SAA YA MABADILIKO by Henry Kimario - Kwaya Ya Mt Mikaeli Malaika Mkuu -Kikatiti - FT Lawrence Kameja
HTML-код
- Опубликовано: 14 янв 2023
- #iRisEmpire2022#AudioVisuals
KWAYA: MT;MIKAELI MALAIKA MKUU (kigango cha Malula)
PAROKIA: PAROKIA YA WATAKATIFU PETRO NA PAULO KIKATITI
WIMBO: SAA YA MABADILIKO
MTUNZI: HENRY KIMARIO
SOLOIST : LAWRENCE KAMEJA
MCHEZA KINANDA: A J MYONGA
SOUND ENGINEER: MAXMILLIAN MASHAMBA
AUDIO & VIDEO: iRIS EMPIRE
Please🙏 Subscribe, Like, Share & Comment Видеоклипы
Hakika ni saa ya kubadili maisha yetu na kuishi kikamilifu kwa mungu....wimbo mzuri hongera ❤
Haya ndio makombora yanayopasha joto imani zetu hongera sana mtunzi wa hii nyimbo Mungu awalinde wanakwaya hawa waendelee na kazi ya kuinjilisha 🙏🙏🙏
Hakika ni saa ya mabadiliko Mungu awabariki sanaa,mlijua kupendeza na sauti tamu yakumtukuza Baba yetu wa mbinguni pongez kwawote walioshiriki kwa ujumla❤❤❤❤💕💕
Congratulation laurence kameja ni saa yamabadiliko
Hakika ni saa ya mabadiliko barikiweni nyote mliotumika ktk hii kazi
Wimbo mzur sana mungu akubarik sana mwlimu kameja
Chuma imeliaa eeeh
Mapema Tuu
Wimbo mzur sana mbarkiwe warmish wa mungu
Ni saa ya mabadiliko,haipendez kumchukia nduguyo.
Mungu na atukuzwe milele... Asante kwa hii zawadi ya SAA YA MABADILIKO- ... Love you St.Mic 🙏Asante Iris Empire 🙏 Kameja "Nakubali"
Ameeeeeeeen
Wimbo mtamu can see my friend Lawrence kamenja there
Kazi nzuri,ujumbe umetufikia.twawapenda Sana.
Asante sanaa
Ulipambana sn anko Tino mpk kitambi kiliisha na ufupi ukaongezeka Mara pah! Ukawa mweusi lkn hatimae imenoga hongera sn, hongera na wanakwaya wote kwa ujumla na shukhran kwa wote walofanya kz ifike hapa jmn Mungu awabariki mpk mshangae
😃😃😃 Amina kubwaa
Asante sanaaaa
Amina ,,,kazi nzuri sana , Hongereni wanakwaya wote na Mbarikiwe
Nimeupenda,nammeutendea haki
Nyimbo Nzuri Kabisa ya Kuanza Mwaka.......Lawrence,sauti yako inatubariki kila siku,Iris empire wameweza kwa hii nyimbo.....Mungu awabariki na mzidi kufika mbali 💯💯
We thank God
Huu wimbo unaguza ndipo
Amina,nisaa ya mabadiliko Ni Saa ya mabadiluko
Wimbo mzury san
kaz nzur, mubarikiwe🙏 mr. Tinnoh nmeona kaz yako congrats😍
Asante Donna
🔥💝❤️
Hongereni sana
Mlifanya KAZI nzuri hongereni waimbaji pamoja na Iris Empire creativity Iko juu sana!!!!! Director kongole kwako
Hongera sana welcome Kenya. Ni UPENDO Tu
So amazing song
I cant get enough of this song, my gooodness,,, very well composed and heavenily voices.
Mmetishaaaaa sana kiriii nakuonaaa unavyoiwezea sasa iyo butterfly
Saa ya Mabadiliko🎶🎶🎶
Hongera mwalimu kaz nzur Sana asante kwakuniinjilisha Kwa wimbo mzur
Mungu awabariki sana kwa utume uliotukuka
Amen! Shukran sana🙏🙏
Kazi nzuri sana, hongereni
Saa ya mabadiliko💥
Unyamaaaaa mzee
Hongera Kaka
Mungu ni mwema hakika
Hongera laurence kameja
Hongera Kaka kameja sauti nzuri Sana🔥🙏🙏
Kweli Ni saa ya mabadiko. Mungu awabariki kwa ujumbe mzuri
Mungu ni mwema,,,,, hatimaye,,,,
💞
Kazi safi
Mungu awabariki sana wana kwaya
Kazi nzuri Hongera sana Teacher Mwenyezi Mungu akupe maarifa zaidi
Kameja baraka tele
Naomba mawasiliano yenu iris nahitaji tuzungumze jambo
0658001112
Kazi ni ya Moto sana🔥🔥🔥😍❤️, kuimba Raha nyie asikwambie mtuu, hongereni sana Kwa kazi nzuri
Thanks dada Esther,,,,
Tunashukuru Sana sana! Mungu akubariki - zidi kukaa karibu na channel Yetu kuna mambo mazuri zaidi yanakuja.🙏🏾Stay blessed
Hongereni sana kazi nzur sana
Hongereni wimbo mzuri
Waooo nzur sanaaaa🔥saa ya mabadiliko wamefany vzr san
Hongereni sanasana Wimbo Safi👌. Sauti nzuri, ujumbe mzuri umenibariki😇😇. Barikiwaaaaaa kwa Utunzi na uinjilishaji pia🤝🤝
Kazi njema kaka, ujumbe wake ni mkuu sana kwa wakati huu.. kweli ni saa ya mabadiliko..
Nyimbo nzur imenibalik kwakweli
Good job Lawrence
Nice song....nimependa sana...👏👏kazi nzuri hongereni...ndugu kamenja Lawrence kama kawaida you don't disappoint....big up man..
Mseminaristi Francis.
Hongera sana🎉🎉
Ni saa ya mabadiliko jamani🔥🔥🔥🔥
🙏🙏hongereni sana Kwa Kazi nzuri,Mwimbo mzuri wenye ujumbe mzuri hakika ni Saa ya mabadiliko Kwa kila mmoja Kwa nafasi yake🙏Mungu awabariki sana.
Tunashukuru Sana sana! Mungu akubariki - zidi kukaa karibu na channel Yetu kuna mambo mazuri zaidi yanakuja.🙏🏾Stay blessed
Great work keep it up. Mmenibariki sana
Kazi nzuri
Iko poa sana. Good mwamba
Shukran sana Man God bless
Kameja huyo waoooooh
Blessed 🙏
Saa ya mabadilko
Ni saa ya mabadiliko, tubadili mioyo na matendo yetu tumpendeze Mungu☺️🙏🏽…. Great work👏
Kazi Nzuri mno🔥🔥🔥
Wow 🔥. Hongera
Good job Iris na waimbaji wote😍👏👏
Ujumbe mzuri. Barikiwa sana wana wa Kikatiti. 🤙👏👏
Amen! Shukran sana🙏🙏
Nice song 💝 full of facts God bless you all who have made it
Kazi safi sana wangwana.🔥
This is banger🔥🎉the message is home🔥💯The soloist 🙌
Such a great song! Perfect for the soul. May you be bless LK
Tunashukuru Sana sana! Mungu akubariki - zidi kukaa karibu na channel Yetu kuna mambo mazuri zaidi yanakuja.🙏🏾Stay blessed
@@StudioiRisPro aisee nahitaji contacts zenu tuzungumze
Big up guys. Congrats brother Henry Kwa matashi mema haya
Interesting🔥👏
Wimbo mzuri
Creativity
Nilisahau ku coment ndio nimekumbuka leo na sina cha kusema 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🎹
Kazi nzuri Sana 🔥🔥 mbarikiwe 🙏🥰
Amen Amen
To God be the glory.
Good job God bless you
I love the creativity in directing .....
Tunashukuru Sana sana! Mungu akubariki - zidi kukaa karibu na channel Yetu kuna mambo mazuri zaidi yanakuja.🙏🏾Stay blessed
Very good work bros.
Amina🙏🙏
👏👏👏
Hongereni sana, good song, good message. May God bless you all 🙏
💯💯💯💯💯💙💙
To God be the Glory! PERFECT SONG FOR THE SOUL
Amen🙏
Creativity at ist epic point in the video 💯💯🤗🤗,,,It's that Time🤗🤗🥳
Tunashukuru Sana sana! Mungu akubariki - zidi kukaa karibu na channel Yetu kuna mambo mazuri zaidi yanakuja.🙏🏾Stay blessed
This hits so hard. Inagusa hadi mifupani. The message is so good 🔥🔥👏👏. Producer amefanya kazi nzuri and of course my big brother crowned it all, Kameja all the way ❤️🔥👏
Thank you so much🙏🙏
Marvelous creative art✍️
Tunashukuru Sana sana! Mungu akubariki - zidi kukaa karibu na channel Yetu kuna mambo mazuri zaidi yanakuja.🙏🏾Stay blessed
Nice one
You're the Lens Dons. Always on top💯🔥🔥🔥🔥🐝🐝🐝
Good job🙏🏽
Beautiful song with a great message to all believers. Congrats to composer, Lawrence Kameja, organist and all who made this possible.
Hivi nota tunazipata wapi? Msaada jamani.
Great piece
❤
Good job🔥🔥🔥.. Congratulations Lawrence, Iris and Team👏👏👏
Thanks Much
Good music with a message Baraka tele
Beautiful song with a deep message
Tunashukuru Sana sana! Mungu akubariki - zidi kukaa karibu na channel Yetu kuna mambo mazuri zaidi yanakuja.🙏🏾Stay blessed
Hongereni kwa nyimbo nzuri, napatej nota yake?
Amen 🙏 🙏 ❤
Nice song full of fact🤝
Tunashukuru Sana sana! Mungu akubariki - zidi kukaa karibu na channel Yetu kuna mambo mazuri zaidi yanakuja.🙏🏾Stay blessed