NAAM NJOONI - E KESSY | Kwaya ya Mt Martin De Porres | Bugando-Mwanza FT Lawrence Kameja

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • “ Haya njooni kwenye maji naye asiye na fedha mfukoni aje achukue bila fedha na bila thamani”
    Wimbo : Naam Njooni
    Mtunzi : E Kessy
    Kwaya : Mt Martin De Porres Bugando - Mwanza
    Organist : A J Myonga
    Featured Soloist : Lawrence Kameja
    Audio & Video : Iris Empire
    Sound Engineers : Paschal Kabonge Assisted by Sting Beats
    Please Like , Comment, Share and Subscribe.🙏🏾 Asanteni sana

Комментарии • 467

  • @user-lc2hh8hd5c
    @user-lc2hh8hd5c 9 месяцев назад +2

    Asanteni sana kwa uinjlishaji na mafanikio mliyoyafikia,big up sana kameja

    • @SMDPcuhasbugando
      @SMDPcuhasbugando  9 месяцев назад

      Asante sana...🙏🏼 Tunaamini kwa sala na maombi yenu tutafanya makubwa zaidi ya haya

  • @cyrilzum3785
    @cyrilzum3785 Год назад +1

    hongera sana Kameja na wanakwaya wote , mmeimba vizuri sana hakika Mungu atukuzwe katika yote , chukueni pongezi hz

    • @SMDPcuhasbugando
      @SMDPcuhasbugando  11 месяцев назад

      Asante sana tumezipokea🙏🏼 barikiwa sana

  • @josephferdinand8174
    @josephferdinand8174 Год назад +6

    When Hardwork, Talent, Passion, Creativity And Godly Blessings Are Given Form, Kaka Good work As Always 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾 🔥🔥🔥🔥Geraaaaaadeeeeee Na Huyo Iris Wake 😁😁😁😁 #Brother 👊🏾

  • @PamelaNamwenya-nr4ph
    @PamelaNamwenya-nr4ph 10 месяцев назад +4

    This songs of our mother mary, they always courage whenever am down, lonely, stressed, zinanirudisha uhai, barikiwa sana brother Lawrence, ray, f.m.shimanyi, not forgetting our big brother benard mukasa and his family, and all singers in tz, proud being a catholic, much love from Kenya currently in Saudi Arabia

    • @SMDPcuhasbugando
      @SMDPcuhasbugando  9 месяцев назад

      Much love from Tanzania ❤️❤️❤️

  • @neemakiluhya9400
    @neemakiluhya9400 Год назад +3

    Song 🎵 ❤❤🔥🔥🔥🔥

  • @waithereronjoroge
    @waithereronjoroge Год назад +2

    Wow super hot 🔥🔥🔥🔥 blessed 💗 beautiful voices ❤️

  • @heriethtryphone9916
    @heriethtryphone9916 Год назад +2

    congratulations to use en I am happy so much big up more my lovely young Anthony makandi 😘I love u all

  • @barakacharles9301
    @barakacharles9301 Год назад +1

    Hongereni familia ya Martine wa pores.
    Mungu awe nanyi daima

  • @user-qi3zo5oz7c
    @user-qi3zo5oz7c 10 месяцев назад +3

    Kameja understands and takes his assignment seriously 🔥

  • @claudkuzenza2520
    @claudkuzenza2520 Год назад +4

    Mtu mbayaaa😂😂😂

  • @selinambeho
    @selinambeho Год назад +1

    Atukuzwe Mungu juu mbinguni jamani mmeanza na alla ya kigogo kwetu dodoma

  • @jemutaianne7527
    @jemutaianne7527 Год назад +4

    Awesome 🔥🔥... Kameja we see you there👏🏿

  • @lucy111st
    @lucy111st Год назад +1

    Sauti Tamu, Big Up Martine de Pores💯

    • @SMDPcuhasbugando
      @SMDPcuhasbugando  Год назад

      Asante sana usisahau kusubscribe na kuendelea kuangalia kazi zetu🔥 barikiwa sana🙏🏼

  • @jacksonruitiari9245
    @jacksonruitiari9245 Год назад +2

    @Francis Kameja banaee,,sauti unayo tena tulivu mno. Heko kwa kazi nzuri. Mzidi kubarikiwa.

  • @herbethchogga361
    @herbethchogga361 Год назад +3

    Mm ni graduate wa bpharm 2020 at CUHAS niko very proud na hii kwaya

  • @philipinaawe736
    @philipinaawe736 Год назад +3

    Hongereni sana kwa uinjilishaji. Mungu awabariki. Kazi nzuri sana

  • @blandinamalenda8968
    @blandinamalenda8968 Год назад +1

    Safi sana mmependeza na mmeimba vizuri sana ❤❤❤❤⛪⛪⛪⛪

  • @benjaminibalama3695
    @benjaminibalama3695 Год назад +2

    hongera. umebuniwa vizur. makirikiri imetulia..!

  • @drbongole
    @drbongole Год назад +13

    Hongereni sana Familia yangu St Martin Depores BMC. Karama na elimu..........Tutafika tu....🔥

  • @maryflaviournafulasifuna6347
    @maryflaviournafulasifuna6347 Год назад +2

    Wow amazing 😍😍👏

  • @josephndayizeye4768
    @josephndayizeye4768 Год назад +7

    Nafsi zetu zimeshibishwa kwa unono 🔥🔥🔥

  • @ceciliamroso949
    @ceciliamroso949 Год назад +2

    So nice 🥰 🔥tumebarikiwa sana ♥️hongereni sanaa

  • @user-zj4tl1gx1o
    @user-zj4tl1gx1o Год назад +1

    Hongereni sana mnaimba kweli karibuni nyasaka.

  • @maximilianmabagala3850
    @maximilianmabagala3850 Год назад +3

    Hongereni sana kwa kazi nzuri mbarikiwe sana kwa majitoleo hayo ya kufikisha ujumbe wa Mungu kwa njia ya kuimba.

  • @Mr_destiny
    @Mr_destiny Год назад +1

    Raha sana kuwa mkatoliki🙏🙏🙏🙏🙏

  • @julianagurti258
    @julianagurti258 Год назад +1

    Hongereni sanaaa kazi Ni nzuri Mungu awabariki🙏

  • @antoniaalbert5787
    @antoniaalbert5787 Год назад +3

    Aiseee yaani nyimboo haichoshi kiukweli Mbarikiwe sana nyote

  • @yesunimwema4497
    @yesunimwema4497 Год назад +4

    Siwezi kumaluza siku bila kusikiriza huu wimbo uwiiiiii❤❤❤❤❤❤❤

  • @superiuspaschal5979
    @superiuspaschal5979 Год назад +2

    Hongera saana Wana De Porres mmemtendea vyema Mungu azidi kuwabariki mzidi kufanikiwa ktk utume wenu

    • @superiuspaschal5979
      @superiuspaschal5979 Год назад +1

      Wimbo mzuri kweli jaman sichoki kuusikiliza ikipendezwa wanakwaya naomba nakara tuzid kumtukuza Mungu maana niwa communio naomba saana nipate nakara

    • @SMDPcuhasbugando
      @SMDPcuhasbugando  Год назад

      Mara baada ya uzinduzi wa album tutauweka swahilimusicnotes Karibu🙏

    • @superiuspaschal5979
      @superiuspaschal5979 Год назад

      Asante mnazindua lini jaman

    • @SMDPcuhasbugando
      @SMDPcuhasbugando  Год назад

      Mapema mwezi wa nne

  • @aidanlifestyle
    @aidanlifestyle Год назад +1

    Tutakuja aisee maana mm nna kiu Sanaa 😅😅Hongereni Sanaa Madaktqri wetu

  • @monicajoseph9447
    @monicajoseph9447 Год назад +12

    Woooow🔥🔥 wimbo mzur Sana tumebarikiwa Sana,wanakwaya adi mbinguni tutaimba . Hongereni sana st. Martin de porres choir

  • @HappyMayoka
    @HappyMayoka 22 дня назад +1

    Hongerini

  • @frolencetheonest6946
    @frolencetheonest6946 Год назад +1

    Hongereni sana ndugu zangu mnaupiga mwingi 👌👌 nimewamic 😘

  • @carollaswai4853
    @carollaswai4853 Год назад +2

    Wow🥰🥰🥰Kwaya yangu mmejua kunifurahisha. Hongera sana kwa kazi nzuri

  • @josephlyakurwa9933
    @josephlyakurwa9933 Год назад +4

    Wimbo bora kabisa wa kufungulia mwaka 2023 , natamani vijana wengine tupote ujumbe uliomo humu

  • @viktorkiptum9188
    @viktorkiptum9188 Год назад +1

    This song is very nice nice voices lewrence kameja💖💖💖💖💖mwaah like the song

  • @jeniphapaul1270
    @jeniphapaul1270 Год назад +1

    Naupenda mnoooo.....,.. my favorite song ❤

  • @ShimboPastory
    @ShimboPastory Год назад +4

    Kazi nzuri sana. Hongereni sana. Mzidi kubarikiwa

  • @kalundepius3161
    @kalundepius3161 Год назад +1

    From Geita 🔥🔥🔥🔥

  • @moseschamo7675
    @moseschamo7675 Год назад +1

    Wimbo waleta amani sana moyoni

  • @leonardmkoi
    @leonardmkoi Год назад +1

    Nimewakubali

  • @wilfridpaschal6283
    @wilfridpaschal6283 Год назад +1

    Hongera zenu,mie ni mmoja wa wanakwaya walio imba katika kwaya hiyo 2013-16

  • @LightnessAndrew
    @LightnessAndrew 17 дней назад

    Wow mmeimba vizur sana mungu awalinde

  • @carolinejebichii1470
    @carolinejebichii1470 Год назад +3

    Wow wonderful song❤❤❤

  • @egmsage4115
    @egmsage4115 Год назад +1

    Naangalia bila kudownload na siwazi coz kazi ni nzr ahsanteni sn kwa utume huu

  • @augustinoevarist6754
    @augustinoevarist6754 Год назад +2

    Nyimbo nzuri sana

  • @douglaslukunza1524
    @douglaslukunza1524 Год назад +1

    Safi sana kitu kizuri ndugu

  • @lilianwillium8381
    @lilianwillium8381 Год назад +2

    Hongereni sana kazi nzur mbarikiwe

  • @obed_artz5418
    @obed_artz5418 Год назад +2

    Pongezi zangu ziwaendee nyote mlioshirikiana kufanikisha wimbi huu kiukweli mmetisha sana" Mungu awabariki sana.

  • @kelvinshoo8195
    @kelvinshoo8195 11 месяцев назад +1

    Nice song mbarikiwee watu wa Mungu

  • @josephinenafula600
    @josephinenafula600 11 месяцев назад +1

    What a talent!, whenever I meet song ya kameja lazima nidownloard👏👏👏💕💕💕

    • @SMDPcuhasbugando
      @SMDPcuhasbugando  9 месяцев назад

      Thank you so much for your timely support 🙏🏼

  • @dismasafricanus4006
    @dismasafricanus4006 Год назад +2

    Amen imenibariki
    Nyimbo nzuri

  • @betyanyas8780
    @betyanyas8780 Год назад +2

    Good presentation, congratulations... 👏👏👏, keep the spirit flowing...

  • @michaelonlinetv
    @michaelonlinetv Год назад +7

    Nyie mwenzenu nimeangalia mara 20 bila kuchoka such a blessing 🥰🥰
    Utunzi umekutana na uimbaji bora na ubunifu wa hali juu Hongereni sana 🙏🙏

  • @anesiusalbogast4678
    @anesiusalbogast4678 Год назад +1

    I see! Hii masterpiece sio ya nchi hiii

  • @roguex4945
    @roguex4945 Год назад +1

    Wimbo mzuri saaana

    • @marymwania6100
      @marymwania6100 Год назад

      Congratulations for the good work 🙏🙏may the Lord bless you in your evangelization

  • @fr.mtitumelchior2088
    @fr.mtitumelchior2088 Год назад +2

    HONGERENI WANAKWAYA WA MARTIN DE PORES HAKIKA DAIMA HUIMBA MUZIKI WA KANISA KATIKA MAHADHI YA KIGREGORIAN.
    MUNGU AWAPENI MOYO HUO WABKUJITOLEA DAIMA KTK UINJILISHAJI KWA NJIA YA NYIMBO

  • @erickpaschaljr8667
    @erickpaschaljr8667 Год назад +1

    hongera sana Team Bugando

  • @anoldkauleti4200
    @anoldkauleti4200 Год назад +2

    Thats my fav catholic artist@lawrence kameja

  • @theopisterrichard55
    @theopisterrichard55 Год назад +1

    Hongereni sn Wimbo mzuri

  • @raymondlissu4649
    @raymondlissu4649 Год назад +2

    Wimbo mzur Sana hongeren Sana

  • @kenanmalindisa6430
    @kenanmalindisa6430 Год назад +1

    Saf sana deporres

  • @sylviakilongo2723
    @sylviakilongo2723 Год назад +7

    Wimbo unainua moyo kwa MUNGU. Safi sana na MUNGU awabariki kwa utume huu Mtakatifu. Nimefurahi Sista wetu Dominika Mbuligwe OSB naye kashiriki.

  • @monicahmutuku3305
    @monicahmutuku3305 Год назад +1

    Congratulations. Mbarikiwe sana

  • @stanslausnzwili5418
    @stanslausnzwili5418 Год назад +3

    Hongereni Sana.
    St Martin De porres choir I know hatua hiyo kubwa kwa Ukubwa wenu. Mnakuja poa sanaa.
    Mmefanya kikubwa.
    Hongera Sana Mwl Erick kessy hapo ulipofika kwa hiyo composition .
    Nafahamu tulikotoka Sina budi kukunyooshea mikono juu na kumshukuru mungu msalimie Shem pia. 🙌🙌🙌

  • @annnjoki1308
    @annnjoki1308 Год назад +2

    Moto 😍😍 nice one my brother ..#iris empire tz

  • @benedictojanuary4930
    @benedictojanuary4930 Год назад +1

    Wimbo mzuri sana Hongereni wanaMartin De Pores Bugando Mungu awabariki na kuwainua

  • @michaelkithembe
    @michaelkithembe Год назад +1

    Studio iris pro❤️🎉🔥🔥🔥

  • @sesimassawe758
    @sesimassawe758 Год назад

    Woow.. kazi nzuri jmn, tumebarikiwa wengi. Endeleeni na moyo huo huo wa kumwimbia Mungu katika roho na kweli

  • @cosmasmwathi
    @cosmasmwathi Год назад +5

    Am so proud of you bro Lawrence Kameja kazi unayo ifanya waifanya Kwa huaminifu na umakinifu Mungu na abariki kazi yako nzuri na akupe nguvu kufanya zaidi 🙏🙏Kwa iris empire hii kazi yapendeza kweli👌basi mzidi kufanya hii kazi nzuri na mtaona matokeo mema.

  • @dingodemba6801
    @dingodemba6801 Год назад +1

    Kazi nzuri vijana

  • @jumanneenos2481
    @jumanneenos2481 Год назад

    Kessy katisha sana, Magonya ulipo ona hilo gap tumepigwa hahahahahaha, hongera Erik Kessy

  • @roguex4945
    @roguex4945 Год назад +1

    Kila kitu kuhusu huu wimbo ni kizuri

  • @c.a.sindanotano5107
    @c.a.sindanotano5107 Год назад +1

    Swafiiiii sana

  • @ruthmaiyo3210
    @ruthmaiyo3210 Год назад +1

    Ray lit lit....................you can't dissapoint......

  • @SophiaChota-ec1ek
    @SophiaChota-ec1ek Год назад +1

    Amina wimbo mzur

  • @faithatieno4358
    @faithatieno4358 Год назад +3

    Kazi safi sana. Iris empire is the next big thing❤️. Kameja is already a big name. Hongera sana bro Kameja 👏👏❤️🥳🥳🥳. Congratulations to you all

  • @innocentjustine4250
    @innocentjustine4250 Год назад +1

    Congratulations Brothers &Sisters in christ 😊,@Nobbis niiteni 😂😂💪💪💪

    • @SMDPcuhasbugando
      @SMDPcuhasbugando  Год назад

      Thanks much brother🙏

    • @nobbistz
      @nobbistz Год назад

      Kaka kaka😂😂😂 ungefanya uje ushibe unono🙌

  • @lizziemutuku4761
    @lizziemutuku4761 Год назад +2

    Wonderful..Barikiwa Sana kwa kazi nzuri unayoifanya Lawrence....hakika umehuimarisha sana uimbaji wa Kenya kwa ubunifu wenu wa kipekee🌟💚🌟💚🌟

  • @GastonCanuty-tx6pp
    @GastonCanuty-tx6pp 2 месяца назад

    Congratulation laurence kameja

  • @daniysmarck8998
    @daniysmarck8998 Год назад +7

    He is only our hope and that he is our treasure with this Njooni Njooni song , a beautiful song to sing to him is AWESOME..🙏🙏 NICE WORK .

  • @ambrosethomas5922
    @ambrosethomas5922 Год назад +2

    Hongereni sana, wimbo mzuri sana, creativity juu

  • @simonligoneko7790
    @simonligoneko7790 Год назад +1

    Mbarikiwe sana wanakwaya

  • @mikepiano_violin
    @mikepiano_violin Год назад +1

    Hongereni sana wapendwa

  • @yesunimwema4497
    @yesunimwema4497 Год назад +2

    Amen Amen God bless you all ❤❤❤

  • @faustinefissoo
    @faustinefissoo Год назад

    Hongereni sana . Nam wins Rafiki yangu hapo Anthony Makandi 👏👏👏👏👏

  • @BugaTiStudios
    @BugaTiStudios Год назад +4

    Wow wow whole level of creativity, the whole production is awesome, kudos👏👏

  • @thepebrisfamilygracedbless6668
    @thepebrisfamilygracedbless6668 Год назад +2

    Waooooooo... Another lovely hit 🎯💯 right here... Keep up the great job 👍👍👍👍

  • @mcback4384
    @mcback4384 Год назад

    Hongereni madaktari Mungu awakirimie Baraka zote katika masomo yenu 😍

  • @evancekubingwa7709
    @evancekubingwa7709 Год назад +5

    Hongereni sana vijana.
    This is the greatest Work ever.
    This is the universal call to all of us to go and grow closer towards God, Holiness too.
    Nimefurahia kazi. Big up young men and women, Religious and to all who made it possible.
    Keep it up.

  • @ruginendassa8224
    @ruginendassa8224 Год назад +4

    Wooow woow Nawapenda SMDP fam❤️ you have done a great job...Mbarikiwe sana

  • @agnesnzioka6349
    @agnesnzioka6349 Год назад +1

    Hongereni.....

  • @godfreywankyo
    @godfreywankyo 3 месяца назад +1

    The song is soul touching

  • @charlesrioba6965
    @charlesrioba6965 Год назад +2

    Oh my God, you singing sooo wel, this song njoni njoni has made made to turn to God, may God add you many blessings

  • @epifanijacob9583
    @epifanijacob9583 Год назад +2

    Mtu mbayaaa @claud Kuzenza🤣

  • @anatoliamkufi8753
    @anatoliamkufi8753 Год назад +2

    Kazi nzuri sana sooo wowwww🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @moseswambua5050
    @moseswambua5050 Год назад +2

    Wow ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Njooni on another level

  • @christinambaga8841
    @christinambaga8841 Год назад +1

    Hongerani sana

  • @goodlucknchasi1092
    @goodlucknchasi1092 Год назад +1

    🔥🔥🔥

  • @marymalikamalkiathepsalmis5321
    @marymalikamalkiathepsalmis5321 Год назад +5

    Kaka Kameja never disappoints😍😍😍😍paschal kabonge hongera pia na wale wengine wote ... congratulations to you all...uimbaji mwema