UNATAKA KUMTONGOZA MWANAUME ULIYEMPENDA, JE, UNALIJUA NENO SAHIHI LA KUMWAMBIA? | HARD TALK
HTML-код
- Опубликовано: 19 сен 2022
- UNATAKA KUMTONGOZA MWANAUME ULIYEMPENDA, JE, UNALIJUA NENO SAHIHI LA KUMWAMBIA? | HARD TALK
HII ni sehemu ya kwanza ya mahojiano ya Mtumishi wa Mungu Lilian Mwasha na Mshauri na Mwanasaikolojia Dkt Ellie ambapo wamezungumza maisha ya ndoa na mahusiano ndani ya kipindi cha Hard Talk, swali kubwa likiwa ni sawa mwanamke kumtongoza mwanaume?
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
huyu mzee anamajibu ya kila swali👌☺ salute
Hatari huyu mzee 🤣🤣🤣🤣
Umeona eh alaf hasomi popote pale kila kitu kinatoka kichwan
Intellectual
Inahitaji utulivu sana kumuelewa Dr
Amini kwamba
Sana
Kwan Dr we Ni Nan!!!! We Ni binadamu wa kawaida kwel jaman mbona unaukwel ulionyooka kabisa na una kitu kikubwa mno ambacho hata Mimi sikijui MUNGU AKUTUNZE
Dr. Aje tena na tena nimejifunza vitu vingi sana 👏🏾👏🏾
Jn niliangali nusu ndiyo nimemalizia dada lily thank you kwa kumrudisha Dr Elly anatufundisha mengi saana
Dr Ellie shkamoo kaaah we baba Mungu akupe afya kila siku tujifunze
Dokta huwa unaniponya sana pale ambapo nakaribia kukata tamaa Ahsante
Unamaswali mazuri Sana L. Pia amejibu vizuri sana jaman barikiweni sana
Dr Ellie amebarikiwa upeo wa Hali ya juu kwa upande wa akili Mungu anawajua walio wake
Dr,Mungu akutunze,tunakuhitaji unakitu kikubwaa saana ndani yako Mungu amekupa ututoe gizani
🇹🇿/🇺🇲 DR Elivid Waminiana hukunitosha kwa Matamuu bali Umenikoshaa 💯💕 Mfano wa Kipando ndege. Yaani nimemfahamu Dr ya kuwa Chema acha kijiuzee kisijitembeze. Or as he said Women don't pursue the Man. Let them Come and Carry them As you are ready and Real unshakable land to them with full up women Package!
It deep hard talk!! Thanks Lillian I enjoy this and studying a lot of yours talk part 1/2 topics with Dr Waminiana 💥👏👏👏
Alhamdulillah nimejifunza mengi sana 🙏 mungu akulipe nauzidi kutusaidia
jambo dada lilian na kaka tuna homba hili soma lihende lezwe tena tafadhali naomba kaka mungu ame kujaliya neema mubarikiwe sana
Uliposema hard talk....this is an eye opening talk inakufanya uquestion everything you ever known
Huyu Dkt ni hataree 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾 mikono juu ili kumsikiliza narudia tena ili kumsikiliza kaa sehem iliotulia kusiwe hata na upepo utapata mazur sana kwake..usiseme sijakwambia
Great job, i love it
God bless you servant of God
Dr. Ellie naomba uwe na RUclips channel yako
Dr Shikamo 💕🙏🏾🔥
Thankx so much kwa kipindi kizuri
DR ELLIE YOU ARE SUCH A GREEEAT TEACHER YAANI UNA TREMENDOUS MAFUNDISHO ... UNAFUNDISHA VZR I LOOOVE LISTENING N LEARNING FROM U JAMANI....GOD BLESS U. WISH I COULD MEET YOU LIVE JUST TO KNOW YOU. MY DEAR LILIAN YOU ARE MY BEST PERSON WE MET AT WASAFI TV REMEMBER IAM ONE OF CHOIR OF UKOMBOZI SINGER MLITUALIKA WASAFI TV. YOU ARE SUCH A GREAT SOUL. HOPE TO SEE YOU MY FRIEND...YAANI I LOVE YOUR PROGRAM SAANAAA. MUCH LOVE.
Asante mungu akubariki mzidi kutufunza mwengi🙏
Smart people talks hards
🥰🥰 Asante Dr
Wewe baba noma sana unajuwa kufundisha
Thankfully
Mbarikiwe nimejifunza
Asantee ktk hili somo dr nimekuelewa sana 💪💪
Nakuelewa sawa mzee wangu..
somo zur respect kwenu
Nimeipenda.sana.hiyo had tock.ya.leo.hongera.sana.dada.
I really like this guy
Dr Elie natamani Sana kukutana na wewe
Nakuelewa sanaaaaa 🔥🔥🔥🔥
Point taken👂🏾🙏🏾
Dr Ellie nakuelewa sana tena sana yaaan hapo kwenye kupstiana hapo ndio umekosha kabisa mtu anaekupenda hawezi kukufanya matangazo kwenye social media ana kulinda na manyang'au wanao postiwa ni wako kufurahisha jamii anaependwa analindwa ni siri ya jeshi hiyo.
Umeona eeh yan huyu dkt ana madini hataree mim sichokaji kumsikiliza na ukitaka umuelewe huyu yan usikae hata sehem yenye upepo mana duu ana madini ambayo hayatakiw yakupite..salute kwake
@@kytv8780 Hakika kupitwa na kipind chake ni khasara kabisa
Channel yake kama channel ni ipi au ndo hii hii
Huyu Baba big up sana
Lilian sasa unakuwa, ukirudia kujitazama kwenye kipindi upo clauds utatambuwa ninacho maanisha, hongera
Sasa hivi Yuko mwenyewe Harris hayupo
Broo 1000 nakuelewa najifunza kitu kwako sana
Namteza uyu baba KWA jicho la kimajabuu,sio wa kawaidaa,ata kidogo taifa sijui km linajuaa,,
Jaman lilian naomba namba ya dkt kuna mengne mengi nataka kujua kutoka kwake..yan ukimsikiliza huyu dkt hata njaa huskii..mwenye namba yake naomba
Sintachoka kuwaangalia najifunza vingi sana. Naomba namba yako Lilian kipenzi cha wengi.
Dr. sichoki kukusikiliza dah
dada Lilly nisaidie nimpate huyu Dr please
Eh mara hii Lilian kashachanganywa sasa😂 Yan huyu dada🤣🤣🤣 kwel doctor kazi anayo🙌😂
Wew doctor ata mmewangu aniudhi vp Niki kusikiliza wew hasira Zina ishaa na najua akuna mkamilifu
Tunampataje Dk kwa sisi wahanga
Dr asante nimekuelewa sanaa
Duh atar
Kumfahamu kunataka akili ila sanyengine uyo anae muhoji pia hamuelewi
Hatimaye Lilian ameelewa leo 😂
Yaani dada anavyogonganisha viganja napenda hatari 😂😂😂😂😂😂
simsumbui mume wangu tena aniposti jamani,
Da Lilian huyo baba hajamaliza, umemkatisha, tunamuomba tena
Huyu baba sijui kasom wap khaa anajuaa
🤯🤯🤯🤯🤯🤯🤯
A
Yani hapo kwenye kutongoza kanisema mim kabisa,yani sijawahi tongozaga mwanamke hisia tu hadi kufika kwenye tukio daah haya Mambo Kumbe Yana hostoria kubwa
Nishakufolow dk,,nilichelewa wap mm..dah..
Huyu mdada awe ananyamaza doctor afunguke
I know. Very annoying!
Hiyo ni interview ndugu
Anaposema simstaili yan anamaanisha mfano Kama ww mwanaume ghafla ukatembea na mubeto au mwanamke Ally kina huyu hapa ukalalanae lazma utasikia raha sana kwa sababu mobeto hadh yake ni ya juu
kuna kifungo mahari hivi
👋👋👋👋👋🙎🙎🙎🙎🙎
unapo zuia Uhuru wa MTU kutokana itikadi zakidini huleta shida nakuanza kutafuta Uhuru
Hili somo ni gumu, inaumiza akili.
Rudia rudia utaelewa tu
Nimeipenda Kauli ya Dr. ELLIE …kila Binadamu ni mti wa Mema na mabaya…Kwahiyo unavyo ishi na kila Binadamu jua ni mti wa mema na mabaya usichukue mema tuu ukasahau mabaya yake.