Hakika utumishi wako kupitia wimbanji umenitoa mbali dada, acha Mungu azidi kukuinua , kuna wakati watu wote waliniacha nilibaki na Mungu tu, God bless you servant of the Most High God💕 love you, Napokea neema hii ya uwimbanji katika jina la Yesu
I have not been going to church for 6 years but this song has changed my behavior sincerely speaking, and to all Martha funs and followers be blessed all❤
Mungu amenipigania vitu mingi mno am a living testimony,being in a foreign country (Saudi Arabia) I have seen akinitendea,amenipa kibali kwa nyumba ninayofanya kazi, nashukuru,much love from Kenya(home country)
Amina Amina. Ukisikiliza huu wimbo akika unapata nguvu ya ukimya kwa maadui zako na kukaa na kuangalia mungu anavyo wachapa maadui zako. Jamani kumtegemea mungu ni rahaa sana.LIKES ZENU KWA MARTHA MWAIPAJA 2022.
@@mbakapetermungai2545 huyu ni msanii wa karne ! amepakwa mafuta na Mungu, kwanza kabisa mimi ningebahatika kukutana na yeye ningemutunukia tunu nzuri kwa kuniwezesha kufaidika kujua lugha ya kiswahili kwa methali na misamiati kadha wa kadha .kutoka RWANDA mimi naitwa JEAN DAMASCENE HITAMUNGU Mbalikiwe nyote msiochoka kumfuata dada mpendwa Martha Mwaipaja Amen !
Hakika Bwana anabadilisha 2021 tulikuwa tunalala chumba ambacho mvua ikinyesha usiku inabidi tuamke bt Mungu n nani sai mamangu analala bila wasiwasi n bdo baba anazidi kubadilisha maisha yetu 😢😢
Huuu wimbo ni kama nimeimbiwa mimi napitia matatozo, shiki na tabu ndugu jamaa wamejitenga na mimi lakini najua Mungu atanipigania atafanya njia pasipo na njia asante sana dada Mwaipaji
Kwa kweli huu unanibariki sana ktk maisha yangu na unanitia moyo sana maana ktk hii Dunia Kuna watu ambao kwa macho ya kawaida huwezi kuwatazama bila msaada wa Mungu ee Mungu naomba unipiganie peke yangu siwezi hii vita ni vikali sana kwanguu😭😭😭😭
Huwa sipigani mwenyewe maana tangu utotoni napiganiwa na babaa""hallelujah"wengi tunapoteza nguvu nyingi kutaka kujitetea na kujisafisha mbele ya wanadamu"acha YESU akupiganie"na matokeo yake watesi wako wote watakuona uking'aa na kupanda kila cku in Jesus name.
I love listening to this inspiring song, hakuna sababu ya kupigana na wenye wivu, tamaa,uchawi,madharau na wenye wako na mipango mibaya kwa maisha yetu, tuwachie BABA mwenyezi Mungu awanyoroshe mwenyewe.
For sure my battles i live hem to God for he's the worrior of my battles he's the burning spear ,mwenzio sipiganagi mwenyewe ninapiganiwa na baba aliye juu binguni.
Ubarikiwe dadangu, aksanti sana kwa uduma mukubwa katika nyimbo zako Tangu 2001" kuna wakati wakuliya......... Nakupenda sana najitaidi sana kufata uduma zako naninabarikiwa hakikanazo. Charité from DRC parc national garamba haut Ouellet.
Hakika Martha Mwaipaja "BARIKIWA SANA", Nafarijika mno na nyimbo zako zilizojaa Utume uliotukuka, AMENITENGENEZA HUYU BWANA na sasa ANATAWALA zinasuuza nafsi si haba.Barikiwa MAMAANGÚ
Wooow what an inspiring song it's. She will remain to be my favorite artist. May God continue lifting her to greater levels and bless her beyond measure.
God is for all of us. Nobody can defeat his good will for us all. Napiganiwa na baba kweli Amina kabisa. You bless us so much Martha through your songs.
The message from the gospel is telling us not to fight with our enemies, and to believe that God is fighting our battles and we will receive victory from God, amen ❤😢
It was my favorite song the time I was going through frustrations in every area of my life, but Baba Mungu alinipigania I came out victorious. Glory be to God
Am a living testimony that some years ago our God fight for us,I can't forget,He told Moses tell the Israelites that "the enemies you are seeing, you will never see them again"
Mungu amenipigania vitu mingi ..siwezi jipigania mwenyewe hakika.
Heri kupiganiwa,kutetewa na Bwana. Vita sio yangu. ...
Aki kweli. Mungu ni baba. Ye ni ushindi kwa kila vita.
Hakika kama umepiganiwa na mungu kwa maisha yako nipe like........from kenya kanairo vita napiganiwa na baba aaah..
Amen 🙏🙏 dada kweli mungu amenitoa mbali siwezi msahau kwa maisha yng
Kama una mkubali Martha naomba like hata 💯 zinatosha
One of my best Gospel Singer! Kama wewe ni shabiki wa matha mwaipaja na Kama unaamini kwamba hupigani mwenyewe gonga like twende pamoja
Amen amen mungu atushindie majaribu yetu amen
Haya. Nguvu ya MUNGU NI KUBWA
Kwl, sifa kw Mungu.
Saf sana
Am the no one fan of Martha Mwaipaja....Mezio sipiginagi mwenyewe
Wanaopiganiwa na Baba wa like
Mimi wa kwanza kam hupiganagi mwenyew like apa Mungu akubariki
Tunapiganiwa
Barkiwa Sister
Amen God bless sis Mather
Mungu akubalik dada yangu
Dada Martha ua song has really touched my ♥ may the Lord uplift u more siz
Whos here 2024 kupiganiwa na baba❤
🙏🙏
@@Neemabigailnnnnmmmnnqqqmnnmqnnnnnnqnqqnqnnqqqqnnnnnnnqqqqqnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnqqq
Mwenzio vita nimekatazwa, natetewa na Baba💯🙏
Wonderful song...kama unaamini kua upiganagi mwenyewe ila Baba ndiye ukupigania. Gonga likes za Martha hapa tukiendelea kuskiza na kusoma comments...
My lovely one wow mungu akubariki marthar mwaipaja nakupendaa sanaaaa mummy
My all time song...
Good song
Very good
Yan nampenda uyu Dada jaman nyimbo zinaujumbe
Hakika utumishi wako kupitia wimbanji umenitoa mbali dada, acha Mungu azidi kukuinua , kuna wakati watu wote waliniacha nilibaki na Mungu tu, God bless you servant of the Most High God💕 love you, Napokea neema hii ya uwimbanji katika jina la Yesu
hallelujah yesu wangu nitetee amen that's true wonderful song amen may God bless you 💪🙏🙏 amen
Ameen dada mwaipaja hakika huu wimbo hunituliza sana by the time I start thinking huwa najisikia nayo sana keep it up
2024 Mungu atanipigania 😭😭🙌🙌🙌
After getting a testimony today continue fighting for me God
Wow! Huwa wanibariki Sana dadangu, nakupenda Sana dada martha.
KAMA NA WEWE WABARIKIWA NA HUYU MPAKWA MAFUTA GONGA LIKE TUENDE SAMBAMBA
Mary Marie yuko vzr sanaaaa
Ubarikiwe sanaa Dada kwa kazi nzuri
Ubalikiwe sanaa dada
Amen
@@elizabethmwangomwango8157 nipiganie yesu wangu nina maadui sana.
I have not been going to church for 6 years but this song has changed my behavior sincerely speaking, and to all Martha funs and followers be blessed all❤
Mungu amenipigania vitu mingi mno am a living testimony,being in a foreign country (Saudi Arabia) I have seen akinitendea,amenipa kibali kwa nyumba ninayofanya kazi, nashukuru,much love from Kenya(home country)
@@puritynzilaniofficial m
GLORY BE TO GOD FOREVER 🙏🙏🙏
Me too. Am in saudi dear Saudi is only God who fight for us fail. To that we are doomed!!!! I thank God for everyone
@@joyjoy2334 prayer is the key,coz God will always fight our battles.
Mimi nime piganiwa na baba yangu siku zote mahana sigekua Leo shalom 🙏
Naparikiwa na hizi nyimbo napeda sana sina mboya rooho yagu
Wapendwa tuzindi kupinganiwa na Mungu❤❤like za Martha zi wapi jameni????
Mwaka huu wa 2020...nakuwachia wewe yesu. Sitapigana, sitashindana. Simama kwa zamu yesu.
Bless you Dada Martha.
Yesu krusto
Amen
WINNIE K. Ameni
Asante
My break through must come 2020 through this wonderful worship in Jesus name ..Amen!!!
This song is about me haki, Mungu ananipigia, wapi likes za Martha, she's a blessing
Very amenipiginia huyu mungu sijuwi ni mlipe nini jamani
Haki hii nyimbo niyangu. Mungu ananipigania kwa kila hali Martha be bless
@@fatumahamadi9628 I am
Infact mungu ni kila kitu
Hakika kama uliniimbia mimi! Much blessing Martha Mwaipaja
Enyewe umbali huu nimepiganiwa na Ebenezer. Santi sana Dada nimebarikiwa
Amina Amina. Ukisikiliza huu wimbo akika unapata nguvu ya ukimya kwa maadui zako na kukaa na kuangalia mungu anavyo wachapa maadui zako. Jamani kumtegemea mungu ni rahaa sana.LIKES ZENU KWA MARTHA MWAIPAJA 2022.
KUSEMA NI KWEMA KUNYAMAZA NI ZAIDI.
amen mingi Manungu akipigania tangu utoto wangu hadi mwisho wa maisha yangu
Wakati nmfungikiwa nausikiza huu wimbo akika wanitia nguvu
@@mbakapetermungai2545 huyu ni msanii wa karne ! amepakwa mafuta na Mungu, kwanza kabisa mimi ningebahatika kukutana na yeye ningemutunukia tunu nzuri kwa kuniwezesha kufaidika kujua lugha ya kiswahili kwa methali na misamiati kadha wa kadha .kutoka RWANDA mimi naitwa JEAN DAMASCENE HITAMUNGU Mbalikiwe nyote msiochoka kumfuata dada mpendwa Martha Mwaipaja Amen !
Ukwel lazima mungu anibariki nikamshinde maadui eeeh mungu niokoe nione ufalme
I'm ex muslim. This song make me realize that the Love of JESUS greater than anything in this world. Hallelujah
Amen.Welcome to the Kingdom of Most High....To Jesus the Redeemer,Saviour and Intercessor of our lives....Thankyou for being Bold as Lion....
Amen
L
@@reginawanjiku6536 my h
Amen and amen!
Napiganiwa na Baba 2021 here we come ..Nani anabarikiwa kama mimi .. Nairobi Kenya
Nmebarkiwa sana be blessed.
Martha God bless you more your songs zina fanya nkumbuke mbali
I'll e
hatupigani wenyewe hii 2021.....nabarikiwa nikiwa Dar es Salaam Tanzania
@@emeldandunge2901 acss
Hakika data Martha unanibarik sana nakuombea _mch. Phares B. Mtwara .karibu mtw.
Amina sana nimebarikiwa nawaomba na wengine wanaosikliza wimbo huu wamuweke Mungu mbele awe mtetezi ...........hakika hakuna kinachoshindikana
Especially for single mothers people don't have full respect for us . But only God fights for us. Wagapi wakubaliana na mimi?
Amen. The ALMIGHTY GOD is our only refuge and strength in the might name of JESUS CHRIST.
Very true but sir God haezi tuacha anatupigania
True
Linet Kalamu
True speaking especially for us single mothers most of people they don't respect us,bt in all jehovah God is our fighter, waau
Hakika Mungu ananipigania sana,ananipitisha kwa watesi wangu pasipo Mimi kujuwa🙌🙌🙌💪💪🙏🙏 barikiwa sana dadangu, nyimbo zako Huwa zinanijenga sana🎉🎉
Napigawa na baba ,kwani vita soyo yetu vita niya mungu.
Huu wimbo unanibariki sana kwakweli hta mm sipiganagi mwenyew ninapiganiwa na baba,Kama nawwe unapigana mwenyew twende pamoja🙏🙏
Wapi likes za team Gospel 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪254 listening from 🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦
Mungu akuinue na akupe miaka ming uendelee kuwepo penda sana martha
Jaman umenikoshaa roho
Yes
Kweli yatupasa kumkabidhi mungu vita yetu.barikiwa sana
Hizi hapa mkuu
The best chorist,,,,,,oh Lord be my fighter,,,,,wapi likes jameni for her
Shalom shalom napenda Sana nyimbo za mwimbaji Martha mwaipaji
This song came nikiwa kwenye kipindi cha betrayal Kali sana,it was my song,Na bado naimba hadi Leo...Asante Mungu,Asante Martha
YESU pekee sliyeshinda yote msalanani atatupigania, atatushindani. Tumwamini kwa mioyo yetu.
I have seen God fighting for my life Infront of watesi wangu,love the song
Hakika Bwana anabadilisha 2021 tulikuwa tunalala chumba ambacho mvua ikinyesha usiku inabidi tuamke bt Mungu n nani sai mamangu analala bila wasiwasi n bdo baba anazidi kubadilisha maisha yetu 😢😢
Huuu wimbo ni kama nimeimbiwa mimi napitia matatozo, shiki na tabu
ndugu jamaa wamejitenga na mimi lakini najua Mungu
atanipigania atafanya njia pasipo na njia asante sana dada Mwaipaji
Mungu akupe hitaji la moyo wako
@@pendoyese4452 Amen
Napiganiwa na Baba
Ok I am going out of the latest news for me l have a good time at home with my friends n I am sure
Pole sana Mimi ni moja wapo
Ngonga like twende pamoja kama tumemsoma Matha, nooo kupgana na Mtu2020, na maisha yenyewe mafupiii..
Unajua mama
Dada unaweza ongeza kasi
💯
Namshukuru mungu kwakweli ananisaidia kwenye mapambano yakidunia from bukwe utegi
Joshua 23:10_ Kweli sisi hatuwezi kupigana, ni Mungu ndiye hutupigania.
2021 wangapi wanaamini bado Mungu atazidi kutupigania 🙏🙏
Am the one
Kindly welcome to our church
ujumbe jaribu Islamic
@@raufuuled6080 Christian milele
Ukiamn ww inatosha usituchukulie like zetu bure
Mungu endelea kunipa kibali nabarikiwa sanaaa na nyimbo zako Martha ❤
Kwa kweli huu unanibariki sana ktk maisha yangu na unanitia moyo sana maana ktk hii Dunia Kuna watu ambao kwa macho ya kawaida huwezi kuwatazama bila msaada wa Mungu ee Mungu naomba unipiganie peke yangu siwezi hii vita ni vikali sana kwanguu😭😭😭😭
Kwaeshima kubwa sana Dada sijui nikupe nini ni Mungu tu ndo atakulipa kukazi uyofanya
Huwa sipigani mwenyewe maana tangu utotoni napiganiwa na babaa""hallelujah"wengi tunapoteza nguvu nyingi kutaka kujitetea na kujisafisha mbele ya wanadamu"acha YESU akupiganie"na matokeo yake watesi wako wote watakuona uking'aa na kupanda kila cku in Jesus name.
Nimenyamaza nimemuachia Baba anipiganie 2021 nipiganie make goliati najua anapotoka
@@naomimsamba6073 🙏
I love this song so much but I don't know the longuage can you please explain for me 🙏
Amen my Sister
Nazipenda sanakwanza his napinganiwa na bb nimeipenda sana❤❤
Miee ni mwisilam lkn waallaah nyimbo za huyuu dada zanigusa mnoo shukriaa kwa allaah na viumbe vyakee🙏🙏🙏💞💞😘
Tuko wengi dear
Martha Mwaipaja anaimba, kisha anagusa hisia za watu wengi. Mungu ambariki sana
🤔🤔🤔🤔
Same to me
Yaan acha tuu
I like this song so much.Inanibariki sana.Mola akujalie
Your songs are amazing, touching wow may God be with you darling
Awesome
Barikiwa sana Dada Martha Mwaipaja, nazipenda nyimbo zako, Mungu akuzidie kipaji Mara dufu am Bonny from Rwanda
Sipigani mwenyewe,balikiwa sana
Amina sana ......Naomba Mungu unipigania na mimi
I love listening to this inspiring song, hakuna sababu ya kupigana na wenye wivu, tamaa,uchawi,madharau na wenye wako na mipango mibaya kwa maisha yetu, tuwachie BABA mwenyezi Mungu awanyoroshe mwenyewe.
Why say the truth
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😊😮😮❤
True
It true
Here two years later, testifying the goodness of the Lord. He has fought very difficult battles for me. Today am a living testimony of the hand of God
Amen
Amen🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Congratulations Martha 🎉🎉🎉
Martha nakupenda ❤️ ❤️
Napinganiwa na yesu, who is still saying that in may 2020
Really nice song
Amen
Hii NATO nmaono yambali barikiwa
Mgonjwa wewe
Amen
Nime piganiwa na mungu maisha yangu yote , wa christo wanzangu endeleeni kuamini mungu nimwema atatupigania vita
This song inanipea nguvu na Imani maishani. Mungu nipiganie bila wewe Mimi siwezi
From Kenya we love you Martha
We'll come Tanzania
Amen
@@fransavinhonacmela827 Karibu Kenya
@@georginachembe1159 uwimbo unani baliko
L
My favorite song nikisikia hiyo na ninaona kesho iliyopangwa n Mungu l leave everything l doing to listen first, go on mwaaaaaauuuuu 🔥
Mungu wangu nipiganie kwenye maisha yangu,, waelewa wanaopigana nami,, nipe amani kazini na katika maisha yangu ya kila siku🙏🏽🙏🏽🙏🏽
I'm among those whom God has fight for....never fight on your own you'll be defeated.... Glory be to God
For sure my battles i live hem to God for he's the worrior of my battles he's the burning spear ,mwenzio sipiganagi mwenyewe ninapiganiwa na baba aliye juu binguni.
Yes Napiganiwa na Baba. wewe nipige tu vijembe vyako
Mwenzio Napiganiwa na Yesu
Nakupenda sana Dada #♡♡♡♡♡Matha☆☆☆☆♡♡
Huwa nabarikiwa nisikiapo wimbo wa #Matha
Yeeees napiganiwa na baba
Ubarikiwe dadangu, aksanti sana kwa uduma mukubwa katika nyimbo zako Tangu 2001" kuna wakati wakuliya......... Nakupenda sana najitaidi sana kufata uduma zako naninabarikiwa hakikanazo. Charité from DRC parc national garamba haut Ouellet.
Kuna majira nilitaka kupambana mwenyewe nikasikia sauti imeubeba ushindi barikiwa sana Dada Martha
Kauli hii ilitoka Rohon
Hakika hats mume wangu bado namwambia cpiganagi mwenyewe !
Dada barikiwa sana kwa nyimbo zako zenye upako wa mungu,,
Mimi nimepitia Marshall magumu lakini mungu anaendelea kunipiganiaa mungu wangu niwema
Matha unaweza sipagani alone God ako baba wa mbingu na nchi 2020 gonga. tulikes
on 27th of may 2021...badoMUNGU ananipigania..
Hongera sanaaaaaaa my Dada
Hakika Yesu anatupigania
Nakupenda sanaaaaaaa my Dada
Napenda sanaaaaaaa huduma yako
Mungu akuinue juu zaidi ya ulivyo leo
Mwajina wangu tuko pamoja me mwenye nampnda sana da martha nabarkiwa sana na nyimbo zake
napingiwa na mungu mm
Hakika Martha Mwaipaja "BARIKIWA SANA", Nafarijika mno na nyimbo zako zilizojaa Utume uliotukuka, AMENITENGENEZA HUYU BWANA na sasa ANATAWALA zinasuuza nafsi si haba.Barikiwa MAMAANGÚ
Ameeen🙏
Nabarikiwa sana kupitia nyimbo zako.
I don't think this woman is a human being she just an angel in a mission ♥️♥️
That's true
Sure
🤗🤗
Tuna pinganiwa na baba yetu na barikiwa na huu mwimbo sana shalom dada
Yes umenena vyema. There are many angels among humans
Her dress code and general energy are just amazing.
Agreed
uko vizuri mama mungu akujaze upako wakutosha AMEN
Nakubaliana nawe Bwana!
Iwe kwangu upendavyo Bwana!
Amina!
Mungu nipiganie mimi vita siwezi Jehova ...nitete usiache nizame 🙏🙏🙏 barikiwa sana Martha, can't get enough of this am just rewinding
Wooow what an inspiring song it's. She will remain to be my favorite artist. May God continue lifting her to greater levels and bless her beyond measure.
mwenzio cpganag mwnyw😧... mwenzio vita ciijui🙌...kasema nitulie atajibu...🤔🙏
God, how comes this the first time I'm listening to this song, thanks to Jacaranda crusade👏👏👏👏
God is for all of us. Nobody can defeat his good will for us all. Napiganiwa na baba kweli Amina kabisa. You bless us so much Martha through your songs.
The message from the gospel is telling us not to fight with our enemies, and to believe that God is fighting our battles and we will receive victory from God, amen ❤😢
Amen for the word of encouragement
AMEN
Mwenzenu nabarikiwa na huu wimbo jamn asante MUNGU kupitia mtumishi wako Martha mwaipaja
Mimi sishindani mwenye 🙏💯
Huu wimbo unanipea nguvu ya kuvumilia mengi katika dunia nashukuru mungu kwa yote...ubarikiwe sana.
Pole
Jesus Christ love's you
Wimbo wenywewe wanitia nguvu wakati wote, kweli MUNGU akujalie nguvu kibao na ufunuo zaidi kwa neno lake, uko mrembo sana
Nyimbo zako zimejaa mafundisho makubwa na zinaleta faraja sana. Barikiwa sana Martha.
Yale mungu amenitendea,,, nasema tu Asante🙏🙏
Halleluya you defeat me but you will never defeat God❤️❤️❤️ from 🇺🇬
It was my favorite song the time I was going through frustrations in every area of my life, but Baba Mungu alinipigania I came out victorious. Glory be to God
Amen💯🙌🙌🙌
Amen
Amen
Amen
Amen
She is beautiful, she dresses decently and she keeps blessing us with lovely gospel songs.
I like her dress code. Simple and descent👌
Uniponya Sana wimbo huu
This woman 🙏🙏🙏Martha you're a message to some of us be blessed uishi miaka mingi
Mtumishi wa mungu
Figure nayo🔥 ,anafanana na sarah selem
utukufu ni kwa bwana,amen and amen
Amen ,nabarikiwa sana,be blessed dada Martha,hakika sipambani mwenyewe napambaniwa na baba🙏♥️
Dadang nyimbo zako zote mi nazieleew San Skati tamaa Napenda kusikiliza mda wote.
Very true this servant of God she really blesses me so much
Martha for your I love you deeply therefore I pray for double anointing in Jesus name
Ukwer ndo huo ata mm cpiganaji mwenyewe anaenipigania ni mungu tuu ubalikiwe Mama mwaipaja
Hata NAMI anaendelea kunipigania kila siku na kila saa.barikiwa dadangu Martha
Barikiwa dada 2020,nakataa kupigana mwenyewe,napiganiwa na Yesu
Amen...from Kenya...twakupenda Martha...mungu akupeleke mbali
unajua Dada mungu azidi kubariki kaziya mikono yako
Am a living testimony that some years ago our God fight for us,I can't forget,He told Moses tell the Israelites that "the enemies you are seeing, you will never see them again"
Yes
And God told Moses I will make your enemies to see you and run back away from you.
Nimepiganiwa na Mungu kweli