PROF. JANABI AONGEA KWA UCHUNGU WANAOMSEMA MTANDAONI KUHUSU KULA SIWEZI KUWAJIBU NI USHAURI TU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025
  • PROF. JANABI AONGEA KWA UCHUNGU WANAOMSEMA MTANDAONI KUHUSU KULA SIWEZI KUWAJIBU NI USHAURI TU #ikulumawasiliano #ikulumawasiliano #samiasuluhuhassan #bbc #news #diamomdplatnumz #kenyanews

Комментарии • 80

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 Месяц назад +12

    God bless Prof .Ushauri wako ulinitoa kwenye Mateso yaki Afya miaka minne nili teseka na sasa Niko vizuri sana

    • @Kiyama-g8f
      @Kiyama-g8f Месяц назад

      Ulitesekaje?? Tupe na wenzio tujifunze.

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 Месяц назад +7

    We baba nitafuata ushauri wako forever

  • @lucykristensen7145
    @lucykristensen7145 Месяц назад +2

    Heshima kubwa kwako Dr. Janabi. Asante sana kwa kujali afya za wananchi. Ni upendo mkubwa sana. Somo zuri sana. I respect you. Dr. Naomba utoe some.juu ya madhara ya kula.vyakula vya GMO na upigaji wa madawa kwenye mboga na nafaka. 🙏🙏🙏

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Месяц назад +2

    Ninamuelewa sana.Tunapata elimu ya bure kutoks kwa bingwa tumshukuru Mungu🎉Tuache ujinga fulani wa kupotezana.Tuwaheshimu wataalamu wetu🎉

  • @JescarMwakipesile
    @JescarMwakipesile Месяц назад +2

    MUNGU akubariki Profesa Janabi asante sana.

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Месяц назад +10

    Mtu wa maana huyu ,,anaokoa maisha yetu

  • @PendoEmmyMagori
    @PendoEmmyMagori Месяц назад

    Ahsante sana Dr kwa ushauri

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu 27 дней назад

    Huyu Mzeee mimi namwelewa sana

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 Месяц назад +2

    Mungu ajubariki prof

  • @JesseSarro
    @JesseSarro Месяц назад

    Mungu akubariki sana Profesa

  • @paschalmanumbu572
    @paschalmanumbu572 Месяц назад +2

    Prof. mimi nakuelewa sana, nimeanza pia utekelezaji wa machache, inawezekana na ni kweli

  • @alexgaugustino2339
    @alexgaugustino2339 Месяц назад

    Nakuelewa Sana doctor

  • @JoyceHaule-o8c
    @JoyceHaule-o8c Месяц назад

    Nakuelewa sana Profesa Janabi endelea kutuelimisha

  • @shabanimbega40
    @shabanimbega40 Месяц назад +5

    Dr janab achana na watu wanaokusema vibaya fanya kazi. Binadamu wa ovyo kazi yake kuongea mambo ya ovyo. Nimeiona kitu cha kishenzi kwenye jamii forum na nikaona huyu aliyeandika ndiye adui wa Taifa letu. Nakushauri piga kazi achana na hao wapumbavu

  • @JescarMwakipesile
    @JescarMwakipesile Месяц назад +2

    Kweli huu ni upendo mkubwa sana.

  • @frankalfredy4991
    @frankalfredy4991 Месяц назад

    Great

  • @magejuliani5293
    @magejuliani5293 Месяц назад +3

    Prof. anachonifurahisha, anatupa ushauri kuupokea au kuukataa ni juu yako!

  • @SeifSeif-gw3zc
    @SeifSeif-gw3zc Месяц назад +3

    Nahisi huyu anaenda chooni mara moja tu kwa wiki.😂😂😂

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu8873 Месяц назад

    Yeye mwenyewe anaonekana mgonjwa

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Месяц назад

    Mungu akubaliki Pro

  • @PaulRPaul-z1q
    @PaulRPaul-z1q Месяц назад

    Well spoken Professor Janabi

  • @RamadhanAthuman-d4c
    @RamadhanAthuman-d4c Месяц назад +2

    Kuwamlikia vipofu ni kazi sana janabi tuache tu

  • @ahmedali-f8c9u
    @ahmedali-f8c9u Месяц назад +2

    Ila waswasi wangu ni kwamba doctor janabi mwenyewe ukimuangalia yupo weak,yani kama ana maradhi fulani hivi😅

    • @sadikiissa7756
      @sadikiissa7756 Месяц назад

      Umri umeenda Pia. Na afanyacho ni kujikinga na maradhi ya uzeeni kwa kupitia chakula.

    • @ZuwenaSalumu-e5i
      @ZuwenaSalumu-e5i Месяц назад

      Hayo hayakuhusu wewe fata ushauri ukiona hakufai uache....

    • @Worldunite
      @Worldunite Месяц назад

      Vuta picha ya huyu dk janabi miaka 3 iliyopita na sasa,utafundua kwamba amedhoofika sana

    • @samwa9496
      @samwa9496 Месяц назад

      Huenda kisukari ndipo akaanua kutoa ushauri

  • @MARIAMUBAJUTA
    @MARIAMUBAJUTA Месяц назад +1

    Mungu akubariki sana Dr

  • @AthanaseKiyoja
    @AthanaseKiyoja Месяц назад +3

    Usibabaishwe na wavuta bangi wa ccm,akina msukuma,wapo wapo tu kama.dagaa wa mnadani.Hawana tija kwa jamii,wala.posho

  • @mazaramatucha
    @mazaramatucha Месяц назад

    Maji, sawa, kahawa kafanye utafiti tena doctor

  • @maase2023
    @maase2023 Месяц назад +1

    Profesa huyu kichwa sana

  • @ramadhanitawaqal8958
    @ramadhanitawaqal8958 Месяц назад +1

    Nilikuwa natafuta hapo alivyoongea Kwa uchungu 😂😂

  • @documentariestvshow
    @documentariestvshow Месяц назад +2

    Professor umesahau kuwa hata uzingatie lishe kiasi gani Kama unamtazamo hasi juu ya maisha hiyo afya itatetereka tu

    • @sadikiissa7756
      @sadikiissa7756 Месяц назад

      Mlo bila mpangilio ndo chanzo cha maradhi mengi mwilini. Hivyo cha kwanza kabisa ni kuangalia mlo kwa kuwa ndicho kitu chepes cha kuanza nacho.

  • @remmyalfred6736
    @remmyalfred6736 Месяц назад +4

    🇹🇿UKIMSEMA SPECIALIST NGAZI YA U PROFESA UNAKUWA UNA UJI WA SMENTI KWENYE FUVU

    • @floramoshi4555
      @floramoshi4555 Месяц назад +1

      💯💯💯💯

    • @anatoliwema3664
      @anatoliwema3664 Месяц назад

      Waliotuwekea hizo principle zote za science hata siyo professor ila wewe pambana na kuamini u professor utaishia pabaya, tumia akili yako na mbinu za wazee wako bhana

    • @anatoliwema3664
      @anatoliwema3664 Месяц назад

      Kwani wale wazee wetu wa zamani walikuwa wanajua suala la pressure, weight na uzito? Mbona wameishi miaka zaidi ya mia???

    • @remmyalfred6736
      @remmyalfred6736 Месяц назад

      @anatoliwema3664 GO ASK THEM IF YOU HAVE ONE

    • @remmyalfred6736
      @remmyalfred6736 Месяц назад

      @anatoliwema3664 NENDA KAMTOE UKAE WEWE KWENYE NAFASI YAKE, WATANZANIA WENGI MNATAFUTA KURUMBANA SI KUELEWA, HAYO ELEZA FAMILIA YAKO IWE NA AFYA NDIYO ITAKAYOKUSAIDIA UKIWA MAUTUTI. YOU WROTE A LOAD OF SHIT!

  • @Dericksimba
    @Dericksimba Месяц назад

    Kiukweli hata mm asubuhi kula Hapana kiukweli sipendi hata kule na viakula

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 Месяц назад

    Ramadhan ni mwezi maalum teina mmoja tu sasa ukifuwara utaratibu wa ramadhan si mtihan inavotakiwa mtu asike akiwa ameshiba na akiwa na njaa aweke asile kupitiliza na iwepo sehem ya maji na hewa

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Месяц назад

    Watakuja Prof usijali

  • @zahraalbaloochi2841
    @zahraalbaloochi2841 Месяц назад +2

    Wanachoyo wivu mana wanakula bila mpango pia hawajijui wana payuka tu

  • @bolelambunda6554
    @bolelambunda6554 Месяц назад +1

    Wewe unadhambi inakutesa

  • @MichaelPaulo-k1c
    @MichaelPaulo-k1c Месяц назад +1

    Wewe endelea na ushauri wako,niayari mtu kuufata au laa

  • @kikalenampwapwa5483
    @kikalenampwapwa5483 Месяц назад +3

    Kwanini anavaa miwani ya macho😅😅😅

    • @FootballHM-r5t
      @FootballHM-r5t Месяц назад

      😂😂unataka kusemaje kwahyo

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 Месяц назад

      Anataka avae miwani ya miguu😂😂😂

    • @pascofp145
      @pascofp145 Месяц назад +2

      Inategemeana yawezekana alipata madhara kwenye ukuaji wake au toto

    • @SeifSeif-gw3zc
      @SeifSeif-gw3zc Месяц назад

      ​@@pascofp145 hapana ttzo alikuwa anakula sana

  • @senorinamtei8202
    @senorinamtei8202 Месяц назад +1

    Fanya kazi Dr. wengine tunakusikiliza

  • @bolelambunda6554
    @bolelambunda6554 Месяц назад +1

    Uko kama msukule

  • @ChristerKok
    @ChristerKok Месяц назад +1

    Prof.Hachana nawasiojitambua hivi unapotoa elimu ya afya zetu kosa liko wapi? Wengine tumeyafuatilia nayametusaidia.Sasa ukienda huko WHO nani atatuelimisha hii elimu nzuri sana.Watanzania wanaugonjwa wa kubishana bila hoja

  • @yordanyona8663
    @yordanyona8663 Месяц назад

    chai muda wowote

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 Месяц назад

    Toka nikusikilinze ck hizi nimekuwa mss sijui nimepungua kinyama na agenda Yako hii Xmas tusile sana Wala kunywa bc ck ya Xmas nafunga uck ntakula kipanfe Cha kuku na maji nalala

  • @SeifSeif-gw3zc
    @SeifSeif-gw3zc Месяц назад

    Kwani chai nikinywa si chapati 2 tu 😅 sasa ivo vichapati viwili dakika mbili tu havipo mwilini. Huyu jamaa ushauri wake awape wale wafanyakaxi wenziwe uko maofisini sisi tunohangaika uku nje tusimskilize tutakufa wakuu.

    • @Mariam-ke4og
      @Mariam-ke4og Месяц назад

      Ukitaka ufuate la ukiona haukufai basi acha usimshauri mwingine

    • @lulumussa9009
      @lulumussa9009 15 дней назад

      kula kunazingatia kazi mtu anazofanya pia. km ww ni mpagazi hiyo haina shida mana unakula then unaenda kuzitumia nguvu

  • @BofuMlanzi
    @BofuMlanzi 18 дней назад

    Kwa nini maprofesa wetu Afrika sio wagunduzi pia sio wabunifu ?

  • @theteacherchance6750
    @theteacherchance6750 Месяц назад +4

    Ishu ni Mohamed. Loliondo "WATU" walipanga foleni, milima, matope, misukosuko, mikiki bado magari yaliongozana. Hakukuwa na shida. Tatizo ni Mohamed

    • @nusalim3389
      @nusalim3389 Месяц назад

      Ishu si Mohamed jina tu,jamaa tunaswali nae khamsa swalawaat,Tena ni jamaa wa kuuendea msikiti masafa,Allah ampe thabaat

    • @samwa9496
      @samwa9496 Месяц назад

      ​@@nusalim3389tuliosoma Cuba tumeelewa

    • @lulumussa9009
      @lulumussa9009 15 дней назад

      Mashallah km ni swala 5

  • @DINASSOUR
    @DINASSOUR Месяц назад +1

    Sisi tunafuata ushauri wa mtume wa Allah ....usile isipokua mpaka uwe na njaa na usile ukashiba ubakize sehemu ya maji,HEWA na chakula.
    ..,.

    • @omarmohammed5157
      @omarmohammed5157 Месяц назад

      Sahihi lakin usisahau kufunga jumatatu na Alhamisi

  • @davidmalahya6232
    @davidmalahya6232 Месяц назад

    Camera man your not serious, hatuoni hizo slide

  • @joanesnamala9647
    @joanesnamala9647 Месяц назад +1

    NA WEWE ULE BHNA....UNAKONDAJE

  • @MauaAbass
    @MauaAbass Месяц назад

    Pamoja na elimu yako utambue uzee hauna tiba,anza ibada ww dunia tunapita

    • @samwa9496
      @samwa9496 Месяц назад

      Utamjuaje unaishi nae

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 Месяц назад +1

    Huyu jamii anawekeza sana kwenye afya yake inaonekana ila sasa ukute labda ana mke anachepuka na wanaume wengine halafu mwisho wa siku mke anamletea ukimwi Prof Janabi !

    • @samwa9496
      @samwa9496 Месяц назад

      Hata huduma anayotoa wagonjwa wanaweza kukusababishia kama hukujikinga vizuri nakumbuka Kuna mmoja sindano iliyotumika ilimchoma na akapata

  • @wellahsuleiman7881
    @wellahsuleiman7881 Месяц назад

    UNAANZA NA MLO UPO?

  • @wellahsuleiman7881
    @wellahsuleiman7881 Месяц назад +1

    ASANTE DR. JANABI MBOGA HAZIPO SALAMA NA MAHINDI YA KUCHOMA, MADAWA YA KUMWAGILIA NAYO NI MTIHANI KWA AFYA ZETU.

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 Месяц назад +1

    You are actually confusing me instead of educating me. To me you are a celebrity doctor. You assume that all people have shillings.

  • @florachogo243
    @florachogo243 Месяц назад

    Watu hatuna wema tunaokuelewa tupo