Women Matters (2): Mtu aliyekufa anaweza kukutokea kiukweli ndotoni? Dr Elly atoa ufafanuzi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025
  • Lillian Mwasha na Dr Elly wameamua kuzungumzia mada nzito kiasi - Kifo. Kuna mengi ya kujifunza japo yanaweza kukuacha kichwa kikiuma kutokana na uzito wake

Комментарии • 86

  • @luluvictor5769
    @luluvictor5769 5 лет назад +20

    If you like this show gonga like

  • @T1tanGamingCsgoMore
    @T1tanGamingCsgoMore 5 лет назад +12

    Dr. Ellie is a genius person i have never seen before. God bless yoy

  • @khadijak3065
    @khadijak3065 5 лет назад +8

    Subhaallah safii dct maelezo elimu nzuri nimeipenda

  • @fikiriseleman3460
    @fikiriseleman3460 2 года назад +4

    Huyu dada anazinguwa , atulie tusikilize, sio rahis kumwelewa Dr.

  • @estermgaya5816
    @estermgaya5816 5 лет назад +12

    Yani doctor unajibu yarohoni pia yamwili Mungu akubaliki sana🙏🙏

  • @neemaalphonce1333
    @neemaalphonce1333 5 лет назад +7

    Kuelewa inabidi utulie uconcentrate haswaa 🙌🙌.

  • @hajatihajati5357
    @hajatihajati5357 3 года назад +3

    Merci beaucoup Doctor de vos bonnes experiences et avec une tré haute explication

  • @joventmushwaimi3681
    @joventmushwaimi3681 5 лет назад +3

    Nadhani Dk Leo umezidi kunipa madini na nikushukuru Sana kwa maana nimebadilika sana kifikra mpk sasa na we ndo ulikuwa chanzo na mpk sasa najitahidi kusoma vitabu kdhaa vya wakali kama ww ,Asante sana ,na Dada Lilian hebu Fanya kama wiki tatu mfululizo hapo watu waelewe maana hizi imani zimewaumiza sana watu

  • @dominickalume2891
    @dominickalume2891 5 лет назад +7

    Very sensitive... Lilian wee wee Binadamu Tunayapenda Maisha Bwana Tunaposkia kifo Sote Ni Balaa Hatuchukulii poa kabisa Kiukweli All in all Sote Inatuhusu#WomenMatters#SnS•√

  • @sifajacky7779
    @sifajacky7779 3 года назад +3

    Subhanah Allah! you are right Dr Elly. mutu alie poteza ufahamu anasikia. I experienced that feeling
    I have testimony for that. by the way it long story.

  • @khadijak3065
    @khadijak3065 5 лет назад +5

    Safii sana LiLyan kwa maswali mazuri nimekipenda kipindi

  • @longstonebizzempire675
    @longstonebizzempire675 5 лет назад +16

    Huyu dokta anavutu vikubwa sana tunavyohitaji kuvifaham

  • @kelvintz7684
    @kelvintz7684 5 лет назад +5

    Huyu jamaa kabra hajafa nitamfaidi sana kwa concept zake

  • @mjroyaltz8322
    @mjroyaltz8322 3 года назад +1

    Asanteee xan dokta Elie 🙏🙏🙏

  • @khadijak3065
    @khadijak3065 5 лет назад +4

    Hakika wanao kupinga wanakuletea changamoto daa nzuri sana

  • @godwinmsigwa7037
    @godwinmsigwa7037 Год назад

    Mtu hafi kinachokufa ni mwili asantee! Dr ellie

  • @felisterjohn493
    @felisterjohn493 5 лет назад +10

    Shida ya huyo Dada muuliza maswali anakera Sana huwa anakuwa na papara Sana awe anaacha doctor anaeleza then anauliza lkn anarukia rukia tu kipindi ni kizuri but huyo Dada huwa anaharaka zimazoboa

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 5 лет назад +4

    Maisha marefu Kwa Doctor uyo ni genius

  • @shabanrichard9269
    @shabanrichard9269 5 лет назад +7

    Ndoto za hatima yako ni zile taarifa ulizokusanya tokea unazaliwa..lily nakuomba umlete tena doctor aongelee somo la changamoto kwa upana wake aweze kuwasaidia waliokwisha kata tamaa na maisha.

  • @fauziyaomar7090
    @fauziyaomar7090 Год назад

    Dr hebu mungu usimfananishe na kitu zungumza kifotu

  • @sidikgold1912
    @sidikgold1912 5 лет назад +6

    Les francais (wafaransa ) tujuane hapa #TeamDrElly

  • @davidone4705
    @davidone4705 5 лет назад +8

    Napenda,,sana anavyo ongea dr,,,anafanya kitu kikubwa sana

  • @rashidisabina5356
    @rashidisabina5356 3 года назад +2

    Dr. Vous maîtriser les langues internationales vraiment. Vos analyses sont très deep

  • @erickmakundi9760
    @erickmakundi9760 5 лет назад +6

    Jamani wawekeeni hawa wageni wazungumzaji maji ya kunywa.

  • @halimatanzani8587
    @halimatanzani8587 5 лет назад +4

    Sawa safi sana

  • @neynaomagwari9441
    @neynaomagwari9441 3 года назад

    Abarikiwe Dkt

  • @hamisiramadhani8661
    @hamisiramadhani8661 3 года назад

    Dar, mungu nimshindi

  • @agnesspetro6695
    @agnesspetro6695 3 года назад

    Asee I love it

  • @raheemamkambha6013
    @raheemamkambha6013 5 лет назад +1

    Mpo juu🔥🔥

  • @MELODTZMEDIATV
    @MELODTZMEDIATV 5 лет назад +4

    Fact

  • @sharonndowo6922
    @sharonndowo6922 5 лет назад +5

    Uwiii jamani huyu Doctor

  • @Lukona639
    @Lukona639 4 года назад +1

    Mbona mwendelezo wa hii siupti Sis Lilly

  • @blessdmum.7380
    @blessdmum.7380 5 лет назад +5

    From +254 I'm educated though it's a hard topic we need on being educated ndio tuweze kuelewa what is death.

  • @sabrinaali9750
    @sabrinaali9750 5 лет назад +2

    Nakupenda lily

  • @bahatimlowe1166
    @bahatimlowe1166 5 лет назад

    Docter, thanks to every thing, nilkuwa juma sana kuhusu mtu kufa.

  • @HappyGoddy-vp6un
    @HappyGoddy-vp6un Год назад

    Nazidi barikiwa na vipindi vyenu, naomba umlete tena dr aongelee kua je ni sahii ukiona mambo hayaendi uombewe ili ya kwende au kusomewa dua

  • @leahavyarimana3731
    @leahavyarimana3731 4 года назад

    Deja vue :exactement docteur

  • @paulsimba2786
    @paulsimba2786 2 года назад

    daaah hakika nimepata ahuweni ktk hili simo kwani nilikuwa naumia sana mke wangu kuacha mwili na mimi na watoto wake na nduguzake niliumia sana

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 5 лет назад +1

    Achana watu wenye phd zao dr🙌🙌🙌yaan du mpk nimeogop kifo da

  • @Semeni-v7i
    @Semeni-v7i 2 месяца назад

    Huyu Dr apewe uwaziri moja kwa moja.

  • @jeremiahmwasapilicharlie2926
    @jeremiahmwasapilicharlie2926 5 лет назад +1

    asanteni

  • @mussaathumani7595
    @mussaathumani7595 2 года назад

    Hii neti ya kuishi ni hapa hapa au kwengine

  • @kilalakaila9762
    @kilalakaila9762 2 года назад

    Fact🙏

  • @kaiemujaya7697
    @kaiemujaya7697 4 года назад +2

    Eee..!
    Hii ni akili kubwa MNO, natafakari.

  • @josephkadeghe4720
    @josephkadeghe4720 3 года назад +1

    Tatizo Dr anaeleza kana kwamba hakuna wachawi wala shetani

    • @lucyjohn3334
      @lucyjohn3334 3 года назад

      That's is Philosophy Brother.

  • @selfaakinyi512
    @selfaakinyi512 5 лет назад +1

    Nikweli Dr juu nakumbuka mamangu alikuwa akiongea na nyanya yangu ila nyanya alikuwa kitambo. Nyanya alikuwa akimwambia mamaa mbona amepotea kumbe nyanya alikuwa nampa mama ujumbe aende kijiji akajenge. Tangu mamaa ajenge nyanya haja wai Kumjia tena . sasa nimekuelewa vyema Dr . ubarikiwe

  • @mussaathumani7595
    @mussaathumani7595 2 года назад

    Kablla hujazaliwa ulikuwa wapi?

  • @neynaomagwari9441
    @neynaomagwari9441 3 года назад

    mimi nauliza mtu alie kufa unawezamuombea toba kwa mungu

  • @nibiziblandina4410
    @nibiziblandina4410 5 лет назад +2

    Hivi Hugo docta ni mkongo ?

  • @anamichal2345
    @anamichal2345 5 лет назад +4

    Huyu babajamani mi naomba niolewe nae nampenda mpka sielewi jamani yani no.reason anaakili mpka anatisha

    • @zara1892
      @zara1892 5 лет назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @joventmushwaimi3681
      @joventmushwaimi3681 5 лет назад +2

      Kashaoa bana tulia teh teh teh teh teh teh

    • @asfdodoma7373
      @asfdodoma7373 5 лет назад

      Mko wengi sana mnaotaka kuolewa nae ila keshaowa tayari

    • @jamesobedy3940
      @jamesobedy3940 2 года назад

      🤔🤔🤔🤔

  • @felisterjohn493
    @felisterjohn493 5 лет назад +1

    Kuwa mama aunt sadaka baby sky na wengine wanaokuwepo

  • @mussaathumani7595
    @mussaathumani7595 2 года назад

    Kuzaliwa mipango ya Nani?

  • @rashidsmalik2460
    @rashidsmalik2460 Год назад

    Ilitakiwa apatikane alie na ufahamu zaidi ya huyu mdada hajui kila kitu huyu

  • @fortnataangelo4805
    @fortnataangelo4805 5 лет назад +1

    Wapendwa ninashida sana, natamani kupata msaada , natamani kama, kuna mtu anajua ofis zake ziko wapi, huyo dr Elie waminian,

    • @asfdodoma7373
      @asfdodoma7373 5 лет назад

      Mcheki Lilian mwasha atakuunganisha nae yupo hapahapa daresalam ana ofs zake

  • @mussaathumani7595
    @mussaathumani7595 2 года назад

    Binadamu akifa roho yake hateseki tena?

  • @fatumahengo6849
    @fatumahengo6849 5 лет назад +2

    Huyu docta kiboko sasa naanza kuvuta taswira

  • @rebeccaleonard4265
    @rebeccaleonard4265 4 года назад

    🖐

  • @kelvintz7684
    @kelvintz7684 5 лет назад +1

    Kukata roho haikuhusu

  • @a.856
    @a.856 5 лет назад +4

    Kila nafsi itaonja mauti

  • @julienneinamuco2505
    @julienneinamuco2505 4 года назад

    j aimerais avoir le numero de ce monsieur dr Elie

  • @hawahawa8166
    @hawahawa8166 5 лет назад +2

    Mafunzo mazur san

  • @dionisiabarnabas96
    @dionisiabarnabas96 5 лет назад

    Madam jitaidi kubadilika unaboa

  • @khadijak3065
    @khadijak3065 5 лет назад +3

    Jee dct mfano mtu kafariki halafu ukamota anakupa pesa jee nitakuwa maskini au tajiri naomba unifafanulie

  • @zuhuramike1399
    @zuhuramike1399 4 года назад

    .

  • @immanuelmwaipopo1605
    @immanuelmwaipopo1605 3 года назад

    Duh huyu doctor anaongea kiswahili kabisa lkn nashindwa kumuelewa anaongea kiswahili kigumu balaa

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 3 года назад

      Umezoea kinyakyusa tatizo

    • @rehemamajaliwa
      @rehemamajaliwa 2 года назад

      @@madetetv6576 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mauvaisecompagnie951
    @mauvaisecompagnie951 5 лет назад

    Wewe msichana mtangazaji ..ur useless with ur haaaaa...haaaaaaa....haaaaaaaa

  • @HappyGoddy-vp6un
    @HappyGoddy-vp6un Год назад

    Nazidi barikiwa na vipindi vyenu, naomba umlete tena dr aongelee kua je ni sahii ukiona mambo hayaendi uombewe ili ya kwende au kusomewa dua