PART 2: BAHATI BUKUKU AWAULIZA WANAWAKE, MWENYE 'V8' NA MCHOMA MAHINDI ATAKUOA NANI? | HARD TALK

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2022
  • PART 2: BAHATI BUKUKU AWAULIZA WANAWAKE, MWENYE (V8) NA MCHOMA MAHINDI ATAKUOA NANI? | HARD TALK
    HII ni sehemu ya pili ya mahojiano ya Mtumishi wa Mungu Lilian Mwasha na mwimbaji wa injili, Bahati Bukuku, kwenye kipindi cha Hard Talk..
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 233

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Год назад +5

    Global App ni ya kwanza kwa BREAKING NEWS🗞, MICHEZO⚽ na BURUDANI🎷 *DOWNLOAD sasa👍
    iOS 👉 apple.co/38HjiCx
    Android 👉 bit.ly/38Lluc8

  • @sylvesteramwai7192
    @sylvesteramwai7192 Год назад +56

    Jameni niko Kenya wapi likes za huyu mteule wa mungu,bahati bukuku umegonga ndipo!

  • @sikujuahamisi7252
    @sikujuahamisi7252 Год назад +28

    Bahati bukuku mtumishi wa mungu nahtaji mawasiliano yako wewe ni mshauli mzuri sana napenda kujifunza kupitia wewe

  • @robertgwelela2301
    @robertgwelela2301 Год назад +16

    Kweli ndoa inamuhitaji Mungu hii ni point kubwa sana.

  • @monicastephen8796
    @monicastephen8796 Год назад +28

    I didnt know if Bahati is this intelligent...You talked the only truth

    • @babyhamisi1437
      @babyhamisi1437 Год назад +2

      You can say that again

    • @nassorsaid1034
      @nassorsaid1034 Год назад +1

      Dada Lilian kama unajua jinsi unavyotitengeneza katika kipindi hiki,we Acha Tu ,watu unaowaleta Kwa kweli ni madarasa muhimusana kwetu .asante sanaaaaa Sana Sana kama isingekua tambu ungekibadilisha jina kipindi ukakiita nawatengeneza maana kwakweli unatutengeneza Sana Allah akubariki

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Год назад +8

    Nilisikia sauti ya bahati na Lilian mwasha nachanganyikiwa kwa muda😭🙏🙏🙏natamani nionane na nyie uso kwa uso,mungu amewainua Sana moyo wangu unazimia Sana juu yenu,muishi milele mungu anawaona🙏🙏

  • @saidgwakisa5880
    @saidgwakisa5880 Год назад +9

    The interview was so fantastic
    Be blessed my lovely mom
    Bahati bukuku😍😍

  • @mariamkasongo1906
    @mariamkasongo1906 Год назад +5

    Umeongeya ukweli wote dada Bahati Mungu akubariki

  • @shekinahshimeni8320
    @shekinahshimeni8320 Год назад +5

    Nimependa hii interview Mungu akubariki mama Bukuku😘

  • @carolinenyemba2412
    @carolinenyemba2412 25 дней назад

    Woow wonderful,this woman is a woman full of wisdom am encouraged by your message my sister be blessed

  • @alpiusmwageni475
    @alpiusmwageni475 Год назад +19

    Mimi mwanangu akiniletea mwenziwe mwenye heshima na adabu inatosho,utajiri usomi siyo muhimu anaweza kuwa msomi akakosa utu.

  • @julianamkonda5693
    @julianamkonda5693 Год назад +2

    Nimebarikiwa sana pia nimecheka sana, ubarikiwe mtumishi wa Mungu dada Bahati bukuku

  • @ayshahussen7452
    @ayshahussen7452 Год назад +7

    Nakupenda sana Bahati wangu Mungu akutunze kipenzi changu 😘

  • @nicolenabintu2509
    @nicolenabintu2509 Год назад +6

    Ila Mungu iko very strong kwa alie washagua, nyieee sikieni maneno anayo towa kinywanyi da Bahati uwii , God you’re so good kwa wanao kuamini nakukutegemea , Asante dada Liliane Ubarikiwe pia 💕👏🏾

  • @nurunuru7834
    @nurunuru7834 Год назад +3

    Somo nimelipenda sana asante dada Bahati kwa somo na dada Lily

  • @user-xi9pv3wu1c
    @user-xi9pv3wu1c Месяц назад

    Nawapenda sana Dada zangu,hayo yapo saana kwenye ndoa tunayapitia mnoo Mungu atusaidie

  • @judythasiko8648
    @judythasiko8648 Год назад +11

    Am always here to take notes, more love women of God🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏

  • @sairismsigwa2682
    @sairismsigwa2682 Год назад +3

    Mnatufunza mengi sana ahsante sana Dada Lilian na Bahath, Nawapenda mnooo ♥️💞🥰

  • @susanndegwa4900
    @susanndegwa4900 Год назад +6

    Love you girl doing good job and help us

  • @MaureenOmondi-kz7sx
    @MaureenOmondi-kz7sx Месяц назад

    Leo nimepata chakula cha roho na sitakufa kwa dowa thanks sana bahati

  • @lonelady3368
    @lonelady3368 Год назад +3

    Aki Bahati wewe unavyo jibu ni kama unafanya comedy vile ..akika umenichekesha sana. na nimejifuza mengi..zindi kumbarikiwa..Lillian be blessed too

  • @violinenyakara5028
    @violinenyakara5028 Год назад +2

    Deep, very powerful, much ❤️❤️❤️❤️

  • @melodietina9877
    @melodietina9877 6 месяцев назад +1

    Woman of wisdom ❤❤

  • @jeanbaraka1008
    @jeanbaraka1008 5 месяцев назад +1

    MAMA BAHATI ni mtu muimu sana maishani mwangu MUNGU mbariki sana mama huyu nimpendae kwa sikimapenzi bali kwa maono na mashauri yake ktk neno la MUNGU kwa nyimbo na mahubiri...

  • @dorcasosano3626
    @dorcasosano3626 Год назад +1

    Mama Bahati ana hekima sana, mimi nimekumbuka mwaka wa 2009 nilikua kituko nilipotoka kwa ndoa juu ya kuwachana na mme wangu, I thank God wapendwa wengine waliponiona mwenye Dhambi Mungu akinipa nguvu ya kuendelea Leo niko Sawa bila huyo mwanaume, ningeendelea kukaa ningeaga Dunia kitambo

  • @esperanzaashery155
    @esperanzaashery155 Год назад +3

    Nawapenda hawa mama Mungu awatangulie katika hii huduma

  • @magdalenakibinga8102
    @magdalenakibinga8102 Год назад

    I Like this mama Bahati Bukuku jmn so much brave and intelligent , thanks Mwasha kwa kutuletea such a blessed servant of GOD

  • @yassintaibrahim3541
    @yassintaibrahim3541 Год назад +1

    M/MUNGU Awabariki Saana Wapendwa Wetu 🙏🙏🙏

  • @khadijazuberi9788
    @khadijazuberi9788 Год назад +8

    I laughed the whole show😂😂😂😂congrats dada mwasha i wish to do the hard talk with you,tho am not a famous person ❤️❤️❤️

  • @robertgwelela2301
    @robertgwelela2301 Год назад +4

    Duuuh! hii ni babu kubwa sijawahi kuisikia.nimeipenda sana hii hard talk ya leo.

  • @ngowibeatrice1701
    @ngowibeatrice1701 Год назад +1

    Dada Bahati MUNGU akubariki sana umeongea point sana zaidi ya sana

  • @user-yc1ck6rk8g
    @user-yc1ck6rk8g Месяц назад

    Ukweli kabisa asante mungu akubariki sana

  • @rashealmwikali2424
    @rashealmwikali2424 Год назад +1

    Congratulations mtumishi wa Mungu bahati bukuru...umeogea points...

  • @neematito5767
    @neematito5767 Год назад +1

    MUNGU awabaliki Sana MAMA zetu BAHATI BUKUKU na LILIAN kiukweli mnanibaliki na kwa kipindi hiki mmeponya ndoa za watu wengi na mioyo ya watu wengi.

  • @neemamassawe8091
    @neemamassawe8091 Год назад +4

    Aki nmecheka🤣🤣🤣🤣🤣barikiwa sana dada Bahat Bukuku

  • @rechonjogo228
    @rechonjogo228 Год назад

    Asanteni sana mimi nilijaribu ndoa nkashindwa nilivumilia nika fika mwisho nkaamua kutoka sai nko saudia natafutia watoto wangu na sirigret kutoka kwa ndowa wacha mungu anipiganie

  • @margaretasiko6950
    @margaretasiko6950 Год назад

    Jameni. Unanibariki. Sana. Dadangu. Mungu. Akubariki

  • @Adventsumari-dl5mc
    @Adventsumari-dl5mc 11 месяцев назад +1

    Baati bukuku namependa uvaaji wako . Lakin pia na mtangazaji nimempenda sana na ana tabasamu zuri. I love you kwa wote❤❤❤❤

  • @christinemuthama6625
    @christinemuthama6625 Год назад

    Asante sana kwa ushauri mwema. Mungu awabariki

  • @mwamuyenyamawi1456
    @mwamuyenyamawi1456 Год назад

    Umenipandisha kiwango kingine mama Bahati🙏🙏🙏 Mungu akubariki sana mama

  • @elizabety3871
    @elizabety3871 Год назад

    Amina mama

  • @rebeccawekaya2342
    @rebeccawekaya2342 4 месяца назад

    God bless you the woman of God

  • @angelinasamson697
    @angelinasamson697 Год назад +3

    Daah!! Bahati umeongea point saana

  • @ayubukedimundi3221
    @ayubukedimundi3221 Год назад

    Mungu nipe hekima na upendo nifike na mke wangu mama happy tufike mbali tumetoka maisha Magumu Sana

  • @winfridahamenya-pb7qt
    @winfridahamenya-pb7qt Год назад

    Gods with you bahati ,, from Kenya . U say the truth

  • @pastorboscokatembo629
    @pastorboscokatembo629 Год назад +1

    Ubarikiwe Mtumishi wa kwa Majibu ya kihekima

  • @sharonjanery983
    @sharonjanery983 Год назад +1

    Mama Bukuku umenigusa sana mungu akubariki

  • @neemamaballa2344
    @neemamaballa2344 Год назад +4

    Love u Lily and Bahati

  • @josephinejumba9923
    @josephinejumba9923 Год назад

    great advice mama bukuku

  • @josephinajosephu6859
    @josephinajosephu6859 Год назад +1

    Nawapenda Sana mungu aendelee kuwatunza ili mtupe madini adimu kama haya❤️❤️❤️nacheka huku nalia

  • @judithjulius5993
    @judithjulius5993 Год назад +1

    Ameena aleluya

  • @sophielishindu1335
    @sophielishindu1335 Год назад +3

    Weeeh mungu wangu kuwa na huruma juu ya maisha yangu.

  • @user-fv2sn7js7g
    @user-fv2sn7js7g Год назад +3

    Iyo kwer kabisa 🤝🤝🤝🤝🤝🤲🤲🤲🤲🤲🙏✍

  • @floridaalega7387
    @floridaalega7387 Год назад

    Bahati wewe ni mama Wa Busara sana 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼Barikiwa sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @reginaandrew6891
    @reginaandrew6891 Год назад +1

    Amazing interview nimewapenda mno. Mbarikiwe sana

  • @user-dt5km1zv6c
    @user-dt5km1zv6c 4 месяца назад

    Ubarikiwe kwa ushuuda.

  • @elizabethnamwinga3210
    @elizabethnamwinga3210 Год назад +1

    Barikiwa Sana mtumishi nakupenda sana

  • @irendocompany3080
    @irendocompany3080 Год назад

    Nakupenda Dada bahati & Lilian mbarikiwe sana

  • @joycemkeka3769
    @joycemkeka3769 13 дней назад

    Tena kwenye maisha usiombe ukakutana na mume au mke alie soma alafu akaacha elimu shule akachukua cheti kuja kutishia watu mtaani ndugu utakoma yani hana utu hana huruma nafasi ya mungu aipo utajuta heri ukutane na muuza mkaa mwenye utu utafuraiya maisha

  • @user-yq9go8ze2n
    @user-yq9go8ze2n Год назад

    Am pam watching from saudia l really like the way i talk be blessed dear

  • @venerandachimoi6646
    @venerandachimoi6646 Год назад +1

    Salamu kwa mtumishi wa Mungu mama Bahati jamani

  • @roidaalphonceyou2227
    @roidaalphonceyou2227 Год назад

    Asante kwa fundisho mama ndivyo ilivyo Kama umeniona

  • @SuzyKaryn
    @SuzyKaryn Год назад

    How sweet 🎊

  • @veroniquegershomu9197
    @veroniquegershomu9197 Год назад +1

    Asanteeee sana bahat nimepata kitu hapa

  • @neemaloy889
    @neemaloy889 Год назад

    umeongea point sana Mtumishi Bahati Bukuku

  • @azizakwileka1641
    @azizakwileka1641 Год назад +3

    Bahati anazungumza kisela sana😀😀 napenda namna anavyozungumza...♥️

  • @chocolatevivian830
    @chocolatevivian830 Год назад

    Kweli ndoa n Mungu relationships pia inahitaji Mungu

  • @keyafrankline8616
    @keyafrankline8616 8 месяцев назад

    Bahati Bukuku is so funny. Thank you Lilian for this.

  • @adelphinebizimana2658
    @adelphinebizimana2658 Год назад

    Ubarikiwe sana

  • @user-yc1ck6rk8g
    @user-yc1ck6rk8g Месяц назад

    Hapo umesema dadangu yaani ukweli utupu waaa ubarikiwe sana na bwana

  • @rashealmwikali2424
    @rashealmwikali2424 Год назад

    Following up from Kenya Nairobi

  • @pierrebigirindavyi4378
    @pierrebigirindavyi4378 Год назад

    Wisdom from Bukuku

  • @enocksilungwe5733
    @enocksilungwe5733 Год назад

    Amen amen

  • @esterchangala7078
    @esterchangala7078 Год назад

    Ameen ameen

  • @annamaturo6449
    @annamaturo6449 Год назад

    Dada Bahati nakupenda sana na unaongea point za kweli

  • @christinamesso2148
    @christinamesso2148 Год назад +1

    Nakupenda sana bahati bukuku

  • @findinghope3096
    @findinghope3096 16 дней назад

    She's so funny 😁 😂 😀 I love her 💚💚💚💚💚

  • @officialyustinauliza1305
    @officialyustinauliza1305 Год назад +2

    Kweli kabsa

  • @gladyskerubo6075
    @gladyskerubo6075 Месяц назад

    Wisdom

  • @mireillemanirakiza6398
    @mireillemanirakiza6398 Год назад

    Asante maman yangu from Burundi. Nakupenda saana

  • @arleneilunga9202
    @arleneilunga9202 Год назад +2

    I'm walking in the same difficult of choice that mom bahati bukuku said 🤔 and last night when I prayed I have asked God why are you tempting me? 😭

  • @hyacintagugu7
    @hyacintagugu7 Год назад

    Umenibariki Dada bahati

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 Год назад +10

    Nikweli kuvumiliya nwanaume akipata anakuona wewe siwa samani,nikweli mimi ya menikuta dada haudaganye

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 Год назад

      Hata Mimi dear,nmeanza na mwanaume chin mno tulivopata akauza kila kitu na kuniacha mpk imepita miaka miwil ss bado nna machoz ctak mwanaume masikin

  • @astekitwenga7682
    @astekitwenga7682 Год назад

    True

  • @christinemwavula2283
    @christinemwavula2283 Год назад +3

    Daah da bahati Mungu akueke😂😂😂

  • @marymichaeltz
    @marymichaeltz Год назад

    The Best👏

  • @aoman5214
    @aoman5214 Год назад +2

    Kweli kabisaa mtumishi wa Mungu bahat mm niliwah omba Mungu anipe mchumba ilikuja pic ya mtu mweny Hali ngumu na kavaa kawaida, na alikuj kutokea mwingine yeye alikua vizur siku ya siku alikuj huyu mwenye maisha magum na nilimkata baadae nikamfuata aliekua amesoma mwisho wa siku nikaja kuambilia maumivu, siku ya siku nikaingia kwenye maombi nilionyeshwa Ile pic ya Yule maskini kuwa nilimktaa na ndio alikua mume wangu Acha kabisa Mungu ana makusudi anapokupa maskini

  • @user-pw8ml6ts8r
    @user-pw8ml6ts8r Месяц назад

    Shukrani sana ❤❤❤❤❤

  • @catenzoka2003
    @catenzoka2003 Год назад +3

    We yesu hangalia ndoa yangu imekuwa ndoa ya machozi Na mapito magumu kama ya Dada huyu bukuku.yesu inua macho yako uturehemu.

  • @officialyustinauliza1305
    @officialyustinauliza1305 Год назад +3

    Nawapenda bure apo studio dada bukuku anatema point tu mbarikiwe

  • @neemamwalyego4543
    @neemamwalyego4543 Год назад

    Barikiwa

  • @deborahdelly6254
    @deborahdelly6254 Год назад

    Nakuelewa sana pst bukuku

  • @etonyemyaesau1433
    @etonyemyaesau1433 Год назад

    Iyo ni kweli kabisa

  • @chocolatevivian830
    @chocolatevivian830 Год назад

    Dada bahati barikiwa sana

  • @vailetheanyambilile9749
    @vailetheanyambilile9749 Год назад +3

    Daaaaaah Mungu atu sadiye wa dada Ambao atuja olewa

  • @hellennthambi8379
    @hellennthambi8379 4 месяца назад

    Woman full of wisdom

  • @sarajoseph4253
    @sarajoseph4253 Год назад

    Nimefurahi sana

  • @tumainmwamatenge4575
    @tumainmwamatenge4575 7 дней назад

    Kweli inasaidia saana❤

  • @berthaclement8905
    @berthaclement8905 Год назад

    Ameen

  • @rhodakinyonto6909
    @rhodakinyonto6909 Год назад +1

    Kweli kabisa Da bahati, wanaona hadhi ya mke alievumilia shida, aliekalia bomba la baiskeli hana hadhi. Ee Mungu tusaidie.