Vyakula vya Wanga ni Hatari | Unaharibu Kizazi Chako| Vipimo Milioni 8

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete ( The Jakaya Kikwete Cardiac Institute ) iliyoko katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es salaam.Profesa Janabi, ambaye pia ni daktari Mkuu Binafsi wa Rais Mstafu Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ametoa athari zitokanazo na matumizi ya chakula cha wanga kupita kiasi.

Комментарии • 75

  • @euniestherwilliam1513
    @euniestherwilliam1513 3 месяца назад +3

    Prof Janabi nashukuru kwa elimu yako. Uliyoyasema yote ni kweli, nilipoacha tumia wanga kwa miezi 5 niliona matokeo mazuri sana. Nilikuwwa nikila matunda, mayai na samaki.
    Ahsante sana Prof

  • @renataraymond8988
    @renataraymond8988 5 лет назад +8

    Hatari sana,hasa watu Wa mijini maofisini.Elimu inatakiwa!

    • @Deojames98
      @Deojames98 2 года назад +1

      Kweli kabisa kazi za maofisini kama mtu asipokuwa na ratiba ya mazoezi ni hatari sana

  • @msetikebwasi7270
    @msetikebwasi7270 6 месяцев назад +6

    Sisi tunataka kujua tule nini,,siyo ukosoaji tu.

  • @RoseShauri
    @RoseShauri 6 месяцев назад +2

    Mbishi huwa hafaidi chagua mwenyewe ule nini halafu uende kwake akakuzibue moyo.Tunabisha lakini matokeo tunaona jinsi watu wanavyoteseka.kula lakini kwa kiasi na mazoezi

  • @olivamatama590
    @olivamatama590 Год назад +2

    Mungu atatulipia siku moja.

  • @salumjuma6073
    @salumjuma6073 Год назад +6

    Prof.Mohammed tunaomba uanzishe RUclips Channel ili kutuelimisha zaidi kuhusu magonjwa ya moyo na vyakula

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 7 месяцев назад +2

    Masomo haya kafundishe kijijini kwenu

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 6 месяцев назад +1

    Kawa ambie Wasukuma wanao kula sana

  • @jamilarumisha7031
    @jamilarumisha7031 5 лет назад +7

    Mm niliacha wanga kwa miez 11 kiukweli changamoto za ki afya nilizokuanazo zikaisha wanga na sukar ni hatar sn

  • @dietrihs9264
    @dietrihs9264 3 года назад +7

    Kufa siku ni moja na mungu akikupa ugonjwa amekupenda,
    Ule vyakula vya wanga usile utakufa hio hio siku moja 😁😂😂😂

    • @luthernicholaus
      @luthernicholaus 2 года назад

      Pia magojwa wanachosha sana jamii na familia. Ni mateso sana kwa mtu binafsi na jamii kwa ujumla

    • @binhussain3445
      @binhussain3445 Год назад

      Huyo Mungu amesema tuchukue tahadhari

    • @RamadhaniLukambuzi
      @RamadhaniLukambuzi Год назад +2

      Tunatakiwa kula kidogo bila kujaza tumbo ili ibaki nafasi ya hewa na maji,shida iliyopo kwetu tunakula hadi matumbo yanatuna mwingine mpaka anashindwa kupumua.Chochote kile kinahitaji kutumia kidogo hata mapenzi ukifanya sana matokeo yake ni uhalibifu;kila kitu inatakiwa iwe wastani.Mtu mwingine anakula chakula cha mchana saa 11 jioni na usiku anakula saa 3 tena pilau na nyama au wali mweupe;anategemea nini hapo?

    • @noelashoo6043
      @noelashoo6043 9 месяцев назад

      Dada God Is Love unatakiwa kuwa Na Kiasi Katika Maisha Hasa Kula Bila Kubebesha Lawama Mungu kakupa Ugonjwa.
      Hii part Achana Nayo mana huna Ushahid ww wala Mm cha Muhimu wajibika kutunza afya yako kwa Garama Yoyote ikibid Kuacha Kula vitu vya Ajab bila Masaa

    • @amjudith
      @amjudith 7 месяцев назад

      A very sad way of thinking 🤔🤔

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 6 месяцев назад +1

    Wanao PATA magojwa ya hivyo wengi ni wanakula vitu vya dhurma hata ally haph aliongea akiwa mkuu wa mkoa tabora mnadhulumu viwanja mashamba nyumba Hela mnatesa watu mnafunga watu saingine hawana hatia magojwa lazima yawarudie wenyewe

  • @hamzamakame-fy6yp
    @hamzamakame-fy6yp 5 месяцев назад

    Tutakula ivo ivo tu twamuamin mungu hatuachi tule tu

    • @ephraimkyando6744
      @ephraimkyando6744 Месяц назад

      huyo Mungu ndio aliumba na Bangi..Sasa kwanini hauvuti?
      Tuzingatie yanayofundishwa maana Mungu hutumia mtu yeyote kutusaidia.

  • @joniajohn4716
    @joniajohn4716 5 лет назад +2

    Ahsante Prof

  • @KleyGeorge
    @KleyGeorge 6 месяцев назад +1

    Unatushauri tule NN doctor

  • @kipsjr3664
    @kipsjr3664 3 года назад +2

    ukiwasikiliza madaktari unaweza usile chakula

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 12 дней назад

    Kwani wazee wetu walikuwa wanaishi je? Hizo million mnakomoa watanzania walipa kodi, JANABI TULE NINI SASA

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana3353 Год назад +3

    Tumekulia ugali wa Dona mboga na maziwa mgando huko nymbn tena unapg kisufuria mtu mmoja😂sema tulikuwa tunatembea kwnd shamba kuchnga na shuke ni kilometer 3, sasa hivi wanetu wanakula huku wamekaa nitatzo kwakwel Asante kwa elim

    • @ephraimkyando6744
      @ephraimkyando6744 Месяц назад +1

      Haikuwa na shida kwasababu ulikuwa unafanya KAZi na dicho dokta kasema. Ila ukila hivyo halafu ukaenda darasani kusoma ndio shida inaanzia hapo😅

  • @solomonsebo2691
    @solomonsebo2691 Год назад +4

    Professor naomba utuambie tule nini na wewe unakula vyakula gani?Asante

  • @elizabethleonce1089
    @elizabethleonce1089 2 месяца назад

    Waandishi wetu bana wanachekacheka tu kwenye vitu vya msingi

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 Год назад

    Daktari kuzungumza bila kutoa miongozo ya Nini kifanyike Sasa
    Wapi na kwa watu wa namna gani hujasaidia

  • @georgebundala1915
    @georgebundala1915 6 месяцев назад

    Unatuongezea hofu,je maisha yanatakiwa kuwa na muelekeo mmoja?Tuteketeze mahindi na mchele na mihogo yote

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 3 года назад +4

    Kwenda zako kama ugonjwa unao ni wako tuu mimi toka nazaliwa chakuka kikuu ni ugali na uji vyoote ukibadili ni wali nao unakula siku ya skukukuu tu eiza pasaka klismasi ndo tunakula wali usitutishe

    • @godloveorio8029
      @godloveorio8029 11 месяцев назад

      Aseme tule nini sasa maana ugali na wali ndo vime tukuzia hadi sasa.

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 7 месяцев назад

    Samsasali tulia hapo husomi magazet msikilize doct punguza lishe

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 11 месяцев назад +2

    Dr Janabi Hujasema tule Nini

  • @SaimonTanganye
    @SaimonTanganye 7 месяцев назад

    Huyu mtu ni muongo tuwe makin nae.kila siku ana hili mara hili tusile wanga tutakula nn. Kusoma ni mhim ila kusoma ili kuelimika ni mhim zaidi . Lakn why professor kila siku mtandaon au unataka teuzi. Maisha yetu anajua mungu wengne ni uongo uongo tu mara tusile sukar mara wanga sasa tule nin na uwezo wetu ndo huo wa wanga .

  • @gastorjohn5308
    @gastorjohn5308 5 лет назад +1

    Msos Jaman

  • @Newage.designbuild
    @Newage.designbuild 6 месяцев назад +2

    Swali, tule nini ambacho hakina wanga?

    • @JoshuaOjijo
      @JoshuaOjijo 10 дней назад

      Raisi sana, Badala ya chapati Asubui, Anza na Miogo ya kuchemsha, mengine nitakueleza baadae

  • @CharlesNdaki-mb5kt
    @CharlesNdaki-mb5kt Месяц назад

    Sasa useme tule nini sasa et

  • @deodadeo2016
    @deodadeo2016 6 месяцев назад

    Huyu jamaa alivyo mjuvi ataishi milele

  • @vengageorge6574
    @vengageorge6574 6 месяцев назад

    Nguvu watapata wapi

  • @kainimkini2073
    @kainimkini2073 6 месяцев назад

    Aongee tule nini sasa sisi hatuna shida tutafanya kile kinachotakiwa anaongea mengi mno huyo doctor au tuache kula kabisa

  • @magrethdaniel8441
    @magrethdaniel8441 7 месяцев назад

    Bakini tu na vipimo vyenu maan kwa hiyo bei 😮 ngumu

  • @praygodmtui1407
    @praygodmtui1407 8 месяцев назад +1

    Dada acha wenge

  • @murattywamuratty9778
    @murattywamuratty9778 6 месяцев назад

    Sasa tule nini jaman?

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Год назад +5

    MADK MARA NYINGINE MNATUTISHA SANA!!!

    • @ahz6907
      @ahz6907 8 месяцев назад

      Kama anakutisha fanya utakayo.😂

  • @emmanuelmpaliyenutritionist
    @emmanuelmpaliyenutritionist 2 года назад +1

    Huyu kazingua, akale shule upya. Vyakula vya msingi kula Ni vya wanga. Wazazi wamekuwa wakila vyakula hivyo vya wanga, (viazi, mihogo, ugali, maharage n.k) magonjwa hayakuwasumbua Kama Sasa. Tatizo he should backup with scientific evidence. Bongo tunakwama wap🤾🤾🤾

    • @radhiambwana3353
      @radhiambwana3353 Год назад

      Nikwel lkn walikuwa wanaenda shamba pia kuchunga mifugo chkula kinatumika tatzo Sasa hivi tunakula tumekaa Mungu tusaidie

    • @emmanuelmpaliyenutritionist
      @emmanuelmpaliyenutritionist Год назад

      @@radhiambwana3353 hakana anayekula akiwa amekaa vi ginevyo nikiwete. Lakini pia mjini tunakula kwa kupima, utashangaa Mtu asubuh amekula mandazi matatu au matano na chai. Mjini hatuli Kama watu wa vijijini. Na siku hizi watu wanafanya jogging. So kuna mengi. Point ya kwamba walienda shamba ni soft sana.

  • @AzharluqmanHema
    @AzharluqmanHema 11 месяцев назад

    Huyo alijinenepea 😂😂😂😂anapumulia gesi hta aibu hna

  • @emiliananaombakulizanimeot3658
    @emiliananaombakulizanimeot3658 8 месяцев назад

    Docta Jamaica je Watton wakila mate kila siku inakuwaje

  • @mazaramatucha
    @mazaramatucha 7 месяцев назад

    Kizazi which?

  • @ramadhanmazije3882
    @ramadhanmazije3882 7 месяцев назад

    Na wewe Dr kutwa kucha unatutisha sasa tule nini? Utaepukaje vitu hivyo?

  • @lightnesscharlse2281
    @lightnesscharlse2281 3 года назад

    Tule nn jamani

    • @mwanjinzara8009
      @mwanjinzara8009 10 месяцев назад

      Tule vyote kwa wakati ila.kidogo sukali ikiwezekana tusiguse bia mwisho mbili nazo unywe saa.mbili au tatu chakula cha jion mwisho kula saa moja maxoezi tusisahau pia😅😅

  • @mohamedkisalala4523
    @mohamedkisalala4523 5 лет назад +1

    Tule nini sasa

  • @faizaomary2036
    @faizaomary2036 5 лет назад

    Tule nn docta

  • @stevenclaud6648
    @stevenclaud6648 7 месяцев назад +1

    Ahsante prof kwa elimu naomba nikushauri zingatia lishe kula vizuri acha ubahili huo si mwili wako ahsante

    • @saramartine7330
      @saramartine7330 6 месяцев назад

      Hahaaa hatariii sana mmh ubahiliiii

  • @suzanejeremiah3463
    @suzanejeremiah3463 3 года назад

    Ana rangi Kama roho yake