Vyakula vya Wanga ni Hatari | Unaharibu Kizazi Chako| Vipimo Milioni 8
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete ( The Jakaya Kikwete Cardiac Institute ) iliyoko katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es salaam.Profesa Janabi, ambaye pia ni daktari Mkuu Binafsi wa Rais Mstafu Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ametoa athari zitokanazo na matumizi ya chakula cha wanga kupita kiasi.
Prof Janabi nashukuru kwa elimu yako. Uliyoyasema yote ni kweli, nilipoacha tumia wanga kwa miezi 5 niliona matokeo mazuri sana. Nilikuwwa nikila matunda, mayai na samaki.
Ahsante sana Prof
Hatari sana,hasa watu Wa mijini maofisini.Elimu inatakiwa!
Kweli kabisa kazi za maofisini kama mtu asipokuwa na ratiba ya mazoezi ni hatari sana
Sisi tunataka kujua tule nini,,siyo ukosoaji tu.
Mbishi huwa hafaidi chagua mwenyewe ule nini halafu uende kwake akakuzibue moyo.Tunabisha lakini matokeo tunaona jinsi watu wanavyoteseka.kula lakini kwa kiasi na mazoezi
Mungu atatulipia siku moja.
Atatulipia Nini?
😂😂😂atatulipia nini?
Prof.Mohammed tunaomba uanzishe RUclips Channel ili kutuelimisha zaidi kuhusu magonjwa ya moyo na vyakula
Anayo tayari
Ipo.itafute.
Masomo haya kafundishe kijijini kwenu
Kawa ambie Wasukuma wanao kula sana
Mm niliacha wanga kwa miez 11 kiukweli changamoto za ki afya nilizokuanazo zikaisha wanga na sukar ni hatar sn
Unakula nini badala?
Sahihi
@dr_tinner naweza kuja WhatsApp yako Dr unisaidie ni vyakula gani natakiwa kula maana tumezungukwa Sana na wanga. 🙏
Tupo weng
Kufa siku ni moja na mungu akikupa ugonjwa amekupenda,
Ule vyakula vya wanga usile utakufa hio hio siku moja 😁😂😂😂
Pia magojwa wanachosha sana jamii na familia. Ni mateso sana kwa mtu binafsi na jamii kwa ujumla
Huyo Mungu amesema tuchukue tahadhari
Tunatakiwa kula kidogo bila kujaza tumbo ili ibaki nafasi ya hewa na maji,shida iliyopo kwetu tunakula hadi matumbo yanatuna mwingine mpaka anashindwa kupumua.Chochote kile kinahitaji kutumia kidogo hata mapenzi ukifanya sana matokeo yake ni uhalibifu;kila kitu inatakiwa iwe wastani.Mtu mwingine anakula chakula cha mchana saa 11 jioni na usiku anakula saa 3 tena pilau na nyama au wali mweupe;anategemea nini hapo?
Dada God Is Love unatakiwa kuwa Na Kiasi Katika Maisha Hasa Kula Bila Kubebesha Lawama Mungu kakupa Ugonjwa.
Hii part Achana Nayo mana huna Ushahid ww wala Mm cha Muhimu wajibika kutunza afya yako kwa Garama Yoyote ikibid Kuacha Kula vitu vya Ajab bila Masaa
A very sad way of thinking 🤔🤔
Wanao PATA magojwa ya hivyo wengi ni wanakula vitu vya dhurma hata ally haph aliongea akiwa mkuu wa mkoa tabora mnadhulumu viwanja mashamba nyumba Hela mnatesa watu mnafunga watu saingine hawana hatia magojwa lazima yawarudie wenyewe
Tutakula ivo ivo tu twamuamin mungu hatuachi tule tu
huyo Mungu ndio aliumba na Bangi..Sasa kwanini hauvuti?
Tuzingatie yanayofundishwa maana Mungu hutumia mtu yeyote kutusaidia.
Ahsante Prof
Unatushauri tule NN doctor
ukiwasikiliza madaktari unaweza usile chakula
Kwani wazee wetu walikuwa wanaishi je? Hizo million mnakomoa watanzania walipa kodi, JANABI TULE NINI SASA
Tumekulia ugali wa Dona mboga na maziwa mgando huko nymbn tena unapg kisufuria mtu mmoja😂sema tulikuwa tunatembea kwnd shamba kuchnga na shuke ni kilometer 3, sasa hivi wanetu wanakula huku wamekaa nitatzo kwakwel Asante kwa elim
Haikuwa na shida kwasababu ulikuwa unafanya KAZi na dicho dokta kasema. Ila ukila hivyo halafu ukaenda darasani kusoma ndio shida inaanzia hapo😅
Professor naomba utuambie tule nini na wewe unakula vyakula gani?Asante
Waandishi wetu bana wanachekacheka tu kwenye vitu vya msingi
Daktari kuzungumza bila kutoa miongozo ya Nini kifanyike Sasa
Wapi na kwa watu wa namna gani hujasaidia
Unatuongezea hofu,je maisha yanatakiwa kuwa na muelekeo mmoja?Tuteketeze mahindi na mchele na mihogo yote
Kwenda zako kama ugonjwa unao ni wako tuu mimi toka nazaliwa chakuka kikuu ni ugali na uji vyoote ukibadili ni wali nao unakula siku ya skukukuu tu eiza pasaka klismasi ndo tunakula wali usitutishe
Aseme tule nini sasa maana ugali na wali ndo vime tukuzia hadi sasa.
Samsasali tulia hapo husomi magazet msikilize doct punguza lishe
Dr Janabi Hujasema tule Nini
Huyu mtu ni muongo tuwe makin nae.kila siku ana hili mara hili tusile wanga tutakula nn. Kusoma ni mhim ila kusoma ili kuelimika ni mhim zaidi . Lakn why professor kila siku mtandaon au unataka teuzi. Maisha yetu anajua mungu wengne ni uongo uongo tu mara tusile sukar mara wanga sasa tule nin na uwezo wetu ndo huo wa wanga .
Msos Jaman
Swali, tule nini ambacho hakina wanga?
Raisi sana, Badala ya chapati Asubui, Anza na Miogo ya kuchemsha, mengine nitakueleza baadae
Sasa useme tule nini sasa et
Huyu jamaa alivyo mjuvi ataishi milele
Nguvu watapata wapi
Aongee tule nini sasa sisi hatuna shida tutafanya kile kinachotakiwa anaongea mengi mno huyo doctor au tuache kula kabisa
Bakini tu na vipimo vyenu maan kwa hiyo bei 😮 ngumu
Dada acha wenge
😅😅😅
Sasa tule nini jaman?
MADK MARA NYINGINE MNATUTISHA SANA!!!
Kama anakutisha fanya utakayo.😂
Huyu kazingua, akale shule upya. Vyakula vya msingi kula Ni vya wanga. Wazazi wamekuwa wakila vyakula hivyo vya wanga, (viazi, mihogo, ugali, maharage n.k) magonjwa hayakuwasumbua Kama Sasa. Tatizo he should backup with scientific evidence. Bongo tunakwama wap🤾🤾🤾
Nikwel lkn walikuwa wanaenda shamba pia kuchunga mifugo chkula kinatumika tatzo Sasa hivi tunakula tumekaa Mungu tusaidie
@@radhiambwana3353 hakana anayekula akiwa amekaa vi ginevyo nikiwete. Lakini pia mjini tunakula kwa kupima, utashangaa Mtu asubuh amekula mandazi matatu au matano na chai. Mjini hatuli Kama watu wa vijijini. Na siku hizi watu wanafanya jogging. So kuna mengi. Point ya kwamba walienda shamba ni soft sana.
Huyo alijinenepea 😂😂😂😂anapumulia gesi hta aibu hna
😅😅😅😅
Docta Jamaica je Watton wakila mate kila siku inakuwaje
Kizazi which?
Na wewe Dr kutwa kucha unatutisha sasa tule nini? Utaepukaje vitu hivyo?
Tule nn jamani
Tule vyote kwa wakati ila.kidogo sukali ikiwezekana tusiguse bia mwisho mbili nazo unywe saa.mbili au tatu chakula cha jion mwisho kula saa moja maxoezi tusisahau pia😅😅
Tule nini sasa
eti jmn
@@irenekatambe1090 Hahaahahaha
Sasa tutapunguza baada ya kuelimika
Vitamini kwa wingi!
Tule nn docta
Ahsante prof kwa elimu naomba nikushauri zingatia lishe kula vizuri acha ubahili huo si mwili wako ahsante
Hahaaa hatariii sana mmh ubahiliiii
Ana rangi Kama roho yake
Hahahaha