YANI MAMA JENIFA NAPENDA NYIMBO UNAZO IMBA🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮ATAKAMA NIPO MBARI BASI TUKUTANIYE MBINGUNI MUNGU AKIPENDAAA🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦ATA NIKO MBARI NAPENDA NYIMBO ZAKO ONGERA ❤❤❤❤❤❤TENA AMENEEEE
Mimi ni muislamu safi kabisa lakini huyu mama nampenda sana nyimbo zake zinafundisha sana pamoja na bahati Bukuku mpaka nashindwa kujua yupi yupo juu zaidi ya mwenzake
Amen mtumishi wa Mungu , Asante Kwa ujumbe mzuri, natakiwa kuhifadhi mema ndani ya moyo wangu!!! Eeh Yesu nahitaji neema Yako! Mungu azidi kukutumia na kukuinua kweny viwango vya juu zaid ktk kumtukuza yeye Amen
Safi sana kwakweli .Mama kwakweli unajua kutembelea cycolojia za binadamu.Huu wimbo na ule Wema ni akiba hazichuji.sijui uliwaza nn.Mungu nisaidie tu nami niwe mbunifu sana.igizo nigeuze wimbo ujumbe ufike.Mungu akulinde mama
Mami aki nyimbo zako ziliponya nafsi yangu.Sasa hivi ningelikuwa marehemu lakini tulia moyo uliniponya wakati nilitaka kuangamiza maisha yangu.be blessed
Usikute mama umezaliwa tar 2 au 9 au 27 mana tuna kipaji Cha uimbaji uigizaji ubunifu na uchoraji uchongaji.Kweli nimebarikiwa sana.wimbo wa wema ni akiba na huu zimenisisimua moyo sana.
@@JenniferMgendichannel hakuna Cha chumvi Wala Nini kiufupi wewe Ni mama wa kuigwa kwa Kia kitu kwanza mavazi, Ni ya kuigwa uimbaji wako maneno yako pia Ni ya yanafundisha, Kama nyimbo zote zingelikua zipo Kama za kwako pia mavazi ya wasanii yakawa Kama ninavomuona mama huyu aise hayupo mtu ambae angelisema kua waimbaji wa sasa sio, yaan kila ninapojaribu kusikiliza nyimbo zako Kuna vitu ambavyo huwa najifunza, na kutamani kuingia Jerusalem upewe sifa mama 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Am young coming musician from Kenya am being blessed by you mama umekua wa baraka kwangu ..I believe God one day will meet with you na tutafanya kazi pamoja nanguzwa sana na nyimbo zako
Ubarikiwe Sana mama. Nijifunze nijue kuhifadhi mema ili Mungu aseme na maisha yangu. Tunajivunia kufanya kazi na wewe Mungu akuinuee sanaaa. Tunakupenda
YANI MAMA JENIFA NAPENDA NYIMBO UNAZO IMBA🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮ATAKAMA NIPO MBARI BASI TUKUTANIYE MBINGUNI MUNGU AKIPENDAAA🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦ATA NIKO MBARI NAPENDA NYIMBO ZAKO ONGERA ❤❤❤❤❤❤TENA AMENEEEE
Asante sana hakika Mungu mwema katika yote
Hongera sana
Nice song my dear mam..
@@BensonKesi🎉
Hakika nimebarikiwa na huu wimbo keep going sister Jennifer...upendo kutoka kenya
Asante sana na Mungu akubariki zaidi
Barikiwa my dear maman Jennifer mungu akupe mwisho mwema❤❤❤❤👌👌👌💯💯💯
🙏 🙏 🙏 i love ❤️ you dear siz Jennifer for free go go 🚶♀️ 🎉🎉
Asante sana na iwe hivyo
Ameen amen thanks♥️
Asante sana mama mcha MUNGU 🙏🏿🙏🏿😭😭😭. Nmejifunza kitu kwa hii wimbo
Amen Asante sana
Mimi ni muislamu safi kabisa lakini huyu mama nampenda sana nyimbo zake zinafundisha sana pamoja na bahati Bukuku mpaka nashindwa kujua yupi yupo juu zaidi ya mwenzake
Wewe nimuislamu wakweli kabisa maana huna ubaguzi unaangalia ukweli na sio udini
Wote wako vizur hakuna wa kumzidi mwenzie
Mungu akubariki sana
Hivyo ndivyo inavyotakiwa Allah akubariki
Ubarikiwe Sana Mtumishi Wa Mungu,hii ni injili iliyokamilika kabisa,kweli Mungu anasihi kupitia vinywa vya Watumishi wake🙏
Amen Mtumishi asante sana
Waooooo Mom this is so wonderful be blessed more mom imekuwa surprised na video Mungu aibariki kazi hii yenye ujumbe mzuri ❤🙏
Mama yetu Mungu akutunze sana wewe ni hazina kubwa sana
Amen Asante mwanangu
Umbarikiwe mum from Kenya den nilikuwa naomba huu wimbo utoe movie vile ulitoa wema ni akiba
Amen ngoja tuone Bwana akifungua milango nitaitoa
@@JenniferMgendichannel Amen
Utuwombeye,tuyishi n'a Joyce,tupate pesa il tukuye tukuwone mama wubarikiwe mile.
Hakika huu Wimbo ni Mzuri Sana Ujumbe Mzuri Nakukubali Sana Jenifer
Amen kiongozi wangu ubarikiwe sana ♥️♥️
Mama kila wimbo unapo zihimba zime ni Saidia sana kiroho hata kiakili namuhomba mungu akuzidishia Siku na akuongezee akili, hekima maishani mwako
Amen 🙏 ❤ ubalikiwe sana na Mungu hakika wewe ni mwimbaji mzuli 🎉
Asante Mungu ashukuriwe sana
Unayo yafunza NI kweli kabisaa .. thenks for your message to us... Blessed song I say 5:00 5:02 ❤❤🎉🎉
Amen Asante sana
@@JenniferMgendichannel most welcomed
Waoooh nimebarikiwa sana jamani wimbo mzuri sana jamani yani kama kawaida yako MUNGU aendelee kukutumua love you mami Jenifer
Amen,Amen, Amen. Ubarikiwe sana na Mungu wa mbinguni Jennifer Mgendi.
Amen mtumishi wa Mungu , Asante Kwa ujumbe mzuri, natakiwa kuhifadhi mema ndani ya moyo wangu!!! Eeh Yesu nahitaji neema Yako! Mungu azidi kukutumia na kukuinua kweny viwango vya juu zaid ktk kumtukuza yeye Amen
Hongera sana dadangu Jennifer Mgendi kwa wimbo huu wenye funzo kubwa.
Chombo cha Bwana ,unatubariki sana Burundi 🇧🇮 Imâna Iguhezagire...from Glory to glory,Komera
Much love mama more blessing ❤
Amen be blessed
Hongera sana kwa wimbo mzuri mtumishi wa Mungu pastor Jennifer Mgendi
Safi sana kwakweli .Mama kwakweli unajua kutembelea cycolojia za binadamu.Huu wimbo na ule Wema ni akiba hazichuji.sijui uliwaza nn.Mungu nisaidie tu nami niwe mbunifu sana.igizo nigeuze wimbo ujumbe ufike.Mungu akulinde mama
Yaani mama yangu wewe hakika baraka zindani yako❤❤❤
Ubarikiwe sana Dada yetu
Amen Asante sana
Asante Kwa kazi hii Jennifer, asubuhi mchana tunaiskiliza
Ubarikiwe sana mamaa
Mama hauzeeki jamaniii, Mwenyezi Mungu Azidi kukulinda na kukuinua Zaidii🙏🙏🙏
Hongera dada Jenifa.Mungu azidi kukubariki.Akuzidishie afya njema Ujumbe ni mzuri nimeupenda sana.
Asante kipenzi
Nyimbo nzuri sanaaa ubarikiwe Mwenyezi Mungu azidi kukupandisha kwa viwango vingine❤❤❤❤❤❤❤❤
Asante napokea viwango hivyo
Amen mama ubarikiwe sana nimependa hii wimbo❤❤
Mami aki nyimbo zako ziliponya nafsi yangu.Sasa hivi ningelikuwa marehemu lakini tulia moyo uliniponya wakati nilitaka kuangamiza maisha yangu.be blessed
Hakika Mungu ni mwema asante kwa ushuhuda Mungu azidi kukutunza
We Missed a lot of educative informations from our beloved mom through her Verses🙏Be blessed and live long 🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Uyu mama jaman unanibarik Sana mpka nitafanya nae nyimbo ,Mungu ni mwema IPO sku
Amen Asante sana
Wimbo una mafunzo makubwa sana huu, ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu 🙏 🙏 🙏
Muhando roza
Hakika Wimbo ni mzuri na una mafundisho mazuri sana. Big up Mgendi Mungu akubariki.
I like this
😘🥰🥰💖💗❤🙏🙏🙏
❤❤❤🥰🥰🥰🙏🙏🙏🙏
Aminaa ubarikiweee sna mam wimbo mzuri san wenye mafundisho has wakati huu
Ubalikiwe Kwa wimbo mzuri mtumishi was mungu
Ujumbe mzur,ubarikiwe sana
Nakupenda Sana huku nchini Rwanda tangu nione ile firamu yako pigo la faraja nlifurahi Sana ndo maana nakupenda Sana kwa uhubili wako
dada mungu akuzidishie maladufu naakupemaisha malefu 1000000000000 ilituzidi kupada Uduma iliyo nzulikutoka kwako❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ubarikiwe sana mtumishi keep it up 🇰🇪🇰🇪🙏🙏🙏
Amen Asante sana
Mum Nakupenda buree 🥰🥰,Jamani Unanibariki Sana
Asante mwanangu ubarikiwe
Ni wimbo wenye sauti ya Mungu ndani yake 🙏
Asante Mtumishi
Bibi yangu Joyce anapenda weye sana uko Toroko ug.
Mungu akubariki kwa ujumbe mzuri ndani ya maisha tunayoishi hapa duniani!
Nabarikiwa sana na wimbo huu ,glory be to almight God from 🇰🇪🇰🇪
MUNGU akubariki ni mimi Yusuf muchumba wa joyice amen
Nice song and GOD blessed you ❤❤❤❤♥️♥️♥️💕💕💕
Thanks so much
Inspirational and soothing song. May Lord continue to bless you.
❤❤❤❤❤❤❤ MIE NILIKUPENDA TANGU ZAMANI,HATA KAMA ULINIJATAA BAS TU NTAENDEREA KUKUPENDA SANA PIA NAIPENDA NA IMENIBSRK SANA HUDUMA YAKO
Mungu akubariki
@@JenniferMgendichannel AMEN AMEN AMEN.ASANTE SANA.
Always your songs are very practical and full of examples people do and meet in life, God bless and preserve you.
Wow what a lesson...bible on the ground..hifadhi mema
Congratulations 🎉 Mama kwa wimbo mzuri huo listening from Kenya 🇰🇪 🇰🇪❤
Asante sana Mungu akubariki
God bless you mummy I love your songs always nyimbo yenye mafunzo🙏🙏🙏🙏🥰
Dada yetu jenifer mwenyesauti yaki pekeee barikiwa sana mjakazi w Bwana
Blessings, blessings to you My Sister Jennifer.
Powerful massage aki!
Amen Amen asante sana
🎉❤nice 🎵 song be bless u 🎉🌹🙏
Hongera sana Mtumishi wa Mungu, Jennifer. Wimbo mzuri sana na una ujumbe mzuri sana. Ubarikiwe sana!
Vidio nzuri mama umependeza sanan sana sana
Hongela saana mama jennifer mungu akupongeze uzidhi kufahuru❤
Aminaa! Tusichoke katka kutenda mema tutalipwa tusipozmia roho
Amen Asante kweli kabisa
Kweli mama enderea gukomboa myoyo zetuu
Tamuu sana mamii ❤❤❤
😃amen asante sana
Wandugu zangu imwimbo unamana sana tena nifindisho kubwa saaaaaana kabisa
Amen! Nice song. God bless you, sister.❤❤❤❤❤❤❤
Amen thanks so much
Mungu akubariki Kwa mafundisho mazuri kupitia huu wimbo.
Ubarkiwe sana mama,,wimbo wako wa wema ni akiba ulinijenga sana
Hongera Sana Nyimbo nzuri sana
Ooh my God nyimbo tamu saana hii amima nimebarikiwa
Safi San dad ubarikiwe kwa wimbo wako mzur unatufundishs
Hongela dada,huu wimbo una mafundixho mazuri sana.❤
Aki may the Lord bless you mama and give you more Grace,,,iyo wimbo Ikona message ndani yake Aki,,,,mm uwa naiskiza kila saa God bless you mummy
Asante Nashukuru sana Mungu akubariki
Amen mum
Usikute mama umezaliwa tar 2 au 9 au 27 mana tuna kipaji Cha uimbaji uigizaji ubunifu na uchoraji uchongaji.Kweli nimebarikiwa sana.wimbo wa wema ni akiba na huu zimenisisimua moyo sana.
Hahahaaa eti eeh?
Nakupenda janepha kwa huduma yako pa kwa dressing code yako.
Hongera sana mama mungu akubariki sana akufikishe Mbali Sana naitwa JAY G ❤❤❤❤
Asante sana napokea baraka
Wimbo mzur sana wenye mafunzo,,, ubarikiwe sana mamangu, nakupenda sana
Asante sana Mungu akubariki
Wimbo wenye mafunzo mengi love from Kenya 🇰🇪.
Asante Mungu akubariki
Barikiwa mtumishi wa Mungu kwa ujumbe mziri❤🙏
Ubarikiwe naendelea kufanya kazi ya Bwana
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉 hakika ukifa hauozi, apewe maua yake mwana mama huyu kwanza ananikosha kwenye mavaz yake ❤❤❤❤❤❤
Hapo umezidisha chumvi 😃😃
@@JenniferMgendichannel hakuna Cha chumvi Wala Nini kiufupi wewe Ni mama wa kuigwa kwa Kia kitu kwanza mavazi, Ni ya kuigwa uimbaji wako maneno yako pia Ni ya yanafundisha, Kama nyimbo zote zingelikua zipo Kama za kwako pia mavazi ya wasanii yakawa Kama ninavomuona mama huyu aise hayupo mtu ambae angelisema kua waimbaji wa sasa sio, yaan kila ninapojaribu kusikiliza nyimbo zako Kuna vitu ambavyo huwa najifunza, na kutamani kuingia Jerusalem upewe sifa mama 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nakupenda ❤❤❤❤
Hongera sana wimbo nimzur sana ubarikiwe,tunajifunza mengi
Amen Asante sana
wimbo Mzuri Ujumbe Mzuri Sana Ubarikiwe Nyimbo zako hua zinanibariki Sana.
Amen Asante sana
Asante sana Jennifer, very very touching msg in this song. Be blessed mom...
Amen son thanks so much
Huu wimbo una ujumbe mzuri sana, ubarikiwe mwimbaji
Amen ulifanya nikaanza kuimba barikiwa
Nashukuru kusikia hivyo
Good message imenifunza na imenibariki🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Am young coming musician from Kenya am being blessed by you mama umekua wa baraka kwangu ..I believe God one day will meet with you na tutafanya kazi pamoja nanguzwa sana na nyimbo zako
Neema ya Mungu inayokuatamia siku zote iendelee maana hujaacha msingi wa huduma yako mimi nakufurahia Sana asante kwa ujumbe mzuri LUKA 6:45
Iyi ni Kali ya mwaka ❤️❤️❤️❤ 🇨🇩 Jennifer Mgendi
Amen Asante sana
Mmh dadangu unazidi kupendeza aisee na mavazi umepatia yaani umeng'aa mnooooooooo
Asante kipenzi
Amen mtumish was mungu uduma yako ninjema sana
Kilamtu hutoa kilicho moyoni mwake nice song
Ngoma Kali Sana mtumishi wamungu 😍
Asante Mtumishi
Perfect message from God
Be blessed 💯💯💯
Ujumbe mzr sana barikiwa mtumishi
Amen Asante sana
Amen barikuwa
MUNGU akupe nguvu mama yetu kipenzi ❤❤❤❤❤uzidi kutoa ujumbe utakao komboa wana damu
Hayandio maubiri kwanjia yanyimbo❤❤ubarikiwe mtumishi❤❤❤
Amen Asante sana
Ubarikiwe sana mama, kwa wimbo mzuri sana,
Amen Asante sana
Amina God bless you sister Jennifer 💞
Ubarikiwe Sana mama. Nijifunze nijue kuhifadhi mema ili Mungu aseme na maisha yangu. Tunajivunia kufanya kazi na wewe Mungu akuinuee sanaaa. Tunakupenda