HIFADHI MEMA by Jennifer Mgendi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024
  • HIFADHI MEMA VIDEO by Jennifer Mgendi
    Producer:
    Video: BRAYANCE, Audio: SUCCESS RECORDS

Комментарии • 503

  • @user-ou4ht9sg5h
    @user-ou4ht9sg5h 6 месяцев назад +13

    YANI MAMA JENIFA NAPENDA NYIMBO UNAZO IMBA🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮ATAKAMA NIPO MBARI BASI TUKUTANIYE MBINGUNI MUNGU AKIPENDAAA🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦ATA NIKO MBARI NAPENDA NYIMBO ZAKO ONGERA ❤❤❤❤❤❤TENA AMENEEEE

  • @rebeccamaunde4085
    @rebeccamaunde4085 5 месяцев назад +12

    Hakika nimebarikiwa na huu wimbo keep going sister Jennifer...upendo kutoka kenya

  • @owandjanoella9921
    @owandjanoella9921 5 месяцев назад +9

    Barikiwa my dear maman Jennifer mungu akupe mwisho mwema❤❤❤❤👌👌👌💯💯💯

  • @janetkithi775
    @janetkithi775 6 месяцев назад +6

    Asante sana mama mcha MUNGU 🙏🏿🙏🏿😭😭😭. Nmejifunza kitu kwa hii wimbo

  • @alphanlukombe3774
    @alphanlukombe3774 6 месяцев назад +23

    Mimi ni muislamu safi kabisa lakini huyu mama nampenda sana nyimbo zake zinafundisha sana pamoja na bahati Bukuku mpaka nashindwa kujua yupi yupo juu zaidi ya mwenzake

  • @user-fl3kx1pf4i
    @user-fl3kx1pf4i 6 месяцев назад +5

    Ubarikiwe Sana Mtumishi Wa Mungu,hii ni injili iliyokamilika kabisa,kweli Mungu anasihi kupitia vinywa vya Watumishi wake🙏

  • @DoreenSoka-un7oh
    @DoreenSoka-un7oh 6 месяцев назад +5

    Waooooo Mom this is so wonderful be blessed more mom imekuwa surprised na video Mungu aibariki kazi hii yenye ujumbe mzuri ❤🙏

  • @georgedavid8358
    @georgedavid8358 6 месяцев назад +8

    Mama yetu Mungu akutunze sana wewe ni hazina kubwa sana

  • @RobinaSharon-rt3hn
    @RobinaSharon-rt3hn 6 месяцев назад +8

    Umbarikiwe mum from Kenya den nilikuwa naomba huu wimbo utoe movie vile ulitoa wema ni akiba

  • @user-oc5oj8ch6w
    @user-oc5oj8ch6w 6 месяцев назад +6

    Utuwombeye,tuyishi n'a Joyce,tupate pesa il tukuye tukuwone mama wubarikiwe mile.

  • @stellahjoel546
    @stellahjoel546 6 месяцев назад +4

    Hakika huu Wimbo ni Mzuri Sana Ujumbe Mzuri Nakukubali Sana Jenifer

  • @SamyAmani-e7n
    @SamyAmani-e7n Месяц назад

    Mama kila wimbo unapo zihimba zime ni Saidia sana kiroho hata kiakili namuhomba mungu akuzidishia Siku na akuongezee akili, hekima maishani mwako

  • @ujumbekwawaulimwengu
    @ujumbekwawaulimwengu 5 месяцев назад +3

    Amen 🙏 ❤ ubalikiwe sana na Mungu hakika wewe ni mwimbaji mzuli 🎉

  • @msaniiezekielkamoyani
    @msaniiezekielkamoyani 5 месяцев назад +2

    Unayo yafunza NI kweli kabisaa .. thenks for your message to us... Blessed song I say 5:00 5:02 ❤❤🎉🎉

  • @sechekaweya6347
    @sechekaweya6347 5 месяцев назад +1

    Waoooh nimebarikiwa sana jamani wimbo mzuri sana jamani yani kama kawaida yako MUNGU aendelee kukutumua love you mami Jenifer

  • @fidelajackson2723
    @fidelajackson2723 6 месяцев назад +4

    Amen,Amen, Amen. Ubarikiwe sana na Mungu wa mbinguni Jennifer Mgendi.

  • @esthermliga4875
    @esthermliga4875 6 месяцев назад +5

    Amen mtumishi wa Mungu , Asante Kwa ujumbe mzuri, natakiwa kuhifadhi mema ndani ya moyo wangu!!! Eeh Yesu nahitaji neema Yako! Mungu azidi kukutumia na kukuinua kweny viwango vya juu zaid ktk kumtukuza yeye Amen

  • @mamapraise9382
    @mamapraise9382 6 месяцев назад +4

    Hongera sana dadangu Jennifer Mgendi kwa wimbo huu wenye funzo kubwa.

  • @bertinntawe8115
    @bertinntawe8115 5 месяцев назад +1

    Chombo cha Bwana ,unatubariki sana Burundi 🇧🇮 Imâna Iguhezagire...from Glory to glory,Komera

  • @praise-oi5nz
    @praise-oi5nz 5 месяцев назад +2

    Much love mama more blessing ❤

  • @kimlolakimlolanelly6330
    @kimlolakimlolanelly6330 3 месяца назад +3

    Hongera sana kwa wimbo mzuri mtumishi wa Mungu pastor Jennifer Mgendi

  • @gaudiosamweha1792
    @gaudiosamweha1792 5 месяцев назад +1

    Safi sana kwakweli .Mama kwakweli unajua kutembelea cycolojia za binadamu.Huu wimbo na ule Wema ni akiba hazichuji.sijui uliwaza nn.Mungu nisaidie tu nami niwe mbunifu sana.igizo nigeuze wimbo ujumbe ufike.Mungu akulinde mama

  • @nusrathmanyawa4501
    @nusrathmanyawa4501 5 месяцев назад +1

    Yaani mama yangu wewe hakika baraka zindani yako❤❤❤

  • @ZaireMudeba-lx8pt
    @ZaireMudeba-lx8pt 6 месяцев назад +7

    Ubarikiwe sana Dada yetu

  • @allanmapito3688
    @allanmapito3688 2 месяца назад +1

    Asante Kwa kazi hii Jennifer, asubuhi mchana tunaiskiliza
    Ubarikiwe sana mamaa

  • @janethsolomon5923
    @janethsolomon5923 5 месяцев назад +1

    Mama hauzeeki jamaniii, Mwenyezi Mungu Azidi kukulinda na kukuinua Zaidii🙏🙏🙏

  • @ElizabethMikah
    @ElizabethMikah 5 месяцев назад +2

    Hongera dada Jenifa.Mungu azidi kukubariki.Akuzidishie afya njema Ujumbe ni mzuri nimeupenda sana.

  • @user-tn7xo4tw7p
    @user-tn7xo4tw7p 5 месяцев назад +1

    Nyimbo nzuri sanaaa ubarikiwe Mwenyezi Mungu azidi kukupandisha kwa viwango vingine❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @WiselightOfficial
    @WiselightOfficial 6 месяцев назад +3

    Amen mama ubarikiwe sana nimependa hii wimbo❤❤

  • @noahwekesa2097
    @noahwekesa2097 5 месяцев назад +1

    Mami aki nyimbo zako ziliponya nafsi yangu.Sasa hivi ningelikuwa marehemu lakini tulia moyo uliniponya wakati nilitaka kuangamiza maisha yangu.be blessed

    • @JenniferMgendichannel
      @JenniferMgendichannel  5 месяцев назад

      Hakika Mungu ni mwema asante kwa ushuhuda Mungu azidi kukutunza

  • @trestar_tz
    @trestar_tz 5 месяцев назад +1

    We Missed a lot of educative informations from our beloved mom through her Verses🙏Be blessed and live long 🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @emanuelmkama1325
    @emanuelmkama1325 5 месяцев назад +1

    Uyu mama jaman unanibarik Sana mpka nitafanya nae nyimbo ,Mungu ni mwema IPO sku

  • @christinamatai2408
    @christinamatai2408 6 месяцев назад +28

    Wimbo una mafunzo makubwa sana huu, ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu 🙏 🙏 🙏

  • @isackmwakanyuma8725
    @isackmwakanyuma8725 5 месяцев назад +1

    Aminaa ubarikiweee sna mam wimbo mzuri san wenye mafundisho has wakati huu

  • @JanethJackson-i9n
    @JanethJackson-i9n Месяц назад +1

    Ubalikiwe Kwa wimbo mzuri mtumishi was mungu

  • @user-bp7bm3fk1s
    @user-bp7bm3fk1s 6 месяцев назад +7

    Ujumbe mzur,ubarikiwe sana

  • @tuyisengeplacide5440
    @tuyisengeplacide5440 5 месяцев назад +1

    Nakupenda Sana huku nchini Rwanda tangu nione ile firamu yako pigo la faraja nlifurahi Sana ndo maana nakupenda Sana kwa uhubili wako

  • @SteveniSichalwe-ku7rq
    @SteveniSichalwe-ku7rq 2 месяца назад

    dada mungu akuzidishie maladufu naakupemaisha malefu 1000000000000 ilituzidi kupada Uduma iliyo nzulikutoka kwako❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @mrnickmusician7139
    @mrnickmusician7139 5 месяцев назад +2

    Ubarikiwe sana mtumishi keep it up 🇰🇪🇰🇪🙏🙏🙏

  • @zionfahariofficial2057
    @zionfahariofficial2057 6 месяцев назад +3

    Mum Nakupenda buree 🥰🥰,Jamani Unanibariki Sana

  • @yopasiamselabuye7456
    @yopasiamselabuye7456 5 месяцев назад +2

    Ni wimbo wenye sauti ya Mungu ndani yake 🙏

  • @user-oc5oj8ch6w
    @user-oc5oj8ch6w 6 месяцев назад +3

    Bibi yangu Joyce anapenda weye sana uko Toroko ug.

  • @aminahakeem897
    @aminahakeem897 5 месяцев назад +1

    Mungu akubariki kwa ujumbe mzuri ndani ya maisha tunayoishi hapa duniani!

  • @irenebaya6296
    @irenebaya6296 2 месяца назад

    Nabarikiwa sana na wimbo huu ,glory be to almight God from 🇰🇪🇰🇪

  • @user-oc5oj8ch6w
    @user-oc5oj8ch6w 6 месяцев назад +2

    MUNGU akubariki ni mimi Yusuf muchumba wa joyice amen

  • @esperuku9627
    @esperuku9627 5 месяцев назад +3

    Nice song and GOD blessed you ❤❤❤❤♥️♥️♥️💕💕💕

  • @FerdinandRwehumbiza
    @FerdinandRwehumbiza Месяц назад

    Inspirational and soothing song. May Lord continue to bless you.

  • @urbanmission3072
    @urbanmission3072 5 месяцев назад +2

    ❤❤❤❤❤❤❤ MIE NILIKUPENDA TANGU ZAMANI,HATA KAMA ULINIJATAA BAS TU NTAENDEREA KUKUPENDA SANA PIA NAIPENDA NA IMENIBSRK SANA HUDUMA YAKO

  • @JoyceShitsugane
    @JoyceShitsugane 3 дня назад

    Always your songs are very practical and full of examples people do and meet in life, God bless and preserve you.

  • @harrisonhudson6312
    @harrisonhudson6312 5 месяцев назад

    Wow what a lesson...bible on the ground..hifadhi mema

  • @everlyneeshitubi9795
    @everlyneeshitubi9795 5 месяцев назад

    Congratulations 🎉 Mama kwa wimbo mzuri huo listening from Kenya 🇰🇪 🇰🇪❤

  • @user-wd8vy3uu8s
    @user-wd8vy3uu8s 5 месяцев назад

    God bless you mummy I love your songs always nyimbo yenye mafunzo🙏🙏🙏🙏🥰

  • @rwanikakisosi6756
    @rwanikakisosi6756 2 месяца назад

    Dada yetu jenifer mwenyesauti yaki pekeee barikiwa sana mjakazi w Bwana

  • @eliamtinda7222
    @eliamtinda7222 6 месяцев назад +1

    Blessings, blessings to you My Sister Jennifer.
    Powerful massage aki!

  • @SuleimanOmary-zv5du
    @SuleimanOmary-zv5du 6 месяцев назад +4

    🎉❤nice 🎵 song be bless u 🎉🌹🙏

  • @Emmanuel_Singu
    @Emmanuel_Singu 3 месяца назад

    Hongera sana Mtumishi wa Mungu, Jennifer. Wimbo mzuri sana na una ujumbe mzuri sana. Ubarikiwe sana!

  • @cosmahassan7262
    @cosmahassan7262 6 месяцев назад +3

    Vidio nzuri mama umependeza sanan sana sana

  • @alain-seraphinniyomutabazi2018
    @alain-seraphinniyomutabazi2018 4 месяца назад

    Hongela saana mama jennifer mungu akupongeze uzidhi kufahuru❤

  • @ChanilaKitwima-zc6ko
    @ChanilaKitwima-zc6ko 5 месяцев назад +1

    Aminaa! Tusichoke katka kutenda mema tutalipwa tusipozmia roho

  • @VianneyNduwimana-g1w
    @VianneyNduwimana-g1w 2 часа назад

    Kweli mama enderea gukomboa myoyo zetuu

  • @kevy254
    @kevy254 6 месяцев назад +2

    Tamuu sana mamii ❤❤❤

  • @EugenieTundwa
    @EugenieTundwa 3 месяца назад

    Wandugu zangu imwimbo unamana sana tena nifindisho kubwa saaaaaana kabisa

  • @shaniachanceline2751
    @shaniachanceline2751 5 месяцев назад +1

    Amen! Nice song. God bless you, sister.❤❤❤❤❤❤❤

  • @KelviniMfweya
    @KelviniMfweya 3 месяца назад

    Mungu akubariki Kwa mafundisho mazuri kupitia huu wimbo.

  • @luciamaganga1872
    @luciamaganga1872 4 месяца назад

    Ubarkiwe sana mama,,wimbo wako wa wema ni akiba ulinijenga sana

  • @furahinimbwambo
    @furahinimbwambo 5 месяцев назад +2

    Hongera Sana Nyimbo nzuri sana

  • @wakurusimba2945
    @wakurusimba2945 2 месяца назад

    Ooh my God nyimbo tamu saana hii amima nimebarikiwa

  • @YOHANAMOGOLO
    @YOHANAMOGOLO 3 месяца назад

    Safi San dad ubarikiwe kwa wimbo wako mzur unatufundishs

  • @HappyAsukile
    @HappyAsukile 2 месяца назад

    Hongela dada,huu wimbo una mafundixho mazuri sana.❤

  • @catendinda620
    @catendinda620 5 месяцев назад

    Aki may the Lord bless you mama and give you more Grace,,,iyo wimbo Ikona message ndani yake Aki,,,,mm uwa naiskiza kila saa God bless you mummy

  • @gaudiosamweha1792
    @gaudiosamweha1792 5 месяцев назад +2

    Usikute mama umezaliwa tar 2 au 9 au 27 mana tuna kipaji Cha uimbaji uigizaji ubunifu na uchoraji uchongaji.Kweli nimebarikiwa sana.wimbo wa wema ni akiba na huu zimenisisimua moyo sana.

  • @user-os3tt6ru7k
    @user-os3tt6ru7k 26 дней назад

    Nakupenda janepha kwa huduma yako pa kwa dressing code yako.

  • @JayGWacson
    @JayGWacson 5 месяцев назад

    Hongera sana mama mungu akubariki sana akufikishe Mbali Sana naitwa JAY G ❤❤❤❤

  • @RukiaDzombo-uf7wp
    @RukiaDzombo-uf7wp 5 месяцев назад

    Wimbo mzur sana wenye mafunzo,,, ubarikiwe sana mamangu, nakupenda sana

  • @salomeg.n8512
    @salomeg.n8512 5 месяцев назад

    Wimbo wenye mafunzo mengi love from Kenya 🇰🇪.

  • @LilianWilliam-te5um
    @LilianWilliam-te5um 4 месяца назад

    Barikiwa mtumishi wa Mungu kwa ujumbe mziri❤🙏

  • @richardkobelo6241
    @richardkobelo6241 5 месяцев назад +2

    Ubarikiwe naendelea kufanya kazi ya Bwana

  • @alexmathias6620
    @alexmathias6620 5 месяцев назад +2

    ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉 hakika ukifa hauozi, apewe maua yake mwana mama huyu kwanza ananikosha kwenye mavaz yake ❤❤❤❤❤❤

    • @JenniferMgendichannel
      @JenniferMgendichannel  5 месяцев назад +2

      Hapo umezidisha chumvi 😃😃

    • @alexmathias6620
      @alexmathias6620 5 месяцев назад

      @@JenniferMgendichannel hakuna Cha chumvi Wala Nini kiufupi wewe Ni mama wa kuigwa kwa Kia kitu kwanza mavazi, Ni ya kuigwa uimbaji wako maneno yako pia Ni ya yanafundisha, Kama nyimbo zote zingelikua zipo Kama za kwako pia mavazi ya wasanii yakawa Kama ninavomuona mama huyu aise hayupo mtu ambae angelisema kua waimbaji wa sasa sio, yaan kila ninapojaribu kusikiliza nyimbo zako Kuna vitu ambavyo huwa najifunza, na kutamani kuingia Jerusalem upewe sifa mama 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @AnnyAnitha-dj6uv
    @AnnyAnitha-dj6uv 6 месяцев назад +1

    Nakupenda ❤❤❤❤

  • @godfreyswai4965
    @godfreyswai4965 5 месяцев назад

    Hongera sana wimbo nimzur sana ubarikiwe,tunajifunza mengi

  • @stellahjoel546
    @stellahjoel546 5 месяцев назад

    wimbo Mzuri Ujumbe Mzuri Sana Ubarikiwe Nyimbo zako hua zinanibariki Sana.

  • @michaelmaganga9539
    @michaelmaganga9539 5 месяцев назад

    Asante sana Jennifer, very very touching msg in this song. Be blessed mom...

  • @AugustusNdau
    @AugustusNdau 3 месяца назад

    Huu wimbo una ujumbe mzuri sana, ubarikiwe mwimbaji

  • @papamacheso
    @papamacheso 6 месяцев назад +1

    Amen ulifanya nikaanza kuimba barikiwa

  • @vincentjuma6457
    @vincentjuma6457 5 месяцев назад

    Good message imenifunza na imenibariki🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @rodgersmaundu7823
    @rodgersmaundu7823 5 месяцев назад

    Am young coming musician from Kenya am being blessed by you mama umekua wa baraka kwangu ..I believe God one day will meet with you na tutafanya kazi pamoja nanguzwa sana na nyimbo zako

  • @elishapembese1963
    @elishapembese1963 5 месяцев назад

    Neema ya Mungu inayokuatamia siku zote iendelee maana hujaacha msingi wa huduma yako mimi nakufurahia Sana asante kwa ujumbe mzuri LUKA 6:45

  • @ev.amanimwandodavid3653
    @ev.amanimwandodavid3653 6 месяцев назад +2

    Iyi ni Kali ya mwaka ❤️❤️❤️❤ 🇨🇩 Jennifer Mgendi

  • @vickytango5591
    @vickytango5591 5 месяцев назад

    Mmh dadangu unazidi kupendeza aisee na mavazi umepatia yaani umeng'aa mnooooooooo

  • @AroniTembo
    @AroniTembo 3 месяца назад

    Amen mtumish was mungu uduma yako ninjema sana

  • @TheophilaSanka-my7sl
    @TheophilaSanka-my7sl 2 месяца назад

    Kilamtu hutoa kilicho moyoni mwake nice song

  • @laxmajor
    @laxmajor 5 месяцев назад +1

    Ngoma Kali Sana mtumishi wamungu 😍

  • @sophianamutosi7241
    @sophianamutosi7241 5 месяцев назад

    Perfect message from God
    Be blessed 💯💯💯

  • @charlesbaraka3428
    @charlesbaraka3428 6 месяцев назад +1

    Ujumbe mzr sana barikiwa mtumishi

  • @boazlihanda6579
    @boazlihanda6579 8 часов назад

    Amen barikuwa

  • @user-po3bh5ow3x
    @user-po3bh5ow3x 3 месяца назад

    MUNGU akupe nguvu mama yetu kipenzi ❤❤❤❤❤uzidi kutoa ujumbe utakao komboa wana damu

  • @princesumary7356
    @princesumary7356 5 месяцев назад

    Hayandio maubiri kwanjia yanyimbo❤❤ubarikiwe mtumishi❤❤❤

  • @NEHEMIAHSHAKINI
    @NEHEMIAHSHAKINI 6 месяцев назад +1

    Ubarikiwe sana mama, kwa wimbo mzuri sana,

  • @Victoria-bv6xu
    @Victoria-bv6xu 3 месяца назад

    Amina God bless you sister Jennifer 💞

  • @dorothsoak4835
    @dorothsoak4835 6 месяцев назад +2

    Ubarikiwe Sana mama. Nijifunze nijue kuhifadhi mema ili Mungu aseme na maisha yangu. Tunajivunia kufanya kazi na wewe Mungu akuinuee sanaaa. Tunakupenda