PART 1: BAHATI BUKUKU ATAJA SIFA ZA MWANAUME ANAYEKUPENDA NA ASIYEKUPENDA | HARD TALK..
HTML-код
- Опубликовано: 6 сен 2022
- PART 1: BAHATI BUKUKU ATAJA SIFA ZA MWANAUME ANAYEKUPENDA NA ASIYEKUPENDA | HARD TALK..
HII ni sehemu ya kwanza ya mahojiano ya Mtumishi wa Mungu Lilian Mwasha na mwimbaji wa injili, Bahati Bukuku, kwenye kipindi cha Hard Talk..
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline - Развлечения
can't get tired listening to this women of God, woow... More love from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️❤️❤️❤️❤️
Nakupenda sana Dada yangu Bahati Bukuku, nyimbo zako zote ni nzuri, na una sauti nzuri Sana! Mungu akubariki sana! na akujalie maisha marefu yenye neema na baraka tele
Haya maongezi ya Leo Kuna watu wenye ufahamu mdogo watasema Bahati Bukuku hayuko rohoni ila Mimi nimekuelewa Sana hasa hapo kwenye kulindana na kuteteana kwa wanandoa
Na sauti ya dada bahati kama mshikaji fulani hivi
❤umenijenga mimi pia ni mtumishi wa mungu sipendwi na watu ni nini Huwa kinaendelea pale
Mafundisho mazuri mama Bahati may God bless you more and more kutoka Kenya
Mungu tu akubariki dadayangu bahati bukuku nakupenda sana ila naamini tu sikumoja nitakuona ubarikiwe na Bwana.
Love you Bahati bukuku from Nairobi Kenya
Sasa ninyi nyote mbona mnasauti nzur jmn nawapenda nyote 🥰🥰🥰🥰♥️♥️♥️♥️
Bahati bado watanzania tunakuitaji, cjawah kukuona Ila nna ndoto za kukuona bahati bukuku
Hakika dada bahati umenena " urafiki una viwango" Exactly 👍✍🏿
Yani uko sawa
Nakupenda sana dadangu natamani unishike mkono nitoe nyimbo zangu
Mungu hakika anao watu anaojivunia nanyi ni miongoni mwao
Nakupenda bahati ulinifanya nipende Mungu Kwa wimbo wa Estar.
Mungu akubariki sana dada bahati kwa mafundisho mazuri
❤❤❤Bahat unaimba dada❤❤wimbo wako. unapojaribiwa usitende dhambi❤❤❤❤❤❤❤❤
Higher IQ by GOD wisdom Mama BAHATI i love you so much, this is the best interview ever by advice and wisdom...
Dada mimi nakupenda bure vile ulivyo na kuombea maisha marefu 🙏🙏
Nakupenda sana dada bahati natamani siku moja nikushike hata mkono unanitia moyo sana
Mimi ni ni Lilian jebiwott from Eldoret Kenya nasikiliza wimbo zako sana hii Niko Saudi niobee mama najuwa baba nanny mwaitekeasante Kwa maombi zenu ndani ya Kristo.
Huyu Dada kwani kila kitu a naongea kwa ndimi? Bahati is wise I love her
🥰🥰🥰 Da Lily tuletee Christina Shusho
Mungu wangu nampenda saaana Bahati bukuku asante saaana Liliane Mwasha
Mafundisho haya ni 🔥🔥🔥
Dada bahati nakupenda sana
You are my favorite, my sister Bukuku you are always my mentor woman of God. Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Powerful wisdom
Amen dada Bahati kwa mafundisho yako
Natamani hii iwafikie wanaume wote na marafiki wote
Nashukuru sana dadaangu mzuri nmejifunza kitu kutoka kwako
Amen 🙏 Neema ipo Asante Sanaa bahati bukuku
Wow leta huyu mwanadada mara na mara tena. Mafunzo yake ni mazuri sana 😍🙏
Asante sana watumishi was mungu maneno yenu inanigusa moyoni😭😭🇨🇩
Bahati ameeleza kabisa jinsi Lilian yuko. She's a special child. Nilianza kuangalia hiki kipindi hivi karibuni na nina penda ninacho kiona na kusikia. I love this special show with a passion. Mungu aendelee kukuongezea hekima dada Mwasha.
Ni kweli kabisa atakuwa kakuchoka.Nimependa
Nashukuru sana mafundisho mazuri nikiwa 🇰🇪
Umeongea kweli da Bahati ,tatizo wanaume wengi hawana kauli
Asante Sana watumishi wa Mungu, dada Bahati ubarikiwe, mtu anayekupenda atakulinda🤚
Mbarikiwe sana wapendwa nimefurahi hii hapa hela kaongeze libwata
Mm kama ndugu yangu hawongeyi na wew hata mm siwongeyi na wew kabisa 💯💯💯💯💯💯💯💯💯🤲🤝🙏
Nakupenda Mama yangu bahati bukuku❤️❤️❤️ na nakupenda mama yangu Lilian.. Mungu wa mbinguni awatunze.🙏🙏🙏
amen
Dada Lilian Mwasha kipekee nakukubali alafu nakupenda kitu kingine ngoja niache mda huu ntakufata dm
Mama angu bahati unaongea kininja saana 🤣🤣ila napenda
Ndivyo kaumbwa hahaha
Dada bahati nimejua juzi juzi tu kumbe mdogo wangu ata kama ni mwaka mmoja nampitia bado ni mdogo wangu, ila nampenda adi basi nyimbo zake karibu zote nimeziloard kwanza wimbo unao nibamba zaidi ni ule (lazima usamehe) wapili ni (Mungu hana mshauri), duuu hizi nyimbo mbili aseee😌😌😌😌
U love her so much even it makes me comment before I see the show
Ndah nimebarikiwa Sana jaman
Nabarikiwa sna&nyimbo za huyu dada Bahat Bukuku nikiwa&mawazo,uchungu majonz huwa napenda kuckiliza nyimbo zke
Kabisa yani nyimbo zake zinabariki mno mimi hizi interview narudia rudia maana nikiwa na mawazo tuu huaga nakuja kumsikiliza bahati bukuku moyo unarudi sawa
Daaah dada unatuhamisha Lilian mwasha usiache hiki kipindi ni hot 🔥 aisee
Nabarikiwa na mwandishi anapo nena kwa lunga!!!
Much love for both of you..very mature women full of wisdom
Ukovizur dada bahat
Nakupeda sana bi bahati Kwa mawaitha yako mema huwa yananijenga sana,,Kutoka Kenya
Love u sister bahati,,,,,,ila mazagazaga ya yezebeli hayo yatakutupia jehanum ata kama umehudumia watu wengi
Nimeumizwa pia.. Nimepokea isee Nina stori kubwa juu ya maisha yngu
Nakupenda sana dada,umenijenga sana
Amina wadada wamama wazur tunarabikiwa mno
Msimbinafushishe Mungu, anyesha mvua na kuwasikiliza Wote bila ubaguzi. Mnajitakasa kwa maneno mbele za watu. Uishini upendo kwa vitendo, hamtaachika. AU ni vema mkanyamaza.
Nyimbo zako nisababu mimi kutafuta mungu hadi sasa.Barikiwa sana kutoka 254.
Hy,mama umetia moyo sana niko kwa majaribu
Asante Dada bahati nimejifunza kitu hapo nashukuru sanaaa mungu akutunze🙏
Napenda sauti ya bahati 🤩🤩
sana saaanaaa!!!sauti yake ilinifanya awe muimbaji wa kwanza niliempenda sana.
@@nsengumuremyisylvester4950 umeona eeeh Yani dada sauti alibarikiwa na mungu aisee!!
Daaaah Dada Bahati💞💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕
Barikiwa sana mamaangu nakupenda sana oh!🙏🙏🙏🇨🇩
kiukweli mama Bahati nyimbo zako zinanifulahisha sana.sauti yako basi kila akusikilizae lazima aipend🙏🙏mungu azid kukubaliki sana.
Mungu akubariki sana dada bahati
Much love from Mombasa Kenya ❤️ mamangu Bahati.. we love you very very much
Mama nyimbo zako zimenbariki ba kunifundisha mungu akueke mahali ulipojichagulia😭😩 kutoka kenya
Mama bahati nashukuru kwa mafundisho mazuri....kutoka kenya
Limbwata.akaboresha....Gumzo tamu. Kweli lenye mafunzo.... Love you mtumish Bahati.. From Mombasa...Kenya
Powerful women of God🙏🙏
Love you Bahati
Mashaallah mafundisho mazuri
Sijawai sikiliza hiki kipnd kwmda wote huu ndokwamz leo😍😍😍😍
I love u dada mwasha jamani❤️
Sema kweli Dadaangu. Semaaaaa
Naupenda sana ushauri wako dada bahati bukuku
i love this woman of God... much love from Kenya
Yaani nime enjoy mnoo entervws imetulia mnoo
Bahati napenda sana sana wimbo wako wa Waraka wa Hamani.
Huwa sichoki kuusikiliza.
Wau l love this your a woman of God
Nimekuelewa da bahati sana kuna mahali nilipita kwajili ya rafikiangu kuwa na urafiki na adui wangu badaye rafiki naye akawa adui
I'm getting some knowledge from these talk here in Qatar
Nice one, really a hard talk. Bravoo
Nakupenda dada bahati kwa moyo wangu wote.
Yes kweli kabisa
Mwasha sister, unatuwezea
❤❤ powerful words ubarikiwe sana
Bahati bukuku my favorite 🇰🇪🇰🇪
Kwa kweli mmenigisa
Mafundisho mazur saana dada yangu Nimekuelewa Ahsante Mungu akuzidishie
Asante San
Admired u all dearly sisters; najifunza vingi sana kwenu
Wow Nimependezwa nauzungumzaji wenu nikokenya ni Sharon
Unanitia guvu kwakwer bahati wangu napenda nyimbo zako
Napenda mafundisho yako yamenifurahisha Ubarikiwe mwanangu.
Mungu akubaliki Mama Bahati.
Asateni saana kwa maongezi haya ambayo yamenisaidiya kuhusu maisha ninayo
Amen !! Watumishi wa Mungu!! Mnayonena ni kweli
Congratulations ak umenipigisha hatua nyengine dada mungu akubariki ungekuwa wa maana sana
"Adui wa rafiki yako, ni adui yako"
Naomba nikupinge 100% kama mkristo ninayesoma biblia kwa uwezo wa Mungu.
Tafadhali miss Bahati fikiria sana pale unapolinganisha changamoto ulizopitia binafsi wakati unatoa ushauri.
Kahaba aliyependwa na Yesu ninaamini hakuna rafiki wa Yesu alikuwa anampenda huyo dada. And so much more examples to learn about it.
Bahati Bukuku uko na very intelligent,
Ameen imenijenga sana iyo ya hasira uwa Mungu anakutaka iache....na iyo ya aduhi ni mtu wako wa karibu kweli
You both r blessed ooh my God.
Nimeipenda, barikiwa Sana dada
Motivational speaker
🙏🙏💕
Kwel mungu awabark
Wanandoa sikieni
Can't be tired of u guys.God bless you