Baada ya kusubiri Kwa Muda mrefu... Sasa Kwa Utukufu wa Mungu... Ubarikiwe na video hii ya wimbo wetu pendwa wa #Nakutegemea baba... Usisahau ku #subscribe chanel yetu pia ku #share# na ku #like... Ili wengine wabarikiwe pia... Nawapenda katika Kristo
I remember last year I was in a worse situation my workmates and my boss to never wanted to see me near them yaan wivu to ya biashara hadi wakaniitia chairman wa soko I was almost giving up jụ nmepitia mengi mabya but whn I listened to this song I felt like crying but God is great yaliisha and now am doing my own bussines
Hello Chilola I love you brother You have a great gospel songs I have here one of gospel singer like you wants collaboration I hope you two artist when meet, there must be wonderful 👍👍 songs that in Jesus name it can spread out all over the world
Mungu akubarikiye akuwogezeye nawa kenya doté mungu awabariki nimeyishi Kenya Mombasa myakatanu sikuwa navitambursho arakini wakenya awakunisumbuwaa mungu awabariki ichiyenu iyendereye vizuli ❤❤❤❤❤
Asante sana,God bless you Maana nimepigiwa sim na mtu ananipa hongera sana nimeisikia nyimbo Yako,nikamwambia Mimi umekosea number,nilpokata simu afu napenda sana kuimba nahisi Mungu ananikumbusha Leo nimemuuliza ni nani huyo kanambia Ayse nimebarikiwa sana🎉🎉🎉🎉🎉
MUNGU akubariki sana Mtumishi Yona Chilolo, hakika kazi yako ni njema sana Mimi nimefurahi sana kukutana na wewe hapa Gairo maana nilikua nakusikia tu kwenye Mitandao 🙌🙌🙏🙏
Having waited for long, this song is finally here. This song was so motivating last year when President William Ruto was campaigning. Asante sana ndugu Chilolo.Ubarikiwe sana.
Ndio na sikiza leo 9/5/2024 wapi likes za mchungaji
Baada ya kusubiri Kwa Muda mrefu... Sasa Kwa Utukufu wa Mungu... Ubarikiwe na video hii ya wimbo wetu pendwa wa #Nakutegemea baba... Usisahau ku #subscribe chanel yetu pia ku #share# na ku #like... Ili wengine wabarikiwe pia... Nawapenda katika Kristo
Good work ❤❤❤ congratulations 👏👏👏👏 much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 more grace be upon you always God protect you and guide your steps 🧎🧎🧎🙏🙏
Conguration Cuzoo so nice
Waauuu! God Bless you, this song do real Blessed me🙏🙏🙏
@@KarenKetura Amen and Amen, I'm Blessed my Rev🙏🙏🙏
@@janeatjaneat6599 thenks for your support my queen ♥️♥️ sikutaka ubaki nyuma nakumiss i will give you a call kiu iishe ♥️ ♥️
Nice song wapi likes from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Naupenda sana huu wimbo
Wapi likes za mtumishi chilolo. Jameni👍👍 share na rafiki zenu..
Ubarikiwe sana
@@yonachiloloofficial amen 🙌 mtumishi 🙏🙏
🙏
Nice job keep it up
@@yonachiloloofficial mungu amufikishe mbali Sana ...hii wimbo inanibariki sana
Hongera mtumishi wa Mungu.
Naomba no mtu aliyekufanyoa video tafadhali,, naishi Arusha.
Nataka nifanye video ,ASANTE
0714373636 vendeko
Hallelujah, habari njema kupitia kwa wimbo ubarikiwe sana kwa kipaji chako cha utumishi katika nyimbo na ibaada
First Kenyan to show ❤
Waooooo 🔥🔥🔥
Ningependa niimbe na wewe wimbo zako zinanibariki sana
Hallelujah huu ni wimbo mzuri sana🔥. Wapi like za wakenya.
So napenda nyimbo zako aki✌✌✌🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ubarikiwe sana
Nakubali
Sawa wa nyumbani Mungu akuinue viwango vya juu. Fahari yetu
Ubarikiwe sana kwa nyimbo nzuri zenye kufunza na kubeba uhalisia wa maisha yetu kaka, Roho Mtakatifu aendelee kukutumia zaidi na zaidi.
From tiktok to RUclips pita na like am really blessed with this song 🙏🙏🙏🙏
I remember last year I was in a worse situation my workmates and my boss to never wanted to see me near them yaan wivu to ya biashara hadi wakaniitia chairman wa soko I was almost giving up jụ nmepitia mengi mabya but whn I listened to this song I felt like crying but God is great yaliisha and now am doing my own bussines
Asante mungu na mimi naamini ipo nitarikiwa magari na nitawapa lift wote wanaonipita tena wengine ni majirani 😢😢😢😢
Mtoto wetu anapenda mdogo anapenda wimbo yako
Hii song na Nyumbani kwetu ilifanya nkujuwe bro ur on fire may God bless you🙏🙏💖💖
Ameen
Wimbo mzuri sàna yoh, lakini baadhi ya picha jamani 💔
Zinatisha mno! Kwanza ukitazama huu wimbo na mtoto kwisha wewe 😢
Hello Chilola I love you brother
You have a great gospel songs
I have here one of gospel singer like you wants collaboration
I hope you two artist when meet, there must be wonderful 👍👍 songs that in Jesus name it can spread out all over the world
Si wimbo tu pali ni maubiri ndani mwake
Yani kuna kanisa moja nilienda kusali nikakukuta vijana wanacheza sana nyimbo zako ndipo nilipo kujua hapa kaka umebarikiwa na mungu 🙏🙏❤
Ameen
Wow wow wow wimbo nzuri ya kutia watu mioyo barikiwa sana kaka na uzidi kutoa na kuhubiri neno la Mungu
Yes mokozi wangu I depend on you🙏
Bg up ,wmbo nzuri
Mungu aibariki kazi ya mikono yako hakika nimesubiri sana kuona huu wimbo hatimaye sasa nimeupata
Ameen
More blessings brother @Chilolo🙏🙏🙏and keep going.mbele kwema
Huu wimbo unanijenga sana na amini mungu atatimiza malengo yangu
Mfunangu mulungu yakudime sinyimbosako sikuning'a faraja, Kwimage mndugusangu ani mndugusake wa Daudy Andason ayo mgambo.
Pga kazi ya bwana ubariki sana mwaha
Chilolo mtumishi wa mungu huu wimbo unanibariki sana pia unaendelea kuipepelusha vyema ya mkoa wa morogoro wakaguru mpooo
Ameen
NAKUTEGEMEA BABA VIDEO NZURI SANA 🙌🙌🙏🙏
Asante Sana
Mungu akubarikiye akuwogezeye nawa kenya doté mungu awabariki nimeyishi Kenya Mombasa myakatanu sikuwa navitambursho arakini wakenya awakunisumbuwaa mungu awabariki ichiyenu iyendereye vizuli ❤❤❤❤❤
Barikiwa sana mtumishi
Wimbo nzuri sana unabeba ujumbe muhimu.
Asante Sana
Kwr nyimbo zako zinanifurauisha Sana.
Yani wimbo huu ndo chai yangu ya asubuhi, ubarikiwe sana mtu wa Mungu
Ameen
Ubarikiwe Sana umenibariki nimeutafuta huu wimbo mpaka nimeupata bariki mtumishi wa Mungu
Nice song....
I like it so much and more grace...
From Kenya
Ameen
Asante sana,God bless you Maana nimepigiwa sim na mtu ananipa hongera sana nimeisikia nyimbo Yako,nikamwambia Mimi umekosea number,nilpokata simu afu napenda sana kuimba nahisi Mungu ananikumbusha Leo nimemuuliza ni nani huyo kanambia Ayse nimebarikiwa sana🎉🎉🎉🎉🎉
hallelujah,wimbo nzuri sana wakuimiza moyo,be blessed bro from another mother, much love❤❤❤❤ from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wimbo mzuri sana
❤❤😢
Tunasubili kwa hamu jaman
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu🙏
The Ntuzu Music Tz Anasubilia nyimbo
Ameen
nmebarikiwa sana na huu wimbo ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu.
Wimbo mzurisana
Good🎉and be blessed for your good job
Mungu akubariki Sana Mtumishi, napenda Sana wimbo huu Sana.Maadui wako wengi tuzidi kumtegemea Mungu.
Mwimbaji aliimba maisha harisi ya mtanzania
Wow wow my favourite song from mr chilolo
Hongera sana mtumishi wa Mungu, uendelee kuinuliwa.
Ameen
Hongera sna brother chilolo kila laheri ktik mafanikio yako yote
Ameen kubwa dada
Hogera sana mtumishi wa mungu nyimbo nzuri saña God bless you
Nimekuja hapa kutoka E.f.m masanja kaicheza leoi hii nyimbo ni nzr sana
Ameen❤
Mdogo wangu mimi dada ako nipo daa safi sana mungu akutie nguvu
Ameen
Ongera sana mtumishi wa mungu, huu wimbo nimkubwa sana achiliya mbali video niyakimataifa mungu akupe uzidi kukuwa viwango Kwa viwango
Ameen
Ameen ameen
Hongera Sana kazi nzur Mungu azidi kukuinua zaidi
Ameen
Wimbo mzuri sana unanibariki mim sana wamejipanga kila kona ila hawawez
Umefanya vizuri mtumishi tumebarikiwa sana na video tuliingoja Kwa hamu👏👏👏
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu, kweli huu ujumbe huwa naupenda sanaaa uinuliwe viwango vya juu zaidi
Gog bless you my brother ❤❤❤ love this song so much give happy for my life🔥🔥🔥from🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Tumebarikiwa mtumishi hongera kwa kaz nzur ☀️☀️☀️
Asante Sana
Sijawahi choka kuskiza nyimbo zako Mungu aendelee kukutumia kwa ukubwa
Ameen
What a song!! Inspiring and blessing. May the Lord bless your ministry
Waoooo mwimbo mzur jaman ubarikiwe sana
Ubarikiwe san wimbo mzuri san nimebarikiwa mno
Tuliisubiri kwa hamu Sana,video nzuri Kama wimbo ubarikiwe Sana mtumish chilolo
Ameen ameen
🙏🙏🙏
Amina. Mungu akupandishe viwango vya juu hunduma nzuri sana
Amen nashukuru sana
Congratulation my brother video ni nzuri sana Mungu akubariki kamanda
Ameen
Kazi yako ni njema mungu azidi kukuinua
Amen. Kenyan's at Lebanon are realy blessed.❤❤❤❤
MUNGU wa mbinguni akuinue zaidi mtumishi
Kazi nzuri sana Mungu akuinue viwango vingine
Can't get enough of this song nakutengemea wew Baba🙏🙏🙏🙏
Ubarikiwe chilolo kwa nyimbo zako za kujenga na kubariki mtu.mungu azidi kukuinua na akubariki ❤❤❤❤❤❤❤
Yeeeeeedh nitamu sana wakened wooooyeeeeer😮😮😮😮
Mungu azidi kukupandisha viwango vya juuuuuuu zaidi
👍👍👍👐👐❤❤❤my. God bless you chilolo
Chilolo e uko vizuri . kutoka kanisa la anlikana mwendapole ulisha wahi kuja. nakufarilia sana mimbo yako Inanibariki sana🤝👍
Aki hii wimbo inakumbusha mbali waja mungu aitwe mungu tu❤❤❤
Ishafika🇰🇪. Barikiwa sana mtumishi
Mungu akubaliki sana mtumishi wa mungu kazi nzuri sana🎉🎉🎉🎉
Ameen
❤❤❤❤❤❤❤❤, wow such a heart touching song, be blessed akiii😢😢
Hallelujah wimbo mazuri sanaaa mungu azidi kukutunza ❤❤❤
Ameen
MUNGU akubariki sana Mtumishi Yona Chilolo, hakika kazi yako ni njema sana Mimi nimefurahi sana kukutana na wewe hapa Gairo maana nilikua nakusikia tu kwenye Mitandao 🙌🙌🙏🙏
Barikiwa
Santa
Wimbo
Mzuri
Nice song when the energy are against me God really is with me
Having waited for long, this song is finally here. This song was so motivating last year when President William Ruto was campaigning. Asante sana ndugu Chilolo.Ubarikiwe sana.
Ameen
Amina mtumishi chilolo❤❤,yaani huu wimbo unanitia nguvu,maana Kuna 😂😂,kipindi nilipitia machungu,lkn mungu Nimshindi🙏🙏🙏
I love this song from Congo
Asante Kwa kuhubiria moyo wangu mtumishi
Barikiwa sana mtumishi wa mungu
Nilikuwa nautafuta nimeupata ubarikiwe
Mutumis wamungu Wacha mungu hakupe NEMA nyimbo Sako sinanigusha sana nakunikumbusa
Am blessed with the song akii may God bless you.
Ameen
Ninakushukuru mungu wewe hauna mafungu ukitaka kubariki hausuiwi na mtu🙏🙏🙏.barikiwa saaaaana next nipende tu.
Kabisa
Mungu Akubariki mungu akulinde pamoja na uduma yako brother chilolo
My love for this song are real imebidi nitafute RUclips
Ameen
Ubarikiwe naupendasan huu wimb unanibarik
Ameen