UNATAKA KUMTONGOZA MWANAUME ULIYEMPENDA, JE, UNALIJUA NENO SAHIHI LA KUMWAMBIA? | HARD TALK

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2022
  • UNATAKA KUMTONGOZA MWANAUME ULIYEMPENDA, JE, UNALIJUA NENO SAHIHI LA KUMWAMBIA? | HARD TALK
    HII ni sehemu ya kwanza ya mahojiano ya Mtumishi wa Mungu Lilian Mwasha na Mshauri na Mwanasaikolojia Dkt Ellie ambapo wamezungumza maisha ya ndoa na mahusiano ndani ya kipindi cha Hard Talk, swali kubwa likiwa ni sawa mwanamke kumtongoza mwanaume?
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Комментарии • 79

  • @jessydaktari5209
    @jessydaktari5209 Год назад +22

    huyu mzee anamajibu ya kila swali👌☺ salute

  • @rosejoseph102
    @rosejoseph102 Год назад +20

    Inahitaji utulivu sana kumuelewa Dr

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 Год назад +6

    Kwan Dr we Ni Nan!!!! We Ni binadamu wa kawaida kwel jaman mbona unaukwel ulionyooka kabisa na una kitu kikubwa mno ambacho hata Mimi sikijui MUNGU AKUTUNZE

  • @ladygood7384
    @ladygood7384 Год назад +10

    Dr. Aje tena na tena nimejifunza vitu vingi sana 👏🏾👏🏾

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky Год назад +5

    Jn niliangali nusu ndiyo nimemalizia dada lily thank you kwa kumrudisha Dr Elly anatufundisha mengi saana

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 Год назад +1

    Dr Ellie shkamoo kaaah we baba Mungu akupe afya kila siku tujifunze

  • @aishajumaa6089
    @aishajumaa6089 Год назад +1

    Dokta huwa unaniponya sana pale ambapo nakaribia kukata tamaa Ahsante

  • @shegashega2421
    @shegashega2421 Год назад +3

    Unamaswali mazuri Sana L. Pia amejibu vizuri sana jaman barikiweni sana

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 Год назад +4

    Dr Ellie amebarikiwa upeo wa Hali ya juu kwa upande wa akili Mungu anawajua walio wake

  • @sofiarugoye7929
    @sofiarugoye7929 4 месяца назад

    Dr,Mungu akutunze,tunakuhitaji unakitu kikubwaa saana ndani yako Mungu amekupa ututoe gizani

  • @zainabtumba1186
    @zainabtumba1186 Год назад +2

    🇹🇿/🇺🇲 DR Elivid Waminiana hukunitosha kwa Matamuu bali Umenikoshaa 💯💕 Mfano wa Kipando ndege. Yaani nimemfahamu Dr ya kuwa Chema acha kijiuzee kisijitembeze. Or as he said Women don't pursue the Man. Let them Come and Carry them As you are ready and Real unshakable land to them with full up women Package!
    It deep hard talk!! Thanks Lillian I enjoy this and studying a lot of yours talk part 1/2 topics with Dr Waminiana 💥👏👏👏

  • @khadijawaukweli1964
    @khadijawaukweli1964 Год назад +2

    Alhamdulillah nimejifunza mengi sana 🙏 mungu akulipe nauzidi kutusaidia

  • @Bwenge-minecraft
    @Bwenge-minecraft Год назад +1

    jambo dada lilian na kaka tuna homba hili soma lihende lezwe tena tafadhali naomba kaka mungu ame kujaliya neema mubarikiwe sana

  • @joelndowo
    @joelndowo Год назад +1

    Uliposema hard talk....this is an eye opening talk inakufanya uquestion everything you ever known

  • @kytv8780
    @kytv8780 Год назад +2

    Huyu Dkt ni hataree 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾 mikono juu ili kumsikiliza narudia tena ili kumsikiliza kaa sehem iliotulia kusiwe hata na upepo utapata mazur sana kwake..usiseme sijakwambia

  • @babyhamisi1437
    @babyhamisi1437 Год назад +5

    Great job, i love it

  • @barakamapasa2947
    @barakamapasa2947 Год назад

    God bless you servant of God

  • @pearl3696
    @pearl3696 Год назад +1

    Dr. Ellie naomba uwe na RUclips channel yako

  • @nicolenabintu2509
    @nicolenabintu2509 Год назад +3

    Dr Shikamo 💕🙏🏾🔥

  • @salmatanz948
    @salmatanz948 Год назад +1

    Thankx so much kwa kipindi kizuri

  • @rittaaziz4470
    @rittaaziz4470 Год назад

    DR ELLIE YOU ARE SUCH A GREEEAT TEACHER YAANI UNA TREMENDOUS MAFUNDISHO ... UNAFUNDISHA VZR I LOOOVE LISTENING N LEARNING FROM U JAMANI....GOD BLESS U. WISH I COULD MEET YOU LIVE JUST TO KNOW YOU. MY DEAR LILIAN YOU ARE MY BEST PERSON WE MET AT WASAFI TV REMEMBER IAM ONE OF CHOIR OF UKOMBOZI SINGER MLITUALIKA WASAFI TV. YOU ARE SUCH A GREAT SOUL. HOPE TO SEE YOU MY FRIEND...YAANI I LOVE YOUR PROGRAM SAANAAA. MUCH LOVE.

  • @kigenimohammed7847
    @kigenimohammed7847 Год назад

    Asante mungu akubariki mzidi kutufunza mwengi🙏

  • @lusajoyuda6145
    @lusajoyuda6145 Год назад +3

    Smart people talks hards

  • @naomichuri7983
    @naomichuri7983 Год назад

    🥰🥰 Asante Dr

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 Год назад +1

    Wewe baba noma sana unajuwa kufundisha

  • @fatimaalnaqbi3470
    @fatimaalnaqbi3470 10 месяцев назад

    Thankfully

  • @maryamconstantine2232
    @maryamconstantine2232 Год назад

    Mbarikiwe nimejifunza

  • @dorahmwaqsa168
    @dorahmwaqsa168 Год назад

    Asantee ktk hili somo dr nimekuelewa sana 💪💪

  • @thumnathumna5946
    @thumnathumna5946 Год назад

    Nakuelewa sawa mzee wangu..

  • @nevagasmsamba5060
    @nevagasmsamba5060 Год назад +1

    somo zur respect kwenu

  • @evasempita1144
    @evasempita1144 Год назад

    Nimeipenda.sana.hiyo had tock.ya.leo.hongera.sana.dada.

  • @T-Fellow
    @T-Fellow 11 месяцев назад

    I really like this guy

  • @user-en6cd4zn1t
    @user-en6cd4zn1t Год назад

    Dr Elie natamani Sana kukutana na wewe

  • @vanderkakwenzile2159
    @vanderkakwenzile2159 Год назад +1

    Nakuelewa sanaaaaa 🔥🔥🔥🔥

  • @aureliayuktankabebwa5066
    @aureliayuktankabebwa5066 Год назад +3

    Point taken👂🏾🙏🏾

  • @upendowakwelinaamani1060
    @upendowakwelinaamani1060 Год назад +4

    Dr Ellie nakuelewa sana tena sana yaaan hapo kwenye kupstiana hapo ndio umekosha kabisa mtu anaekupenda hawezi kukufanya matangazo kwenye social media ana kulinda na manyang'au wanao postiwa ni wako kufurahisha jamii anaependwa analindwa ni siri ya jeshi hiyo.

    • @kytv8780
      @kytv8780 Год назад

      Umeona eeh yan huyu dkt ana madini hataree mim sichokaji kumsikiliza na ukitaka umuelewe huyu yan usikae hata sehem yenye upepo mana duu ana madini ambayo hayatakiw yakupite..salute kwake

    • @upendowakwelinaamani1060
      @upendowakwelinaamani1060 Год назад +1

      @@kytv8780 Hakika kupitwa na kipind chake ni khasara kabisa

    • @kytv8780
      @kytv8780 Год назад +1

      Channel yake kama channel ni ipi au ndo hii hii

  • @gracepaul9733
    @gracepaul9733 Год назад

    Huyu Baba big up sana

  • @martingaudence1799
    @martingaudence1799 Год назад +1

    Lilian sasa unakuwa, ukirudia kujitazama kwenye kipindi upo clauds utatambuwa ninacho maanisha, hongera

    • @sabinibra3513
      @sabinibra3513 Год назад

      Sasa hivi Yuko mwenyewe Harris hayupo

  • @user-qh7fy2nz5v
    @user-qh7fy2nz5v 2 месяца назад

    Broo 1000 nakuelewa najifunza kitu kwako sana

  • @Lily-xw6hg
    @Lily-xw6hg 10 месяцев назад

    Namteza uyu baba KWA jicho la kimajabuu,sio wa kawaidaa,ata kidogo taifa sijui km linajuaa,,

  • @kytv8780
    @kytv8780 Год назад +3

    Jaman lilian naomba namba ya dkt kuna mengne mengi nataka kujua kutoka kwake..yan ukimsikiliza huyu dkt hata njaa huskii..mwenye namba yake naomba

  • @neemanjavike6947
    @neemanjavike6947 Год назад

    Sintachoka kuwaangalia najifunza vingi sana. Naomba namba yako Lilian kipenzi cha wengi.

  • @vicknessngenzi6146
    @vicknessngenzi6146 Год назад +1

    Dr. sichoki kukusikiliza dah
    dada Lilly nisaidie nimpate huyu Dr please

  • @sabinibra3513
    @sabinibra3513 Год назад +2

    Eh mara hii Lilian kashachanganywa sasa😂 Yan huyu dada🤣🤣🤣 kwel doctor kazi anayo🙌😂

  • @nolimittvonline6822
    @nolimittvonline6822 Год назад +2

    Wew doctor ata mmewangu aniudhi vp Niki kusikiliza wew hasira Zina ishaa na najua akuna mkamilifu

  • @shamimuhabibu5257
    @shamimuhabibu5257 Год назад

    Tunampataje Dk kwa sisi wahanga

  • @eyabdimaha3698
    @eyabdimaha3698 Год назад +1

    Dr asante nimekuelewa sanaa

  • @nolimittvonline6822
    @nolimittvonline6822 Год назад

    Duh atar

  • @fauziyaomar7090
    @fauziyaomar7090 Год назад

    Kumfahamu kunataka akili ila sanyengine uyo anae muhoji pia hamuelewi

  • @sabinibra3513
    @sabinibra3513 Год назад

    Hatimaye Lilian ameelewa leo 😂

  • @mkaliwafashion3116
    @mkaliwafashion3116 Год назад +1

    Yaani dada anavyogonganisha viganja napenda hatari 😂😂😂😂😂😂

  • @tileshopla
    @tileshopla 10 месяцев назад

    simsumbui mume wangu tena aniposti jamani,

  • @user-wk1ix1gm1p
    @user-wk1ix1gm1p Год назад

    Da Lilian huyo baba hajamaliza, umemkatisha, tunamuomba tena

  • @elizabethleonce1089
    @elizabethleonce1089 Год назад

    Huyu baba sijui kasom wap khaa anajuaa

  • @maryschroeder521
    @maryschroeder521 Год назад

    🤯🤯🤯🤯🤯🤯🤯

  • @titongajilo1934
    @titongajilo1934 Год назад

    A

  • @samwelrobeth7763
    @samwelrobeth7763 Год назад

    Yani hapo kwenye kutongoza kanisema mim kabisa,yani sijawahi tongozaga mwanamke hisia tu hadi kufika kwenye tukio daah haya Mambo Kumbe Yana hostoria kubwa

  • @farlykunga8599
    @farlykunga8599 Год назад +1

    Nishakufolow dk,,nilichelewa wap mm..dah..

  • @edwardsamson4937
    @edwardsamson4937 Год назад +1

    Huyu mdada awe ananyamaza doctor afunguke

  • @sabinibra3513
    @sabinibra3513 Год назад

    Anaposema simstaili yan anamaanisha mfano Kama ww mwanaume ghafla ukatembea na mubeto au mwanamke Ally kina huyu hapa ukalalanae lazma utasikia raha sana kwa sababu mobeto hadh yake ni ya juu

  • @magigejoseph255
    @magigejoseph255 Год назад

    kuna kifungo mahari hivi

  • @mlangaliromwenda6945
    @mlangaliromwenda6945 Год назад +1

    👋👋👋👋👋🙎🙎🙎🙎🙎

  • @magigejoseph255
    @magigejoseph255 Год назад

    unapo zuia Uhuru wa MTU kutokana itikadi zakidini huleta shida nakuanza kutafuta Uhuru

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Год назад +3

    Hili somo ni gumu, inaumiza akili.

  • @ankochichikidsgmailcom
    @ankochichikidsgmailcom 11 месяцев назад

    Nimeipenda Kauli ya Dr. ELLIE …kila Binadamu ni mti wa Mema na mabaya…Kwahiyo unavyo ishi na kila Binadamu jua ni mti wa mema na mabaya usichukue mema tuu ukasahau mabaya yake.