Salama Na ROSE MUHANDO SE6 EP53 | NIPE UVUMILIVU PART 1 | SendTip MPESA LIPA NO 5578460
HTML-код
- Опубликовано: 5 фев 2023
- #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
Katika binadamu ambao walinipa wakati mgumu na kusubiri kwingi kabla ya kuja kukaa kwenye meza yetu ya kigae na kiti chakavu basi mmoja wao ni Rose huyu wa Muhando. Upatikanaji wake ni kama ukitaka kumuona SIMBA mbugani, lazima uamke asubuhi na mapema au uwe na bahati ya mtende kama ambayo sisi tumepata. Ingawa tulisubiri kwa masiku tele na miezi tele katikati ya mwaka huu tuliweza kumpata na kukaa nae chini ili tuweze kuzungumza nae.
Rose ni wa moto sana, kalenda yake imejaa safari tele za nje na ndani ya nchi, anazunguka mara kwa mara kwaajili ya kutoa elimu na burudani kwa watu wengi ambao nao pia wamekua wakimgojea kwa hamu na kwa masiku tele. Kipaji chake cha kipekee ndicho ambacho kimemfanya awe maalum miungoni mwa wasanii wanaofanya muziki wa Injili na uzuri wake mwengine ni kwamba amekua akitoa huduma hiyo kwa miaka mingi bila ya ‘kuchuja’.
Sasa nini hasa siri ya mafanikio hayo?! Ukiachana na panda shuka tele ambazo Rose amepitia toka akiwa na umri wa miaka 6, kukata tamaa ni jambo ambalo halipo kabisa katika mambo ambayo huwa anayawaza. Pengine kujiuliza kwanini na anatokaje kwenye hilo zito alilo nalo linaweza likawa ndo swali, ila kusema kwamba hatoweza au haiwezekani hilo jambo kwenye kitabu chake au kichwani chake huwa halipo kabisa.
Ukiskiliza kwa makini maneno ambayo yanatoka katika mdomo wake utagundua Rose ni mmoja kati ya wanawake jasiri sana ambao wamewahi kutokea katika kiwanda hiki cha Sanaa hapa Tanzania. Ukimuangalia macho yake, mikono yake ambayo imejaa makovu na nna uhakika pia kuna sehemu nyengine kwenye mwili wake pia zimejaa makovu lakini hatukuweza kuona unaweza ukapata tu idea ya makubwa na mazito ambayo amepitia na ambayo yameacha makovu makubwa tu si mwilini mwake tu bali hata kwenye moyo wake. Ananihadithia kwenye episode hii jinsi ambavyo watu walikua wanamuadhibu ki mwili na ki akili ikiwa ni pamoja na kupigwa, kuchomwa moto, kukatwa na kunyang’anywa mali zote ambazo amewahi kutengeneza tokea wakati anaanza muziki ila hayo yote hayajawahi kumkatisha tamaa wala kumrudisha nyuma.
Rose anaamini na aliamini kwamba ana uwezo wa kuvipata vyote ambavyo watu walimdhulumu kwenye kipindi flani kwenye maisha yake, aliamini hakuna ambaye anaweza kumnyang’anya kipaji ambacho Mwenyezi Mungu amempatia na kwa kupitia hiko kipaji na akiwa hai na mzima basi vyote ambavyo aliwahi kuwa navyo na vikapotea basi alikua na uwezo wa kuvirudisha na ni kweli, kuvirudisha ameweza na vimekuja maradufu yake.
Simulizi zake za safari yake toka siku ya kwanza alipokua mdogo nyumbani kwa Baba na Mama yake huko kwao Morogoro wakati anaumwa ni moja ya vitu vya kufikirisha sana ambavyo nimewahi kuvisikia toka tumeanza kukalia kiti chakavu, na yangu matumaini maongezi haya kwa kiasi kikubwa yatakupa ile vibe ambayo huwa naizungumzia kwenye intro ya kipindi chetu hiki.
Tafadhali enjoy.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
RUclips Link bit.ly/RUclipsSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz Развлечения
Kwa kweli kutokewa na Yesu katika umri mdogo mtoto hawezi kudanganya. Ni kweli alitokewa
HUU NI USHUHUDA YA KWAMBA YESU KRISTO MTOA UZIMA ANAISHI HALELUYAAAAA.
Rose muhando muimbaji injili nimpendaye kutoka moyoni
Snaga shaka nawww
Miujiza kama hii ipo jamn sio uongo me pia yalisha nitokea maono makubwa ilibakia kidogo niangamie Mungu aka niinua Tena 🙏
Pole sana mm pia nimepitia magumu sana ilikuwa nife bt Mungu akanipigania..ukweli Miujiza niliona nihatare
Your maturity questions are amazing, it makes your show be watchable by everyone
Mbona mnaumia jamaniiii kwakweli umenibaliki mama roseeeeeeeeeeee watazidi kuumia hao wasiemjua yesu jesus 4life
Wow
Salama kapatikana walahi' hana hata la kuongea kabaki mdogooooo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
May God bless you Rose and protect you as you continue preaching through singing
Mungu ni mwema,Dada Rose uwagasichoki ushuhuda wake,ama kweli Mungu akikutaka huna kwa kukimbilia.
QUEEEEN OF ALL THE TIME ❤️❤️❤️❤️❤️
Mungu ni Mkuu siku zote hongera kwa Baba yako alisema kitu cha kweli hawezi ongea uongo akati aliona na atakuwa na pepo yakeee
Hongera bibie SHADYA. MUNGU amekuchagua umtumie kwa iishara ya wazi kabisa isiyo na ukakasi
Mungu alisimama na rose na hadi leo Anasimama naye bado mkon wa Mungu u juu yake
Ushuhuda mzur ila MUDA mdogo , waiting for part two
Yesu alikuokoa na umeupiga mwingi
Mm nakuelewa
HAKIKA YESU KRISTO NI BWANA 🙌
You are a special person Rose may God continue to protect you ma ❤️ 🙏 ♥️ 💛
Nakupenda sana Queen of gospel Rose Muhando
Nakupenda bure Dada Rose
One of my favorite artist her Majesty Rose Muhando
The Best session on RUclips
Rose you are my STRENGTH
Here a Queen💌❤️
My mama🔥🔥
Tuheshimu dini zetu kwasababu ndizo zinazotutengenezea Imani. Tujifunze kisikiliza kwa watu wengine sasa badala ya kubishana kuhusu dini embu tujifunze kupitia kwake huyu dada jmn
Kweli kabisa
SAFI SANA
Roho inawauma kwamba alitoka huko!
Ndo ukweli,Yesu kamuokoa
Kila goti litapigwa ,na Kila ulimi utakiri kuwa Yesu ni Bwana!
🏃♀️🏃♀️🏃♀️ngoja nije nikikimbia nikae kabisa nisikilize kwa utulivu
haleluya
I love today's interview. Hongera sana dada Rose, endelea kumtumikia Mungu wako na kumuimbia.
Amen
Duh!!!
🔥🔥🔥🔥🔥
Mmh leo kazi ipoo😂
GOD IS MIRACULOUS ❤️🙏
Wakwanza
besti naso
We acha usanii rose, muongo kweli yesu kakutokea wapi!
😂🤣🤣eeeh Leo hatar
Mlete madam rita ,hamisa mobetto, mama dangote
Madam Rita tayari
😂😂😂😂😂😂ata cjui nacheka nini😂😂😂
😂 😂 😂 😂
Nataka kujuwa jina la Kislam la dada Rose
Shadia
Salama leo umeyakanyaga
Hi ilileta utata ad Salama alichelewa kuipost
Ilileta utata gani?
Hii kamba
We should respect all religions as a Christian Tanzanian just said in the comment and if anyone has different views or debates or says the wrong of other faiths or argues with proof how they are wrong, he or she should not be hit at or stabbed as criminals in South Africa and elsewhere they do as the world is witnessing as here are animals and they don't have religion and others brought them terrorism too, but we should argue back or debate or leave him on his own if he won't come to truth or if his views are not right. The Tanzanian tolerance is because of its people and the Arabs who colonized it and lived there
Na ndomaana nilikuwa najiulizaga kuhusu jina la MUHANDO mbona asili yake ni tanga lkn watu walinibishia sasa jibu wamelipata
The annointed one of God live long mom and may God bless you
Salma ushakua mzee una badilika kidogo kidogo tubia
Aisee jaman, hadi nataka kulia
Very tou
Rose anajua mitaa ya Arusha balaa
Leo kwa rose umeyakanyaga😂😂😂😂
😄😄😄😄
😂 😂 😂 😂 😂
Waislamu hili linawauma kwelii kweli.....ni kama dini itawapeleka binguni.... lakini poleni waislamu na dini lenu la MAJINI..
Lete Mgunda
Kama huu angebaki kua mu Islam kama anavaa vizuri anajistiri😂😂😂😂
Mkono mweusi 🤯
Anazo alama za kumuonesha YESUKRISTO skuhyo kwaajili yake
Je ww unazo alama
Sio stori nzuri!! Nafikiri Salama usingeirusha hii!!!
Imewakatakata maini wapngakristo
Sasa utapangia salama maisha yake tengeza kipindi chako basi Salama hana roho mbaya kama nyinyi
@@nellymatalanga5033 nashanga
Ndio nyinyi wana wa IBILISI... Mnaumbuka sasa
Jamani waislamu mnaogopa hili JINA la YESU 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 hii itoshe kuwadhibitishia YESU sio nabii mtume wala apostle JESUS CHRIST is LORD ... YESU ni MUNGU
mmh 10:15 - 10:20 hapo Rose alitaka atupige.. 🤠anyways I like her
Hahaha
Ijumaa ya majilio
Hello get serious hayajakukuta cku hiyo ikitokea utaamn ya Rose
Hii stor huwa anaisimulia sana..so co uongo
@@rozapetro1647sijasema kua story yake ni ya uongo ila kweli mkristo hajui hata IJUMAA KUU, mimi ni shabiki wa Rose ila hapo amenipiga na kitu kizito
Kwan Ijumaa kuu ipo kwny biblia, mbona wasabato hawajui coz hawasherekei
Salama hoiiiii Leo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 sura yake tu inaongea hiki kibibi kiongo sna 🤣🤣🤣
Shame on you,we utakua kijana forever sio? 🚮🚮
Anatupanga anajifanya yeye nshapu kitengeza story za mungu.. ati mkaka mmoja katumwa na mungu daah Rose ww mshirikina mbayaa😅
😂 😂 😂 😂 😂 😂
Inalilah Waina Ilah Raghun Unatoka Ktk Dini Sahihi Dah Allah Akbarrrrrrr
Mmwanza sasa😆😆😆
Mwaka huu mtachonga viazii
Ingekua dini yenu sahihi Mungu angemwambia aimbe Qaswida kwen mbwa wewe Yani mnapendaga kutuchokonoa sana wakristo
Mtajua hamjui uislam ulikuja kumpnga kristo so kaeni kwakutulia chek nuru iliyoko kwake huwez kuipata
@@francesmpangwa8801 mjinga huyu achana nae wana dini sahh lkn hata sku1 hajawahi kujidhihilissha kwao hata sku1 kujifunua imekua ngumu
Dada ludi katika dini yako,madam umeshapona,mungu atakusaidia tu,pesa ulizozipata fanta biashara.
Komaww
Naheshimu tuu kipaji chako cha uimbaji dada rose!!!! Lkn si kwa upuuzi km huu ambao umeuzungumza.
Ni vile TU huwezi kupinga ukweli!
Series zaidi ya prison break🤣🤣🤣
Mwaka huu mtachonga viazii waislamu chuki kibaao baki Dini yako
@@FreeGod368 Dini yenu ya mchongo
@@abdulraufmohammedsalum6806 We mwehu mi sina TIME naww kafie mbere 😂sijib watu walochanganyikiwa mimi
@@FreeGod368 Tulia ww 😂😂
hahahaha...MUONGO saaana Rose... ila unajua kuimba
Mbona unasema nimuongo jaman
Uongo wake nn kusema ushuhuda wa kweli?
Mungu akusamehe
We ndo unajua maisha yake?
Ila watu bwana!
Tanzanian spirit if someone did wrong they say: May God forgive you. And encourage repentance and love and helping sinners leave sin as all are same in sin. The Prophet Muhammad is saying : All Humans Are Sinners But The Best Of Those Sinners Are Those Who Repent. I learned this Hadith from Sheikh Khalfan, Sheikh Saleh and Sheikh Kibriti when I was sleeping at manyema mosque when he knew me there and was good to me when he helped me some little change and these days when I said I am with Christian in 2017 he helped me some little change even taking me as a Preacher like himself but knows me since small as an orphan childn
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Rose katupiga na kitu kizito kichwani
Mwaka huu mtachonga viazii
Kivp
Haya maono yapo nayy sio wakwanza uamn usiamn hyo ndio YESUKRISTO mwana wa Mungu aliyehai ambaye alikufa na kufufukq
Umepigwa peke ako bro
Wee Nae Ngoja Siku Yakukute Ndo Utakuja Kuona Kwamba Rose Muhando Anaongea Kweli Bado Hujaanza Kuishi Wewe
Jisemee ww usitujumlishe sisi
una miaka 12 na dini ya kiislamu unaijua vizuri alafu ujui yesu ni nani....unataka uende kwake ukamuone😶
Mtu akitaka kutoka kwenye uislam mpaka aseme Yesu alimtokea dah waislam tuna shida sisi tunamkubali Yesu sababu na yeye anamuabudu Mwenyezi Mungu wa pekee
Kumbe yesu ni mzungu🤔
Waisrael unawajua?
Yy ndo alichokiona na she was young by the time
@@rozapetro1647 mmh
@@gosbertgideon6843 kumbe mu Israel nabii Issa
Uislamu ndio njia ya haki mbele ya Mwenyezi Mungu..
Hatuna cha kukusaidia hatuko kwenye kampen ya DiNI
@@FreeGod368 uzury ni maoni yangu binafsi
@@stevewanga957 Ni swala muda tu kuelewa Yesu ni nan? Mi najiulizaga iv nisingezaliwa mkristo iv ningekuwa muislamu kabisaaa? 🥹😓Yaam stakag kuamin nampenda Yesu yy ni halisi so wakuhis his tu kama hewa ukiMuomba unashuhudia mafunuo ndotoni , au ya waziwazi ndio apooo tu napopenda Dini yangu, mim nmewai amka nkaomba dakika 5 Mungu akaniambia hi sim itaibwa Leo nkastuka nkaombea dakika 1 na io sku sim yangu kidooogo iende nkakumbuka Mungu aliniambia nisingeomba ingeenda huyo ndie Mungu naemjua mimi asiebubu na mengine meengi leo hi nabadil vipDini mimi nakichaa, Magufuli kafa tarehe 17/3 mimi tarehe 2/2 nkua shaona kifo cha magu na sababu vile vilee leo hi vip nache kuamini Dini yangu Ambae Mungu hunifunulia ya sirini
@@FreeGod368 ww wamtambua Yesu kama nani?
@@stevewanga957 Mwana wa Mungu so kama nabii wala mtume Yesu ni zaid ya mjumbe wa Mungu na pia Yesu kama mwana wa Mungu biblia ni Mungu pia mfano uez sema ndama so ng'ombe namimi naamini sabab ya maandiko tofaut tofaut na zaid ya hapo pale Yesu anaelezea jinsi yeye na baba walikuepo kabla ya kuumbwa ulimwengu akiwa anamsaidia kazi ya uumbaji
Uyu dada muongo sanaa afu mshirikina sana..ati mungu anakujibu baada ya miaka kadhaa😅😅😅 story yako haimake sense
Kaa Kwa kutulia ww acha mungu afanye kazi yake
Kwani Mungu anajibu baada ya miaka mingapi? Mana mi nimekaa miaka 15 ya ndoa na mume wangu akaota Nina ujauzito na wiki lililofuata nikaingia siku za hatari nikapata ujauzito na nimejifungua Nov 15, 2022
yani wewe km yesu alikupenda ungezini nje na kuzaa watoto haramu hv kweli inaingia akilin hebu rudi ktk dini yko tubia madhambi yko wacha kutupiga na vitu vizito 😅😅😅🤣🤣
Mtapata tabusana
@@gosbertgideon6843 kunamdada alikua mzinzi kwenye biblia alipaka machozi yake kwenye miguu ya yesu uku akiomboleza yesu akasema nawataka watu kama hawa kulikowale wanaojifanyaa sio watenda dhambi. Tunapojielekeza kwa yesu sio kwamba ni wasafi na hatuna dhambi bali ni kwa sababu tunadhambi nyingi hatujui n jinsi gani tutatoka hivo tunamfata yeye tupate msaada kwake.
@@tuliadamson3422 amen
Usihukumu usije ukahukumiwa
We unajiona UMEKAMILIKA......! Hakuna mkamilifuuuuuu,. Hata ufanye DHAMBI maelfu MWENYEZI MUNGU NI MWINGI WA REHEMA,. Kwanza kakojoe ULALE hukoooo HUNA MBINGU YA KUMPELEKA
Yesu ni mwana wa Mungu? ???? Mungu anazaa?????
Hata wew
Hata wew
Kwani wewe unanafsi ngapi?
Mungu Ni mmoja Ila ananfsi tatu Mungu Baba Mungu mwana Yesu na Mungu Roho mtakatifu kwa hivyo Yesu Ni Mungu maana yupo katika ndani ya uungu
Ndiyo Aisha Mungu anazaa ila siyo kwa njia ya kibaiolojia ni kwa njia ya imani anatuzaa
***Kumbe Yesu ni mzungu ndo nimejua Leo***
Mamako kumbe ni Mngoni nimejua Leo
Muhammad kumbe ni mzaramo nimejua leo , make wazaramo wengi waislamu
Hey ppo, if you're not sure of what to type you better don't
@@FreeGod368 😳 He!
Kumbe, ndo maana... Walikupatia ukiwa akili bado haija unga. Hukuwa unajua lolote juu ya ulicho kifanya...juu ya kutoka ndani ya UISLAM!
Ibilisi alikujia mzima mzima. Hukujua, vile ulikuwa mtoto. Hukua na elimu juu ya njama zake za kuwarubuni watu kuwa upande wake!
Acha usenge kwan kuwa mkristo ni uibilis,wewe ambaye huingiliw na ibilis unapaaa au vp,yawezekan wewe mashetan ya kufuga ni wewe,kwa waganga ni wewe,mchaw ni wewe lakin unahukumu wenzako kwenye uhuru wao wa kusalu na kuabudu.Shindwaaaaaaaaaaaaaaaaa
@@bernadetamodest6170 hebu kwanza meza dozi yako ya kule MIREMBE kabla hujaanza kufanya kazi ya kusafisha majalala bila malipo.
@@G.r.e.a.t.I.Q Ameze nan sasa mimi au wewe hapo mjinga mmoja usiyejielewa,?shetan na robo! pumbavu kabisa,unaongea tu kama unaharisha,fukara wa fikra. Mixuuuuuuuuuuuuu
@@bernadetamodest6170 na wewe unaye tukana ni nani? Mpumbavu, siyo? Au umekosa Macintosh kwenu? Kama huwezi mijadala mitandaoni basi ntamaza tu. Usitukanishe waxes wako wakaonekana hawakukulea vyema. Ilhali wewe ndo umekacha madunzo yao mema. Wacha ukosefu wa adabu!
Ukiona haiku changiwa vile ungependa basi Changia vile ambavyo yule aliye kuvunja moyo aelewe. Tu kama ulipata malezi na maadili mema kwa wazazi wako.
@@G.r.e.a.t.I.Q Ni kweli kabisa wewe uliyesema kichaa sijui mirembe hukutukana ,you was very perfect.Mijadala ndiyo kama hiyo ukimtukana mtu maharage yeye atakuita mchicha au chainiz so usifikir utakuwa salama kwa kutukana wenzako nao wakuache,sahau hiyo kitu.