Bahati Bukuku - Sitaki Tulaumiane (Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 7 апр 2024
- Music Video by Bahati Bukuku performing "Sitaki Tulaumiane" from the Ep (DAWA YANGU).
The music Video was shot in Dar es Salaam, Directed by Fahim Rasham.
Stream/Download ‘Dawa Yangu’ EP - smartklix.com/DawaYanguEP
Follow now Bahati Bukuku on Social Media
Instagram: Bahatibukuku_tz
#BahatiBukuku #SitakiTulaumiane - Развлечения
Team ya Bahati Bukuku tujuane Kwa Like
Sisi awa👋this is my favorite artist ever ❤️. Mungu azidi kukubariki mutumishi wa mungu hili uzidi kubari wengi kwa kipaji hiki💕🙏🙏
Hadi kwa Reply ❤❤❤
Amen mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana mama❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
wow
Hongera mafunuo mapya
Mafans wa bukuku kutoka Kenya wapi likes zenu? Bukuku you make me find pleasure in music
🎉na penda mungu. Aliepo. Ndani. Ya nyimbo zako
Nko area❤
I always wish 2 have her voice am always trying 2 song her songs I love her so much❤
Dunia ikobise kusemasemtu habafwate mafudisho ubarikiwe kwamafudisho ❤❤❤ ❤❤❤❤❤
Wakenya wote tunamkubali Mama wetu malikia wa nyimbo za dini,mungu akubariki miaka 120 amina
Amen amen ❤
Amin
Bahati you are a blessing to me mama😭😭 hii imenipata nikiwa karibu kuenda mbali na Mungu 😭😭Wacha nizidi kuendelea na wewe Mungu.... Gonga likes tusonge😭😭😭
Mungu ainuliwe alitakakurudisha kwake kwa lazima
Nyimbo zako zinanibariki sana🙏🏾🙏🏾🙏🏾
ruclips.net/video/imb9KiUxCvQ/видео.htmlsi=FrZTcNronaeRgjpV
Amin🙏🙏
The video is finally out...gonga like kama umependa hii verse "Aaah sikufunga mimi mlango, ogelea tu" 🔥
❤❤❤❤
𝘸𝘢𝘤𝘩𝘢 𝘸𝘢𝘰𝘨𝘦𝘭𝘦𝘦😅
Very. Touching
Nifungulie mlango mimi ni rafiki yako
Na injili iendelee, ubarikiwe bahati bukuku. Nipeni likes 100 wa Congo 🇨🇩🇨🇩
Wa Congolese sisi awa apa👋 kuburudika na kubarikiwa kwa wimbo huu. Mungu akuzidishiye dada yetu kwa kipaji hiki. My favourite gospel artis ever since the first album
❤️ ❤
Kabisa nyimbo zake huwa zina jenga❤@@mariekapongo2041
Tupo 🇨🇩
Love you bahati bukuku, Gods blessings
Kumbe mnajua Kiswahili wa Congo, salamu kutoka Kenya
Naomba Leo 50 likes tu peke kwa bill ya Bukuku
Hiyo Beat nayo iko Nzuri sana aisee
Kenyan Friends wapi likes za B.Bukuku❤❤❤❤
Karbu tena mama yetu tulikumisi saana,
2024 shetan atafute pakujificha maana Roho ananena na kanisa kila mwenye sikia atasikia 🙏
Nakupenda sana Annoint❤
Nyimbo zako ni fundisho /darasa kwangu na faraja pia kaka annoit, God bless karama yako,Mungu ambariki bahati pia
Ubarikiwe Amani nimekuona
Am happy for you mamaa be blessed 💯 nipeeni like zangu msanii wa Kenya brother Dennis 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Tuko kwa Nyumba kama K
NINACHO Penda Zaidi Kwenye nyimbo za Bahati Bukuku ni utaratibu wa producer na Director wake ,Kizuri zaidi ni Sauti ya Dhahabu..Kiingine wimbo wake ni mrefu ❤❤❤ Cha mwisho na Cha Busara zaidii yeye na Bonny mwaitenge Hawezeeki wako vile vile TU...Nahisi Wana msifu Mungu Kwa Roho na Kweli .❤ Na Nina Uhakika pia Mungu Ucheza Nyimbo zao❤❤❤❤ Penzi la dhati Toka Nairobi Kenya . Watanzania ❤❤
Unasemma ukweli Wamenibariki sana pia
Ukiwa ndani ya Yesu hauzeeki mpendwa😅😅😅
Habari ndugu yangu, samahani naomba upitie na kwenye akaunti yangu, mimi ni mwimbaji pia, naomba usisahau na ku-subscribe, ku-like, ku-comment na ku-share, asante na samahani sana kwa usumbufu huu, Mungu akubariki.
Kenyans are the greatest supporters of Gospel music mostly in East Africa... They are the first ones to comment.. And it's a blessing 🙏
Thanks mamaa for the message at the right time..sitaki tulaumiane😭😭somebody to like my comment...watching from kenya
I leave this message here for future reference that God Works for those believes in him😊💪
We grew up listening ti bahati bukuku and she still blesses us. Wangapi wanampenda❤
Wakenya wote njooni hapa nyote,weka likes tukisonga
Am not Kenya but i like this songs
@@catherinebufikiri3964 it's a nice song indeed
ruclips.net/video/imb9KiUxCvQ/видео.htmlsi=FrZTcNronaeRgjpV
Son ok
Tuko hapa❤❤
Ahaaa sikufunga mimi mlango ogelea tu 😢 Mungu akubariki kwa kutukumbusha habari za ufalme
Wooooow! This reminds me of Luke 13. God bless you mama😇🙏
Luke 13:23-27
Someone asked him, "Lord, are only a few people going to be saved?" He said to them,
"Make every effort to enter through the narrow door, because many, I tell you, will try to enter and will not be able to.
Once the owner of the house gets up and closes the door, you will stand outside knocking and pleading, 'Sir, open the door for us.' "But he will answer, 'I don't know you or where you come from
"Then you will say, 'We ate and drank with you, and you taught in our streets.'
"But he will reply, 'I don't know you or where you come from. Away from me, all you evildoers!'
Napenda snaa uimbaj wako namna unavo msfu na kumtukuza Mungu,Mungu akubarik najua sku moja namm ntaimba nawew ingawa bado nko chini kwa viwango
Huyu mama ni mchungaji mzuri Sana.
Her teachings are very powerful.
Tufanye kazi ya mungu tusiwe wasikilizajitu
Huyu mama nampenda sana,,,, mwenyezi mungu akuongoze uzidi kutupea nyimbo za mafundisho ,,,, ❤kutoka kenya
Hii ni Safi sana Bukuku hii itakuwa kama hile ya Wewe ni Mungu hita Saund sana na umechanganya na kilugha chako safiii
Thank you mummy yani dunia iko busy wanyama wakifanya mapenzi ya Mungu. aaii yani ata mvua ilipoanza waliteka na maji... Mungu tusaidie. thank you mummy for this great song with a very deep revelation.
Habari ndugu yangu, samahani naomba upitie na kwenye akaunti yangu, mimi ni mwimbaji pia, naomba usisahau na ku-subscribe, ku-like, ku-comment na ku-share, asante na samahani sana kwa usumbufu huu, Mungu akubariki.
I really love this song ujumbe wa kukumbusha dunia kuwa siku hizi ni siku za mwisho. Tusichoke wakristo tumfuate Yesu Christo
Mhubiri mkuu Bahati Bukuku, Mungu azidi kukulinda, nakukupa Neno lake. Mimi Nilianja sikiliza nyimbo za Bukuku Na nina mri 10 mpaka Sasa , Mimi na like kabla Sija sikiliza kwakuwa Nyimbo zake Ni always 💪 strong message Mungu aibariki Tanzania 🇹🇿 🎉
Habari ndugu yangu, samahani naomba upitie na kwenye akaunti yangu, mimi ni mwimbaji pia, naomba usisahau na ku-subscribe, ku-like, ku-comment na ku-share, asante na samahani sana kwa usumbufu huu, Mungu akubariki.
My most favourite song from her latest songs,I have listened to it severally,a right message katika hizi nyakati tulizomo,mwenye sikio asikie
Amen, najua unaupenda sana rafiki yangu...nimekuskia ukiuimba word by word
@@michaelmbui8226 yes mtumishi wa Mungu,my best Kikuyu songs psalmist
@@erickmeshac3135 amen, thank u
Tunakuomba Bahati Bukuku uachie mwaka huu Ep nyingine tena tofauti na dawa yangu,lkn iwe na nyimbo nyingi sio tatu kama hii Ep ya dawa yangu.Usipotoa nyimbo muda mrefu huwa tunakumiss Bukuku
Kuna watu wamefunuliwa namna ya kuimba, Bahati bukuku amefunuliwa sana sana. Wimbo huu umenifunindishakuwa tusipoacha dhambi tukamkaribia BWANA tutakataliwa kama ilivyotokea kwa nuhu, Jamani tuache Dhambi bado neema ipo, neema ikiisha mlango utafungwa Bwana atatukataa.
Kwa wimbo uu kwa kweli umegusa moyo wangu umenipa tafakali juu ya maisha yangu maana kila wimbo unaujumbe wake ila uu ni wimbo wa kutafakali juu ya maisha yako
Mungu akubariki sana umenitoa shimoni kwa wimbo huuu
Bukuku the best gospel singer south of Sahara North of limpopo East of Pacific Ocean and West of Bermuda triangle. Long live Bahati.
Haleluya mama verse nzuri sana mtumishi wa mungu roho mtakatifu azidi kukuongoza mama
Na INJILI hii haisimami lazima isonge mbele kwa jina la Yesu, Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu🙏
Your song is more than fire, where are my fellow Kenyans?
Wa shukrani na Utukufu umurundie Mungu.Huyu mama unifanya nitamani kufika Tanzania.🇰🇪💪🙏
Nampenda huyu dada, uimbaji wake na kila kitu mpaka mwaka huu 2024 mim na yeye
Ananibariki sana kupitia nyimbo zake❤🎉
Bahati bukuku unajua,miaka nenda rudi music wako hauishi radhaaa,,Mungu akubariki sana sana sana🙏🏻🙏🏻
Kenya 🇰🇪 tunapend nyimbo zako mum kupitia nyimbo zko tunabarikiw may God bless you mum 💕💕💕
Wow am really blessed much love from kenya momma❤❤❤❤❤wakenya kimbieni huku kuna mazuri gonga like
I'm elated to be one of the first viewers,a song with great message,she has remained relevant to her Singing nature,I love it,Kenyans let's support her🇰🇪🇰🇪
🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪
Wimbo unaujumbe mzr zana nakukubali zana mtumishi wa Mungu ubarikiwe
Woooow sikufunga mlango mimi... meaning we have time before Jesus Christ takes his people away ...lets repent and trust in Jesus and walk in holiness and righteousness
For those of you watching and reading my comment, I pray that you keep your hope on God no matter what you are facing. Jus trust Him to receive your Miracle
She has been a blessing to me since childhood days,,kenyans let's gather here❣❣💯
Huyu ndiyo Bahati ninayemjua mimi usikae kimya sana mam jamani tushazoea album ndefu yenye nyimbo za kutosha❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
God Bless you Mtumishi wa Mungu, Love from Kenya🇰🇪
My all time Swahili gospel artist….. these new album is everything ❤❤❤much love from Kenya please karibu Kenya I won’t miss😊😊
My best gospel de tout le temps i love you maman bukuku FROM CONGO SHABIKI WAKO NAMBA MOJA 🇨🇩🇨🇩💯♥️♥️ wa congo tujuwane apa kwa like
Tuko apa 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🔥
Mwanamke shupavu sana kipaji cha wimbo kweli ukonacho na nyimbo zinahimiza sana 😊
Am in love with this song 💓 very interesting and inspiring song ❤️gonga like tukisonga❤❤❤❤
I represent Bahai bukuku her Congolese 🇨🇩 fans here✌️
Nlikua nauliza daily mamngu wa gospel songs mbona hatoi kawimbo ndio sasa kwa MDA kama huu wa masiku🌈🌈🌧️🌧️🌩️🌎
Habari ndugu yangu, samahani naomba upitie na kwenye akaunti yangu, Mimi ni mwimbaji pia, naomba usisahau na ku-subscribe, ku-like, ku-comment na ku-share, asante na samahani sana kwa usumbufu huu, Mungu akubariki.
Wakuu nifanyieni Ile kitu apo kwa likes akh
Ndinkamu gwako nuhu nyinghulila wanyakyusa Tujuane kwa like hapaaa❤❤
Tupoooooooo
Tulipo kyala abasajege bosa 🇿🇲🇿🇲🇿🇲
Tulipoo
Amina kyala gwa maka finjoo
Ndagha kyala akusajeghe.
Asante sana mama kweli mungu hunena na wewe endelea kumtumikia mungu aliye hai God bless u
Barikiwa mtumishi wa MUNGU,MUNGU akupe miaka mingi ya kuishi ili makusudi uzidi kumtumikia
😂😂😂 aaah sikufunga mimi mlango ogelea... this chorus slaps well😂😂❤❤❤❤ piga like tukisonga. Bukuku my role model
Bahati Bukuku 😂😂❤❤yani siku hizi unatuonjesha tu kawimbo kamoja kwa mwaka,,, watu mlipewa vipawa mnaringa navyo eeeish but nsawa tu
😢😢😢sad
😂
Si hivyo Sasa ni mchungaji ana majukumu mengi ya uchungaji
Unafikir kuutunga uwo wimbo ni mzaa
toa yako kila siku tuku support😂
Am sure kaa bahati hangeenda break ya kupumzika na music sahiii angekua 1 M subscribers!!.. she's such talented weee!!
Naipenda sana hii video maneno yake ni kama tunavyoona haya mafuliko ya Sasa .Manabii wamesema mafuliko angalia Sasa. Pili mziki wako na mwondoko wa mziki huu ni safi kabisa si wa Disko kama wengine Waimbaji waimba kama ya Disco Kanisani havifai ya Mungu mpeni Mungu na ya disco mpeni kaizari. Uko vizuri sana kwa hiyo .
Naku penda sana kutoka Goma DRC wewe ni Baraka kwangu Bahati🔥❤️🥰
Hakika Sisi wa congomani wa swahili tunakupenda kupitia nyimbo zako.
I leave this massage today, seek you the kingdom of God first and everything else shall be awarded unto unto you.int the 2030 people will read this. like this post.
I love bukuku she sings the word that has a lesson I'm upcoming na unanipa mwelekeo mum God bless u
Amen kubwa sana mama mtumishi wa MUNGU
Nuhu ndikikolo kwako Nuhu nyigulia🙏
Asante sana mama Bukuku kwa uyu unjumbe, tumebarikiwa, asante kwaku tukumbusha yakwamba mambo yote yana mwisho.
wapi likes za bukuku jamani kama una mkubalia dada huyu like tukisonga❤
Beat iko sawa kabisaa🎉video 100% sauti ni ile ile yake ya kitambo😍yuko mrembo kwa kweli hazeeki bahati
Team kenya mpoo🙌🙌
Ndikamu gwako nuhu nyigulila😭 Mungu atusaidie tuzidi kumjua yeye
Mama ukozawa sana katika hiyo wimbo imebeba ushuda wa maisha yangu mimi eemungu nakumbuka asante sana mimi mwenzio natoka Kenya hiyo ndiyo inchi yangu mimi mwenzio
Who elsea fall in love with beauty of these woman🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Dooh!! Hu ujumbe nauchukulia mbali aisee! ni ujumbe mzito kwa yeyote anaemfikiria Mungu🔥🔥
Wa TZ like kwa malkia wa injili❤
Bahati Bukuku,may God expand you beyond your expectations,I love you so much,your songs do bless me everyday
Ubarikiwe akina Dada Bahati Bukuku.Bwana Yesu akubariki tena n'a tena kwani Nîmefarijiwa saana na wimbo huu.
I love it already.....Good job Bukuku. God bless you. Team +254🥰🥰🥰
Bahati bukuku ulikuwa umekimya walai hapo sasa❤❤ umerudi kwa gemu kama wakenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪tumekumisi
Ku pitia iyo mwimbo mnaza kudifuza kidoko kidoko kua minia bwana yesu 🙏🙏🙏 niko mu kongo mani
You are sutch a glorious and beauty gift singer from the LORD stay blessed maman🙌🙌🙌we give all the GLORY to GOD for having you you're a miracle GOD bless you more maman 🙏 I honore and celebrate this gift in you maman🙏 GLORY to GOD 💯🙌
Kenya representing since collabo with bonny mwaitege. 2024 innit
"Aaa sikufunga mimi mlango ogelea tu."...
Weeee!!!That's is regrettable..
Vraiment maman bahati uyu Mungu wa mbingu azidi kuku bariki kabisa j'aime votre façon de chanter que le tout-puissant vous protège vraiment
LAKINI BAHATI BUKUKU IS INDEED A STORY TELLER.. NIMEJIKUTA NASKIZA WORDS TO THE END...BLESSINGS
Bahati bukuku is back with fire. She so talented
Bahati tuna Bahati kuwa na wewe katika Nyimbo Za injili. Kila wakati Nyimbo zako Ina mafunzo.
Mungu akubariki dada kwa kuitangaza injili 🙏
Huu ndo utumishi sasa hongera sana mtumishi wa Mungu... Ubarikiwe sana mama yetu @Bahati Bukuku
My favorite singer of all time.
Since i was growing when i was 5Years i started to like Bukuku songs untill now àm aduĺt your songs has message 🎉🎉🎉🎉
❤
Huyu ndiye Bahati bukuku wa 2005-7
Nyimbo zenye visa na mafundisho safi zana
Nakumbuka
Songa mbele
Nangojea kwa ghamu dada🔥🔥🔥🔥🤛🤛
Hallelujah barikiwa sana mama wa nidhamu Mtumishi wa Mungu Bahati Bukuku
Wow another one from the queen of gospel music. We love your music
I support the comment of mah bro njoon 2jenge safina maanake mvua mzito na upepo inaja, safina n kumkubali Yesu Mwana wa Mungu alive juu, njoon 2jenge safina ndugu,dad nA wengineo
This is the real Bukuku I know now!!❤
Mungu akutunze sana mtumishi wa Mungu
My favorite Tz gospel artist i always wished had done a song with her but it never worked out.What a great gift she is.
Ubarikiwe na MUNGU, dada yangu BAHATI kwa nyimbo nzuri unatuimbia, mimi niko DRC, napwnda sana nyimbo zako.
Ndi nkamu ghwako Nuhu nyighulila👋👋👋
Nyighulila ghweee❤
"Wanyama wakaingia ndani ya safina, hao hawana habari..
Ndege wanaingia ndani ya safina, wao wako busy ....
Wanyama wakaingia ndani ya safina, dunia iko busy...
Mvua ikaanza kunyesha taratibu, wakakinga hata maji"
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉