Fix You: Mwanasheria na Msuluhishi wa ndoa ataja mambo matatu yanayozivunja zaidi!
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
play.google.co...
Tumejifunza vitu vingi anti Maryam shukran
Kipindi kizuri sana Irene bigup
👏👏👏👏
je Mahakama haiangalii nani anadai ndoa ivunjike ?
kama mimi namtaka mke wangu ila yeye analazimisha hataki tena ndoa haileti maana kwa mahakama ?
na kwenye kugawana Watoto wanakua upande gani ?
sns naomba namba za huyu mama
Naomba namba zake mana Kuna mbwa mwaka wa 10 Sasa hajui ata ada ya mtt na talaka hatoi
Kauli tuu uliotumia kumtaja huyo mzazi mwenzio inaonekana wewe ndio jeuri
@@DM_15 tulia jaman nahisi ni hasira tu ndo inamfanya atumie hiyo kauli bali mzazi mwenzie ni MBWA kabisa kwa kushindwa kulipa ada ya mwanae kwa miaka 10 na talaka hataki kutoa...
@@hopechidera😂😂,kwahiyo mwanae ni kambwa kadogo. Mana mbwa anazaa mbwa ujue,muwe mnaangalia maneno. Sasa mpaka unaenda kuzaa na jibwa unakua umepatwa na nini?
@@DM_15 umeona eh ?
hata kama ni mimi hapo unategemea nikupe hata senti mbwa mimi ?
@@neemayatosha1618 🤣🤣🤣 kwamba ka mbwa kadogo ?
Kipindi kizuri sana Irene bigup