Wimbo huu unanikumbusha Maisha niliyowahi kupitia huko nyuma kwakweli ninakushukuru Mungu kupitia wimbo huu nilipata farijiko kubwa mno ambalo lilinifanya nivumilie japo Bado napitia changamoto za hapa napale Lakin nakushukuru Mungu wangu kuwa na Mimi katika safar ya Maisha yangu pamoja na ndugu zangu....nasema asante Mungu wangu🙏🙏🙏🙏
Namkubali sana ambwene mwasongwe naomba like kwa anayesikiliza mwaka huu 2024
Leo ni tarehe 11/10/2024 Namshukuru Mungu kwa aliponitoa mpaka Leo nilipofikia hapa hakika ni muujiza haikuwa rahisi
Leo trh 05 Agosti 2024 , namshukuru Mungu kwa hapa nilipo🙏🏾
Leo trh 2/10/2024 namshkuru Mungu kwa kila jambo🙏🤲
Amina
Wimbo huu unanikumbusha Maisha niliyowahi kupitia huko nyuma kwakweli ninakushukuru Mungu kupitia wimbo huu nilipata farijiko kubwa mno ambalo lilinifanya nivumilie japo Bado napitia changamoto za hapa napale Lakin nakushukuru Mungu wangu kuwa na Mimi katika safar ya Maisha yangu pamoja na ndugu zangu....nasema asante Mungu wangu🙏🙏🙏🙏
Nyimbo zako zanibariki sana pia zinanifariji pindi napitia changamoto Mungu zaidi kujutia nguvu ambwene
Ila wimbo huu Nina upenda sana sichoki kusikiliza ♥️♥️🙏
Mungu azid kukutumia Kama chombo chake kwani nyimbo zako zinaujumbe mzur sana
Mungu nimwema sikuzote asante baba kunikubari Mimi
Ubarikiwe sana Kwa nyimbo nzuri
September 2021 wote tulio ckia wimbo huu tuweke like za kutosha
Hongera mtumishiiii was bwana
Mungu akubariki brother Ambwene uwa una bariki moyo wangu Sana
Ni kweli asingekuwa BWANA nisingefika hapa🙏🏼
Nabarikiwa na nyimbo Zak kila wakati zinanitia nguvu sana mungu azidi kukupa upeo mkubwa
Tatizo Ni sisi wenyewe
Mungu akubaliki mno mungu yupo anaonekana 🙏💞
Hizi ndo nyimbo za kiroho 🙏🏽
Bwana Yesu akubariki na kukuwezesha Mtumishi. Nyimbo zako zatujenga
Bonge la ujumbe,nakukubali sana Ambwene
JESUS I THANK YOU ❣️🫂🙏
Nimebarikiea
Kweli tumemwona Bwana, Mung ni Mungu. Bwana akubariki sana
Hakika tulikotoka ni mbari barikiwa sana mtumishi
ubalikiwe abwene na mungu akutie nguvu
Kaa NAMI Bwana,,safari bado ndefu sana.huduma yako yanibariki sana till now days l listen this song.hongera kwako ambwene 🤝🤝
Nyimbo yenye nguvu
Barikiwa ndugu, japo kwa Mara ya Kwanza nasikiliza toka kwako. Nimebarikiwa, Asante
Unanibariki huu wimbo
Mungu akubariki Mtumishi wake na azidi kukuinua
Nabarikiwa sana
Mungu akubariki kaka
Hakika Mungu utabaki kuwa Mungu kwangu
Mungu akutie nguvu kwa njimbo nzur kama hii🙏
Ni kweli kaka mungu akubariki kwa ujumbe uu unanitia nguvu
Be blessed
Natamani sana na mimi ningekuwa muimbaji iv❤❤
Barikiw san
During this period of corona this song strengthen my soul
Nabarikiwa sana . Amen
Barkiwa mtumishi
Ubarikiwe mtumishi ujumbe mzuri
Nakupenda Sana mtumishi wamungu
Be blessed brother🙌🙌
Mungu akubariki Kaka nyimbo zako zinanitia nguvu sana
Mungu akutunze sana
Encouraging song 😢😢😢😢😢😢
Tumetoka mbali
❤ song
Barikiwa kwa ujumbe mzuri
Barikiwa mtumishi..
Aminaa❤
Watumishi we ni hawa waimbaj kabla yakugika kanisan waha wanatuponya
Barikiwa sana
Mungu akubariki saana
ubalikiwe abwene namungu akutie nguvu
Ubarikiwe san🙏🙏
Mung azid kukutia nguvu mtumishi
Mungu Akubariki
This song develops me spiritually
5
Nice song
Uplifting song,God bless you bro, it's my prayer that God will include you in heavenly choir.
I love this song wow
Hakika hakuna kama mungu
❤❤❤❤❤❤
Thanks Lord
Asante
❤❤
Ameeen
Amina
Love nace
Barikiwa nyimbo inanibariki
Niceee sana ambwene
nabarikiwa sana na nyimbo zako Ambwene.
Amina
God bless you bro
Ni kweli asingekuwa BWANA nisingefika hapa🙏🏼
Nice song
Asante