From Kenya 🇰🇪 Tanzania 🇹🇿 wapi like za mwaipajaa napenda sana sister unavyoo imbaa unanibalikii SANAA mungu abalikoo sanaaa yakoo jomon gonga ata like khadaa jomoo😔😔😔😑😑😋
Mungu watofautishe watoto wangu na wengine,kuongea kwao,kutembea kwao ,ujana na ubint wao uwe wa tofauti na wengine ,Mungu wakumbuke watoto wangu wakutumikie
This song take me to 2011 when i was in high school when i used to beg for neighhood school fees .and knowbody didnt help me i used to cry day and night for GOD and now im working in Government officials and now im paying 4 neighboouring schoolfees .and has turning my crying to help the needy😢
Najitahidi ili nifike mwisho mwema,baba naomba nisaidie,unitofautishe na wewe,thanks dada mwaipaja nyimbo zako zinaanibariki sana mungu🙌aendelee kukuinuwa kwa kiwango Cha juu🙏🙏
Dada martha acha mungu akutofautishe na kina christine shusho walioacha injili na kufata tamaa ya fedha. May lord God bless you. Watching from +254🇰🇪🇰🇪
Nikiwa nauzuni moyoni mwangu 😢..ila nikisikiliza nyimbo zakotu nakuwa namani Sana ninasahau kilakitu... sister God bless you so much ❤❤❤ u made me happy 😊😊😊
Kuzaliwa katika mazingira ya ukristo ,kuongea katika lugha,kusoma neno kumbe bado haijatosha kufikilia ufalme wako Baba ,naomba unifunze na unisaidie nisiikane imani hadi mwisho ,vita vijapo uwe ngao na mtetezi wangu wa karibu
@@NelsonbernardoDaleli-jn6lyumelopoka bdo hujasema😏,,yaan umecomment bila kufkiria mara mbili kwa kifup bdo hujajielewa kwa kias chake..and second hucpende kuwasema watumishi wa mungu then hucpende kulopoka hucvyovijua kwsabb kuna kesho😊..km umjui vzr mtu ni bora umtafute mtu anayemfahamu akakueleza kuhusu huyo mtu kuliko kulopoka vitu kiolela ambavyo mwenye akili timamu akikuckilza anakuona hamnazo 😊.jitafakari
Mwamposa ni mtumishi wa Mungu, ila wewe kwa kuwa una *mungo wako Kama ulivyosema sio mbaya ila jehanum inakuhusu kwa kuhukumu usipobadilika utahukumiwa*@@NelsonbernardoDaleli-jn6ly
@@NelsonbernardoDaleli-jn6ly utamjua mungu bila watumishi waliofunuliwa maandiko??..Hakuna alokwambia anamtegemea mwamposa ndugu,..ni kiongoz wa dini kama wengine tunafuata mafundisho yake kama mtumishi wa mungu..chunga kinywa chako ndugu muombe mungu akutofautishe kwa hekima ya kutamka yaliyo mema
It's a very powerful prayer before our God Almighty. May the Lord bless you so much, you have a blessing to me. Continue with being humble no matter how lifted you are. It's by the grace of God
Maman yangu mungu azidikuku ongoza katika nja yakweli n'a haki wala Yesu asikubali upoteye hilini ombilangu kwa mungu usuige dunia wala usiige wanadamu ❤❤❤❤
Just love Your ministration Woman of God watching You from 🇬🇭 Ghana. Have almost all Your songs very spirit filled ( although I do not understand) more grace to You 🙏🙏🙏🔥🔥🔥
Kenyans we are in the house 🇰🇪🇰🇪piteni na likes za martha
Tuko ndani
Amen ❤🇰🇪.
Nitofautishe Yesu Amen,Mko wapi wakenya tubariki dada Martha kwa likes na subscription??
From Kenya 🇰🇪 Tanzania 🇹🇿 wapi like za mwaipajaa napenda sana sister unavyoo imbaa unanibalikii SANAA mungu abalikoo sanaaa yakoo jomon gonga ata like khadaa jomoo😔😔😔😑😑😋
Mungu anaanzagwa kuandikwa Kwa herufi kuba
Penda sana❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Martha may God uplift you again and again
,🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Wangapi wamewatch this song then wakapiga magoti wakaomba Kaa Mimi🧎🧎nipe like tu!nitashukuru🙏
Kweli kaka hii wimbo imenifanya nilie tena na kuomba
Kaka hi wimbo umebeba ujumbe mzito sana Mungu amjalie sana
Amina@@AbidanWamukota-uk5su
@@user-ms9jf3ct3bbarikiwa
@@user-ms9jf3ct3bbe blessed
Wa Zambia🇿🇲, Tanzania🇹🇿, Kenya 🇰🇪, Uganda🇺🇬 Na Inchi zingine njooni apa tuseme Mungu ni wa milele and apewe sifa. Thank you woman of God👏👏👏👏
Aya ubarikiwe 🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Ameen
🙏🙇👏🇺🇬🇺🇬
Why am I crying 😭
This song is a blessing
Lord please nitofautishe 🙏
Any Kenyan here
Martha Mwaipaja more love ❣️
Najitahidi Mimi ili nifike mwisho mwema, Baba naomba NITOFAUTISHE na wengine. Amina . mtumishi Mungu akubariki.
Nimependa ❤
Ombi langu hili Baba nitofautishe na wengine .......hongera dadangu kwa wimbo huu🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Much love from KENYA 🇰🇪 I do really love this song GOD bless you Martha TANZANIA wapi likes za KENYA 🇰🇪
❤❤❤❤
Mungu watofautishe watoto wangu na wengine,kuongea kwao,kutembea kwao ,ujana na ubint wao uwe wa tofauti na wengine ,Mungu wakumbuke watoto wangu wakutumikie
Amen and Amen
Hii nyimbo Jana kawe kwa Mwamposa ulipoimba kwa Mara ya Kwanza nilisisimkA kwa hisia nyimbo nzuri❤
Amen hatar mm pia nifika mbalisana
Nahisi uwepo wa Munyu niilipousikiliza huu wimbo,Yesu naomba nitofautishe na wengine ,amen
🇰🇪Nitofautishe na wengine yesu.Nitofautishe Baba niwe baraka kwa wengine🙏Amina
Na kumbuka wimbo tusi kate tamaa 🤭 ngoja ni utazame tena, kweli huyu mungu ni mwema 🇨🇩🇹🇿✔️🙏
This song take me to 2011 when i was in high school when i used to beg for neighhood school fees .and knowbody didnt help me i used to cry day and night for GOD and now im working in Government officials and now im paying 4 neighboouring schoolfees .and has turning my crying to help the needy😢
Amen
From Kenya 🇰🇪🇰🇪Mungu azidi kubariki huduma yako @Martha uzidi kubariki wengi kupitia nyimbo
Tuliousikiliza kwa mwamposa live ukiimbwa mkuje hapa na like❤❤❤❤❤
👋🏻
Amina
Tuko hapa
Pamoja
Amen
This lady is lifting most of us by her songs 😢🙏 God bless you Martha
Watching from Kenya,dada huyu nyimbo zake zagusa moyo ❤wapi like zake martha ❤❤❤❤🎉🎉
Any Kenyan please like tukisonga👊🙌🙌
utawezana 😅😅tuko wengi
@@HarrisonMurunga-xn9tj 😂😂😂😂lazima nianguke nao wote 😎
From RDC my name is MALISAWA BIN MLONGECA JUNIOR napenda kazi zako Martha Mwaipaja Mungu azidi kukupa nguvu upige atua zaidi ❤❤❤❤❤
Kenyans let's gather here for the love we have for Martha ....Gods message at home
Martha mwaipaja barikiwa sana Kenya 🎉🎉tunakupenda sana,,,,,, wapi likes za wakenya
Waaah data yangu we unibariki sana nanyimbo sako jamani ninani ubarikiwa kama mimi wakenya wenzangu nipe like yako please ❤
Umenibarikii sana na hio nyimbo
Baba naomba nitofautishe na wengine 🙏🙏.......am blessed with the song❤❤❤❤❤❤
Ni ombi langu mungu nitofautishe na wengii kuongea kutembea kuwaza kwangu niwe tofauti na wengi👏
Pamoja kenya nipo ndani ndani na likes zote atahazitoshi nyimbo za martha zinanitia nguvu sana❤
Najitaidi mimi ilinifike mwisho mwema, baba naomba nitofautishe na wengine🙏🙏
Kenya mnipe likes 😂😂
Martha hata sasa uko tofauti na wengine kabisa Mungu keshakutofautisha na wengine kabisa! Nakupa Big Up!!Glory to God kwako!! Martha.
We can’t get there by our own righteousness and good Deeds but from GOD only and his Holy Spirit guidance 🙌🏾🙏🏾barikiwa mama❤
🙏Emwenyezi mungu naomba nitofautishe na wengine katika kila kitu nikifanyacho.Heko dadangu
Her songs are a big motivation and of hope for another day...God bless her so that she continues blessing us too😊 Much love from Kenya 🇰🇪
Amen Yesu tutofautishe na wengine be blessed mamy love your songs from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Mungu akutofautishe zaid uzidi kumoendezaaa 🙏🙏🙏
Najitahidi ili nifike mwisho mwema,baba naomba nisaidie,unitofautishe na wewe,thanks dada mwaipaja nyimbo zako zinaanibariki sana mungu🙌aendelee kukuinuwa kwa kiwango Cha juu🙏🙏
I remember one day you came to the international airport of Goma 🇨🇩🇨🇩when I was sick you prayed for me and I was so healed in the name of Jesus Christ
Daaaah ❤❤ siseme tuu nyimbo ni 🔥 Mungu naomba nitofautishe na wengine😢
Iwe kwako kama ndio ombi lako...Amina..usiwe zuzu daraja la waovu kuelekea kuharibu kwa sababu unataka kuwa tofauti...Amina.
Wimbo Wa nguvu sana, nimependa sana mtumushi Wa Mungu Mch. Martha
From Kenya, but I love your songs mummy,,, congratulations mum, love you ❤❤❤❤❤, good songs, may God bless you 🎉
What a worship song, something that I'll play every morning when I wake up
Wimbo mzuri sana...Bwana nitofautishe🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽.
Ila nyimbo zako zote nazipenda na huzisikiliza kila wakati
It's has really touched me personally.
Speaking badly of others, what I won't like to be talked on
ameen mtumishi Martha..tangu jana kwa Mwamposa nilianza kupenda huu wimbo.umenibariki sana huu wimbo❤❤❤..nakupenda Odo wngu❤❤
Dada martha acha mungu akutofautishe na kina christine shusho walioacha injili na kufata tamaa ya fedha. May lord God bless you. Watching from +254🇰🇪🇰🇪
Nikiwa nauzuni moyoni mwangu 😢..ila nikisikiliza nyimbo zakotu nakuwa namani Sana ninasahau kilakitu... sister God bless you so much ❤❤❤ u made me happy 😊😊😊
Martha if u disappear for more than a month but once u back our hearts must be blessed 🙌 we love you Mama❤ may God gives you what u deserve 🎉🙏.
Huu wimbo unanibariki sana 😌’’Bwana naomba nitofautishe na wengine’’ 🙏
From TikTok to here dear blessed Martha Asante kwa huu wimbo saana ..barikiwa saana
Kuzaliwa katika mazingira ya ukristo ,kuongea katika lugha,kusoma neno kumbe bado haijatosha kufikilia ufalme wako Baba ,naomba unifunze na unisaidie nisiikane imani hadi mwisho ,vita vijapo uwe ngao na mtetezi wangu wa karibu
nakupenda sanaaaaa😘, MUNGU akupandishe viwango vya juu zaidi........,.
Baba naombaaaaaa nitofautishe na wengine,ili nifike mwisho mwema🙏 Amen
Tulio toka kanisani kwenye mkesha tujuwane hapa. Nilikua nasubili kwa hamu. Ameen ubarikiwe mtumishi🙏
Alaniwe MTU yule anayo mtegemeya mwamposa kuwa kinga yake, atupo KWA mkesha wa mwamposa 😞❌, tupo kwajili ya mungo pekee aliyo mbinguni, etc
@@NelsonbernardoDaleli-jn6lyumelopoka bdo hujasema😏,,yaan umecomment bila kufkiria mara mbili kwa kifup bdo hujajielewa kwa kias chake..and second hucpende kuwasema watumishi wa mungu then hucpende kulopoka hucvyovijua kwsabb kuna kesho😊..km umjui vzr mtu ni bora umtafute mtu anayemfahamu akakueleza kuhusu huyo mtu kuliko kulopoka vitu kiolela ambavyo mwenye akili timamu akikuckilza anakuona hamnazo 😊.jitafakari
Mwamposa ni mtumishi wa Mungu, ila wewe kwa kuwa una *mungo wako Kama ulivyosema sio mbaya ila jehanum inakuhusu kwa kuhukumu usipobadilika utahukumiwa*@@NelsonbernardoDaleli-jn6ly
@@NelsonbernardoDaleli-jn6ly utamjua mungu bila watumishi waliofunuliwa maandiko??..Hakuna alokwambia anamtegemea mwamposa ndugu,..ni
kiongoz wa dini kama wengine tunafuata mafundisho yake kama mtumishi wa mungu..chunga kinywa chako ndugu muombe mungu akutofautishe kwa hekima ya kutamka yaliyo mema
Mm
Wimbo mwema hakika,baba nitofautishe na wengine🙏🙏🙏🙏🥰🥰🥰🥰Martha barikiwa zaidi.dada♥️♥️♥️
Mungu azidi kukuinua... jana ulinibariki sana huu wimbo kwenye mkesha wa chako ni chako ❤
Nitofautishe Na wengine,,,,,🎉🎉🎉❤❤❤❤ Ameeen. kutoka Kenya
Kongole kongole kongole Martha,nimesubiri hii kibao kwa hamu na gamu. Mungu akunyenyekeze akikuinua kwa utukufu hadi kwa utukufu mwengine
This lady makes me feel blessed. The kind of songs you listen to and feel the presence of God in your life.
Baba naomba unitofautishe Na wengine🎉🎉🎉🎉
❤I really love 💕 the way anaimba hyu mama🎉 mungu amusaidie sana
Mungu azidi kukulinda martha maana nyimbo zako ni faraja kwa wengi,ni Mungu ametaka na lazima itakuwa❤❤
This woman is blessed, even though I don't understand this language but I love your music, all the way from Zambia
Powerful i believe one day i will be this powerful
You're so much blessed daughter of Zion ❤best of wishes from Kenya🇰🇪
Hakika hiyo siku anaimba nilifurahi mno Hongera da Martha may Almighty God be with you ❤
Jaman hata sjui niseme nn jaman kwanjins nyimbo za dada martha zinavyo nibariki MUNGU amlinde ❤❤❤❤❤❤❤
Nakupenda sana dada martha, mungu akubariki zaidi, napenda nyimbo zako
Masterpiece. From 254 naomba nitofoutishwe na wengine.Amina
Amina, congratulations and thanks again for the song
It's a very powerful prayer before our God Almighty. May the Lord bless you so much, you have a blessing to me.
Continue with being humble no matter how lifted you are. It's by the grace of God
Mawazo yangu zitafautishe na wengine. Wimbo wa baraka kweli 🔥
Yanivunja moyo kabisa 😭😭😭😭 Barikiwa dada mupendwa 💗 Nitafautishe Yesu wangu🧎🧎🧎🧎🧎🙏🙏🙏🙏
Natamani kuimba pia mbinguni mimi ninapo sikiya wimbo huu I am feeling in the heaven 💕💕💕💕
Maman yangu mungu azidikuku ongoza katika nja yakweli n'a haki wala Yesu asikubali upoteye hilini ombilangu kwa mungu usuige dunia wala usiige wanadamu ❤❤❤❤
👍✔☑✅🏌️♂️🏌️♀️🤝💗💕💟❤🧡💞🤾♂️
Martha Mwaipaja nakupenda saaaana unanifurahisha sana katikati ka nyimbo zako Mungu Mwenye mbalaka nakuombeya mwisho mwema dada yangu
Wow wonderful song.... Nitofautishe na wengne 👏 👏 👏
My prayer is to be different from others this song touched me....alot of love from zambia 🇿🇲
What is coming from my spiritual mommy is🔥🔥🔥
God bless Martha, the song is full of grace 🙏
Let's take the views 2 million East Africa 🌍
From Kenya napenda hizi nyimbo zako Sana ningekua Na uwezo ningetamani niwe Karibu nawe ningefika mbali zaidi
I LOVE ❤ YOU VERY MUCH MWAIPAJA, KISUMU - KENYA TUNAOKOKA, BUNGE NDIO TUNVAMIA HUKU KENYA 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ulipoibwa Huu wimbo nilimwona Mungu akinitia nguvu sana,barikiwa mtumishi
What Kind Of Sound!!! Unsearchable 🎉! God bless you Martha ❤❤❤
🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Natamani niwe baraka kwa wengi
❤❤❤❤I love your music 🎶🎼🎶🎼 too okwitwi
@@lumosinewton9333 amina Asante saaana 🙌
Najitahidi mimi ili nifike mwisho mwema,amen be blessed 🙌
Amen I like it,mungu naomba nitofautishe na wewe Kwa vyovyote vile
May Almighty God continue to use you as his vessel his mouthpiece. 🙏🏽🙏🏽🇬🇧🇬🇧
Une très belle révélation et inspiration divine que le nom de Jésus Christ soit toujours élevé à jamais Âmen !❤❤
Blessed my sister mwaipaja MUNGU akutanguliee❤❤❤❤
This song really blessed me 🙏🙏🙏❤ from Mwanza Tanzania 🇹🇿 but am a Kenyan 🇰🇪
From lubumbashi drc 🇨🇩
Asante sana Mungu kwa kipaji ulimupa sista mwaipaja.
Nyimbo nzuri sana na enjoy.
Am here mourning bishop Allan kiuna, with this song 😭😭😭😭 bishop amefika mwisho mwema 😭😭
Blessing song 👌
Watching from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Just love Your ministration Woman of God watching You from 🇬🇭 Ghana. Have almost all Your songs very spirit filled ( although I do not understand) more grace to You 🙏🙏🙏🔥🔥🔥
yesu akutunze nimeusikiliza zaidi ya kusikiliza najiunga manisha na maombi haya.bwana NITOFAUTISHE NA WENGINE👐
Wow! Amen. Wimbo MZURI sana. Mungu azidi kukutenda mema Mtumishi wa Mungu
Baba naomba unitofautishe na wengine iwe kuongea kwangu,mawazo yangu,kutembea kwangu ili nifike mwisho mwema hayo niaombi yangu baba mwaka huu
My prayer to you lord nitofautishe na wengine from Kenya I feel blessed
Huu wimbo ni mzuri sana niliusikia jana kanisani kwa mwamposa
❤❤❤❤baba naomba nitofautishe na wengine.
Hili ni ombi langu kwa Mungu 🙏🙏
Mungu akupandishe juu. Nilikuwa niki isubiria sana.