Bony Mwaitege - Acha Nizaliwe (Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 12 июл 2023
- In this video, we take a look at the new official music video for Bony Mwaitege - ''Acha Nizaliwe''. Shot in Mbeya Tanzania , this song tells the story of a young girl who struggles against poverty and dictatorship. Watch the video to see what we think of it!
Acha nizaliwe Acha nizaliwe hii hapa ...
Kwa Neema ya Mungu kazi zangu zote sasa zitapatikana katika channel yangu hii, nikuombe sana kuungana na mimi kwa hatua nyingine mpya kabisa.Mafuta ambayo Mungu ameyaweka ndani yangu ni wakati mwingine wa kukuvusha ...
Pia unaweza kuwasiliana namimi moja kwa moja kwa simu namba:-+255 753 582 739.
acha nizaliwe #achanizaliwe
MUNGU AKUBARIKI SANA. - Видеоклипы
Nimeishi kucoment huku kwa bony mwaitege ,sijai pata likes nipeeni ,nijiskie niko
Ubarikiwe sana
Wakwanza kuitazama nikiwa Lusaka zambia nipe like tuone niwangapi wamebarikiwa
Axnt
Wimbo hauchoshi kuusikiliza,,kama nawewe umerudia kuiangalia hii Ngoma zaidi ya mara mbili gonga like hapa twende sawa.
Heshima Kwa mama🙏,nawewe uliyempoteza Mama, Mungu afanyike faraja kwako.
Aki bony nikaa unampenda mamako Sana Sana juu umemimba Sana hyo n song yako yapili nmesikia ukiimba mamako. Kaa mama ako ako hai namuombea Mungu ampe maisha marefu
Unae soma comments huku unautizama wimbo huu nakua hatujuani ila naomba mwenyezi Mungu akuzidishie maishani ❤❤
Amen 🙏🙏
Asante
Ameen
Amen
Amen
MUNGU mbariki mama yangu, tuliokataliwa kipindi cha mimba tuko wengi sana😢😢 cha kushangaza waliotukataa Ndiyo tumefanana nao mpaka kucha😢😢
Kabisa
Nalia kwa uchungu mno 😭😭😭nakumbuka mdogo wangu kipindi alipata ujauzito nilikua wakwanza kusisitiza atoe 😢😢😢kwa sababu yamasomo😭😭chakushangazi Sisi tulisoma naona maisha yetu nikama yake😢Eeee Mwenyezi Mungu tusamehe😭😭😭👏🤲
Mungu akupe kibari tena cha kumrudia 😢
From the loving Almighty God will forgive you all❤
Sasa
Ukitubu na kuomba msamaha Mungu ataisikia sauti yako na atakusamehe ....
Kaka mungu akutumie zaidi kwa mahubiri ya nyimbo zako wapi likes za wakenya❤❤❤❤
Nautafuta kwa yinga media siupati huu wimbo jameni.
Kenya nasupport huu wimbo .kama waupenda nipe likes za mtumishi
Tunakupenda hapa Kenya 🇰🇪
❤❤❤❤❤❤
ASANTE SANA
Mamaaaaaaaaaa😢 endelea kupumzika kwa Amani,, salute kwa wamama wote mliobakia hai❤
Duh mama yangu aliniacha nikiwa darasa la 6 naumia sana
Nakukumbuka Sana mama yangu Sina Cha kukulipa zaidi ya Asante🙏🙏🙏
Namkubali sana bon
Kaka bon ubarikiwe na mngiu kwa wimbo huu mm
Unaskitisha sana
Nimefungwa na uja uzito sasa mwizi kumi na saba naomba Mungu anishindie vita 😢
kila nikisiza wimbo huu nalia sana😢😢😢😢,nikikumbuka nimeishi bila mama,inaniumiza my son sahii ako 5yrs am now a single mum just becoz nilibaki hakimu wa mwisho kwa maisha yake,huu wimbo ni historia ya maisha ya mtoto wangu nami mwenyewe,l can't control my tears writing this😢😢😢😢
Ubarikiwe sana kazi ni nzuri sana hakika unatujenga moyo sana.
Mama lala pepo still missing you 😢😢 hii wimbo imenikimbusha last year I lost my mum😢😢
A plea against abortion. Asante mtumishi wa Mungu, hali ngumu ila tuwape watoto wasio na hatia nafasi ya kuishi
My name is bayaga from zambia, to be honest, this song is teaching and healing ..no doubt 😂
Huu Wimbo unatia uruma 😢😢 inafanya nimwaze mwanangu tumboni🤰🤰
Pole dear
Have gone through all this,, exactly but encouraged myself to keep the baby,,😭😭😭😭, ,,may our heavenly father bless all mother's .Amen
Wimbo huu umenikumbusha2013 nilikuwa 15years nikapata mimba my parents walitaka nitoe mimba ati nisome but nilitoroka nikalea mimba mpka nikajifungua baby boi 2014at the age of 16yrs sai ako 9yrs and am proud kuitwa mam ❤️❤️pongezi kwako mchugaji may God bless you 🙏🙏
😭😭😭the revelation is deeper beyond just physical birth, kuna ujumbe zaidi ya mambo yanayopaswa kuzalishwa ndani yetu
Ewe Mungu acha nizaliwe
Wow ...go go go mtumishi❤❤❤❤❤ nimebarikiwa Toka nchi jirani Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
namkubari sana kaka yangu huwa hana kazi mbovu.hii nyimbo inatukumbusha kuwa kumbuka wazazi wetu.hakuna kama mama.llove you mama❤❤❤❤🎉🎉🎉😅😅😅
Ivi mama yangu ukowapi😭nduguyangu wamenikataa mama yangu uliondoka mapema baba alifaliki nikiwa sijazaliwa 😭Nimebaki kumwimbiya MUNGU ,japo umeniacha namaumivu makubwa hayaelezezi😭😭
Uuui baba wimbo mzuri wakutuelimiasha sisi wamam na wale wanakusudia kutoavya mimba. Mungu tusaidie kama Wana wako tusiwahi fikiria destiny ya watoto wetu
ASANTE SANA Mwanangu
Kabisa I wish all ladies can hear this song aki iko n mafunzo sana nice song.special dedication to all mother's
Wimbo huu unanikumbusha magumu anayopitia mama yangu jaman❤ I love you mama
Thanks
Msaidie
Hlw proffesor,
Both of them,mom and dad
Inatufundisha nn tunaona picha ya mwanamke na mwanaune born mwaitege then anatuonesha kijusi kikiea ndani ya placenta mtoto anazaliwa na kukua kwa malezi ya baba na mama .
By heavenlucky
Mungu akutia nguvu mama unayepitia wakati mgumu.Mungu ndiye masaada wako mwanadamu asikufanye uamue maamuzi mabaya ya mtoto kuishi.Kuna kusudi la Mungu
Asante kwa ujumbe mzuri sana baba mungu aendelee kuku tunza 🙏🏻🙏🏻
ASANTE SANA MWANANGU
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
I miss you sana mama yangu pumzika kwa amani.leo Siku ya wamama Duniani nimesikiza huu wimbo ni machozi tuu..forever in my heart❤
kinamama tunavumilia mengi sana.siri ya mama anaijua mungu.hakuna kama mama🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Mama jamni,Mungu atusaidie wamama wote na tuwe strong juu ya huu wimbo wenye kujaa faraja.
Wimbo mtamu na mafunzo, mama waheshimiwe . Mtumishi wa Mungu uinuliwe juu zaidi. Kazi nzuri sana
Akisati kabisa dukuyangu tutakutana binguni mungu hakubari pamoja namimi
Wimbo huu umenifanya nikumbuke 2019 😭😭😭May God protect my son and me, I run away from home to keep my pregnancy 😢 because they wanted me to get rid of my baby when I was pregnant Ni God 🙏🙏
Ongera baba bony. Corneille ababa kutoka Congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩 nyimbo iyi inani Bariki sana. Tena sana kabisa. Munguatembee nawewe.
Nyimbo hii imeniliza . Bonny MUNGU akutie Nguvu, ujumbe mzuri saaana. Unatia moyo kwa kizazi hiki .
ASANTE SANA NDUGU YANGU
Huu wimbo tumeupromote tiktok asaana brother ,zaliwa❤
ASANTE SANA NDUGU YANGU MPENDWA
MUNGU AWABARIKI SANA
Mungu akupe maisha maref mama yangu nakupenda mama hakuitoa mimba yangu nawachukia sana wanao toa mimba wauaji hawana huluma
Amen Amen Amen 🙏 😢 wimbo umenitoa chozi wimbo bora wa mwaka wow ! Ubarikiwe kwa kazi nzuri Mtumishi ❤
ASANTE SANA NDUGU YANGU
So powerful 🙏
Mungu akujalie maisha mema❤🎉
Aki mama yangu ❤❤❤❤❤🙏
Hakika Bony umetoa toa ujumbe mzuri sana Kwa jamii hii ya Sasa. Natamani vyombo vya habari vipige wimbo huu Kila saa 1.00 asubuhi na Kila saa 2:00 usiku na iwe lazima Kwa Kila Mtanzania kuusikiliza. Pia wimbo huu uipigwe kabla ya wimbo wa Taifa kwenye shughuli za Viongozi wa Nchi.
Siku nimeusikia radioni kwa mala ya kwanza sikuuelewaa,,,huuu wimbo kiukweli unatungo la shairi lililotulia sana MUNGU azidi kukufunulia zaidi maarifa kaka etu.
Wimbo huu umesimulia maisha yangu 😢😢😢Barikiwa sana Mutumishi wa Mungu. 🙏🙏🙏🎶
Sem to me
Amina
Hata mimi😢
Amen Amen and Amen what a nice song 🙏 may God bless our mothers 🙏🙏 much love to you from Kenya 🇰🇪
Huu wimbo umenifanya nikumbuke mengi sana ila Mungu anatuzaidia sana wamama kwa yale tunayoyapitia. Nilikataliwa na ndugu wa upande wa baba angu hasa bibi angu lakini mama alivumilia nikazaliwa amenilea ameteseka na mm kwenye barid na jua kwenye hali zote... Leo nimesoma nimemaliza chuo nimekuwa faraja yake
😢 Bonny Mwaitage i want you to perform during my graduation very soon
A strong and emotional 😢😢 message Asante sana kwa wimbo wa hekma Mungu akubariki❤,,,,Maana asingekua mama yangu kukataa kunibeba baada ya babangu kunikataa singekua duniani 😢😢😢😢😢 wimbo huu umenigusa
My name is bayaga from zambia this song makes my eyes get crying coz i remember when i was young very young, many people told me that my father rejected me when i was in my mother's womb and my grand ma adopted me so god blesse her so much❤❤❤❤❤❤
I used to think I'm the only person in this world who goes through this 😢
😭😭😭❌❌😴uuuuiiiiii
Nami nichukue fursa hii adimu kumshukuru Mungu kwa ajili ya wimbo huu mzuri, umenikumbusha mke wangu kipenzi wakati akiwa mjamzito alivyo kuwa, saruti kwa wamama wote, Mungu awatunze.
Wimbo huu uko na mafunzo nzuri sana wanaopanga kutoa wasijaribu hata kidogo
Barikiwa sana wimbo unajumbe mzuri mungu atufanyie wepes sisi wakinamama kwamapito tunayoyapitia
God bless 🙏 for this song am from Rwanda
Sauti mzuri, ujumbe mzuri kwa vijana wetu mungu aendelee kukupa maarifa zaidi mtumishi.
ASANTE SANA
R.I.P my mum..ulikataa kunitoa ukanizaa. Ulale kwa amani
This song have made me cry 😭😭😭 cz I lost my job cz of getting pregnant my boss ask me to do abortion or I leave job
I decided to keep my pregnancy when I see my twins I give thanks to God even thoh their father Nd his family treat me like trash cz am not their tribe I tell God he will make way for me Nd my twins Nd change story
Sending you prayers and hugs ❤
Ndugu Bony nakuaminia hasa yaani wimbo huu unipelekea kumbukumbu mbali🤦🤦🤦💔💔Neema ya mungu imulinde mamangu kwa vile alivyojisatiti kuubeba ujauzito wangu na kunitoa duniani hadi sasa ningali mzima🙏🙏🙏💓
Asante mungu ulinipa nguvu nikamueka mwanangu sikuskiza mtu yoyote ❤
This is just another hit. Kenyans learn from Tanzania. Hii ujinga ya kuimba KUDARA PEJI ZA BIBLE na TWENDI TWENDI THILI muache. By the way I don't listen to Kenyan Gospel artists. They lack content 😢😢😢
Each and everytime i watch this song lazima nitokwe na machozi nikimkumbuka mama yanguu😭😭😭😭😭
Bonnie
I always enjoy listening to your songs,be blessed mwaitege, Kenya we love you
Tunashukuru kwa wimbo kaka yangu mbony umenikumbusha zambi ya utowaji mimba niliyo ifanya mimi nalia ,na sikitika nakosa furaha ya maisha.😢😢
Mamaangu alipokua ana uja uzito wangu alikunywa sumu mara tatu hili nife Kwa sababu ya baba yangu 😢lakini Leo namshukuru mola nilizaliwa niko mzima 🙏🙏
I always pray to God that for the sake of my mother you have to bless me 🙏🏻🙏🏻 all the way from Zambia ❤ you're the best Bonny
Once upon a time we were delicate creatures but our mum's accommodated us❤❤.
Hivi ndio itendeka kwangu nikipata watoto wangu😢😢😢
Maisha marefu mamangu MUNGU mlinde na umubariki mamangu siwezi jisuwia upendo nilio nao kwa mamangu MUNGU muepushe na Yule muovu
Wimbo mzurii sana napenda nyimbo zaako when i grow up i want to be like you
❤❤❤❤ Ilove you mom
Laiti mama angelikuwa hai angesikie husia huu wa bro BONNY MWAITEGE 😭😭
BONNY LOVE MOTHERS..BIG UP BRO...MUNGU AKUZIDISHIE...KARIBU NYUMBANI
This reminds me of how my baby daddy rejected my pregnancy at two weeks after breaking the news to him...ill always be there for my son and be the very best friend and mommy for him...with God we are making it with my prince...this song strengthens me Bony...much blessings...
The humble gospel artist i most love ❤may lord bless you more 🙏
Thanks
Asante kwa mafundisho mazuri
Kama mama yako Yuko hai mshukuru Mungu na muombee maisha mema
Na sisi ambao tumeondokewa na mama zetu Mungu awape mwanga wa milele na pumziko la aman rest in peace my mammy 😢
Asante kwa ujumbe mzuri kwa mama zetu ubalikiwe mama ndo wabeba roho zetu
Namimi nakymbuka mama yangu music uyu nimzurisana unajuwa kuwimba mungu akuleteki paji owengine kama nyazamani ❤❤❤
Ubarikiwe Sanaa mtumishi wa Mungu hii nyimbo ni best kwa kila anae penda huduma yako mwaka huu itakuwa ya kwanza ubarikiwe Sanaa Bishop mwaitege by Benson Mgaya
ASANTE SANA NDUGU YANGU
😢😢😢weka like sina mengii
Asante sanaaa baba
Mimi na mke wangu tunaupenda sana, toka Kinshasa Drc
Beautiful Masterpiece...i dedicate this to my Mama in heaven Continue Resting in peace until that blissful morning ❤❤
For sure it's among sweet songs!
Keep resting in peace my mumy as today we are celebrating 2 years since you left us!
@@charleslinda8320 hugs bro
@@teresaonduko4443 thank you Teresa
WIMBO MUKUBWA ƙwakweli MTUMISHI wa MUNGU❤
Nampenda mama, na mke wangu ubalikiwe japo ulilazinishwa na mama yako kutoa lakn nilisimama , ndo mtoto anamiaka 4 prince mwanangu ukue kwa kumpendeza mungu
Ak ur my favourite artist napenda nyimbo zako sana bonny,,go on you always bless our hearts God bless you so much
Hiyi Kali sana. Sifa kwa Mungu wetu wa Mbiguni. Hongera sana baba. toka Congo Tunakupenda sana. Congratulations to give us this new song✌
ASANTE SANA NDUGU YANGU
Bonny mwaitenge my role model in music...
Mungu akubariki saana pastor na mwimbaji wetu, nimemkumbuka mama angu ananambiaga aliteseka Sana juu yangu nusu after, daah
Hapa umegusa penyewe mtumishi kiufupi ujumbe umefka na hii ikawe funzo kwa wale wote wanaofany vitendo vya utoaji mimba....👊👊
Ni wimbo mzuri sana kwa mktadha huo, lakni kwa Mimi amabae baba na mama wote wanipenda wametimiza jukumu lao kunilea kwa hali ngumu na kawaida hapa wababa walobeba majukumu yao kisawasawa haujatubariki..
Well arranged idea, perfectly presented. ❤. Touchy and educative masterpiece.
I have listened to this song 10x every day ican't stop shading tears when am listening mummy continue rest in peace ,salute to you sir much blessing's for this great music watching from Bahrain
Thanks
Live long mummy asanti kwa kunileta duniani mummy uliambiwa ufanye abortion ukaona n vyema utoroke ili uokoe maisha yangu😊❤
Bonny mungu awe nawewe wimbo huu nimeupokea week 2 Kisha binti mmja kuitoa Mimba yangu (DRC baraka)
Kwa kweli wimbo mzuri mungu aliye mbingun akubarik Sana mtumishi mungu akuzidishie zaid na zaid❤
Number 1 viewer from kenya❤❤❤❤I love it
Thank you so much
Thank you so much
Wakongwe mmeamua kule rose mhando bahati bukuku tulimis San nyimbo zenu
Najiskia uchungu hasira faraja na kila kitu moyon hakuna natokwa na machoz ila nikimukumbuka mama na Mungu najikuta tu moyo unalia na unafurahia
Ndugu shukurani sana, always listening and enjoying your gospel music from Europe 🇪🇺. This song is a testimony of many people around the world. May God of love and favour grant you blessings and prosperity in your life and your talent!🙏❤
God blessing your talent
God blessing your talent bro
"bayaga" kazeba's son to be honest this song is my testimony, may almight god blesse every body who treated me well and grant my mum❤❤❤ and kaMunyangura i love so much❤❤❤
Huu wimbo umenikubusha Mbali sana 😭🙏, mungu akupariki katika maisha yako yote mtumishi wa mungu ❤❤❤
ASANTE SANA NDUGU YANGU MPENDWA
Am from Nigeria pls someone should explain this song for me.i like the song
Wimbo huu unanifanya nikumbuke vile nilikuwa napanga kumtoa mtoto but I thank God nilibeba na nikazaa sai ni MTU mkubwa❤
My best male artist in the whole world 💞
I love Bonny for his good work,and his passion he always shows in every song he sings.
Your songs are such a blessing to me mtumishi wa Mungu.
Zidi kutubariki na nyimbo nzuri,nawe pia uzidi kubarikiwa 🙏
Much 💕 from Kenya😊
ASANTE SANA NDUGU YANGU MPENDWA