The powerful song..imenibariki sana.madui hii habari iwafikie walipo,yesu aninipigania bado naendelea..wakati bwanangu alikufa walisema mimi nimeisha sasa but Mungu wa mbinguni anakupigia Watoto wasoma bado tunaendelea kwa yesu..Amen and Amen.
It's a great song for the year 2023,it encourage me to continue depending on God. Mungu sio mwanadamu aseme uongo,Mimi bado Kwa Yesu. Yesu ananishindia yote,Amina.
wanio niwazia mabaya kwa kweli habari za miwujiza ya Yesu iwafikiye kwamba Yesu ametupigania tuko hayi na tumesonga 🌧🌧🙏🙏🙏🙏🙏🙏30.04.2024.mwezi wa May naendeleya kubalikiwa double ×2
Since today i'm down mentally and physically, as I keep on listening to this song my prayer is that Jehovah dissapoint those that are awaiting for my downfall😭😭🙏🙏
I feel I'm blessed with this song,,,natamani nisije nikamkosea Mungu,,,God help me and the one who sung this song to be blessed and continue keeping on pple are being blessed
hallelujah hallelujah amen wonderful song may God bless you for good song hallelujah Jesus Christ you are only my father in heaven hallelujah amen ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Bien aimée dans le Seigneur Jésus-Christ grâce et paix divine sur vous il ya 2mois de cela que J'écoute ce chant. Depuis le 1er jour elle est restée dans mon moi intérieur. Je l'aime mes petits fils et moi. Svp aidez-nous à comprendre son contenue. Merci Shalom 🙏🇨🇬
Grâce et paix divine sur toi frère Enoch Jonas . Je suis francophone. Pour la compréhension de ce chant qui a captée mon âme dès que je l'ai écouté pour la première fois mes deux petits fils et moi ,j'ai utilisée une application pour traduire les paroles de la chanson en français. Très puissante cette chanson. J'ai jésus qui est mon aide dans le combat et qui combat pour moi dans les difficultés. Ceux qui pensaient que j'allais mourir qu'ils le sachent...alléluia alléluia gloire à notre Seigneur Jésus-Christ. Il est juste fidèle et équitable. Merci Seigneur jésus. Béni ton serviteur 🇨🇬🇨🇦🙏
Listening to this very inspirational song...on May 17 ,2023, 2:15am. My sister Faith is admitted in the hospital. Waiting for God's visitation today.❤Am so encouraged.
@@langatronald4130 God did it for her. She is under home care and doing very well. To God be all glory. He is indeed Jehovah Rapha....He has the whole world in His hands.
Bailey mt wa mungu nakupenda sana mungu amefanya njia ya kusikia nyimbo zako ndizo zanisogeza kwa mungu baba vailet naomba no yako ya cm niko pamoja nawe kwa habari ya kulmlingana mungu ninayo ajenda kimya kwenda mbinguni kama wewe mungu akubariki kwa jina la yesu bwana na mokozi wa maisha yetu❤❤
Iyi nyimbo imenigusa sana, this song reminds me of a narcissist so called uncle who once told me that I will end up bad and who wished me death. Today I live peacefully, i have a better job with decent pay, about to start my apprenticeship training, I'm healthy by God's grace and Have big plans for my future.
Your songs and the dancing system is really making me feeling like to see you by my eyes but God is great. God bless and protect you all. If possible you can sing in English, so that others can listen the meanings
Halleluiya walidhani nitakufa habari ziwafikie,walidhani nitashidwa bado naendelea,Mungu sio mwanadamu wapedwa❤❤❤🙌🙌🙌🙏
❤❤❤
My favourite song..God bless Jonas
Amen
Amen
God bless you 🙏
Ukweli kabisaa nilidhikwa kama Ni ngali Hai,but Mungu Ni Nani bado naendelea tuu kuona Baraka zake,Huu wimbo unijenga kiimani sana
From Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪wasanii wa tz wanaomba nyimbo za kumsifu Mungu mbarikiwe sana wewe ukiwa mmoja wao natiwa nguvu sana na nyimbo zako. Neema zaidi
Walinizika ningali hai kwa maneno yao. Walai habari ziwafikie, Jamani Ni Mungu tu! I'm alive today because of His grace the Almighty God ❤
Hallelujah he never fail
Hallelujah ❤❤
Jehovah Nisi
Jehovah Yahweh
Jehovah Adonai
Jehovah Shamma
Jehovah El-Gibo
Jehovah Jire
Jehovah Rapha
Jehovah Elohim
Jehovah Sabaoth
Jehovah King of kings
Jehovah Ebenezer
Jehovah Mungu
Jehovah Eloheka
------------------------------
Mulungu
Katunda
Ngai
Asis
Nyasaye
Enkai
I don't know why I'm in tears 😭😭😭😭😭😭😭😭 I can do it with God
I will keep coming until this song gets to a million views
Daniel KHAEMBA
Jajaja
3.3 milion already kwakuwa yesu yu nasi🙏🙏🙏
Mungu sio mwanadamu hata aseme uongo,walinizika ningali hai Haleluyaaa🙏🙏🙏mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana
😂❤
The powerful song..imenibariki sana.madui hii habari iwafikie walipo,yesu aninipigania bado naendelea..wakati bwanangu alikufa walisema mimi nimeisha sasa but Mungu wa mbinguni anakupigia Watoto wasoma bado tunaendelea kwa yesu..Amen and Amen.
Mungu yuko.watahaibika.Basabere Amaya nyasae akorende
Same here am going through hard times since my husband died 😢 but mungu bado ananipigania
Ubarikiwe na mungu🙏🙏🙏
Am truly blessed with this song,madui zangu waskie vizuri
Mutoto wa Tanzania that's good , with me I don't understand that language but I see the presence of God 🙏🙏🙏🙏🙏
🎉🎉😊
Hakika Mungu sio mwanadamu,,,this song really builds me I keep listening on a daily basis 🎉🎉🎉🙏🙏
Umeimba ma, umehubiri jina la Yesu litukuzwe. Nice song Bukusu woyeee
Walioninenea mabaya habari ziwafikie jamani!,,,,neema yake imeniweka hadi Leo.Amen
Ameen mungu akubark sana ata ivyo mawazo ya mwanadamu n tofauti na ya mungu ❤❤❤munngu n mwema na atabaki kua mwema cku zote🎉
Nipo na yesu mm sitaogopa mabaya yyt barikiwa sana kaka
I'm proud to be a Tanzanian, lots of talents keeping us going.. Good Swahili & lyrics
Mwaka hadi mwaka naona wema wa yesu, mwaka hadi mwaka naona baraka zake, sijaona kushindwa...God bless you brother.
Amen Amen Amen
Bado naendelea kwa kina la yesu,,,, walidhani ctainuka tn
Ma fevorete song I will never get tired of this song I am a leaving testimony,🙏🙏🙏🙇🙇🙇💃💃
A
It's a great song for the year 2023,it encourage me to continue depending on God.
Mungu sio mwanadamu aseme uongo,Mimi bado Kwa Yesu.
Yesu ananishindia yote,Amina.
I love this song, it talks about me. Licha ya shida nyingi naendelea. Kwa Yesu sing'oki ng'o
Congratulations sana kazi nzuri sana huu Wimbo ni kama ulinitungia mie ni kama nilikupa ushuhuda ndipo ukanitungia hongera sana
Praise God 🙏 nikweli Asante MUNGU kwa kumtoa mwanao Yesu kwa ajili yangu nasikia kushukuru Mungu sana amekuwa mtetezi wangu
wanio niwazia mabaya kwa kweli habari za miwujiza ya Yesu iwafikiye kwamba Yesu ametupigania tuko hayi na tumesonga 🌧🌧🙏🙏🙏🙏🙏🙏30.04.2024.mwezi wa May naendeleya kubalikiwa double ×2
Since today i'm down mentally and physically, as I keep on listening to this song my prayer is that Jehovah dissapoint those that are awaiting for my downfall😭😭🙏🙏
So shall it be in Jesus Precious Name , Amen !!!
You are the best,
I listen to this song daily.
He deserves more than these views. This song is a blessing to many.
Sure, i expected more views than what is there now.
hallelujah hallelujah amen wonderful song may God continue to bless 🙏🙏🙏
This song decerves million and millions of views.🙏I love it 💯.Be blessed
I feel I'm blessed with this song,,,natamani nisije nikamkosea Mungu,,,God help me and the one who sung this song to be blessed and continue keeping on pple are being blessed
Yesu ananishidia bado ninaendelea mtumishi wa mungu ubarikiwe sana
hallelujah hallelujah amen wonderful song may God bless you for good song hallelujah Jesus Christ you are only my father in heaven hallelujah amen ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mungu wa huruma akupe nguvu katika uwezo wa roho mtakatifu
Naendelea kabisaa wasionitakia mema nataka wajue hivo , I really love the song ❤
You are beloved brother!!! Step forward, you are together with your God , I wish you more my @Enock Jonas,I love you More
Bien aimée dans le Seigneur Jésus-Christ grâce et paix divine sur vous il ya 2mois de cela que J'écoute ce chant. Depuis le 1er jour elle est restée dans mon moi intérieur. Je l'aime mes petits fils et moi.
Svp aidez-nous à comprendre son contenue. Merci
Shalom 🙏🇨🇬
Grâce et paix divine sur toi frère Enoch Jonas .
Je suis francophone. Pour la compréhension de ce chant qui a captée mon âme dès que je l'ai écouté pour la première fois mes deux petits fils et moi ,j'ai utilisée une application pour traduire les paroles de la chanson en français. Très puissante cette chanson. J'ai jésus qui est mon aide dans le combat et qui combat pour moi dans les difficultés. Ceux qui pensaient que j'allais mourir qu'ils le sachent...alléluia alléluia gloire à notre Seigneur Jésus-Christ. Il est juste fidèle et équitable. Merci Seigneur jésus. Béni ton serviteur 🇨🇬🇨🇦🙏
❤❤❤❤❤❤❤❤❤ ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
amina mtumish wa mungu
Mola sio mwanadamu hongelini au kazi mzuri mungu awabariki
Whenever i listen to this song i gather more courage to soldier on.
Thank you so much for uproudng I love you songs watching from Ugandan 🌹👍
Sawa kabisa wimbo nimzuri Sana nimebatikiwa na wimbo huu
Ninaye yesu mimi anazimama nami 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Inspiring song,bando naendelea kubarikiwa
❤so powerful song kwa adui zangu waskie
This is the song that I always play when going through any challenge and I always see God in my problems. It's a prayer not a song.❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
❤❤❤Amen Habari siwafikie Wachawi wooote wanao nilasmishia Kifo Ameen
Inaringana tu nayenye napitia Sasa Mungu anipiganie woiye wale maadui mbona Mungu akawaumba 😢
Enock
Mungu akona kila sababu usichoke kuomba Na hakiki utabaki kuwa mshindi
Wow,amen habari ziwafikie madui zake, walidhani nitazama
amen powerful song may God bless you hallelujah yesu wangu torch me amen 💪💪💪💪💪💪
Full-time inspiration, believe in the Lord. He has the power
This song is powerful nafeel niko blessed madui wangu sikia
Yaah may God bless it has place me somewhere
@@SharonZeinab❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤
@SharonZeinab ❤🎉
So, you already haters herein
Enock nice song amen be blessed hallelujah ♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Mungu naimani maaduyi zangu wame anguka,habari ziwafiyeeee.amen.
Hii song inanipea matumaini ya kuishi wakati wa Raha na shida God bless you bro keep it up 🙏🙏
Listening to this very inspirational song...on May 17 ,2023, 2:15am. My sister Faith is admitted in the hospital. Waiting for God's visitation today.❤Am so encouraged.
Ooh LORD, I am still waiting for Your visitation. I know You will do it at Your own time.
It shall be well brother 😊
@@langatronald4130 God did it for her. She is under home care and doing very well. To God be all glory. He is indeed Jehovah Rapha....He has the whole world in His hands.
@@gideonkioko4072 Amen Glory to God she will be strong again to worship and thank the Lord.
@@langatronald4130 Amen amen.
ooooh very powerful song amen hallelujah thank you God well done ❤❤❤❤
Mwenyezi Mungu akupe nguvu nakuendelea kutuburudisha song zako madui zangu sikia🎉
Mungo ni wa nguvu katika Maisha yangu,yeye ñdiye ngao yang.
I love the that music..I don't stop listening to it I hope I understand what it really saying.may my God bless the man of God that Sig it Amen 🙏
Amen blessed song am really blessed ❤❤❤❤
Powerful one,,,this song teaches me much,,,it encourages me a lot🎉🎉
Haleluyah bwana awabariki my school mate devotha❤❤❤🎉
A very powerful song...unaufanya moyo wangu unatulia ndani ya yesu....be blessed Mr Enoch
Ata mimi nayesu naedelea maadui mtanyamaza wimbo nzuri inanipa nguvu kuendelea kumwamini mungu ndiye mueza yote❤ i love the song
N xwa tu n maisha aki woi
amurwe
Bailey mt wa mungu nakupenda sana mungu amefanya njia ya kusikia nyimbo zako ndizo zanisogeza kwa mungu baba vailet naomba no yako ya cm niko pamoja nawe kwa habari ya kulmlingana mungu ninayo ajenda kimya kwenda mbinguni kama wewe mungu akubariki kwa jina la yesu bwana na mokozi wa maisha yetu❤❤
God forgive my sin and let me start a new life and clean me with😢😢😢😢 blood of God
🎉🎉🎉🎉walisema biashara yangu imeisha,wanipee mda,coming back soon with testimony
It's a good song hakika inanibariki wakati ninapo shidwa Ina nips nguvu,,,,,,,yesu ni mwema kila wakati
Iyi nyimbo imenigusa sana, this song reminds me of a narcissist so called uncle who once told me that I will end up bad and who wished me death. Today I live peacefully, i have a better job with decent pay, about to start my apprenticeship training, I'm healthy by God's grace and Have big plans for my future.
Rehema 0:00 0:00
hallelujah yesu wangu torch me nice song amen may God bless you 💪💪💪
Mungu amenipigania tangu 2014 adi majuu sio kurahisi❤
amen wonderful song I like this song is pray for me amen well done hallelujah 🖐️🖐️🖐️🖐️
Reminds me of 2019.God is great tuko 2024
This song is my true testimony before and after the death of my loving husband. Continue resting in peace my King ❤
Sorry...take heart.
Hakuka Mungu ni Mungu tuu anayezidi kunipigania sifa heshima na utukufu zimurudilie yeye tuu maishani mwangu.
Your songs and the dancing system is really making me feeling like to see you by my eyes but God is great. God bless and protect you all. If possible you can sing in English, so that others can listen the meanings
What a praise may God continue using you
the song reinforces my foundation and dependence on the 4th Man, Bro great work, God bless and empower you to spread His Gospel through your songs
Aliniambia Mimi kwani aliambiwa na nani
This song is blessing me alot ,,adui zangu mpo
The God will remain today and forever be blessed.
Ooh God im now self employed with abig business habali ziwafikie wadui zangu
Kwa yesu ninasonga mbele🙏🙏, na Bado naendelea 🙏🙏
Love this song, surely kwa yesu bado naendelea ❤❤
A such a good song with great powerful message 👍🙏🙏
Maadui Mimi Bado. naendelea Yesu aongoza
Amen am so interested with presentation you deserve 100%
Nikweli kabisa sifa na utukufu zirudie huyu Mungu kwa yote anayonitendea Amen
You left me higher dear bruh. May omnipotent Lord be with you in all ❤❤ from Rwanda🎉🎉
Hallelujah 🙏🙏🙏 yesu Wangu powerful song amen 💪💪💪 Mungu a
Very powerful song, am blessed and still pressing on
Amen amen 🙏🙏..habari ziwafikie..barikiwa sana
Naendelea bado,,habari ziwafikie💃💃💃💃💃
Amen Amen..Such a Powerful Song ❤❤❤❤....Much Love From Kenya ❤❤❤❤❤❤❤❤ And More Blessings 🙌 🙏....
MUNGU akulinde na kukusaidia daima, unaimba kwa ujasiri na Imani sana , MUNGU asikuache daima🙏🙏🙏🙏🙏🙏
very nice song may God bless you amen
God's blessings continue in your life 🙏🏻
I love this song it's really encouraging
Nzokwama nkwibuka nkiri ngaha kurinosi ! Imana yemeye ikakwiyegereza ikomez ikuba hafi Aho uri muvukanyi
Very nice and encouraging song, you are blessed brother
❤❤
I feel blessings huu wimbo unanikumbusha mbali saña 3yrs ago mungu ni mungu na atabaki mungu maishani mwangu
Furaha ya maadui ilikuwa nishindwe lakini mungu wewe ni nani umeendelelea kunidumisha maadui uwape maisha marefu washuhudie baraka zangu
Amen 🙏 mimi bado naendelea Yesu Ako nami