Bahati Bukuku ft Bony Mwaitege - Dawa Yangu (Official Video)
HTML-код
- Опубликовано: 7 апр 2024
- Music Video by Bahati Bukuku featuring Bony Mwaitege performing "Dawa Yangu" from the Ep (DAWA YANGU).
The music Video was shot in Dar es Salaam, Directed by Fahim Rasham.
Stream/Download ‘Dawa Yangu’ EP - smartklix.com/DawaYanguEP
Follow now Bahati Bukuku on Social Media
Instagram: Bahatibukuku_tz
#BahatiBukuku #DawaYangu - Развлечения
Nipe like za Kenya 🇰🇪 na Uganda 🇺🇬
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Upeleke wapi
Ambao mnakubali Bahati Bukuku akiwa Boni mwaitege tujuane Kwa Like
Wanyakyusa wawili. Neema ya YESU iwalinde mzidi kuimba injili
J'aime bien
👌👌👌🙏🙏🙏
Mungu ni Mwema sn❤
🥰🙏
Wanawo juwa kuwa inchi Yangu Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 ipo kwenyi vita njooni tu ungane kwa ajili yaku ombeya inchi Yangu Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 🇨🇩 na Africa nzima wa Africa sote ni wamoja gonga link APA kama una amini ilo good song na Big up saana kwa ndugu Zangu wote wa Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 MUNGU awabriki sana wa Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 tuna wapenda saana jamani
🇹🇿🤝🇨🇩💪💪💪
@freretoms5119
Naipenda inchi yangu ya Congo 🇨🇩 nawapenda wa Congo piya ndugu zangu hakika tushikamane tuombeye amani ya Congo 🇨🇩 🤝🤝 mimi piya ni mzaliwa wa Congo 🇨🇩 ila nimekomaliya Burundi 🇧🇮 na sasa niko Saudi Arabia 🇸🇦 MUNGU asimame na sisi wa Congo African yotwe kwa ujumla na tupendane tuwe na umoja beberu mzungu hawezi pata na fasi ya kupenya tukishikaman pamoja na MUNGU yote yanawezekana. ❤❤❤❤
MUNGU yupo na Congo mpaka sasa Naamini Ipo siku AMANI NA UPENDO UTATAWALA
@@alex_vincent Amen Amen hakuna kitu kinaco kuwa na mwanzo kikose mwisho. Na haya yatapita tu yaliyo pita yalikuwa makubwa kuliko haya. Na mbele ni pazuri tumutangulize MUNGU mbele na tuombe sana. na tuace kujipendekeza kwa hawa wazungu jamani wazungu niwezi hawana jema na mtu mweusi mu African misaada yao na kusomba watu wakiwapeleka ulaya sii kwa wema ao upendo lahasha wanataka mbinu zao ili waibe mali na baraka za African. So wa African tuamke tuamke tena jamani African bila mzungu tunaweza tunaco kila kitu MUNGU alitupa kila hitaji letu kama Bin Adam kila taifa aliwapa sawasawa na gisi walivyo kwa kiyasi cao lakini sisi wa African alitupendeleya sana ndomana wazungu wana wivu na mali za African. Samahani kwa kutoka inje ya mada,na waraka mkubwua 😔😔😔😔
@@GatekaNene AMINA
Mungu awape Amani watu Wa Mungu.
Dawa yangu ni Yesu.mume wangu amenisubir nitok supermarket ili anionesh iyi song❤nipe like from France 🇫🇷
Dawa yangu ni Bwana Yesu🙏🙏🙏😊I love you from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
❤❤❤❤🎉🎉🔥🔥📌👍
Wakenya Kwa nyumba❤❤❤
Likes zikam..
Mungu wangu nipe like za 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 Congo jamani ❤❤
This song i will dance 🪩 at my son's wedding markus 💍💍 by grace of God 🎉🎉🎉🙏🙏🙏all is about Jesus ❤🇰🇪🇩🇪
Watu chukueni dawa iyo ambayo ni Yesu hamtojutia kamwe, ombeni, fungeni na aminini kuwa mmepokea. Mauwa kwenu Bahati na Boni
❤❤I have found my wedding song in Jesus's Name Amen, God bless you my sister & brother for this a touching holy spirit song🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇴
Wait ,,i thought bahati bukuku was announced dead through an accident,,how comes now ??
🎉🎉🎉
Congratulations
@@MargaretAwinja-ls7hx my dear those are fake youtubers who are just looking for subscribers, the woman of God Still a live in Jesus's Name
@@donniexjuddex7499 what a hell 😟😟 its not gud at all,,
Pp
P
P
P
Waliopokea ujumbe na kuielewa hii song gonga like apa
Najivuna ❤❤❤
Moto sana kenya
❤❤❤❤❤that is why I 💕 gospel music I will sing forever for Jesus. Am Danwhy Agwata gospel minister from Kenya. Also am a song writer. Siri yangu ni Yesu
Zile ndoa ambazo Zina kutoelewana yafaa waskie hii song I believe it will change everything.kama wanisupport nipe like
Wow what a great job, mwaka huu lzima huu uimbwe kwa harusi yangu from Kenya 🇰🇪 wapi like
Wow wow ❤❤
wapi likes za hawa mashujaa wetu Bahati na Bonny🇰🇪🇰🇪🇰🇪💪
This song is Soo good...wakenya tuko wapi. Jamaniiiiiii...🔥🔥🔥🔥..na anasikia vile nasikia walaiii....tamuuu... someone feel tagged ❤️❤️❤️
Ambao mnakubali Bahati Akiwa na Bony👍tujuane wakutoka🇧🇮🇷🇼like zenu
I leave this message here for future reference that God Works for those believes in him😊💪
When you hear bahati bukuku and bonny mwaitege its 🔥🔥🔥🔥🔥
Feeling blessed from kenya.....
Team kenya pita like
Sifakwamungu mungu awabaliki❤❤❤
Asante Mungu Kwa Kuwapa Hekima Ya Kutuleteya Ngoma Nzuri Kam Hii🎉🎉🎉🎉
Tunataka hio dawa, nyimbo safi sana❤
Mama na Baba mmeiimba vyema hii nyimbo
Bahati bukuku ilikuwa umenyamaza sana wakenya tumekumisi sana wapi like ya wakenya
Wakenya let's show Bukuku some love🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hawa ndo wa kongwe like kwaoo jaman
God is our final answer, God is good. Be blessed
🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲 Zambia loves you ✌️✌️🙏🙏🙏
Mbeya home sweet like zijae apa🎉
Dawa ya Ndoa ni Yesu.....................Hapo nimekubali kwa 100%
Nani pia alikuwa akingojea video ya huu wimbo much love from 🇰🇪🇰🇪
Dawa yangu ni Yesu, hacheni tupewe
My wedding song with whoever I don't know 😢😊
Baby tena,na mbingu imemuhishimisha na sio mungu tena😮daaah!!!
My wedding song am waiting
From Kenya, Blessings come down my life like thunder while listening to this song after Picha ya Mama that left me burning my cheeks with hot tears. Be blessed ministers,May God be on your side always😊😊
Kwa Kweli dawa ni Yesu ❤❤❤❤❤❤kazı NZURI sana mama Angu
Tuokuwa kuwa tumemmiss Babati Bukuku naomba like zenu🇹🇿🇹🇿🇹🇿
❤🇰🇪Amen ,Yesu yuko na tena ajibu maombi
I just love this woman of God so much...na kama ipo daaawa ya ndoa naomba nipewe bas ❤
Woman of God? who is not of God??
@@ngangajeremiah9912 wewe uko na mambo yako!! Ulikuwa unataka nimwite woman of satan ama nini inakuwasha?? Mwanzo wewe hata ni mwanaume bro sijui jina woman of God inakuwashia nini
Kenya tunakupenda pls allow us to download huu wimbo nataka kuchezea kwa harusi yangu end month pls
Dawa yangu ni yesu❤
Si dawa yako tu mtumishi mbali nidawa yetu sote wakristo waenda mbinguni wachamungu ubalikiwe sana mtumishi kwaujumbe mzuri mungu azidi kukutumia
Dawa n Yesu naamin ata mm nitafanikiwa kwa mambo yangu
❤❤❤❤Amen watumishi wangu mbarikiwe sana keep up 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
From Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪, huu wimbo 🔥🔥🔥🔥🔥 siri ni Yesu
Ubarikiwe mama yangu kwa messege❤❤❤ na nikwel dawa yoote ni yesu na hilizi nimaombi❤❤❤❤❤
Mung azidi kukuinua bahat bukuku unatubark sana❤❤❤
Ndiyo Dawa yetu sisi wa Kristo ni Yesu,, ❤❤, hatuna hirizi yoyote ila Yesu,,,, 📖🕊️♥️🇨🇩♥️🇨🇩📖♥️
Wazee wa maana hawa ❤❤❤❤ tujuane bc
👇🏿
Feeling blessed from kenya#dawa ni yesu
Jamani Nyimbo nzuri sana ❤❤❤❤bwana Yesu awabariki sana Nyimbo ya harusi nzuri tena saaanaa ❤hongereni sana
Nimemiss kuona wimbo wenu wapamoja jmn sifa kwa mungu ❤❤❤❤
From Kenya am ohangla gospel rhumba kazi safi watumishi nipewe likes tukifuatana
❤❤❤
Mungu awaongezeye Hekima nyingi,, ili mutunge nyimbo nzuri zakuwafariji wakristo wote Kwa jumla na wapagani kwa upekee 🕊️🇨🇩♥️📖🕊️🇨🇩♥️📖
Amen 🙏 jameni yesu diye dawa Kwa Kila jambo ni amen ❤❤❤❤❤❤❤
Maombi kitu ya muhimu sana❤
Wimbo mzuri kutoka kwa wasanii tajika ulimwenguni ❤ nawapenda sana Bahati na Boonny ❤😊
Namshukuru Mungu Mwenyezi kwa uhai wa mamangu. Thank you for the beautiful song, Mama ❤
Jesus is my medicine i know that oneday my family will be proud of me 🇲🇼🇲🇼
Nipeni liké zangu tafadhali❤🇨🇩🇨🇩
Uko sahihi mtumishii wa Mungu , mwenyezi Mungu azidii kukupa afya uendelee kutufunzà mandikoo yake tu.
Amen dawa yangu yesu. Much love from kenya
Hakika dawa ni yesu.
Mi niko Kenya 🇰🇪 ila mzaliwa burundi 🇧🇮 comment yangu nasema mrudi studio hii nyimbo nzuli sana Mungu awabariki sana inaenda kuandika history kubwa duniani I love it by the way ❤❤❤❤
Uongoooo studio ama wameharibika hawa
Why do you feel there's need to introduce yourself
Kila kolabo ya bahati na mwaitege ina kuwaga ❤, nipeni likes 100 🙏
Mungu njo muweza wayote mama hongera kwanyimbo zuri zakutufariji Sisi wenye kuteswa🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 Congo njo nyumbani.
Bukuku,u are the dawa of Africa tazama wimbo yako ni zambia 🇿🇲
Wow very powerful song full of message dawa ni Yesu irisi maombi powerful ❤❤❤❤❤❤🎤🎤🎤🎤✨️✨️✨️✨️✨️🔥🔥🔥🔥
You're blessed, mom 🎉.
More success and breakthrough!!.
From Israel 🇮🇱.....
Mungu akubariki kila wakati.Nyimbo zako zina ujumbe mzuri sana.Endelea kufanya kazi ya Mungu
Usiku huu wa kuamkia tarehe 10.04.2024 nimeota ndoto kwamba nimemtembelea mch. Bahati Bukuku. Alitupokea vizuri sana na tukawa tuna mazungumzo yanayohusu ufalme wa Mungu. Mch. Bahati alikuwa mchangamfu sana lakini pia alionekana amekonda sana kimwili. Nilipoamka na kuingia youtube ndipo nikakutana na huu wimbo. Mimi siyo shabiki au follower wake!
Kila la heri kwa wanadoa Mungu alinde ndoa zenu.
Ma'am u bless me amen❤❤❤kenyan love yesu tu ndo dawa
Naweza hii song till kwa arudi yangu ata kama sina bwana but Mungu ataleta
Dawa yangu ni Yesu tu🙌🙌👃👃👃
Asanteni sana Muzazi Wangu nakupenda sana kwawimbo muzuri
Irizi yetu ni yesu mamangu kweli
Inshallah this will be my wedding song. God of restoration remember me.
Hongereni sana. Mungu ni wa wote.
Hili ngoma miezi miwili watu mil 10 wataiona ni hatarii ogopaa
You are our gospel legends wapi like za kenya
This song reflects my life directly. Dawa yangu ni yesu
Dawa Yanga ni nyimbo nzuri tangu nilipoisikiliza kupitia audiomack mwaka Jana mwezi wa sita
Wimbo mxuri sana much love ❤️ from 🇰🇪
Siri yangu maombi🙏👌 i agree100%
Mungu awabariki sana
Zambia 🇿🇲 listening to Gods love songs rich with His grace and blessings. Thank you mama Bahati and Bon
My wedding song is here 💗
More blessing to you madam BAHATI BUKUKU.
Bukuku kumbe yupo...tangu dunia Haina huruma uliacha kutuonea huruma ulipotea ila nafurahia🌎
Mbn ana nyimbo jrb kuchek na picha ya mama, wimbo wke huo
Moz kumbe mama bado unatupenda nasi pia tunakupenda ❤
Mnifikishe 20 likes🔥
Greatest love from team🇰🇪🇰🇪
I will be happy if you feature embarambamba.yule kaka ndipo asipotee bure❤
Kenya tunakupenda mum
Bahati Bukuku nakupendaga Sana yani
Hakika Siri kubwa ipo kwa Yesu. Hirizi yangu mimi ni Yesu tu
Ila nyie tuseme kweli bahati bukuku anajua anajua anajua tena yaani Mungu akulinde sana mamangu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wow aim blessings true this song 🙏🙏🙏 Dawa ya Amani ya ndoa yangu n yesu tuu
This song is going to get millions of viewers in Jesus name
Amen ❤