Huyo hajaajiriwa na hospitali ya kiislamu anajibu kama mwajiriwa wa serikali na sio kiongozi wa dini au mwakilishi wa waislam.😊 Masheikh wanatosha kukumbusha hayo mambo ya dhambi unayotaka...mwache janabi afanye yanayomuhusu!
Mimi nadhani mtu akila mchanganyiko wa vyakula hakuna tatizo la afya. Tatizo letu wengi hatuna uwezo wa kuwa na vya aina tofauti na wachache wenye pesa nao wanakula sana na kuwa na vitambi.Pengine pamoja na pesa zao hawali vyakula bora😂
Mwili hupata energy/nguvu kupitia.1.Wanga 2.Mafuta.3 protini Chaguo la kwanza la mwili kupata nguvu ni kupitia wanga kwa sababu umengenywaji wake ni rahisi kuliko mafuta au protini. Wanga zipo aina 3. Ya kwanza primary saccharides kama glucose. Ya pili ni secondary saccharides kama sukari ya mezani na ya tatu ni tertiary saccharides kama viazi au miogo au ugali. Kundi la kwanza hufionzwa moja kwa moja kuipa mwili nguvu ndii maana wengine huwekewa drip ya glucose,inakwemda moja kwa moja,haimengenywi,ya pili hutumia mda kidogo sana kumwngenywa,ili iwe glucose ambayo ndio "sukari' ya damu. Kundi la tatu inachukuwa mda sana kumengenywa ili iwe glucose. Kwa hiyo ukiwa una njaa sanaa,mwili huna nguvu basi unatumia sukari au vitu vywa sukari
Profesa ilishindwa kuhojiana na vyombo vya habari kuwa m-wazi kwa Taifa juu ya vifo kwa wakubwa fulani kama tulivyoona mahojiano na vyombo vya habari katika tukio la kifo cha waziri mkuu mstaafu wa Japan katika kampeni zake.Kwa uprofesa wako tungepata taarifa zilizo sahihi kabla na baada ya umauti.Sijui tatizo hilo na mashaka ya namna hiyo watanzania twambie kwa kujifunza
Mzee janabi good profashinal
Asante kwa ushauri doct
Kwa matusi yenu professor ataacha kutupa madini ni mtu mzima nadhani hajisikii vizuri kwa hizi lugha zetu😢
Thank you doctors, asante sana
Kama upendi ushauri wa Prof.Janabi husisikilize,.
Vzr!
Mimi nikuombe dokta wakati unatumbia tupunguze misosi utueleweshe na namna ya kudhibiti madonda ya tumbo
Doctor ulaji wa miwa nao una madhara gani?.
Dr naomba matibabu ya maungio ya goti, nyonga,bega,na shingo
Zamani tulidhani kula Milo mingi ndo unakuwa na afya Bora. Kumbe Milo michache ndo afya!
Asante dk.
Unywe chai mwili useme umekula?
Alafu uendelee na kazi,ipi?
Magogo ya tanesco hutasukuma.
😂😂😂
Kwaiyo na uprofessa wako woote ukizingatia jina la kiislam na unaunga mkono tattoo ila tu vifaa viwe safi. Dah. Professa MAVI
Huyo hajaajiriwa na hospitali ya kiislamu anajibu kama mwajiriwa wa serikali na sio kiongozi wa dini au mwakilishi wa waislam.😊
Masheikh wanatosha kukumbusha hayo mambo ya dhambi unayotaka...mwache janabi afanye yanayomuhusu!
Kwani huyu kaajiriwa hospital kwa ajili taasisi ya uislam au anaongelea kitabibu
Wanaokusema vibaya akili awana
na mashaka na afya ya akili
Kwahiyo bwana Prof inawezekana akawa anakunya mara chache zaidi.
😂😂😂😂😂
Hahhahha wew hebu Acha utan rafik angu tutanyimwa kupewa madin sasa ila umenichekesha
Nataka kujua kwani watu wanashauri kutumia vitu vya sukari kama hujala kitu
Mimi nadhani mtu akila mchanganyiko wa vyakula hakuna tatizo la afya.
Tatizo letu wengi hatuna uwezo wa kuwa na vya aina tofauti na wachache wenye pesa nao wanakula sana na kuwa na vitambi.Pengine pamoja na pesa zao hawali vyakula bora😂
Mwili hupata energy/nguvu kupitia.1.Wanga 2.Mafuta.3 protini
Chaguo la kwanza la mwili kupata nguvu ni kupitia wanga kwa sababu umengenywaji wake ni rahisi kuliko mafuta au protini.
Wanga zipo aina 3. Ya kwanza primary saccharides kama glucose. Ya pili ni secondary saccharides kama sukari ya mezani na ya tatu ni tertiary saccharides kama viazi au miogo au ugali.
Kundi la kwanza hufionzwa moja kwa moja kuipa mwili nguvu ndii maana wengine huwekewa drip ya glucose,inakwemda moja kwa moja,haimengenywi,ya pili hutumia mda kidogo sana kumwngenywa,ili iwe glucose ambayo ndio "sukari' ya damu. Kundi la tatu inachukuwa mda sana kumengenywa ili iwe glucose.
Kwa hiyo ukiwa una njaa sanaa,mwili huna nguvu basi unatumia sukari au vitu vywa sukari
Unaamin tna utaenda mbinguni jmn hapo ndo unafer
❤
Profesa ilishindwa kuhojiana na vyombo vya habari kuwa m-wazi kwa Taifa juu ya vifo kwa wakubwa fulani kama tulivyoona mahojiano na vyombo vya habari katika tukio la kifo cha waziri mkuu mstaafu wa Japan katika kampeni zake.Kwa uprofesa wako tungepata taarifa zilizo sahihi kabla na baada ya umauti.Sijui tatizo hilo na mashaka ya namna hiyo watanzania twambie kwa kujifunza