Annoint Amani = Yesu Naomba Miguu ( official music video )
HTML-код
- Опубликовано: 18 ноя 2021
- #yesunaombamiguu#byannointamani#
Artist,Annoint Amani
Song,Yesu naomba miguu
Album Mimi ndie Mungu pekee
(Language Swahili )
Bookngs
instagram annoint amani
+255767240181= +255755099942)
Directed by Meddy
Audio A.E,A Tones,Producer by Meddy
+255786849123 )#yesunaombamiguu#byannointamani# Видеоклипы
kama tuko pamoja kwa haya maombi,nipe like jameni,be blessed amani good music all times
😭😭😭mungu niwewe umeruhusu niwe yatima nacokifanya akisongi ruhusu niwe mubarikiwa nani amini 🇧🇮🇧🇮
Kitaheleweka kabisa
Nilazima injili ifike pale ambapo wengine wamehachiya
Baba yangu
Nilazima wimbo YESU naomba miguu ifike kwa 10M nakuombeya kama mtoto wa Mungu aliye ayi.
Yesu nipe Miguu....What a Beautiful Song? ata mimi nahitaji miguu....Annoint you are Annointed 🙏🙏🙏
Naomba miguu heeeh Yesu wangu
Mungu naomba miguu ili nisonge mbele, maisha yangu imekuwa ya changamoto tangu nikiwa mdogo 😭😭😭😭
Baba nataka miguu.Nipe miguu mungu
Wimbo zako zote Zina nguvu na faraja
Ameeeeen yaan mm ata sichoki na hii nyimbo mngu akuzidishe zaadin🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wamechukuwa miguhu yangu
Yesu naomba miguhu
Sinatena musahada
Yesu naomba miguhu baba yangu
Nabaki najihuliza labda nimizimu ya kwetu
Utajiri tuliyo naho...........................................wamezaha namaskini
Annoint Amani muimbaji hodari kutoka pale Tanzania 👏 pongezi motomoto kutoka kwa Lizylizy msanii entertainer ❤️❤️kazi njema msanii 🔥🔥
Anoint amani mtumishi wa mungu umenibariki sana mimi ni paster kutoka kenya ningetaka naba ya simu yako niongee tu na wewe pls🙏🙏🙏
Mungu wng na Baba yng Naomba Miguu
Kipaji chaos na Bwana yesu akiangalie na kukikuza, maana kwacho watu upokea kuitafakari njia sahihi, nguvu na faraja. Na uzidi kupanuka kwenda viwango na viwango
Amen barikiwa aki mungu akuzidishe nguvu 🙏🙏💪
Kakaa just imagine nilisikia nyimbo yako ya raisi ikanigusa Sanaa Kenya tuko pamoja alaf huku bado ndoo home sio
Upo vizuri annoint Mungu akuweke na unabii utufikie kupitia nyimbo zako
Duuuuuh mungu azidi kukupaka mafuta mabichi yasiyogoshiwa mtumishi uimbaji wako uwe juu zaidi na zaidi
Wow nyimbo zako tu ndo zimejaa kwa my phone out of 100 zako no 80%
Watching from Kenya... Annoint Amani nyimbo zako zanibariki..Mungu naomba miguu Ili nisonge
Kweli nahitaji miguu ya Mungu nani nisonge mbele
so touching, may God bless you for your songs. Imeniguza hadi nikahisi majonzi yanitoka.
Amen. Jaman huyu kaka nampenda xana maan nyimbo zake zote zinaguxa xana moyo wang na zinanifundixha xana
Kak nimebarikiwa sana huu wimbo jamn had machoz yanitoka jaman 😢😢😢😢😢
Mzee wa Mshangao nakupongeza Kwa kazi nzuri mtumishi
Bado nasikiza wimbo mtamu kumbe imeisha......inanibariki ndugu.....
Napenda huu wimbo sana wacha mungu akupaliki man of God
Hata mimi Mungu nipe hatua. Nimechoka na maisha ya chini. Mungu akuine Annoint
Mbn huu wimbo inaniumiza😭😭😭😭Yesu nisaidie miguu, asante sn mtumishi Wa Mungu🙏🙏🙏
Mungu akubariki Kaka, unahimba vizuri sana
Bado naskiza huu wimbo mara kadhaa kwa siku. Barikiwa sana
Mungu azidi kukuinua zaidi annoint Amani uzidi kuimba kimataifa na ulimwengu mzima
Uko juu bradha...tayari wewe star in Jesus name,zidi kunyenyekea chini yake ili akuinue zaidi.,..umenibariki sana....Kenya twakuskiza
Kaka waniguza saana na huduma yako wimbo huu ni kweli yaani sio utunzi.. Mie Baraka toka Kenya nakupenda
Mungu nipeatuwa hinikwajili yangu Amina 🙏🙏🙏♥️♥️♥️🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Amen mungu nisaidiye🙏🙏
Wacha Mungu akutie nguvu na Hekima unapomtukuza mungu,unazidi kunibariki unapoimba
Keep up annoint from Kenya napenda sana muziki wako endlea mungu akulinde
Yaani nyimbo za annoint hunibadilisha sana nkisikiliza may god bless you dear brother 🙏🙏🙏
Mungu azidikuku baliki eti sikuadi sku Amina🙏🙏 ♥️♥️♥️♥️♥️♥️💐 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🌹
Mungu akuinue sana nyimbo zako huniinua nkiwa Chini sana
Mungu akubariki na azidi kukufunulia mafunuo zaidi 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Hizi nyimbo zake huwaga nabarikiwa sana na kila siku lazima nizipige
Yesu Naomba Miguu
Keep it up mtumishi wa MUNGU, nyimbo zako ziko na uepo wa MUNGU
Nabii bikemwa Alesha fika CONGO
Annoit may God bless you.Watching from Kenya.Nyimbo zako za bariki sana.
Ninataka hatua bwana be blessed 🙏🙏🙏
Dady una double to double umependeza sana wimbo mzuri sauti nzuri pia suti zako Ni juu fireeeee .by fireeee.like it.
Wow more grace @Annoint
Hii nyimbo ina ufunuo na ujumbe mzito🔥🔥🙏🙏🙏🙏🙏🙏
well points.power prayer.good song.all well done bro big up!
Asante kwa usikilivu mwema bikemwa yupo Congo kwasasa amefika vizuri
Hii nyimbo naisikiza almost daily three to four tyme. This year lazima Mungu aturegeshee miguu in Mighty name 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
GOD GIVE YOU EVERYTHING THAT YOU need He will answer your prayer
Ondoa hiyo denge kaka,andiko liko wazi linalozuia,
Kazi Nzuri Sana Boss Wetu Chapa Kazi Injili ifike Kimataifa Sisi Aea Online Tuko Nyuma Yako Tunakuombea....!!!
Yesu naomba miguu nipige hatua
Amen...very nyc...niombee ata mimi ni muimbaji mchanga. Nisupport kimaombi plz Mtumishi na wengine nyote niombeeni. Mi ni cecil karush kwa you tube. Natama nifikishe huduma pahali Mungu Anataka.
I love this song ❤️❤️❤️
Ndugu,naona umerudibkwa mpigo,nngekua na number ya ya simu nngekupigia,hope u r well in Christ Jesus...keep up the song is lit.
I'am a Muslim but this song aki maneno yake its true
Good job amani keep the fire burning 🔥🔥🔥🔥,,, 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tupo pamoja mtumishi 💪💪
Mungu wangu naomba miguu
mungu akubariki sanaasna welocome kenya
Thankyou God kweli ndivyo ilivyo mungu atusaindie mtu wa mungu
Barikiwa sana kaka napenda Sana nyimbo zako uwa zanibariki sana
Wimbo huu unanibaliki sana hongera sana mtumishi wa mungu
Ameen I love you and your songs too from Kenya b blessed Annoint continue spreading gospel
Amen Amen mungu anipe miguu
Amen mungu akubariki
These man takes gospel to another level God bless you annoit kenya we lov you
Ameeen Hallelujah anoint mtumishi wang
Is true He is taking the gospel to a higher level. Preach the gospel up to the end of the world Annoint. Blessed you young bro. Way from Namibia every time I listen to your songs. Even feel no one to talk to
Nyimbo zako ziko na messages poa be blessed with the blood of jesus🙏🏾🙏🏾
Hmm I'm going I'm in Gunn gg
Mmmmm hiyo base👏👏👏👏🙏
Baba naomba miguu nipige hatua mbele maishani. Wimbo mzuri mnooooo.
Luhusu baba
Nipe hatua Mungu natia huruma
Nyimbo zaki zanibariki sana .barikiwa sana na mungu aedelee kukuongoza .Kenya twakupenda sana
I am blessed with your songs keep it up bro
I really love ur music man of God let our sweet Father continue using u and lifting u high Mungu akubariki sana
Your songs have really blessed me
Bro Annoint Amani barikiwa sana wimbo mtamu sana endelea kutia moyo na nyimbo . Amazing bro Esther kutoka kisii kenya
Kwa kweli ni jitu limekuja Kwa wakati wake
My brother,,my role model ubarikiwe sana Annoint,,,I can't get enough of this song💔💔💔I watched again and again❤️❤️🙏🙏🙏
Wow amen man of God continue to be flourish in Jesus name, very powerful message 😭
Loving this song so much infact it's now my favourite barikiwa sana❤️
Mungu akuzidie neema ndugu... Nyimbo zako zatia mtu nguvu
Ameen God bless you mtumishi wa mungu
Annoint😭😭😭😭nyimbo zako zanibariki sana.....sijui nisemeje kaka ila mungu akuongeze miaka na baraka kwa sana kakangu
🇰🇪🇰🇪
Haaalleelluuuyaaaa!! Yesu Ni Bwana!
yes lord.nipe miguu
Umebariki wengi amani,,like your songs
Malaika baruwa ninakupa
Ninakutuma nenda kamwambiye yesu
Yeye ni baba tena kila kitu kwangu
Wamechukuwa miguu yangu
Yesu naomba miguu
Barikiwa sana baba yangu
Amen from kenya love your song Man of God
Naomba miguu Bwana niendelee 🙏🙏🙏
Nice song be blessed kabisa God answers prayers let's keep heart 💕💞💞💖💗
Amen
Mungu naomba miguu
Nice song mungu naomba hatua
Kweli,kabisa,mungu,akubariki,sana
Ulie iruhusu ndoa yangu iishe nilejeshee ingine....unae niluhusu niitwe Msanii chini ya manji,niluhusu nikue star.🙏🙏🙏😊
Good nasikia eaa unapo imba
Amen🙏🙏mungu azidi kuinua huduna yako ,nyimbo zako Zina upako tele