Kuna kitu Nimejifunza mum Kutoka kwa huu wimbo,Wakati mwengine haitupasi kuongea,kumbe Wakati Mungu amekubalia ndio mmbadala kwetu Kujibu,Hongera Sana,uje pia Kenya tunakukaribisha 🙏🙏😍 ni Fahari
Our gospel industry in Kenya wanaimba vituko...just secular camouflaging as gospel. God bless Tanzania and Kenya...may God bring true salvation to Kenya.
When I lost my marriage this song strengthened me and for real I have seen God answer some allegation that were plotted against me. 10 years now and He still answers on my behave. Sio lazima useme wala kujibu mungu ujibu kwa ajili yetu. What a soul lifting song.
Martha Mwaipaja jua tu ya kwamba kama uko na wafuasi 10M mimi ni mmoja wao, wakiwa 10K mimi ni mmoja wao, wakiwa 1K mimi ni mmoja wao na kama ni mmoja tu basi ni mimi. Napenda nyimbo zako sana, uwa zina ujumbe na mafunzo mazuri sana. I wish one day I will see you perform live. Much love from Kenya.🔥🔥🔥🔥
Anytime Martha get into those studios, whatever comes out is always gem💎. The world is happy Martha exists. Tanzania is lucky Martha sings. God is proud He gave Martha a life.
Finally. I love the consistency. The Bible says the tongue is the most dangerous organ in the body, and this song is an exact portrayal o the same. Lets prepare the way the Messiah Jesus is coming. Leave all sin and walk in HOLINESS AND RIGHTEOUSNESS. AMEN
Nakupenda Sana una kitu Cha tofauti Cha MUNGU ILA ACHA KUBADILISHHA HIZO KUCHA NA MAPAMBO YA DUNIA ACHANA NAYO YANAKUCHELEWESHA SANA KUWA MTII NJIA YA MBINGUNI NI NYEMBAMBA SANA SONGA MBELE
Waaauuu!!the song touches me differently.... thank you momma.. silent is best medicine.. Thank you for the song🙏🙏🙏am humbled sitaki ku jibu..more grace of evengical
amen and amen. kuna watu wamejaa dharau kwangu mimi lakini huu wimbo umenifanya nipate nguvu. Mungu ataniinua wakati wangu. thanks mwaipaja you are a blessing. sitajibu kitu...na Nilijifunza kunyamaza. 💝💖
Amen , thank you dadaangu for this song ,I'm blessed yes mungu akitaka kutenda anakuja mwenyewe ,sitasema kitu Hadi mungu awe amesema Amen ,much love from Kenya 💓💓💓💓
My wish is to attend a concert by Martha.....your songs 🎵 my oh my....tears plus joy....euphoric....not sure even if that is the correct word to use. Utakuja lini Kenya 🇰🇪 😍 dadangu?
I wish understood what Martha is singing about but am fascinated about the song and the singer. I paused to listen to it a few times whenever it came up on Trace Gospel. The tunes played up again today in my mind I came looking for it here. Comments here show people feel the same way I do about the song. Great vibes, Martha. Consider having lyrics translated in English for your int'l audience. Blessings!
Heavenly Father I pray you keep the person reading this alive, safe, healthy & financially blessed. Amen
Amen......May your words be fullfilled in Jesus name
Amen🙏🙏🙏
Smirk-@3
Mungu akubariki sana Martha mwaipaja Kwa kazi nzuri unayo ifanya plus akuongezea miaka mingi Duniani ili uendelee kumuimbia
Kuna kitu Nimejifunza mum Kutoka kwa huu wimbo,Wakati mwengine haitupasi kuongea,kumbe Wakati Mungu amekubalia ndio mmbadala kwetu Kujibu,Hongera Sana,uje pia Kenya tunakukaribisha 🙏🙏😍 ni Fahari
Uop
My favourite song so blessing❤
Hakika
C@@mosiria3974
td
We are pathologists dealing with people with unbearable pain. As we comment,we wish everyone reading this good health and God"s Blessings
Pia Mimi sitaki majibu ya mwanadamu, nangoja majibu kutoka kwako mwenyezi Mungu..
MARTHA MWAIPAJA MUNGU AKUBARIKI KWA KIPAJI HIKI KIMENI BADILISHA ❤❤❤❤❤
Staki kujibu hatakama jibu ninalifahamu ..... greater thinker's.
Mungu azidi kukubariki Martha huu wimbo mwaka 2023 ulikuwa ndiyo tiba yangu nilipita pagumu sana, Ila this song was my therapy!
Aki your songs hits different🔥🔥🔥who else replayed this song more than 5times 😊be blessed Martha
Aamen
Download
this mother makes such amazing songs God bless you more
Our gospel industry in Kenya wanaimba vituko...just secular camouflaging as gospel. God bless Tanzania and Kenya...may God bring true salvation to Kenya.
When I lost my marriage this song strengthened me and for real I have seen God answer some allegation that were plotted against me. 10 years now and He still answers on my behave. Sio lazima useme wala kujibu mungu ujibu kwa ajili yetu. What a soul lifting song.
Even me ilost my marriage 2020 July bt ... God alisimama na mm kupitia kwa hii wimbo
Glory to God…my sister 🫂
Nakupenda buree Martha Nafarijika sana kupitia nyimbo zakoo Roho wa Mungu azidi kukufunulia
Maman asante sana jamani tumusa ponti kweli amen🇧🇮🇨🇩🇰🇪🇹🇿🇺🇬
Ubarikiwe saaana mama. Tunakupenda
Waiting 🥰🥰 from Kigali Rwanda 🥰
Eeeeeh Mwaipaja..umekaa mwenye furaha kabisaaa
Wauuuu sitaki kujibu Amin Mungu
Amina, yesu apewe sifa
Tusiwe wa kujibu kweli acha Mungu ajibu........nabarikiwa saaana na nyimbo zako dada yetu barikiwa.
Mbona Kama umepungua Sana dada
Kweli kabisaa dada Martha na barikiwa sanaa 💋💋💋 na nyimbo zako nataman kuwa mkimya ! Nisi seme seme
Daa Martha mungu akubariki nyimbo zako zanigusa Sanaa .your my best musician I like all your songs. Be blessed
Ameen yaani kutoka moyoni kabisaaa huyu ndie Martha nayemfaham toka mwanzooooooo
Tusaidie bwana na utufunze kujibu yliyo ykweli,, ameen Mather mwaipja mungu akubariki
Ana kipaji Sana ase uyu dada achana na ujumbe wake kuwa bora
Huu wimbo ni ushuhuda maishani mwangu.God bless us all🙏🙏🙏
ruclips.net/video/-fjWvitMgsY/видео.html
Amen be blessed with this song ruclips.net/video/ppPIiGHhSO0/видео.html
🥰🙏🙏🙏🙏
Amen 🙏🙏
😀❤❤🥰🙏🏻
Hatari Sana Aiseeee Noma Sana Nakubali Aiseeee Muziki Taratibu Aiseeee 🔈🔉🔊🇰🇪🇰🇪❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Martha mwaipaja is the dressing code for me, you know how to dress Martha ❤️❤️❤️❤️
Nakupenda sana dada hongera unanyimbo nzuri sana zinagusa wengi zinainuwa watu kiwango Cha iman
Amen barikiwa sana my monter Martha mwibaja umefanya nisonge mbele kwa huduma yangu ya uwimbaji wangu hapa Kenya barikiwa sana
Nisaidie Mungu nisijibu wwe Mungu wangu ndo unijibie😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🤲🙏
Martha Mwaipaja jua tu ya kwamba kama uko na wafuasi 10M mimi ni mmoja wao, wakiwa 10K mimi ni mmoja wao, wakiwa 1K mimi ni mmoja wao na kama ni mmoja tu basi ni mimi. Napenda nyimbo zako sana, uwa zina ujumbe na mafunzo mazuri sana. I wish one day I will see you perform live. Much love from Kenya.🔥🔥🔥🔥
Mungu akukumbuke dada kuna wakatimoyo unataka kujibu jambo ila tunamwacha mungu atujibie barikiwa sana mama
@@EmmyMwampashi binadamu anaweza kukufikisha mwisho paka basi tu .....wacha MUNGU aitwe MUNGU..,naye atujibie
Mm pia nikiwa miongoni wa hawa hata kama ni 100
🙏🙏🙏Glory be to God Hallelujah🙏
Ameen..glistening from kenya...
Anytime Martha get into those studios, whatever comes out is always gem💎. The world is happy Martha exists. Tanzania is lucky Martha sings.
God is proud He gave Martha a life.
This song tuches my heart while enemies arr around me
True i agree the world and i too were happy and blessed that Martha exists and delivering the best
Very true indeed
💯
J
Dah!!!Dada!!nyimbo!!zako!!!nzur!!kwel!!ubarikiwe!!da!!matha
Waiting only 4min to receive my blessings 😍😍
Nakupenda mpaka unanigusa moyon kabisa na mpaka nalia jaman unanifundisha mengi kwenye nyimbo zako acha nitii saut inayoniongoza
Amina dada angu matha nakupenda napenda uduma yako mungu akupiganie unasauti nzuri simama na mungu usisikilize ya wanaadamu
Dada Mungu akubariki kwa kazi uko nadenda tena napenda nyimbo zako zaidi
Mungu akupeleke kiwango kingine, may He enlarged you territory so that you can continue blessing us.
ruclips.net/video/-fjWvitMgsY/видео.html
Amen be blessed with this song ruclips.net/video/ppPIiGHhSO0/видео.html
Hay
@@calvinloyd8293😮😮😮are going home tomorow iiii on my oooooooo9 2:01 2:01 are eeejwjj w😊😊😊😊😊😮😅😅😅😮❤ is
Mungu asidi kua nawe martha.unanibariki katika hii ufunuo be wa nyimbo za injili nikiwa hapa kenya
Tanzanian Gospel Industry is just on another level. Truly serving God through singing.
Sasa hii ya Kenya, some are boring on the way they demean God by calling him earthly names like sir God. I feel very oppressed
70llc
Nifundishe kunyamaza mungu nisiwe najibujibu nikuachie kila kitu
Wacha Mungu ajibu kwa ajili yetu 🙏🙏🙏🙏
Yupo mungu anajuwa tunayo pitiya mungu aendereye kukubariki Martha muda mwingine nigisikiriza nyimbo zako zinaendereya kunifariji sana
Finally. I love the consistency. The Bible says the tongue is the most dangerous organ in the body, and this song is an exact portrayal o the same. Lets prepare the way the Messiah Jesus is coming. Leave all sin and walk in HOLINESS AND RIGHTEOUSNESS. AMEN
ruclips.net/video/-fjWvitMgsY/видео.html
Amen be blessed with this song ruclips.net/video/ppPIiGHhSO0/видео.html
Amen
ruclips.net/video/ppPIiGHhSO0/видео.html
Emen hii wimbo inafanya nijipe moyo sana Amina dada
Nataka nikisema Mungu awe amesema.....nimetulia Kimya ..Aliyeniita namjua sana
Mungu naomba mwaka huu nisijibu. Wewe unene mwenyewe. Asante Martha. From Kenya nakupenda
Aki Martha u are a blessing to Africa may the Lord bless ur life always ur song writing skills are on top tunakuombea maisha marefu kipenzi chetu🇰🇪
Daaaa martha imetosha ubarikiwe na bwana napenda sana nyimbo zako,
Napenda jinsi ulivyo mtulivu Matha!! Mungu akuinue zaidi
Mungu akupe nguvu na uwezo uwende mbali
I am blessed about this song Martha God bless you too🙌🙌🙌🙌
Huyu dada mm nampenda sana jaman nataman ata siku moja tuu nimuone unaishi ndan yangu mama
Neema za Mungu zizidi kukunyeshea,always blessed by your songs.
ruclips.net/video/-fjWvitMgsY/видео.html
Amen be blessed with this song ruclips.net/video/ppPIiGHhSO0/видео.html
Nikwel Dada me nyimbo zako znanbrik mnoo mungu akuinue viwang vya juu penda xana wewee
My sister nyimbo zako Huwa zinanibariki sana, hakika mungu akuinuwe zaidi
Ubarikiwe da Martha kwa nyimbo zenye ujumbe mzuriii!!!
ruclips.net/video/-fjWvitMgsY/видео.html
Mungu nisaidie nisiwe wakujibujibu ila ww uwajibu 🙏
Sijibu kabisa! Nimemwacha Mungu mwenyewe awajibu!
ruclips.net/video/-fjWvitMgsY/видео.html
We acha hizo Kuna mengine unayaweza bila hata hujamwambia mungu mtu anakuchokoza wazi wazi unamwachaje ralua makofi yakushiba
Mungu wa mbingu na Dunia atukinge kujibujibu mbayambaya bila sa babu,barikiwa dada martha
Staki Kujibu,Nimenyamaza Wewe Ujibu.Nifundishe Kukimya Eeh Bwana😭😭😭😭🙌🙌
Nyimbo zako zinanigusa sana mama angu hasa nikiwa kwenye msongo wa mawazo nikisikiliza nakuta nmejiweka fresh life linasonga
Indeed mungu akitaka kukusaidia anakuja mwenyewe. So touching
Ubarikiwe Sana kwa ujumbe mzuri wenye uponyaji kwenye moyo kunyamaza ni dawa tosha
Woow 👌 wimbo wa mafundisho mema ,endelea vivyo hivyo dada Martha, nimebarikiwa saaana
Amen nakuona nikiwa Lebanon nakupenda sana
Let me be humble in JESUS NAME AMEN, Barikiwa Martha 🙏Mungu azidi kukuinua kwa viwango vya juu❤❤❤
ruclips.net/video/-fjWvitMgsY/видео.html
Amen be blessed with this song ruclips.net/video/ppPIiGHhSO0/видео.html
Aksante Marta hii ni somo nzuri
Nakupenda Sana una kitu Cha tofauti Cha MUNGU ILA ACHA KUBADILISHHA HIZO KUCHA NA MAPAMBO YA DUNIA ACHANA NAYO YANAKUCHELEWESHA SANA KUWA MTII NJIA YA MBINGUNI NI NYEMBAMBA SANA SONGA MBELE
Your songs really lift my spirit 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Sasa
Poa
ruclips.net/video/-fjWvitMgsY/видео.html
@@kasayadolphine3781
ruclips.net/video/-fjWvitMgsY/видео.html
Amen be blessed with this song ruclips.net/video/ppPIiGHhSO0/видео.html
Nyimbo zako hunibariki tu sana martha,kumbe si kila kitu tunafaa kujibu ni vyema kugojea jibu la mungu.
Staki kujibu wacha Mungu ajibu
Amen Amen nimebarikiwa zaidi ya baraka kabisa.nashukuru sana kabisa.
Bomet Kenya.... We really love u. May God keep on uplifting in every moment.
ruclips.net/video/-fjWvitMgsY/видео.html
Congrat my sister and may God bless you alot
Nakupenda dada, mungu akulinde akupe maisha marefu. Asante kwa nyimbo nzuri
Waaauuu!!the song touches me differently.... thank you momma.. silent is best medicine.. Thank you for the song🙏🙏🙏am humbled sitaki ku jibu..more grace of evengical
My heavenly father, please speak on my behalf 🙏🙏🙏
amen and amen. kuna watu wamejaa dharau kwangu mimi lakini huu wimbo umenifanya nipate nguvu. Mungu ataniinua wakati wangu. thanks mwaipaja you are a blessing. sitajibu kitu...na Nilijifunza kunyamaza. 💝💖
Safi sana..mwachie yote Mwenyezi Mungu, amesikia na kuona yote, usijibizane au kusema kitu
Ubarikiwe sana dadaangu, Mungu ni WA WOTE 🙏🙏🙏 unanibarikigi sana Nyimbo zako Mungu akupe umri mrefu zaidi dadaangu uendelee kuinjilisha kupitia Nyimbo
ruclips.net/video/ppPIiGHhSO0/видео.html
Thanks God bless you my sister
Woooooiiii mungu nashindwa kuongea..nashindwa hata kusema ..
Nangojea mungu wangu aseme
Amen , thank you dadaangu for this song ,I'm blessed yes mungu akitaka kutenda anakuja mwenyewe ,sitasema kitu Hadi mungu awe amesema Amen ,much love from Kenya 💓💓💓💓
Amen be blessed with this song ruclips.net/video/ppPIiGHhSO0/видео.html
Furaha ya Roho mtakatifu naiona mungu akutangulie Dada etuy
Mungu akitaka kutenda,
Anakuja mwenyewe!
Mungu akitaka kusaidia ,
Anakuja mwenyewe!
🙏
Amen MUNGU atusaidiye pya atutiye nguvu atuwezeshe pekeyetu hatuwezi
Amen Amen Atajibu baba Kwa ajili yangu,be blessed Martha 🔥🔥🔥
Dada matha unanigusa sana mpaka najikuta nikisikiliza nyimbo zako naria namm nimeachwa
My wish is to attend a concert by Martha.....your songs 🎵 my oh my....tears plus joy....euphoric....not sure even if that is the correct word to use.
Utakuja lini Kenya 🇰🇪 😍 dadangu?
Mungu azidi kukuinua viwango vya juu sana na barikiwa sana na nyimbo zako
Much in love with your songs Martha unaleta faraja kila ninapo skiliza nyimbo zako may Almighty God keep on blessing you ❤️🇲🇼🇿🇦
Soyez encourager sœur, Mungu akuwezeshe,nakupenda dadayangu toka DRC
Ubarikiwe sana dada
Ningemuoa huyu dada sijui nilichelewa wapi,dah unajua sana
Amina the Voice that heals my soul wen gone astry 🙏🙏🙏🙏🙏much love from uganda 🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬
Wow dada neema ya bwana iwe nawe nyimbo yenye ujumbe🙏
A song when I needed to use wisdom in giving my response. Sitaki kusema, nataka nikisema Mungu awe amesema.
Amen be blessed with this song ruclips.net/video/ppPIiGHhSO0/видео.html
ruclips.net/video/ppPIiGHhSO0/видео.html
Sitaki kujibu niwe nimejibu jibu Mungu awe amejibu, Asante wajina wa mama angu, nyimbo zako zinanifariji mno
I wish understood what Martha is singing about but am fascinated about the song and the singer. I paused to listen to it a few times whenever it came up on Trace Gospel. The tunes played up again today in my mind I came looking for it here. Comments here show people feel the same way I do about the song. Great vibes, Martha. Consider having lyrics translated in English for your int'l audience. Blessings!
Shalom shalom!! Acha Mwenyezi Mungu ajidhihirishe nasi acha tunyamaze ili utukufu wake ujidhihirishe
I'm a Zambian but I'm in love with her music..It is inspirational song
Martha unakipaji kweli,huu wimbo unanifunza mengi, love 💕💕 you from Kenya
Your songs bless me so much. Much love from people in Kenya 🇰🇪
Yvonne sasa msiz
@@kasayadolphine3781 Niko fresh nashukuru
@@yvonnemirimu2151 amen 💖🙏. Nipitie pia siz
@@yvonnemirimu2151 asante nitakudishia siz
ruclips.net/video/-fjWvitMgsY/видео.html
Amen, natiwa moyo na nyimbo zako ubarikiwe sana