Mtanzania Bilionea Aliyeuza Kampuni Yake Kwa Bilioni 57 Afunguka: 'Ilibidi Kukopa Nipate Vibali'

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025
  • Akizungumza katika mjadala ulioandaliwa na Tanzania Start-Up Association, Andron Mendes anaelezea jinsi alivyoweza kuuza kampuni yake ya Kopa Gas kwa dola milioni 25 mwaka 2020, anaeelza moja ya kikwazo kikubwa alichokutana nacho kupata uwekezaji ni mchakato wa vibali ambapo ilimbidi wakati fulani amkope mwekezaji. Kopa gas iliuzwa kwa kampuni inayoitwa Circle Gas
    Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com....
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Комментарии • 37

  • @amarionnyanza7950
    @amarionnyanza7950 Месяц назад +12

    start ups tanzania tunapata shida sana kupata capital

    • @RoanCorporation
      @RoanCorporation Месяц назад

      sheria , wageni wengi sana wanapenda Tanzania na Wananchi yake , lakini ukiangalia kwa upande ya sheria , ni shida , adhi watu wanamua kwenda nchi inghine kama Kenya ao Rwanda.

  • @mussamsumi5465
    @mussamsumi5465 Месяц назад +1

    His project could be game changing kwa Nchi yetu... Kwanini aliiuza

  • @BensonTemu-h6h
    @BensonTemu-h6h Месяц назад +10

    Tunamjua alibatizwa akaitwa Arone Richard Mende hilo jina la Andron Mendes ni la bilionea😂😂

  • @prodesigntz7776
    @prodesigntz7776 Месяц назад +2

    Na ni changamoto kubwa sana Tanzania elimu ya uwekezaji bado inaleta shida sana tanzania. Kenya and other countries are making a lot na vijana wengi wa Tanzania wako na innovations nyingi zimelala.

  • @AbdoullrahmanYusuph-xq2hq
    @AbdoullrahmanYusuph-xq2hq Месяц назад +1

    Great mind 🎉

  • @GbpAud_King
    @GbpAud_King Месяц назад +6

    Mawaziri wamekaa Hapo Ila io fcc na clearance sheria hawatobadilisha... Cjui wanafanya nn hapo

  • @RoanCorporation
    @RoanCorporation Месяц назад +7

    Tanzania very nice country and peoples , but for business is not ready , government will have to change business rules, obtaining the permit is too slow and tra and other body can stop you for any nonsense at any moment , so it is not safe for foregnairs investors , change it and many they will come

    • @captainenough681
      @captainenough681 Месяц назад

      Inashangaza kwakweli ndio maana Wakenya wengi wamekuja kuwekeza Tanzania na juzi juzi rostam anadai hakuna inchi iliyoendelea Kwa uwekezaji basi Mimi nachanganyikiwa mno

  • @verbalverbal2019
    @verbalverbal2019 Месяц назад +4

    Kuna siku nilirudi home late, nikawasha gas, ugali ukatokotatokota kidogo, jiko likazima gas imeisha, halafu maduka yamefungwa... nikawaza sana kwa nini mitungi haiwekwi mita, mtu uwe unaona gas inavyoisha

    • @emauf
      @emauf Месяц назад +1

      Inategemea na uliponunua.

    • @verbalverbal2019
      @verbalverbal2019 Месяц назад

      @ Kweli eh?

    • @leecode6135
      @leecode6135 Месяц назад

      Hapa Brasil IPO Divice ambayo unaifunga juu pale kma mtungi wa gás ya kuchomea inkuwa na mita ukifungua gás tu garge inpnda

    • @Frazztraveller
      @Frazztraveller Месяц назад

      Hata. Tz ipo​@@leecode6135

    • @verbalverbal2019
      @verbalverbal2019 Месяц назад

      @ Safi kabisa, sijakutana nayo bongo hiyo

  • @TheJovins
    @TheJovins Месяц назад +1

    Mifumo yeti ya kusaidia startups ni useless, serikali inabidi ibadilike, wananchi àkili nyingi ila serikali vikwazo vingi vibali kibao

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 Месяц назад +2

    Hizo bilioni 57 zilikuwa ni dolla au shilingi? Asanteni kwa kutujuza ni jambo zuri kuelimishana 🤝

    • @ibrahimngirini8737
      @ibrahimngirini8737 Месяц назад

      Hujasikiliza vizuri,rudia tena utasikia neno $25m limetajwa ambapo aliulizwa kwa pesa za kitanzania ni sh ngapi akataja B57

    • @MikiGermany210
      @MikiGermany210 Месяц назад +1

      Shilingi kaka,kampuni waliuza Dola million 25

  • @SalumSeif-hh9eo
    @SalumSeif-hh9eo Месяц назад

    SAUTI HAISIKIKI.

  • @wanskingtz
    @wanskingtz Месяц назад +1

    bodi iundwe jamani tupate some ideas out

  • @GoodluckHezron
    @GoodluckHezron Месяц назад

    Kopaaaa

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk Месяц назад +3

    Huyu ile Kesi ya Mauaji walimuachia, amekweli Africa Ovyo kabisa

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 Месяц назад

      huyu jamaa ana kesi ya mauaji? mashaidi je? daah Mungu wangu

    • @fredimann8141
      @fredimann8141 Месяц назад

      Mistake hutokea boss, sio kila kifo kinatokea kwa kukusudia, kuna mahali sheria inawekwa mfukoni but pesa iwepo.

  • @PrinceWalterM
    @PrinceWalterM Месяц назад

    Mtaalam anaongea points taratibu lakini anajua anachokisema

  • @shahamtindo9635
    @shahamtindo9635 Месяц назад

    Hapo wanasikiliza kama watatekeleza, baada ya miaka kumi atakuja mwingine kuomba hilihili

  • @Klvn_Chriss
    @Klvn_Chriss Месяц назад

    Serikali inabidi iangalie ili swala la kuweka mazingira mazuri kwa vijana wenye mawazo wasio na pesa. Naamini kuna mawazo mengi yanapotea kwa sababu ya mazingira mabaya just imagine uyo angekata tamaa.

  • @hekimaambangile2512
    @hekimaambangile2512 8 дней назад

    FCC NI KITU GANI

  • @GbpAud_King
    @GbpAud_King Месяц назад

    Mawaziri hawandika wamekaa tu

  • @ibmjuma
    @ibmjuma Месяц назад

    alikuw na Kesi amtoka kwan

  • @smallscaleminingsupplies9670
    @smallscaleminingsupplies9670 Месяц назад

    Grant funding si mikopo mkuu, sema ni misaada tu