LILIAN MWASHA;KWA MARA YA KWANZA AJIBU KUHUSU KUIBA MUME WA MTU/NAUMIA/WATU BADO HAWANIAMINI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 июл 2022
  • #CoffeeNight #Wasafi #diamondplatnumz #cloudstv #lilianmwasha #fmjmedia

Комментарии • 96

  • @reginaringia7080
    @reginaringia7080 Год назад +13

    Hongera sana Lilian Mungu akutunze aasnte kwa kkufanyika kuwa baraka katika maisha yetu.Natamani kukuina siku moja.Unanibariki Sana mpendwa

  • @rayahnaz162
    @rayahnaz162 Год назад +7

    I LOVE YO LILIAN MWASHA MY ROLE MODEL WA TANZANIA

  • @Nicholas12061974
    @Nicholas12061974 Год назад +5

    Am glad someone is talking about our boys,it has been my dream

  • @namelockmaasailady8002
    @namelockmaasailady8002 Год назад +3

    Nice interview jmn,Asante dada lilian na suzi pia

  • @lydiathomas2905
    @lydiathomas2905 Год назад

    Girl i love you, Lilian Mwasha i see my self in you. We don't have to be selfish as women. God bless you.

  • @judythasiko8648
    @judythasiko8648 Год назад +11

    Love this woman ❤️

  • @angelinamwakilufi8881
    @angelinamwakilufi8881 Год назад +3

    I love you Lilian!

  • @mwanrique
    @mwanrique Год назад +2

    I love you Suzette, keep doing you!

  • @ayshahussen7452
    @ayshahussen7452 Год назад +4

    Nakupenda sana dada Lillian

  • @AggiesVine
    @AggiesVine Год назад +1

    I'm taking quite a liking to this lady Lilian Mwasha. Great points.

  • @suzanakesmil
    @suzanakesmil Год назад +4

    Nakupenda dada mwasha

  • @beatrice3671
    @beatrice3671 Год назад +1

    She's touched my heart ❤ natamani kukuona one time lily

  • @fridakaishaza1032
    @fridakaishaza1032 Год назад

    Much love ❤️

  • @floramlowe7078
    @floramlowe7078 Год назад +8

    Awapi alilolipanga mungu mwanadamu hawezi kulijua unakuta mwingine walikutana pasipo mpango mungu wakaleteana shida kila mtu anahaki ya kwenda kuanza maisha mpya .

  • @leahchalresi5632
    @leahchalresi5632 Год назад +2

    Nakupenda sana dada liliani

  • @hellenmawere9284
    @hellenmawere9284 Год назад +3

    Mungu atusaidie daLilly.. usijihukumu tuu, furahia familia yako mpenzi. 🥰🥰🥰

  • @nicolenabintu2509
    @nicolenabintu2509 Год назад +11

    Da Liliane ni mrembo pia intelligence 🥰👏🏾

  • @mundelejudith3940
    @mundelejudith3940 Год назад +2

    Nakupenda sana dada

  • @happinesskitali164
    @happinesskitali164 Год назад +1

    Mm nampenda sana Lilian

  • @vailetheanyambilile9749
    @vailetheanyambilile9749 Год назад

    Duuuh Hongera Sana mtumushi liliani mwasha

  • @rehemakajabu1317
    @rehemakajabu1317 Год назад +2

    NAKUPENDA SANA DADA LILIAN UMEKUWA BARAKA SANA KWANGU,NAKUFATILIA SANA

  • @josephchuwa1285
    @josephchuwa1285 Год назад +7

    Lilian usijalaumu kwa kuolewa hukukosea na hakuna mwanaume anayestahili kuwa single
    Huo ni uoga wa maamuzi ukiamua pambania maamuzi yako as long as uko sahihi màana mlishadivorce what next don't be hard on yourself
    Na kwa wengine out there msiogope ukweli na uongo upe muda

  • @gimbanantavyo5217
    @gimbanantavyo5217 Год назад

    You are such an amazing lady, receive a bunch of love.

  • @ubongosahihi
    @ubongosahihi 28 дней назад

    Aleluya 🧎🏾‍♀️🙇🏽‍♀️👏🏾

  • @bintisayuni6634
    @bintisayuni6634 Год назад +1

    Real

  • @tinamon7913
    @tinamon7913 Год назад +6

    Huyo Dada unaemuhoji nampenda ananiponyaga sana maneno yake.

  • @sheckycobb5240
    @sheckycobb5240 Год назад +6

    Lilian Sasa ukisema uogope watu wanaowatazama na ujikute unaumia Sana utajijaza tuuu??? Tafakari kumhusu Osinachi mydear.... But km uko na Furaha na hukwaziki ni sawa

  • @chosentv742
    @chosentv742 Год назад

    Waooo I love the host🥰

  • @lucyemichael7814
    @lucyemichael7814 Год назад

    👏🏼

  • @rosemsemwa2226
    @rosemsemwa2226 Год назад +1

    Kiukweli nampenda da Lily na sauti yake😘

  • @joycekimario4542
    @joycekimario4542 Год назад

    Nimependa sana ujumbe

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Год назад +1

    Mwanamke ndio sababu ya kumkandamiza mwanamke. Kwn huyu kaka ni mtoto kuibiwa na wengi wanaosema hizi kauli ni wanawake wenzetu. I wonder why? Tukubali upo wakati mapenzi yakiisha kati ya wawili waachwe wakatafute maisha mengine. Kwnn si mwanamke katiba mwanamke wa watu? Tuache kujikandamiza
    Lili nakupenda sana dada

  • @christinamwakibolwa3000
    @christinamwakibolwa3000 Год назад +4

    Lilian unaponya Moyo na nafsi yangu

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Год назад +3

    Hapana akitokea naolewa tu aiseee kila mtu na bahati yake siwezi acha bahati yangu kisa alishawahi kuoa labda Mungu ndio njia aliyo mpangia apite ili akutane namm

  • @jacklinemwita4173
    @jacklinemwita4173 Год назад +1

    Hiyo Hofu ikutoke kwa jina la Yesu

  • @yusrasalum
    @yusrasalum Год назад +1

    Kweli tena unaitwa baby 🤣🤣 namuelewa huyu dada 😍

  • @zuhuraally4146
    @zuhuraally4146 Год назад

    Nakupenda sana dada mwasha

  • @priscaphedrick5970
    @priscaphedrick5970 Год назад

    Nakupenda dada wewe Lilian yaani hatasijielewi kabisa nakupenda tu

  • @Bestssy
    @Bestssy Год назад

    Jaman nipate no yke

  • @saidaramadhan2099
    @saidaramadhan2099 Год назад +6

    Ukiamini mwenyewe inatosha ukisibili watu utakesha

  • @samiakikwete1762
    @samiakikwete1762 Год назад +2

    Kwani wakiristo wanaachana?

  • @irenechobaliko9599
    @irenechobaliko9599 Год назад +3

    Your story could be different, but most men will lie that it’s not working and blame the woman or say we processing a divorce & blah blah blah, yet he is just a womaniser 😢😢😢. Ladies be careful

  • @josephmihayo6236
    @josephmihayo6236 4 месяца назад

    Kwanini asiitwe Lilian Luvanda?

  • @mariasixmund7964
    @mariasixmund7964 Год назад

    Best interview

  • @tunsumegideonmwamboneke9639
    @tunsumegideonmwamboneke9639 Год назад +1

    “hakuna kitu mume wangu atafanya kinifanye nimuache “ haya maneno sio sahihi kwa mwanamke kusema mbele ya hadhara. Its a reason why wanawake wengi wanakufa kwa kuuwawa na waume zao. Ni sababu tu hauna kitu cha kukufanya uondoke, real?!

    • @esthermwambene6975
      @esthermwambene6975 Год назад

      Lakini kama umemsikiliza vzr kasema mwanamke usikae kwende ndo ya mateso kupigwa nk so pengine hayo yote yeye hayapitiii

  • @hassankongolilo8408
    @hassankongolilo8408 2 месяца назад

    dada lili punguza misifa punguza uperfect

  • @florencebudoya3814
    @florencebudoya3814 Год назад +1

    Halafu Isack alimwambia mwanae Essau na si Yakobo. Sema Rebecca akamwambia Jacob jinsi Isack anavyowish kumbariki mwanae wa kwanza kutoka" Mind you that Jacob na Essau walikuwa mapacha "Yacob akajiwahi na akafanya yaliyotakiwa kufanywa na Essau. Jacob akajifanya Essau na akapata baraka. Essau alivyokuja it was too late baraka zilikuwa zimeenda kwa Jacob.Ingawa huko mbeleni baada ya Jacob kwenda kwa mjomba wake na kuoa Leah na Rahel na mpaka kuzaa na vijakazi wake,alirudi na kumuomba msamaha Essau.

  • @jareengeorge5478
    @jareengeorge5478 Год назад +2

    Nawapenda Sana Hawa wadada jamani.

    • @verasikawa6382
      @verasikawa6382 Год назад

      Animekupenda sana kwa hekima yako Liliani mungu akubariki pamoja na uzao wako.

  • @rahma6189
    @rahma6189 Год назад

    Dada lili nakupenda ila kwanini unachanganya na kingeresa

  • @vickydan2869
    @vickydan2869 Год назад +1

    Me hata nilikua cjui kama luvanda alikua kaoaga nalili alikua kaolewaga

  • @aoman5214
    @aoman5214 Год назад

    Umeongea ukweli kabisa wanawake wa siku hizi hawana hofu ya Mungu wakina Christina shusho wanaachika na kuacha watoto wao kisha makanisa jaman hmmm

    • @jackmacha6057
      @jackmacha6057 Год назад

      Kwan shusho alishaachika

    • @esterpaul3146
      @esterpaul3146 Год назад

      @@jackmacha6057 ndio

    • @veeJesus
      @veeJesus Год назад +2

      Kuongea ya shusho ni rahis ila hujui chochote kuhusu ndoa ya shusho
      Alafu aliekuambia kuwa na hofu ya Mungu ni kukaa kwenye ndoa??

  • @nolimittvonline6822
    @nolimittvonline6822 Год назад

    Mimi mwenyewe yamenikuta !

  • @iddaadams7351
    @iddaadams7351 Год назад

    Lilian kama Lilian.......

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Год назад

    Mhhh kumbe walewale tuu kkk

  • @ndugutv5417
    @ndugutv5417 Год назад

    Giza unaliogopa alafu roho Mtakatifu Humwogopi?
    Hivi vitu sielewagi

  • @evangelistmcsarahmvungi3626
    @evangelistmcsarahmvungi3626 Год назад

    Wewe ni mrembo na unaponya wengi

  • @zeinababdi4757
    @zeinababdi4757 Год назад +10

    Wabongo wananishangaza sana, are you really doing boy child because you want to shine and make money or you are really passionate about that cause...it is all about you and your family just using poor children from acutely poor background

    • @sharewithhope1229
      @sharewithhope1229 Год назад +6

      It takes caurage kufanya hicho anavhokufanya kama ingekuwa rahisi kila mtu angefanya ,it's time tuwapigie makofi wengine pale wanapojaribu kufanya kwa ajiri ya wengine huku na sisi tukijitafuta tufanye nn na vile Mungu ametubariki navyo

    • @lydiathomas2905
      @lydiathomas2905 Год назад

      Don't judge if you have no evidence, this is why people afreid doing good things. Be positive my dear it will do you good, trust me.

    • @tukuswigaikasu5227
      @tukuswigaikasu5227 Год назад

      Acha makasiliko jamani..

  • @bikozikomo9496
    @bikozikomo9496 Год назад

    Anajionanga mtakatifu huyu dada,

  • @julianapeason6254
    @julianapeason6254 Год назад

    Dada jifunike

  • @silviagustavo416
    @silviagustavo416 Год назад

    Kingereza cha nn 😏😏

  • @sakinanaftali7929
    @sakinanaftali7929 Год назад

    #TUNAMWAMINI KARIBUNI KUITAZAMA
    ruclips.net/video/ZhY-T8wk4Do/видео.html

  • @fridahiminza8659
    @fridahiminza8659 Год назад +2

    If the first marriage didn't work,second ,third , won't work,there is this spirit called, spirit of divorce that is tormenting people.read ?malachi 2:13 kuendelea,the wife/husband of your youth. 😭

  • @nolimittvonline6822
    @nolimittvonline6822 Год назад +4

    Na komaa ata waseme nimechukua ! Walipeana taraka miaka 2 nimeingia kwenye mausiano hyo naambiwa Mimi nimeiba mmewamtu

    • @yukundapeter8200
      @yukundapeter8200 Год назад +1

      Olewa mwaya dada! Km lipaka limeachika,mume aache Kuoa? Uliiba alikuwa ni gunia?endelea kuishi na mumeo,Mapaka yackusumbue.

    • @nolimittvonline6822
      @nolimittvonline6822 Год назад

      @@yukundapeter8200 umeonaeee yani kwenye dunia hii ukitaka kufurahisha watu utachelewa

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 Год назад +1

      Hakuna mume wa MTU endelea my

    • @nolimittvonline6822
      @nolimittvonline6822 Год назад

      @@jescajulius8023 nasonga mbele my

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 Год назад

      @@nolimittvonline6822 haya mpenzi

  • @malkiarosemuhando3310
    @malkiarosemuhando3310 Год назад +6

    Khaaà Yakobo tena??? Sio isaka aliyemwambia Esau aende nyikani akawinde mnyama, amfanyie chakula kizuri ili apate kula AMBARIKI,

    • @magrethmollel1078
      @magrethmollel1078 Год назад

      Ni yakobo ndugu siyo Isaka

    • @williammweta5539
      @williammweta5539 Год назад +2

      Ni yakobo dada

    • @winfridagama5832
      @winfridagama5832 Год назад +1

      Isaka alikuwa nawatoto wawili Isau na Yakobo aka yakubuu

    • @florencebudoya3814
      @florencebudoya3814 Год назад

      Isack alimwambia Esau,ila Rebecca ndo akamwambia Jacob afanye hivyo ajifanye yeye ndo Yacob

    • @esthermalamsha2847
      @esthermalamsha2847 Год назад +1

      Ni Isaka sio Yakobo, Yakobo ni pacha wa Esau & Isaka ni baba yao...

  • @Mundi-oz7os
    @Mundi-oz7os 3 месяца назад

    Learn to cover your legs PLEASE

  • @ummukuothumndakize
    @ummukuothumndakize Год назад

    Nakupenda sana lilian