Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Nani mwingine hufurahishwa na songs za enock kama mm, angusha likes tukisonga
Very powerful 🙏
@@ericksonranoi Be blessed dr 🙏🙏
Ninaguswa sn ninaposikiliza nyimbo zake Enock
Kwanxa stress ikinikujia naweka tu nyimbo za jonas inaisha
Zina message mzito sana...Napenda tangia mwanzo❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
From tiktok 🙏🏼 wajibu wewe Mungu😌🤲🙏🏼❤️💃
❤😂🎉😢😢😅
Huu wimbo unapeleka mawazo yangu mbali Tena unanitia nguvu sana mungu aendelee kuwafungulia sana
Hii wimbo Yani jenga nakuni tiya moyo. Mimi Niko mashariki mwa Drc hapo Butembo
Mungu. Wajibu wewe nikweri wapo watu upenda kuwaombea wezao wasifanikiwe. Asante Kaka
Daah,huu wimbo umenifariji sana,Ubarikiwe sana Kaka Enock
Tumsifu mungu kwakua yeyeni mungu
Mungu wajibu wewe watesi wangu wote Asante sana kaka Enock Mungu akubariki katika kazi zako ili uweze kutuletea nyimbo nyingine nzuri 🙏
akuna arie Kama mungu
Wonderful praise song, be blessed you guys. Kweli Bwana wajibu wewe
Mungu nijibie na mimi kwenye mashangu
Wimbo huu wanibriki kweli kweli ❤❤ pongezi ndugu🎉
Amen Amen 🙌🙌🙌
Kweli mungu anajibu.Mungu si mwanadamu aseme uongo
Huu Wimbo umenigusa ubarikiwe enock
Nani harie kama mungu jua hakuna harie kama mungu akubariki wimbo wako uko sawa❤
Asante kwa wimbo mzuri sana unagusa maisha yetu
Huu wimbo umenibariki sana kaka
Iyi mwimbo inakata Mambo yote Mungu anasema gardé silence moi l'Éternel combattra pour vous ✌️
Mungu awajibu kbs asante sana ubarikiwe ndugu mungu akupake mafuta mapya ❤
Hakika mungu ndie mwenye majibu yote
Asante Barikiwa kwa wimbo mzuri sana,shetani na mama mkwe wake wamekalia misumali naukumbuka huo wimbo wako ,songa mbele MUNGU akutunze milele.
unanibariki ndugu barikiwa nawe
Nabarikikiwa sana na Wimbo huu!wajibu wewe baba
Nanyamaza mimi. Mungu wajibu ❤❤❤
Yan ujumbe waukwelisa banat anaweza
Naomba hii neema Kwa mungu❤
The right song at the right time,God bless u jonas
Courage nawapenda sana
Hongera saaaaaana mtumishi
Eeeh Mungu , utupigania wewe, maana vita si vyetu
Mungu akuongoze sana brother
Aki mungu akubariki kijana na kuombea uimbaji wako.upanue mipaka yako kwa.jina la yesu.
Don't change continue with this spirit you are a blessing to many♥️💕♥️♥️♥️🙏🙏🙏I feel like heaven is back again congrats 👏
Blessed with this Gospel track Please share lyrics...Swahili &English
Mungu akubariki sana na atajibu
Good song akuna mwingine kama mungu
Mungu wangu was binguni wajibu wewe
huu wimbo unanitia nguvu
Akii huyu mungu❤❤
Mingu akutie nguvu kwakilajambo ulifanyalo
Mungu ni mwema najua atatutendea kwa wakati wake be blessed bro kwa massage nzuri
Kweli kabisa bwana wajibu mwenyewe
Hongea Enock huwa nafuatilia nyimbo zako zote uhalisia
Nice song🎉 eeh bwana wajibu wewe
Nabarikiwa sana mtumishi kwa wimbo huu ...mungu akubariki...(mtumishi naomba seaport yako.niombi langu kwako nimengi ninayo ya kukueleza lakin namna ya kupata mawasiliano yako sjafanikiwa...
Safi sana hii nyimbo ya mtumishi zunguka zunguka
From tick tok gather here 😊
🎉🎉pamoja🎉
Wajibu ww mungu mm🤐🤐
Huu wimbo unibariki sana
Eeeeee!wajibu baba.songa mbele kueneza injili
From tiktok to RUclips ❤❤ 🙏🙏 blessed song, Mungu wajibu wewe kwa niaba yangu
Aaameni!! Barikiwa sana mwana wa ufalme
Mungu akuongezee siku za kuishi
Hatariiii sana brother nyimbo hii inanikosha sana
Mungu wajibu wewe kweli sina majibu
Ameni mtumishi Mungu akubariki sana ❤
Ukweli mungu. Wajibu. WawaAkubariki. Tena. Tena. Tena🥰💘😥aminaaa
Mungu wangu wajibu wewe, Asante kwa kazi nzuri mungu akuinue
Barikiwa mtumish wa MUNGU 'MUNGU ajibu kabisa
Imenigusa Sana nyimbo hii
Nice song bro imenibariki sana
Umekuwa wapi nimejua huu wimbo from wasafi fm, I love it from Kenya
Mungu kweli wajibu maombi
Bad naendelea ,am blessed
Nice one Mungu akuonekanie zaidi ndugu
Ninabarikiwa sana mungu ainue uduma yako
hallelujah mighty God very powerful song may God bless you ♥️♥️♥️♥️♥️a
mungu akuariki jonas nikweli mungu anajibu yeye nabarikiwa sana na hii nyimbo
KAZI mzuri sana
Nice song God bless Kweli wimb mzr
🙏🙏wajibu wewe 🤝🤝
Napenda sana nyimbo zake acheni tu jmn
Wajibu wewe mungu wangu wa mbinguni,Amen 🙏🙏🙏Be blessed Man of God.
Inapaswa.kumuachia mungu.pekee
Naskianga nikama nimebebuwa na mungu
Baba wajibu wote
Que Dieu vous benisse avec ce merveilleux louange je ne comprend pas la langue mais la chanson me transporte merci
When is becoming God's blessings there is no Language just enjoy it and be blessed, La vie
Ipo siku utawajibu kwa wote ware wanao nisema vibaya 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Wajibu wewe mungu halleluya🤲🤲✝️✝️✝️🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu wangu ❤❤❤
Mjibu grace Mungu wang
Huu wimbo unanikumbusha mengi Hadi nalia. Mungu ukutie nguvu mchunga.❤❤❤
Nasikia inablessed sana
Wajibu ww Mungu 🙏🙏🙏❤
Kwakwelii jamanii
Nimeupends uyu mwimbo
Mungu akubariki sanaa mtumishi wa mungu
Hakika vita sio yetu ni ya BWANA, Acha apigane MUNGU mwenyewe,, sisi tutanyamaza kimya yeye alie BWANA wa MAJESHI atapambana nao.🙏🙏
Yeah Mungu wajibu wewe. My family, friends and neighbors are happy for my downfall. God you know the reason, wajibu wewe Mungu
Hi song hunibariki tu sana
Hii song imeniingia ndani ya roho yangu.
Hasant Mung muinue juu
Wimbo tamu be blessed
What a Vessel!More Grace Brother
Ongera sana kaka Enock wimbo mzuri sana unaujumne mziri nimeupenda sana ubarikiwe
Is such a blessing song to me❤❤
Wimbo huu hunipa matumaini sana mbarikiwe sana .enock jonas naomba mawasiliano yako basi
Kweli sio swali ujibu mengine mungu ayajibu,Amen
Mungu akibariki kipaji chako uendelee kutupa mafunzo zaidi
Pambana upo vizur mngu ata kusaidia
Umewajibu Yesu wangu ❤❤❤mimi nanyamaza kimya Asante sana kwa baraka ya kazi kwa Binti yangu
Wajibu wewe MUNGU🎉❤❤🎉🎉🎉🎉
Be blessed broo ,,wajibu wewe bwana 🙌🙌🙏
Nani mwingine hufurahishwa na songs za enock kama mm, angusha likes tukisonga
Very powerful 🙏
@@ericksonranoi Be blessed dr 🙏🙏
Ninaguswa sn ninaposikiliza nyimbo zake Enock
Kwanxa stress ikinikujia naweka tu nyimbo za jonas inaisha
Zina message mzito sana...Napenda tangia mwanzo❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
From tiktok 🙏🏼 wajibu wewe Mungu😌🤲🙏🏼❤️💃
❤😂🎉😢😢😅
Huu wimbo unapeleka mawazo yangu mbali Tena unanitia nguvu sana mungu aendelee kuwafungulia sana
Hii wimbo Yani jenga nakuni tiya moyo. Mimi Niko mashariki mwa Drc hapo Butembo
Mungu. Wajibu wewe nikweri wapo watu upenda kuwaombea wezao wasifanikiwe. Asante Kaka
Daah,huu wimbo umenifariji sana,Ubarikiwe sana Kaka Enock
Tumsifu mungu kwakua yeyeni mungu
Mungu wajibu wewe watesi wangu wote Asante sana kaka Enock Mungu akubariki katika kazi zako ili uweze kutuletea nyimbo nyingine nzuri 🙏
akuna arie Kama mungu
Wonderful praise song, be blessed you guys. Kweli Bwana wajibu wewe
Mungu nijibie na mimi kwenye mashangu
Wimbo huu wanibriki kweli kweli ❤❤ pongezi ndugu🎉
Amen Amen 🙌🙌🙌
Kweli mungu anajibu.Mungu si mwanadamu aseme uongo
Huu Wimbo umenigusa ubarikiwe enock
Nani harie kama mungu jua hakuna harie kama mungu akubariki wimbo wako uko sawa❤
Asante kwa wimbo mzuri sana unagusa maisha yetu
Huu wimbo umenibariki sana kaka
Iyi mwimbo inakata Mambo yote Mungu anasema gardé silence moi l'Éternel combattra pour vous ✌️
Mungu awajibu kbs asante sana ubarikiwe ndugu mungu akupake mafuta mapya ❤
Hakika mungu ndie mwenye majibu yote
Asante Barikiwa kwa wimbo mzuri sana,shetani na mama mkwe wake wamekalia misumali naukumbuka huo wimbo wako ,songa mbele MUNGU akutunze milele.
unanibariki ndugu barikiwa nawe
Nabarikikiwa sana na Wimbo huu!wajibu wewe baba
Nanyamaza mimi. Mungu wajibu ❤❤❤
Yan ujumbe waukwelisa banat anaweza
Naomba hii neema Kwa mungu❤
The right song at the right time,God bless u jonas
Courage nawapenda sana
Hongera saaaaaana mtumishi
Eeeh Mungu , utupigania wewe, maana vita si vyetu
Mungu akuongoze sana brother
Aki mungu akubariki kijana na kuombea uimbaji wako.upanue mipaka yako kwa.jina la yesu.
Don't change continue with this spirit you are a blessing to many♥️💕♥️♥️♥️🙏🙏🙏I feel like heaven is back again congrats 👏
Blessed with this Gospel track Please share lyrics...Swahili &English
Mungu akubariki sana na atajibu
Good song akuna mwingine kama mungu
Mungu wangu was binguni wajibu wewe
huu wimbo unanitia nguvu
Akii huyu mungu❤❤
Mingu akutie nguvu kwakilajambo ulifanyalo
Mungu ni mwema najua atatutendea kwa wakati wake be blessed bro kwa massage nzuri
Kweli kabisa bwana wajibu mwenyewe
Hongea Enock huwa nafuatilia nyimbo zako zote uhalisia
Nice song🎉 eeh bwana wajibu wewe
Nabarikiwa sana mtumishi kwa wimbo huu ...mungu akubariki...(mtumishi naomba seaport yako.niombi langu kwako nimengi ninayo ya kukueleza lakin namna ya kupata mawasiliano yako sjafanikiwa...
Safi sana hii nyimbo ya mtumishi zunguka zunguka
From tick tok gather here 😊
🎉🎉pamoja🎉
Wajibu ww mungu mm🤐🤐
Huu wimbo unibariki sana
Eeeeee!wajibu baba.songa mbele kueneza injili
From tiktok to RUclips ❤❤ 🙏🙏 blessed song, Mungu wajibu wewe kwa niaba yangu
Aaameni!! Barikiwa sana mwana wa ufalme
Mungu akuongezee siku za kuishi
Hatariiii sana brother nyimbo hii inanikosha sana
Mungu wajibu wewe kweli sina majibu
Ameni mtumishi Mungu akubariki sana ❤
Ukweli mungu. Wajibu. Wawa
Akubariki. Tena. Tena. Tena🥰💘😥aminaaa
Mungu wangu wajibu wewe, Asante kwa kazi nzuri mungu akuinue
Barikiwa mtumish wa MUNGU 'MUNGU ajibu kabisa
Imenigusa Sana nyimbo hii
Nice song bro imenibariki sana
Umekuwa wapi nimejua huu wimbo from wasafi fm, I love it from Kenya
Mungu kweli wajibu maombi
Bad naendelea ,am blessed
Nice one Mungu akuonekanie zaidi ndugu
Ninabarikiwa sana mungu ainue uduma yako
hallelujah mighty God very powerful song may God bless you ♥️♥️♥️♥️♥️a
mungu akuariki jonas nikweli mungu anajibu yeye nabarikiwa sana na hii nyimbo
KAZI mzuri sana
Nice song God bless
Kweli wimb mzr
🙏🙏wajibu wewe 🤝🤝
Napenda sana nyimbo zake acheni tu jmn
Wajibu wewe mungu wangu wa mbinguni,Amen 🙏🙏🙏Be blessed Man of God.
Inapaswa.kumuachia mungu.pekee
Naskianga nikama nimebebuwa na mungu
Baba wajibu wote
Que Dieu vous benisse avec ce merveilleux louange je ne comprend pas la langue mais la chanson me transporte merci
When is becoming God's blessings there is no Language just enjoy it and be blessed, La vie
Ipo siku utawajibu kwa wote ware wanao nisema vibaya 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Wajibu wewe mungu halleluya🤲🤲✝️✝️✝️🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu wangu ❤❤❤
Mjibu grace Mungu wang
Huu wimbo unanikumbusha mengi Hadi nalia. Mungu ukutie nguvu mchunga.❤❤❤
Nasikia inablessed sana
Wajibu ww Mungu 🙏🙏🙏❤
Kwakwelii jamanii
Nimeupends uyu mwimbo
Mungu akubariki sanaa mtumishi wa mungu
Hakika vita sio yetu ni ya BWANA, Acha apigane MUNGU mwenyewe,, sisi tutanyamaza kimya yeye alie BWANA wa MAJESHI atapambana nao.🙏🙏
Yeah Mungu wajibu wewe. My family, friends and neighbors are happy for my downfall. God you know the reason, wajibu wewe Mungu
Hi song hunibariki tu sana
Hii song imeniingia ndani ya roho yangu.
Hasant Mung muinue juu
Wimbo tamu be blessed
What a Vessel!
More Grace Brother
Ongera sana kaka Enock wimbo mzuri sana unaujumne mziri nimeupenda sana ubarikiwe
Is such a blessing song to me❤❤
Wimbo huu hunipa matumaini sana mbarikiwe sana .enock jonas naomba mawasiliano yako basi
Kweli sio swali ujibu mengine mungu ayajibu,Amen
Mungu akibariki kipaji chako uendelee kutupa mafunzo zaidi
Pambana upo vizur mngu ata kusaidia
Umewajibu Yesu wangu ❤❤❤mimi nanyamaza kimya Asante sana kwa baraka ya kazi kwa Binti yangu
Wajibu wewe MUNGU🎉❤❤🎉🎉🎉🎉
Be blessed broo ,,wajibu wewe bwana 🙌🙌🙏