UNATAKA KUMTONGOZA MWANAUME ULIYEMPENDA, JE, UNALIJUA NENO SAHIHI LA KUMWAMBIA? | HARD TALK

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • UNATAKA KUMTONGOZA MWANAUME ULIYEMPENDA, JE, UNALIJUA NENO SAHIHI LA KUMWAMBIA? | HARD TALK
    HII ni sehemu ya kwanza ya mahojiano ya Mtumishi wa Mungu Lilian Mwasha na Mshauri na Mwanasaikolojia Dkt Ellie ambapo wamezungumza maisha ya ndoa na mahusiano ndani ya kipindi cha Hard Talk, swali kubwa likiwa ni sawa mwanamke kumtongoza mwanaume?
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 78

  • @jessydaktari5209
    @jessydaktari5209 2 года назад +23

    huyu mzee anamajibu ya kila swali👌☺ salute

    • @allymasoudi6780
      @allymasoudi6780 2 года назад +1

      Hatari huyu mzee 🤣🤣🤣🤣

    • @sabinibra3513
      @sabinibra3513 2 года назад +1

      Umeona eh alaf hasomi popote pale kila kitu kinatoka kichwan

    • @silverman6930
      @silverman6930 Год назад +1

      Intellectual

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 Год назад +6

    Kwan Dr we Ni Nan!!!! We Ni binadamu wa kawaida kwel jaman mbona unaukwel ulionyooka kabisa na una kitu kikubwa mno ambacho hata Mimi sikijui MUNGU AKUTUNZE

  • @rosejoseph102
    @rosejoseph102 2 года назад +20

    Inahitaji utulivu sana kumuelewa Dr

  • @ladygood7384
    @ladygood7384 2 года назад +10

    Dr. Aje tena na tena nimejifunza vitu vingi sana 👏🏾👏🏾

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 2 года назад +5

    Jn niliangali nusu ndiyo nimemalizia dada lily thank you kwa kumrudisha Dr Elly anatufundisha mengi saana

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 Год назад +4

    Dr Ellie amebarikiwa upeo wa Hali ya juu kwa upande wa akili Mungu anawajua walio wake

  • @zainabtumba1186
    @zainabtumba1186 2 года назад +3

    🇹🇿/🇺🇲 DR Elivid Waminiana hukunitosha kwa Matamuu bali Umenikoshaa 💯💕 Mfano wa Kipando ndege. Yaani nimemfahamu Dr ya kuwa Chema acha kijiuzee kisijitembeze. Or as he said Women don't pursue the Man. Let them Come and Carry them As you are ready and Real unshakable land to them with full up women Package!
    It deep hard talk!! Thanks Lillian I enjoy this and studying a lot of yours talk part 1/2 topics with Dr Waminiana 💥👏👏👏

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 Год назад +1

    Dr Ellie shkamoo kaaah we baba Mungu akupe afya kila siku tujifunze

  • @shegashega2421
    @shegashega2421 2 года назад +3

    Unamaswali mazuri Sana L. Pia amejibu vizuri sana jaman barikiweni sana

  • @kytv8780
    @kytv8780 2 года назад +2

    Huyu Dkt ni hataree 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾 mikono juu ili kumsikiliza narudia tena ili kumsikiliza kaa sehem iliotulia kusiwe hata na upepo utapata mazur sana kwake..usiseme sijakwambia

  • @sofiarugoye7929
    @sofiarugoye7929 7 месяцев назад

    Dr,Mungu akutunze,tunakuhitaji unakitu kikubwaa saana ndani yako Mungu amekupa ututoe gizani

  • @khadijawaukweli1964
    @khadijawaukweli1964 2 года назад +2

    Alhamdulillah nimejifunza mengi sana 🙏 mungu akulipe nauzidi kutusaidia

  • @Masokabya08
    @Masokabya08 2 года назад +1

    jambo dada lilian na kaka tuna homba hili soma lihende lezwe tena tafadhali naomba kaka mungu ame kujaliya neema mubarikiwe sana

  • @joelndowo
    @joelndowo 2 года назад +1

    Uliposema hard talk....this is an eye opening talk inakufanya uquestion everything you ever known

  • @upendowakwelinaamani1060
    @upendowakwelinaamani1060 2 года назад +4

    Dr Ellie nakuelewa sana tena sana yaaan hapo kwenye kupstiana hapo ndio umekosha kabisa mtu anaekupenda hawezi kukufanya matangazo kwenye social media ana kulinda na manyang'au wanao postiwa ni wako kufurahisha jamii anaependwa analindwa ni siri ya jeshi hiyo.

    • @kytv8780
      @kytv8780 2 года назад

      Umeona eeh yan huyu dkt ana madini hataree mim sichokaji kumsikiliza na ukitaka umuelewe huyu yan usikae hata sehem yenye upepo mana duu ana madini ambayo hayatakiw yakupite..salute kwake

    • @upendowakwelinaamani1060
      @upendowakwelinaamani1060 2 года назад +1

      @@kytv8780 Hakika kupitwa na kipind chake ni khasara kabisa

    • @kytv8780
      @kytv8780 2 года назад +1

      Channel yake kama channel ni ipi au ndo hii hii

  • @pearl3696
    @pearl3696 2 года назад +1

    Dr. Ellie naomba uwe na RUclips channel yako

  • @martingaudence1799
    @martingaudence1799 2 года назад +1

    Lilian sasa unakuwa, ukirudia kujitazama kwenye kipindi upo clauds utatambuwa ninacho maanisha, hongera

    • @sabinibra3513
      @sabinibra3513 2 года назад

      Sasa hivi Yuko mwenyewe Harris hayupo

  • @babyhamisi1437
    @babyhamisi1437 2 года назад +5

    Great job, i love it

  • @salmatanz948
    @salmatanz948 2 года назад +1

    Thankx so much kwa kipindi kizuri

  • @kigenimohammed7847
    @kigenimohammed7847 Год назад

    Asante mungu akubariki mzidi kutufunza mwengi🙏

  • @nicolenabintu2509
    @nicolenabintu2509 2 года назад +3

    Dr Shikamo 💕🙏🏾🔥

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 2 года назад +1

    Wewe baba noma sana unajuwa kufundisha

  • @VeronicaSalvertory
    @VeronicaSalvertory Год назад

    Dr Elie natamani Sana kukutana na wewe

  • @lusajoyuda6145
    @lusajoyuda6145 2 года назад +3

    Smart people talks hards

  • @nolimittvonline6822
    @nolimittvonline6822 2 года назад +2

    Wew doctor ata mmewangu aniudhi vp Niki kusikiliza wew hasira Zina ishaa na najua akuna mkamilifu

  • @nevagasmsamba5060
    @nevagasmsamba5060 2 года назад +1

    somo zur respect kwenu

  • @Lily-xw6hg
    @Lily-xw6hg Год назад

    Namteza uyu baba KWA jicho la kimajabuu,sio wa kawaidaa,ata kidogo taifa sijui km linajuaa,,

  • @kytv8780
    @kytv8780 2 года назад +3

    Jaman lilian naomba namba ya dkt kuna mengne mengi nataka kujua kutoka kwake..yan ukimsikiliza huyu dkt hata njaa huskii..mwenye namba yake naomba

  • @ArnoldloiloleArnold
    @ArnoldloiloleArnold 5 месяцев назад

    Broo 1000 nakuelewa najifunza kitu kwako sana

  • @evasempita1144
    @evasempita1144 2 года назад

    Nimeipenda.sana.hiyo had tock.ya.leo.hongera.sana.dada.

  • @dorahmwaqsa168
    @dorahmwaqsa168 Год назад

    Asantee ktk hili somo dr nimekuelewa sana 💪💪

  • @vanderkakwenzile2159
    @vanderkakwenzile2159 Год назад +1

    Nakuelewa sanaaaaa 🔥🔥🔥🔥

  • @maryamconstantine2232
    @maryamconstantine2232 2 года назад

    Mbarikiwe nimejifunza

  • @neemanjavike6947
    @neemanjavike6947 Год назад

    Sintachoka kuwaangalia najifunza vingi sana. Naomba namba yako Lilian kipenzi cha wengi.

  • @fauziyaomar7090
    @fauziyaomar7090 Год назад

    Kumfahamu kunataka akili ila sanyengine uyo anae muhoji pia hamuelewi

  • @T-Fellow
    @T-Fellow Год назад

    I really like this guy

  • @sabinibra3513
    @sabinibra3513 2 года назад +2

    Eh mara hii Lilian kashachanganywa sasa😂 Yan huyu dada🤣🤣🤣 kwel doctor kazi anayo🙌😂

  • @thumnathumna5946
    @thumnathumna5946 2 года назад

    Nakuelewa sawa mzee wangu..

  • @vicknessngenzi6146
    @vicknessngenzi6146 2 года назад +1

    Dr. sichoki kukusikiliza dah
    dada Lilly nisaidie nimpate huyu Dr please

  • @barakamapasa2947
    @barakamapasa2947 2 года назад

    God bless you servant of God

  • @eyabdimaha3698
    @eyabdimaha3698 2 года назад +1

    Dr asante nimekuelewa sanaa

  • @shamimuhabibu5257
    @shamimuhabibu5257 2 года назад

    Tunampataje Dk kwa sisi wahanga

  • @fatimaalnaqbi3470
    @fatimaalnaqbi3470 Год назад

    Thankfully

  • @mkaliwafashion3116
    @mkaliwafashion3116 Год назад +1

    Yaani dada anavyogonganisha viganja napenda hatari 😂😂😂😂😂😂

  • @gracepaul9733
    @gracepaul9733 2 года назад

    Huyu Baba big up sana

  • @tileshopla
    @tileshopla Год назад

    simsumbui mume wangu tena aniposti jamani,

  • @naomichuri7983
    @naomichuri7983 2 года назад

    🥰🥰 Asante Dr

  • @sabinibra3513
    @sabinibra3513 2 года назад

    Hatimaye Lilian ameelewa leo 😂

  • @edwardsamson4937
    @edwardsamson4937 Год назад +1

    Huyu mdada awe ananyamaza doctor afunguke

  • @farlykunga8599
    @farlykunga8599 2 года назад +1

    Nishakufolow dk,,nilichelewa wap mm..dah..

  • @نجمةموبيبي
    @نجمةموبيبي 2 года назад

    Da Lilian huyo baba hajamaliza, umemkatisha, tunamuomba tena

  • @samwelrobeth7763
    @samwelrobeth7763 Год назад

    Yani hapo kwenye kutongoza kanisema mim kabisa,yani sijawahi tongozaga mwanamke hisia tu hadi kufika kwenye tukio daah haya Mambo Kumbe Yana hostoria kubwa

  • @elizabethleonce1089
    @elizabethleonce1089 2 года назад

    Huyu baba sijui kasom wap khaa anajuaa

  • @nolimittvonline6822
    @nolimittvonline6822 2 года назад

    Duh atar

  • @aishajumaa6089
    @aishajumaa6089 Год назад +1

    Dokta huwa unaniponya sana pale ambapo nakaribia kukata tamaa Ahsante

  • @sabinibra3513
    @sabinibra3513 2 года назад

    Anaposema simstaili yan anamaanisha mfano Kama ww mwanaume ghafla ukatembea na mubeto au mwanamke Ally kina huyu hapa ukalalanae lazma utasikia raha sana kwa sababu mobeto hadh yake ni ya juu

  • @magigejoseph255
    @magigejoseph255 2 года назад

    kuna kifungo mahari hivi

  • @magigejoseph255
    @magigejoseph255 2 года назад

    unapo zuia Uhuru wa MTU kutokana itikadi zakidini huleta shida nakuanza kutafuta Uhuru

  • @titongajilo1934
    @titongajilo1934 Год назад

    A

  • @mlangaliromwenda6945
    @mlangaliromwenda6945 2 года назад +1

    👋👋👋👋👋🙎🙎🙎🙎🙎

  • @maryschroeder521
    @maryschroeder521 Год назад

    🤯🤯🤯🤯🤯🤯🤯

  • @rittaaziz4470
    @rittaaziz4470 Год назад

    DR ELLIE YOU ARE SUCH A GREEEAT TEACHER YAANI UNA TREMENDOUS MAFUNDISHO ... UNAFUNDISHA VZR I LOOOVE LISTENING N LEARNING FROM U JAMANI....GOD BLESS U. WISH I COULD MEET YOU LIVE JUST TO KNOW YOU. MY DEAR LILIAN YOU ARE MY BEST PERSON WE MET AT WASAFI TV REMEMBER IAM ONE OF CHOIR OF UKOMBOZI SINGER MLITUALIKA WASAFI TV. YOU ARE SUCH A GREAT SOUL. HOPE TO SEE YOU MY FRIEND...YAANI I LOVE YOUR PROGRAM SAANAAA. MUCH LOVE.

  • @aureliayuktankabebwa5066
    @aureliayuktankabebwa5066 2 года назад +3

    Point taken👂🏾🙏🏾

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 2 года назад +3

    Hili somo ni gumu, inaumiza akili.