Rose Muhando: Nilitaka KUJIUA sababu ya Depression, Rais Kenyatta aliagiza nisirudishwe Tanzania
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Sehemu ya kwanza ya #ChillnaSky, Rose Muhando anafunguka jinsi alivyougua Depression na kulazwa hospitali nchini Kenya kwa miezi kadhaa na jinsi Rais Uhuru Kenyatta alivyomsaidia. Anaeleza jinsi tatizo hilo lilivyomfanya akaribie kujiua na namna alivyopona. Anaelezea kuhusu album yake ijayo, Miamba Imepasuka, kushirikishwa na Size 8 kwenye wimbo Vice Versa na mengine kibao
Mjini Homabay, Magharibi mwa Kenya, kuna stadium unaitwa Rose Muhando. Rozzie ni kipenzi chetu huku Kenya.
Mama rose mhando nakupenda kutoka ndani ya moyo wangu tangia nkiwa mtoto mdogo.nilikua nikiona kwa maomo nikiwakumbuka na cheza Kwa nyimbo zako.nina tumaini kua nitakuja kukuona .asante sana
Comments nyingi niza wakenya kumaanisha kenyans love Rose Mohando, kenya 🇰🇪 tunakupenda sana mami
That true Tanzanians were busy killing her , Kwanza hapa RUclips I almost hated you Tube completely
WE KENYANS LOVE YOU ROSE,WE APPRECIATE YOUR TALENT!
Sana #🇰🇪
Kabisa,we love you 💖
@@kelvin8324 àà
We kenyans we love you mummy...our queen...much love🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ukweli mimi nililia Sana...nikanjifunga siku kadhaa kumwombea Rose...but kabla ya kwenda hospital Mungu alinipa mahono kuhusu Rose...so nilinjua she will make it
'Size 8 aliheshimu mafuta, aliheshimu Mungu wangu na huduma yangu, this is deep.
❤️
Wao Leo mi wa kwanza naombeni like zangu na mimi kama ninavyowapaga nyinyi
hahahaha ndoman upo pekeako mpka saiz
@@Chapesamedia hahahaaa mmh acheni kunionea nipeni like nimewah
@@landmadvdmbeyacity9561 duu
Vp best
Uliyopakwa ,kwel nyimbozako zatoka mbinguni tena za bariki. May God give you long life.nis Nelly from Kenya 🇰🇪
From 🇹🇿...mie shabiki wako milele daima.. Ile nyimbo ya nakaza mwendo naipenda kufa...
Kutoka kenya twapenda mziki kutoka Tz Sana hasa Choir na mziki wa Tz una message sio kama wa kenya ni matusi na nonsense
Wakenya twakupenda sana rose
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 we love u rose continue shining in the word of God.
The time Rose alikuwa mgonjwa I was surprised by some Tanzanians , instead wamshikilie Rose ambaye Ni mmoja wao, they were busy killing her every were on social media. Rose karibu kenya 🇰🇪 ikiwezekana hamia kenye na vilango vyako vyote.i as a Kenyan I love you Rose.
Mungu yupo nawe rose,from 254 nakupenda mum napenda nyimba zako pia
My Land is Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪I love you Rose you can even come stay with me next time you come to kenya.i love you Rose Muhando
Thank you God for giving us rose muhando to be a blessing to us through her songs which are very encouraging and full of messages. I love you rose,from Kenya 🇰🇪and you are welcome to be one of us.watanzania ni watu bure sana hakupendi sababu ya wivu.may God continue to uploft you in your forever in Jesus name 💖
She is more of evangelist than a musician! I never tire to listen to her.
🇰🇪Kenya we love you mom,simba wa kike you're unstoppable...twende kazi ya yesu🔥🔥🔥💃💃💃🙏
May the Lord restore you our sister
Kenya loves you feel at home
naturally talented Rose muhando..much love from kenya..
Kenya We love you sister Rose may God keep you safe kipenzi hela bila amani ni bure 🇰🇪♥️🤞
Love you mum....
#TRM... upendo kwa Muhando 😍😍😍
Neema y mungu inatosha,,we love u mum rose simba wa kike😂😂nyimbo xako wakenya tunasipenda xan, may God protect u,,🥰🥰🥰🙏
Nakupenda bure Rose❤
Mungu akubariki mama🔥🔥🔥🔥🔥 #TRM
Mpaka nahisi aibu jamani watanzania huyu no was kwetu tumsapport Mimi ninakupenda Sana Rose from tz
It's true sisi wakenya tulisimama kwa pengo,nilifurahi kukujua na kuongea nawewe dada Rose.binti zayuni ni jina ulilonipa nashukuru.we will always pray with you and support you.you are blessed simba wa kike
Can u give me rose's number
Ur a true blessing to us da Rose watching your testimony in Doha qatar am an East africa
Data Rose mimi binafsi ninakupenda kabisa kutoka rohoni mwangu na ninakumbea sana mungu azidi kukuinua. Mimi mkenya na mfuasi wako wa karibu. Kenya tunakutambua na kukuheshimu saidi. Naomba kwa vyovyote vile kitu chochote kikikufanyikie kamwe. Nehema yake yatosha kwako. Barikiwa dada
Rozzzy Nakupenda sana kutoka🙏🇰🇪,Mungu akubariki na kukulinda sana.
Tunakupenda sana Rose Muhando 🇰🇪 🇰🇪
We Kenyans really love you Mrs Rose Muhando, your songs are great with inspirational messages.
You are always welcomed at any time of your choice.
I really love you Rose from Kenya
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪much love from 254 .more grace in ministry 🙏
Hakika,w love you
TIMESTAR YOUNGSTARS hapa. pia siku moja labda tutapata dada Rose tukafanye colabo pia
MUNGU ni Mungu tuh mpende msi pende rose unapendwa ❤❤❤
Mungu alikuleta Duniani na sababu kubwa, Hongera sana Rose wewe ni Simba wa kike#TRM
Malkia Rose muhando 😍😍❣️❣️😍
Yeah true Kenyans don't have time to judge anyone in time of need
Much love from Kenya 🇰🇪 ❤ 💛 💗 💕 💓
I love this woman ever since was young upto date ....may you live long mumy
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 we love you.
Amen Rose Muhando God continue to bless you and expand your territories am so happy for you in the fallowing Jesus Christ gave you am your fan am very blessed, asante for the testimony God bless you🙌😅😇😇🙏🙏🙏👏👏👏🔥🔥💕💖💝💓💞
Doreen 254 nimechill na sky🇰🇪🇰🇪🇰🇪
We love you rose muhando
We love you so much rose. You are a big blessing in this century. Big ups from embakasi Kenya
Kenyan really appreciate your truly persistence faith,trust,believe,presentable speech ,advices to greater audience.
God is able.
Good testimony rose here in Kenya we love you so much you are a blessing to many people.God bless you.
Umeiongelelea sana vizuri Kenya nimefurahi saana
We love you dear sister Rose muhando.
Nakupenda bure Rose you're true worshipper. May God take you to greater heights.You are blessed.
I love your music may God lift u 2 levels and expand u and enlarge yr territories blessed rose
Nakupenda Sana Rose your music bless my life 💯🤗💕from 🇰🇪
Rose you are indeed a minister of the word of God.bless you
Ukweli mtubu Rose pia mimi nakupenda sana
Daaah,,,,,, subscribers wanapanda Kwa Kasi sana SNS BIG UP SANAAA
I still listening your song
From 🇺🇸
Mummy rose muhando in 2004,,2005 your album nibebe,,song sitanyamaza,.ulipalilia imani yangu ndani ya neno yenye mtume james maina ng'ang'a wa Neno alikuwa ameikuza kupitia nyimbo zake..kama ile musa alimlilia mungu,,baba wa mbinguni...radio cassette ndio hadi leo nimeiweka,,,jesu azidi kukuinua na Stephen kasolo jesu akupeleke mbele zaidi...my point is that rose you are a blessing to my life
Balikiwa roz mungu wambinguni akupe kila unalo hitaji
Love you Dada Rose mhando
Rose Mungu akubariki,thnx umeadmnister so much spiritually.zidi kumtumikia
Kabisaa Rose twakupenda kabisaa..Mungu mbere!
The best of the Queen melody in Africa, nakupenda mama
We love you 💗💜 Rose alf namiss kumeet nawe
Mum I love u from Kenya am great fun for your songs since I come to know u 2004
We love you rose from Kenya keep it up
We love you rose🇰🇪
Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mungu apewe sifa
Love from Kenya
Rose Mhando bado ni muimbaji wa nyimbo za injili ambaye hajafikiwa na muimbaji mwingine hadi sasa.Yuko juu sana.
Amen Hakika yupo mungu rose anazidi kurudi mtoto love from Kenya , wasilo lijua mungu alitaka kupeleka kiwango kingine nakupenyeza ndani zaidi
Mungu akutiye nguvu Da rosé tunakupenda sana
God of another chance we praise your name 🙏🙏🙏🙏
Mungu alikuwa anakuandaa ili akupeleke viwango vingine, jina la bwana libarikiwe.
Huyo mm Sasa uktaka tupgane kabsa mtaje rose muhando vibaya tutapgana Sana nampenda kuliko kitu chochote huyu madame
Wooow happy kuskia sifa za kenya ,we love you Rose
Keep pressing on Rose God is with u
If you have gone through counseling, you bear witness what Rose is talking about. Get help when you feel a miss about anything in your life. Depression is real.
Twashukuru sana🇰🇪. Hapa Kenya twakudhamini saaaana. Malkia Mungu akuzidishe nguvu na kulibariki taifa lako. Hongera kwa ukamilifu wako mpya.
Jomon anastazia mungu akubarik kwa utii wako
Love ❤️ You Rose Muhando...Sifa na Utukufu zimrudie Mungu 🙏🏽
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 much love Rose from+254
Nakupenda.sana.roser.muhando
Amenibariki kwa muda mrefu mama Rose. Mungu azidi kumuinuwa
Nimezipenda hizo sifa za Mungu. Aliyesimamisha jua, aliyekomesha kiburi Cha pharaoh,
Amen nimebarikiwa sana mama mtumishi wa mungu
Very informative.. Auto-Immune Disorders, Neurological & Mental Health Illness is now very rampant caused by Lifestyle diseases and stress. Thanks
Tunakupenda mama yetu sanaaa usione tuko kimyaa tunakupenda mnooo
Pole sana ROSE ILA MUNGU HAMUACHI MJA WAKE MUNGU ATAKUINUA TENA MDOGO WANGU KWELI UTAKUWA MWL MAANA NYAKATI HIZI TULIZONAZO NI HIZO
Kenya loves you Rose
Thanks very much Rose .we love you am from Kenya tuned from Qatar. I speak to God through your songs Rose.
Rose mwando you are so inspirational
Rozi mungu akubaliki nafalijika nanyimbo zako
Mm mama nakupenda bure ..nkiwa kenya ..love uuuuuuu
GOD Bless you may sister uwepo wa MUNGU hukaa juu ya sifa mungu akutanguliye ktk Safari yako za kiutumishi
Amina roz kenya nikwel wanamjua mungu sn nimekaa huko hata ninawatoto 2 wif zangu hao nawapenda
Mungu akubariki mtumishi Rose
🌹 muhando 🤸🤸🤸🤸
Rose you are very creative woman may God bless you
Tunakupenda mama Rose
Much love from Kenya Rose
Huge thanks for this upload! Depression is devastating but we can beat it!
Mungu akubariki mama #TRM we love you
Nakupenda sana my love