AfyaKona: Mwarobaini wa magonjwa yasiyoambukiza || Epuka kufanya haya
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Unazijua hatua za kufuata ili kujikinga na magonjwa yasiyoambukiza? Kitaalamu mtu mzima anatakiwa kutembea hatua 10,000 kwa siku ambayo ni sawa na kilomita 6 hadi 7 kulingana na hatua zake.
Ili kufahamu hayo na mengine mengi, usikose kuangalia #AfyaKona kesho Septemba 12, 2022 kupitia #MwananchiDigital ambapo Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Profesa Mohamed Janabi ataeleza kwa kina akitoa angalizo kwa umma namna ya kujikinga.
Usikose kusoma nakala ya Gazeti la Mwananchi na mitandao yake ya kijamii
Kuna watu najua wanachukia hizi seminer za profesa. Ila mimi zinaninariki sanaaa. Mungu aendelee kukutunza dr wangu
Asante Dr kwa elimu nzuri 6:18 ni Mungu afungue bongo za watz na kuacha masihara
Congrats Professor Janabi.Great
Thank you very much for taking care of our Nation ❤️.Remain blessed ❤
Tunakushukuru sana prof.Janabi Mungu akubariki sana
Asante sana Dr kwa upendo
Mashallah prof. unachambua vzuri sana
Tuanks prof for your guidance
Shukrani sana Dr
Nashukuru sana kwa kutuelewesha
Ahsante somo zuri sana
Mashaallah ❤
asante 🙏 kumafunzo
Asante sn kk mungu akubark
Asante sana kwakujal
Ahsante sana Profesa darasa lako ni zuri sana nitoe USHUHUDA kwamba mimi umesaidia sana sana . Nilikuwa na tatizo la kisukari na presha. Baada ya kufatilia mafunzo yako namshukuru Allah naendelea vizuri. Nashauri utunge kitabu wizara ya Afya igharamie gharama zote ili kiuzwe kwa bei ambayo ni affordable kwa watanzania wengi na ikibidi kitumike mashuleni itasaidia kuokoa watoto wetu ambao ndio nguvu kazi ya kesho. Bahati mm nina simu janja lakini naamini watanzania wengi hawana simu hizi hususan wanaoishi vijijini. Asante
Tueke tu pesa za kuhangaika nazo hao wanokula health juzi katibiwa moyo na kuvutwa mishapa baadhi sasa dam inatembea na mishipa ya palaslki na gm kila kona ya nyumba zipo ba saaa ako na miaka 90 ila mda ukifika umwfika kuchoka magonjwa kibao tujitahidi yasitupate hapa ujanani tu ila kama hai kwa sasa hatutoboi matunda yenyewe wataalam washatutilia sum tayari yasioze mradi mungu tu tulie nae
Mungu atusaidie
Acha ku-comment pumba ili uchekeshe watu. Huyo daktari anaongelea mambo ta msingi yanayohusu maisha.
Hujui chochote zaidi sana karudie somo la kiswahili.
Tafsiri ya wanga
Congrats doctor
Safi sana
Professor Professor tueleze nadallili zamagonjwa yafigo
Pro hongera sana juice hata kama hujaweka sukari ni mbaya?
Tia asali badala ya sukari
@@sadamiddy168 asali nayo ni sukari.. acha
Hiyo kuwa ila inategemeana kama juce ya tango na na palachichi kunywa hata nyingi ila nanas kunywa bilauri 1 tu kwakuwa inasukar nyingi
Maelezo yako dr.yaandike ili wayasome wasio na sm janja
Kwa wiki 1m, kwa mwezi 16m????
Sikliza vzr
Katupoga asee sasa prof acha uongo
Milioni 32 na bado mtu anaweza akafariki.Mungu atusaidie jaman
Upo sahihi sana dr mm nitakufatilia na kufanyia kazi mawazo yako nashukuru kwa hivi vipindi
DR NASHUKURU KWA USHAURI WAKO.