Martha Mwaipaja - Maumivu Ya Jaribu (Official Music Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Maumivu ya jaribu ni wimbo ambao unaelezea kuwa majaribu yanaumiza moyo lakini Mungu yupo kutuokoa katika hali zote na shida tunazopitia.Haijalishi unapitia wapi lakini uweza wa Mungu upo kukusaidia na kukuvusha katika yote unayoyapitia.Songambele Mungu anajua unayoyapitia kila jambo lina mwisho wake.
    #MarthaMwaipaja#MaumivuYaJaribu#MusicVideo

Комментарии • 1,5 тыс.

  • @hawaabdi6209
    @hawaabdi6209 7 месяцев назад +49

    Tunaosikiliza 2024 tujuane...Mungu niondolee haya maumivu 😭😭

  • @vailethsteven6146
    @vailethsteven6146 2 года назад +19

    Wimbo unanikumbusha mbali wakati nimelazw hospital naumw nipo hoi huu wimbo unatoka daaaa ulinifariji kwakweli!! Gonga like hapa kama naww umekutana na jalibu.

  • @sandrakateslopez2488
    @sandrakateslopez2488 4 года назад +816

    Wakenya wenye tunaguzwa na nyimbo za Martha tujuane kwa likes🇰🇪

  • @hillaryodhiambo1909
    @hillaryodhiambo1909 2 года назад +9

    Usiniache Baba,naishi na watu wasio jua maumivu yangu ata licha ya kuwaeleza 😭😭😭

  • @queenlilian5139
    @queenlilian5139 4 года назад +91

    Nkiwa Kenya kama unabarikiwa huu wimbo plz drop your like hapo

  • @paschalinamoshne5467
    @paschalinamoshne5467 4 года назад +19

    Anae mkubali martha like apa tuwe pamj

  • @Marsemo
    @Marsemo 4 года назад +331

    Wa kwanza kutoka Kenya,give me a like if you love mamaa

  • @puritykarimi8058
    @puritykarimi8058 Год назад +5

    Ingawaje inaumiza, ee Yesu wangu mkumbuke ndugu yangu, kumbuka sala zake. Alipotoka ni mbali. Umjalie afya nje a na maisha mema. Tunakulilia ee Mungu utuondolee majanga haya yote kwani yanaumiza moyo. Tutakuwa washindi kwa kuwa wewe sio binadamu. This storm will pass. Usituache Yesu. Amina

  • @rispathequeen
    @rispathequeen 4 года назад +26

    Very powerful song watching through RUclips in Qatar Doha but from Kenya.nipe hyo like ya Martha plis be blessed.

  • @edinahmoraa477
    @edinahmoraa477 4 месяца назад +5

    Wimbo zake dad's mwaipaja unitia ngufu sana ,kupitia wimbo zake nimeokoka

  • @daddahbalesa1718
    @daddahbalesa1718 4 месяца назад +4

    Hits zake of late zina mvuto mkubwa sana, nashindwa hata nianze kuskiza ipi kwanza...every hit of hers is super❤❤❤

  • @fauzia2117
    @fauzia2117 Год назад +27

    This song makes me cry anytime I know what am going through bt I force myself to laugh to please people that am fine 🙏😭😭God usiniache 🙏🙏🙏

  • @daudimaswa3649
    @daudimaswa3649 4 года назад +112

    Nyimbo nxur Sana like zangu watumish au wateule wa mumgu

    • @mariagirljohn1168
      @mariagirljohn1168 4 года назад

      Kiukweli nabalikiwa sana na nyimbo zako

    • @edwinngash3318
      @edwinngash3318 4 года назад

      Be blessed and keep on blessing us #Kenya.

    • @rosierosie8118
      @rosierosie8118 4 года назад

      @@mariagirljohn1168 on oooh I km kook I oo 9omo9o
      Llk1 IL gp bkbm;@lp99oo{oooomlllnlyngnglgglg
      Gccccfgl
      Llgoo 6th 90ok99oo9

    • @rosierosie8118
      @rosierosie8118 4 года назад

      @@mariagirljohn1168 I)
      I 9 Koji oi6ok8ki

    • @emmanuelchuwa4064
      @emmanuelchuwa4064 4 года назад

      We

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs 9 месяцев назад +3

    I seee yaaan nikiw na stress izi nyimbo zinaniweka sawa ila nikiw sawa namskza diamond na marioooo daaaa😢.MUNGU ATUSAIDIE

    • @olivermwakyonya5683
      @olivermwakyonya5683 5 месяцев назад

      Mungu akusaidie unapomkumbuka wakati wa jaribu umkumbuke pia wakati limeisha

    • @beatricendasa3646
      @beatricendasa3646 Месяц назад

      Yaani nyimbo za huyu dada ukiwa na stress unajikuta kufarijika asee anaimba maisha tuyaishiyo

  • @elardmadeez3382
    @elardmadeez3382 4 года назад +33

    Wimbo mzuri saana #Marthamwaipaja Nyimbo zako zinanibarikigi saana
    MAUMIVU YA JARIBU JAPO IBRAHIMU ALIITWA BABA WA IMANI ALITESEKA NA ALILIAA SAANA

  • @margaretwanjiru451
    @margaretwanjiru451 Год назад +1

    Listening to this song in saudi arabia I wish my boss knew how my heart is troubled I fake my smile everyday but naamini mungu ako pamoja na mimi

  • @janetjoseph409
    @janetjoseph409 4 года назад +8

    Mara ya kwanza kucomment nipe like

    • @FfFf-kt1vx
      @FfFf-kt1vx 4 года назад +1

      Asante sana ndugu

    • @JamesHamis-hz3yz
      @JamesHamis-hz3yz 4 месяца назад

      ​@@FfFf-kt1vx😢😮🎉🎉😢😮 fight you hbhggfy tu hot

  • @magdalenacharles5907
    @magdalenacharles5907 4 года назад +1

    Mungu wangu wayajua majaribu niliyo nayo nakuomba baba uniokoe katika haya majaribu,tazama baba I wapi furaha yangu Mimi tazama baba niokoe katika haya msgumu nimechoka kudharauliwa

  • @lydiashisia2169
    @lydiashisia2169 4 года назад +142

    "Naishi na kutembea kati ya watu, wasiojua ni nini ninapitia.Maumivu haya YESU wayajua".My sister martha be blessed.lnjili mbele.

    • @lydiakemuntookindo3930
      @lydiakemuntookindo3930 4 года назад +1

      I,was just waiting this video too ,hugs to u mum ,u can never fail us ,l will share it riht now to my fb

    • @timothychavaya9546
      @timothychavaya9546 4 года назад

      Mungu ni mwema na mwaminifu hatokubali jaribu linimeze.Barikiwa Martha. Niko Naivasha Kenya

    • @geradhamis4417
      @geradhamis4417 4 года назад

      Yan dad napenda sana unavo imba nabarikiwa San namungu akubarik kwautunish sailors na mim napenda sana kuimba jaman batsman kuwa muimbaj jaman maisha maref madha

    • @khadijazahor4722
      @khadijazahor4722 3 года назад

      Ubarikiwe sn

    • @narto6553
      @narto6553 3 года назад

      @@lydiakemuntookindo3930 gvru

  • @alfredomuyoyi2887
    @alfredomuyoyi2887 14 дней назад

    Kupitia kwa wimbo huu ujumbe uliomo unawakilisha uwepo na uwezo wake mwenyezi Mungu katika maisha ya watu wake. Mungu akuinue na akupanulie mipaka yako mama Martha Mwaipaja

  • @franciswathika1202
    @franciswathika1202 2 года назад +34

    Halleluyah 🙌 My favourite.. Only God knows, only Him understands the human heart... The bible says Deut 32:39 See now that I, even I, am he, and there is no god with me: I kill, and I make alive; I wound, and I heal: neither is there any that can deliver out of my hand. Anayajua unayopitia, na ni mwaminifu kukuvusha kunako heri... Asante sana Martha kwa kukubali kutumika kwa kazi ya Mungu.. your songs are a great blessing.

    • @msingipentecostal8537
      @msingipentecostal8537 9 месяцев назад

      Kweli tuñainuliwa miyoyo yetu. Inapojeruhiwa, kupitia ujumbe huu tunapona jeraha amen PST Ann kilifi

  • @Jescah-xp6bb
    @Jescah-xp6bb Год назад

    Matha maisha uliopitia ndio napitia Sasa nampenda mungu wangu sana matamanio ya moyo wangu ni kumuimbia natamani kukuona angalau tu uniongeleshe..from Kenya.

  • @tirasgichuhi9656
    @tirasgichuhi9656 4 года назад +34

    Usiniache Baba nikamezwa na jaribu..
    More grace Martha,Mola akujalie baraka zaidi.Much love from +254

    • @castyreri9931
      @castyreri9931 4 года назад +1

      Martha unibaliki Sana 🙋

    • @fatumaunabdi1840
      @fatumaunabdi1840 3 года назад

      Usiniache yesu jarib likanmeza

    • @stephanomathias8349
      @stephanomathias8349 3 года назад +1

      Hakika nyimbo za Dada Martha huwa zinanikosha sana moyoni mwangu,natamani kuendelea kumtafuta Mungu kwa kiwango kisicho cha kawaida

    • @stephanomathias8349
      @stephanomathias8349 3 года назад +1

      Usiniache baba wa mbinguni nikapotea

    • @nurukabia9631
      @nurukabia9631 3 года назад +1

      More grace mumy hakika Nikiusikiliza huu wimbo natamani kutoa machozi imebeba ujumbe mzito mno zidi Barikiwa mama

  • @moshanaaman5588
    @moshanaaman5588 3 года назад +2

    HUUWIMBO UMENIACHA NA MACHOZI KWAKWELI MUNGU AKUBARIKI SANA DADA YANGU.

  • @hopekenndanu3057
    @hopekenndanu3057 3 года назад +15

    Who is hear 2021 Baba usiache jaribu iniumize... Tupiganie yesu

  • @Angelina35789
    @Angelina35789 Год назад

    Baba usiniache moyo wangu unavuja damu nateseka mnooo ila watu hawajui nini napitia nimechoka na maumivu haya mpaka lini 😭😭😭😭🧎🏾‍♀️🧎🏾‍♀️🧎🏾‍♀️

  • @virginiakariuki6479
    @virginiakariuki6479 2 года назад +46

    I love this song especially when going through tribulations.
    I was going through lots of challenges at work and it was my favorite song always . I thank God that now they are witnessing God's faithfulness in my Life. Hallelujah

  • @jacklinechinganalile4369
    @jacklinechinganalile4369 2 года назад

    AMINA AMINA DADAANGU MPENZI MARTHA, Dawa ya jaribu ni Yesu mwenyewe japo kulishinda ni gumu ila tunashinda kwa Imani dada Mungu azidi kukubariki na akupe maisha marefu nakupenda

  • @juliusneymar8424
    @juliusneymar8424 4 года назад +22

    +255- Toka nkufahamu hujawah kosea dad angu martha mwaipaja ⛪⛪

  • @deborahhatungimana4113
    @deborahhatungimana4113 2 года назад +2

    🇧🇮 nakupenda sana dada yangu tena nyimbo zako hua zinanibaliki sana .songa mbele dada yangu

  • @sylviawangu4410
    @sylviawangu4410 3 года назад +9

    Ooh Lord I plead this night this temptation is way to heavy 😫😪 come and bring laughter once it dawns.

  • @leilakombe9379
    @leilakombe9379 Месяц назад

    mungu atuwezeshe tushinde maana kwa aajili ya Bwana kushinda ni lazima,,, team gulf from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏

  • @azigarykadinde6270
    @azigarykadinde6270 3 года назад +5

    Nani aliwahi kukumbana na jaribu mpaka akaanza kulia akijua yamekwisha and after crying yesu akakuinua tena

  • @estherkaumba9856
    @estherkaumba9856 3 года назад

    Baba yangu mm nmekubali kupita lkn ucniache nkamwezwa na jaribu barikiwa sana mtumish wa Mungu

  • @wekesaprotus3734
    @wekesaprotus3734 4 года назад +4

    Nyimbo sako situba ngufu sana Mimi na famili yangu tukiwa Uganda . Mungu ukepe maisha marefu

  • @eddahamukasa5312
    @eddahamukasa5312 2 месяца назад

    Huu wimbo unanikusha wakati mtoto wangu alinipata a targic accident baadaya ya kutoka kwao. Mungu alinishika na kunitoa kwa aibu.sijui ningerudisha aje waiting.bt God is great

  • @obonyoijohngabriel9672
    @obonyoijohngabriel9672 4 года назад +20

    Hallelujah, usiniache baba. I can’t even tell how many times I have played this song since morning

  • @clovisngoy9619
    @clovisngoy9619 3 года назад

    Nalonga mungu akulinde tena saana maman nalonba nduku zangu wa congolais bote tufate nyimbo iZi baba munga wetu atusaidie

  • @millicentbaya7065
    @millicentbaya7065 11 месяцев назад +5

    This song has come at the right time when am undergoing through turmoil... Heavenly Father,,am at your feet,,I pray that you heal my heart,, Lord my trust is in you 🙏

  • @zenataashura792
    @zenataashura792 2 года назад

    Nyimbo nzuri sana lakini mavazi yako siyo nzuri kila ukiva unava nguo fupi tena zakusogeleya sana ni roho wa Mungu ndiye akuonya tafathali mimi siku ukumu asante

  • @maggymaggy9825
    @maggymaggy9825 4 года назад +101

    I love ur songs... Blessings from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @marthangoliga2349
      @marthangoliga2349 2 года назад

      Mwenye naitwa Martha nyimbo zawajina zinanibariki sana natamani hata kupata kibari tuimbe wote

    • @charlesbarasa4780
      @charlesbarasa4780 Год назад

      whatecer you ask will be answerable

  • @matokeomwakibinga3344
    @matokeomwakibinga3344 4 года назад

    Dada Martha barikiwa zaidi na zaidi mtumishi wa Mungu hakika hujawai kosea naamini kabisa Kira wimbo unao uimba hutumii ajili zako kutunga Bali Roho mtakatifu hukuongoza hakika maumivu ya jaribu ni binge la injili kwa kilabapitiae majaribu ya namna yoyote my God bless you more

  • @StephenKasolo
    @StephenKasolo 4 года назад +63

    Oooo Yesu wewe ndo unaelewa

  • @minzasamwel6874
    @minzasamwel6874 9 месяцев назад

    ❤❤❤❤nililala 😢ninalia baada yakutazama😢bali nikamwangalia😢yesu 😢😢nikaona neema ya yesu wangu asate martha ♥️ 😀 sasa😅nina ❤❤cheka asate ❤❤martha Mwaipaja

  • @shanvickline1184
    @shanvickline1184 4 года назад +74

    The UPAKO in this lady's ministry is in another level. Barikiwa Martha

  • @jeanneuwimana6655
    @jeanneuwimana6655 3 месяца назад +1

    Usituache Yesu please 😢😢

  • @liliannyawira4244
    @liliannyawira4244 Год назад +4

    Thank you Lord for always being there for me🙏🙏🙏

  • @christinacharles6852
    @christinacharles6852 Год назад

    Barkiwa sana, na MUNGU wa mbinguni akukumbuke ktk ufalme wa mbinguni, nyimbo zinagusa wengi Bwana aendelee kukutumia kwa jina lake ivo.

  • @jeniphernjeri4910
    @jeniphernjeri4910 2 года назад +11

    Blessed be the Almighty for making you His mouthpiece to pass His love, Joy and blessings to us through all your songs May your heart revels it all to us who are not strong in faith "AMEN"

  • @stellahclement753
    @stellahclement753 3 года назад +1

    Kweli kabisa hawajui maumivu yangu ni nayopitia

    • @stellahclement753
      @stellahclement753 3 года назад +1

      Maumivu ya moyo wangu 😭😭😭🙏🙏🙏🙏

  • @patriciagodfrey8691
    @patriciagodfrey8691 4 года назад +29

    Dada Martha.. huu wimbo dada uwiii🙌🙌🙌😭😭😭

  • @noelamadadi5731
    @noelamadadi5731 Год назад

    In this situation of majaribu, this popped on my youtube, I believe it's God's reccomendation.

  • @boazwanakacha1744
    @boazwanakacha1744 2 года назад +10

    This song has remained to be my comfort since I lost my mother God bless you Martha.

  • @christellemuland9425
    @christellemuland9425 2 года назад +2

    Bwana yesu abariki na awongeze atuwa iyi tena 🧖maana inatufaridji 💯

  • @chrismutisya
    @chrismutisya 3 года назад +3

    Asante Martha kwa kukubali mwito huu. Mungu akuzidishie neema hii. Wewe ni mfano mwema kwa wasichana wetu katika nyakati kama hizi.

  • @victoriageorge5802
    @victoriageorge5802 4 года назад

    Hakuna asiye na jaribu ktk dunia hii ,isipokua Mungu yeye anatosha kutupigania.naipenda saana.

  • @margaretnekesa8645
    @margaretnekesa8645 Год назад +5

    I love the simplicity of this woman in her dressing

  • @jolissacirha928
    @jolissacirha928 3 года назад

    Ooooh!!!Yesu nitiye nguvu kwa huu wakati mgumu ninayopitiya,nimechoka n'a kuombeya itaji moja,,,,,machozi imepita kizsi sasa😭😭😭😭😭

  • @VincentKe520
    @VincentKe520 3 года назад +5

    Huu wimbo umeniudumia Sana wakati covid ilipoingia nchini Kenya.
    What a nice music 😂

  • @مشعلالشمري-ض3ف9ب
    @مشعلالشمري-ض3ف9ب 9 месяцев назад +2

    Glory to be God
    Aki wewe nyimbo zako kwakweli sinaniinua kiimani barikiwa mama wee hapa kenya umeshika .
    Usiniaje yesu

  • @selineachieng1239
    @selineachieng1239 4 года назад +19

    Another song again!!!!....God is making wonders in your life as you move from glory to Glory..... Usituache mungu tumezwe na karibu!!!hallelujah

  • @lovey5591
    @lovey5591 3 года назад +1

    This lady resembles Christina Shusho🥰🥰🥰

  • @graceadhiambo1614
    @graceadhiambo1614 4 года назад +6

    Wow wimbo mzuri wakunutia nguvu katika imani, mungu akubariki sana Martha.

  • @everlynekioko2608
    @everlynekioko2608 Год назад +1

    May the Almighty God be with you mother mwaipaja ,,,,big up👍👍 na God akulift up soon much..🌹🌹🌹🌹🌹👍

  • @heriethinnocent3283
    @heriethinnocent3283 4 года назад +12

    Nakupenda dada Martha . Usituaxhe wanao tukapotea. Nenda na sisi YESU , nenda na sisi baba, jaribu linachoma. Ubarikiwe sanaaaaa my lovely Dada

  • @Saramutinda673
    @Saramutinda673 Год назад

    Usiache Mungu jaribu hili linimeze. Nimekubali kulipitia🙏. Jaribu linaumiza Mungu wangu, naishi kujifanya niko sawa mbele ya watu lakini baba ni wewe unanielewa🙏
    Nisaidie baba yangu, usiniache Mungu wangu🙏

  • @emillygreatfavour3421
    @emillygreatfavour3421 4 года назад +7

    Usiniache nikamezwa na jaribu..your songs are the simply the best.🔥🔥

  • @mwanzajosephine468
    @mwanzajosephine468 4 года назад +1

    Hakika Eeee baba usituache tukamezwa na jaribu ,barikiwe dada Martha nakuinue Tena viwango vya juu zaidi,,, niwakati umeruhusiwa kupita ktk Hilo hope moyo asubuh yenye pambazuko yaja

  • @joycesadia9122
    @joycesadia9122 3 года назад +8

    Dear Martha when I listen to your gospel songs I have Peace of God. I am watching your song in Australia Godbless you.

  • @bafidelcastro1304
    @bafidelcastro1304 Год назад +2

    Wimbo huu wanipa kujua maumivu na majaribu ni ya muda na yatakwisha

  • @raphaelmwenda4049
    @raphaelmwenda4049 Год назад +16

    This song is just acting like a cure and revival of broken hearts and depressed minds. God bless you amazingly Servant ♥️♥️♥️🙏🙏🙏

  • @SarahMhyeni-xm5bb
    @SarahMhyeni-xm5bb Год назад

    Love my cause unanifanya nishinde majaribu kupitia nyimbo zako Mwenyezi Mungu akulinde na kukuongoza Amina

  • @anthonyzambi4415
    @anthonyzambi4415 4 года назад +3

    Watoto wa nyumba MBEYA, tumchapie YESU MAKOFI SHANGWE KWA YAHWE

  • @LydieLubambula-ij2xt
    @LydieLubambula-ij2xt 4 месяца назад +1

    Moyo Wangu una teseka bwana usiniyatshe Nika mezwa n'a djaribu😭💔💔🧎🧎🧎🙏🙏

  • @francisopio3943
    @francisopio3943 Год назад +5

    Her music moves my soul from weaker to stronger

  • @cynthiaann9197
    @cynthiaann9197 3 года назад

    Dear Lord i pray my niece Bephine comes back home,... hili ni jaribu zito lakini najua hauta niacha. Moyo wangu unateseka sana nisipojua aliko. Mungu mfunike na damu yako. Your aunt and cousin loves you so much.

    • @olgamungele9267
      @olgamungele9267 3 года назад

      Que le seigneur christ te comble ma soeur martha. Paris.

  • @AbaloneKid
    @AbaloneKid 4 года назад +20

    Unlimited blessings in Heaven await faithful saints ! Thank you, Martha Mwaipaja, beloved of the Lord Jesus Christ. May God richly bless you. We are one in Christ doing what we were asked to do by our Lord before He went up. What we share here, according to His word, God blesses forever in His Book of Life. It is by His faith that we serve. By His Gospel, believed, Jesus Christ saves. It is our blessed praise for His glory! Be confident the praises you share will be blessed by God. And a scripture solid Gospel as I have shared here goes a long way to bless your heart of Jesus love for God will bless you for sharing it as if you created it ! THAT IS WHAT sowing together means. We are equal and partners in this greatest of all blessings through our Lord and God Jesus Christ: salvation. We sow together and God reaps!

    • @reginaemil2979
      @reginaemil2979 4 года назад +1

      Wonderfully, we are one body and Jesus Christ is the head. Let's run a straight race. Be blessed friend.

    • @sumayetv9511
      @sumayetv9511 3 года назад

      Exactly

  • @JoaquimCristovaoCristovaojoaqu
    @JoaquimCristovaoCristovaojoaqu 5 месяцев назад +2

    Usituaje baba yesu, 🇲🇿💯 moyo wangu unatesseka,

  • @oliviarygs4458
    @oliviarygs4458 4 года назад +48

    You can't convince people only Holy spirit can help, all the love from 🇺🇬🇺🇬🇺🇬, only God knows how much I love this lady, may God continue to bless you dear as you bless our souls!

  • @DannyChisanga-km2cw
    @DannyChisanga-km2cw Месяц назад

    My favorite gospel musician in Tanzania ❤❤🎉🇿🇲

  • @meryfrank5272
    @meryfrank5272 3 года назад +4

    MTUMISH izi nyimbo zako zinabariki kwel, mungu anue huduma yako zaidi na zaidi

    • @Revnakokuabwa
      @Revnakokuabwa Год назад

      mungu akutie guvu uimbe nazigine zaidi

  • @Angelina35789
    @Angelina35789 Год назад

    Story of life like Ibrahim moyo wangu unavuja damu 🧎🏾‍♀️🧎🏾‍♀️🙏🙏🙏😭😭😭

  • @estherngina4887
    @estherngina4887 3 года назад +12

    Awesome ministrations,,may the lord bless u with unlimited blessings

  • @mussamwangulukulu7587
    @mussamwangulukulu7587 2 года назад

    I have been your all songs and I love all your songs may God continue blessing you am in Malawi Moravian pastor I hope one day will meet just to see you don't give up dada is how dunia is be blessed

  • @Grace-bc4os
    @Grace-bc4os 2 года назад +3

    This song blesses me.......... naishi katikati ya watu wasiojua ninayopitia.....

  • @faithhanali4139
    @faithhanali4139 2 года назад

    Asente kwa hyo song , kweli nakumbuka nilivyo nilikuwa nkiteseka bt kwa yote God ilinione,unanitia nguvu ni Napo kuwa kwa kazi

  • @kenitomusiq9403
    @kenitomusiq9403 4 года назад +11

    Usiniache Yesu😥🙏

  • @mildredwekesa3357
    @mildredwekesa3357 3 года назад

    Yesu 2 ndiye ajuaye maumivu yangu.Martha ubarikiwe unanitia moyo liche yanauma bt najua c mie pekee

  • @bosslady6215
    @bosslady6215 4 года назад +4

    I think am the only person who cram Martha's song ...from 254 more love

  • @asimwejohn1542
    @asimwejohn1542 4 года назад

    Kabisa dadaang jarb hurusiwa na Mungu mwenyewe lakn maumiv yake ayajuaye ni anayejarbiwa!! Ee Mungu 2piganie na ututie nguv maana peke yet ha2wez!!

  • @blessedone6240
    @blessedone6240 4 года назад +20

    Mom martha I love you beyond explained, the words in your music always has a was to encourage me every situation I find myself in you are a blessing please Lord her deepest prayers and provide for may you never lack Martha

  • @christophajaphet2291
    @christophajaphet2291 3 года назад +2

    kuna muda tunapitia mambo magumu sana ,,,,hadi kuna muda unajiona kama tunakufuru Mungu atutie nguvu
    ninapokuwa kwenye matatzo mara nyingi napenda sana kusikiliza huu wimbo nafarijika sana .....na kupata nguvu ya kupambana na kusonga mbele

  • @wandindikibe8139
    @wandindikibe8139 2 года назад +7

    This song deeply Speaks to everyone, each at their own time..

  • @roseveronicahwaithera4909
    @roseveronicahwaithera4909 Год назад +1

    Niko hapa my favourite artist

  • @delphinbangul2760
    @delphinbangul2760 3 года назад +3

    Nguvu yetu nipaka tu we mungu, Ne laisse pas nos vies notre Dieu, nous meme nous allons nous perdre, ta presence Dieu nous rassure!

  • @hebronmalatila6186
    @hebronmalatila6186 3 года назад

    Siyo Mungu anaruhusu jaribu ktk mtu , bali nafsi ya mtu. Ndo sababu jaribu ktk nafsi linakuumiza na kukutesa. Suluhu ya jaribu ni Toba yako kwa Yesu.

  • @jean-lucmuyumba373
    @jean-lucmuyumba373 3 года назад +12

    Ubarikiwe mutumishi wa mungu, que le seigneur dieu vous bénisse et votre façon de chanté me fait vraiment du bien: good !

  • @luhekelondelwa9714
    @luhekelondelwa9714 3 года назад

    Naishi katikati ya watu wasiojua nn napitia ,mimi nimekubali kupitia haya naomba usiniache
    Jaribu likanimeza 😭😭

  • @silassitholimela6622
    @silassitholimela6622 Год назад +3

    Hello Martha fans. I really love to listen and watch the blessed voice of Martha even though I do not understand the language. Can we in South Africa get translation of her songs.

  • @user-cw6sp3hw9x
    @user-cw6sp3hw9x 6 месяцев назад +1

    Dada Martha asant sana kwa wimbo huu nilikatatama kwenye hii dunia ila wimbo huu umekuwa faraja kubwe nakupenda sana❤❤❤❤❤❤❤❤