SEMA NAMI - A J Myonga |Kwaya ya Mt. Mikaeli Malaika Mkuu |Kigango Cha Malula |Parokia Ya Kikatiti.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Karibu kutazama wimbo huu uitwao SEMA NAMI utunzi wa A J Myonga ulioimbwa na kwaya ya Mt Mikaeli Malaika Mkuu Kigango cha Malula Parokia ya Kikatiti.
    Kazi hii nzuri imeandaliwa na IRIS EMPIRE katika audio na video.
    Usiache Kusubscribe, Like, Na kushare.
    🙏🏾

Комментарии • 42

  • @gaudencemtui
    @gaudencemtui 7 месяцев назад +1

    Hongereni sana kwa kazi hii kubwa ya kumtukuza Mungu kwa nyimbo

  • @MariahDonni
    @MariahDonni 8 месяцев назад +3

    Mtoto wa njombe kaja Arusha kuinjilisha angalau❤❤❤ Hongera mtunzi, sending my love kwa kwaya nzima

  • @mapendoglory16
    @mapendoglory16 8 месяцев назад +2

    "Sema nami Yesu niwe Salama." Kumbe usalama wetu upo Kwa Yesu tuuuuuu. Kwingine taabu tupu.
    Asante Sana mtunzi Na waimbaji. Roho wa Mungu azidi kuwatumia kufariji mioyo iliyopondeka.

  • @officialst.augustine250
    @officialst.augustine250 8 месяцев назад +5

    Hongereni sana..
    From my brother and roll model. A. Mwana wa Muyonga

  • @oscaramani5021
    @oscaramani5021 8 месяцев назад +3

    Bwana azidi kuwabariki na kuwainua katika viwango vyake

  • @PiusKabuche
    @PiusKabuche 8 месяцев назад +3

    Kazi nzuri sna ,hongeren sna kwenu wakuu💥💥💥

  • @DainesChilekwa
    @DainesChilekwa 8 месяцев назад +2

    Hongereni sana,mpo wachache lakini mambo mliyoyaonesha ni makubwa,Mungu awabariki

  • @NeemaNdakize-dp1cd
    @NeemaNdakize-dp1cd 8 месяцев назад +2

    Nabarikiwa sana jamani hongereni sana , nawaona na walim wangu

  • @ElimboraLema
    @ElimboraLema 2 месяца назад

    Nyimbo tam sana mbarikiwe mungu azidi kuwainua viwango vingine

  • @theophilishengoma3195
    @theophilishengoma3195 7 месяцев назад

    Nawapongeza kwa kazi nzuri.

  • @mkmedia3006
    @mkmedia3006 6 месяцев назад

    Amina,Amina...
    Mungu awabariki nyote kwa uimbaji mzuri

  • @theresiajoseph1943
    @theresiajoseph1943 8 месяцев назад +4

    Wow😊😊😊kazi nzuri na wimbo mzuriii

  • @Prisca_Regine
    @Prisca_Regine 8 месяцев назад +3

    Mmeweza sana,🙌 Congratulations 👏👏.Sema Nami Bwana Siku Zote🙏🙏

  • @yustinomelkior7802
    @yustinomelkior7802 8 месяцев назад +2

    Ashukuriwe Mungu🙏

  • @mariastephen1160
    @mariastephen1160 8 месяцев назад +1

    kikatt iko wapi nine nijiunge kwaya. nimependa Nazi yenu vidi imeng,'as. safi.

  • @SamwelMkilaha
    @SamwelMkilaha 8 месяцев назад +3

    Napata faraja nnaposikiliza huu wimbo kongole kwenu wote mliofanikisha hii kazi

  • @JamesDuwe-h9d
    @JamesDuwe-h9d 8 месяцев назад

    Nice sna

  • @wise_johnijo7532
    @wise_johnijo7532 8 месяцев назад +3

    Mungu atukuzwee

  • @senorinakimario
    @senorinakimario 8 месяцев назад +3

    Maua yenu rafiki zetu wa faida

  • @Gerelo322
    @Gerelo322 8 месяцев назад +2

    Dah saf saana

  • @felisterligwa
    @felisterligwa 8 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤

  • @felistabasily4339
    @felistabasily4339 8 месяцев назад +2

    Sema NAMI Leo nitapona

  • @breezonlinetv
    @breezonlinetv 8 месяцев назад +3

    Chidyakaa❤

  • @SaintRithadaycare
    @SaintRithadaycare 8 месяцев назад +2

    Bwana na aseme nasi hakika

  • @LucasMasasi
    @LucasMasasi 8 месяцев назад +1

    Mungu abariki utume wenu huo uliotukuka

  • @Samalextz
    @Samalextz 8 месяцев назад +1

    Kazi nzuri sana, tunaomba nyimbo zingine zaidi

  • @הבליךמיהן
    @הבליךמיהן 8 месяцев назад +1

    Ujumbe mzuri 🔥🔥🔥🔥

  • @coryandrey4322
    @coryandrey4322 8 месяцев назад +2

    Perfect❤❤❤

  • @alfachengula607
    @alfachengula607 8 месяцев назад +3

    🎉

  • @waltermarco1250
    @waltermarco1250 8 месяцев назад

    Shukrani..

  • @martinimatutuli5575
    @martinimatutuli5575 8 месяцев назад +1

    Nice sana 🙌

  • @josephluvinga6495
    @josephluvinga6495 8 месяцев назад +1

  • @JamesDuwe-h9d
    @JamesDuwe-h9d 8 месяцев назад +1

    Nice sna