Martha Mwaipaja - Sipiganagi Mwenyewe (Official Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 4,2 тыс.

  • @flossykaruga8345
    @flossykaruga8345 Год назад +6

    Mungu amenipigania vitu mingi ..siwezi jipigania mwenyewe hakika.

  • @annendungu3728
    @annendungu3728 2 года назад +9

    Heri kupiganiwa,kutetewa na Bwana. Vita sio yangu. ...

  • @georgesmwambakamangala660
    @georgesmwambakamangala660 2 года назад +5

    Aki kweli. Mungu ni baba. Ye ni ushindi kwa kila vita.

  • @WYCLIFFEOKONDO
    @WYCLIFFEOKONDO 4 месяца назад +86

    Hakika kama umepiganiwa na mungu kwa maisha yako nipe like........from kenya kanairo vita napiganiwa na baba aaah..

  • @user-ly9kr2jq4b
    @user-ly9kr2jq4b Год назад +3

    Amen 🙏🙏 dada kweli mungu amenitoa mbali siwezi msahau kwa maisha yng

  • @FabianDirector
    @FabianDirector Год назад +60

    Kama una mkubali Martha naomba like hata 💯 zinatosha

  • @nelsonmmbaga6886
    @nelsonmmbaga6886 4 года назад +1082

    One of my best Gospel Singer! Kama wewe ni shabiki wa matha mwaipaja na Kama unaamini kwamba hupigani mwenyewe gonga like twende pamoja

  • @princes6045
    @princes6045 Год назад +62

    Wanaopiganiwa na Baba wa like

  • @edsonchrissofficial__6613
    @edsonchrissofficial__6613 4 года назад +507

    Mimi wa kwanza kam hupiganagi mwenyew like apa Mungu akubariki

  • @muikambamargreat1835
    @muikambamargreat1835 6 месяцев назад +53

    Whos here 2024 kupiganiwa na baba❤

    • @Neemabigail
      @Neemabigail 3 месяца назад +2

      🙏🙏

    • @milgredmwakila2119
      @milgredmwakila2119 Месяц назад

      @@Neemabigailnnnnmmmnnqqqmnnmqnnnnnnqnqqnqnnqqqqnnnnnnnqqqqqnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnqqq

    • @maureenolande5205
      @maureenolande5205 5 дней назад

      Mwenzio vita nimekatazwa, natetewa na Baba💯🙏

  • @sandragithinji3156
    @sandragithinji3156 4 года назад +366

    Wonderful song...kama unaamini kua upiganagi mwenyewe ila Baba ndiye ukupigania. Gonga likes za Martha hapa tukiendelea kuskiza na kusoma comments...

  • @user-jm3df8ry5c
    @user-jm3df8ry5c Год назад +2

    Hakika utumishi wako kupitia wimbanji umenitoa mbali dada, acha Mungu azidi kukuinua , kuna wakati watu wote waliniacha nilibaki na Mungu tu, God bless you servant of the Most High God💕 love you, Napokea neema hii ya uwimbanji katika jina la Yesu

  • @CatharineNasipwondi-lk2hl
    @CatharineNasipwondi-lk2hl Месяц назад +4

    hallelujah yesu wangu nitetee amen that's true wonderful song amen may God bless you 💪🙏🙏 amen

  • @ghostg5993
    @ghostg5993 Год назад +3

    Ameen dada mwaipaja hakika huu wimbo hunituliza sana by the time I start thinking huwa najisikia nayo sana keep it up

  • @gracekhola7639
    @gracekhola7639 5 месяцев назад +9

    2024 Mungu atanipigania 😭😭🙌🙌🙌

  • @blessingmohkikuyu4633
    @blessingmohkikuyu4633 Год назад +2

    After getting a testimony today continue fighting for me God

  • @marymarie9941
    @marymarie9941 4 года назад +321

    Wow! Huwa wanibariki Sana dadangu, nakupenda Sana dada martha.
    KAMA NA WEWE WABARIKIWA NA HUYU MPAKWA MAFUTA GONGA LIKE TUENDE SAMBAMBA

  • @PaulGitua
    @PaulGitua 4 месяца назад +8

    I have not been going to church for 6 years but this song has changed my behavior sincerely speaking, and to all Martha funs and followers be blessed all❤

  • @lilianwanjugu5424
    @lilianwanjugu5424 Год назад +134

    Mungu amenipigania vitu mingi mno am a living testimony,being in a foreign country (Saudi Arabia) I have seen akinitendea,amenipa kibali kwa nyumba ninayofanya kazi, nashukuru,much love from Kenya(home country)

    • @hellenchiumia9036
      @hellenchiumia9036 Год назад +3

      @@puritynzilaniofficial m

    • @carolynechebetk5972
      @carolynechebetk5972 Год назад +2

      GLORY BE TO GOD FOREVER 🙏🙏🙏

    • @joyjoy2334
      @joyjoy2334 Год назад +3

      Me too. Am in saudi dear Saudi is only God who fight for us fail. To that we are doomed!!!! I thank God for everyone

    • @lilianwanjugu5424
      @lilianwanjugu5424 Год назад +2

      @@joyjoy2334 prayer is the key,coz God will always fight our battles.

    • @celinenaliaka
      @celinenaliaka Год назад +3

      Mimi nime piganiwa na baba yangu siku zote mahana sigekua Leo shalom 🙏

  • @sofiaomwola5706
    @sofiaomwola5706 2 года назад +2

    Naparikiwa na hizi nyimbo napeda sana sina mboya rooho yagu

  • @mirriammawia7595
    @mirriammawia7595 4 года назад +30

    Wapendwa tuzindi kupinganiwa na Mungu❤❤like za Martha zi wapi jameni????

  • @winniek.8855
    @winniek.8855 4 года назад +307

    Mwaka huu wa 2020...nakuwachia wewe yesu. Sitapigana, sitashindana. Simama kwa zamu yesu.
    Bless you Dada Martha.

  • @violinenyakara5028
    @violinenyakara5028 4 года назад +250

    This song is about me haki, Mungu ananipigia, wapi likes za Martha, she's a blessing

    • @fatumahamadi9628
      @fatumahamadi9628 4 года назад +6

      Very amenipiginia huyu mungu sijuwi ni mlipe nini jamani

    • @edwinmunyasia7449
      @edwinmunyasia7449 4 года назад +6

      Haki hii nyimbo niyangu. Mungu ananipigania kwa kila hali Martha be bless

    • @godlovejulius6839
      @godlovejulius6839 4 года назад +4

      @@fatumahamadi9628 I am

    • @mungesamwel8542
      @mungesamwel8542 4 года назад +4

      Infact mungu ni kila kitu

    • @AS-om8rc
      @AS-om8rc 4 года назад +5

      Hakika kama uliniimbia mimi! Much blessing Martha Mwaipaja

  • @aluochlencer6032
    @aluochlencer6032 Год назад +1

    Enyewe umbali huu nimepiganiwa na Ebenezer. Santi sana Dada nimebarikiwa

  • @kicmarthawa6659
    @kicmarthawa6659 2 года назад +97

    Amina Amina. Ukisikiliza huu wimbo akika unapata nguvu ya ukimya kwa maadui zako na kukaa na kuangalia mungu anavyo wachapa maadui zako. Jamani kumtegemea mungu ni rahaa sana.LIKES ZENU KWA MARTHA MWAIPAJA 2022.

    • @hitamungujeandamascene5710
      @hitamungujeandamascene5710 Год назад

      KUSEMA NI KWEMA KUNYAMAZA NI ZAIDI.

    • @vumiliasaidi7552
      @vumiliasaidi7552 Год назад

      amen mingi Manungu akipigania tangu utoto wangu hadi mwisho wa maisha yangu

    • @mbakapetermungai2545
      @mbakapetermungai2545 Год назад

      Wakati nmfungikiwa nausikiza huu wimbo akika wanitia nguvu

    • @hitamungujeandamascene5710
      @hitamungujeandamascene5710 Год назад

      @@mbakapetermungai2545 huyu ni msanii wa karne ! amepakwa mafuta na Mungu, kwanza kabisa mimi ningebahatika kukutana na yeye ningemutunukia tunu nzuri kwa kuniwezesha kufaidika kujua lugha ya kiswahili kwa methali na misamiati kadha wa kadha .kutoka RWANDA mimi naitwa JEAN DAMASCENE HITAMUNGU Mbalikiwe nyote msiochoka kumfuata dada mpendwa Martha Mwaipaja Amen !

    • @esther5838
      @esther5838 Год назад

      Ukwel lazima mungu anibariki nikamshinde maadui eeeh mungu niokoe nione ufalme

  • @worshiplibrary7157
    @worshiplibrary7157 2 года назад +96

    I'm ex muslim. This song make me realize that the Love of JESUS greater than anything in this world. Hallelujah

  • @aggreysk7000
    @aggreysk7000 3 года назад +137

    Napiganiwa na Baba 2021 here we come ..Nani anabarikiwa kama mimi .. Nairobi Kenya

    • @marycinekipsat9314
      @marycinekipsat9314 3 года назад +1

      Nmebarkiwa sana be blessed.

    • @emeldandunge2901
      @emeldandunge2901 3 года назад

      Martha God bless you more your songs zina fanya nkumbuke mbali

    • @reymuta3532
      @reymuta3532 3 года назад

      I'll e

    • @nkyatech1989
      @nkyatech1989 3 года назад +1

      hatupigani wenyewe hii 2021.....nabarikiwa nikiwa Dar es Salaam Tanzania

    • @kelvinndelwa5523
      @kelvinndelwa5523 3 года назад

      @@emeldandunge2901 acss

  • @pharesbhoke7339
    @pharesbhoke7339 2 года назад +1

    Hakika data Martha unanibarik sana nakuombea _mch. Phares B. Mtwara .karibu mtw.

  • @marymhoja4522
    @marymhoja4522 2 года назад +10

    Amina sana nimebarikiwa nawaomba na wengine wanaosikliza wimbo huu wamuweke Mungu mbele awe mtetezi ...........hakika hakuna kinachoshindikana

  • @kambuajeniffer5300
    @kambuajeniffer5300 4 года назад +265

    Especially for single mothers people don't have full respect for us . But only God fights for us. Wagapi wakubaliana na mimi?

    • @sarahrichard7608
      @sarahrichard7608 4 года назад +5

      Amen. The ALMIGHTY GOD is our only refuge and strength in the might name of JESUS CHRIST.

    • @risperomochiemo825
      @risperomochiemo825 4 года назад +4

      Very true but sir God haezi tuacha anatupigania

    • @dorcaskapus3860
      @dorcaskapus3860 4 года назад +4

      True

    • @ms.linetmutungakalamu9008
      @ms.linetmutungakalamu9008 4 года назад +2

      Linet Kalamu

    • @alla1325
      @alla1325 4 года назад +4

      True speaking especially for us single mothers most of people they don't respect us,bt in all jehovah God is our fighter, waau

  • @JoyceOkhako-cg4ee
    @JoyceOkhako-cg4ee Год назад +8

    Hakika Mungu ananipigania sana,ananipitisha kwa watesi wangu pasipo Mimi kujuwa🙌🙌🙌💪💪🙏🙏 barikiwa sana dadangu, nyimbo zako Huwa zinanijenga sana🎉🎉

  • @nadegelonga9398
    @nadegelonga9398 2 года назад +2

    Napigawa na baba ,kwani vita soyo yetu vita niya mungu.

  • @blasidajulius2240
    @blasidajulius2240 4 года назад +8

    Huu wimbo unanibariki sana kwakweli hta mm sipiganagi mwenyew ninapiganiwa na baba,Kama nawwe unapigana mwenyew twende pamoja🙏🙏

  • @omboks
    @omboks 4 года назад +136

    Wapi likes za team Gospel 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪254 listening from 🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦

  • @kelvinkimutai1774
    @kelvinkimutai1774 4 года назад +7

    The best chorist,,,,,,oh Lord be my fighter,,,,,wapi likes jameni for her

  • @willyngabaha3470
    @willyngabaha3470 2 года назад +1

    Shalom shalom napenda Sana nyimbo za mwimbaji Martha mwaipaji

  • @leilabasil
    @leilabasil 2 года назад +5

    This song came nikiwa kwenye kipindi cha betrayal Kali sana,it was my song,Na bado naimba hadi Leo...Asante Mungu,Asante Martha

  • @sarahrichard7608
    @sarahrichard7608 4 года назад +4

    YESU pekee sliyeshinda yote msalanani atatupigania, atatushindani. Tumwamini kwa mioyo yetu.

  • @JescahSimiyu-rm5qp
    @JescahSimiyu-rm5qp 10 месяцев назад +3

    I have seen God fighting for my life Infront of watesi wangu,love the song

  • @philipomwoyo4765
    @philipomwoyo4765 9 дней назад +1

    Hakika Bwana anabadilisha 2021 tulikuwa tunalala chumba ambacho mvua ikinyesha usiku inabidi tuamke bt Mungu n nani sai mamangu analala bila wasiwasi n bdo baba anazidi kubadilisha maisha yetu 😢😢

  • @philip_kimani
    @philip_kimani 4 года назад +21

    Huuu wimbo ni kama nimeimbiwa mimi napitia matatozo, shiki na tabu
    ndugu jamaa wamejitenga na mimi lakini najua Mungu
    atanipigania atafanya njia pasipo na njia asante sana dada Mwaipaji

    • @pendoyese4452
      @pendoyese4452 4 года назад

      Mungu akupe hitaji la moyo wako

    • @philip_kimani
      @philip_kimani 4 года назад

      @@pendoyese4452 Amen

    • @dicksonchibago9805
      @dicksonchibago9805 3 года назад

      Napiganiwa na Baba

    • @sallyrembo242
      @sallyrembo242 3 года назад

      Ok I am going out of the latest news for me l have a good time at home with my friends n I am sure

    • @anethzephulin490
      @anethzephulin490 3 года назад

      Pole sana Mimi ni moja wapo

  • @misanakulwa4083
    @misanakulwa4083 4 года назад +143

    Ngonga like twende pamoja kama tumemsoma Matha, nooo kupgana na Mtu2020, na maisha yenyewe mafupiii..

    • @ipmtv3298
      @ipmtv3298 4 года назад +1

      Unajua mama

    • @chizaedwin8565
      @chizaedwin8565 4 года назад

      Dada unaweza ongeza kasi

    • @elizabathh6270
      @elizabathh6270 4 года назад +1

      💯

    • @athumanilawi3254
      @athumanilawi3254 4 года назад

      Namshukuru mungu kwakweli ananisaidia kwenye mapambano yakidunia from bukwe utegi

    • @etyangariku3554
      @etyangariku3554 4 года назад +2

      Joshua 23:10_ Kweli sisi hatuwezi kupigana, ni Mungu ndiye hutupigania.

  • @SuccesRozie
    @SuccesRozie 3 года назад +95

    2021 wangapi wanaamini bado Mungu atazidi kutupigania 🙏🙏

  • @magrethkapinga1811
    @magrethkapinga1811 3 месяца назад +1

    Mungu endelea kunipa kibali nabarikiwa sanaaa na nyimbo zako Martha ❤

  • @happynesskibona2679
    @happynesskibona2679 4 года назад +6

    Kwa kweli huu unanibariki sana ktk maisha yangu na unanitia moyo sana maana ktk hii Dunia Kuna watu ambao kwa macho ya kawaida huwezi kuwatazama bila msaada wa Mungu ee Mungu naomba unipiganie peke yangu siwezi hii vita ni vikali sana kwanguu😭😭😭😭

  • @ergyebuelaaoci1685
    @ergyebuelaaoci1685 Год назад +2

    Kwaeshima kubwa sana Dada sijui nikupe nini ni Mungu tu ndo atakulipa kukazi uyofanya

  • @blandinamnyinga8318
    @blandinamnyinga8318 4 года назад +49

    Huwa sipigani mwenyewe maana tangu utotoni napiganiwa na babaa""hallelujah"wengi tunapoteza nguvu nyingi kutaka kujitetea na kujisafisha mbele ya wanadamu"acha YESU akupiganie"na matokeo yake watesi wako wote watakuona uking'aa na kupanda kila cku in Jesus name.

  • @Mariam-c4v
    @Mariam-c4v Месяц назад +1

    Nazipenda sanakwanza his napinganiwa na bb nimeipenda sana❤❤

  • @salhasemeda8050
    @salhasemeda8050 3 года назад +71

    Miee ni mwisilam lkn waallaah nyimbo za huyuu dada zanigusa mnoo shukriaa kwa allaah na viumbe vyakee🙏🙏🙏💞💞😘

  • @joelanayoofficial4129
    @joelanayoofficial4129 3 года назад +5

    I like this song so much.Inanibariki sana.Mola akujalie

  • @bonifacensengiyumva742
    @bonifacensengiyumva742 4 года назад +5

    Barikiwa sana Dada Martha Mwaipaja, nazipenda nyimbo zako, Mungu akuzidie kipaji Mara dufu am Bonny from Rwanda

  • @marymhoja4522
    @marymhoja4522 2 года назад +1

    Amina sana ......Naomba Mungu unipigania na mimi

  • @jaredombati3508
    @jaredombati3508 Год назад +55

    I love listening to this inspiring song, hakuna sababu ya kupigana na wenye wivu, tamaa,uchawi,madharau na wenye wako na mipango mibaya kwa maisha yetu, tuwachie BABA mwenyezi Mungu awanyoroshe mwenyewe.

  • @graceatieno509
    @graceatieno509 Год назад +43

    Here two years later, testifying the goodness of the Lord. He has fought very difficult battles for me. Today am a living testimony of the hand of God

  • @naomiwambui6010
    @naomiwambui6010 4 года назад +225

    Napinganiwa na yesu, who is still saying that in may 2020

  • @hnmm789
    @hnmm789 10 дней назад

    Nime piganiwa na mungu maisha yangu yote , wa christo wanzangu endeleeni kuamini mungu nimwema atatupigania vita

  • @liztom5051
    @liztom5051 Год назад +6

    This song inanipea nguvu na Imani maishani. Mungu nipiganie bila wewe Mimi siwezi

  • @carolinekendi8144
    @carolinekendi8144 4 года назад +184

    From Kenya we love you Martha

  • @sabinahnyaboigo2125
    @sabinahnyaboigo2125 Год назад +5

    My favorite song nikisikia hiyo na ninaona kesho iliyopangwa n Mungu l leave everything l doing to listen first, go on mwaaaaaauuuuu 🔥

  • @mariamoraa7891
    @mariamoraa7891 6 дней назад

    Mungu wangu nipiganie kwenye maisha yangu,, waelewa wanaopigana nami,, nipe amani kazini na katika maisha yangu ya kila siku🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @justinamakali
    @justinamakali Год назад +6

    I'm among those whom God has fight for....never fight on your own you'll be defeated.... Glory be to God

  • @antonythehomeexpert1896
    @antonythehomeexpert1896 4 года назад +22

    For sure my battles i live hem to God for he's the worrior of my battles he's the burning spear ,mwenzio sipiganagi mwenyewe ninapiganiwa na baba aliye juu binguni.

  • @fransavinhonacmela827
    @fransavinhonacmela827 3 года назад +5

    Yes Napiganiwa na Baba. wewe nipige tu vijembe vyako
    Mwenzio Napiganiwa na Yesu
    Nakupenda sana Dada #♡♡♡♡♡Matha☆☆☆☆♡♡

  • @ChariteBila
    @ChariteBila 2 дня назад

    Ubarikiwe dadangu, aksanti sana kwa uduma mukubwa katika nyimbo zako Tangu 2001" kuna wakati wakuliya......... Nakupenda sana najitaidi sana kufata uduma zako naninabarikiwa hakikanazo. Charité from DRC parc national garamba haut Ouellet.

  • @tunujumanne3168
    @tunujumanne3168 4 года назад +12

    Kuna majira nilitaka kupambana mwenyewe nikasikia sauti imeubeba ushindi barikiwa sana Dada Martha

  • @joelwuodjuma3230
    @joelwuodjuma3230 4 года назад +53

    Hakika hats mume wangu bado namwambia cpiganagi mwenyewe !

  • @everlinekombe7962
    @everlinekombe7962 4 года назад +9

    Dada barikiwa sana kwa nyimbo zako zenye upako wa mungu,,

  • @davinikwamboka8386
    @davinikwamboka8386 28 дней назад

    Mimi nimepitia Marshall magumu lakini mungu anaendelea kunipiganiaa mungu wangu niwema

  • @judithonyancha6172
    @judithonyancha6172 4 года назад +7

    Matha unaweza sipagani alone God ako baba wa mbingu na nchi 2020 gonga. tulikes

  • @ruthlihavi2100
    @ruthlihavi2100 3 года назад +4

    on 27th of may 2021...badoMUNGU ananipigania..

  • @heriethinocent3407
    @heriethinocent3407 4 года назад +46

    Hongera sanaaaaaaa my Dada
    Hakika Yesu anatupigania
    Nakupenda sanaaaaaaa my Dada
    Napenda sanaaaaaaa huduma yako
    Mungu akuinue juu zaidi ya ulivyo leo

    • @heriethelieza9930
      @heriethelieza9930 4 года назад

      Mwajina wangu tuko pamoja me mwenye nampnda sana da martha nabarkiwa sana na nyimbo zake

    • @hilderkihiyo5395
      @hilderkihiyo5395 4 года назад

      napingiwa na mungu mm

    • @mbaralimweco901
      @mbaralimweco901 4 года назад

      Hakika Martha Mwaipaja "BARIKIWA SANA", Nafarijika mno na nyimbo zako zilizojaa Utume uliotukuka, AMENITENGENEZA HUYU BWANA na sasa ANATAWALA zinasuuza nafsi si haba.Barikiwa MAMAANGÚ

    • @elizabathh6270
      @elizabathh6270 4 года назад

      Ameeen🙏

  • @thomasmkindo8360
    @thomasmkindo8360 Час назад

    Nabarikiwa sana kupitia nyimbo zako.

  • @noahkipkorir4433
    @noahkipkorir4433 2 года назад +66

    I don't think this woman is a human being she just an angel in a mission ♥️♥️

  • @susankoech
    @susankoech Год назад +25

    Her dress code and general energy are just amazing.

  • @daudmaige3677
    @daudmaige3677 4 года назад +4

    uko vizuri mama mungu akujaze upako wakutosha AMEN

  • @lynetadel9378
    @lynetadel9378 Месяц назад

    Nakubaliana nawe Bwana!
    Iwe kwangu upendavyo Bwana!
    Amina!

  • @naominyaboke4293
    @naominyaboke4293 4 года назад +30

    Mungu nipiganie mimi vita siwezi Jehova ...nitete usiache nizame 🙏🙏🙏 barikiwa sana Martha, can't get enough of this am just rewinding

  • @paulinemwendwa4913
    @paulinemwendwa4913 2 года назад +20

    Wooow what an inspiring song it's. She will remain to be my favorite artist. May God continue lifting her to greater levels and bless her beyond measure.

  • @zuhuraomary3421
    @zuhuraomary3421 4 года назад +5

    mwenzio cpganag mwnyw😧... mwenzio vita ciijui🙌...kasema nitulie atajibu...🤔🙏

  • @graceg1706
    @graceg1706 Год назад +2

    God, how comes this the first time I'm listening to this song, thanks to Jacaranda crusade👏👏👏👏

  • @elvismugambi1619
    @elvismugambi1619 2 года назад +28

    God is for all of us. Nobody can defeat his good will for us all. Napiganiwa na baba kweli Amina kabisa. You bless us so much Martha through your songs.

  • @BarackOtieno-ws4qw
    @BarackOtieno-ws4qw 10 месяцев назад +14

    The message from the gospel is telling us not to fight with our enemies, and to believe that God is fighting our battles and we will receive victory from God, amen ❤😢

  • @mariamsaid5655
    @mariamsaid5655 4 года назад +4

    Mwenzenu nabarikiwa na huu wimbo jamn asante MUNGU kupitia mtumishi wako Martha mwaipaja

  • @mandelasakara-no3bw
    @mandelasakara-no3bw Год назад +1

    Mimi sishindani mwenye 🙏💯

  • @mirriamadoket9191
    @mirriamadoket9191 3 года назад +33

    Huu wimbo unanipea nguvu ya kuvumilia mengi katika dunia nashukuru mungu kwa yote...ubarikiwe sana.

  • @titusmaingi7734
    @titusmaingi7734 4 года назад +4

    Wimbo wenywewe wanitia nguvu wakati wote, kweli MUNGU akujalie nguvu kibao na ufunuo zaidi kwa neno lake, uko mrembo sana

  • @davismwakyusa7587
    @davismwakyusa7587 3 года назад +4

    Nyimbo zako zimejaa mafundisho makubwa na zinaleta faraja sana. Barikiwa sana Martha.

  • @faithsimiyu8338
    @faithsimiyu8338 Год назад +1

    Yale mungu amenitendea,,, nasema tu Asante🙏🙏

  • @jusphinenelson3775
    @jusphinenelson3775 Год назад +3

    Halleluya you defeat me but you will never defeat God❤️❤️❤️ from 🇺🇬

  • @elizabethsonga840
    @elizabethsonga840 4 года назад +117

    It was my favorite song the time I was going through frustrations in every area of my life, but Baba Mungu alinipigania I came out victorious. Glory be to God

  • @masakimasaki99
    @masakimasaki99 3 года назад +114

    She is beautiful, she dresses decently and she keeps blessing us with lovely gospel songs.

  • @user-pe7wy7ss2u
    @user-pe7wy7ss2u 4 месяца назад +1

    utukufu ni kwa bwana,amen and amen

  • @neemawilly1082
    @neemawilly1082 4 года назад +16

    Amen ,nabarikiwa sana,be blessed dada Martha,hakika sipambani mwenyewe napambaniwa na baba🙏♥️

  • @moseskilumile6901
    @moseskilumile6901 4 года назад +4

    Dadang nyimbo zako zote mi nazieleew San Skati tamaa Napenda kusikiliza mda wote.

    • @bonifaceouma5748
      @bonifaceouma5748 4 года назад

      Very true this servant of God she really blesses me so much

    • @bonifaceouma5748
      @bonifaceouma5748 4 года назад

      Martha for your I love you deeply therefore I pray for double anointing in Jesus name

  • @bwanjichifundovandamme2497
    @bwanjichifundovandamme2497 4 года назад +8

    Ukwer ndo huo ata mm cpiganaji mwenyewe anaenipigania ni mungu tuu ubalikiwe Mama mwaipaja

  • @jeniffermasha2540
    @jeniffermasha2540 Год назад

    Hata NAMI anaendelea kunipigania kila siku na kila saa.barikiwa dadangu Martha

  • @mercywambani589
    @mercywambani589 4 года назад +7

    Barikiwa dada 2020,nakataa kupigana mwenyewe,napiganiwa na Yesu

  • @brianuniquecop943
    @brianuniquecop943 4 года назад +21

    Amen...from Kenya...twakupenda Martha...mungu akupeleke mbali

  • @onesmuskyalo5441
    @onesmuskyalo5441 4 года назад +46

    Am a living testimony that some years ago our God fight for us,I can't forget,He told Moses tell the Israelites that "the enemies you are seeing, you will never see them again"

  • @benouko2721
    @benouko2721 25 дней назад +1

    Nimepiganiwa na Mungu kweli