Vaileth Mwaisumo - Atafanya Njia ( Official Video) SMS SKIZA 8089705 to 811
HTML-код
- Опубликовано: 20 янв 2021
- Haijalishi nini unapitia sasa, ni gumu kibinadamu, halina majibu, yamkini limekufanya machozi yasikauke acha nikwambie MUNGU wetu anaweza yote na kwahakika ATAFANYA NJIA.
#VailethMwaisumo#AtafanyaNjia#OfficialVideo.Channel Administered by Huru Digital
Instagram: / hurudigital Видеоклипы
Kama bado unaamini baba atafany njia yako gonga like hapa tubarikiwe wote😘😘😘😘
Baba yangu atafanya njia kwa mwanangu
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Namini atafanya njia ndugu yangu ameteseka Kwa kuanguka na SI kifafa maana anaona nyoka zinamtembelea Kwa mwili ila siku Moja baba atafanya njia
Aminaaaaaaa
Pole sana kaka
Namini mungu ata Fanya njia nimalize contract salama na nirudi kwa nchi yangu salama ,salamini ,protect all gulf maids God 😢😢😢.
Amen
Kila kitu ina wakati wake
Amen
Amen🙏🙏
Mtengemee mungu dio rafiki wa kweli,wachana na wanandam wali msaliti yesu:
Kama unaamini mungu atafanya njia ebu gonga like apo🙏🙏
Kweli napitia magumu na watoto wangu lakini nikiskiza huu wimbo najua mungu atatenda katika maisha yangu,haijalishi itachukua muda gani.
Amen
I really like the song iko na message kwa mzito I love it❤
Hi
Amima
My father passed i way when i was in form 2 ,my mum akawa msick ,tukapagiwa tufukuzwe kutoka mahali tulikukua tumezega,my brothers and sisters walikua watoi wakanililia yao yote hadi kalibu nirukwe na akil but mungu anaedelea kufanya njia
Mungu Ni mwema tutapata na sisi
Munyao Mutinda, I hope wherever you are God made a way out for you and your siblings. 🙏🙏🙏🙏🙏
Amen
God will provide
What language is this and from which country
Unaenda job asubuhi kama kawaida,unakuta desk yako iko na mtu mwingine,unauliza kwani what's happening wanakwambia uende utafute job place ingine😢😢,baba najua utafanya njia
Akufanyie njia
Atafanya njia kweli sababu huwa anafanya yeye ni baba yetu
I feel your pain 💔 God will do something don't worry
😢😢😢
God akuwe mahali pa you zaidi kuliko penye ulitoka
Aibu ni ya mda tu,baba yangu atafanya njia ya kipekee ile mwanadamu hawezi funga 🙏
Amen 🙏
Amen 🙏 🙏 🙏
Much love from Kenya. Kenyans drop your likes here.
Huu wimbo hukuza imani yangu barikiwa dads
Kupitia huu wimbo nina amini mungu anaenda kuniondolea uzuni na machozi na kuniondolea aibu amen
Amen
Mungu ni mungu tu,,amefanya njia kwangu na kwa familia yangu
Amen ..oh God you are taking away our pain and shame.....Mungu yule alisimamisha jua ndiye tunalilia.....
Amen atafanya njia mahali hakuna njia
Amen 🙏
Ninapo sikiliza Hu wimbo ata nikiwa mgonjwa ninapata nguvu uku huwarabuni ata ukiwa mgonjwa upelekwi hospital so nikiwa mthaifu niskilize yesu ufanya njia ninapata nguvu na kwendelea
Amen
Going through a lot right now I need your prayer support,,my family depends on me and currently have no job...need prayers guys😢😢,,may GOD make away
God is faithful dear.. Wait and see
pita na like zakutosha kama unaikubali gosper kweri baba atafanya njia amina kubwa vaileth🙏☝☝🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen
I am crying 😭😭😭😭😭😭 God Fanya njia maishani mwangu,mapito nayapitia niondolee...Fanya njia Baba ndo jina lako litukuzwe Amina🙏
Amina
Amina
It's well
Hello
Amen
Am really blessed with this song,after my husband died and left me with 1 child of 1year,familia ya bwanangu ilinipokonya kila kitu,lakini kupitia huu wimbo kwa kweli Mungu amefanya njia coz hatua yenye nimepiga ni Mungu mwenyewe alifanya njia pale palipokua hakuna njia,barikiwa sana dada
Amina
Mungu azidi kukufanyia njia dadangu hata sisi tulifiwa na baba tukiwa mwaka nasai niko 24yrs hakika kuna Mungu anaebariki ,,mamangu alidharauliwa akapokonywa kila kitu lkn sai twashukuru Mungu tumekua hata twamjengea my mum,,,Mungu akubariki sana dada Ruth Mungu yupo tuzidi kumtegemea 🙏
Good music. Good message. Very encouraging. Indeed God do you good in every situation. Hallelujah 🙏🙏🙏👍👍👍
😢 same same me wacha mungu atafanya njia 😢
Amen
With this song my mum will be healed for the hard time of sickness she is in be blessed my brethren those who are still praying with me
I dedicate this song to me and my family this morning it shall pass and it will be well😭Atafanya njia 🙏
Amen
I dedicate this song to my lovely mum ❤️it shall be well 🙏🙏🙏🙏
💯💯🔥🔥
Oooooh Jesus fanya njia kwa ajiri ya ndoa nayoenda kuanzisha...bariki mtoto wangu fanya njia maishani mwake awenzee kutembea..Fanya njia katika familia yangu Amen.my favourite songs
Huu wimbo Kila ninaposikia ,hunipa tumaini la kuishi tena.quite encouraging.
Indeed ,tukimwaminia,Baba atafanya njia.
Baba yangu fanya njia maishani mwangu 🙏
I believe he will make a way in my ministry, in my life God I'm going through alot....... Anybody reading this just say a prayer of peace in my heart for me😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏
Amen
Receive peace in JESUS CRIST NAME AMEEEEEN!!!!!
@@swesschao3095 thank you
May the peace of our lord Jesus Christ be with you forever🙏🙏
Pokea amani
Atafanya njia kweli....even when we feel weak and can't make a step anymore Mungu yupo nasii😢😢🙏🙏
Kupitia wimbo huu najua mungu atafanya njia pasipo na njia kudharauliwa kutaisha na familia yetu itaheshimika kwa jina la yesu haigalishi hali ya sae but najua mungu yuko kazini🙏🙏
ooh yesu fanya njia kwa ajili ya Kazi yangu na mshahara wangu, nimechoka kulia kila siku fanya njia Baba yangu😭😭😭🙏🙏
Baba atafanya Kwa watoto wangu,, 🙏🏼🙏🏼🙏🇺🇬 Sara from Uganda (sister vaileth mungu akubariki , akulinde Kwa meneno mazuri ,, mungu atafanya na emefanya kweri🙏🏼🙏🏼🙏
Amina
AMINA
Ameeen😭😭👏👏
If your are still here with me like my comment...its one year down the line but the song is still a vibe...baba yangu atafanya njia😥😥😥🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽..be blessed mama vaileth🥰🙏🏽❤
Amina shukrani sana
Ashukuriwe Mungu aliyejuu aketie mahali patakatifu naamini kupita huu wimbo atafanya njia na kwangu asante Madam Mungu azidi kukubariki .
May the lord hearken to your prayer and change your situation to be better
Unafanya kazi ili ubadilishe maisha yako na nyumba yako na ulipwi najuwa mungu atafanya njia😢😢
I am tired and depressed,full of disappointment,,,
But may the message inside this song heal and comfort my heart,
Mungu wangu fanya njia pasipo na njia katika maisha yangu.....
Mungu fanya njia,naumia
Amen
Mungu wangu atafanya njia napitia mengi lakini mungu upon😭😢🙏🤝🫂
Amen
Tuko wengi dear
Fanya njia kwa maisha yangu nasikia kuchoka 😭😭😭😭nimepotea Yesu 🙏🙏🙏
YESU afanye njia kwako mpendwa.
Kama kuna wimbo hua siku haiishi kabla niusikize ni huu hapa nabarikiwa sana maana baba atafanya njia pasipo njia 🙏🙏🙏🙏
Tuishi tukimtegemea mungu , yu mwaminifu siku zote atafanya njia pasipo na njia 👏
Mungu wangu nifanyie njia maisha yangu😂😂
I dedicate this song to our family😢.....we are passing through many things buh i know God is there for us🙏🙏🙏......
Praise God naamini MUNGU atanifanyia njia kama vile alifanyia nitume wote kwa bibilia anajuwa maisha amenitoa mbali amekuwa msaada katika maisha nakushuru sana Mungu wangu
Mungu naomba ufanye njia soon I don know where to go in next two week coming my contacts is almost to end. Mungu atafanya njia na Amin
I'm heartbroken but this song gives me strength😭😭 lemme leave this comment here whenever someone like it..it will remind me how broken I was once I'm healed🙏🙏 AMEN and AMEN 🙏🙏
Be blessed
Amen 🙏🙏
Mungu fanya njia Kwa Maisha yangu
When I remember how I lost my mum💔💔 in June 2021. I was so devastated 😭😭😭😭 I lost all hope in this life. This song is an encouragement to me that God still loves me an He will make a way for me.🙏🙏
It's well my dear
Baba yangu atafanya njia; Nakumbuka 2007 but all it’s good Mungu endelea kufanya Njia na Mrehemu shangazi yangu she passed away 2012 .
In Kenya we're touched and blessed with song, Hakika atafanya njia kwa mambo yote, magumu na hata rahisi. Jina LA Yesu Kristo litukuzwe Manake limetukuka milele. Hakika anaweza 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen
ruclips.net/video/ppPIiGHhSO0/видео.html
Kila siku nasikiza huu wimbo nikiwa hapa saudia najipa nguvu taabu hii ni ya muda kwangu Amen Ame
God is going to make a way To each and everyone who is listing to the song including me Amen
Amen
Amen God bless you too
Amen na afanye njia kweli
@@Catherine-ne4zd Amen❤️
Wimbo unao fariji moyo wangu tena zaidi maana nilipo baki yatima alifanya njia katikati ya giza
😭😭😭😭😭😭😭Listening to this song have found myself shedding tears for the situation my family we are going through. Ooh God of mercy make a way for my family. May all our tears and problems come to an end in Jesus name. 😭😭🙏🙏🙏🙏🙌🙌. Be blessed dia sister for an inspiring song Mungu akuinue zaidi 🙏
Amen
You shall overcome all in Jesus name........no situation is permanent
It will be okey in Jesus name
It is well in Christ Alone
Just keep on trusting him He will never fail or disappoint you He will wipe all tears
Baba yangu, naomba nikumbuke, fanya njia uniondolee aibu ya madeni 😢😢sina tegemeo lingine Ila wewe
PST asante Sana nyimbo zako ni za baraka Sana kwa maisha, proudly luhya
SI mungu alifanya kwa Mary na mm atafanya kwangu
As I deal with rejection...listening to this song has set my heart free ......baba yangu na afanye niia nikubalike .
Amina
Mungu wa Amani...NIKO AMBAYE NIKO...Akufinyange Upya ukubalike kila utakapopita...AMEN
Me sjakureject mamiii hugs 🥰🥰🥰
Mm nimeachwa Leo hii bila sababu aki ...i don't know why
This song is a blessing to many & it's my daily bread.It gives me hope even when things ain't working.May God bless you my sister,may God meet the desires of our hearts and open the doors to whoever is reading this.🇰🇪
Amen
Amen
🙏🙏
Amen
Nimebarikiwa sana😁😁
I respect Tanzanians alot when it comes to writing songs and making beats.
Thanks
True ❤ hizi nyimbo zinanikujia ata nikiwa kwa usingizi 😢
Hey Valieth mwaisumo is a Kenyan artist not Tanzanian dear
Is she a kenyan or tanzanian
Kweli kabisaa baba yetu atafanya njia ...palipo fungwa na huyo muovu shetani patafunguliwa ..in.Jesus name
Am healed through this song 🙏🙏🙏thank you Lord. Nitafanya kazi ulionituma kuifanya. am ready LORD 🤲🤲🤲🙏🙏🙏
Amina
Sio rahisi lakini Mungu yuko
@@marypeter6328 Amina
Amina
Feeling strong. I lost my dad when I was 2yrs,mum passed when I was 10yrs, brought up by grandma but passed 2014,no brother nor sister. Got married but separated 3yrs ago,I have 2kids girls aged 11 and 7,we have been going thru a lot but my daughter do tell me that "mum God will remember us one day " no where to go no one to run to,no job and yet there are bills......but naamini baba yangu aliye juu ATAFANYA NJIA
Amen
Mungu atafanya njia
I leave this comment here, passing through a lot but believing atafanya njia...when i come back,i will give a testimony
Hakika atafanya njia, sitalia tena, asante mpendwa kwa kututia nguvu.
My every morning piece...... Baba yangu Atafanya njia 🙏🙏🙏taabu ni kwa muda
Amina
ruclips.net/video/ppPIiGHhSO0/видео.html
We struggled alot when we were young but God anaendelea kufanya njia.I remember mum used to borrow people ,they nicknamed her .He is a God who never disapoints.Thanks
Najua mungu atafanya njia kwa maisha yangu ata nikipitia machungu
Me tuuu nko na imani baba atafanya njia pasipo na njia I believe in Jesus name 🙏🙏
What ????? nimeishi kusaka hii song but ckuwa najua mwimbaji n nani waaaaaaaa,,,,,mwimbaji pokea baraka kutoka kwa MUNGU acha afanye njia zake AMINA 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Amina
Umenibariki sana,Baba afanye njia shamba tulilo nyanganywa lirudi Kwa jina la yesu.Ubarikiwe sana
Amen
2024 naamini baba yangu atafanya njia❤
Kama uko hapa April 2 2023 just know God will make away surrender ur problem to God and He will make it happen ....be blessed
Amen
Right now my life is not smooth..but l know Jehovah is making a way🙏🙏🙏🙏
A date like today 4months ago,my dad passed,it has not been easy,my mom ever since this has been her favourite song,and truly God amefanya njia,,coz after the burial my mum became very sick,and she used to sing this song,and I don't know how but angepata strength after singing na angetuencourage(my sisters and i)saying,"siwaachi,mimi ndo nimebaki kama baba yenu na mama yenu,na Mungu atafanya njia na atatupa wepesi".
And we sing together with her,
It's just God coz so far penye tumefika ni Mungu anafanya njia,
YESU atukuzwe kwa ajili yenu kuwatetea
@@vailethmwaisumo amina,
Mungu azidi kukupa nguvu ya kumtukuza
Mungu atafanya njia
ruclips.net/video/ppPIiGHhSO0/видео.html
Hugs hugs mami!! May you all find strength and solace in God..
Yesu Fanya njia ndani ya maisha yangu maana moyo unaumia kwa ajiki ya uzao wangu , mungu uko wapi😭😭😭
Ukimuita anasikia yupo
Baba ninaomba ufanye njia kwa shida niliyo nayo sasa hivi nimefika mwisho baba.
This song is a blessing to me,my current situation is Soo bad but I believe baba yangu atafanya njia na Kila kitu itakua sawa🙏🙏🙏
Mungu wetu akukumbuke
Our God is wonderful nothing is impossible with Him, some of us have history we don't wish to remember, Amen to this wonderful song 🙏
Amina
Fanya njia kwa maisha yangu naskia kama nimeshoka na maisha mungu wangu 😢😢😢😢
Amen,Amen huu wimbo unatumboda imani tunaguswa imani zetu,ubarikiwe sana mungu azidi kukuinua zaid na zaidi❤❤❤
Mungu Fanya njia Kwa kazi yangu, fungua njia Kwa watoto wangu wanapoenda kufanya mtihani wao wa taifa
Amina
Amen nakungoja yesu nimeteseka muda mrefu baba yangu, may God bless you mummy much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Thanks much dear
Mi ni mmoja wa wale alifanyia njia njia.hakika anawexa wacha ahimidiwe😭😭😭😋
Ni kweli mungu anafanya njia kulingana na maisha tuliopitia na mum mungu anaweza
Amen Amen Amen napitia magumu lakini ni ya muda tu Baba atafanya njia
Woooow nyimbo zako zinazidi kunibariki sana wacha Mungu azidi kukuinua juuu sanaaaa🙏🙏🙏🙏
Am blessed with this song be blessed
In twoo weeks nimempoteza Bibi na Babu yangu kwa korona, wamenilea tangu Nina mwaka Leo hii sipo nao Tena huu wimbo umenipa faraja baba atafanya njia😭🙏
Pole sana mpendwa wangu MUNGU akutie nguvu sana
@@vailethmwaisumo he is the way maker🙏🙏he will surely make away😭😭😭🙏
Baba yngu,atafanya kw jina la yesu🙏🙏😭
Mungu fanya njia ya Maisha yangu,zimefungwa kwa muda mrefu.
God fanya njia kwa rafiki yangu Cynthia 🙏🙏🙏🙏🙏
This song is a blessing to me and my entire family. I truly believe atafanya Njia in Jesus Name.
Babangu atafanya njia when things are not working thank you father 🙏 barikiwa dada
God will open road for every one keep trusting in Jesus name🙏 everything will b fine mapito niyamda tu jipe moyo🙏
God kweli utafanya njia hii ni Imani yangu kwako 😢aibu, kilio,ukavu ni wa muda baba nakushukuru
🙏💐🌷l, love this song naamini kuna siku,Baba WA mbinguni atafanya njia
Nmefika hapa Leo,this song is a blessing to me and I believe what am going through,baba atafanya njia🙏🙏🙏
Kuongoleshwa vibaya job,haujafanua makosa, always stressed 😥,
God make a way for me
Baba yangu anaweza kusimamisha jua, usiku ukachelewa.🙏
When you believe there's God when you're still alive mbona unachoka ng'ang'ana kabisa njia itafunguka weka likes tukisonga
Namini atafanya njia ndugu yangu ameteseka Kwa kuanguka na SI kifafa maana anaona nyoka zinamtembelea Kwa mwili ila siku Moja baba atafanya njia kuteseka ni kwa mda tu
You are always known as a waymaker...God of impossibilities please make a way for everyone reading this...thanks Vaileth
Amina
ruclips.net/video/ppPIiGHhSO0/видео.html
Amen
Naamini hivi karibuni baba yangu atafanya njia na nitakuwa yusufu kwa wengi
Mungu wangu open my doors Baba yangu MBNA mapito haya,,,Baba yangu tenda miujiza Tu nikuone
Hallelujah ninaimani mungu atafanya njia maana yeye Ni mwema sikuzote🙏
Amen
Hii wimbo Inanikumbusha mbali sana nilikotoka kwa kweli mungu anaweza .Dadangu mungu akubariki sana kwa kila jambo.
Amina
Baba yangu ataendelea kufanya njia 2023
Amen
nakutumaini wewe baba utafnya njia nipate kazi niloyoisomea baada ya kumaliza college 2019 till nao bt kuptia kwa wimbo huu najua kuwa mungu anaweza yote na atanifungulia njia ya kazi ameeeni.God bless u sana.
I dedicate this song to my mommy,Baba atafanya njia🙏🙏
Amen
Strong gospel artists.
You are define woman of God.
Thanks much dear
ruclips.net/video/ppPIiGHhSO0/видео.html
Thanks God kwa yote ninayopitia lakini bado unafanya njia napita salama
Naamini mungu atafanya njia katika maisha yangu😢😢❤