Awapi alilolipanga mungu mwanadamu hawezi kulijua unakuta mwingine walikutana pasipo mpango mungu wakaleteana shida kila mtu anahaki ya kwenda kuanza maisha mpya .
Lilian usijalaumu kwa kuolewa hukukosea na hakuna mwanaume anayestahili kuwa single Huo ni uoga wa maamuzi ukiamua pambania maamuzi yako as long as uko sahihi màana mlishadivorce what next don't be hard on yourself Na kwa wengine out there msiogope ukweli na uongo upe muda
Lilian Sasa ukisema uogope watu wanaowatazama na ujikute unaumia Sana utajijaza tuuu??? Tafakari kumhusu Osinachi mydear.... But km uko na Furaha na hukwaziki ni sawa
Mwanamke ndio sababu ya kumkandamiza mwanamke. Kwn huyu kaka ni mtoto kuibiwa na wengi wanaosema hizi kauli ni wanawake wenzetu. I wonder why? Tukubali upo wakati mapenzi yakiisha kati ya wawili waachwe wakatafute maisha mengine. Kwnn si mwanamke katiba mwanamke wa watu? Tuache kujikandamiza Lili nakupenda sana dada
Hapana akitokea naolewa tu aiseee kila mtu na bahati yake siwezi acha bahati yangu kisa alishawahi kuoa labda Mungu ndio njia aliyo mpangia apite ili akutane namm
Your story could be different, but most men will lie that it’s not working and blame the woman or say we processing a divorce & blah blah blah, yet he is just a womaniser 😢😢😢. Ladies be careful
“hakuna kitu mume wangu atafanya kinifanye nimuache “ haya maneno sio sahihi kwa mwanamke kusema mbele ya hadhara. Its a reason why wanawake wengi wanakufa kwa kuuwawa na waume zao. Ni sababu tu hauna kitu cha kukufanya uondoke, real?!
Halafu Isack alimwambia mwanae Essau na si Yakobo. Sema Rebecca akamwambia Jacob jinsi Isack anavyowish kumbariki mwanae wa kwanza kutoka" Mind you that Jacob na Essau walikuwa mapacha "Yacob akajiwahi na akafanya yaliyotakiwa kufanywa na Essau. Jacob akajifanya Essau na akapata baraka. Essau alivyokuja it was too late baraka zilikuwa zimeenda kwa Jacob.Ingawa huko mbeleni baada ya Jacob kwenda kwa mjomba wake na kuoa Leah na Rahel na mpaka kuzaa na vijakazi wake,alirudi na kumuomba msamaha Essau.
Wabongo wananishangaza sana, are you really doing boy child because you want to shine and make money or you are really passionate about that cause...it is all about you and your family just using poor children from acutely poor background
It takes caurage kufanya hicho anavhokufanya kama ingekuwa rahisi kila mtu angefanya ,it's time tuwapigie makofi wengine pale wanapojaribu kufanya kwa ajiri ya wengine huku na sisi tukijitafuta tufanye nn na vile Mungu ametubariki navyo
If the first marriage didn't work,second ,third , won't work,there is this spirit called, spirit of divorce that is tormenting people.read ?malachi 2:13 kuendelea,the wife/husband of your youth. 😭
Hongera sana Lilian Mungu akutunze aasnte kwa kkufanyika kuwa baraka katika maisha yetu.Natamani kukuina siku moja.Unanibariki Sana mpendwa
I LOVE YO LILIAN MWASHA MY ROLE MODEL WA TANZANIA
Am glad someone is talking about our boys,it has been my dream
Nice interview jmn,Asante dada lilian na suzi pia
Girl i love you, Lilian Mwasha i see my self in you. We don't have to be selfish as women. God bless you.
Love this woman ❤️
I love you Lilian!
I love you Suzette, keep doing you!
Nakupenda sana dada Lillian
I'm taking quite a liking to this lady Lilian Mwasha. Great points.
Kwanini usiseme kiswahili tu au kiingereza ti
Nakupenda dada mwasha
She's touched my heart ❤ natamani kukuona one time lily
Much love ❤️
Awapi alilolipanga mungu mwanadamu hawezi kulijua unakuta mwingine walikutana pasipo mpango mungu wakaleteana shida kila mtu anahaki ya kwenda kuanza maisha mpya .
Nikweli kabisaa
Nakupenda sana dada liliani
Mungu atusaidie daLilly.. usijihukumu tuu, furahia familia yako mpenzi. 🥰🥰🥰
Da Liliane ni mrembo pia intelligence 🥰👏🏾
Nakupenda sana dada
Mm nampenda sana Lilian
Duuuh Hongera Sana mtumushi liliani mwasha
NAKUPENDA SANA DADA LILIAN UMEKUWA BARAKA SANA KWANGU,NAKUFATILIA SANA
Lilian usijalaumu kwa kuolewa hukukosea na hakuna mwanaume anayestahili kuwa single
Huo ni uoga wa maamuzi ukiamua pambania maamuzi yako as long as uko sahihi màana mlishadivorce what next don't be hard on yourself
Na kwa wengine out there msiogope ukweli na uongo upe muda
You are such an amazing lady, receive a bunch of love.
¹1
Aleluya 🧎🏾♀️🙇🏽♀️👏🏾
Real
Huyo Dada unaemuhoji nampenda ananiponyaga sana maneno yake.
Lilian Sasa ukisema uogope watu wanaowatazama na ujikute unaumia Sana utajijaza tuuu??? Tafakari kumhusu Osinachi mydear.... But km uko na Furaha na hukwaziki ni sawa
Waooo I love the host🥰
👏🏼
Kiukweli nampenda da Lily na sauti yake😘
Nimependa sana ujumbe
Mwanamke ndio sababu ya kumkandamiza mwanamke. Kwn huyu kaka ni mtoto kuibiwa na wengi wanaosema hizi kauli ni wanawake wenzetu. I wonder why? Tukubali upo wakati mapenzi yakiisha kati ya wawili waachwe wakatafute maisha mengine. Kwnn si mwanamke katiba mwanamke wa watu? Tuache kujikandamiza
Lili nakupenda sana dada
Lilian unaponya Moyo na nafsi yangu
Hapana akitokea naolewa tu aiseee kila mtu na bahati yake siwezi acha bahati yangu kisa alishawahi kuoa labda Mungu ndio njia aliyo mpangia apite ili akutane namm
Hiyo Hofu ikutoke kwa jina la Yesu
Amina
Kweli tena unaitwa baby 🤣🤣 namuelewa huyu dada 😍
Nakupenda sana dada mwasha
Nakupenda dada wewe Lilian yaani hatasijielewi kabisa nakupenda tu
Jaman nipate no yke
Ukiamini mwenyewe inatosha ukisibili watu utakesha
Yes unatakiwa kujismamia mwenyewe
Kwani wakiristo wanaachana?
Your story could be different, but most men will lie that it’s not working and blame the woman or say we processing a divorce & blah blah blah, yet he is just a womaniser 😢😢😢. Ladies be careful
Kwanini asiitwe Lilian Luvanda?
Best interview
“hakuna kitu mume wangu atafanya kinifanye nimuache “ haya maneno sio sahihi kwa mwanamke kusema mbele ya hadhara. Its a reason why wanawake wengi wanakufa kwa kuuwawa na waume zao. Ni sababu tu hauna kitu cha kukufanya uondoke, real?!
Lakini kama umemsikiliza vzr kasema mwanamke usikae kwende ndo ya mateso kupigwa nk so pengine hayo yote yeye hayapitiii
dada lili punguza misifa punguza uperfect
Halafu Isack alimwambia mwanae Essau na si Yakobo. Sema Rebecca akamwambia Jacob jinsi Isack anavyowish kumbariki mwanae wa kwanza kutoka" Mind you that Jacob na Essau walikuwa mapacha "Yacob akajiwahi na akafanya yaliyotakiwa kufanywa na Essau. Jacob akajifanya Essau na akapata baraka. Essau alivyokuja it was too late baraka zilikuwa zimeenda kwa Jacob.Ingawa huko mbeleni baada ya Jacob kwenda kwa mjomba wake na kuoa Leah na Rahel na mpaka kuzaa na vijakazi wake,alirudi na kumuomba msamaha Essau.
Nawapenda Sana Hawa wadada jamani.
Animekupenda sana kwa hekima yako Liliani mungu akubariki pamoja na uzao wako.
Dada lili nakupenda ila kwanini unachanganya na kingeresa
Me hata nilikua cjui kama luvanda alikua kaoaga nalili alikua kaolewaga
Umeongea ukweli kabisa wanawake wa siku hizi hawana hofu ya Mungu wakina Christina shusho wanaachika na kuacha watoto wao kisha makanisa jaman hmmm
Kwan shusho alishaachika
@@jackmacha6057 ndio
Kuongea ya shusho ni rahis ila hujui chochote kuhusu ndoa ya shusho
Alafu aliekuambia kuwa na hofu ya Mungu ni kukaa kwenye ndoa??
Mimi mwenyewe yamenikuta !
Lilian kama Lilian.......
Mhhh kumbe walewale tuu kkk
Giza unaliogopa alafu roho Mtakatifu Humwogopi?
Hivi vitu sielewagi
Wewe ni mrembo na unaponya wengi
Wabongo wananishangaza sana, are you really doing boy child because you want to shine and make money or you are really passionate about that cause...it is all about you and your family just using poor children from acutely poor background
It takes caurage kufanya hicho anavhokufanya kama ingekuwa rahisi kila mtu angefanya ,it's time tuwapigie makofi wengine pale wanapojaribu kufanya kwa ajiri ya wengine huku na sisi tukijitafuta tufanye nn na vile Mungu ametubariki navyo
Don't judge if you have no evidence, this is why people afreid doing good things. Be positive my dear it will do you good, trust me.
Acha makasiliko jamani..
Anajionanga mtakatifu huyu dada,
Dada jifunike
Kingereza cha nn 😏😏
#TUNAMWAMINI KARIBUNI KUITAZAMA
ruclips.net/video/ZhY-T8wk4Do/видео.html
If the first marriage didn't work,second ,third , won't work,there is this spirit called, spirit of divorce that is tormenting people.read ?malachi 2:13 kuendelea,the wife/husband of your youth. 😭
Na komaa ata waseme nimechukua ! Walipeana taraka miaka 2 nimeingia kwenye mausiano hyo naambiwa Mimi nimeiba mmewamtu
Olewa mwaya dada! Km lipaka limeachika,mume aache Kuoa? Uliiba alikuwa ni gunia?endelea kuishi na mumeo,Mapaka yackusumbue.
@@yukundapeter8200 umeonaeee yani kwenye dunia hii ukitaka kufurahisha watu utachelewa
Hakuna mume wa MTU endelea my
@@jescajulius8023 nasonga mbele my
@@nolimittvonline6822 haya mpenzi
Khaaà Yakobo tena??? Sio isaka aliyemwambia Esau aende nyikani akawinde mnyama, amfanyie chakula kizuri ili apate kula AMBARIKI,
Ni yakobo ndugu siyo Isaka
Ni yakobo dada
Isaka alikuwa nawatoto wawili Isau na Yakobo aka yakubuu
Isack alimwambia Esau,ila Rebecca ndo akamwambia Jacob afanye hivyo ajifanye yeye ndo Yacob
Ni Isaka sio Yakobo, Yakobo ni pacha wa Esau & Isaka ni baba yao...
Learn to cover your legs PLEASE
Nakupenda sana lilian