ANNOINT AMANI - NABII FEKI KULA CHUMA HICHO ( OFFICIAL VIDEO )

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии • 913

  • @OmbogoEverlineNyanchera
    @OmbogoEverlineNyanchera 2 месяца назад +32

    Team strong wenye twasema na akina waigiru iko wapi like ya Anoint from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 like plz

  • @lovely-i5i8t
    @lovely-i5i8t Месяц назад +6

    Nabii mtapeli hio ni ukweli sikuizi wanatumia kazi ya mungu vibaya wambiee waskie nimebarikiwa

  • @ShabanMatimbwa-k9w
    @ShabanMatimbwa-k9w 4 месяца назад +5

    Wimbo mzuri San Kwa nabii wa uongo🎉🎉🎉 pokes Maua yak mtumishi🌹🌹🌹🌹

  • @JoyceMumbe-zb6oq
    @JoyceMumbe-zb6oq 12 дней назад +2

    Mungu asante Kwa kunifungua macho ya kiroho ...tusome bibilia jameni ..yaani unapata watu wako brainwashed hawezi wskajua ukweli...asante yesu.

  • @curtischaka7089
    @curtischaka7089 4 месяца назад +8

    From kenya, naomba utuletee zaidi nyimbo kama hizi zinafunza mengi na mungu akulinde

  • @JustinMusabireBukere
    @JustinMusabireBukere Месяц назад +2

    Ubarikiwe sana kwa nyimbo nzuri.

  • @abisaichristian1053
    @abisaichristian1053 6 месяцев назад +38

    Kiboko cha wachawi kula chuma icho😊😮😮😢😢😢

  • @DOREENCHARLES1995
    @DOREENCHARLES1995 2 дня назад

    Anointing Aman King of Gospel...Watanzania na wakenya nipitieni twende UKAMBANI❤❤❤

  • @Mygirl_1032
    @Mygirl_1032 4 месяца назад +4

    Jamani huu wimbo unaupako hakika Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @edwinah-r2w
    @edwinah-r2w 2 месяца назад +2

    Yaaaah good job,nitakutaf

  • @thomaspollerspock3511
    @thomaspollerspock3511 Месяц назад +3

    Hata hapa Germany tunakwenda kabisa barikiwa Mtumishi
    Florence ❤❤❤❤❤❤

  • @KennedySaidi-l6j
    @KennedySaidi-l6j 3 месяца назад +2

    Congrats wakule chuma hicho manabii wa uongo

  • @tanuijoelk93
    @tanuijoelk93 4 месяца назад +5

    Mungu akubariki msanii❤❤❤❤uishi miaka mingi kwa hii dunia❤❤❤🎉🎉🎉

  • @ZebedayoSanga-i1g
    @ZebedayoSanga-i1g 9 дней назад +2

    nyimbo nzuri saana ila nashauri mauno yapungue au yaatolewe Bro ❤

  • @Luckyseed138
    @Luckyseed138 4 месяца назад +4

    Nakubali mwanao kazi iko nzuri mama
    Mungu ndio Jina lake 🙏🙏

  • @StephenMoturi-z7v
    @StephenMoturi-z7v Месяц назад +2

    🎉🎉🎉🎉 good 👍😊 work

  • @BonfaceBon
    @BonfaceBon 3 месяца назад +3

    Loving you from Kenya 🇰🇪 🇰🇪

  • @SophieMogiti
    @SophieMogiti 3 месяца назад +2

    Wimbo mzuri sana,,,Nawependa sana kutoka kenya Maua yangu ndo hiyo❤❤❤🎉🎉🎉🎉❤🎉❤🎉🎉🎉

  • @professor1992
    @professor1992 6 месяцев назад +223

    From Kenya sijawai pata likes Kwa nyimbo zako😢 am ohangla gospel rhumba kazi safi my brother nipewe likes mukinifuata youtube 😅😅😅😅

    • @jjkinara6576
      @jjkinara6576 5 месяцев назад +3

      Pia huku mko

    • @AnnaAnna-tb7rf
      @AnnaAnna-tb7rf 5 месяцев назад +3

      😮😂❤ 🎉🎉🎉🎉🎉❤

    • @Niceboys456
      @Niceboys456 3 месяца назад

      ​@@jjkinara6576 every one is an ambassador 😂😂😂😂 tunawakilisha kila pande mkuu

    • @MosesKamakia
      @MosesKamakia 21 день назад

      I will follow you

    • @MosesKamakia
      @MosesKamakia 21 день назад

      🎉🎉🎉❤❤ Gods work iendelee

  • @edinamtote8338
    @edinamtote8338 4 месяца назад +2

    Hongela kijana ujumbe mzuli Sana

  • @Dianamo-u4k
    @Dianamo-u4k 6 месяцев назад +14

    Finally wimbo wa manabii feki inaendelea kuwafikia kwao,,barikiwa sana mtumish point taken ❤❤

  • @SurprisedLabrador-uo5zb
    @SurprisedLabrador-uo5zb 6 месяцев назад +86

    Walioingojea video kwa hamu gonga like

  • @pontienadolphe9788
    @pontienadolphe9788 5 месяцев назад +3

    Bwana Esau, hongela sana. Kwa Wimbo huu!

  • @RajabJr-r6y
    @RajabJr-r6y 5 месяцев назад +2

    Nabii wa buza kiboko ya wanga kula chuma hicho ! Mzee wa kawe alimaarufu mwamposa nawe kula chuma hicho ! mezen hata km cha moto dadek zenu hii imeenda

  • @sporahlazaro6619
    @sporahlazaro6619 5 месяцев назад +3

    Maboya tena.hakuna kitu pale .wote ni wale wale tu.

  • @LydiaMutheu-u6x
    @LydiaMutheu-u6x 3 месяца назад +2

    🥰🥰🥰aky hii wimbo n smart kama mwenyewe

  • @mouldykomba1852
    @mouldykomba1852 5 месяцев назад +3

    Ni kweli siku izi manabii wengi hawakemei dhambi wanajifanya wanafanya miujiza wanapotosha watu hawasemi ukweli

  • @FredrickRwoti
    @FredrickRwoti 3 месяца назад

    i. remember somedays back my father have santuris. like omorug ne etuki akomina na. mogori. egita kiane ninki agonchandera

  • @zephaniasirikwa7495
    @zephaniasirikwa7495 5 месяцев назад +8

    Wape vidonge vyao.wamezidi kuwatapeli watu wa Mungu.keep it up!

  • @JudithChitongo
    @JudithChitongo Месяц назад

    So powerful preaching ❤i love it ❤❤❤❤❤ from Zambia thank you you so much God bless you ❤❤

  • @donathawilliamssulle1769
    @donathawilliamssulle1769 6 месяцев назад +4

    Ukisikia chuma ndo hiki sasa,mtumishi chukua maua yako🎉🎉🎉🎉

  • @HaUe-eo4yg
    @HaUe-eo4yg 4 месяца назад +2

    Wamejaa kila mahali sadaka ndio wanataka wakule😂😂😂😂😂😂😂washindwe mungu yuko karibu kurudi😢😢😢😢😢😢

  • @Kasaybaraka
    @Kasaybaraka 5 месяцев назад +3

    Huu wimbo ume nikumbusha istoria ya nabibi kijana n'a nabibi mzee mimi ni Kasay Baraka from Beni town Dr Congo

  • @bonfesmwenda4008
    @bonfesmwenda4008 4 месяца назад

    Asante mama siku amini mama MUNGU anakupenda

  • @musyokafelix88
    @musyokafelix88 6 месяцев назад +9

    Fact be told,,Annoint wewe ni mtoto wa mungu. Barikiwa milele. Ishi kumtukuza mungu na usibanduke kamwe. Maanake kitakuramba. Tunakupenda sana.

  • @anifermhando4847
    @anifermhando4847 2 месяца назад

    Mnafundsha injili gan hapo wanaume wanakata mauno kwel

  • @tanuijoelk93
    @tanuijoelk93 4 месяца назад +3

    Hongera❤❤ hongera❤❤❤ hongera msanii❤❤

  • @KyandoSpareparts
    @KyandoSpareparts 4 месяца назад

    Sema akupaswa kuwafananisha wahubiri kwa kuwataja ,hakuna mtumishi wa kwer anayekwambia uyu ni nabii feki na uyu si feki

  • @LodvolaLameck-jl5vs
    @LodvolaLameck-jl5vs 6 месяцев назад +4

    Wimbo una ujumbe mzuri ila uwasilishaji wa shetani, Mungu hawezi kuwa radhi na wakata viuno na secular dance

    • @JoviniFaida-uj5qb
      @JoviniFaida-uj5qb 6 месяцев назад +1

      Sawa kabisa

    • @Mchiwalalatz
      @Mchiwalalatz 6 месяцев назад

      Kabisa yani ...ujumbe hauendani na uwasilishaji wake
      Hivo viuno vya nn kwenye kazi ya Mungu.

    • @K-go1qj
      @K-go1qj 6 месяцев назад

      Anamtukuza shetani

  • @SalmaMakilika
    @SalmaMakilika 6 месяцев назад +2

    Nimependa saana.mungu nimmoja kaimba kwaniaba yawote.WALE CHUMA HICHOO

  • @ARONPaul-bz3ws
    @ARONPaul-bz3ws 5 месяцев назад +6

    kulaaa chumaaa ichooo kibokoo ya wqchawiii

  • @EmmanuelUwimana-z8p
    @EmmanuelUwimana-z8p 4 месяца назад

    Filamu iii ikisha isha apana tena kutu fanya tena mambo za uchawi sie wengine kuwa tunaziogopa sana 🎉 mukiendrleya huwa hatuta wa fwata tena!!!!😊

  • @efraimkalinga8066
    @efraimkalinga8066 6 месяцев назад +4

    Wale chuma icho wamezidi amina mpendwa kazi nzur ubarikiwe

  • @allanmtumishi6522
    @allanmtumishi6522 2 месяца назад

    kutoka kenya Nairobi hii wimbo ni nzuri sana Mungu akuzidishie kabisa

  • @MargaretAtieno-xx7ys
    @MargaretAtieno-xx7ys 6 месяцев назад +5

    Amen amen 🙏🙏 daddy wangu wakipeke 💃💃💃 lakubaliana na wewe daddy uko juu

  • @K-go1qj
    @K-go1qj 6 месяцев назад +2

    Ilitakiwa aanze kula chuma yeye kwanza kabla ya hao manabii feki hana tofauti nao

  • @018crewtanzania3
    @018crewtanzania3 5 месяцев назад +35

    Wale tumeletwa kutoka Facebook tukutane hapa😂❤

  • @RoberthJasesa
    @RoberthJasesa 5 месяцев назад +1

    Hamna tofauti ya mwimbaji pamoja na nabii wa uongo yote matapeli tu unanengua kumzidi cofee

  • @StephenKasolo
    @StephenKasolo 6 месяцев назад +5

    Wee na unaimba sana Jitu la Mbinguni 😅

  • @MariamMariam-x6g
    @MariamMariam-x6g 29 дней назад +1

    😂😂😂😂Nimecheka na wenye sare anayefatwa naye kafata mwendzie..aki baba halima mauwa🎉🎉🎉🎉 chukua

  • @roseingashani8070
    @roseingashani8070 6 месяцев назад +4

    Safi sana Annoint much love from Kenya

  • @CharlesLukogo-v6c
    @CharlesLukogo-v6c 22 дня назад

    Amen ❤❤

  • @ShazCay-official
    @ShazCay-official 6 месяцев назад +16

    Imeandikwa kuwa nyakati za mwisho kutakuwa na nabii feki na Wakristo watakimbilia miujiza kwa nabii feki kuliko kufuata njia sawa. Matthew 7:14-15.

  • @juliusmalunde9636
    @juliusmalunde9636 6 месяцев назад +1

    Hongera kwako ndugu nyimbo zako karibia zote zinafundisha na kuinjilisha

  • @MedrineAnyango
    @MedrineAnyango 6 месяцев назад +4

    Hii nyimbo iko namafusho kweli mm natoka kenya likes.song

    • @RaphaelSikalengo
      @RaphaelSikalengo 2 месяца назад

      Kaka tatizo moja2 unaka mauno wewe umeokoka cheza kwanizamu

  • @GraceBernad
    @GraceBernad 6 месяцев назад +1

    Jmn anoint namkubali sana simu yangu imejaa nyimbo zake ubarikiwe. Na Mungu

  • @ezechieljacques9320
    @ezechieljacques9320 6 месяцев назад +31

    What a wonderful song . Jameni nipe like zenu ndugu zanu wa kenya . Sisi tuko south Africa 🇿🇦 tunawapata

  • @Esther-r9p4i
    @Esther-r9p4i 4 месяца назад

    I love this song full of message watching from zambia

  • @mujwasteven
    @mujwasteven 6 месяцев назад +93

    Mi sijawahi kupata Like hata Moja

  • @MilaKavwai
    @MilaKavwai 2 месяца назад +1

    Nampenda sana huyu baba anajua kuact😂😂😊😊more love from Kenya 🇰🇪 Daddy may God continue protecting you and blessing you 🎉❤🎉❤you always put smile on my face 😊 ☺️ ❤️

  • @user-Ambani
    @user-Ambani 5 месяцев назад +3

    Can i prophesie😂😂😂 mungu akuzidishie mtumishi wa mungu

  • @victoriadaizy5277
    @victoriadaizy5277 5 месяцев назад +2

    Raha ya milele umpee Ee Bwana na mwanga wa milele umwangazie Apumzike kwa Amani . to soon marko😢

  • @Bagay1335
    @Bagay1335 6 месяцев назад +3

    Ongera mwanangu we una tisha balaaa.nazipenda mimiii

  • @BendiErican-lo3bw
    @BendiErican-lo3bw 3 месяца назад +1

    Nice song,,likes from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @nicholasmutua212
    @nicholasmutua212 6 месяцев назад +3

    am apostle Nicholas Mutua Kenya Nairobi naipenda Sana him huduma yako Kaka barikiwa sana

  • @hurumakalenzi8997
    @hurumakalenzi8997 6 месяцев назад +1

    shetani kula chuma ichoo hongera sana baba angu mungu azidi kukutumia kwa mengi

  • @aganzeroger
    @aganzeroger 6 месяцев назад +3

    Imeenda kabisa paka uku Congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩🎉🎉🎉

  • @micahmoriah501micah9
    @micahmoriah501micah9 6 месяцев назад +2

    God bless you abundantly and God's grace and favour of God upon you minister of God,,,,,,, the song so educational,,,,,, and to my brothers and sisters let the lord help us to be the servants who worship and do the work of God in spirit and truth and lord help us to discern fake servants in Jesus name

  • @KingCell-d4n
    @KingCell-d4n 6 месяцев назад +17

    Ukweli nabii fake wakule chuma hicho😊🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @mercyrotich
    @mercyrotich 25 дней назад

    watu wa Kenya wataelewa hii wimbo sana.....kuna message unapitisha

  • @elizabethclipperofficial811
    @elizabethclipperofficial811 5 месяцев назад +3

    Hii moto kabisa. Go go go go goooooo...... Nabii fake Kula Chuma hichoooo

  • @EliasNdambani
    @EliasNdambani 12 дней назад

    May the good God calm every storm in my life

  • @edwinmarienga8051
    @edwinmarienga8051 6 месяцев назад +4

    Amen 🙏 umenigusa waaaaaaaaa hatari mungu akubariki Sana akutende mema siku zote wakenya wapi like 🎉🎉🎉

  • @apostledonaldkeya1879
    @apostledonaldkeya1879 3 месяца назад

    Kula chuma hicho...Kazi nzuri Sana. Mbele Iko Sawa Na Mungu

  • @kenkijana350
    @kenkijana350 6 месяцев назад +4

    Nice one hiyo niukweli

  • @SuarezbyaombeComijek-k9b
    @SuarezbyaombeComijek-k9b 3 месяца назад

    Hakuka kwa Yesu kuna rahaaaah saaaan❤❤❤❤❤

  • @emanulmwaitege5531
    @emanulmwaitege5531 6 месяцев назад +2

    Aman hongera sana mungu AKUPE MAISHA marefu

  • @ElizabethKathini-m7t
    @ElizabethKathini-m7t 3 месяца назад

    Hongera 🎉🎉 moto moto wimbo🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @ImaniTinda-h6x
    @ImaniTinda-h6x 5 месяцев назад +4

    Goooooooooood !!

  • @Kinyongasafaris
    @Kinyongasafaris 5 месяцев назад +1

    Ujumbe mzuri sn ila wadada uvaaji na kunyoa kwako denge kuna maswali ya kiroho sn.

    • @faustinemillanzi2899
      @faustinemillanzi2899 3 месяца назад

      Tunajidanganya kwa kudhani kuwa Mungu anaangalia moyo TU.

  • @aganzeroger
    @aganzeroger 6 месяцев назад +5

    Mungu akupe kibali katika kazi ya kwako🎉🎉🎉

  • @CleanNgoda
    @CleanNgoda 5 месяцев назад

    Wimbo una jumbe mzuri ilauwasilisha wa shetani,mungu hawezi kuwa radhi❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @JohnTiendrebeogo-i2h
    @JohnTiendrebeogo-i2h 6 месяцев назад +5

    I'm so proud of you Annoint , what you say is true. God bless you man ⭐⭐❤💙🇧🇫

  • @fionafavourofficial509
    @fionafavourofficial509 Месяц назад +2

    Kula chuma hicho,hiiii imeeenda😂😂😂😂 Anoint Amani hebu akuje kenya

  • @joybiliah
    @joybiliah 6 месяцев назад +3

    Kwa hakika hii imeenda, mtumishi pongezi sana kwa wimbo mzuri sana

    • @annointamani3285
      @annointamani3285  6 месяцев назад +4

      AMEEN MDOGO WANGU MZURI 🙏WALIO WA MUNGU WATAISIKIA SAUTI YA MUNGU 🙏

  • @ruthwanjiru8359
    @ruthwanjiru8359 2 месяца назад

    Wimbo wa baraka sana,umenifanya nijurudie sana🙏🙏🙏🙏 .Barikiwa sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @HarunaDanielmbanzeofficial
    @HarunaDanielmbanzeofficial 6 месяцев назад +3

    Umeidance Vizur nimependa video iko highlights

  • @JosephineCherono-n8o
    @JosephineCherono-n8o 6 месяцев назад +1

    Pst josphine kiprop eee nikweli nyimbo ni..baraka🎉🎉🎉❤❤❤

  • @mercyjames3364
    @mercyjames3364 6 месяцев назад +11

    From kenya ii nayo imeenda 👏

  • @kingscote7812
    @kingscote7812 6 месяцев назад

    You are blessed bro.Speak ,rebuke and give hope

  • @yusraadan6928
    @yusraadan6928 6 месяцев назад +5

    Ameen Ameen Ameen from Kenya 🇰🇪

  • @roselyimo3676
    @roselyimo3676 5 месяцев назад

    Manabii walitabiriwa hata hao unaowataja walitabiriwa kuwa watakuja wengi kwa jina la Yesu msiwaamini. Hiyo ndio Hali tuliyonayo. Ila ule mwisho bado

  • @marthachimulimuli3875
    @marthachimulimuli3875 6 месяцев назад +3

    My favorite songs annoint unajua bhana

  • @ChristinèMonchari-e1s
    @ChristinèMonchari-e1s 6 месяцев назад +2

    Kwanza hapo vile umesema mgogo wewe umeweza kabisa enyewe hii imeenda

  • @glorymuthuri5139
    @glorymuthuri5139 5 месяцев назад +2

    Wakenya kujeni 💕💕💕💕💕💕💕💕 hii tumekupatia tic

  • @jonesmatasi7047
    @jonesmatasi7047 2 месяца назад

    Huyu Annoint ni mtoto wa Rose Muhando ama juu hiyo dance 🔥🔥🔥🔥♥️

  • @b3falampendwa758
    @b3falampendwa758 6 месяцев назад +4

    Open Up on the truth bretheren Amani . You're safe always in the hands of GOD,
    AMEN.

  • @elosygatwiri-r4l
    @elosygatwiri-r4l 4 месяца назад

    Wee pastor anakalia mtu baada la kiti n anapangaswa kiatu n kali

  • @MargaretAtieno-xx7ys
    @MargaretAtieno-xx7ys 6 месяцев назад +5

    Nani kaka wewe wooooow🔥🔥🔥🔥🔥 wachome kabisa daddy 🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @agnestunga2695
    @agnestunga2695 3 месяца назад

    Kula chuma hicho wimbo umenibariki sana