LILIAN MWASHA;KWA MARA YA KWANZA AJIBU KUHUSU KUIBA MUME WA MTU/NAUMIA/WATU BADO HAWANIAMINI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • #CoffeeNight #Wasafi #diamondplatnumz #cloudstv #lilianmwasha #fmjmedia

Комментарии • 97

  • @Mingler_Skimmer_Swahili
    @Mingler_Skimmer_Swahili 18 дней назад +1

    4:12 ~ 4:20 Lilian umetoa mfano 💪💪

  • @reginaringia7080
    @reginaringia7080 2 года назад +13

    Hongera sana Lilian Mungu akutunze aasnte kwa kkufanyika kuwa baraka katika maisha yetu.Natamani kukuina siku moja.Unanibariki Sana mpendwa

  • @rayahnaz162
    @rayahnaz162 2 года назад +7

    I LOVE YO LILIAN MWASHA MY ROLE MODEL WA TANZANIA

  • @floramlowe7078
    @floramlowe7078 2 года назад +8

    Awapi alilolipanga mungu mwanadamu hawezi kulijua unakuta mwingine walikutana pasipo mpango mungu wakaleteana shida kila mtu anahaki ya kwenda kuanza maisha mpya .

  • @nicolenabintu2509
    @nicolenabintu2509 2 года назад +12

    Da Liliane ni mrembo pia intelligence 🥰👏🏾

  • @rehemakajabu1317
    @rehemakajabu1317 2 года назад +2

    NAKUPENDA SANA DADA LILIAN UMEKUWA BARAKA SANA KWANGU,NAKUFATILIA SANA

  • @tinamon7913
    @tinamon7913 2 года назад +7

    Huyo Dada unaemuhoji nampenda ananiponyaga sana maneno yake.

  • @suzanakesmil
    @suzanakesmil 2 года назад +4

    Nakupenda dada mwasha

  • @ayshahussen7452
    @ayshahussen7452 2 года назад +4

    Nakupenda sana dada Lillian

  • @rosemsemwa2226
    @rosemsemwa2226 Год назад +1

    Kiukweli nampenda da Lily na sauti yake😘

  • @Nicholas12061974
    @Nicholas12061974 2 года назад +5

    Am glad someone is talking about our boys,it has been my dream

  • @ubongosahihi
    @ubongosahihi 4 месяца назад

    Aleluya 🧎🏾‍♀️🙇🏽‍♀️👏🏾

  • @judythasiko8648
    @judythasiko8648 2 года назад +11

    Love this woman ❤️

  • @vailetheanyambilile9749
    @vailetheanyambilile9749 2 года назад

    Duuuh Hongera Sana mtumushi liliani mwasha

  • @namelockmaasailady8002
    @namelockmaasailady8002 2 года назад +3

    Nice interview jmn,Asante dada lilian na suzi pia

  • @hellenmawere9284
    @hellenmawere9284 2 года назад +3

    Mungu atusaidie daLilly.. usijihukumu tuu, furahia familia yako mpenzi. 🥰🥰🥰

  • @josephchuwa1285
    @josephchuwa1285 2 года назад +8

    Lilian usijalaumu kwa kuolewa hukukosea na hakuna mwanaume anayestahili kuwa single
    Huo ni uoga wa maamuzi ukiamua pambania maamuzi yako as long as uko sahihi màana mlishadivorce what next don't be hard on yourself
    Na kwa wengine out there msiogope ukweli na uongo upe muda

  • @sheckycobb5240
    @sheckycobb5240 2 года назад +6

    Lilian Sasa ukisema uogope watu wanaowatazama na ujikute unaumia Sana utajijaza tuuu??? Tafakari kumhusu Osinachi mydear.... But km uko na Furaha na hukwaziki ni sawa

  • @mundelejudith3940
    @mundelejudith3940 2 года назад +2

    Nakupenda sana dada

  • @ummukuothumndakize
    @ummukuothumndakize Год назад

    Nakupenda sana lilian

  • @leahchalresi5632
    @leahchalresi5632 2 года назад +2

    Nakupenda sana dada liliani

  • @AggiesVine
    @AggiesVine 2 года назад +1

    I'm taking quite a liking to this lady Lilian Mwasha. Great points.

  • @beatrice3671
    @beatrice3671 2 года назад +1

    She's touched my heart ❤ natamani kukuona one time lily

  • @Kidotii
    @Kidotii 2 года назад +3

    I love you Lilian!

  • @mwanrique
    @mwanrique 2 года назад +2

    I love you Suzette, keep doing you!

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Год назад +1

    Mwanamke ndio sababu ya kumkandamiza mwanamke. Kwn huyu kaka ni mtoto kuibiwa na wengi wanaosema hizi kauli ni wanawake wenzetu. I wonder why? Tukubali upo wakati mapenzi yakiisha kati ya wawili waachwe wakatafute maisha mengine. Kwnn si mwanamke katiba mwanamke wa watu? Tuache kujikandamiza
    Lili nakupenda sana dada

  • @joycekimario4542
    @joycekimario4542 2 года назад

    Nimependa sana ujumbe

  • @gimbanantavyo5217
    @gimbanantavyo5217 Год назад

    You are such an amazing lady, receive a bunch of love.

  • @christinamwakibolwa3000
    @christinamwakibolwa3000 2 года назад +4

    Lilian unaponya Moyo na nafsi yangu

  • @chosentv742
    @chosentv742 2 года назад

    Waooo I love the host🥰

  • @priscaphedrick5970
    @priscaphedrick5970 2 года назад

    Nakupenda dada wewe Lilian yaani hatasijielewi kabisa nakupenda tu

  • @jacklinemwita4173
    @jacklinemwita4173 2 года назад +1

    Hiyo Hofu ikutoke kwa jina la Yesu

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 2 года назад +3

    Hapana akitokea naolewa tu aiseee kila mtu na bahati yake siwezi acha bahati yangu kisa alishawahi kuoa labda Mungu ndio njia aliyo mpangia apite ili akutane namm

  • @josephmihayo6236
    @josephmihayo6236 7 месяцев назад

    Kwanini asiitwe Lilian Luvanda?

  • @fridakaishaza1032
    @fridakaishaza1032 2 года назад

    Much love ❤️

  • @yusrasalum
    @yusrasalum 2 года назад +1

    Kweli tena unaitwa baby 🤣🤣 namuelewa huyu dada 😍

  • @samiakikwete1762
    @samiakikwete1762 2 года назад +2

    Kwani wakiristo wanaachana?

  • @hassankongolilo8408
    @hassankongolilo8408 5 месяцев назад

    dada lili punguza misifa punguza uperfect

  • @saidaramadhan2099
    @saidaramadhan2099 2 года назад +6

    Ukiamini mwenyewe inatosha ukisibili watu utakesha

  • @tunsumegideonmwamboneke9639
    @tunsumegideonmwamboneke9639 2 года назад +1

    “hakuna kitu mume wangu atafanya kinifanye nimuache “ haya maneno sio sahihi kwa mwanamke kusema mbele ya hadhara. Its a reason why wanawake wengi wanakufa kwa kuuwawa na waume zao. Ni sababu tu hauna kitu cha kukufanya uondoke, real?!

    • @esthermwambene6975
      @esthermwambene6975 Год назад

      Lakini kama umemsikiliza vzr kasema mwanamke usikae kwende ndo ya mateso kupigwa nk so pengine hayo yote yeye hayapitiii

  • @rahma6189
    @rahma6189 Год назад

    Dada lili nakupenda ila kwanini unachanganya na kingeresa

  • @bintisayuni6634
    @bintisayuni6634 2 года назад +1

    Real

  • @jareengeorge5478
    @jareengeorge5478 2 года назад +2

    Nawapenda Sana Hawa wadada jamani.

    • @verasikawa6382
      @verasikawa6382 Год назад

      Animekupenda sana kwa hekima yako Liliani mungu akubariki pamoja na uzao wako.

  • @vickydan2869
    @vickydan2869 2 года назад +1

    Me hata nilikua cjui kama luvanda alikua kaoaga nalili alikua kaolewaga

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Год назад

    Mhhh kumbe walewale tuu kkk

  • @lucyemichael7814
    @lucyemichael7814 2 года назад

    👏🏼

  • @iddaadams7351
    @iddaadams7351 Год назад

    Lilian kama Lilian.......

  • @florencebudoya3814
    @florencebudoya3814 2 года назад +1

    Halafu Isack alimwambia mwanae Essau na si Yakobo. Sema Rebecca akamwambia Jacob jinsi Isack anavyowish kumbariki mwanae wa kwanza kutoka" Mind you that Jacob na Essau walikuwa mapacha "Yacob akajiwahi na akafanya yaliyotakiwa kufanywa na Essau. Jacob akajifanya Essau na akapata baraka. Essau alivyokuja it was too late baraka zilikuwa zimeenda kwa Jacob.Ingawa huko mbeleni baada ya Jacob kwenda kwa mjomba wake na kuoa Leah na Rahel na mpaka kuzaa na vijakazi wake,alirudi na kumuomba msamaha Essau.

  • @aoman5214
    @aoman5214 2 года назад

    Umeongea ukweli kabisa wanawake wa siku hizi hawana hofu ya Mungu wakina Christina shusho wanaachika na kuacha watoto wao kisha makanisa jaman hmmm

    • @jackmacha6057
      @jackmacha6057 2 года назад

      Kwan shusho alishaachika

    • @esterpaul3146
      @esterpaul3146 2 года назад

      @@jackmacha6057 ndio

    • @veeJesus
      @veeJesus 2 года назад +2

      Kuongea ya shusho ni rahis ila hujui chochote kuhusu ndoa ya shusho
      Alafu aliekuambia kuwa na hofu ya Mungu ni kukaa kwenye ndoa??

  • @irenechobaliko9599
    @irenechobaliko9599 2 года назад +3

    Your story could be different, but most men will lie that it’s not working and blame the woman or say we processing a divorce & blah blah blah, yet he is just a womaniser 😢😢😢. Ladies be careful

  • @evangelistmcsarahmvungi3626
    @evangelistmcsarahmvungi3626 Год назад

    Wewe ni mrembo na unaponya wengi

  • @ndugutv5417
    @ndugutv5417 2 года назад

    Giza unaliogopa alafu roho Mtakatifu Humwogopi?
    Hivi vitu sielewagi

  • @bikozikomo9496
    @bikozikomo9496 Год назад

    Anajionanga mtakatifu huyu dada,

  • @mariasixmund7964
    @mariasixmund7964 2 года назад

    Best interview

  • @nolimittvonline6822
    @nolimittvonline6822 2 года назад

    Mimi mwenyewe yamenikuta !

  • @zeinababdi4757
    @zeinababdi4757 2 года назад +10

    Wabongo wananishangaza sana, are you really doing boy child because you want to shine and make money or you are really passionate about that cause...it is all about you and your family just using poor children from acutely poor background

    • @sharewithhope1229
      @sharewithhope1229 2 года назад +6

      It takes caurage kufanya hicho anavhokufanya kama ingekuwa rahisi kila mtu angefanya ,it's time tuwapigie makofi wengine pale wanapojaribu kufanya kwa ajiri ya wengine huku na sisi tukijitafuta tufanye nn na vile Mungu ametubariki navyo

    • @lydiathomas2905
      @lydiathomas2905 2 года назад

      Don't judge if you have no evidence, this is why people afreid doing good things. Be positive my dear it will do you good, trust me.

    • @tukuswigaikasu5227
      @tukuswigaikasu5227 2 года назад

      Acha makasiliko jamani..

  • @lydiathomas2905
    @lydiathomas2905 2 года назад

    Girl i love you, Lilian Mwasha i see my self in you. We don't have to be selfish as women. God bless you.

  • @silviagustavo416
    @silviagustavo416 2 года назад

    Kingereza cha nn 😏😏

  • @julianapeason6254
    @julianapeason6254 2 года назад

    Dada jifunike

  • @malkiarosemuhando3310
    @malkiarosemuhando3310 2 года назад +6

    Khaaà Yakobo tena??? Sio isaka aliyemwambia Esau aende nyikani akawinde mnyama, amfanyie chakula kizuri ili apate kula AMBARIKI,

    • @magrethmollel1078
      @magrethmollel1078 2 года назад

      Ni yakobo ndugu siyo Isaka

    • @williammweta5539
      @williammweta5539 2 года назад +2

      Ni yakobo dada

    • @winfridagama5832
      @winfridagama5832 2 года назад +1

      Isaka alikuwa nawatoto wawili Isau na Yakobo aka yakubuu

    • @florencebudoya3814
      @florencebudoya3814 2 года назад

      Isack alimwambia Esau,ila Rebecca ndo akamwambia Jacob afanye hivyo ajifanye yeye ndo Yacob

    • @esthermalamsha2847
      @esthermalamsha2847 2 года назад +1

      Ni Isaka sio Yakobo, Yakobo ni pacha wa Esau & Isaka ni baba yao...

  • @fridahiminza8659
    @fridahiminza8659 2 года назад +2

    If the first marriage didn't work,second ,third , won't work,there is this spirit called, spirit of divorce that is tormenting people.read ?malachi 2:13 kuendelea,the wife/husband of your youth. 😭

  • @nolimittvonline6822
    @nolimittvonline6822 2 года назад +4

    Na komaa ata waseme nimechukua ! Walipeana taraka miaka 2 nimeingia kwenye mausiano hyo naambiwa Mimi nimeiba mmewamtu

    • @yukundapeter8200
      @yukundapeter8200 2 года назад +1

      Olewa mwaya dada! Km lipaka limeachika,mume aache Kuoa? Uliiba alikuwa ni gunia?endelea kuishi na mumeo,Mapaka yackusumbue.

    • @nolimittvonline6822
      @nolimittvonline6822 2 года назад

      @@yukundapeter8200 umeonaeee yani kwenye dunia hii ukitaka kufurahisha watu utachelewa

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 2 года назад +1

      Hakuna mume wa MTU endelea my

    • @nolimittvonline6822
      @nolimittvonline6822 2 года назад

      @@jescajulius8023 nasonga mbele my

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 2 года назад

      @@nolimittvonline6822 haya mpenzi

  • @sakinanaftali7929
    @sakinanaftali7929 2 года назад

    #TUNAMWAMINI KARIBUNI KUITAZAMA
    ruclips.net/video/ZhY-T8wk4Do/видео.html

  • @Mundi-oz7os
    @Mundi-oz7os 6 месяцев назад

    Learn to cover your legs PLEASE

  • @zuhuraally4146
    @zuhuraally4146 2 года назад

    Nakupenda sana dada mwasha

  • @happinesskitali164
    @happinesskitali164 2 года назад +1

    Mm nampenda sana Lilian

  • @Lifestylek2l
    @Lifestylek2l 2 года назад

    Jaman nipate no yke