Lakini watanzania n wachoyo,yaani ndugu Yao anatoa wimbo kama hii na hata comments hawako🤣🤣🤣🤣sisi wakenya kweli tuko n umoja,Kenya hoyeee let's support our brother this is soo encouraging🙏🙏🙏🙏
Mimi Ni mkenya na kusema ukweli nampenda huyu mtumishi wa mungu Christopher mwahangila. sabubu ngoma zake sinatibu magonjwa yote, oooh Asante Sana my brother nataka siku moja nikutane na wewe.
huyu mtu wa MUNGU kaitwa kweli kwa njia ya kuimba Yan iviunajua anaimba kwa Robo mtakatifu kwel Mungu azidi kukuinua nabarikiwa ninapo ckiliza nyimbo zako amen amen.
Kuna nyimbo zingine unaposikiliza unaingia automatically Rohoni kama umebarikiwa na huu wimbo like hapa BWANA AENDELEE KUKUINUA NA KUSIMAMA NA WEWE MTUMISHI
Am a kamba but I love this songs they are Soo encouraging and they have a good message 🧎🧎fanyika ngazi kwangu wapi likes za wakamba na anyone amefikiwa na hii message
This song come at a time am going through breakdown in my life right, left but hearing the massage am fully blessed 🙏🙏🙏🙌 thanks dear God for my battle's are in your hands 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Asili yetu sote tulio na pumzi ni Mungu. Barikiwa mtu wa Mungu. Piga kazi baba watu wapokee wokovu nawe utazidishwa kwa kipimo cha kujaa na kusukwa sukwa. We Yesu ondoa giza kwangu.
Hizi wimbo huwa nazikilza nangalia hile hali napitia nasema kweli mungu ni mkuu atafanyika daraja ndio niweze kupita much love from kenya i listen it from saudia
Simama nami mungu..mtu wa Mungu.. Wimbo umejaa.. Full annointing.. Yesu aendelee.. Kukutumia.. Hekima ya Mungu Ugiriki ndani yako daima.. Milele.. Ameen.
Mungu simama nami kila wakati na family ygu,,,nakuhitaji kila dakika katka hya maisha,,,sina mwigne ila ww,,,nakutegemea millele ,,,,kwako hamna jambo usiloliweza,Amen,,,,Wimborne mzuri una maombi mzuri
Ikiwa umeguswa na maneno ya wimbo huu wa kaka Christopher katika kujiimarisha, piga likes.
From Congo 🇨🇩
❤❤❤vraiment kuko présence ya MUNGU
Sio like tu bari na machozi . Kwa Yesu bazuri eeh niwekee kiu ya maombi ndani yngu 😢
Ametu Baliki sana kwa wimbo mzuli huu
Amen🙏🇹🇿
Ur not in bed
Ur not sick
Ur not dead
Let us praise God more times and times praise God
SHOUT A BIG AMEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEN
Wakenya likes zote hapa ,,,,,,,let's congratulate this man of God🎉🎉🎉
We love him so much 🇰🇪 more grace man of God
Wimbo wa ajabu sana unagusa Mtima wa Moyo abarikiwe mtumishi huyu wa Mungu kwa Mafuta haya
Asante sana nyimbo zsinitia nguvu barikiwa sana @@Josphine-t3q
Amen 🙏
Kabisaa anatubariki Sana nyimbo zake zinatutia Moyo kwa hii dunia🙏🙏❤️🥰
Ikiwa wimbo huu umekugusa kwa %100 toka USA naomba like hapa.
If you feel the presence of God through this Song just hit a thumbs up 👍,,,,,,l'm from kenya🇰🇪🇰🇪
Amen,His mercies endures forever
@@mutwirinathan6823 Amen🙏
Mungu yuko God bless you brother
Team kenya🇰🇪. Nipitieni
This man is anointed by God his songs are a blessing to my heart
Mungu simama nami kwamaisha yangu maana sitaweza bila wewe🙏🙏wakenya msipite bila kuweka likes hapa🇰🇪🇰🇪
Mungu nenda mbele yangu baba
From Kenya nipitie
🎉🎉🎉🎉
Yeyote ausikie wimbo huu akiwa kwa hali ngumu, Mungu awe daraja letu na asimame nazi. Hivi punde tutarejea na ushuhuda.
Mungu simama nami baba
Amen
Amina🙏
In Jesus name 🙏
Ubarikiwe musanii mzuri sana Mungu akuzidishie musanii wako.kwa wimbo huu umeinua roho zenye masikitiko
Lakini watanzania n wachoyo,yaani ndugu Yao anatoa wimbo kama hii na hata comments hawako🤣🤣🤣🤣sisi wakenya kweli tuko n umoja,Kenya hoyeee let's support our brother this is soo encouraging🙏🙏🙏🙏
Kabisa Mungu atusamehe jmn cjaona comment ata moja ya tz
Soon huyu tunamuiba awe Mkenya kirasmi,sisi ndio tunatambua dhamana yake🙏🥰🥰🥰❤️
Soo bad
One of this fine days
😂😂😂
Let’s represent Kenya 🇰🇪 with our love ❤️ and likes here,we love you man of God
Team kenya nipitie
Je suis fortifié par cette que j'écoute tout le jours
Kenya🇰🇪 wapenzi wa Mungu 2024 imeweza🎉❤
Nampenda baba Mwahangila sauti yake nikiisikia nalia 😢. Que le seigneur Jésus-Christ vous bénisse vraiment. Kolwezi🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 Congo
Welcome Tz this is the land Gospel singers
😭😭😭hi ni maombi tupu . Mungu nikumbuke kweli..kuwa daraja univukishe eeh baba 😭
Wow powerful song,wakenya mko wapi kama mmabariwa n huduma yake pitieni n likes❤
Mungu wewe Ni kila kitu maishani mwangu... Ninakutegemea masia
simama nami baba siwezi bila wewe🙏🙏
Wakenya 🇰🇪 tupi kwa sana congole cna mutumishi wa mungu 🔥🙏🔥 Amina 🌹🌹🌹🌹
Fanyika dharaja kwangu yesu nipe nguvu ya kuvuka😢😢😢😢🙏🙏🙏🙌🙏🙏🙏🙌 amen amen 🙏🙏🙏🙏🙏 such a powerful touching song 😭😭😭 Barikiwa sana mtumishi wa Mungu 🙏🙌🙏🙌
At this time of worship God ,SIMAMA NA ANNASTASIA MUKABWA kwa Jina La Yesu akiwa kwa matibabu pale India 🇮🇳
From TikTok landed safely ❤❤❤❤❤😭😭😭😭😭 simama NAMI BABA🙌🙌🙌
Infact si kungoja ata iishe and came here immediately to download
Mimi Ni mkenya na kusema ukweli nampenda huyu mtumishi wa mungu Christopher mwahangila. sabubu ngoma zake sinatibu magonjwa yote, oooh Asante Sana my brother nataka siku moja nikutane na wewe.
huyu mtu wa MUNGU kaitwa kweli kwa njia ya kuimba Yan iviunajua anaimba kwa Robo mtakatifu kwel Mungu azidi kukuinua nabarikiwa ninapo ckiliza nyimbo zako amen amen.
From Kenya this will be hit song 2024❤❤❤😂
Very true 💯 🙏🙏🙏
Just imagine, Tanzania wanapenda zile zingine
From Kenya nipitie
😂R❤❤❤😂@@karehat5241
Sichoki kuisikiliza 🇰🇪🇰🇪
MUNGU akubariki sana mtumishi wa MUNGU, kweli wimbo huu umebeba maisha yetu kwa jumla, kweli MUNGU asimame kwetu sote.
Kuna nyimbo zingine unaposikiliza unaingia automatically Rohoni kama umebarikiwa na huu wimbo like hapa
BWANA AENDELEE KUKUINUA NA KUSIMAMA NA WEWE MTUMISHI
😭😭😭
Roho yangu
😂❤🎉
Hii ni sir ya kukubali kufundishwa na Mungu na sikutegemea akili ya kiubinadamu Baba nyimb zako ni🔥🔥🔥🔥
Amen ubarikiwe sana
Mungu wa Israel wakumbuke wanao.Kwa sababu umenitendea,nakuomba awatendee pia katika jina la Yesu kristo aliye mwokozi wa maisha yetu🙏.
Amen 🙏
Moi je suis du Togo je ne comprends pas la langue . Mais tes chansons me vont vraiment du bien
Jésus-Christ règne à jamais
Amen 🙏🙌 mungu asifiwe saana mutumishi tunagupenda saana from Rwanda 🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼💪💪💪💪
Am a kamba but I love this songs they are Soo encouraging and they have a good message 🧎🧎fanyika ngazi kwangu wapi likes za wakamba na anyone amefikiwa na hii message
From kamba land,nimekua nikiimba nyimbo zake kama Ni personal prayer and surely I can testify av seen God thru
@@maggyngara6915 ooh glory
Aaaaah nashindwa sijuwe niseme nini!!!!!! Mungu awabariki sana!!!!! 🙏🙏🙏🙏🙏 from Kolwezi(Congo) 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩.
Mungu akubariki sana wimbo mzuri sana naamini nyimbo zako zinabariki watu wengi na tunafunguliwa kupitia nyimbo zako
Kazi safiii babaa huku Kenya tu nakupenda Sana 🙏🙏😭😭😭🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Your songs always give me strength at my hand times ,simama na me🙏🙏 wa kenya tupite na likes zetu hapa
Mungu Wangu simama Na Mimi nakuhitaji.Watoto wako wana aibika..jidhihirishe kwetu eh Bwana...tunakuomba
Nipeni likes zote duniani nzima , from Congo 🇨🇩
Amen such a powerful song mungu simama na Mimi siwezi peke yangu 😔😔
Kenyans let gather here the song is 🔥
Am here Nipitie
Ihad loose hope but through this song inanipa nguvu katika nchii zaa waarabuu 😢😢😢🙏🙏🙏
Powerful song 🔥
Simama nami baba Mungu usiyeshindwa🙏🙏
God bless you mtumish
Mungu simama nami siku zote za maisha yangu in mighty Name of Jesus 🙏🙏🙏🙏
❤❤❤❤❤from Congo every day nasikiliza nyimbo zako nazime change maisha yangu long life Christophe
Wow powerful song ❤
Team kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 let's gather here Nipitieni
Mungu wanao tunakugemea kwa kila jambo, baba simama nasi... Hyu dada anafanya nashindwa kujizuia kulia...🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Me pia nimeliya ,afu nimeshausikiliza kama mara Tano .
Uinuliwe Yesu !!Mungu wa yasiyowezekana aa!
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 usinyamanz Mungu kuja kuniteteya,bila ww sitobaki salama , simama nami Mungu ❤
Amen hakika wewe ndio chanzo unzima wangu na baraka yangu
Wewe ni chanzo cha maisha yangu😢 fanyika daraja kwangu Mungu nipe nguvu ya kuvuka Mungu wanguu😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
What a prayer! Let me leave this comment here, i will come back with a testimony 🙏
Kenyans let's gather here 🎉
Team kenya nipitie pia
Complete messages 🍀
Hii wimbo nimekuwa nikiimba kila time mungu simama nani ni ww tu natengemea niondolee vita ni shindanie mungu😢😢
Barikiwa sana Mtu wa Mungu umefurahisha moyo wangu Nakupenda sana nakuthamini nakujali nakuombea Mtu wa Mungu
Leaving my comment here so that I will come to testify later....Wewe ni chanzo Cha mm kuwa hai
❤❤❤❤❤ nakupenda sana mimi ndoshabiki wako🎉🎉❤
From Kenyaaaa🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪...
Nyimbo kama hizi za kutuunganisha na Mungu tulizikosa.😢😢😢😢😢😢
Hakika zinatusogeza karibu
This song come at a time am going through breakdown in my life right, left but hearing the massage am fully blessed 🙏🙏🙏🙌 thanks dear God for my battle's are in your hands 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
From Kenya nipitie
Sure he's a mighty man of war
This man never disappoint..he delivery what God says
Na amini ni kweli anaweza yote, amina❤❤
Aneyetupa kushinda katikati ya adui.........🎉🎉🎉🎉
Asili yetu sote tulio na pumzi ni Mungu. Barikiwa mtu wa Mungu. Piga kazi baba watu wapokee wokovu nawe utazidishwa kwa kipimo cha kujaa na kusukwa sukwa. We Yesu ondoa giza kwangu.
All good names are yours my KING and My LORD. 🇰🇪🇰🇪
Simama na mimi baba,usichelewe kunijibu jehovah,Mungu wa yasiyowezekana unayaweza yote,,ondoa giza kwangu
Huyu Dada aliye imba naomba humu Mungu ambariki sana ameimba
Iko kiroho sn paka NAMI nikajikuta kuwa karibu na Mungu . Ieo ndo kusikiya uyu wimbo . 2024/06
Tena hadi upako umemshukia
Hizi wimbo huwa nazikilza nangalia hile hali napitia nasema kweli mungu ni mkuu atafanyika daraja ndio niweze kupita much love from kenya i listen it from saudia
🎉🎉🔥🔥🔥🔥
Amen barikiwa sana
Fanyika dalaja nami kwangu mungu wangu asante mtumishi wa mungu kwa ujumbe mzur
Lendged will always be 🔥❤ powerful gospel.
This song is mine God am waiting for you change this situation for me 😭😭🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Waaaaw❤. Hongera sana tena sana. Mwenzako muimbaji kutoka Rwanda. Mungu azidi kukulinda na kukuinuwa. Ummm wimbo mtamkabisa❤❤❤🎉🎉🎉
Mungu.azidi kukupa maisha marefu.kwa uimbaji wako wa nyimbo.zakufariji watu tena ni.tiba.kubwa.amina
Burundi ❤❤sana warundi mlipo nip likes
Kwakweli Mungu amulide naamuzidishiye kipawa cake cauimbaji amenigusa kwakweli
Amazing song 🎵 listening from England 🏴
YESUS RUDI MTETEZI MUME WA WAJANE🙇🏾♀️🙇🏾♀️🙇🏾♀️🙇🏾♀️
Mmmmmh mbona hivyo tena jamani 😢😢😢😢
Mungu..azidi kukupa neema yakukusaidia wakati wa mahitaji.. Wimbo wako umenibariki umenitoa mahali.. Makuburi nguvu..
Simama nami mungu..mtu wa Mungu.. Wimbo umejaa.. Full annointing.. Yesu aendelee.. Kukutumia.. Hekima ya Mungu Ugiriki ndani yako daima.. Milele.. Ameen.
Wenye tumekuja uku direct from tiktok gonga like
Mungu simama nami kila wakati na family ygu,,,nakuhitaji kila dakika katka hya maisha,,,sina mwigne ila ww,,,nakutegemea millele ,,,,kwako hamna jambo usiloliweza,Amen,,,,Wimborne mzuri una maombi mzuri
HAKIKA ASILI YANGU NI MUNGU KUWA HAPA NILIPO
Unatuponya wengi kwa nyimbo zako Mungu aendelee kupewa sifa kupitia huduma uliyojaaliwa
All the way from TikTok be blessed man of God 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏🙏
From Kenya nipitie
❤🎉 Blessed man of God 🎉.
I have a strong testimony,,,one day l will testify what God has done for me...God am Grateful 🙏 😭😭😭
Simama kwa hali zangu zote...
Simama mwenyewe bwana...
Amen 🙏🙌
Huu wimbo ni wa baraka....
Yaani kiukweli Mungu anakutumia kaka mwahangila Ili kutuponya wengine kupitia nyimbo zako ubarikiwe mno.
From tz songea tumebarikiwa sana na mtumishi wa Mungu c mhangila Mungu aendelee kukufanya chombo Cha kueneza neno lake muumba wa mbingu na nchi
Ooh yes.simama NAMI baba.ntashinda nkiwa na wewe tu.from Kenya with love❤❤
Huyu kwel ni mtumishi wa Mungu. Nimebarikiwa through this song
This is my testimony in this song 🙏 please God answer my prayers.. I know you know them before I even mention 😭😭😭😭😭😭
Amen amen amen amen amen sifa na utukufu sikurudie ww shalom nany ka ww mungu uliye hai😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
Wow powerful song👏wewe ndio asili ya maisha yangu simama na Mimi yesu wangu👏👏
I'm blessed with this song, I don't speak Swahili, but this song made me cry
May God bless you papa🙏😊
Simama nasi mungu😭😭😭❤❤❤❤
Halleluaaa,Yesu ondowa giza kwangu.
Simama nami Mungu pamoja na familia yangu ,wewe bwana ndiwe muweza wangu niwezeshe yesu Kwa kila jambo🙏🙏
Wewe ni chanzo Cha uzima wangu, Lord I'm grateful 🤲
Baba simama nami katika maisha mwangu🙏🙏
Simama nami Mungu wangu usiniache 😢😢🙏🙏🙏🙏
Mungu simama n mtoi wangu😢😢😢😢 kila Roho ya magojwa yashindwe
Fanyika kwangu Baba nitoke chini kwenda juu. Asante kwa wimbo mzuri unaonifanya nijisikie mshindi
Mungu simama na Mimi huu wakati mgumu🙏😭😭,, fanyika daraja katika maisha, kuwa mwangaza Kwa maisha yangu baba😭😭
Baada ya kuuskiza huu wimbo sitakufa moyo tena ...
Eee Mungu skia ombi la moyo wangu
Usinyamanze kimya Mungu wangu, naomba unipe kushinda baba angu 🙏🙏
Hongela mwahangila unajua Sana kaka 🇹🇿🇹🇿