Nabii wa buza kiboko ya wanga kula chuma hicho ! Mzee wa kawe alimaarufu mwamposa nawe kula chuma hicho ! mezen hata km cha moto dadek zenu hii imeenda
Nampenda sana huyu baba anajua kuact😂😂😊😊more love from Kenya 🇰🇪 Daddy may God continue protecting you and blessing you 🎉❤🎉❤you always put smile on my face 😊 ☺️ ❤️
God bless you abundantly and God's grace and favour of God upon you minister of God,,,,,,, the song so educational,,,,,, and to my brothers and sisters let the lord help us to be the servants who worship and do the work of God in spirit and truth and lord help us to discern fake servants in Jesus name
Team strong wenye twasema na akina waigiru iko wapi like ya Anoint from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 like plz
Nabii mtapeli hio ni ukweli sikuizi wanatumia kazi ya mungu vibaya wambiee waskie nimebarikiwa
Wimbo mzuri San Kwa nabii wa uongo🎉🎉🎉 pokes Maua yak mtumishi🌹🌹🌹🌹
Mungu asante Kwa kunifungua macho ya kiroho ...tusome bibilia jameni ..yaani unapata watu wako brainwashed hawezi wskajua ukweli...asante yesu.
From kenya, naomba utuletee zaidi nyimbo kama hizi zinafunza mengi na mungu akulinde
Ubarikiwe sana kwa nyimbo nzuri.
Kiboko cha wachawi kula chuma icho😊😮😮😢😢😢
Jaman
Anointing Aman King of Gospel...Watanzania na wakenya nipitieni twende UKAMBANI❤❤❤
Jamani huu wimbo unaupako hakika Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Yaaaah good job,nitakutaf
Hata hapa Germany tunakwenda kabisa barikiwa Mtumishi
Florence ❤❤❤❤❤❤
Congrats wakule chuma hicho manabii wa uongo
Mungu akubariki msanii❤❤❤❤uishi miaka mingi kwa hii dunia❤❤❤🎉🎉🎉
nyimbo nzuri saana ila nashauri mauno yapungue au yaatolewe Bro ❤
Nakubali mwanao kazi iko nzuri mama
Mungu ndio Jina lake 🙏🙏
🎉🎉🎉🎉 good 👍😊 work
Loving you from Kenya 🇰🇪 🇰🇪
Wimbo mzuri sana,,,Nawependa sana kutoka kenya Maua yangu ndo hiyo❤❤❤🎉🎉🎉🎉❤🎉❤🎉🎉🎉
From Kenya sijawai pata likes Kwa nyimbo zako😢 am ohangla gospel rhumba kazi safi my brother nipewe likes mukinifuata youtube 😅😅😅😅
Pia huku mko
😮😂❤ 🎉🎉🎉🎉🎉❤
@@jjkinara6576 every one is an ambassador 😂😂😂😂 tunawakilisha kila pande mkuu
I will follow you
🎉🎉🎉❤❤ Gods work iendelee
Hongela kijana ujumbe mzuli Sana
Finally wimbo wa manabii feki inaendelea kuwafikia kwao,,barikiwa sana mtumish point taken ❤❤
Walioingojea video kwa hamu gonga like
Bwana Esau, hongela sana. Kwa Wimbo huu!
Nabii wa buza kiboko ya wanga kula chuma hicho ! Mzee wa kawe alimaarufu mwamposa nawe kula chuma hicho ! mezen hata km cha moto dadek zenu hii imeenda
😅😅😅😅😅
Maboya tena.hakuna kitu pale .wote ni wale wale tu.
🥰🥰🥰aky hii wimbo n smart kama mwenyewe
Ni kweli siku izi manabii wengi hawakemei dhambi wanajifanya wanafanya miujiza wanapotosha watu hawasemi ukweli
i. remember somedays back my father have santuris. like omorug ne etuki akomina na. mogori. egita kiane ninki agonchandera
Wape vidonge vyao.wamezidi kuwatapeli watu wa Mungu.keep it up!
So powerful preaching ❤i love it ❤❤❤❤❤ from Zambia thank you you so much God bless you ❤❤
Ukisikia chuma ndo hiki sasa,mtumishi chukua maua yako🎉🎉🎉🎉
Wamejaa kila mahali sadaka ndio wanataka wakule😂😂😂😂😂😂😂washindwe mungu yuko karibu kurudi😢😢😢😢😢😢
Huu wimbo ume nikumbusha istoria ya nabibi kijana n'a nabibi mzee mimi ni Kasay Baraka from Beni town Dr Congo
Asante mama siku amini mama MUNGU anakupenda
Fact be told,,Annoint wewe ni mtoto wa mungu. Barikiwa milele. Ishi kumtukuza mungu na usibanduke kamwe. Maanake kitakuramba. Tunakupenda sana.
Mnafundsha injili gan hapo wanaume wanakata mauno kwel
Hongera❤❤ hongera❤❤❤ hongera msanii❤❤
Sema akupaswa kuwafananisha wahubiri kwa kuwataja ,hakuna mtumishi wa kwer anayekwambia uyu ni nabii feki na uyu si feki
Wimbo una ujumbe mzuri ila uwasilishaji wa shetani, Mungu hawezi kuwa radhi na wakata viuno na secular dance
Sawa kabisa
Kabisa yani ...ujumbe hauendani na uwasilishaji wake
Hivo viuno vya nn kwenye kazi ya Mungu.
Anamtukuza shetani
Nimependa saana.mungu nimmoja kaimba kwaniaba yawote.WALE CHUMA HICHOO
kulaaa chumaaa ichooo kibokoo ya wqchawiii
Filamu iii ikisha isha apana tena kutu fanya tena mambo za uchawi sie wengine kuwa tunaziogopa sana 🎉 mukiendrleya huwa hatuta wa fwata tena!!!!😊
Wale chuma icho wamezidi amina mpendwa kazi nzur ubarikiwe
kutoka kenya Nairobi hii wimbo ni nzuri sana Mungu akuzidishie kabisa
Amen amen 🙏🙏 daddy wangu wakipeke 💃💃💃 lakubaliana na wewe daddy uko juu
Ilitakiwa aanze kula chuma yeye kwanza kabla ya hao manabii feki hana tofauti nao
😂😂😂
Wale tumeletwa kutoka Facebook tukutane hapa😂❤
😂 umejuaje
Heheheee hii Ni tofauti sana hata kudance,Ni Rose muhando kabisa.🤣
😅😅😅
Hahaha tuko hapa
Hamna tofauti ya mwimbaji pamoja na nabii wa uongo yote matapeli tu unanengua kumzidi cofee
Wee na unaimba sana Jitu la Mbinguni 😅
MUNGU NI MWEMA KING KASOLO 💪
😂😂😂😂Nimecheka na wenye sare anayefatwa naye kafata mwendzie..aki baba halima mauwa🎉🎉🎉🎉 chukua
Safi sana Annoint much love from Kenya
🎉🎉🎉
Amen ❤❤
Imeandikwa kuwa nyakati za mwisho kutakuwa na nabii feki na Wakristo watakimbilia miujiza kwa nabii feki kuliko kufuata njia sawa. Matthew 7:14-15.
Amin
Hongera kwako ndugu nyimbo zako karibia zote zinafundisha na kuinjilisha
Hii nyimbo iko namafusho kweli mm natoka kenya likes.song
Kaka tatizo moja2 unaka mauno wewe umeokoka cheza kwanizamu
Jmn anoint namkubali sana simu yangu imejaa nyimbo zake ubarikiwe. Na Mungu
What a wonderful song . Jameni nipe like zenu ndugu zanu wa kenya . Sisi tuko south Africa 🇿🇦 tunawapata
I love this song full of message watching from zambia
Mi sijawahi kupata Like hata Moja
Nampenda sana huyu baba anajua kuact😂😂😊😊more love from Kenya 🇰🇪 Daddy may God continue protecting you and blessing you 🎉❤🎉❤you always put smile on my face 😊 ☺️ ❤️
Mr.Senga❤
Can i prophesie😂😂😂 mungu akuzidishie mtumishi wa mungu
Raha ya milele umpee Ee Bwana na mwanga wa milele umwangazie Apumzike kwa Amani . to soon marko😢
Ongera mwanangu we una tisha balaaa.nazipenda mimiii
Nice song,,likes from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
am apostle Nicholas Mutua Kenya Nairobi naipenda Sana him huduma yako Kaka barikiwa sana
shetani kula chuma ichoo hongera sana baba angu mungu azidi kukutumia kwa mengi
Imeenda kabisa paka uku Congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩🎉🎉🎉
God bless you abundantly and God's grace and favour of God upon you minister of God,,,,,,, the song so educational,,,,,, and to my brothers and sisters let the lord help us to be the servants who worship and do the work of God in spirit and truth and lord help us to discern fake servants in Jesus name
Ukweli nabii fake wakule chuma hicho😊🎉🎉🎉❤❤❤❤
watu wa Kenya wataelewa hii wimbo sana.....kuna message unapitisha
Hii moto kabisa. Go go go go goooooo...... Nabii fake Kula Chuma hichoooo
May the good God calm every storm in my life
Amen 🙏 umenigusa waaaaaaaaa hatari mungu akubariki Sana akutende mema siku zote wakenya wapi like 🎉🎉🎉
Kula chuma hicho...Kazi nzuri Sana. Mbele Iko Sawa Na Mungu
Nice one hiyo niukweli
Hakuka kwa Yesu kuna rahaaaah saaaan❤❤❤❤❤
Aman hongera sana mungu AKUPE MAISHA marefu
Hongera 🎉🎉 moto moto wimbo🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Goooooooooood !!
Ujumbe mzuri sn ila wadada uvaaji na kunyoa kwako denge kuna maswali ya kiroho sn.
Tunajidanganya kwa kudhani kuwa Mungu anaangalia moyo TU.
Mungu akupe kibali katika kazi ya kwako🎉🎉🎉
Wimbo una jumbe mzuri ilauwasilisha wa shetani,mungu hawezi kuwa radhi❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
I'm so proud of you Annoint , what you say is true. God bless you man ⭐⭐❤💙🇧🇫
Kula chuma hicho,hiiii imeeenda😂😂😂😂 Anoint Amani hebu akuje kenya
Kwa hakika hii imeenda, mtumishi pongezi sana kwa wimbo mzuri sana
AMEEN MDOGO WANGU MZURI 🙏WALIO WA MUNGU WATAISIKIA SAUTI YA MUNGU 🙏
Wimbo wa baraka sana,umenifanya nijurudie sana🙏🙏🙏🙏 .Barikiwa sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Umeidance Vizur nimependa video iko highlights
Pst josphine kiprop eee nikweli nyimbo ni..baraka🎉🎉🎉❤❤❤
From kenya ii nayo imeenda 👏
You are blessed bro.Speak ,rebuke and give hope
Ameen Ameen Ameen from Kenya 🇰🇪
Manabii walitabiriwa hata hao unaowataja walitabiriwa kuwa watakuja wengi kwa jina la Yesu msiwaamini. Hiyo ndio Hali tuliyonayo. Ila ule mwisho bado
My favorite songs annoint unajua bhana
Kwanza hapo vile umesema mgogo wewe umeweza kabisa enyewe hii imeenda
Wakenya kujeni 💕💕💕💕💕💕💕💕 hii tumekupatia tic
Huyu Annoint ni mtoto wa Rose Muhando ama juu hiyo dance 🔥🔥🔥🔥♥️
Open Up on the truth bretheren Amani . You're safe always in the hands of GOD,
AMEN.
Wee pastor anakalia mtu baada la kiti n anapangaswa kiatu n kali
Nani kaka wewe wooooow🔥🔥🔥🔥🔥 wachome kabisa daddy 🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Kula chuma hicho wimbo umenibariki sana