дней назад +3

    kweli hio nyimbo niwujumbe

  • @GLADNESSEMILY
    @GLADNESSEMILY 8 дней назад

    Kaka hapa umetisha❤❤❤❤❤

  • @dominickakhubula8880
    @dominickakhubula8880 6 дней назад +1

    😂😂😂😂l remember last nikiomba video ya hii wimbo 😢kumbe mungu alisikia maombi yangu.mumgu akubariki sana mtumishi wa mungu ❤❤

  • @Elishaponde
    @Elishaponde 8 дней назад

    Ubarikiwe kka sana

  • @etienneutamufite1264
    @etienneutamufite1264 8 дней назад +1

    Ngoma nzuri kaka😘 Rwanda tunakupenda sana♥️♥️♥️

  • @Eunicemakokha-gc9ss
    @Eunicemakokha-gc9ss 10 дней назад +3

    Hii kali jamani ukweli mtupu

  • @RodahLichuma-bk8ex
    @RodahLichuma-bk8ex 8 дней назад

    Wow ....deep message

  • @princetitusteddie
    @princetitusteddie 10 дней назад +3

    Prince Teddie was here and approved this

  • @GiftFrance
    @GiftFrance 10 дней назад +2

    Mungu akutie nguvu Zaid Wew ume chaguliwa kweli

  • @ArmanyNgala-el4sy
    @ArmanyNgala-el4sy 9 дней назад

    High level of thinking capacity

  • @user-db1yl3vj4y
    @user-db1yl3vj4y 9 дней назад

    Ilike Amani in DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 Goma

  • @user-ly5ld5bu2i
    @user-ly5ld5bu2i 8 дней назад

    Nimeipenda❤❤❤

  • @AgataMsitu
    @AgataMsitu 6 дней назад

    Wimbo mzur

  • @user-nm9ww9bi9j
    @user-nm9ww9bi9j 6 дней назад

    Annoint Amani we love you 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @anielytuva9838
    @anielytuva9838 10 дней назад +2

    Hili ni funzo kubwa sana linahitaji hekima kuelewa

  • @officialdavidoh
    @officialdavidoh 10 дней назад +3

    😂😂😂waah bro uko Tu sawa creativity ukonayo🇰🇪

  • @alexk8502
    @alexk8502 10 дней назад +2

    Nmebaki apo Kwa tunae fanana unene mpaka ukumpafu😂😂😂😂

  • @estermachea3373
    @estermachea3373 9 дней назад +1

    Kwa kweli dady sisemii Wacha uende wewe Africa Zima hakuna mwimbaji Bora kama wewe .ufike Kila kona

    • @MargaretAtieno-xx7ys
      @MargaretAtieno-xx7ys 7 дней назад

      Nikweli akuna kama wewe umetosha kabisa wakati mwigine niki kuona naisi kuliaa Mimi mwanao jaman daddy wangu wakipeke nakupenda saaaana jaman mungu ni shadi anajwa nakupenda 😢😢😢

  • @user-dp9nb4od1y
    @user-dp9nb4od1y 10 дней назад +1

    This boy I wish watu wangekuwa wanajuwa umuhimu wa nyimbo zako

  • @braxedeswaswa9307
    @braxedeswaswa9307 7 дней назад

    Wow you are such a blessing to us bro from kenya

  • @lwzmangulu7532
    @lwzmangulu7532 10 дней назад +1

    Nyimbo mzuriiiiii Sanaa yenye maadiri kabixa mungu akubaliki Annoint kijana mwenzangu 🙏🙏🙏🇹🇿🙏

  • @MoureenAtieno-me9cu
    @MoureenAtieno-me9cu 2 дня назад

    🙏🙏🙏🙏🙏 very educative

  • @TantineZuzu
    @TantineZuzu 9 дней назад

    Good job👌👌 ❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @RuthMwende-no6ji
    @RuthMwende-no6ji 9 дней назад

    Wow .....keep it

  • @MRIAMUKIRINTONY
    @MRIAMUKIRINTONY 9 дней назад +1

    Mngu akubarik sana namm nataman ningekua karib naww nijifunze uimbaj

  • @SilasMukanya-ig2vi
    @SilasMukanya-ig2vi 10 дней назад +1

    Shujaa wa mziki Tanzanie Annoit Amani🎉🎉🎉🎉 wendembele baba

  • @abiudcheno2545
    @abiudcheno2545 2 дня назад

    best lesson of all

  • @TushGray
    @TushGray 5 дней назад +1

    Huyo mama kaigiza kufa kabisaaa

  • @directorvendeko8229
    @directorvendeko8229 11 дней назад +4

    Barikiwa sana

  • @mrnickmusician7139
    @mrnickmusician7139 10 дней назад +2

    Nice song keep it up 🇰🇪